01.01.2015 Views

CONTENTS - Investing In Africa

CONTENTS - Investing In Africa

CONTENTS - Investing In Africa

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

TAARIFA YA MKURUGENZI MKUU<br />

Faida kabla ya kodi iliongezeka<br />

kutoka Shilingi bilioni 3.2 mwaka<br />

wa 2006 hadi Shilingi bilioni 4.2<br />

hali ambayo iliakisi utendaji bora<br />

katika sekta zote za biashara.<br />

Martin Oduor-Otieno,<br />

Mkurugenzi Mkuu<br />

Mwaka wa 2007 ulikuwa na ufanisisi ambapo maendeleo<br />

ya kasi ya biashara yalipelekea ongezeko la faida la asili mia<br />

33. Faida kabla ya kodi iliongezeka kutoka Shilingi bilioni<br />

3.2 mwaka wa 2006 hadi Shilingi bilioni 4.2 hali ambayo<br />

iliakisi utendaji bora katika sekta zote za biashara.<br />

Kufuatia utendaji bora huu, Halmashauri imependekeza<br />

mgao wa faida wa Shilingi 0.70(senti 70) kwa kila hisa hili<br />

likiwa ni ongezeko la asili mia 17 kulinganishwa na mwaka<br />

wa 2006.<br />

Utendaji huu ulisukumwa na mazingira bora ya kiuchumi<br />

ambayo yaliweka msingi bora wa riba na viwango vya<br />

ubadilishanaji fedha za kigeni.<br />

Jumla ya mapato ya shughuli zetu yaliongezeka kwa asili<br />

mia 22 kutoka Shilingi bilioni 12.1 mwaka wa 2006 hadi<br />

Shilingi bilioni 14.8 kutokana na ukuaji thabiti wa mapato<br />

ya riba. Jumla ya mapato ya riba yaliongezeka kwa kima<br />

cha kupendeza cha asili mia 34 kutoka Shilingi bilioni 6.3<br />

hadi Shilingi bilioni 8.5. Mapato kutokana na ubadilishaji<br />

wa fedha za kigeni na ada yalichangia Shilingi milioni 839<br />

(nyongeza ya asili mia 27 mwaka wa 2006) na Shilingi bilioni<br />

4.5( ongezeko la asili mia 20 mwaka wa 2006) kwenye kima<br />

cha msingi cha Kundi.<br />

na mikakati ya huduma kwa wateja. Kiasi kikubwa cha<br />

fedha katika mkondo huu zimetumika katika kuimarisha<br />

muundo msingi na shughuli inayoendelea ya kutekeleza<br />

shughuli zetu kuu za mtandao wa benki.<br />

Tunatarajia kuendelea kutumia fedha katika upanuzi wa<br />

matawi na mashini za ATM kote katika kanda katika jitihada<br />

za kufanya huduma zetu kupatikana zaidi katika soko.<br />

Kulikuwa na ongezeko kubwa la faida katika mashirika<br />

ambayo kwa pamoja yalichangia faida ya jumla ya Shilingi<br />

milioni 268 kwa Kundi. Huku KCB-T na KCB-S zikipata<br />

kasi ya biashara tunatarija mchango mkubwa zaidi kutoka<br />

kwao katika siku za zinazokuja.<br />

Mali ya Kundi ilikuwa kwa asili mia 30 na kuongezeka<br />

kutoka Shilingi bilioni 92.5 hadi Shilingi bilioni 120.5, na<br />

kuiweka KCB miongoni mwa Benki chache katika kanda<br />

zenye mali ya kiasi hicho. Hii ilitokana na ongezeko kubwa<br />

la mali zetu na madeni.<br />

Jumla ya mikopo iliyotolewa iliongezeka kwa asili mia 42<br />

kutoka Shilingi bilioni 45.3 mwaka wa 2006 hadi Shilingi<br />

bilioni 64.3 mwaka wa 2007 kutokana na ongezeko la juhudi<br />

za masoko na utekelezaji wa mfumo bora wa kutayarisha<br />

mikopo.<br />

Tulishuhudia ongezeko la asili mia 20 la gharama za utendaji<br />

kutoka Shilingi bilioni 7.8 mwaka wa 2006 hadi Shilingi<br />

bilioni 9.4 mwaka wa 2007 kwa sababu ya ongezeko la<br />

shughuli za kibiashara, ikiwa ni pamoja na mauzo, mafunzo<br />

Fedha zilizowekwa na wateja ziliongezeka kwa Shilingi<br />

bilioni 17.2 wakati wa kipindi cha mwaka kutoka Shilingi<br />

bilioni 77.2 hadi Shilingi bilioni 94.4 huku kiasi kikubwa<br />

kikiwa ni kutoka kwa akaunti za hundi(Shilingi bilioni 8.9),<br />

22 KCB ANNUAL REPORT & FINANCIAL STATEMENTS 2007

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!