vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
KITUO CHA WANAWAKE CHA AFYA JIPENDE!<br />
JARIBIO LA MWISHO LA MAFUNZO<br />
1. Nini ni sababu kuu <strong>ya</strong> vifo miongoni mwa <strong>wanawake</strong> kati <strong>ya</strong> miaka 18<br />
hadi 49 hapa Tanzania?<br />
UKIMWI, Mimba/ Matatizo wakati wa kujifungua, Magonjwa <strong>ya</strong> ngono,<br />
Malaria ,<br />
2. Je VVU ni tatizo kubwa <strong>kwa</strong> wanaume au <strong>wanawake</strong> ? Wanaume<br />
<strong>wanawake</strong><br />
3. je inawezekana kuwa na ugonjwa utokanao na ngono na usijifahamu<br />
kama unao? NDIO HAPANA<br />
4. Kuwa na magonjwa <strong>ya</strong> ngono kunaongeza uwezekano wa:<br />
kupata saratani kupata VVU Kupata mimba kupata Malaria<br />
5. Taja njia tatu za kuzuia VVU :<br />
a. ____________________ c.______________________<br />
b. ____________________<br />
6. Ipi ni njia pekekee <strong>ya</strong> kuweza kutambua kama una VVU?<br />
_____________________<br />
7. Taja njia mbili ambazo un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa unaathiri jitihada za kuzuia VVU na<br />
kutibu hapa Tanzania :<br />
a. ____________________________________________________<br />
b. ____________________________________________________<br />
8. Ni <strong>kwa</strong> kiasi gani wanwake wanapaswa kuchunguza sartani <strong>ya</strong> matiti ?<br />
Kila siku mara moja <strong>kwa</strong> wiki mara moja kila mwezi<br />
mara moja <strong>kwa</strong> mwaka<br />
9. ipi ni njia <strong>ya</strong> mawasiliano yenye ngivu zaidi katika kubadili tabia za<br />
watu?<br />
Redio mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana luninga vipeperushi<br />
137