04.06.2013 Views

دریافت فایل

دریافت فایل

دریافت فایل

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

123 ز ا 51 ﻪﺤﻔﺻ<br />

www.Ghaemiyeh.com<br />

ن ﺎﻬﻔﺻا<br />

ﻪ ﯿﻤﺋﺎﻗ<br />

ي اﻪﻧﺎﯾار<br />

ت ﺎﻘﯿﻘﺤﺗ<br />

ﺰﮐﺮﻣ<br />

ن ﺎﺧﺪﻟا<br />

ه رﻮﺳ<br />

. 44<br />

aliwafikia Mtume aheshimiwaye. 18. (Akasema) Nipeni waja wa Mwenyeezi Mungu kwa<br />

hakika mimi ni Mtume mwaminifu kwenu. 19. Na msijitukuze mbele ya Mwenyeezi Mungu<br />

mimi kwa hakika nitakuleteeni dalili iliyo wazi. 20. Nami naiikinga kwa Mola wangu na Mola<br />

wenu ili msinipige mawe. 21. Na kama hamniamini, basi jitengeni nami. 22. Ndipo<br />

akamuomba Mola wake kuwa, hao ni watu waovu. 23. Basi nenda pamoja na waja wangu<br />

usiku, hakika nyinyi mtafuatwa. 24. Na iache bahari inapokupwa, hakika wao ni jeshi<br />

litakalozamishwa. 25. Mabustani mangapi na chem chem waliziacha! 26. Na mimea na<br />

mahala pazuri! 27. Na neema walizokuwa wakijistarehesha. 28. Ndivyo hivyo, na<br />

tukazirithisha watu wengine. 29. Mbingu na ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muda.<br />

30. Na bila shaka tuliwaokoa wana wa Israeli katika adhabu yenye kufedhehesha. 31. Ya<br />

Firaun, hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka. 32. Na tukawachagua<br />

(Mayahudi) kwa ujuzi kuliko walimwengu (wa zama hizo). 33. Na tukawapa katika mambo<br />

(yetu) ambayo ndani yake mna neema zilizo dhahiri. 34. Hakika hao wanasema. 35. Hayo<br />

siyo ila ni maut.i yetu ya kwanza wala sisi hatutafufuliwa. 36. Basi warudisheni baba zetu<br />

ikiwa mnasema kweli. 37. Je, wao ni bora au watu wa Tubbaa, na wale waliokuwa kabla<br />

yao? tuliwaangamiza, kwa sababu wao walikuwa waovu. 38. Na hatukuziumba mbingu na<br />

ardhi na vilivyomo kati yake kwa mchezo. 39. Hatukuviumba ila kwa haki, lakini wengi wao<br />

hawaiui. 40. Hakika siku ya hukumu ni wakati uliowekwa kwa wao wote. 41. Siku ambayo<br />

rafiki hatamfaa rafiki chochote, wala hawatasaidiwa. 42. Ila yule Mwenyeezi Mungu<br />

atakayemrehemu, hakika yeye ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. 43. Bila shaka<br />

mti wa Zakkum. 44. Ni chakula cha mwenye dhambi. 45. Kama shaba iliyoyeyuka,<br />

huchemka matumboni. 46. Kama mchemko wa maji ya Moto. 47. Mkamateni na mburureni<br />

mpaka kati kati ya Jahannam. 48. Kisha mwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji ya<br />

Moto. 49. Onja! hakika wewe ndiye mwenye nguvu, mheshimiwa! 50. Hakika hii ndiyo<br />

mliyokuwa mkibishana. 51. Bila shaka wale wamchao Mwenyeezi Mungu watakuwa katika<br />

mahala pa amani. 52. Katika Mabustani na chemchem. 53. Watavaa hariri laini na hariri<br />

nzito, wakikabiliana (kwa mazungumzol. 54. Hivyo ndivyo itakavyokuwa, na tutawaoza<br />

mahuuru a'yn. 55. Humo watataka kila aina ya matunda na wakae kwa amani. 56. Humo<br />

hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza na atawalinda na adhabu ya Jahannam. 57.<br />

Kwa fadhili zitokazo kwa Mola wako, huko ndiko, kufaulu kukubwa. 58. Basi tumeifanya<br />

nyepesi (hii Qur'an) kwa ulimi wako ili wakumbuke. 59. Kwa hiyo ngoja, hakika wao (pia)<br />

.wanangoja<br />

ه رﻮﺳ<br />

ﺮﯿﺴﻔﺗ

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!