vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Vinafan<strong>ya</strong> kazi namna gani ;<br />
- Huzuia mwili wa mwanamke kuachilai <strong>ya</strong>i kila mwezi<br />
- Hufan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kuwa vigumu <strong>kwa</strong> mbegu <strong>ya</strong><br />
kiume kupen<strong>ya</strong> kwenda kwenye kizazi<br />
- Inakuwa vigumu <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i kukaa kwenye mji wa mimba (embed)<br />
Inavyofanikisha:<br />
Zinafanikisha sana mara baada <strong>ya</strong> kuwekewa uhakika wa matumizi mazuri ni<br />
hakika.<br />
Faida<br />
- Inafaniksha masaa 24 baada <strong>ya</strong> kuiweka<br />
- Haiathiri unyonyeshaji<br />
- Inatoa ulinzi kw akipndi kirefu hadi miaka 3-5<br />
- Haiingiliani na tendo la ngono<br />
Nani wanweza kutumia<br />
- Wanawake wanaotaka kuzuia mimba <strong>kwa</strong> muda mrefu<br />
- Wanawake ambao wameshapata watoto wa kutosha na hawako ta<strong>ya</strong>ri<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kutumia njia <strong>ya</strong> kudumu <strong>ya</strong> kufunga kizazi<br />
- Wanwake wenye ugonjwa wa upungufu wa damu kutokana na seli<br />
mundu ( sickle cell)<br />
- Wanawake ambao hawawezi kutumia vidonge<br />
Nani hawawezi kutumia njia hii<br />
- Wajawazito<br />
- Wanawake wenye kupata mabadiliko <strong>ya</strong> hedhi kila mwezi<br />
- Wanawake wenye ugonjwa wa ini<br />
- Wanawake wenye kuto<strong>kwa</strong> damu ukeni bila kuwa na maelezo<br />
<strong>ya</strong>nayoeleweka<br />
Athari za vipandikizi (Norplant/Implanon)<br />
- Kubadilika <strong>kwa</strong> mzunguko wa hedhi – kupata matone, au kuja bila kuwa<br />
na mpangilio maalumu au kukosa hedhi kabisa<br />
- Kuongeza au kupungua uzito sana<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
Haiwezi kukulinda na Magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
Dalili za tahadhari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa kidaktari ;<br />
- Maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> damu nyingi ukeni<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na usaha au kuto<strong>kwa</strong> na damu au kufa ganzi<br />
- Kuumwa kichwa sanakuwa na tatizo la kutokuona vizuri<br />
127