Edwin Semzaba - Swahili-literatur.at
Edwin Semzaba - Swahili-literatur.at
Edwin Semzaba - Swahili-literatur.at
Erfolgreiche ePaper selbst erstellen
Machen Sie aus Ihren PDF Publikationen ein blätterbares Flipbook mit unserer einzigartigen Google optimierten e-Paper Software.
Utiaji saini mk<strong>at</strong>aba na Jupiter ulifanyika saa nne asubuhi kwenye Jumba la Habari.<br />
Joyce naye pia alikuwepo. Alivaa beloni la kaba roho la bluu na suruali ya Jeans na<br />
vi<strong>at</strong>u vya mchuchumio. Vazi ambalo lilimfanya aonekane mwana sanaa halisi. Nguo<br />
hizo alizifu<strong>at</strong>a nyumbani kwao kwenye saa mbili hivi; saa ambazo Mzee Filimbi tayari<br />
alikuwa kazini. Pia aliacha maagizo kuwa <strong>at</strong>amleta mchumba wake jioni ile.<br />
Hapakuwa na mengi yakufanywa isipokuwa licha ya kupigwa picha za pamoja<br />
Fisidume alikabidhiwa cheki ya laki nane kama kianzo kwa kunyang´anywa “model”<br />
wake. Joyce naye alipewa shilingi laki mbili ili kuanza kujiandaa na baada ya mwezi<br />
mmoja aanze kazi kwa Jupiter. Fisidume aliwazawadia Jupiter nakala mbili za gazeti<br />
lake la Tausi wa Alfajiri ambazo ziliongezwa uzuri kwa picha ya Joyce juu ya jalada.<br />
(Uk. 55).<br />
Joyce geht zur Arbeit in ihr Büro. Fisidume hilft Bob Tumaini beim Vertrieb von Tausi<br />
wa Alfajiri. Danach fährt er mit Kotecha zum Ajip Motel und holt Joyce ab.<br />
Gemeinsam fahren sie zu Joyces Eltern nach Oysterbay. Gloria, Joyces Schwester, freut<br />
sich besonders über den Besuch. Sie ist neugierig. Fisidume möchte die Verlobung<br />
schon am folgenden Tag haben, da er angeblich auf Dienstreisen sein werde. Er erzählt<br />
der Familie viel vom Leben in der Schweiz, insbesondere in Genf.<br />
“Baba mkwe,“ akasema Fisidume. “Wafahamu nina miaka thel<strong>at</strong>hini na sita sasa?”<br />
“Ndiyo waonyesha.”<br />
“Bila shaka ni vizuri kuweleza juu ya nilivyotumia muda wote wa ujana wangu.”<br />
“Leo ndio hasa siku yake.”<br />
“Nimekuwa (nimekuwako) Ulaya kwa zaidi ya miaka kumi. Huko nilip<strong>at</strong>a kupendana<br />
na msichana wa Kizungu na nilizaa naye w<strong>at</strong>oto wawili. Lakini h<strong>at</strong>ukuoana na pia<br />
w<strong>at</strong>oto wamebaki huko.”<br />
“Vizuri sio vibaya. Joyce anajua?”<br />
“Ndio anafahamu.”<br />
“Eti Joyce mmeshaongea juu ya ujana wake?”<br />
“Ndio baba.”<br />
“Basi vizuri hakuna ubaya wowote.”<br />
Kukawa kimya kidogo na mara maongezi yakaibuka tena.<br />
“Umekuwa mwandishi wa habari kwa muda gani?”<br />
“Wa miaka kumi na miwili hivi.”<br />
“Na hili gazeti lako linaitwaje?”<br />
“Tausi wa Alfajiri.”<br />
“Kwa nini kuliita hivyo?”<br />
“Tausi ni ndege mzuri kuvutia.”<br />
“Na Alfajiri?”<br />
“Alfajiri ni wak<strong>at</strong>i wa macheo. Yaani mapambazuko. Mapambazuko huashiria upya,<br />
uhai na m<strong>at</strong>umaini.”<br />
“Ndio m<strong>at</strong>umaini. Ni jina zuri.”<br />
“Sasa mara baada ya engagement nakuruhusu kutoa gazeti lako na huyo Joyce<br />
umpendaye akiwa juu. Sio bwana?”<br />
Kukawa na kicheko. Mambo yalianza kunoga kwa mnogo wa kunogeka haswa.<br />
24