Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mambo…<br />
“<strong>Makanisa</strong> ya ki-sungura na ya ki-ndovu”<br />
Kipimo kidogo cha Makundi huwaruhusu wengi hushiriki. Katika jamii nyingi watu huja kwa<br />
Yesu kwa urahisi sana katika makundi madogo.<br />
Mamlaka yaliyo na uadui kwa wakristo huonea makanisa yanayo kutakana nje ambayo<br />
“hayajasajiliwa”<br />
Ni rahisi kuifikia jamii yote kwa kukutana nyumbani mwao<br />
Watoto wanaweza kuchukua sehemu zaidi ya utendaji katika ibaada na hivyo kujua kuwa<br />
wao ni sehemu muhimu ya mwili wa Kanisa.<br />
Pesa ambazo hazitumiki kwa mijengo zinaweza kutumika kutuma wapandaji makanisa<br />
kuzalisha mikutano.<br />
<strong>Makanisa</strong> madogo huzalisha kwa urahisi kwa sababu hawajakua taasisi; hawaja kuwa na<br />
vifaa vya gharama na tamaduni ambazo ni ngumu kupitiliza kwa makanisa yao madogo.<br />
Mikutano ya “Ki-sungura” huzalisha zaidi sana kwa haraka. Waumini katika mikutano midogo<br />
ya kadiri huleta watu wengi mara nyingi kwa Kristo kuliko hesabu iyo hiyo ya waumini wa<br />
makanisa ya “Ki-ndovu.”<br />
Matumizi<br />
NDOVU<br />
Hukomaa katika miaka 18<br />
Mtoto mmoja kwa kila kutungwa<br />
mimba<br />
Yenye uwezo wa kuzaa mara nne<br />
kwa mwaka.<br />
Muda wa ujauzito ni miezi 22<br />
Jamii yaweza kukua kutoka 2 hadi 3<br />
katika miaka 3<br />
SUNGURA<br />
Hukomaa katika miezi minne<br />
Kwa kadiri ya watoto 7<br />
Yenye uwezo wa kuzaa karibu kila<br />
mara<br />
Muda wa ujauzito ni mwezi mmoja.<br />
Jamii yaweza kuzalisha hadi millioni<br />
476 katika miaka mitatu.<br />
Usigawanye kikundi kirahisi katika vipande viwili. Fundisha viongozi wapya wakati kikundi kingali<br />
kidogo. Kinapokua, pata mmoja au wawili wa hawa viongozi wapya kuanza makundi mapya,<br />
wakiwachukua wengi wa hao ambao wanataka kwenda nao.<br />
Kumbuka<br />
Kanisa linaweza kuwa la ki-sungura na la Ki-ndovu ikiwa litaachilia makundi ya chembe hai kuzidisha<br />
na kuwa vikanisa vidogo ndani ya lile kubwa.<br />
Kanisa – kwa kiwango chochote - “halipandwi” hadi lifanye huduma ambazo Mungu anataka za<br />
kanisa. Kiongozi wa Kanisa la ki-sungura ni mwalimu wa kweli iwapo tu yeye anawasaidia wengine<br />
kufanya huduma. Kufundisha tu sio kuongoza.