26.02.2014 Views

pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb

pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb

pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Akenda akamchukua ule mtoto kwa mamake usiku, akampeleka<br />

kule, bila watu kujua. Ewa. Akarnlea, akamlea, akamlea yule<br />

nokowa, ule kumandera wa shamba, hata mtoto amakuwa rntu<br />

mzima tena.<br />

Ewa. Amakuja amamwambia ule ..., kijana, ndugu yake ule<br />

mtoto, mkubwake ule mwanamke, amakwenda amamwuliza<br />

nokowa :<br />

à Je shauri ? )><br />

Nokowa amesema :<br />

~Afadhali mhamishe huyu. Wewe una jamaako pahala pengine,<br />

mchukue mpeleke huko kwa jamaako huko. :><br />

Ewa, ewa. Wakati ule, ule ndugu yake mwanamurne amakuja<br />

amamchukua usiku, alipomchukua amampeleka kwa mamake,<br />

mwanamuke mzuri sana sana sana imezidi mpaka ! Akamwambia<br />

mamake ya kuwa :<br />

Fanya mkate, nichukue nimpeleke huyu. Nimpeleke kwa jamaa<br />

yangu. Ã<br />

Ewa. Aka ..., mamake akasimama akafanya zawadi ya kula njiani,<br />

mana mbali. Amakwenda kadiri ya suku kumi katika farashi.<br />

Ewa. Akatafuta farashi, karnwuliza nokowa:<br />

( Hapana farashi mzuri huku ? Ã<br />

Amesema :<br />

u Wako wawili. Wanasikia hata neno ya mwanadarnu. >><br />

Ewa, akenda akachukua farashi wawili, wakafanya mikate, na vitu<br />

watokula njiani, ewa, kafwatana na ndugu yake. Amapanda<br />

farashi ule ndugu yake mwanamume, ne ule mwanamke<br />

amapanda farashi. Wamechukua vitu Zao, vyakula.<br />

Ewa. Wamekwenda suku ya kwanza, wamekwenda suku ya pili,<br />

wamekwenda suku ya tatu, suku ya nne mshitu mkubwa. Ameona<br />

simba njiani, ameona simba, akamwambia yule ndugu yake:<br />

Wewe keti nyuma, nyuma yangu hapo. ;>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!