08.06.2013 Views

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kuhusu Mwandishi<br />

O’Connor na Currah katika Rahim Yar Khan, Pakistan<br />

Galen Currah, aliyefanya startachurchnow.com amehudumu kama mkurufunzi na mshauri na<br />

watenda kazi katika nchi kadhaa. Yeye ni ndiye chanzo cha kweli cha kujifunza juu ya utendaji CPMs<br />

kadhaa. Ingawa alistaafu, Galen anaendelea kusafiri na kufundisha ulimwenguni, na umbali wake ni<br />

barua pepe kutoka kwa uwekezaji wa dhamani wa watenda kazi wa CPM wanaotilia maanani amri<br />

ya Kristo ya kwenda na kufanya wanafunzi. Kuwasiliana na Galen: galencurrah@paul-timothy.net<br />

Patrick O’Connor, D.Miss., na mke wake Debbie walianzisha mwondoko mpya wa kusisimua wa<br />

makanisa ya mashambani, Hondua mashariki, walipohudumu kutoka 1993 hadi 2009. Wakiwa<br />

wamekulia Bihar, India, Patrick sasa amerudi “Asia na zaidi” katika shirika la Action International.<br />

Anafundisha wengine katika nchi zaidi ya 20. Ingawa kituo chake ni karibu Seattle, Patrick na Mkewe<br />

Debbie husafiri na kufundisha sana. Kuwasiliana na Patrick, mwandikie kwa: scn.patrick@gmail.com

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!