You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kuanza</strong> <strong>Makanisa</strong> <strong>Sasa</strong>
<strong>Kuanza</strong> makanisa sasa!<br />
Waandishi: Galen Currah and John Patrick O’Connor<br />
Kutoka kwa vifaa vya Galen Currah, mwandishi wa www.startachurchnow.com<br />
na Patrick O’Connor, Waandishi wa<br />
Reproducible Pastoral Training<br />
William Carey Library, 2006<br />
Kitabu hiki kinaweza kutolewa na kupeanwa bure.<br />
Please note source, if utilized.<br />
Copyright © 2011 Galen Currah and John Patrick O’Connor<br />
To download Start Churches Now <br />
English = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011.pdf<br />
Spanish = http://paul-timothy.net/docs/inicie_iglesia_ya_1-nov-2011_es.pdf<br />
Nepali = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011_nepali.pdf<br />
Khmer = (Still being placed to cyberspace / in process)<br />
Kiswahili = www.scm-action.org<br />
Kwacha =<br />
Thai =<br />
French =<br />
Ingawa kitabu hiki kinalenga baraka na faida za makanisa madogo ya<br />
nyumba kwa nyumba, tunamsifu Bwana kwa yale makanisa makubwa yanayo<br />
simama imara, nuru ya muda mrefu kwa injili katika jamii ulimwenguni kote.<br />
Bado, kwa kila kanisa kubwa linalo mwogopa Mungu, ulimwengu wetu pia<br />
usio na tumaini unahitaji mamia ya makanisa madogo madogo.
Kanuni<br />
Kanuni #1- Fikiri kwa udogo ...............................................................<br />
Kanuni/ #2 - Hudumu kwa Haraka .....................................................<br />
Kanuni/ #3 – Hifadhi Ki-biblia.............................................................<br />
Kanuni #4 - Iweke rahisi .....................................................................<br />
Kanuni #5 – Linda Maelekezo-utii ......................................................<br />
Kanuni #6 – Fundisha Viongozi ..........................................................<br />
Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji ............................................................<br />
Kanuni #8 - Chunga vizuizi .................................................................<br />
Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako .......................................................<br />
Kanuni #10 – Tumia “Menyu” (Orodha ya vyakula) Unaposhauri<br />
“Menyu” ya Mafundisho ya Mazoezi ya kupanda kanisa..................<br />
Maandiko ya Biblia 31 ya kuanza makanisa mapya ...........................
Miisho<br />
Orodha ya Agano Jipya .......................................................................<br />
Amri za “Mmoja kwa Mwingine” .......................................................<br />
<strong>Makanisa</strong> ya “Kisungura”na ...............................................................<br />
<strong>Makanisa</strong> ya “Kindovu” ......................................................................<br />
Vodokezi vya kushiriki mamlaka yako na<br />
Wanafunzi wako Kweli .......................................................................<br />
Matumizi ............................................................................................<br />
Kumbuka ............................................................................................<br />
Vidokezi vya kuchunga Mbwa Mwitu!..........................................<br />
Yesu ni mtawala na Bwana .................................................................<br />
Sio wewe ............................................................................................<br />
Orodha ya kukagua silaha ya rohoni ..................................................<br />
Katazo za Mazoeo ya Ubwana ............................................................<br />
Itikio za Mazoeo ya Ubwana ..............................................................<br />
Mifano Minne ya kupanda kanisa ......................................................<br />
Urahisi katika Ibaada ..........................................................................<br />
Vidokezo vya kushauri viongozi wapya ..............................................<br />
Vidokezo vya kufanya Wanafunzi .......................................................<br />
Vidokezo vya Maonyesho ...................................................................<br />
Vidokezo vya kuteua sehemu .............................................................<br />
Wasaidizi wa kupanda Kanisa ............................................................<br />
Vidokezi vya Waratibu wa mahali ......................................................<br />
Kuhusu Mwandishi .............................................................................
Kanuni #1- Fikiri Kwa udogo<br />
Kanisa Ndogo la Nyumbani lawezakuboresha.....<br />
Kunufaisha mmoja kwa mwingine kutokana na karama zao kwa<br />
kufanya kila muumini kuhudumia wengine. Karama zingine husaidia<br />
mmoja kwa mwingine kunena maneno ya kutia moyo kutoka kwa roho wa Mungu;<br />
zingine huwasaidia kuhudumiana kwa uzoefu.<br />
Tafuta upendo usio na sharti katika undani wa jamii kwa kuhudumu, kufundisha,<br />
kusaidia, kushauri, kutiana moyo<br />
Badilisha tabia na kuumba tumaini ndani yenu kwa kusaidiana kwa kutubu mnapo<br />
kosa,kusamehe mnapo kosewa, kuombeana na kufundishana kutokana na Agano<br />
Jipya. Tayarisha “orodha ya vyema” ya vitu hivi kwa kundi lako.<br />
Dai mamlaka juu ya giza na majaribu kwa kuomba kwa Mungu katika jina la Yesu<br />
na wote kupinga uwongo na majaribu ya Shetani<br />
Fanya ahadi za Mungu kuwa kweli kwa kukubaliana mmoja kwa mwingine mnapo<br />
omba kwa Mungu katika imani. Kuomba sirini katika makanisa makubwa, wengine<br />
hujisikia, hawana nguvu sawa sawa za undani<br />
Ng'ota katika Nguvu zisizo za kawaida kwa kutii amri za Yesu katika njia ile<br />
ambayo wafuasi wa kwanza walifanya. Fanya mazoezi hivyo katika maisha ya<br />
wengine.<br />
Dumisha desturi ya utambuzi wako na dhamani unapo hudumia Yesu pamoja.<br />
Jifiche kutoka kwa siasa za uadui na mamlaka ya dini kwa kukaa wachache,<br />
mkitumia mbinu ya umbo-la-chini, kubadilisha maeneo mara kwa mara na kukaa<br />
katika utamaduni wa kundi sikilizaji.<br />
Pata ujuzi wa kweli wa uwepo wa Yesu kupitia maombi yanayojibiwa, meza ya<br />
Bwana, ushuhuda, dhambi zilizosamehewa, kujazwa Roho Mtakatifu.
Kanisa ndogo la nyumbani laweza kuzuia ….<br />
Ibaada ya kanisa isiyohusishwa na mtu maalum. Tunapokusanyika katika makanisa<br />
madogo, tunaweza kuona na kusema na mmoja kwa mwingine, kufanya kila mmoja<br />
kukaribishwa na kuonyesha wema.<br />
Ubaguzi wa dini. Watu kutoka kabila lolote na misingi ya dini wanaweza kuabudu Yesu<br />
katika makanisa mapya madogo. Marafiki zako, jamii na majirani wanaweza kuja bila<br />
uwoga.<br />
Kutazama na kusikiliza bila kuonyesha hisia. Kila mmoja anaweza kushiriki kivitendo<br />
katika kanisa ndogo, wakitaka.<br />
Mahubiri yasiofaa. Viongozi wa makanisa madogo ni marafiki wetu. Tunaweza<br />
kusemezana wazi kwa jambo lolote tunalopata kuwa la msaada na la kupendeza. Pia,<br />
swala la utambuzi wa wageni wa muda, iwapo viongozi wanatoka ng'ambo na uwezekano<br />
wa vikwazo vya tamaduni za mazoezi ya ibaada.<br />
Majengo ya Gharama, vifaa na wafanyikazi. <strong>Makanisa</strong> madogo mapya hayagharimu pesa<br />
zozote, hivyo tunaweza kutumia fedha zetu kuwasaidia maskini na wenye hitaji.<br />
Ugomvi wa elimu ya kiteolojia. Katika makanisa madogo, tunajifunza mafundisho ya Yesu<br />
na kufuata Agano Jipya bila mabishano juu ya maswala mengi madogo, yasiyo na<br />
umuhimu. <strong>Makanisa</strong> madogo huweka lengo juu ya ufahamu kwanza kwa Yesu kama Bwana,<br />
na mkazo mdogo juu ya ugomvi wa elimu ya teolojia.<br />
Hali ya kuonekana isiyohitajika katika nyakati za mateso. Yesu alisema kuwa<br />
inakulazimu kukimbia mateso, iwapo unaweza. Epuka shughuli za nje zenye kelele, na<br />
ondoa matangazo na ishara za umma.<br />
Fananisha mawazo ya juu kwa maandiko: Je! Niya kiBiblia na yanayoweza kuigwa?<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
Ni Jinsi gani Kiongozi wa kundi ndogo anaweza kuyatumia? Lini, Wapi, Na nani?<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________
Unawezaje kufundisha wengine kutumia hii?<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
Kwa ufupi, andika katika maneno yako mwenyewe yaliomo, matumizi na husisho la mwongozo<br />
uliopo hapo juu.<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________
Kanuni #2 – Hudumu kwa upesi<br />
Kwanini ni muhimu kwako kuanza kanisa mpya la Nyumbani?<br />
<strong>Makanisa</strong> ya kimapokeo hugharimu zaidi sana kuanza na kutunza. Mahali maelfu<br />
yanageuka katika imani kwa Yesu, mamia ya makanisa mapya lazima yaanzwe,<br />
sasa. Waumini wengi hawawezi kumudu makanisa makubwa, ila afadhali kutumia<br />
pesa zao kuwasaidia maskini na wahitaji.<br />
Dini na filosofia za uwongo zinaenea kwa kasi, na hakuna makanisa ya kutosha.<br />
Kazi yetu sio kutawala jamii wala kuwa dini tawala, bali kulowesha jamii kwa imani<br />
na upendo. Kwa kufanya hivyo, ni lazima tuendelee kuanzisha makanisa madogo<br />
mapya.<br />
Waumini wengi wanaacha makanisa makubwa na wanahitaji kuwa kwa kanisa.<br />
Viongozi wengi wamakanisa wanaojulikana sana wamepoteza imani yao au kukiuka<br />
sheria za Mungu.Wengine hawawezi kufanya makanisa yao yakupendeza au ya<br />
msaada kwa wengine. Lazima tuzoeze waumini kuwa makanisa madogo madogo<br />
yanayowasaidia kutii amri ya Yesu kwa upendo.<br />
Wasioamini hawatumaini makanisa makubwa, lakini wengi watakuja kwa zile ndogo.<br />
Katika nchi nyingi waandishi wa habari, wana sanaa na viongozi wa dini za uwongo<br />
wamekashifu makanisa kiasi kwamba inatulazimu kupeana makanisa mengi mapya<br />
ambayo katika hayo watu wanaweza kujifunza ukweli kuhusu Yesu.<br />
<strong>Makanisa</strong> yaliyopo hayawezi kujishughulisha na waumini wengi wapya. <strong>Makanisa</strong><br />
makubwa hayana viti vya kutosha, madarasa ya kutosha wala waalimu wa<br />
kuwasaidia waumini wengi wapya. Ni bora kunaza makanisa mengi madogo<br />
madogo na waumini wapya.<br />
Serikali nyingi hutafuta kukandamiza makanisa yanayoonekana wazi wazi. Nchi<br />
ambazo zinatambua dini kirasmi au siasa za kihimla huzuia makanisa makubwa<br />
kukua. Kwa hivyo waumini lazima waanze makanisa mengi madogo madogo<br />
yatakayo baki kutoonekana na kwenda wakati inalazimu.<br />
Viongozi wapya wanohitajika hutokea kwa haraka katika makanisa mapya madogo.<br />
<strong>Makanisa</strong> makubwa na shule za Biblia haziwezi kufundisha wafanyikazi wapya<br />
wakutosha. Katika kinyume chake, makanisa mapya madogo husaidiawatu wengi<br />
wa kawaida kuwa viongozi wa makanisa wa kufaa wanaoweza kusaidia kuwafunza<br />
viongozi wapya wengine, baadaye.<br />
Wafuasi wa Yesu walio ndani ya dini zingine wanahitaji makanisa yao mapya. Leo,<br />
maelfu wengi wa waisilamu, wahindu, wa budha na wa imani kuwa vitu vyote vina<br />
roho wanafanyika wafuasi wa Yesu bila kuacha jamii zao za dini. Hawa wanaweza<br />
kuanzisha makanisa madogo mapya.<br />
<strong>Makanisa</strong> madogo mapya huleta waumini wengi kwa Yesu kuliko makanisa<br />
makubwa.<strong>Makanisa</strong> madogo yanweza kuongezeka maradufu katika kipimo, na
yanaweza kuzaana kila mwaka. Wasioamini wanao tembelea makanisa madogo<br />
mara kwa mara huchagua kuwa waumini.<br />
Mara nyingi <strong>Makanisa</strong> madogo yanafurahisha, na kufanya wanafunzi kwa<br />
haraka.Kushirikiana na wengine ana kwa ana inafurahisha sana kwa wote wanao<br />
shiriki. <strong>Makanisa</strong> madogo husaidia washiriki wao wote kumpenda Yesu na kutii<br />
amri zake kwa njia za utendaji.<br />
Wakati serikali inafanya makanisa kuwa shirika zisizo halali, mtajua jinsi ya<br />
kuendelea kisiri. Mahali ambapo serikali na dini zinatesa wafuasi wa Yesu, waumini<br />
lazima waanze makanisa mengi madogo madogo na kuyasongeza kwingine mara<br />
kwa mara.
Kanuni #3- Ilinde Kibiblia<br />
Ni nini inahitajika kuanza kanisa la Nyumba?<br />
Usajili au ushirika na serikali. Serikali zingine zinataka vyama vyote<br />
kusajiliwa. Iwapo serikali yako itakukataza au kuku chelewesha usajili, au<br />
kama itawatesa, basi msijisajili.<br />
Mchungaji aliyewekwa wakfu au kuidhinishwa. <strong>Makanisa</strong> mapya yanahitaji<br />
kiongozi mmoja au wawili wakujitolea lakini sio Mchungaji. Kiongozi<br />
anayempenda Mungu, Biblia na wengine atapeana uongozi wote ambao<br />
kanisa lako linahitaji.<br />
Kanisa au ukumbi wa wa mikutano. Ni wazo la kwaida<br />
kuanza kanisa mpya katika nyumba ya mmojawapo wa<br />
washikiri, au mahali pengine popote ambapo washiriki<br />
wanajisikia faraja na salama.<br />
Idhinisho kutoka kwa kanisa la kwanza. Ingawa ushauri ni kupata baraka<br />
kutoka kwa kanisa la nyumbani, hakuna ruhusa inahitajika mbali na ile Yesu<br />
alisema, “Enendeni.” Bwana asifiwe, iwapo unapata baraka na idhinisho<br />
kutoka kwa kanisa lako. Endelea kukaa na kanisa hilo.<br />
Fedha na makadirio. <strong>Makanisa</strong> mapya hayagharimu kitu wala<br />
kuhitaji pesa. Washiriki wanaweza na wakati mwingine kutoa<br />
pesa au vitu vingine kusaidia maskini au kusaidia mradi<br />
uliokubalika.<br />
Washiriki wenye karama wanaoweza kuwasaidia wengine. Unahitaji washiriki<br />
wenye karama. Kila<br />
Waumini wapya, waliobatizwa. Yesu aliagiza wafuasi wake kubatiza wote<br />
watakao tubu. Wote unaobatiza hufanyika washiriki wa kanisa lako siku hiyo<br />
hiyo, au utawasaidia kuwa kanisa kanisa ndogo mpya.<br />
Meza ya Bwana. Kanisa lako mpya lazima lisherekee meza ya Bwana kila mara,<br />
kuruhusu waumini kushiriki pamoja na Mungu. Hakuna sifa kamili zinahitajika<br />
kwa wale wanahudumu meza ya Bwana. Ushirika una nguvu, lakini sio<br />
mazingaombwe.<br />
Mikutano ya hadhara au Ibaada. Inafurahisha sana na salama kukutana kila<br />
mara kama waumini na marafiki katika idadi ndogo. Anza mkutano mipya kama<br />
inavyo hitajika. Kati ya watatu na Ishirini na tatu ni kiwango kizuri cha kanisa.
Waimbaji wenye ustadi. Ni vyema kuabudu katika njia ambayo<br />
kila mmoja atashiriki na kuiga, kutumia umbo la utamaduni wa<br />
mahali<br />
Ujumbe Mrefu, kama njia msingi wa kufundisha. Yesu na Mitume wake<br />
walituachia mfano mzuri wa kufuata. Muda mwingi walifanya majadiliano,<br />
kusimulia hadidhi na kutaja Biblia zao.<br />
Waliobadili dini kutoka dini zingine. Ni halisi kamili kwa wale walio katika dini<br />
zingine kuweka imani yao katika Yesu na kuanza makanisa yao. Imani katika Yesu<br />
sio dini mpya; ni njia mpya ya maisha.<br />
Wafuasi wa Yesu. Yesu aliamuru wafuasi wake kuwasaidia wengine pia kunfuata.<br />
Wao hufanya hivyo kwa kueneza habari njema kuhusu Yesu, kubatiza wale wanao<br />
tubu, na kuwafundisha kutii amri zake zote.<br />
Kumbuka, wakati makanisa makubwa yanakutana na hitaji la uhai<br />
katika miji mikubwa, yakipeana umbo la wakati ule ule na<br />
mashindano mbali mbali ya huduma, hizi zinahitaji usajili wa<br />
Serikali, majengo, makadirio ya pesa na wafanyikazi. Mahali<br />
ambapo idadi ya watu inabaki isiojua habari njema, hitaji ni kwa<br />
“makanisa ya kisungura” madogo yanayozalisha kwa haraka<br />
yanayoweza kuzuia uzito wa kinaganaga wa shirika. <strong>Makanisa</strong><br />
makubwa yanaweza kupanda makanisa madogo mengi ambayo<br />
wasiookoka wanaweza kukutana na Bwana na kuumbwa haraka katika kuwa<br />
wanafunzi wapendwa, watiifu wakifikia matakwa ya kiBibilia tu.
Je! Tutaanzaje kanisa ndogo mpya?<br />
Kanunin #4 - Iweke kuwa rahisi<br />
1. Omba kila mara kwa Yesu, naye atakuongoza kwa hatua zote. Yesus<br />
Aliahidi kuwa atalijenga “Kanisa” lake na alituma Roho wake Mtakatifu kwa<br />
makanisa yake kuyasaidia kukua.<br />
2. Uliza mwanzilishi aliye na ujuzi zaidi kukufundisha. Kuna wengi kama wewe<br />
walio na ujuzi mwingi, na ambao wangependa kukupa mashauri na<br />
mawaidha.<br />
3. Alika marafiki wachache, jamaa na majirani waje pamoja kujifunza kuhusu<br />
Yesu. <strong>Makanisa</strong> mengi mapya madogo madogo huanza na watu wanaojuana<br />
na kuaminiana. Unweza kuanza na wachache kama wawili au watatu.<br />
4. Pitia upya maisha na mafundisho ya Yesu pamoja. Haswa msaidie kila mmoja<br />
kujifunza Habari Njema ya asili ambayo Yesu na Mitume wake walifundisha<br />
popote walienda. Ni hadidhi ya maisha, miujiza, mauti, ufufuo, kuonekana,<br />
amri na ahadi zake.<br />
5. Msaidie yeyote kutubu kutoka kwa maovu na kumtumaini Yesu<br />
kwa msamaha na uzima wa milele. Muda tu watu binafsi<br />
wanakuwa waumini wapya, wasaidie kushiriki habari njema na<br />
jamii zao. Wabatize na jamii zao mara tu wanapotaka.<br />
6. Kubaliana masaa na mahali pa kukutana katika makundi madogo (<strong>Makanisa</strong><br />
madogo madogo). <strong>Makanisa</strong> mapya madogo madogo yanaweza kukutana<br />
mahali popote, kwa siku yeyote, na wakati wowote unaofaa kwa washika<br />
ingawa isio ya kufaa kwako .<br />
7. Jifunze na kutumia amri za Yesu. Bwana alipeana zaidi ya amri mia moja.<br />
Zifuatazo ni zile kuu ambazo waumini wa kale walizifanyia mazoezi.<br />
Mheshimu Mungu pamoja (“Umpende Bwana Mungu wako<br />
kwa moyo wako wote”).<br />
Onyesheni upendo mmoja kwa mwingine, kwa majirani,<br />
kwa maskini na kwa maadui.<br />
Mbatize yeyote atakaye tubu na kumfuata Yesu.<br />
Kila mara Mega mkate pamoja, yaani, sherekea ushirika au<br />
meza ya Bwana.<br />
Toa kwa ukarimu kuwasaidia maskini na wale wafanyao kazi ya Yesu<br />
kwa bidii.<br />
Ombeni pamoja kila mara mkitumia jina la Yesu kwa mahitaji aina<br />
mbali.<br />
Wahudumie wengine kwa ujuzi na uwezo ambao wewe na washiriki<br />
wengine walionazo.
Kanunin #5 - Ilinde Maelezo ya Utii<br />
Je! Waashiriki wa kanisa mpya ndogo hufanya nini kwa<br />
mikutano yao?<br />
Kuabudu Mungu na kumheshimu Yesu Kristo pamoja. Karibu<br />
kila aina ya shughuli yaweza kuwa ya Ibaada. Waumini wengi<br />
hupenda kuimba kwa Bwana, kuambina jinsi Yesu alivyo wasaidia<br />
hivi karibuni, kuiga hadidhi za Biblia, au kucheza kwa furaha. Fanya tu kile kile<br />
mapokeo yenu yanaruhusu.<br />
Soma kutoka kwa Biblia takatifu. Soma sehemu za Biblia na kuongoza kila mmoja<br />
katika majadiliano juu ya kifungu, haswa kutoka kwa Injili za Agano Jipya. Acha<br />
watoto na watu wazima waige hadidhi za Biblia. Amua pamoja jinsi washiriki wa<br />
kanisa watatii kifungu, pamoja.<br />
Kuomba kwa kutumia Jina la Yesu. Omba Mungu kusaidia kwa kila hitaji la<br />
Mshiriki. Muombe Mungu kusaidia na wengine, pia. Mumshukuru kwa njia<br />
anazowasiadia hao. Nendeni kuombea wagonjwa wapate nafuu, kwa waliosetwa<br />
kuwekwa huru, kwa wenye mahitaji wapate mahitaji yao kutoka kwa Mungu, kwa<br />
jamii zaidi kuwa wafuasi wa Yesu.<br />
Sherekea Meza ya Bwana. Mega na kula mkate pamoja kukumbuka mwili wa Yesu<br />
uliosulubiwa, na kunywa kitu cha kukumbuka damu ya Yesu<br />
inayosafisha dhambi. Fanya hivi kila mara na muache kila mtu<br />
awe na wakati wa uzoefu wa ushirika na Yesu.<br />
Gawanyana mmoja kwa mwingine. Muache kila mmoja<br />
kukutana na mahitaji ya wengine. Acha kila mtu azungumze<br />
kuhusu Mungu na Yesu. Waache wahudumiane kwa njia ya kimazoezi. Waache<br />
watoe pesa kutimiza mahitaji ya maskini.<br />
Tuma wafanyi kazi nje. Teua na kutuma wale wanotaka kwenda kusaidia wengine<br />
kujifunza kuhusu Yesu. Waidhinishe kuanza makanisa mapya madogo na kufanya<br />
na wengine shughuli hizi hizi. Sikiliza ripoti zao wanaporudi. Waache wao<br />
kufundisha wengine kufanya kazi ya aina hiyo.<br />
Omba Mungu msaada usio wa kawaida. Omba Mungu kuheshimu Yesu kwa<br />
kuwasaidia wengine katika njia zile ambazo ni Mungu tu anaweza kufanya. Muache<br />
aponye wagonjwa na kukomboa waliokandamizwa. Muache apeane kwa wengine<br />
zaidi ya yale ambayo nyinyi wenyewe mwaweza kufanya.
Kanuni #6 – Fundisha Viongozi<br />
Jinsi ya kuinua viongozi kwa makanisa mapya ya<br />
nyumbani?<br />
Tambua Wachungaji<br />
Kanisa lako linapoanza kukutana, chunguza washiriki wanaowasaidia wengine<br />
kushiriki kivitendo. Kama wana hiari ya kuwa viongozi, basi andaa kuwafundisha<br />
kati kati ya mikutano, na uwasaidie kupanga jinsi ya kuongoza mikutano yao ijayo.<br />
Wachungaji kondoo wa kushauri.<br />
Wakati wowote mtu anaweza kukusanya wengine pamoja kujifunza juu<br />
ya Yesu, andaa kufundisha huyo kiongozi. Waite viongozi au wachungaji<br />
kondoo; usiwaite Wachungaji au wazee.<br />
Wasikilize wachungaji kondoo<br />
Wakati wowote unakutana na viongozi wapya, sikiliza kwa makini<br />
kilka mmojja anapotoa ripoti ya yale makanisa yao madogo<br />
yamekuwa yakifanya, wanachohitaji na fursa zao. Yesu alifanya hay, Mariko 6:30f.<br />
Wafundishe wachungaji kondoo jinsi ya kufanya mipango<br />
Saidia kila kiongozi kutoka katika Agano Jipya jinsi ya kupanga, jinsi ya kuongoza<br />
makanisa yao, na jinsi ya kuwaleta wengine kujifunza juu ya Yesu.<br />
Omba na wachungaji kondoo<br />
I Omba Mungu kwa niaba ya viongozi washiriki wa<br />
kanisa, ili Mungu awabadilishe wawe kama Yesu, Mungu<br />
awavute watu wengi kuwa wafuasi wa Yesu, na kwamba<br />
atawainua viongozi wapya wengi.<br />
Kuidhinisha wachungaji kondoo.<br />
Idhinisha viongozi wapya kuwafundisha viongozi wapya kwa makanisa mapya madogo,<br />
kama mitume walivyofanya katika Agano Jipya. 2 Tim. 2:1-2<br />
Wataje wachungaji kondoo kama wazee au wachungaji kondoo<br />
katika mafundisho.<br />
Viongozi wanapofikia matarajio ya Agano Jipya, wataje kama wazee au<br />
wachungaji. Fanya hivyo katika mkusanyo wa kanisa kwa kuwawekea<br />
mikono.<br />
Waelemishe Wazee<br />
Peana washa ya mafundisho mara kwa mara kwa viongozi na wazee,<br />
kuwa wa kupatikana kuwashauri wakati wowote wanauliza msaada
Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji<br />
Ni jinsi gani Kanisa lako linaweza kukua na kukua, halafu likazalisha?<br />
Endelea kutii amri za Yesu. Mungu kwa kawaida huwaleta waumini wapya<br />
katika makanisa yanayotii Yesu Masihi wake. Wanafunzi ni wale hupenda<br />
kutii amri za Yesu. Ona Mathayo 28:18-20; Mdo. 2:37-47.<br />
Hakikisha kwamba washiriki wote wa kanisa wanashiriki kwa uhuru. Mahali<br />
ambapo waumini wote wanazungumza mmoja kwa mwingine kuhusu Yesu,<br />
wasioamini wanaotembelea kanisa wataridhishwa wenyewe kuwa ni wenye<br />
dhambi. Ona 1 Kor. 14:3, 24-26.<br />
Kuwa na waumini katika kila kanisa ndogo wanaoomba, na kuinua viongozi<br />
wapya katika makanisa mapya.. Wafundishe kuwa ni kawaida kwa kila kanisa<br />
lililo hai kuzalisha.<br />
Waache washiriki wawaalike marafiki na jamaa zao kutembelea kanisa lao ndogo, wakijisikia<br />
kuridhika kufanya hivyo. Iwapo washiriki wenyeji wa kanisa ndogo watakuwa wengi sana basi<br />
waache wengine wao waanze kanisa lingine ndogo pamoja na wale wangetaka kufanya hivyo<br />
Simulia asili ya habari njema kila mara na alika watu kutubu na kumtumaini Yesu. Ni kwa<br />
kusikia habari njema watu huja mara kwa mara kutubu na kuamini. Ona Luka 24:45-49 na<br />
Warum. 10:14-15.<br />
Ombeni pamoja kila mara kwa ajili ya wengine kuifikia imani katika Yesu. Inavyowezekana,<br />
waumini wawili au watatu watembee pamoja katika mji wenu, waombe kimya kwa Mungu<br />
kuonyesha wema wake kwa wasioamini. Wawe tayari kueneza habari njema kwa yeyote<br />
anayewauliza.<br />
Wape wengine zamu ya kuongoza mikutano ya kanisa. Omba na kumuuliza Mungu kuwafanya<br />
wengine kuwa viongozi wazuri. Wanapojisikia kuwa tayari, waache waanzishe makanisa mapya<br />
na waumini wowote wanaotaka kwenda nao.<br />
Anza makanisa mapya madogo katika nyumba za watafutaji na waumini wapya. Wasaidie<br />
wenyeji kuchukua uwongozi na kufundisha habari za Yesu kwa jamaa zao na marafiki.<br />
Wafundishe katika mahali pa kujifichia na uwaachie kuwaleta marafiki na jamii zao.<br />
Wafundishe washiriki wote jinsi ya kuanzisha kanisa. Washiriki wa kanisa wanapoondoka<br />
kwenda kazini, shuleni au kwa ndoa, inawabidi wajue jinsi ya kuanza kanisa mpya ndogo. Ahidi<br />
kuwashauri, iwapo unaweza.<br />
Weka minyororo ya viongozi wanaofundisha viongozi wapya. Hauwezi kuanza makanisa<br />
mapya madogo kwa haraka usipofundisha viongozi. Washauri viongozi wachache na kuwapa<br />
mamlaka kila mmoja wao kuwashauri wengine wachache. Achilia minyororo hii kukua kwa<br />
kuanza makanisa mapya madogo.<br />
Yasaidie makanisa ya kawaida kufanya washiriki wao kuwa makanisa madogo.<br />
<strong>Makanisa</strong> mengine makubwa hutaka kuwa na makanisa madogo madogo, na<br />
viongozi wao wanaweza kukuuliza kuwasaidia kujifunza jinsi ya kufanya.<br />
Kuwa na karakana ya mafunzo kwa watendakazi wanotaka kuanza<br />
makanisa. Waachilie wao waumbe makanisa madogo ya muda kati yao, ili waende nje na<br />
kufanya hivyo na watu wengine pia.
Kanuni #8 Chunga Vikwazo<br />
Ni hatari gani zinangoja makanisa ya nyumbani?<br />
Viongozi wengine kutoka kwa makanisa makubwa wanaweza kukudharau na<br />
kanisa lako ndogo. Wakikuuliza, waambie ni kwanini unaanza makanisa<br />
madogo na jinsi makanisa yako yanajaribu kutii amri ya Yesu. <strong>Makanisa</strong> mapya<br />
madogo mengine hayawezi kudumu kwa zaidi ya miezi michache. Washirki<br />
wengine watataka kwenda kwa makanisa makubwa; wengine wataondoka<br />
kuanza makanisa zaidi madogo. Waachilie wafanye hivyo.<br />
<strong>Makanisa</strong> madogo hayawezi kusaidia Kiongozi kifedha, hivyo basi Kiongozi<br />
lazima afanye kazi ya ziada kupata pesa.<br />
Mtu Mwingine anaweza kujaribu kuchukua utawala wa kanisa ndogo. “Mbwa Mwitu” ni wale ambao<br />
hawaanzi makanisa mapya, ilhali wanataka wengine kuwafuata. Inakubidi uwaambie Mbwa mwitu<br />
kuacha kuingilia kanisa lako ndogo mpya. Jitoe kuwafundisha, kama wanataka kwenda kuanza<br />
makanisa yao madogo.<br />
Mwingine anaweza kujaribu kufundisha kanisa ndogo mawazo yasiyo ya kweli au<br />
yaliyochanganyikiwa. Kwa hivyo, saidia makanisa mapya kufanya Agano Jipya kuwa kipimo chao cha<br />
pekee, na kuwasaidia washiriki kupima kila wazo kwa kujifunza Agano Jipya linasemaje. Yesu<br />
aliwaambia wanafunzi wake “kukaa katika neno lake.”<br />
Mtu Mwingine anaweza kutaka kuwa Mwalimu wa pekee katika kanisa. Kuanzia mwanzo, ruhusu<br />
kila mmoja kuzungumza mmoja kwa mwingine. Hiyvo, fundisha wengine kutambua “karama za<br />
rohoni” za wengine. Washiriki wa kanisa hawatakiwi kuwa wasikilizaji baridi tu.<br />
Mamlaka ya Serikali yaweza kujaribu kusimamisha kanisa lako, na wanaweza kuwakamata. Katika<br />
maeneo ya uhasama, wale wanaoanza makaniisa inawabidi kuvunja sheria ili kumtii Bwana Yesu<br />
wao. Hata hivyo, kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko usalama. Kamwe, usivunje sheria ila tu kwa<br />
utiifu wako kwa Yesu unapotakikana kufanya hivyo.<br />
insi ya kuitikia kwa Jamii inayopinga wafuasi wa Yesu?<br />
Kaa katika utamaduni wako. Vaa mavazi ya kawaida ya utamaduni wako, kuwa na jina lako<br />
mwenyewe, kula chakula ambacho kinadhibitishwa na jamii yako, tumia salamu za jamii yako,na<br />
heshimu sherehe, saumu na sikukuu za jamii yako.<br />
Abudu kwa njia isiyo ya kukwaza. Tumia aina mbali mbali za sura ya dini ya jamii yako kama<br />
uwezavyo kwa dhamiri safi. Epuka sura nyingi za kigeni za ibaada. Yesu anakubali aina nyingi za<br />
ibaada zinazo mheshimu.<br />
Katika <strong>Makanisa</strong> mapya madogo, punguza shughuli kubwa za ibaada kwa wale wanafundishwa<br />
katika Agano Jipya. Hiyo inajumulisha kujifunza mafundisho ya Yesu, kuomba katika jina lake,<br />
“kuumega mkate” na kugawana mmoja kwa mwingine. Ona Mdo. 2:42.<br />
Tafuta Agano Jipya kupata majibu kwa maswali na mahitaji ya jamii yako, na dhibitisha dhamani ya<br />
utamaduni wowote wenu ambao Yesu anaweza kukubaliana nao.<br />
Endelea kuomba kwamba maelfu na mamillioni katika jamii yako watakuja kumfuata Yesu, ingawa<br />
wengi wao watakaa katika dini za wazazi wao kwa muda.<br />
Epuka kuwa na wageni wa nje wengi kuhudhuria matukio ya ibaada yenu. Kwa kawaida, wageni<br />
wasifundishe katika makanisa yenu mapya. Kama wageni wa mbali wanakushauri na viongozi<br />
wengine, basi wafanye hivyo faraghani.<br />
Kataa Msaada wa Pesa. Waumini wengine matajiri na baadhi ya wageni wa nje wanaweza kutaka<br />
kukupa pesa na misaada ya vifaa. Kama unaweza kujisaidia, basi kataa msaada wao.
Teua tuu viongozi wenye heshima wa waeneo. Ni vyema kwamba wageni wa nje na watu wa nje<br />
wasiongoze makanisa mapya madogo. Ingawaje watu wa nje wanaweza kuwa washauri na waalimu<br />
wazuri, inawapasa wenyeji kuongoza makanisa mapya.<br />
Tafuta wa kiroho, wa kina kwa bidii. Juu ya yote, julikana kwa uweza wako kupitia maombi, uwazi<br />
wako, tabia yako ya adili, na kwa uwezo wako kumheshimu Mungu katika mazungumzo yako ya<br />
kila siku.<br />
Wawezeshe waumini wenyeji wako walio na tabia njema na wako walio na hiari ya kuanza makanisa<br />
mapya madogo. Wafundishe, ukitumaini Roho mtakatifu kuwakirimu na kuwaongoza.<br />
Linda makanisa yako kwa siri kwa muda mrefu iwezekanavyo. Mwache Yesu pekee achague wakati<br />
anaotaka yeyote wenu kukamatwa au kuteseka kwa ajili yake.<br />
Endelea kuanzisha makanisa mapya madogo na kuhamia mahali pa kukutania mara kwa mara kama<br />
inavyohitajika. Wakati mamlaka ya uhasama yanakandamiza makanisa mengine madogo, mengine<br />
yanaweza kuendelea kuabudu.<br />
Ni maeneo gani unajiweka hatarini?<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_______________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________
Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako<br />
Je! Ni ipi Asili ya habari Njema ya Yesu na Mitume wake?<br />
“Injili” au Habari Njema kuhusu Yesu ni hadidhi, usimulizi wa kweli, ukweli wa histioria. Njia ya<br />
kufaa kuwasaidia wengine kuwa wafuasi wa Yesu inabaki katika hatua tatu zifuatazo:<br />
(a) Simulia hadidhi hii katika maneno, nyimbo, mashairi, sanaa au drama.<br />
(b) Eleza ahadi za Yesu kwa urahisi<br />
(c) Alika watu kutii amri za Yesu.<br />
Asili ya hadidhi ya Habari Njema inafupishwa katika maandiko ya Agano Jipya hivi:<br />
Luka 24:44-49<br />
Mdo 2:22-40<br />
Mdo 3:13-26<br />
Mdo 5:29-32<br />
Mdo 10:34-48<br />
Mdo 13:23-41<br />
Mdo 17:1-4<br />
Mdo 17:22-31<br />
1 Wakorintho 15:1-8<br />
2 Wakorintho 5:21<br />
Kazi yako ni kusimulia hadidhi kupitia vifaa vya habari vinavyo kubalika kiutamaduni, ukitilia mkazo<br />
mambo yale yanayo leta maana kwa wenyeji. Mambo makuu yanayo vuka maandiko yote ya Agano<br />
Jipya yanayohusu habari Njema yanabaki kuwa maisha ya Yesu, Mauti yake na Kufufuka kwake.<br />
Unaweza kuweka pamoja mojawapo ya kila kitu kinachofuata maandiko yaliyotajwa hapo juu:<br />
Manabii wa kale walitabiri anaye kuja, ambaye Wayahudi walimuita Masihi<br />
Mungu alimpa Yesu uweza kufanya miujiza, kuweka watu huru kutoka kwa nguvu za<br />
shetani, kuonyesha kuwa yeye ni Masihi.<br />
Viongozi wa Dini wenye wivu na mamlaka ya Siasa walimuadhibu Yesu kwa kifo wakimpigilia<br />
misumari kwa msalaba wa mti.<br />
Siku ya tatu baadaye, Yesu alifufuka kwa mwili na akatoka kaburini.<br />
Yesu akawatokea mashahidi waliomuona, kudhibitisha kuwa ni yeye, akiwaamuru<br />
kueneza Habari hii Njema kila mahali.<br />
Yesu aliahidi kuwasamehe wote watakaotubu, na kuwa weka huru kutoka kwa uwovu<br />
wowote.<br />
Wote wamtumainio na kumtii Yesu watapokea msamaha wa Mungu. Roho Mtakatifu, na<br />
uzima wa milele.<br />
Yesu alipaa Mbiguni ambako anatawala kama Bwana juu ya Mbingu na Dunia.<br />
Yesu aliamuru wafuasi wake kubatiza waumiini wapya na kuwafundisha kutii amri zake.<br />
Yesu atarudi tena duniani, kufufua wafu na kutawala kama Mfalme juu Ulimwengu<br />
Milele.<br />
Mara tu mtu anapotubu kutoka kwa njia zake za kale na kuweka imani yake au tumaini lake katika<br />
Yesu, na kuwafanyia vile vile Yesu na Mitume walifanya:<br />
Kudhibitisha toba yao kwa kuwabatiza, kama Yesu alivyoagiza (Mathayo 28:18-20)<br />
Kuwaongeza kwa kanisa ndogo mpya, kama Mitume walivyofanya. (Matendo 2:40-42)<br />
Wakati Jamii au marafiki wanakuwa wafuasi wa Yesu pamoja, ni bora kufanya umbo la kanisa mpya<br />
ndogo mara moja, na kuwafanya wao kualika wengine kujifunza juu ya Yesu.
Kanuni #10 –<br />
KamaTumia “Menyu” unaposhauri<br />
Ni upi mfano wa menyu ya maandiko?<br />
Muda wowote mnakutana watendakazi kuwafundisha, chagua menyu ya<br />
utendaji ya andiko linalofikia hitaji la sasa katika kanisa mpya (Kwa mfano, watume<br />
watenda kazi nje). Wakati mnakutana na wanafunzi, pitia upya na kutumia moja ya<br />
maandiko na kuwa na hakika yakufanya mipango ya kutekeleza andiko hilo katika<br />
kanisa mpya. Weka alama, “Tick” au weka mviringo kwa nambari, baada ya<br />
kumaliza (Kwa mfano, #9 mviringo utakuwa ...#.<br />
Menyu ya mafundisho ya mazoezi ya upandaji <strong>Makanisa</strong>.<br />
1. Fundisha na kutuma watenda kazi -- Matthew 10:1-10.<br />
2. Ingieni kwa nyumba zenye amani -- Matthew 10:11-15.<br />
3. Jichunge na mamlaka ya uadui -- Matthew 10:16-20.<br />
4. Tumia Mamlaka ya Utauwa -- Matthew 18:18-22.<br />
5. Mpende Mungu na Wengine -- Matthew 22:34-40.<br />
6. Fundisha waumini kumtii Yesu -- Matthew 28:16-20.<br />
7. Fundisha watenda kazi wa kujitolea -- Mark 6:7-12, 30.<br />
8. Fundisha utaratibu wa Yesu -- Luke 9:1-6.<br />
9. Tafuta watu wa kuitikia -- Luke 10:1-7.<br />
10. Onya miji isiyo na imani -- Luke 10:8-11.<br />
11. Fundisha watenda kazi wengi zaidi wazalishao -- Luke 10:17-20.<br />
12. Vuna mavuno -- John 4:34-38.<br />
13. Mpendane ninyi kwa ninyi -- John 15:9-17.<br />
14. Pokea Roho Mtakatifu -- John 20:19-22.<br />
15. Fuata mikakati za Yesu -- Acts 1:7-11.<br />
16. Eneza Habari Njema – Acts 2:22-24.<br />
17. Wabatize wale wanaotubu -- Acts 2:38-41.<br />
18. Fundisha waumini kuabudu -- Acts 2:42-47.<br />
19. Mtii Mungu badala ya watu -- Acts 5:27-32.<br />
20. Kuingia kwa nyumba za wengine -- Acts 10:24-29.<br />
21. Nenda kwa wale Mungu amewandaa -- Acts 10:30-33.<br />
22. Waambie wengine juu ya Uweza wa Yesu -- Acts 10:34-38.<br />
23. Tangaza Mauti na Kufufuka kwa Yesu -- Acts 10:39-43.
24. Wabatize waumini wapya -- Acts 10:44-48.<br />
25. Teua wazee katika makundi mapya -- Acts 14:21-23.<br />
26. Waongoze watu kuamini na kutii -- Romans 1:2-7.<br />
27. Mega Mkate pamoja -- 1 Corinthians 10:15-17; 11:23-26.<br />
28. Waache viongozi wanafunzi kufundisha wengine -- 2 <strong>Timothy</strong> 2:1-10.<br />
29. Wawezeshe waratibu kuteua wazee -- Titus 1:5-9.<br />
30. Fundisha wachungaji kondoo kutumika kwa unyenyekevu -- 1 Peter 5:1-6.<br />
31. Andaa waumini kuteseka -- 1 Peter 5:7-11.<br />
<br />
<br />
Tumia hii kama “Orodha ya Tick”<br />
ya menyu pamoja na wakufunzi<br />
wako
Miisho<br />
(Appendices)
Kuhudumiana<br />
Orodha ya Agano Jipya ya kuchunguza<br />
Amri za “Mmoja kwa Mwingine”<br />
Kufundisha na kuhimizana: Wakol. 3:16.<br />
Kufundishana: Warumi 14:14.<br />
Kuhimizana Moyo: Waeb. 3:13.<br />
Kutendeana mema 1 Wathes. 5:15.<br />
Kushughulikiana 1 Wakorin.12:25.<br />
Kuchukuliana mizigo Wagal. 6:1.<br />
Kusema ukweli, kama washiriki wa moja kwa mwingine: Waef. 4:25.<br />
Kuhudumiana kwa karama yeyote ambayo kila mmoja amepokea: 1 Petr 4:10.<br />
Kuyatoa maisha kwa ajili ya wenzetu: 1 Yoh. 3:16.<br />
Kutia moyo Ushirika mwema<br />
Kuwa na ushirika wa moja kwa mwingine: 1 Yoh. 1:7.<br />
Kupendana: Yoh. 13:34-35; 5:12, 17; Warum. 12:10; 1 Wathes. 4:9; 1 Yoh. 3:11,<br />
14, 23; 4:7, 11, 12; 2 Yoh. 1:5.<br />
Kupendana ili kutimiza sheria: Warum. 13:8.<br />
Kukua katika upendo moja kwa mwingine: 2 Wathes. 1:3.<br />
Kukaa katika upendo moja kwa mwingine: 1 Wathes. 3:12.<br />
Kuwa wafadhili, wenye kuchukuliana, na kusameheana: Waefe. 3:13; 4:32;<br />
Wakol. 3:13.<br />
Kuwa na upendo usio na unafiki kutoka moyoni moja kwa mwingine: 1 Petr.<br />
1:22.<br />
Kushikilia Upendo daima moja kwa mwingine: 1 Petr. 4:8.<br />
Kujenga Umoja wa kiroho<br />
Kuonyesha Heshima moja kwa mwingine: Warum. 12:10.<br />
Kukubaliana moja kwa mwingine: 2 Wakor. 13:11.<br />
House churches<br />
become strong<br />
through relational<br />
expressions of love.
Kuishi katika umoja: Warum. 12:16 (ona Warum. 15:5).<br />
Kutawadha miguu moja kwa mmoja: Yoh. 13:14.<br />
Kusalimiana moja kwa mwingine kwa busu takatifu (kwa tamaduni zingine<br />
inaudhi): Warum. 16:16; 1 Wakor. 16:20; 2 Wakor. 13:12; 1 Petr. 5:14.<br />
Kukuwa wenye amani moja kwa mwingine: Mark 9:50.<br />
Kutokosoana moja kwa mwingine: Warum. 14:13.<br />
Kutosemeane mabaya moja kwa mwingine: Yak. 4:11.<br />
Kutonung'unikiana moja kwa mwingine: Yak. 5:9.<br />
Kuchukuliana (kuvumiliana) moja kwa mwingine: Waefe. 4:2.<br />
Kunyenyekeana moja kwa mwingine: Waefe. 5:21.<br />
Kwa Upendo, kukuwa watumwa moja kwa mwingine: Wagal. 5:13.<br />
Kukuwa na umoja, huruma, na kupendana moja kwa mwingine: 1 Petr 1:22.<br />
Kujivika unyenyekevu katika kazi zenu na wengine: 1 Petr 5:5.<br />
Kuujenga Mwili<br />
Kutiana moyo na kujengana moja kwa mwingine: 1 Wathes. 4:18 na5:1, 11.<br />
Kuchocheana upendano moja kwa mwingine na matendo mema. Waebr. 10:24.<br />
Mkutane pamoja, kutiana moyo moja kwa mwingine Waebr. 10:25.<br />
Kufurahi pamoja: 1 Wakor. 12:26.<br />
Kuja pamoja, mwingine na wimbo, somo, ufunuo, ndimi au ufasiri:<br />
1 Wakor.14:26.<br />
Kukaribishana moja kwa mwingine: Warum. 15:7.<br />
Kuwa wakarimu moja kwa mwingine: 1 Petr 4:9.<br />
Kuungama dhambi zetu moja kwa mwingine na kuombeana Yak. 5:16.<br />
Kuteseka pamoja: 1 Wakor. 12:26.<br />
Kufanya kazi pamoja: 1 Wakor. 3:9; 2 Wakor. 6:1.
Mambo…<br />
“<strong>Makanisa</strong> ya ki-sungura na ya ki-ndovu”<br />
Kipimo kidogo cha Makundi huwaruhusu wengi hushiriki. Katika jamii nyingi watu huja kwa<br />
Yesu kwa urahisi sana katika makundi madogo.<br />
Mamlaka yaliyo na uadui kwa wakristo huonea makanisa yanayo kutakana nje ambayo<br />
“hayajasajiliwa”<br />
Ni rahisi kuifikia jamii yote kwa kukutana nyumbani mwao<br />
Watoto wanaweza kuchukua sehemu zaidi ya utendaji katika ibaada na hivyo kujua kuwa<br />
wao ni sehemu muhimu ya mwili wa Kanisa.<br />
Pesa ambazo hazitumiki kwa mijengo zinaweza kutumika kutuma wapandaji makanisa<br />
kuzalisha mikutano.<br />
<strong>Makanisa</strong> madogo huzalisha kwa urahisi kwa sababu hawajakua taasisi; hawaja kuwa na<br />
vifaa vya gharama na tamaduni ambazo ni ngumu kupitiliza kwa makanisa yao madogo.<br />
Mikutano ya “Ki-sungura” huzalisha zaidi sana kwa haraka. Waumini katika mikutano midogo<br />
ya kadiri huleta watu wengi mara nyingi kwa Kristo kuliko hesabu iyo hiyo ya waumini wa<br />
makanisa ya “Ki-ndovu.”<br />
Matumizi<br />
NDOVU<br />
Hukomaa katika miaka 18<br />
Mtoto mmoja kwa kila kutungwa<br />
mimba<br />
Yenye uwezo wa kuzaa mara nne<br />
kwa mwaka.<br />
Muda wa ujauzito ni miezi 22<br />
Jamii yaweza kukua kutoka 2 hadi 3<br />
katika miaka 3<br />
SUNGURA<br />
Hukomaa katika miezi minne<br />
Kwa kadiri ya watoto 7<br />
Yenye uwezo wa kuzaa karibu kila<br />
mara<br />
Muda wa ujauzito ni mwezi mmoja.<br />
Jamii yaweza kuzalisha hadi millioni<br />
476 katika miaka mitatu.<br />
Usigawanye kikundi kirahisi katika vipande viwili. Fundisha viongozi wapya wakati kikundi kingali<br />
kidogo. Kinapokua, pata mmoja au wawili wa hawa viongozi wapya kuanza makundi mapya,<br />
wakiwachukua wengi wa hao ambao wanataka kwenda nao.<br />
Kumbuka<br />
Kanisa linaweza kuwa la ki-sungura na la Ki-ndovu ikiwa litaachilia makundi ya chembe hai kuzidisha<br />
na kuwa vikanisa vidogo ndani ya lile kubwa.<br />
Kanisa – kwa kiwango chochote - “halipandwi” hadi lifanye huduma ambazo Mungu anataka za<br />
kanisa. Kiongozi wa Kanisa la ki-sungura ni mwalimu wa kweli iwapo tu yeye anawasaidia wengine<br />
kufanya huduma. Kufundisha tu sio kuongoza.
Vidokezi vya kuchunga … Mbwa Mwitu!<br />
<strong>Paul</strong>o alionya kuwa mbwa mwitu watatokea ndani na nje (Matendo<br />
20:28-31).<br />
Mbwa mwitu kutoka ndani ni yule muumini aliye potoka<br />
Mbwa mwitu kutoka nje ni wasioamini wanaofundisha imani isiyo<br />
sahihi.<br />
Kabiliana na mbwa mwitu kwa haraka na kwa udhabiti.<br />
Jinsi ya kutambua “Mbwa Mwitu” ….<br />
o Meno makali. Yeye huonekana wa<br />
kupendwa na rafiki sana, mwanzoni.<br />
o Masikio yaliyoinuka juu. Yeye ni msikilizaji bora. Haswa<br />
yeye husikiliza ukosoaji wa viongozi wa kundi walio wa maana.<br />
o Makucha laini. Hunyemelea kwa ustadi kwa dirisha<br />
badala ya mlango,yaani, bila kualikwa na kiongozi halisi.<br />
o Mdomo Mkubwa. Atakuja kwako na tabasamu ya mwanga<br />
wa ghafla iliyopakwa rangi.<br />
o Macho yakubadilika badilika. Yeye hufanya urafiki na<br />
wanakondoo wadhaifu na kondoo zisizo hudumiwa.<br />
o kudondoka Mate.Njaa isiyotosheka, yeyé husongea wakati<br />
anakosa wanakondoo wa kumaliza.<br />
o
Yesu ndiye anayetawala na Bwana, wala sio wewe.<br />
I PETRO 5: 1-3<br />
Nawasihi wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao,na<br />
shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu<br />
utakaofunuliwa baadaye;lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu,<br />
na kulisimamia,si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu<br />
atakavyo;si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo.Wala si<br />
kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao,bali kwa kujifanya<br />
vielelezo kwa lile kundi.
Vidokezi vya kugawanya mamlaka yako na wanafunzi<br />
wako. ….<br />
Watie moyo waumini wapya kukaribisha kwa muda mikutano ya vikundi.<br />
Ruhusu waumini wapya kushiriki tangu mwanzo.<br />
Watie Moyo waumini wapya kuimarisha huduma mpya kulingana na mahitaji<br />
ya eneo.<br />
Rahusu makosa<br />
Elekeza mafundisho yote kuelekea Yesu kama Bwana.<br />
Shikilia watenda kazi wapya kwa tumaini la kuwa wazee.<br />
Omba neema ya kufanya kazi ya huduma kwa muda, ukiwapa watu wengine.<br />
Ifanye yote kwa kujitolea na sio ya kisheria
Orodha ya kuchunguza silaha za Kiroho <br />
Fanyiza kundi lako silaha zote za Mungu kila nukta. Kama Petro anavyosema, “Mioyoni mwenu<br />
mtenge Kristo kama Bwana” ( 1 Pet. 3:15)<br />
Kuvaa Kweli kama mshipi. Yesu ni njia yetu, kweli yetu na Uzima wetu (Yohana 14:16)<br />
Kukuwa na “vazi lisilopenyeza risasi” ni dirii ya haki. Yesu ndiye dirii yetu ya haki: “Na<br />
Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu I<br />
hai, kwa sababu ya haki.” (Warum. 8:10)<br />
Kuvaa viatu vyetu vya amani vya kutupeleka popote, vikibeba Injili ya amani kwa<br />
wengine. Yesu mwenyewe ni “amani yetu.” (Waefe. 2:14)<br />
Kushikilia ngao ya imani ambayo inakinga mishale ya moto ya shetani. “Mimi ni ngao<br />
yako, na dhawabu yako kubwa sana.” (Mwa. 15:1)<br />
Kulinda vichwa vyetu na chapeo ya wokovu inayotulinda hadi milele. Yesu ni wokovu<br />
wetu: “Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye;<br />
maana yu hai sikuzote ili awaombee.”<br />
Kutahabibu upanga wa roho, amabo ni neno la Mungu<br />
Kudumisha mawasiliano ya daima na mkuu wetu wa Jeshi, kuomba tukiwa macho na<br />
kuombea. Mwimbaji wa zaburi anatamka kwa mshangao “Badala ya upendo wangu<br />
wao hunishitaki, ijapokuwa naliwaombea.”(Zab. 109:4).
Pingamizi kutoka kwa bwana mapokeo<br />
1. “Lazima tuache makutano kukomaa na yenye nguvu kabla ya kuanza nyingine mpya.”<br />
2. “Mikutano mipya lazima ikubaliane na dhehebu letu la pekee na sheria. Amasivyo<br />
mambo hayataenda vyema – utawala wangu.”<br />
3. “Makundi mapya lazima yawe na jengo la ibaada, watoa zaka waliokomaa na ibaada<br />
nzuri.”<br />
4. “Ni viongozi wa kanisa walioelemishwa vyema wanaweza kuongoza sakramenti.<br />
Amasivyo mabatizo hazitakuwa halali na meza ya Bwana itafanywa kwa njia isiyostahili.”<br />
5. “Ni muhimu kwamba mabo yote yafanywe kwa “Heshima na katika utaratibu.” Ama<br />
sivyo watu ambao hawajafundishwa watasababisha shida...”<br />
6. “Viongozi wote wa mikutano lazima kufikia sifa za juu zilizowekwa na Afisi kuu ya<br />
dhehebu.” Hii inataka tu waliowekwa wakfu, viongozi wa mishahara.”<br />
7. “Washiriki wote lazima wakutane kusikiliza ujumbe kamili kwa wahubiri waliofuzu.”<br />
8. “Lazima tuimarishe shule za Biblia na washa ambapo waalimu bora wanaweza<br />
kufundisha viongozi wa siku zijazo kwa mpango.”<br />
9. “kila mkutano mpya lazima udhibitishwe sawa sawa na makao makuu ya dhehebu na<br />
kushika mwongozo wake – mwongozo wangu.”<br />
Itiko za bwana mapokeo<br />
1. “Vijana huzalisha shauku. <strong>Makanisa</strong> mapya huzalisha makanisa mengi<br />
mapya.”(Epaphras)<br />
2. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kutii Kristo kwanza na baadaye<br />
wachungaji.”(Christ and Jews).<br />
3. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kuingia nyumbani mwa wanaotafuta kuokoka.<br />
<strong>Makanisa</strong> yanaweza kuzuia kuwafikia wasioamini wapya.”(Peter & Cornelius)<br />
4. “<strong>Makanisa</strong> ya kale yaliwabatiza waumini wapya bila kuchelewa.”<br />
5. “Ndiyo, Mungu ni Mungu wa utaratibu, lakini pia uhuru wa hiari kuongozwa na roho.<br />
( 1 Kor. 14:24-26). “Ni kwa uhuru kwamba Kristo alituweka huru.”<br />
6. “Sifa za Kibiblia – Ndiyo! Sifa za kibinadamu kama za upili.” (<strong>Timothy</strong>)<br />
7. “Hubiri – Ndiyo. Lakini lenga kuwa watendaji wa neno.” (Timotheo)<br />
8. “Kukua haraka kwa kanisa kwa uchahe wa kanuni. Makundi ya ujana lazima yabaki<br />
huru kwa mafundisho ya uchungaji kwa kuitikia mahitaji ya haraka ya makanisa mapya<br />
na viongozi.” (Tito)<br />
9. “Kudhibitishwa – ndiyo, lakini sio kutawaliwa sana katika mambo madogo madogo,<br />
kama vile kusimamiwa kudogo sana.” (Tito)
1.Mfano wa Antiokia<br />
Mifano nne ya kupanda kanisa.<br />
Ushirika wa kutuma unaotuma kikundi<br />
kidogo kwa viwanja vya mbali (Matendo<br />
13-14). Kikundi hiki cha kusafiri kilitoka<br />
jimbo moja hadi lingine, likianza makundi<br />
ya kwanza machache katika kila jimbo.<br />
Walikaa katika jimbo kwa muda mrefu wa kutosha kuimarisha viongozi,<br />
au walirudi huko kwa muda mfupi kufanya hivyo. Kikundi hakikukaa<br />
kuongoza mkutano. Bali, walienda kwa maeneo mengine yaliyopuuzwa<br />
au kurudi kwa kanisa lililo watuma.<br />
2. Mfano wa Joppa<br />
Kanisa la Nyumbani lilituma wasaidizi pamoja na Petro kwa safari fupi<br />
fupi kuanzisha kanisa la karibu.<br />
3. Mfano wa Biashara<br />
Akila na Priska walitumia biashara ndogo kuanzisha<br />
makanisa katika maeneo yaliyopuuzwa. Na <strong>Paul</strong>o<br />
alifanya hema kujihimili mwenywe. Andiko<br />
ladhihirisha kuwa walifanya haya katika Rumi,<br />
Korintho na Efeso. Waliacha makanisa yao ya asili kabisa, wakienda<br />
kutoka mji hadi mji, wakikusanya makundi ya nyumba kwa nyumba.<br />
4. Mfano wa miji ya Magharibi.<br />
Kundi kubwa la wastani huondoka kabisa kutoka kwa kanisa la<br />
nyumbani kuanzisha kanisa ndogo la karibu, katika tamaduni zao hizi<br />
hizo, kawaida na viongozi wenye ujuzi wa juu, wenye mishahara.<br />
Mkutano wenye hesabu kubwa ya washiriki wanaweza kutuma<br />
kikundi kikubwa cha kutosha kumuajiri mchungaji kuanzia mwanzo,<br />
kuhifadhi mtindo wa ibaada kama ile ya kanisa la nyumbani.
Urahisi katika Ibaada<br />
“Viongozi wa ibaada wasio na busara huenda kwa<br />
maringo kama tausi dume, wakichanganya ibaada na<br />
uigizaji na burudani! Waabudu wa kweli huingia katika<br />
uwepo wa Mtakatifu mkuu.”<br />
Ibaada inahusisha kupanga vyema mapema.<br />
Ibaada inahusisha kufundisha vyema: 1) utendaji kazi &2) kwa<br />
msingi wa uchaguzi wa wazo la menyu.<br />
Viongozi wa ibaada wenye busara hawajaribu kuburudisha<br />
wasikilizaji.<br />
Kwa makanisa madogo ya nyumbani, weka mpaka wenye<br />
msimamo wa wakati wa kuanza na kumalizia. Hii inafidia kwa hali isiyo<br />
ya kawaida ya manyumba za kibinafsi.<br />
Orodha ya kuchunguza ya vitu vya lazima/muhimu vya<br />
ibaada<br />
Sifa ambazo zingeimbwa, somwa, sifia, semwa, za kujianzia, chezwa,<br />
dhihirishwa njia mbali mbali kwa hali ya mwili, n.k.<br />
Maombi ambayo yangedhihirishwa kwa umbo mbali mbali ya nje.<br />
Kuhubiriwa kwa Biblia, kusomwa, kujadiliwa, kuigiza, n.k.<br />
Kutoa pesa, wakati, chakula, n.k.<br />
Ungamo la dhambi na hakikisho la msamaha<br />
Meza ya Bwana.<br />
Kupenda ushirika kati ya waumini.
Vidokezi vya kushauri viongozi wapya.<br />
Fundisha viongozi wapya “kisiri.” kama alivyofanya Akila na Priska na<br />
Apollo (Matendo 18:24-28)<br />
“Kama mbio ya kupokezana, wapatie wengine<br />
kifimbo cha Umitume cha mamlaka, ujumbe na<br />
waajibu, kama <strong>Paul</strong>o alivyofanya. Shikilia nuru ya<br />
kifimbo. Fanya kazi ya Bwana rahisi kwa kuchukua na<br />
kupeana kwa wengine. Onyesha wanafunzi wako<br />
jinsi ya kuwa “watendaji wa neno, sio wasikilizaji tu.”<br />
Usilenge mwanafunzi pekee, bali pia lenga kondoo anayewachunga<br />
Kuwa mfano- ili wanafunzi waweze kukuiga.<br />
Tadhmini mafundisho kwa matokeo yanayoonekana kwa maisha ya<br />
wanafunzi.<br />
Makosa ya kawaida<br />
o Kukosa kupeana kifimbo haraka iwezekanavyo, kutawala sana na kwa muda<br />
mrefu.<br />
o Kutumia vyombo vya gharama au vya staarabu.<br />
o Kuwa mkarimu sana kwa pesa za kutoka nje ambazo waumini wanategemea<br />
kushindwa kumtegemea Mungu.<br />
o Kutumia mtindo wa mafundisho na ibaada inayohitaji elimu ambayo viongozi<br />
wa taifa wamekosa.
Kweli au uwongo<br />
Vidokezi vya kufanya wanafunzi<br />
Fanya wanafunzi, kuwafundisha tu kila kitu cha mafundisho<br />
ya dini kuhusu kila jambo hai la kiteolojia. Kweli? ( ) Au<br />
Uwongo? ( )<br />
Yesu alisema kufanya wanafunzi kwa kuwafundisha kumtii<br />
yeye juu ya vyote. Kweli? ( ) Au uwongo? ( )<br />
Ambacho sio kufanya wanafunzi...<br />
Kufanya sio tu mmoja kwa mmoja. Ingawa kufanya hivyo<br />
haikataliwi, fanya kama Yesu alivyofanya kwa kawaida<br />
kufanya kazi na wanafunzi kumi na wawili, wakati mwingine<br />
watatu na mmoja kwa mara chache.<br />
Kufanya wanafunzi sio tu kuwasaidia waumini wapya katika<br />
maisha yao ya kiroho wala kufundisha mafudisho ya kidini<br />
ya Biblia. Yesu na Mitume wake walifanya wanafunzi kuwa<br />
viongozi wa nguvu pia na watafutaji, waumini wapya, na<br />
watakatifu wakukua, kwa kuwafundisha na kwa kuunda<br />
maisha ya Ufalme na ujuzi.<br />
Kufanyika wanafunzi ni...<br />
Kufanya Wanafunzi wa Agano Jipya lazima kudhibitisha<br />
uhusiano wa juu.<br />
Kufanya wanafunzi wa Agano Jipya huleta utiifu kwa Bwana<br />
kabla ya vyote.
Vidokezi vya Kazi ya kuigiza<br />
Shikilia kazi ya kuigiza kwa muhtasari na fupi na<br />
inayolenga. Tenda tu kwa pointi za hadidhi ya<br />
Biblia; usiongeze vitu eti unaigiza.<br />
Usikariri mistari, isipokuwa mawazo au pointi<br />
kuu tu.<br />
Usiache kazi ya kuigiza kuvurutwa sana.<br />
Hakikisha kuwa kila mwanafunzi ana nafasi ya kutosha<br />
kushiriki katika njia fulani za kuiga na kazi ya kucheza.<br />
Fanya hiyo kila mara – tunajifunza kwa kusikia, kuona,<br />
kutenda na kutumia.<br />
Fanya kuwasilisha kuwa rahisi. (hakuna<br />
kutegemewa)<br />
Yeyote anaweza kushiriki – watoto, watu<br />
wazima, n.k.<br />
Kuwa na burudani! Washiriki watakumbuka kile<br />
wanona na ya uzoefu, zaidi kuliko yale wanasikia tu kutoka<br />
kwa jukwa.
Vidokezi vya hadidhi na Vichekesho<br />
Simulia hadidhi ambazo zinazofaa kwa wote<br />
Onyesha kihistoria na kibiblia hadidhi kwa kusoma, kukariri,<br />
kuimba kuigiza na kazi ya michezo. Kumbuka kuwa watu<br />
hukumbuka hadidhi kwa muda mrefu. Kazi ya michezo haiingi<br />
tu katika kumbu kumbu za ubongo, lakini pia mahali ubongo<br />
unahifadhi sura na sauti.<br />
Tumia umbo za sanaa, alama, drama na mitindo ya muziki.<br />
Fundisha wanafunzi wapandaji wapya kuweka aina mbali mbali iliyo sawa, kwa<br />
usahihi kuliko ukumbi wa mafundisho, ambao unaweza kuchosha. Fundisha wengine<br />
sio kupitia kwa maelezo bali katika maonyesho.<br />
Mifano ya hadidhi za Biblia kwa vichekesho: Gharika (Mwa. 6-9)<br />
Waisraeli waaminifu waliwaua wale walio kataa kubadili msimamo wao katika<br />
sanamu. (Kut. 32)<br />
Mashindano kati ya Eliya na manabii wa Baali kwa mlima kameli (1 Wafal. 18)<br />
Bwana aliwaadhibu wale walioabudu ndama ya dhahabu (Kut. 32-33)<br />
Mapigo kumi katika Misri na kugawanyika kwa bahari ya shamu ili watu wake wavuke.<br />
(Kut. 1-15)<br />
Adamu na Hawa katika Edeni (Mwa. 3) au Kaini na Abeli (Mwa. 4).<br />
Pasaka ya Mwana kondoo katika kutoka (Kut. 11-13).<br />
Mtakatifu kuwachoma Nadabu na Abihu walipoingia kwa uwepo wake bila damu<br />
(Walawi 10)<br />
Dhabihu ya Yesu juu ya Mslaba (Mat. 26-27)<br />
Alidai kuwa mwana wa Mungu na baadaye akafufuliwa na yule wa milele kutoka kwa<br />
mauti (Mariko 14-16)<br />
Baba anamtambua Yesu kama mwana wake wakati wa ubatizo (Mat.3)
Kuteseka wakati wa majaribu na kusulubishwa ( Mark 15; Luka 22-24; Yohana 18-20).<br />
Yohana Mbatizaji anatangaza msamaha kwa wale wameungama dhambi zao (Mat. 3).<br />
Yesu alisamehe watu wabaya sana lakini akawaonya Mafarisayo waliotumaini<br />
matendo yao mema kwamba hawajaingia katika ufalme wa Mbinguni (Mat. 9 na 21:<br />
28-45)<br />
Yesu amsamehe aliyepooza ambaye hakuwa amefanya chochote kwa uwezo wake<br />
kuja kwa Yesu (Mar. 2)<br />
<strong>Paul</strong>o aliahidi wokovu kwa jamii yote ya mlinzi wa gereza aliyeamini, kabla hata<br />
hawajasikia Injili (Matendo 16:31).<br />
Malaika walitangaza kuzaliwa kwa Yesu kwa wachungaji (Luka 2)
Vidokezo vya kuteua wasaidizi wa Jimbo wa upandaji kanisa<br />
Swali: “Tito alikuwa na kazi gani kama msaidizi? Alisimamiaje makanisa machanga<br />
yaliyohitaji msaada?”<br />
JAWABU: <strong>Paul</strong>o alimfundisha Tito kuweka utaratibu kwa yale yaliobaki kufaywa, na<br />
kuteua wazee katika kila mji.<br />
VIDOKEZO VYA UTENDAJI<br />
Ilimbidi Tito awafundishe hawa wazee wachungaji kondoo; waraka<br />
unaosalia ulimpa mwongozo wa jinsi ya kufanya.<br />
Ilimlazimu Tito kugundua huduma zipi zilikosekana katika makanisa, ili<br />
azishughulikie. Kutambua kilichosalia katika makanisa inataka<br />
usikilizaji kutoka kwa viongozi wao wanaofundishwa, wanavyo ripoti<br />
makanisa yao hufanya nini na yale wasiofanya.<br />
Inasaidia kujua orodha ya huduma zinazotakikana na Agano Jipya, wakati mwingine<br />
anashauri viongozi wapya, na kuwasaidia kuchagua kinachohitajika sana kwa haraka.<br />
Kumbuka kwamba kazi za msaidizi wa jimbo ni:<br />
Kuwa na karakana au msururu wa mikutano kuwa na mafundisho ya uchungaji katika<br />
maeneo yaliyopuuziwa.<br />
Tafuta na kufundisha wakufunzi wengi kati ya viongozi, Mfano wa ujuzi unaohitajika kushauri<br />
viongozi wengine.<br />
Peana vifaa vinavyo elekea kushauri viongozi wapya (Kwa kiwango chao),<br />
na kwamba ulenge kuzidisha makanisa.<br />
Fanya makanisa kuzidishwa, kwa kuwasaidia wanofundishwa kushauri<br />
viongozi wapya.<br />
Weka rekodi ya ni nani anayemshauri nani, wapi, na kwa matokeo gani. Kwa ramani kubwa<br />
ya Jimbo na majina ya washauri waliotumwa juu yake yaweza kuwa ya msaada sana.<br />
Kusanya habari ya watu waliopuuziwa, wa nafasi za mafundisho, na wa mikutano mipya.<br />
Tumia habari nzuri ku 1) Omba 2) panga na 3) kutarifu makanisa ili waweze kuomba, pia.<br />
Panua kazi kwa watu wale wamepuuziwa na majimbo, kuruhusu watenda kazi pamoja<br />
kusaidia kupanga mikutano ya kuwafikia.<br />
Panga tena mtandao wa mafundisho (na/au minyororo ya uhusiano) ushauri unapokoma<br />
kwa sababu yeyote.<br />
Ongeza wasaidizi zaidi ..
Wenye shauku na uwezo wa kufanya mafundisho ya uchungaji na washauri.<br />
Kutohusika sana katika huduma zingine, ambazo zaweza kukufuruga<br />
Uwezekano wa kushikilia kuifanya kwa miaka mingi (sio cheo cha kuchaguliwa kwa muda)<br />
Pia:<br />
1) Epuka kuvunjika kwa mawasiliano<br />
2) Epuka kutokuwa na shabaha<br />
3) Epuka kuchelewa isiohitajika<br />
4) Epuka sharia nyingi ndogo ndogo zisizo la lazima.<br />
Vidokezi vya wasaidizi wa Jimbo<br />
Chunguza ni makundi hani ya watu na ni wapi wamepuuziwa katika jimbo, na kufanya mipango ya wanafunzi<br />
kuingia maeneo hayo.<br />
Washauri viongozi wa kanisa mpya.<br />
Wasaidie wengine kuwatambua pia na kuwashauri wanafunzi wapya.<br />
Fundisha wengine pia kuwa wasaidizi kiasi kwamba wanfanya kama walivyoonyeshwa.<br />
Inua huduma zote za Agano Jipya katika makanisa mapya.<br />
Peana vifaa vya mafundisho<br />
Andaa washa, lakini usizitegemee<br />
Tadhmini matokeo ya uwazi.
Muhtasari za kuongezea<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
_________________________________________________________________________________<br />
________________________________________________________________________________
Kuhusu Mwandishi<br />
O’Connor na Currah katika Rahim Yar Khan, Pakistan<br />
Galen Currah, aliyefanya startachurchnow.com amehudumu kama mkurufunzi na mshauri na<br />
watenda kazi katika nchi kadhaa. Yeye ni ndiye chanzo cha kweli cha kujifunza juu ya utendaji CPMs<br />
kadhaa. Ingawa alistaafu, Galen anaendelea kusafiri na kufundisha ulimwenguni, na umbali wake ni<br />
barua pepe kutoka kwa uwekezaji wa dhamani wa watenda kazi wa CPM wanaotilia maanani amri<br />
ya Kristo ya kwenda na kufanya wanafunzi. Kuwasiliana na Galen: galencurrah@paul-timothy.net<br />
Patrick O’Connor, D.Miss., na mke wake Debbie walianzisha mwondoko mpya wa kusisimua wa<br />
makanisa ya mashambani, Hondua mashariki, walipohudumu kutoka 1993 hadi 2009. Wakiwa<br />
wamekulia Bihar, India, Patrick sasa amerudi “Asia na zaidi” katika shirika la Action International.<br />
Anafundisha wengine katika nchi zaidi ya 20. Ingawa kituo chake ni karibu Seattle, Patrick na Mkewe<br />
Debbie husafiri na kufundisha sana. Kuwasiliana na Patrick, mwandikie kwa: scn.patrick@gmail.com
Udhibitisho<br />
“Chochote kinachotoka nje ya uzizi wa Galen Currah na Patrick O’Connor lazima ni kile kinachohitajika.<br />
<strong>Kuanza</strong> kanisa sasa ni kitu ambacho kila mpanda kanisa anahitaji kuwa nacho mkononi kama kitabu cha<br />
jawabu kwa FAQs wote ambacho yeyote angeuliza au kufikiria. Ninahakika kuwa hii itaenda sambamba<br />
katika CPMs kote ulimwenguni.” Victor Choudhrie, MD, Mwandishi wa "Kanisa katika nyumba yako", India.<br />
“Hii imekusudiwa kuchochea mapinduzi ya Falme inayofunuliwa katika siku zetu: Kugundua tena uzalishaji<br />
wa Agano Jipya “uliobadilisha ulimwengu juu chini.” Robby Butler, The Mission Network, USA.<br />
“<strong>Kuanza</strong> makanisa sasa inapeana ushauri wa uzoefu kwa wapandaji makanisa ambao hawavutiwi na<br />
makanisa makubwa, mifumo mikubwa. Miaka mingi ya hekima imejawa na misemo wazi, na vifaa vya<br />
msaada vinapeanwa kwa njia za kupanga upandaji kanisa na kufundisha. Ninakipendekeza kitabu hiki!”<br />
Robert Rasmussen, Mkurugenzi wa, U.S.A. Ministries of One Challenge International.<br />
“Hiki ni cha ajabu. Cha uzoefu.” Chet Burns, Church Planting Catalyst, Malawi, Africa<br />
“Kama ningekisoma miaka 50 iliyopita, ningeliepuka tani ya makosa.!” George K. Patterson, Mwandishi wa<br />
“Train & Multiply.<br />
“Kitabu hiki ni dhahabu ya kiroho. Ujumbe wake uko katika mstari wa mageuzo ya kanisa ya siku kuu ya leo<br />
kurudia kitabu cha Matendo kuwa Mung analeta ulimwenguni kote. Kitabu hiki kina misingi ya Biblia, rahisi<br />
kusoma, Uzoefu mkubwa, chenye hisia za utamaduni, na mikakati ya kulenga mavuno. Hiki ni chombo kikuu<br />
cha kukusaidia kuanza kizazi kipya cha kuzalisha makanisa ya nyumbani haijalishi unaishi wapi.” Dr. Rad Zdero,<br />
Mwandishi wa “The Global House Church Movement and Letters to the House Church Movement.”<br />
“Usiwalete watu kanisani – leta kanisa kwa watu! Kanisa nitapofanyika la uhai kama donge chahu<br />
litajitengeneza lenyewe kwa donge lote. Mruhusu Patrick na Galen wakufundishe jinsi ya kuchukuwa hatua<br />
ya uzoefu kuona kuwa infanyika katika eneo lako!” Wolfgang Simson, Germany. Mwanzilishi wa Nyumba<br />
“That Change the World” and “The Starfish Manifesto.<br />
“Kikundi chetu katika Mongolia kilitumia kanuni za Biblia kirahisi zilizowekwa katika urahisi na umbo la nguvu<br />
katika kitabu unachokishikilia. Tulimuona Mungu akitembea katika Nguvu na mwanzo wa mwondoko wa<br />
uzalishaji wa makanisa na kazi za Mongolia zinaendelea leo, karibu miaka ishirini baadaye.kazi ya Mungu<br />
inayofanywa kwa njia ya Mungu haitapungua matokeo ya Mungu.” Brian Hogan, Mwalimu wa upandaji<br />
kanisa na mwandishi wa "There's a Sheep in my Bathtub: Birth of a Mongolian Church Planting Movement<br />
“Anza makanisa sasa! Ni chombo rahisi, kinachofaa na cha uzoefu sana kwa uzalishaji wa kanisa.” Xi Tey”, NE<br />
India<br />
“Wachungaji wahitaji ulimwenguni kote wanataka uzoefu, msaada wa kiBiblia katika kupanda makanisa. Hiki<br />
ndicho kitabu kwa utukufu wa Mungu.” Doug Nichols, Mwanzilishi wa, Action International<br />
“Nilijipata mwenyewe nikisema “Ndiyo!” kutoka kwa ukurasa hadi ukurasa nilipokisoma.” Felicity Dale.<br />
Mwandishi wa, An Army of Ordinary People; Mwandishi mwenza, The Rabbit and the Elephant!