08.06.2013 Views

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mambo…<br />

“<strong>Makanisa</strong> ya ki-sungura na ya ki-ndovu”<br />

Kipimo kidogo cha Makundi huwaruhusu wengi hushiriki. Katika jamii nyingi watu huja kwa<br />

Yesu kwa urahisi sana katika makundi madogo.<br />

Mamlaka yaliyo na uadui kwa wakristo huonea makanisa yanayo kutakana nje ambayo<br />

“hayajasajiliwa”<br />

Ni rahisi kuifikia jamii yote kwa kukutana nyumbani mwao<br />

Watoto wanaweza kuchukua sehemu zaidi ya utendaji katika ibaada na hivyo kujua kuwa<br />

wao ni sehemu muhimu ya mwili wa Kanisa.<br />

Pesa ambazo hazitumiki kwa mijengo zinaweza kutumika kutuma wapandaji makanisa<br />

kuzalisha mikutano.<br />

<strong>Makanisa</strong> madogo huzalisha kwa urahisi kwa sababu hawajakua taasisi; hawaja kuwa na<br />

vifaa vya gharama na tamaduni ambazo ni ngumu kupitiliza kwa makanisa yao madogo.<br />

Mikutano ya “Ki-sungura” huzalisha zaidi sana kwa haraka. Waumini katika mikutano midogo<br />

ya kadiri huleta watu wengi mara nyingi kwa Kristo kuliko hesabu iyo hiyo ya waumini wa<br />

makanisa ya “Ki-ndovu.”<br />

Matumizi<br />

NDOVU<br />

Hukomaa katika miaka 18<br />

Mtoto mmoja kwa kila kutungwa<br />

mimba<br />

Yenye uwezo wa kuzaa mara nne<br />

kwa mwaka.<br />

Muda wa ujauzito ni miezi 22<br />

Jamii yaweza kukua kutoka 2 hadi 3<br />

katika miaka 3<br />

SUNGURA<br />

Hukomaa katika miezi minne<br />

Kwa kadiri ya watoto 7<br />

Yenye uwezo wa kuzaa karibu kila<br />

mara<br />

Muda wa ujauzito ni mwezi mmoja.<br />

Jamii yaweza kuzalisha hadi millioni<br />

476 katika miaka mitatu.<br />

Usigawanye kikundi kirahisi katika vipande viwili. Fundisha viongozi wapya wakati kikundi kingali<br />

kidogo. Kinapokua, pata mmoja au wawili wa hawa viongozi wapya kuanza makundi mapya,<br />

wakiwachukua wengi wa hao ambao wanataka kwenda nao.<br />

Kumbuka<br />

Kanisa linaweza kuwa la ki-sungura na la Ki-ndovu ikiwa litaachilia makundi ya chembe hai kuzidisha<br />

na kuwa vikanisa vidogo ndani ya lile kubwa.<br />

Kanisa – kwa kiwango chochote - “halipandwi” hadi lifanye huduma ambazo Mungu anataka za<br />

kanisa. Kiongozi wa Kanisa la ki-sungura ni mwalimu wa kweli iwapo tu yeye anawasaidia wengine<br />

kufanya huduma. Kufundisha tu sio kuongoza.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!