pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb
pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb
pdf download, 22.6 MB - SwahiliWeb
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
~imba anakuja, simba ana watoto wawili, simba na mke wake<br />
pale pale, na simba ule mwanamme. Watu wanne hao, wawili<br />
watoto, wawili mke na mume, na dume.<br />
Ewa. Simba anataka kuja kumtafuna anampija kofi moja,<br />
amatanganyika tanganyika hiyo us0 wake wote, simba amaanguka<br />
amakufa. Ule mwanamke anataia kukimbia, mamake wale<br />
watoto, watoto wamamfwata marra yao, ewa... Halafu ule simba<br />
mwanamke akamjia ule mwanadamu, akamwambia :<br />
"He we mwanadamu! Huyu mume wangu tu umeweza kumtia<br />
kofi na amevurugika yote piya, nafsi yote ha! Basi amakufa. Basi<br />
sasa hii mirni niwache, mi mwanamke. Niwache mimi, nnakupa<br />
kitu itokufaa maisha yako. n<br />
Akatoa watoto wake wale, akawaambia<br />
Watoto wakamwambia :<br />
Wewe mama yetu ?<br />
- Mimi mama yenu ?<br />
- Ewa.<br />
- Basi, nnakupeni huyu. Mmaona hii neno huyu baba yenu<br />
ilompata hapa. Amempija kofi moja chini, kisha amevurugika,<br />
amakufa, kaifa mimi mwanamke sina nguvu hapa sisi sote<br />
tutakufa. Basi, namumfwate huyu killa neno anosema, insha-<br />
Llahu ta'ala, namfwate. Msihalifu neno yale. Wakati ule nami<br />
nakwenda zangw. ;><br />
Ewa. Amamwambia ule mwanadamu (ule alompija kofi mume<br />
wake, akafa), ewa, haya :<br />
c Kwa herini, mimi nakwenda, insha-Llahu ta'ala mimi nitawaona<br />
watoto wangu mengoni mwa suku. >><br />
Ule mwanadamu akasema :<br />
< Usitia khofu wewe. :><br />
Anaingia mshituni pale, wale simba wanakula chakula. Wamakwenda<br />
hata wamepata mji mkubwa, mji wa kifalrne. Kuna mzee<br />
njiani ..., hapo ..., nyumba yake, wakaingia, ewa, na ule ndugu