08.06.2013 Views

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kuhudumiana<br />

Orodha ya Agano Jipya ya kuchunguza<br />

Amri za “Mmoja kwa Mwingine”<br />

Kufundisha na kuhimizana: Wakol. 3:16.<br />

Kufundishana: Warumi 14:14.<br />

Kuhimizana Moyo: Waeb. 3:13.<br />

Kutendeana mema 1 Wathes. 5:15.<br />

Kushughulikiana 1 Wakorin.12:25.<br />

Kuchukuliana mizigo Wagal. 6:1.<br />

Kusema ukweli, kama washiriki wa moja kwa mwingine: Waef. 4:25.<br />

Kuhudumiana kwa karama yeyote ambayo kila mmoja amepokea: 1 Petr 4:10.<br />

Kuyatoa maisha kwa ajili ya wenzetu: 1 Yoh. 3:16.<br />

Kutia moyo Ushirika mwema<br />

Kuwa na ushirika wa moja kwa mwingine: 1 Yoh. 1:7.<br />

Kupendana: Yoh. 13:34-35; 5:12, 17; Warum. 12:10; 1 Wathes. 4:9; 1 Yoh. 3:11,<br />

14, 23; 4:7, 11, 12; 2 Yoh. 1:5.<br />

Kupendana ili kutimiza sheria: Warum. 13:8.<br />

Kukua katika upendo moja kwa mwingine: 2 Wathes. 1:3.<br />

Kukaa katika upendo moja kwa mwingine: 1 Wathes. 3:12.<br />

Kuwa wafadhili, wenye kuchukuliana, na kusameheana: Waefe. 3:13; 4:32;<br />

Wakol. 3:13.<br />

Kuwa na upendo usio na unafiki kutoka moyoni moja kwa mwingine: 1 Petr.<br />

1:22.<br />

Kushikilia Upendo daima moja kwa mwingine: 1 Petr. 4:8.<br />

Kujenga Umoja wa kiroho<br />

Kuonyesha Heshima moja kwa mwingine: Warum. 12:10.<br />

Kukubaliana moja kwa mwingine: 2 Wakor. 13:11.<br />

House churches<br />

become strong<br />

through relational<br />

expressions of love.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!