You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Kuteseka wakati wa majaribu na kusulubishwa ( Mark 15; Luka 22-24; Yohana 18-20).<br />
Yohana Mbatizaji anatangaza msamaha kwa wale wameungama dhambi zao (Mat. 3).<br />
Yesu alisamehe watu wabaya sana lakini akawaonya Mafarisayo waliotumaini<br />
matendo yao mema kwamba hawajaingia katika ufalme wa Mbinguni (Mat. 9 na 21:<br />
28-45)<br />
Yesu amsamehe aliyepooza ambaye hakuwa amefanya chochote kwa uwezo wake<br />
kuja kwa Yesu (Mar. 2)<br />
<strong>Paul</strong>o aliahidi wokovu kwa jamii yote ya mlinzi wa gereza aliyeamini, kabla hata<br />
hawajasikia Injili (Matendo 16:31).<br />
Malaika walitangaza kuzaliwa kwa Yesu kwa wachungaji (Luka 2)