Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kuhudumiana<br />
Orodha ya Agano Jipya ya kuchunguza<br />
Amri za “Mmoja kwa Mwingine”<br />
Kufundisha na kuhimizana: Wakol. 3:16.<br />
Kufundishana: Warumi 14:14.<br />
Kuhimizana Moyo: Waeb. 3:13.<br />
Kutendeana mema 1 Wathes. 5:15.<br />
Kushughulikiana 1 Wakorin.12:25.<br />
Kuchukuliana mizigo Wagal. 6:1.<br />
Kusema ukweli, kama washiriki wa moja kwa mwingine: Waef. 4:25.<br />
Kuhudumiana kwa karama yeyote ambayo kila mmoja amepokea: 1 Petr 4:10.<br />
Kuyatoa maisha kwa ajili ya wenzetu: 1 Yoh. 3:16.<br />
Kutia moyo Ushirika mwema<br />
Kuwa na ushirika wa moja kwa mwingine: 1 Yoh. 1:7.<br />
Kupendana: Yoh. 13:34-35; 5:12, 17; Warum. 12:10; 1 Wathes. 4:9; 1 Yoh. 3:11,<br />
14, 23; 4:7, 11, 12; 2 Yoh. 1:5.<br />
Kupendana ili kutimiza sheria: Warum. 13:8.<br />
Kukua katika upendo moja kwa mwingine: 2 Wathes. 1:3.<br />
Kukaa katika upendo moja kwa mwingine: 1 Wathes. 3:12.<br />
Kuwa wafadhili, wenye kuchukuliana, na kusameheana: Waefe. 3:13; 4:32;<br />
Wakol. 3:13.<br />
Kuwa na upendo usio na unafiki kutoka moyoni moja kwa mwingine: 1 Petr.<br />
1:22.<br />
Kushikilia Upendo daima moja kwa mwingine: 1 Petr. 4:8.<br />
Kujenga Umoja wa kiroho<br />
Kuonyesha Heshima moja kwa mwingine: Warum. 12:10.<br />
Kukubaliana moja kwa mwingine: 2 Wakor. 13:11.<br />
House churches<br />
become strong<br />
through relational<br />
expressions of love.