08.06.2013 Views

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Vidokezi vya kushauri viongozi wapya.<br />

Fundisha viongozi wapya “kisiri.” kama alivyofanya Akila na Priska na<br />

Apollo (Matendo 18:24-28)<br />

“Kama mbio ya kupokezana, wapatie wengine<br />

kifimbo cha Umitume cha mamlaka, ujumbe na<br />

waajibu, kama <strong>Paul</strong>o alivyofanya. Shikilia nuru ya<br />

kifimbo. Fanya kazi ya Bwana rahisi kwa kuchukua na<br />

kupeana kwa wengine. Onyesha wanafunzi wako<br />

jinsi ya kuwa “watendaji wa neno, sio wasikilizaji tu.”<br />

Usilenge mwanafunzi pekee, bali pia lenga kondoo anayewachunga<br />

Kuwa mfano- ili wanafunzi waweze kukuiga.<br />

Tadhmini mafundisho kwa matokeo yanayoonekana kwa maisha ya<br />

wanafunzi.<br />

Makosa ya kawaida<br />

o Kukosa kupeana kifimbo haraka iwezekanavyo, kutawala sana na kwa muda<br />

mrefu.<br />

o Kutumia vyombo vya gharama au vya staarabu.<br />

o Kuwa mkarimu sana kwa pesa za kutoka nje ambazo waumini wanategemea<br />

kushindwa kumtegemea Mungu.<br />

o Kutumia mtindo wa mafundisho na ibaada inayohitaji elimu ambayo viongozi<br />

wa taifa wamekosa.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!