08.06.2013 Views

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

Kuanza Makanisa Sasa - Paul-Timothy

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kuanza</strong> <strong>Makanisa</strong> <strong>Sasa</strong>


<strong>Kuanza</strong> makanisa sasa!<br />

Waandishi: Galen Currah and John Patrick O’Connor<br />

Kutoka kwa vifaa vya Galen Currah, mwandishi wa www.startachurchnow.com<br />

na Patrick O’Connor, Waandishi wa<br />

Reproducible Pastoral Training<br />

William Carey Library, 2006<br />

Kitabu hiki kinaweza kutolewa na kupeanwa bure.<br />

Please note source, if utilized.<br />

Copyright © 2011 Galen Currah and John Patrick O’Connor<br />

To download Start Churches Now <br />

English = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011.pdf<br />

Spanish = http://paul-timothy.net/docs/inicie_iglesia_ya_1-nov-2011_es.pdf<br />

Nepali = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011_nepali.pdf<br />

Khmer = (Still being placed to cyberspace / in process)<br />

Kiswahili = www.scm-action.org<br />

Kwacha =<br />

Thai =<br />

French =<br />

Ingawa kitabu hiki kinalenga baraka na faida za makanisa madogo ya<br />

nyumba kwa nyumba, tunamsifu Bwana kwa yale makanisa makubwa yanayo<br />

simama imara, nuru ya muda mrefu kwa injili katika jamii ulimwenguni kote.<br />

Bado, kwa kila kanisa kubwa linalo mwogopa Mungu, ulimwengu wetu pia<br />

usio na tumaini unahitaji mamia ya makanisa madogo madogo.


Kanuni<br />

Kanuni #1- Fikiri kwa udogo ...............................................................<br />

Kanuni/ #2 - Hudumu kwa Haraka .....................................................<br />

Kanuni/ #3 – Hifadhi Ki-biblia.............................................................<br />

Kanuni #4 - Iweke rahisi .....................................................................<br />

Kanuni #5 – Linda Maelekezo-utii ......................................................<br />

Kanuni #6 – Fundisha Viongozi ..........................................................<br />

Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji ............................................................<br />

Kanuni #8 - Chunga vizuizi .................................................................<br />

Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako .......................................................<br />

Kanuni #10 – Tumia “Menyu” (Orodha ya vyakula) Unaposhauri<br />

“Menyu” ya Mafundisho ya Mazoezi ya kupanda kanisa..................<br />

Maandiko ya Biblia 31 ya kuanza makanisa mapya ...........................


Miisho<br />

Orodha ya Agano Jipya .......................................................................<br />

Amri za “Mmoja kwa Mwingine” .......................................................<br />

<strong>Makanisa</strong> ya “Kisungura”na ...............................................................<br />

<strong>Makanisa</strong> ya “Kindovu” ......................................................................<br />

Vodokezi vya kushiriki mamlaka yako na<br />

Wanafunzi wako Kweli .......................................................................<br />

Matumizi ............................................................................................<br />

Kumbuka ............................................................................................<br />

Vidokezi vya kuchunga Mbwa Mwitu!..........................................<br />

Yesu ni mtawala na Bwana .................................................................<br />

Sio wewe ............................................................................................<br />

Orodha ya kukagua silaha ya rohoni ..................................................<br />

Katazo za Mazoeo ya Ubwana ............................................................<br />

Itikio za Mazoeo ya Ubwana ..............................................................<br />

Mifano Minne ya kupanda kanisa ......................................................<br />

Urahisi katika Ibaada ..........................................................................<br />

Vidokezo vya kushauri viongozi wapya ..............................................<br />

Vidokezo vya kufanya Wanafunzi .......................................................<br />

Vidokezo vya Maonyesho ...................................................................<br />

Vidokezo vya kuteua sehemu .............................................................<br />

Wasaidizi wa kupanda Kanisa ............................................................<br />

Vidokezi vya Waratibu wa mahali ......................................................<br />

Kuhusu Mwandishi .............................................................................


Kanuni #1- Fikiri Kwa udogo<br />

Kanisa Ndogo la Nyumbani lawezakuboresha.....<br />

Kunufaisha mmoja kwa mwingine kutokana na karama zao kwa<br />

kufanya kila muumini kuhudumia wengine. Karama zingine husaidia<br />

mmoja kwa mwingine kunena maneno ya kutia moyo kutoka kwa roho wa Mungu;<br />

zingine huwasaidia kuhudumiana kwa uzoefu.<br />

Tafuta upendo usio na sharti katika undani wa jamii kwa kuhudumu, kufundisha,<br />

kusaidia, kushauri, kutiana moyo<br />

Badilisha tabia na kuumba tumaini ndani yenu kwa kusaidiana kwa kutubu mnapo<br />

kosa,kusamehe mnapo kosewa, kuombeana na kufundishana kutokana na Agano<br />

Jipya. Tayarisha “orodha ya vyema” ya vitu hivi kwa kundi lako.<br />

Dai mamlaka juu ya giza na majaribu kwa kuomba kwa Mungu katika jina la Yesu<br />

na wote kupinga uwongo na majaribu ya Shetani<br />

Fanya ahadi za Mungu kuwa kweli kwa kukubaliana mmoja kwa mwingine mnapo<br />

omba kwa Mungu katika imani. Kuomba sirini katika makanisa makubwa, wengine<br />

hujisikia, hawana nguvu sawa sawa za undani<br />

Ng'ota katika Nguvu zisizo za kawaida kwa kutii amri za Yesu katika njia ile<br />

ambayo wafuasi wa kwanza walifanya. Fanya mazoezi hivyo katika maisha ya<br />

wengine.<br />

Dumisha desturi ya utambuzi wako na dhamani unapo hudumia Yesu pamoja.<br />

Jifiche kutoka kwa siasa za uadui na mamlaka ya dini kwa kukaa wachache,<br />

mkitumia mbinu ya umbo-la-chini, kubadilisha maeneo mara kwa mara na kukaa<br />

katika utamaduni wa kundi sikilizaji.<br />

Pata ujuzi wa kweli wa uwepo wa Yesu kupitia maombi yanayojibiwa, meza ya<br />

Bwana, ushuhuda, dhambi zilizosamehewa, kujazwa Roho Mtakatifu.


Kanisa ndogo la nyumbani laweza kuzuia ….<br />

Ibaada ya kanisa isiyohusishwa na mtu maalum. Tunapokusanyika katika makanisa<br />

madogo, tunaweza kuona na kusema na mmoja kwa mwingine, kufanya kila mmoja<br />

kukaribishwa na kuonyesha wema.<br />

Ubaguzi wa dini. Watu kutoka kabila lolote na misingi ya dini wanaweza kuabudu Yesu<br />

katika makanisa mapya madogo. Marafiki zako, jamii na majirani wanaweza kuja bila<br />

uwoga.<br />

Kutazama na kusikiliza bila kuonyesha hisia. Kila mmoja anaweza kushiriki kivitendo<br />

katika kanisa ndogo, wakitaka.<br />

Mahubiri yasiofaa. Viongozi wa makanisa madogo ni marafiki wetu. Tunaweza<br />

kusemezana wazi kwa jambo lolote tunalopata kuwa la msaada na la kupendeza. Pia,<br />

swala la utambuzi wa wageni wa muda, iwapo viongozi wanatoka ng'ambo na uwezekano<br />

wa vikwazo vya tamaduni za mazoezi ya ibaada.<br />

Majengo ya Gharama, vifaa na wafanyikazi. <strong>Makanisa</strong> madogo mapya hayagharimu pesa<br />

zozote, hivyo tunaweza kutumia fedha zetu kuwasaidia maskini na wenye hitaji.<br />

Ugomvi wa elimu ya kiteolojia. Katika makanisa madogo, tunajifunza mafundisho ya Yesu<br />

na kufuata Agano Jipya bila mabishano juu ya maswala mengi madogo, yasiyo na<br />

umuhimu. <strong>Makanisa</strong> madogo huweka lengo juu ya ufahamu kwanza kwa Yesu kama Bwana,<br />

na mkazo mdogo juu ya ugomvi wa elimu ya teolojia.<br />

Hali ya kuonekana isiyohitajika katika nyakati za mateso. Yesu alisema kuwa<br />

inakulazimu kukimbia mateso, iwapo unaweza. Epuka shughuli za nje zenye kelele, na<br />

ondoa matangazo na ishara za umma.<br />

Fananisha mawazo ya juu kwa maandiko: Je! Niya kiBiblia na yanayoweza kuigwa?<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

Ni Jinsi gani Kiongozi wa kundi ndogo anaweza kuyatumia? Lini, Wapi, Na nani?<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________


Unawezaje kufundisha wengine kutumia hii?<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

Kwa ufupi, andika katika maneno yako mwenyewe yaliomo, matumizi na husisho la mwongozo<br />

uliopo hapo juu.<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________


Kanuni #2 – Hudumu kwa upesi<br />

Kwanini ni muhimu kwako kuanza kanisa mpya la Nyumbani?<br />

<strong>Makanisa</strong> ya kimapokeo hugharimu zaidi sana kuanza na kutunza. Mahali maelfu<br />

yanageuka katika imani kwa Yesu, mamia ya makanisa mapya lazima yaanzwe,<br />

sasa. Waumini wengi hawawezi kumudu makanisa makubwa, ila afadhali kutumia<br />

pesa zao kuwasaidia maskini na wahitaji.<br />

Dini na filosofia za uwongo zinaenea kwa kasi, na hakuna makanisa ya kutosha.<br />

Kazi yetu sio kutawala jamii wala kuwa dini tawala, bali kulowesha jamii kwa imani<br />

na upendo. Kwa kufanya hivyo, ni lazima tuendelee kuanzisha makanisa madogo<br />

mapya.<br />

Waumini wengi wanaacha makanisa makubwa na wanahitaji kuwa kwa kanisa.<br />

Viongozi wengi wamakanisa wanaojulikana sana wamepoteza imani yao au kukiuka<br />

sheria za Mungu.Wengine hawawezi kufanya makanisa yao yakupendeza au ya<br />

msaada kwa wengine. Lazima tuzoeze waumini kuwa makanisa madogo madogo<br />

yanayowasaidia kutii amri ya Yesu kwa upendo.<br />

Wasioamini hawatumaini makanisa makubwa, lakini wengi watakuja kwa zile ndogo.<br />

Katika nchi nyingi waandishi wa habari, wana sanaa na viongozi wa dini za uwongo<br />

wamekashifu makanisa kiasi kwamba inatulazimu kupeana makanisa mengi mapya<br />

ambayo katika hayo watu wanaweza kujifunza ukweli kuhusu Yesu.<br />

<strong>Makanisa</strong> yaliyopo hayawezi kujishughulisha na waumini wengi wapya. <strong>Makanisa</strong><br />

makubwa hayana viti vya kutosha, madarasa ya kutosha wala waalimu wa<br />

kuwasaidia waumini wengi wapya. Ni bora kunaza makanisa mengi madogo<br />

madogo na waumini wapya.<br />

Serikali nyingi hutafuta kukandamiza makanisa yanayoonekana wazi wazi. Nchi<br />

ambazo zinatambua dini kirasmi au siasa za kihimla huzuia makanisa makubwa<br />

kukua. Kwa hivyo waumini lazima waanze makanisa mengi madogo madogo<br />

yatakayo baki kutoonekana na kwenda wakati inalazimu.<br />

Viongozi wapya wanohitajika hutokea kwa haraka katika makanisa mapya madogo.<br />

<strong>Makanisa</strong> makubwa na shule za Biblia haziwezi kufundisha wafanyikazi wapya<br />

wakutosha. Katika kinyume chake, makanisa mapya madogo husaidiawatu wengi<br />

wa kawaida kuwa viongozi wa makanisa wa kufaa wanaoweza kusaidia kuwafunza<br />

viongozi wapya wengine, baadaye.<br />

Wafuasi wa Yesu walio ndani ya dini zingine wanahitaji makanisa yao mapya. Leo,<br />

maelfu wengi wa waisilamu, wahindu, wa budha na wa imani kuwa vitu vyote vina<br />

roho wanafanyika wafuasi wa Yesu bila kuacha jamii zao za dini. Hawa wanaweza<br />

kuanzisha makanisa madogo mapya.<br />

<strong>Makanisa</strong> madogo mapya huleta waumini wengi kwa Yesu kuliko makanisa<br />

makubwa.<strong>Makanisa</strong> madogo yanweza kuongezeka maradufu katika kipimo, na


yanaweza kuzaana kila mwaka. Wasioamini wanao tembelea makanisa madogo<br />

mara kwa mara huchagua kuwa waumini.<br />

Mara nyingi <strong>Makanisa</strong> madogo yanafurahisha, na kufanya wanafunzi kwa<br />

haraka.Kushirikiana na wengine ana kwa ana inafurahisha sana kwa wote wanao<br />

shiriki. <strong>Makanisa</strong> madogo husaidia washiriki wao wote kumpenda Yesu na kutii<br />

amri zake kwa njia za utendaji.<br />

Wakati serikali inafanya makanisa kuwa shirika zisizo halali, mtajua jinsi ya<br />

kuendelea kisiri. Mahali ambapo serikali na dini zinatesa wafuasi wa Yesu, waumini<br />

lazima waanze makanisa mengi madogo madogo na kuyasongeza kwingine mara<br />

kwa mara.


Kanuni #3- Ilinde Kibiblia<br />

Ni nini inahitajika kuanza kanisa la Nyumba?<br />

Usajili au ushirika na serikali. Serikali zingine zinataka vyama vyote<br />

kusajiliwa. Iwapo serikali yako itakukataza au kuku chelewesha usajili, au<br />

kama itawatesa, basi msijisajili.<br />

Mchungaji aliyewekwa wakfu au kuidhinishwa. <strong>Makanisa</strong> mapya yanahitaji<br />

kiongozi mmoja au wawili wakujitolea lakini sio Mchungaji. Kiongozi<br />

anayempenda Mungu, Biblia na wengine atapeana uongozi wote ambao<br />

kanisa lako linahitaji.<br />

Kanisa au ukumbi wa wa mikutano. Ni wazo la kwaida<br />

kuanza kanisa mpya katika nyumba ya mmojawapo wa<br />

washikiri, au mahali pengine popote ambapo washiriki<br />

wanajisikia faraja na salama.<br />

Idhinisho kutoka kwa kanisa la kwanza. Ingawa ushauri ni kupata baraka<br />

kutoka kwa kanisa la nyumbani, hakuna ruhusa inahitajika mbali na ile Yesu<br />

alisema, “Enendeni.” Bwana asifiwe, iwapo unapata baraka na idhinisho<br />

kutoka kwa kanisa lako. Endelea kukaa na kanisa hilo.<br />

Fedha na makadirio. <strong>Makanisa</strong> mapya hayagharimu kitu wala<br />

kuhitaji pesa. Washiriki wanaweza na wakati mwingine kutoa<br />

pesa au vitu vingine kusaidia maskini au kusaidia mradi<br />

uliokubalika.<br />

Washiriki wenye karama wanaoweza kuwasaidia wengine. Unahitaji washiriki<br />

wenye karama. Kila<br />

Waumini wapya, waliobatizwa. Yesu aliagiza wafuasi wake kubatiza wote<br />

watakao tubu. Wote unaobatiza hufanyika washiriki wa kanisa lako siku hiyo<br />

hiyo, au utawasaidia kuwa kanisa kanisa ndogo mpya.<br />

Meza ya Bwana. Kanisa lako mpya lazima lisherekee meza ya Bwana kila mara,<br />

kuruhusu waumini kushiriki pamoja na Mungu. Hakuna sifa kamili zinahitajika<br />

kwa wale wanahudumu meza ya Bwana. Ushirika una nguvu, lakini sio<br />

mazingaombwe.<br />

Mikutano ya hadhara au Ibaada. Inafurahisha sana na salama kukutana kila<br />

mara kama waumini na marafiki katika idadi ndogo. Anza mkutano mipya kama<br />

inavyo hitajika. Kati ya watatu na Ishirini na tatu ni kiwango kizuri cha kanisa.


Waimbaji wenye ustadi. Ni vyema kuabudu katika njia ambayo<br />

kila mmoja atashiriki na kuiga, kutumia umbo la utamaduni wa<br />

mahali<br />

Ujumbe Mrefu, kama njia msingi wa kufundisha. Yesu na Mitume wake<br />

walituachia mfano mzuri wa kufuata. Muda mwingi walifanya majadiliano,<br />

kusimulia hadidhi na kutaja Biblia zao.<br />

Waliobadili dini kutoka dini zingine. Ni halisi kamili kwa wale walio katika dini<br />

zingine kuweka imani yao katika Yesu na kuanza makanisa yao. Imani katika Yesu<br />

sio dini mpya; ni njia mpya ya maisha.<br />

Wafuasi wa Yesu. Yesu aliamuru wafuasi wake kuwasaidia wengine pia kunfuata.<br />

Wao hufanya hivyo kwa kueneza habari njema kuhusu Yesu, kubatiza wale wanao<br />

tubu, na kuwafundisha kutii amri zake zote.<br />

Kumbuka, wakati makanisa makubwa yanakutana na hitaji la uhai<br />

katika miji mikubwa, yakipeana umbo la wakati ule ule na<br />

mashindano mbali mbali ya huduma, hizi zinahitaji usajili wa<br />

Serikali, majengo, makadirio ya pesa na wafanyikazi. Mahali<br />

ambapo idadi ya watu inabaki isiojua habari njema, hitaji ni kwa<br />

“makanisa ya kisungura” madogo yanayozalisha kwa haraka<br />

yanayoweza kuzuia uzito wa kinaganaga wa shirika. <strong>Makanisa</strong><br />

makubwa yanaweza kupanda makanisa madogo mengi ambayo<br />

wasiookoka wanaweza kukutana na Bwana na kuumbwa haraka katika kuwa<br />

wanafunzi wapendwa, watiifu wakifikia matakwa ya kiBibilia tu.


Je! Tutaanzaje kanisa ndogo mpya?<br />

Kanunin #4 - Iweke kuwa rahisi<br />

1. Omba kila mara kwa Yesu, naye atakuongoza kwa hatua zote. Yesus<br />

Aliahidi kuwa atalijenga “Kanisa” lake na alituma Roho wake Mtakatifu kwa<br />

makanisa yake kuyasaidia kukua.<br />

2. Uliza mwanzilishi aliye na ujuzi zaidi kukufundisha. Kuna wengi kama wewe<br />

walio na ujuzi mwingi, na ambao wangependa kukupa mashauri na<br />

mawaidha.<br />

3. Alika marafiki wachache, jamaa na majirani waje pamoja kujifunza kuhusu<br />

Yesu. <strong>Makanisa</strong> mengi mapya madogo madogo huanza na watu wanaojuana<br />

na kuaminiana. Unweza kuanza na wachache kama wawili au watatu.<br />

4. Pitia upya maisha na mafundisho ya Yesu pamoja. Haswa msaidie kila mmoja<br />

kujifunza Habari Njema ya asili ambayo Yesu na Mitume wake walifundisha<br />

popote walienda. Ni hadidhi ya maisha, miujiza, mauti, ufufuo, kuonekana,<br />

amri na ahadi zake.<br />

5. Msaidie yeyote kutubu kutoka kwa maovu na kumtumaini Yesu<br />

kwa msamaha na uzima wa milele. Muda tu watu binafsi<br />

wanakuwa waumini wapya, wasaidie kushiriki habari njema na<br />

jamii zao. Wabatize na jamii zao mara tu wanapotaka.<br />

6. Kubaliana masaa na mahali pa kukutana katika makundi madogo (<strong>Makanisa</strong><br />

madogo madogo). <strong>Makanisa</strong> mapya madogo madogo yanaweza kukutana<br />

mahali popote, kwa siku yeyote, na wakati wowote unaofaa kwa washika<br />

ingawa isio ya kufaa kwako .<br />

7. Jifunze na kutumia amri za Yesu. Bwana alipeana zaidi ya amri mia moja.<br />

Zifuatazo ni zile kuu ambazo waumini wa kale walizifanyia mazoezi.<br />

Mheshimu Mungu pamoja (“Umpende Bwana Mungu wako<br />

kwa moyo wako wote”).<br />

Onyesheni upendo mmoja kwa mwingine, kwa majirani,<br />

kwa maskini na kwa maadui.<br />

Mbatize yeyote atakaye tubu na kumfuata Yesu.<br />

Kila mara Mega mkate pamoja, yaani, sherekea ushirika au<br />

meza ya Bwana.<br />

Toa kwa ukarimu kuwasaidia maskini na wale wafanyao kazi ya Yesu<br />

kwa bidii.<br />

Ombeni pamoja kila mara mkitumia jina la Yesu kwa mahitaji aina<br />

mbali.<br />

Wahudumie wengine kwa ujuzi na uwezo ambao wewe na washiriki<br />

wengine walionazo.


Kanunin #5 - Ilinde Maelezo ya Utii<br />

Je! Waashiriki wa kanisa mpya ndogo hufanya nini kwa<br />

mikutano yao?<br />

Kuabudu Mungu na kumheshimu Yesu Kristo pamoja. Karibu<br />

kila aina ya shughuli yaweza kuwa ya Ibaada. Waumini wengi<br />

hupenda kuimba kwa Bwana, kuambina jinsi Yesu alivyo wasaidia<br />

hivi karibuni, kuiga hadidhi za Biblia, au kucheza kwa furaha. Fanya tu kile kile<br />

mapokeo yenu yanaruhusu.<br />

Soma kutoka kwa Biblia takatifu. Soma sehemu za Biblia na kuongoza kila mmoja<br />

katika majadiliano juu ya kifungu, haswa kutoka kwa Injili za Agano Jipya. Acha<br />

watoto na watu wazima waige hadidhi za Biblia. Amua pamoja jinsi washiriki wa<br />

kanisa watatii kifungu, pamoja.<br />

Kuomba kwa kutumia Jina la Yesu. Omba Mungu kusaidia kwa kila hitaji la<br />

Mshiriki. Muombe Mungu kusaidia na wengine, pia. Mumshukuru kwa njia<br />

anazowasiadia hao. Nendeni kuombea wagonjwa wapate nafuu, kwa waliosetwa<br />

kuwekwa huru, kwa wenye mahitaji wapate mahitaji yao kutoka kwa Mungu, kwa<br />

jamii zaidi kuwa wafuasi wa Yesu.<br />

Sherekea Meza ya Bwana. Mega na kula mkate pamoja kukumbuka mwili wa Yesu<br />

uliosulubiwa, na kunywa kitu cha kukumbuka damu ya Yesu<br />

inayosafisha dhambi. Fanya hivi kila mara na muache kila mtu<br />

awe na wakati wa uzoefu wa ushirika na Yesu.<br />

Gawanyana mmoja kwa mwingine. Muache kila mmoja<br />

kukutana na mahitaji ya wengine. Acha kila mtu azungumze<br />

kuhusu Mungu na Yesu. Waache wahudumiane kwa njia ya kimazoezi. Waache<br />

watoe pesa kutimiza mahitaji ya maskini.<br />

Tuma wafanyi kazi nje. Teua na kutuma wale wanotaka kwenda kusaidia wengine<br />

kujifunza kuhusu Yesu. Waidhinishe kuanza makanisa mapya madogo na kufanya<br />

na wengine shughuli hizi hizi. Sikiliza ripoti zao wanaporudi. Waache wao<br />

kufundisha wengine kufanya kazi ya aina hiyo.<br />

Omba Mungu msaada usio wa kawaida. Omba Mungu kuheshimu Yesu kwa<br />

kuwasaidia wengine katika njia zile ambazo ni Mungu tu anaweza kufanya. Muache<br />

aponye wagonjwa na kukomboa waliokandamizwa. Muache apeane kwa wengine<br />

zaidi ya yale ambayo nyinyi wenyewe mwaweza kufanya.


Kanuni #6 – Fundisha Viongozi<br />

Jinsi ya kuinua viongozi kwa makanisa mapya ya<br />

nyumbani?<br />

Tambua Wachungaji<br />

Kanisa lako linapoanza kukutana, chunguza washiriki wanaowasaidia wengine<br />

kushiriki kivitendo. Kama wana hiari ya kuwa viongozi, basi andaa kuwafundisha<br />

kati kati ya mikutano, na uwasaidie kupanga jinsi ya kuongoza mikutano yao ijayo.<br />

Wachungaji kondoo wa kushauri.<br />

Wakati wowote mtu anaweza kukusanya wengine pamoja kujifunza juu<br />

ya Yesu, andaa kufundisha huyo kiongozi. Waite viongozi au wachungaji<br />

kondoo; usiwaite Wachungaji au wazee.<br />

Wasikilize wachungaji kondoo<br />

Wakati wowote unakutana na viongozi wapya, sikiliza kwa makini<br />

kilka mmojja anapotoa ripoti ya yale makanisa yao madogo<br />

yamekuwa yakifanya, wanachohitaji na fursa zao. Yesu alifanya hay, Mariko 6:30f.<br />

Wafundishe wachungaji kondoo jinsi ya kufanya mipango<br />

Saidia kila kiongozi kutoka katika Agano Jipya jinsi ya kupanga, jinsi ya kuongoza<br />

makanisa yao, na jinsi ya kuwaleta wengine kujifunza juu ya Yesu.<br />

Omba na wachungaji kondoo<br />

I Omba Mungu kwa niaba ya viongozi washiriki wa<br />

kanisa, ili Mungu awabadilishe wawe kama Yesu, Mungu<br />

awavute watu wengi kuwa wafuasi wa Yesu, na kwamba<br />

atawainua viongozi wapya wengi.<br />

Kuidhinisha wachungaji kondoo.<br />

Idhinisha viongozi wapya kuwafundisha viongozi wapya kwa makanisa mapya madogo,<br />

kama mitume walivyofanya katika Agano Jipya. 2 Tim. 2:1-2<br />

Wataje wachungaji kondoo kama wazee au wachungaji kondoo<br />

katika mafundisho.<br />

Viongozi wanapofikia matarajio ya Agano Jipya, wataje kama wazee au<br />

wachungaji. Fanya hivyo katika mkusanyo wa kanisa kwa kuwawekea<br />

mikono.<br />

Waelemishe Wazee<br />

Peana washa ya mafundisho mara kwa mara kwa viongozi na wazee,<br />

kuwa wa kupatikana kuwashauri wakati wowote wanauliza msaada


Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji<br />

Ni jinsi gani Kanisa lako linaweza kukua na kukua, halafu likazalisha?<br />

Endelea kutii amri za Yesu. Mungu kwa kawaida huwaleta waumini wapya<br />

katika makanisa yanayotii Yesu Masihi wake. Wanafunzi ni wale hupenda<br />

kutii amri za Yesu. Ona Mathayo 28:18-20; Mdo. 2:37-47.<br />

Hakikisha kwamba washiriki wote wa kanisa wanashiriki kwa uhuru. Mahali<br />

ambapo waumini wote wanazungumza mmoja kwa mwingine kuhusu Yesu,<br />

wasioamini wanaotembelea kanisa wataridhishwa wenyewe kuwa ni wenye<br />

dhambi. Ona 1 Kor. 14:3, 24-26.<br />

Kuwa na waumini katika kila kanisa ndogo wanaoomba, na kuinua viongozi<br />

wapya katika makanisa mapya.. Wafundishe kuwa ni kawaida kwa kila kanisa<br />

lililo hai kuzalisha.<br />

Waache washiriki wawaalike marafiki na jamaa zao kutembelea kanisa lao ndogo, wakijisikia<br />

kuridhika kufanya hivyo. Iwapo washiriki wenyeji wa kanisa ndogo watakuwa wengi sana basi<br />

waache wengine wao waanze kanisa lingine ndogo pamoja na wale wangetaka kufanya hivyo<br />

Simulia asili ya habari njema kila mara na alika watu kutubu na kumtumaini Yesu. Ni kwa<br />

kusikia habari njema watu huja mara kwa mara kutubu na kuamini. Ona Luka 24:45-49 na<br />

Warum. 10:14-15.<br />

Ombeni pamoja kila mara kwa ajili ya wengine kuifikia imani katika Yesu. Inavyowezekana,<br />

waumini wawili au watatu watembee pamoja katika mji wenu, waombe kimya kwa Mungu<br />

kuonyesha wema wake kwa wasioamini. Wawe tayari kueneza habari njema kwa yeyote<br />

anayewauliza.<br />

Wape wengine zamu ya kuongoza mikutano ya kanisa. Omba na kumuuliza Mungu kuwafanya<br />

wengine kuwa viongozi wazuri. Wanapojisikia kuwa tayari, waache waanzishe makanisa mapya<br />

na waumini wowote wanaotaka kwenda nao.<br />

Anza makanisa mapya madogo katika nyumba za watafutaji na waumini wapya. Wasaidie<br />

wenyeji kuchukua uwongozi na kufundisha habari za Yesu kwa jamaa zao na marafiki.<br />

Wafundishe katika mahali pa kujifichia na uwaachie kuwaleta marafiki na jamii zao.<br />

Wafundishe washiriki wote jinsi ya kuanzisha kanisa. Washiriki wa kanisa wanapoondoka<br />

kwenda kazini, shuleni au kwa ndoa, inawabidi wajue jinsi ya kuanza kanisa mpya ndogo. Ahidi<br />

kuwashauri, iwapo unaweza.<br />

Weka minyororo ya viongozi wanaofundisha viongozi wapya. Hauwezi kuanza makanisa<br />

mapya madogo kwa haraka usipofundisha viongozi. Washauri viongozi wachache na kuwapa<br />

mamlaka kila mmoja wao kuwashauri wengine wachache. Achilia minyororo hii kukua kwa<br />

kuanza makanisa mapya madogo.<br />

Yasaidie makanisa ya kawaida kufanya washiriki wao kuwa makanisa madogo.<br />

<strong>Makanisa</strong> mengine makubwa hutaka kuwa na makanisa madogo madogo, na<br />

viongozi wao wanaweza kukuuliza kuwasaidia kujifunza jinsi ya kufanya.<br />

Kuwa na karakana ya mafunzo kwa watendakazi wanotaka kuanza<br />

makanisa. Waachilie wao waumbe makanisa madogo ya muda kati yao, ili waende nje na<br />

kufanya hivyo na watu wengine pia.


Kanuni #8 Chunga Vikwazo<br />

Ni hatari gani zinangoja makanisa ya nyumbani?<br />

Viongozi wengine kutoka kwa makanisa makubwa wanaweza kukudharau na<br />

kanisa lako ndogo. Wakikuuliza, waambie ni kwanini unaanza makanisa<br />

madogo na jinsi makanisa yako yanajaribu kutii amri ya Yesu. <strong>Makanisa</strong> mapya<br />

madogo mengine hayawezi kudumu kwa zaidi ya miezi michache. Washirki<br />

wengine watataka kwenda kwa makanisa makubwa; wengine wataondoka<br />

kuanza makanisa zaidi madogo. Waachilie wafanye hivyo.<br />

<strong>Makanisa</strong> madogo hayawezi kusaidia Kiongozi kifedha, hivyo basi Kiongozi<br />

lazima afanye kazi ya ziada kupata pesa.<br />

Mtu Mwingine anaweza kujaribu kuchukua utawala wa kanisa ndogo. “Mbwa Mwitu” ni wale ambao<br />

hawaanzi makanisa mapya, ilhali wanataka wengine kuwafuata. Inakubidi uwaambie Mbwa mwitu<br />

kuacha kuingilia kanisa lako ndogo mpya. Jitoe kuwafundisha, kama wanataka kwenda kuanza<br />

makanisa yao madogo.<br />

Mwingine anaweza kujaribu kufundisha kanisa ndogo mawazo yasiyo ya kweli au<br />

yaliyochanganyikiwa. Kwa hivyo, saidia makanisa mapya kufanya Agano Jipya kuwa kipimo chao cha<br />

pekee, na kuwasaidia washiriki kupima kila wazo kwa kujifunza Agano Jipya linasemaje. Yesu<br />

aliwaambia wanafunzi wake “kukaa katika neno lake.”<br />

Mtu Mwingine anaweza kutaka kuwa Mwalimu wa pekee katika kanisa. Kuanzia mwanzo, ruhusu<br />

kila mmoja kuzungumza mmoja kwa mwingine. Hiyvo, fundisha wengine kutambua “karama za<br />

rohoni” za wengine. Washiriki wa kanisa hawatakiwi kuwa wasikilizaji baridi tu.<br />

Mamlaka ya Serikali yaweza kujaribu kusimamisha kanisa lako, na wanaweza kuwakamata. Katika<br />

maeneo ya uhasama, wale wanaoanza makaniisa inawabidi kuvunja sheria ili kumtii Bwana Yesu<br />

wao. Hata hivyo, kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko usalama. Kamwe, usivunje sheria ila tu kwa<br />

utiifu wako kwa Yesu unapotakikana kufanya hivyo.<br />

insi ya kuitikia kwa Jamii inayopinga wafuasi wa Yesu?<br />

Kaa katika utamaduni wako. Vaa mavazi ya kawaida ya utamaduni wako, kuwa na jina lako<br />

mwenyewe, kula chakula ambacho kinadhibitishwa na jamii yako, tumia salamu za jamii yako,na<br />

heshimu sherehe, saumu na sikukuu za jamii yako.<br />

Abudu kwa njia isiyo ya kukwaza. Tumia aina mbali mbali za sura ya dini ya jamii yako kama<br />

uwezavyo kwa dhamiri safi. Epuka sura nyingi za kigeni za ibaada. Yesu anakubali aina nyingi za<br />

ibaada zinazo mheshimu.<br />

Katika <strong>Makanisa</strong> mapya madogo, punguza shughuli kubwa za ibaada kwa wale wanafundishwa<br />

katika Agano Jipya. Hiyo inajumulisha kujifunza mafundisho ya Yesu, kuomba katika jina lake,<br />

“kuumega mkate” na kugawana mmoja kwa mwingine. Ona Mdo. 2:42.<br />

Tafuta Agano Jipya kupata majibu kwa maswali na mahitaji ya jamii yako, na dhibitisha dhamani ya<br />

utamaduni wowote wenu ambao Yesu anaweza kukubaliana nao.<br />

Endelea kuomba kwamba maelfu na mamillioni katika jamii yako watakuja kumfuata Yesu, ingawa<br />

wengi wao watakaa katika dini za wazazi wao kwa muda.<br />

Epuka kuwa na wageni wa nje wengi kuhudhuria matukio ya ibaada yenu. Kwa kawaida, wageni<br />

wasifundishe katika makanisa yenu mapya. Kama wageni wa mbali wanakushauri na viongozi<br />

wengine, basi wafanye hivyo faraghani.<br />

Kataa Msaada wa Pesa. Waumini wengine matajiri na baadhi ya wageni wa nje wanaweza kutaka<br />

kukupa pesa na misaada ya vifaa. Kama unaweza kujisaidia, basi kataa msaada wao.


Teua tuu viongozi wenye heshima wa waeneo. Ni vyema kwamba wageni wa nje na watu wa nje<br />

wasiongoze makanisa mapya madogo. Ingawaje watu wa nje wanaweza kuwa washauri na waalimu<br />

wazuri, inawapasa wenyeji kuongoza makanisa mapya.<br />

Tafuta wa kiroho, wa kina kwa bidii. Juu ya yote, julikana kwa uweza wako kupitia maombi, uwazi<br />

wako, tabia yako ya adili, na kwa uwezo wako kumheshimu Mungu katika mazungumzo yako ya<br />

kila siku.<br />

Wawezeshe waumini wenyeji wako walio na tabia njema na wako walio na hiari ya kuanza makanisa<br />

mapya madogo. Wafundishe, ukitumaini Roho mtakatifu kuwakirimu na kuwaongoza.<br />

Linda makanisa yako kwa siri kwa muda mrefu iwezekanavyo. Mwache Yesu pekee achague wakati<br />

anaotaka yeyote wenu kukamatwa au kuteseka kwa ajili yake.<br />

Endelea kuanzisha makanisa mapya madogo na kuhamia mahali pa kukutania mara kwa mara kama<br />

inavyohitajika. Wakati mamlaka ya uhasama yanakandamiza makanisa mengine madogo, mengine<br />

yanaweza kuendelea kuabudu.<br />

Ni maeneo gani unajiweka hatarini?<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_______________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________


Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako<br />

Je! Ni ipi Asili ya habari Njema ya Yesu na Mitume wake?<br />

“Injili” au Habari Njema kuhusu Yesu ni hadidhi, usimulizi wa kweli, ukweli wa histioria. Njia ya<br />

kufaa kuwasaidia wengine kuwa wafuasi wa Yesu inabaki katika hatua tatu zifuatazo:<br />

(a) Simulia hadidhi hii katika maneno, nyimbo, mashairi, sanaa au drama.<br />

(b) Eleza ahadi za Yesu kwa urahisi<br />

(c) Alika watu kutii amri za Yesu.<br />

Asili ya hadidhi ya Habari Njema inafupishwa katika maandiko ya Agano Jipya hivi:<br />

Luka 24:44-49<br />

Mdo 2:22-40<br />

Mdo 3:13-26<br />

Mdo 5:29-32<br />

Mdo 10:34-48<br />

Mdo 13:23-41<br />

Mdo 17:1-4<br />

Mdo 17:22-31<br />

1 Wakorintho 15:1-8<br />

2 Wakorintho 5:21<br />

Kazi yako ni kusimulia hadidhi kupitia vifaa vya habari vinavyo kubalika kiutamaduni, ukitilia mkazo<br />

mambo yale yanayo leta maana kwa wenyeji. Mambo makuu yanayo vuka maandiko yote ya Agano<br />

Jipya yanayohusu habari Njema yanabaki kuwa maisha ya Yesu, Mauti yake na Kufufuka kwake.<br />

Unaweza kuweka pamoja mojawapo ya kila kitu kinachofuata maandiko yaliyotajwa hapo juu:<br />

Manabii wa kale walitabiri anaye kuja, ambaye Wayahudi walimuita Masihi<br />

Mungu alimpa Yesu uweza kufanya miujiza, kuweka watu huru kutoka kwa nguvu za<br />

shetani, kuonyesha kuwa yeye ni Masihi.<br />

Viongozi wa Dini wenye wivu na mamlaka ya Siasa walimuadhibu Yesu kwa kifo wakimpigilia<br />

misumari kwa msalaba wa mti.<br />

Siku ya tatu baadaye, Yesu alifufuka kwa mwili na akatoka kaburini.<br />

Yesu akawatokea mashahidi waliomuona, kudhibitisha kuwa ni yeye, akiwaamuru<br />

kueneza Habari hii Njema kila mahali.<br />

Yesu aliahidi kuwasamehe wote watakaotubu, na kuwa weka huru kutoka kwa uwovu<br />

wowote.<br />

Wote wamtumainio na kumtii Yesu watapokea msamaha wa Mungu. Roho Mtakatifu, na<br />

uzima wa milele.<br />

Yesu alipaa Mbiguni ambako anatawala kama Bwana juu ya Mbingu na Dunia.<br />

Yesu aliamuru wafuasi wake kubatiza waumiini wapya na kuwafundisha kutii amri zake.<br />

Yesu atarudi tena duniani, kufufua wafu na kutawala kama Mfalme juu Ulimwengu<br />

Milele.<br />

Mara tu mtu anapotubu kutoka kwa njia zake za kale na kuweka imani yake au tumaini lake katika<br />

Yesu, na kuwafanyia vile vile Yesu na Mitume walifanya:<br />

Kudhibitisha toba yao kwa kuwabatiza, kama Yesu alivyoagiza (Mathayo 28:18-20)<br />

Kuwaongeza kwa kanisa ndogo mpya, kama Mitume walivyofanya. (Matendo 2:40-42)<br />

Wakati Jamii au marafiki wanakuwa wafuasi wa Yesu pamoja, ni bora kufanya umbo la kanisa mpya<br />

ndogo mara moja, na kuwafanya wao kualika wengine kujifunza juu ya Yesu.


Kanuni #10 –<br />

KamaTumia “Menyu” unaposhauri<br />

Ni upi mfano wa menyu ya maandiko?<br />

Muda wowote mnakutana watendakazi kuwafundisha, chagua menyu ya<br />

utendaji ya andiko linalofikia hitaji la sasa katika kanisa mpya (Kwa mfano, watume<br />

watenda kazi nje). Wakati mnakutana na wanafunzi, pitia upya na kutumia moja ya<br />

maandiko na kuwa na hakika yakufanya mipango ya kutekeleza andiko hilo katika<br />

kanisa mpya. Weka alama, “Tick” au weka mviringo kwa nambari, baada ya<br />

kumaliza (Kwa mfano, #9 mviringo utakuwa ...#.<br />

Menyu ya mafundisho ya mazoezi ya upandaji <strong>Makanisa</strong>.<br />

1. Fundisha na kutuma watenda kazi -- Matthew 10:1-10.<br />

2. Ingieni kwa nyumba zenye amani -- Matthew 10:11-15.<br />

3. Jichunge na mamlaka ya uadui -- Matthew 10:16-20.<br />

4. Tumia Mamlaka ya Utauwa -- Matthew 18:18-22.<br />

5. Mpende Mungu na Wengine -- Matthew 22:34-40.<br />

6. Fundisha waumini kumtii Yesu -- Matthew 28:16-20.<br />

7. Fundisha watenda kazi wa kujitolea -- Mark 6:7-12, 30.<br />

8. Fundisha utaratibu wa Yesu -- Luke 9:1-6.<br />

9. Tafuta watu wa kuitikia -- Luke 10:1-7.<br />

10. Onya miji isiyo na imani -- Luke 10:8-11.<br />

11. Fundisha watenda kazi wengi zaidi wazalishao -- Luke 10:17-20.<br />

12. Vuna mavuno -- John 4:34-38.<br />

13. Mpendane ninyi kwa ninyi -- John 15:9-17.<br />

14. Pokea Roho Mtakatifu -- John 20:19-22.<br />

15. Fuata mikakati za Yesu -- Acts 1:7-11.<br />

16. Eneza Habari Njema – Acts 2:22-24.<br />

17. Wabatize wale wanaotubu -- Acts 2:38-41.<br />

18. Fundisha waumini kuabudu -- Acts 2:42-47.<br />

19. Mtii Mungu badala ya watu -- Acts 5:27-32.<br />

20. Kuingia kwa nyumba za wengine -- Acts 10:24-29.<br />

21. Nenda kwa wale Mungu amewandaa -- Acts 10:30-33.<br />

22. Waambie wengine juu ya Uweza wa Yesu -- Acts 10:34-38.<br />

23. Tangaza Mauti na Kufufuka kwa Yesu -- Acts 10:39-43.


24. Wabatize waumini wapya -- Acts 10:44-48.<br />

25. Teua wazee katika makundi mapya -- Acts 14:21-23.<br />

26. Waongoze watu kuamini na kutii -- Romans 1:2-7.<br />

27. Mega Mkate pamoja -- 1 Corinthians 10:15-17; 11:23-26.<br />

28. Waache viongozi wanafunzi kufundisha wengine -- 2 <strong>Timothy</strong> 2:1-10.<br />

29. Wawezeshe waratibu kuteua wazee -- Titus 1:5-9.<br />

30. Fundisha wachungaji kondoo kutumika kwa unyenyekevu -- 1 Peter 5:1-6.<br />

31. Andaa waumini kuteseka -- 1 Peter 5:7-11.<br />

<br />

<br />

Tumia hii kama “Orodha ya Tick”<br />

ya menyu pamoja na wakufunzi<br />

wako


Miisho<br />

(Appendices)


Kuhudumiana<br />

Orodha ya Agano Jipya ya kuchunguza<br />

Amri za “Mmoja kwa Mwingine”<br />

Kufundisha na kuhimizana: Wakol. 3:16.<br />

Kufundishana: Warumi 14:14.<br />

Kuhimizana Moyo: Waeb. 3:13.<br />

Kutendeana mema 1 Wathes. 5:15.<br />

Kushughulikiana 1 Wakorin.12:25.<br />

Kuchukuliana mizigo Wagal. 6:1.<br />

Kusema ukweli, kama washiriki wa moja kwa mwingine: Waef. 4:25.<br />

Kuhudumiana kwa karama yeyote ambayo kila mmoja amepokea: 1 Petr 4:10.<br />

Kuyatoa maisha kwa ajili ya wenzetu: 1 Yoh. 3:16.<br />

Kutia moyo Ushirika mwema<br />

Kuwa na ushirika wa moja kwa mwingine: 1 Yoh. 1:7.<br />

Kupendana: Yoh. 13:34-35; 5:12, 17; Warum. 12:10; 1 Wathes. 4:9; 1 Yoh. 3:11,<br />

14, 23; 4:7, 11, 12; 2 Yoh. 1:5.<br />

Kupendana ili kutimiza sheria: Warum. 13:8.<br />

Kukua katika upendo moja kwa mwingine: 2 Wathes. 1:3.<br />

Kukaa katika upendo moja kwa mwingine: 1 Wathes. 3:12.<br />

Kuwa wafadhili, wenye kuchukuliana, na kusameheana: Waefe. 3:13; 4:32;<br />

Wakol. 3:13.<br />

Kuwa na upendo usio na unafiki kutoka moyoni moja kwa mwingine: 1 Petr.<br />

1:22.<br />

Kushikilia Upendo daima moja kwa mwingine: 1 Petr. 4:8.<br />

Kujenga Umoja wa kiroho<br />

Kuonyesha Heshima moja kwa mwingine: Warum. 12:10.<br />

Kukubaliana moja kwa mwingine: 2 Wakor. 13:11.<br />

House churches<br />

become strong<br />

through relational<br />

expressions of love.


Kuishi katika umoja: Warum. 12:16 (ona Warum. 15:5).<br />

Kutawadha miguu moja kwa mmoja: Yoh. 13:14.<br />

Kusalimiana moja kwa mwingine kwa busu takatifu (kwa tamaduni zingine<br />

inaudhi): Warum. 16:16; 1 Wakor. 16:20; 2 Wakor. 13:12; 1 Petr. 5:14.<br />

Kukuwa wenye amani moja kwa mwingine: Mark 9:50.<br />

Kutokosoana moja kwa mwingine: Warum. 14:13.<br />

Kutosemeane mabaya moja kwa mwingine: Yak. 4:11.<br />

Kutonung'unikiana moja kwa mwingine: Yak. 5:9.<br />

Kuchukuliana (kuvumiliana) moja kwa mwingine: Waefe. 4:2.<br />

Kunyenyekeana moja kwa mwingine: Waefe. 5:21.<br />

Kwa Upendo, kukuwa watumwa moja kwa mwingine: Wagal. 5:13.<br />

Kukuwa na umoja, huruma, na kupendana moja kwa mwingine: 1 Petr 1:22.<br />

Kujivika unyenyekevu katika kazi zenu na wengine: 1 Petr 5:5.<br />

Kuujenga Mwili<br />

Kutiana moyo na kujengana moja kwa mwingine: 1 Wathes. 4:18 na5:1, 11.<br />

Kuchocheana upendano moja kwa mwingine na matendo mema. Waebr. 10:24.<br />

Mkutane pamoja, kutiana moyo moja kwa mwingine Waebr. 10:25.<br />

Kufurahi pamoja: 1 Wakor. 12:26.<br />

Kuja pamoja, mwingine na wimbo, somo, ufunuo, ndimi au ufasiri:<br />

1 Wakor.14:26.<br />

Kukaribishana moja kwa mwingine: Warum. 15:7.<br />

Kuwa wakarimu moja kwa mwingine: 1 Petr 4:9.<br />

Kuungama dhambi zetu moja kwa mwingine na kuombeana Yak. 5:16.<br />

Kuteseka pamoja: 1 Wakor. 12:26.<br />

Kufanya kazi pamoja: 1 Wakor. 3:9; 2 Wakor. 6:1.


Mambo…<br />

“<strong>Makanisa</strong> ya ki-sungura na ya ki-ndovu”<br />

Kipimo kidogo cha Makundi huwaruhusu wengi hushiriki. Katika jamii nyingi watu huja kwa<br />

Yesu kwa urahisi sana katika makundi madogo.<br />

Mamlaka yaliyo na uadui kwa wakristo huonea makanisa yanayo kutakana nje ambayo<br />

“hayajasajiliwa”<br />

Ni rahisi kuifikia jamii yote kwa kukutana nyumbani mwao<br />

Watoto wanaweza kuchukua sehemu zaidi ya utendaji katika ibaada na hivyo kujua kuwa<br />

wao ni sehemu muhimu ya mwili wa Kanisa.<br />

Pesa ambazo hazitumiki kwa mijengo zinaweza kutumika kutuma wapandaji makanisa<br />

kuzalisha mikutano.<br />

<strong>Makanisa</strong> madogo huzalisha kwa urahisi kwa sababu hawajakua taasisi; hawaja kuwa na<br />

vifaa vya gharama na tamaduni ambazo ni ngumu kupitiliza kwa makanisa yao madogo.<br />

Mikutano ya “Ki-sungura” huzalisha zaidi sana kwa haraka. Waumini katika mikutano midogo<br />

ya kadiri huleta watu wengi mara nyingi kwa Kristo kuliko hesabu iyo hiyo ya waumini wa<br />

makanisa ya “Ki-ndovu.”<br />

Matumizi<br />

NDOVU<br />

Hukomaa katika miaka 18<br />

Mtoto mmoja kwa kila kutungwa<br />

mimba<br />

Yenye uwezo wa kuzaa mara nne<br />

kwa mwaka.<br />

Muda wa ujauzito ni miezi 22<br />

Jamii yaweza kukua kutoka 2 hadi 3<br />

katika miaka 3<br />

SUNGURA<br />

Hukomaa katika miezi minne<br />

Kwa kadiri ya watoto 7<br />

Yenye uwezo wa kuzaa karibu kila<br />

mara<br />

Muda wa ujauzito ni mwezi mmoja.<br />

Jamii yaweza kuzalisha hadi millioni<br />

476 katika miaka mitatu.<br />

Usigawanye kikundi kirahisi katika vipande viwili. Fundisha viongozi wapya wakati kikundi kingali<br />

kidogo. Kinapokua, pata mmoja au wawili wa hawa viongozi wapya kuanza makundi mapya,<br />

wakiwachukua wengi wa hao ambao wanataka kwenda nao.<br />

Kumbuka<br />

Kanisa linaweza kuwa la ki-sungura na la Ki-ndovu ikiwa litaachilia makundi ya chembe hai kuzidisha<br />

na kuwa vikanisa vidogo ndani ya lile kubwa.<br />

Kanisa – kwa kiwango chochote - “halipandwi” hadi lifanye huduma ambazo Mungu anataka za<br />

kanisa. Kiongozi wa Kanisa la ki-sungura ni mwalimu wa kweli iwapo tu yeye anawasaidia wengine<br />

kufanya huduma. Kufundisha tu sio kuongoza.


Vidokezi vya kuchunga … Mbwa Mwitu!<br />

<strong>Paul</strong>o alionya kuwa mbwa mwitu watatokea ndani na nje (Matendo<br />

20:28-31).<br />

Mbwa mwitu kutoka ndani ni yule muumini aliye potoka<br />

Mbwa mwitu kutoka nje ni wasioamini wanaofundisha imani isiyo<br />

sahihi.<br />

Kabiliana na mbwa mwitu kwa haraka na kwa udhabiti.<br />

Jinsi ya kutambua “Mbwa Mwitu” ….<br />

o Meno makali. Yeye huonekana wa<br />

kupendwa na rafiki sana, mwanzoni.<br />

o Masikio yaliyoinuka juu. Yeye ni msikilizaji bora. Haswa<br />

yeye husikiliza ukosoaji wa viongozi wa kundi walio wa maana.<br />

o Makucha laini. Hunyemelea kwa ustadi kwa dirisha<br />

badala ya mlango,yaani, bila kualikwa na kiongozi halisi.<br />

o Mdomo Mkubwa. Atakuja kwako na tabasamu ya mwanga<br />

wa ghafla iliyopakwa rangi.<br />

o Macho yakubadilika badilika. Yeye hufanya urafiki na<br />

wanakondoo wadhaifu na kondoo zisizo hudumiwa.<br />

o kudondoka Mate.Njaa isiyotosheka, yeyé husongea wakati<br />

anakosa wanakondoo wa kumaliza.<br />

o


Yesu ndiye anayetawala na Bwana, wala sio wewe.<br />

I PETRO 5: 1-3<br />

Nawasihi wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao,na<br />

shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu<br />

utakaofunuliwa baadaye;lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu,<br />

na kulisimamia,si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu<br />

atakavyo;si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo.Wala si<br />

kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao,bali kwa kujifanya<br />

vielelezo kwa lile kundi.


Vidokezi vya kugawanya mamlaka yako na wanafunzi<br />

wako. ….<br />

Watie moyo waumini wapya kukaribisha kwa muda mikutano ya vikundi.<br />

Ruhusu waumini wapya kushiriki tangu mwanzo.<br />

Watie Moyo waumini wapya kuimarisha huduma mpya kulingana na mahitaji<br />

ya eneo.<br />

Rahusu makosa<br />

Elekeza mafundisho yote kuelekea Yesu kama Bwana.<br />

Shikilia watenda kazi wapya kwa tumaini la kuwa wazee.<br />

Omba neema ya kufanya kazi ya huduma kwa muda, ukiwapa watu wengine.<br />

Ifanye yote kwa kujitolea na sio ya kisheria


Orodha ya kuchunguza silaha za Kiroho <br />

Fanyiza kundi lako silaha zote za Mungu kila nukta. Kama Petro anavyosema, “Mioyoni mwenu<br />

mtenge Kristo kama Bwana” ( 1 Pet. 3:15)<br />

Kuvaa Kweli kama mshipi. Yesu ni njia yetu, kweli yetu na Uzima wetu (Yohana 14:16)<br />

Kukuwa na “vazi lisilopenyeza risasi” ni dirii ya haki. Yesu ndiye dirii yetu ya haki: “Na<br />

Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu I<br />

hai, kwa sababu ya haki.” (Warum. 8:10)<br />

Kuvaa viatu vyetu vya amani vya kutupeleka popote, vikibeba Injili ya amani kwa<br />

wengine. Yesu mwenyewe ni “amani yetu.” (Waefe. 2:14)<br />

Kushikilia ngao ya imani ambayo inakinga mishale ya moto ya shetani. “Mimi ni ngao<br />

yako, na dhawabu yako kubwa sana.” (Mwa. 15:1)<br />

Kulinda vichwa vyetu na chapeo ya wokovu inayotulinda hadi milele. Yesu ni wokovu<br />

wetu: “Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye;<br />

maana yu hai sikuzote ili awaombee.”<br />

Kutahabibu upanga wa roho, amabo ni neno la Mungu<br />

Kudumisha mawasiliano ya daima na mkuu wetu wa Jeshi, kuomba tukiwa macho na<br />

kuombea. Mwimbaji wa zaburi anatamka kwa mshangao “Badala ya upendo wangu<br />

wao hunishitaki, ijapokuwa naliwaombea.”(Zab. 109:4).


Pingamizi kutoka kwa bwana mapokeo<br />

1. “Lazima tuache makutano kukomaa na yenye nguvu kabla ya kuanza nyingine mpya.”<br />

2. “Mikutano mipya lazima ikubaliane na dhehebu letu la pekee na sheria. Amasivyo<br />

mambo hayataenda vyema – utawala wangu.”<br />

3. “Makundi mapya lazima yawe na jengo la ibaada, watoa zaka waliokomaa na ibaada<br />

nzuri.”<br />

4. “Ni viongozi wa kanisa walioelemishwa vyema wanaweza kuongoza sakramenti.<br />

Amasivyo mabatizo hazitakuwa halali na meza ya Bwana itafanywa kwa njia isiyostahili.”<br />

5. “Ni muhimu kwamba mabo yote yafanywe kwa “Heshima na katika utaratibu.” Ama<br />

sivyo watu ambao hawajafundishwa watasababisha shida...”<br />

6. “Viongozi wote wa mikutano lazima kufikia sifa za juu zilizowekwa na Afisi kuu ya<br />

dhehebu.” Hii inataka tu waliowekwa wakfu, viongozi wa mishahara.”<br />

7. “Washiriki wote lazima wakutane kusikiliza ujumbe kamili kwa wahubiri waliofuzu.”<br />

8. “Lazima tuimarishe shule za Biblia na washa ambapo waalimu bora wanaweza<br />

kufundisha viongozi wa siku zijazo kwa mpango.”<br />

9. “kila mkutano mpya lazima udhibitishwe sawa sawa na makao makuu ya dhehebu na<br />

kushika mwongozo wake – mwongozo wangu.”<br />

Itiko za bwana mapokeo<br />

1. “Vijana huzalisha shauku. <strong>Makanisa</strong> mapya huzalisha makanisa mengi<br />

mapya.”(Epaphras)<br />

2. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kutii Kristo kwanza na baadaye<br />

wachungaji.”(Christ and Jews).<br />

3. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kuingia nyumbani mwa wanaotafuta kuokoka.<br />

<strong>Makanisa</strong> yanaweza kuzuia kuwafikia wasioamini wapya.”(Peter & Cornelius)<br />

4. “<strong>Makanisa</strong> ya kale yaliwabatiza waumini wapya bila kuchelewa.”<br />

5. “Ndiyo, Mungu ni Mungu wa utaratibu, lakini pia uhuru wa hiari kuongozwa na roho.<br />

( 1 Kor. 14:24-26). “Ni kwa uhuru kwamba Kristo alituweka huru.”<br />

6. “Sifa za Kibiblia – Ndiyo! Sifa za kibinadamu kama za upili.” (<strong>Timothy</strong>)<br />

7. “Hubiri – Ndiyo. Lakini lenga kuwa watendaji wa neno.” (Timotheo)<br />

8. “Kukua haraka kwa kanisa kwa uchahe wa kanuni. Makundi ya ujana lazima yabaki<br />

huru kwa mafundisho ya uchungaji kwa kuitikia mahitaji ya haraka ya makanisa mapya<br />

na viongozi.” (Tito)<br />

9. “Kudhibitishwa – ndiyo, lakini sio kutawaliwa sana katika mambo madogo madogo,<br />

kama vile kusimamiwa kudogo sana.” (Tito)


1.Mfano wa Antiokia<br />

Mifano nne ya kupanda kanisa.<br />

Ushirika wa kutuma unaotuma kikundi<br />

kidogo kwa viwanja vya mbali (Matendo<br />

13-14). Kikundi hiki cha kusafiri kilitoka<br />

jimbo moja hadi lingine, likianza makundi<br />

ya kwanza machache katika kila jimbo.<br />

Walikaa katika jimbo kwa muda mrefu wa kutosha kuimarisha viongozi,<br />

au walirudi huko kwa muda mfupi kufanya hivyo. Kikundi hakikukaa<br />

kuongoza mkutano. Bali, walienda kwa maeneo mengine yaliyopuuzwa<br />

au kurudi kwa kanisa lililo watuma.<br />

2. Mfano wa Joppa<br />

Kanisa la Nyumbani lilituma wasaidizi pamoja na Petro kwa safari fupi<br />

fupi kuanzisha kanisa la karibu.<br />

3. Mfano wa Biashara<br />

Akila na Priska walitumia biashara ndogo kuanzisha<br />

makanisa katika maeneo yaliyopuuzwa. Na <strong>Paul</strong>o<br />

alifanya hema kujihimili mwenywe. Andiko<br />

ladhihirisha kuwa walifanya haya katika Rumi,<br />

Korintho na Efeso. Waliacha makanisa yao ya asili kabisa, wakienda<br />

kutoka mji hadi mji, wakikusanya makundi ya nyumba kwa nyumba.<br />

4. Mfano wa miji ya Magharibi.<br />

Kundi kubwa la wastani huondoka kabisa kutoka kwa kanisa la<br />

nyumbani kuanzisha kanisa ndogo la karibu, katika tamaduni zao hizi<br />

hizo, kawaida na viongozi wenye ujuzi wa juu, wenye mishahara.<br />

Mkutano wenye hesabu kubwa ya washiriki wanaweza kutuma<br />

kikundi kikubwa cha kutosha kumuajiri mchungaji kuanzia mwanzo,<br />

kuhifadhi mtindo wa ibaada kama ile ya kanisa la nyumbani.


Urahisi katika Ibaada<br />

“Viongozi wa ibaada wasio na busara huenda kwa<br />

maringo kama tausi dume, wakichanganya ibaada na<br />

uigizaji na burudani! Waabudu wa kweli huingia katika<br />

uwepo wa Mtakatifu mkuu.”<br />

Ibaada inahusisha kupanga vyema mapema.<br />

Ibaada inahusisha kufundisha vyema: 1) utendaji kazi &2) kwa<br />

msingi wa uchaguzi wa wazo la menyu.<br />

Viongozi wa ibaada wenye busara hawajaribu kuburudisha<br />

wasikilizaji.<br />

Kwa makanisa madogo ya nyumbani, weka mpaka wenye<br />

msimamo wa wakati wa kuanza na kumalizia. Hii inafidia kwa hali isiyo<br />

ya kawaida ya manyumba za kibinafsi.<br />

Orodha ya kuchunguza ya vitu vya lazima/muhimu vya<br />

ibaada<br />

Sifa ambazo zingeimbwa, somwa, sifia, semwa, za kujianzia, chezwa,<br />

dhihirishwa njia mbali mbali kwa hali ya mwili, n.k.<br />

Maombi ambayo yangedhihirishwa kwa umbo mbali mbali ya nje.<br />

Kuhubiriwa kwa Biblia, kusomwa, kujadiliwa, kuigiza, n.k.<br />

Kutoa pesa, wakati, chakula, n.k.<br />

Ungamo la dhambi na hakikisho la msamaha<br />

Meza ya Bwana.<br />

Kupenda ushirika kati ya waumini.


Vidokezi vya kushauri viongozi wapya.<br />

Fundisha viongozi wapya “kisiri.” kama alivyofanya Akila na Priska na<br />

Apollo (Matendo 18:24-28)<br />

“Kama mbio ya kupokezana, wapatie wengine<br />

kifimbo cha Umitume cha mamlaka, ujumbe na<br />

waajibu, kama <strong>Paul</strong>o alivyofanya. Shikilia nuru ya<br />

kifimbo. Fanya kazi ya Bwana rahisi kwa kuchukua na<br />

kupeana kwa wengine. Onyesha wanafunzi wako<br />

jinsi ya kuwa “watendaji wa neno, sio wasikilizaji tu.”<br />

Usilenge mwanafunzi pekee, bali pia lenga kondoo anayewachunga<br />

Kuwa mfano- ili wanafunzi waweze kukuiga.<br />

Tadhmini mafundisho kwa matokeo yanayoonekana kwa maisha ya<br />

wanafunzi.<br />

Makosa ya kawaida<br />

o Kukosa kupeana kifimbo haraka iwezekanavyo, kutawala sana na kwa muda<br />

mrefu.<br />

o Kutumia vyombo vya gharama au vya staarabu.<br />

o Kuwa mkarimu sana kwa pesa za kutoka nje ambazo waumini wanategemea<br />

kushindwa kumtegemea Mungu.<br />

o Kutumia mtindo wa mafundisho na ibaada inayohitaji elimu ambayo viongozi<br />

wa taifa wamekosa.


Kweli au uwongo<br />

Vidokezi vya kufanya wanafunzi<br />

Fanya wanafunzi, kuwafundisha tu kila kitu cha mafundisho<br />

ya dini kuhusu kila jambo hai la kiteolojia. Kweli? ( ) Au<br />

Uwongo? ( )<br />

Yesu alisema kufanya wanafunzi kwa kuwafundisha kumtii<br />

yeye juu ya vyote. Kweli? ( ) Au uwongo? ( )<br />

Ambacho sio kufanya wanafunzi...<br />

Kufanya sio tu mmoja kwa mmoja. Ingawa kufanya hivyo<br />

haikataliwi, fanya kama Yesu alivyofanya kwa kawaida<br />

kufanya kazi na wanafunzi kumi na wawili, wakati mwingine<br />

watatu na mmoja kwa mara chache.<br />

Kufanya wanafunzi sio tu kuwasaidia waumini wapya katika<br />

maisha yao ya kiroho wala kufundisha mafudisho ya kidini<br />

ya Biblia. Yesu na Mitume wake walifanya wanafunzi kuwa<br />

viongozi wa nguvu pia na watafutaji, waumini wapya, na<br />

watakatifu wakukua, kwa kuwafundisha na kwa kuunda<br />

maisha ya Ufalme na ujuzi.<br />

Kufanyika wanafunzi ni...<br />

Kufanya Wanafunzi wa Agano Jipya lazima kudhibitisha<br />

uhusiano wa juu.<br />

Kufanya wanafunzi wa Agano Jipya huleta utiifu kwa Bwana<br />

kabla ya vyote.


Vidokezi vya Kazi ya kuigiza<br />

Shikilia kazi ya kuigiza kwa muhtasari na fupi na<br />

inayolenga. Tenda tu kwa pointi za hadidhi ya<br />

Biblia; usiongeze vitu eti unaigiza.<br />

Usikariri mistari, isipokuwa mawazo au pointi<br />

kuu tu.<br />

Usiache kazi ya kuigiza kuvurutwa sana.<br />

Hakikisha kuwa kila mwanafunzi ana nafasi ya kutosha<br />

kushiriki katika njia fulani za kuiga na kazi ya kucheza.<br />

Fanya hiyo kila mara – tunajifunza kwa kusikia, kuona,<br />

kutenda na kutumia.<br />

Fanya kuwasilisha kuwa rahisi. (hakuna<br />

kutegemewa)<br />

Yeyote anaweza kushiriki – watoto, watu<br />

wazima, n.k.<br />

Kuwa na burudani! Washiriki watakumbuka kile<br />

wanona na ya uzoefu, zaidi kuliko yale wanasikia tu kutoka<br />

kwa jukwa.


Vidokezi vya hadidhi na Vichekesho<br />

Simulia hadidhi ambazo zinazofaa kwa wote<br />

Onyesha kihistoria na kibiblia hadidhi kwa kusoma, kukariri,<br />

kuimba kuigiza na kazi ya michezo. Kumbuka kuwa watu<br />

hukumbuka hadidhi kwa muda mrefu. Kazi ya michezo haiingi<br />

tu katika kumbu kumbu za ubongo, lakini pia mahali ubongo<br />

unahifadhi sura na sauti.<br />

Tumia umbo za sanaa, alama, drama na mitindo ya muziki.<br />

Fundisha wanafunzi wapandaji wapya kuweka aina mbali mbali iliyo sawa, kwa<br />

usahihi kuliko ukumbi wa mafundisho, ambao unaweza kuchosha. Fundisha wengine<br />

sio kupitia kwa maelezo bali katika maonyesho.<br />

Mifano ya hadidhi za Biblia kwa vichekesho: Gharika (Mwa. 6-9)<br />

Waisraeli waaminifu waliwaua wale walio kataa kubadili msimamo wao katika<br />

sanamu. (Kut. 32)<br />

Mashindano kati ya Eliya na manabii wa Baali kwa mlima kameli (1 Wafal. 18)<br />

Bwana aliwaadhibu wale walioabudu ndama ya dhahabu (Kut. 32-33)<br />

Mapigo kumi katika Misri na kugawanyika kwa bahari ya shamu ili watu wake wavuke.<br />

(Kut. 1-15)<br />

Adamu na Hawa katika Edeni (Mwa. 3) au Kaini na Abeli (Mwa. 4).<br />

Pasaka ya Mwana kondoo katika kutoka (Kut. 11-13).<br />

Mtakatifu kuwachoma Nadabu na Abihu walipoingia kwa uwepo wake bila damu<br />

(Walawi 10)<br />

Dhabihu ya Yesu juu ya Mslaba (Mat. 26-27)<br />

Alidai kuwa mwana wa Mungu na baadaye akafufuliwa na yule wa milele kutoka kwa<br />

mauti (Mariko 14-16)<br />

Baba anamtambua Yesu kama mwana wake wakati wa ubatizo (Mat.3)


Kuteseka wakati wa majaribu na kusulubishwa ( Mark 15; Luka 22-24; Yohana 18-20).<br />

Yohana Mbatizaji anatangaza msamaha kwa wale wameungama dhambi zao (Mat. 3).<br />

Yesu alisamehe watu wabaya sana lakini akawaonya Mafarisayo waliotumaini<br />

matendo yao mema kwamba hawajaingia katika ufalme wa Mbinguni (Mat. 9 na 21:<br />

28-45)<br />

Yesu amsamehe aliyepooza ambaye hakuwa amefanya chochote kwa uwezo wake<br />

kuja kwa Yesu (Mar. 2)<br />

<strong>Paul</strong>o aliahidi wokovu kwa jamii yote ya mlinzi wa gereza aliyeamini, kabla hata<br />

hawajasikia Injili (Matendo 16:31).<br />

Malaika walitangaza kuzaliwa kwa Yesu kwa wachungaji (Luka 2)


Vidokezo vya kuteua wasaidizi wa Jimbo wa upandaji kanisa<br />

Swali: “Tito alikuwa na kazi gani kama msaidizi? Alisimamiaje makanisa machanga<br />

yaliyohitaji msaada?”<br />

JAWABU: <strong>Paul</strong>o alimfundisha Tito kuweka utaratibu kwa yale yaliobaki kufaywa, na<br />

kuteua wazee katika kila mji.<br />

VIDOKEZO VYA UTENDAJI<br />

Ilimbidi Tito awafundishe hawa wazee wachungaji kondoo; waraka<br />

unaosalia ulimpa mwongozo wa jinsi ya kufanya.<br />

Ilimlazimu Tito kugundua huduma zipi zilikosekana katika makanisa, ili<br />

azishughulikie. Kutambua kilichosalia katika makanisa inataka<br />

usikilizaji kutoka kwa viongozi wao wanaofundishwa, wanavyo ripoti<br />

makanisa yao hufanya nini na yale wasiofanya.<br />

Inasaidia kujua orodha ya huduma zinazotakikana na Agano Jipya, wakati mwingine<br />

anashauri viongozi wapya, na kuwasaidia kuchagua kinachohitajika sana kwa haraka.<br />

Kumbuka kwamba kazi za msaidizi wa jimbo ni:<br />

Kuwa na karakana au msururu wa mikutano kuwa na mafundisho ya uchungaji katika<br />

maeneo yaliyopuuziwa.<br />

Tafuta na kufundisha wakufunzi wengi kati ya viongozi, Mfano wa ujuzi unaohitajika kushauri<br />

viongozi wengine.<br />

Peana vifaa vinavyo elekea kushauri viongozi wapya (Kwa kiwango chao),<br />

na kwamba ulenge kuzidisha makanisa.<br />

Fanya makanisa kuzidishwa, kwa kuwasaidia wanofundishwa kushauri<br />

viongozi wapya.<br />

Weka rekodi ya ni nani anayemshauri nani, wapi, na kwa matokeo gani. Kwa ramani kubwa<br />

ya Jimbo na majina ya washauri waliotumwa juu yake yaweza kuwa ya msaada sana.<br />

Kusanya habari ya watu waliopuuziwa, wa nafasi za mafundisho, na wa mikutano mipya.<br />

Tumia habari nzuri ku 1) Omba 2) panga na 3) kutarifu makanisa ili waweze kuomba, pia.<br />

Panua kazi kwa watu wale wamepuuziwa na majimbo, kuruhusu watenda kazi pamoja<br />

kusaidia kupanga mikutano ya kuwafikia.<br />

Panga tena mtandao wa mafundisho (na/au minyororo ya uhusiano) ushauri unapokoma<br />

kwa sababu yeyote.<br />

Ongeza wasaidizi zaidi ..


Wenye shauku na uwezo wa kufanya mafundisho ya uchungaji na washauri.<br />

Kutohusika sana katika huduma zingine, ambazo zaweza kukufuruga<br />

Uwezekano wa kushikilia kuifanya kwa miaka mingi (sio cheo cha kuchaguliwa kwa muda)<br />

Pia:<br />

1) Epuka kuvunjika kwa mawasiliano<br />

2) Epuka kutokuwa na shabaha<br />

3) Epuka kuchelewa isiohitajika<br />

4) Epuka sharia nyingi ndogo ndogo zisizo la lazima.<br />

Vidokezi vya wasaidizi wa Jimbo<br />

Chunguza ni makundi hani ya watu na ni wapi wamepuuziwa katika jimbo, na kufanya mipango ya wanafunzi<br />

kuingia maeneo hayo.<br />

Washauri viongozi wa kanisa mpya.<br />

Wasaidie wengine kuwatambua pia na kuwashauri wanafunzi wapya.<br />

Fundisha wengine pia kuwa wasaidizi kiasi kwamba wanfanya kama walivyoonyeshwa.<br />

Inua huduma zote za Agano Jipya katika makanisa mapya.<br />

Peana vifaa vya mafundisho<br />

Andaa washa, lakini usizitegemee<br />

Tadhmini matokeo ya uwazi.


Muhtasari za kuongezea<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

_________________________________________________________________________________<br />

________________________________________________________________________________


Kuhusu Mwandishi<br />

O’Connor na Currah katika Rahim Yar Khan, Pakistan<br />

Galen Currah, aliyefanya startachurchnow.com amehudumu kama mkurufunzi na mshauri na<br />

watenda kazi katika nchi kadhaa. Yeye ni ndiye chanzo cha kweli cha kujifunza juu ya utendaji CPMs<br />

kadhaa. Ingawa alistaafu, Galen anaendelea kusafiri na kufundisha ulimwenguni, na umbali wake ni<br />

barua pepe kutoka kwa uwekezaji wa dhamani wa watenda kazi wa CPM wanaotilia maanani amri<br />

ya Kristo ya kwenda na kufanya wanafunzi. Kuwasiliana na Galen: galencurrah@paul-timothy.net<br />

Patrick O’Connor, D.Miss., na mke wake Debbie walianzisha mwondoko mpya wa kusisimua wa<br />

makanisa ya mashambani, Hondua mashariki, walipohudumu kutoka 1993 hadi 2009. Wakiwa<br />

wamekulia Bihar, India, Patrick sasa amerudi “Asia na zaidi” katika shirika la Action International.<br />

Anafundisha wengine katika nchi zaidi ya 20. Ingawa kituo chake ni karibu Seattle, Patrick na Mkewe<br />

Debbie husafiri na kufundisha sana. Kuwasiliana na Patrick, mwandikie kwa: scn.patrick@gmail.com


Udhibitisho<br />

“Chochote kinachotoka nje ya uzizi wa Galen Currah na Patrick O’Connor lazima ni kile kinachohitajika.<br />

<strong>Kuanza</strong> kanisa sasa ni kitu ambacho kila mpanda kanisa anahitaji kuwa nacho mkononi kama kitabu cha<br />

jawabu kwa FAQs wote ambacho yeyote angeuliza au kufikiria. Ninahakika kuwa hii itaenda sambamba<br />

katika CPMs kote ulimwenguni.” Victor Choudhrie, MD, Mwandishi wa "Kanisa katika nyumba yako", India.<br />

“Hii imekusudiwa kuchochea mapinduzi ya Falme inayofunuliwa katika siku zetu: Kugundua tena uzalishaji<br />

wa Agano Jipya “uliobadilisha ulimwengu juu chini.” Robby Butler, The Mission Network, USA.<br />

“<strong>Kuanza</strong> makanisa sasa inapeana ushauri wa uzoefu kwa wapandaji makanisa ambao hawavutiwi na<br />

makanisa makubwa, mifumo mikubwa. Miaka mingi ya hekima imejawa na misemo wazi, na vifaa vya<br />

msaada vinapeanwa kwa njia za kupanga upandaji kanisa na kufundisha. Ninakipendekeza kitabu hiki!”<br />

Robert Rasmussen, Mkurugenzi wa, U.S.A. Ministries of One Challenge International.<br />

“Hiki ni cha ajabu. Cha uzoefu.” Chet Burns, Church Planting Catalyst, Malawi, Africa<br />

“Kama ningekisoma miaka 50 iliyopita, ningeliepuka tani ya makosa.!” George K. Patterson, Mwandishi wa<br />

“Train & Multiply.<br />

“Kitabu hiki ni dhahabu ya kiroho. Ujumbe wake uko katika mstari wa mageuzo ya kanisa ya siku kuu ya leo<br />

kurudia kitabu cha Matendo kuwa Mung analeta ulimwenguni kote. Kitabu hiki kina misingi ya Biblia, rahisi<br />

kusoma, Uzoefu mkubwa, chenye hisia za utamaduni, na mikakati ya kulenga mavuno. Hiki ni chombo kikuu<br />

cha kukusaidia kuanza kizazi kipya cha kuzalisha makanisa ya nyumbani haijalishi unaishi wapi.” Dr. Rad Zdero,<br />

Mwandishi wa “The Global House Church Movement and Letters to the House Church Movement.”<br />

“Usiwalete watu kanisani – leta kanisa kwa watu! Kanisa nitapofanyika la uhai kama donge chahu<br />

litajitengeneza lenyewe kwa donge lote. Mruhusu Patrick na Galen wakufundishe jinsi ya kuchukuwa hatua<br />

ya uzoefu kuona kuwa infanyika katika eneo lako!” Wolfgang Simson, Germany. Mwanzilishi wa Nyumba<br />

“That Change the World” and “The Starfish Manifesto.<br />

“Kikundi chetu katika Mongolia kilitumia kanuni za Biblia kirahisi zilizowekwa katika urahisi na umbo la nguvu<br />

katika kitabu unachokishikilia. Tulimuona Mungu akitembea katika Nguvu na mwanzo wa mwondoko wa<br />

uzalishaji wa makanisa na kazi za Mongolia zinaendelea leo, karibu miaka ishirini baadaye.kazi ya Mungu<br />

inayofanywa kwa njia ya Mungu haitapungua matokeo ya Mungu.” Brian Hogan, Mwalimu wa upandaji<br />

kanisa na mwandishi wa "There's a Sheep in my Bathtub: Birth of a Mongolian Church Planting Movement<br />

“Anza makanisa sasa! Ni chombo rahisi, kinachofaa na cha uzoefu sana kwa uzalishaji wa kanisa.” Xi Tey”, NE<br />

India<br />

“Wachungaji wahitaji ulimwenguni kote wanataka uzoefu, msaada wa kiBiblia katika kupanda makanisa. Hiki<br />

ndicho kitabu kwa utukufu wa Mungu.” Doug Nichols, Mwanzilishi wa, Action International<br />

“Nilijipata mwenyewe nikisema “Ndiyo!” kutoka kwa ukurasa hadi ukurasa nilipokisoma.” Felicity Dale.<br />

Mwandishi wa, An Army of Ordinary People; Mwandishi mwenza, The Rabbit and the Elephant!

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!