10.07.2015 Views

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA - infonom

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA - infonom

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA - infonom

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>ONYO</strong> <strong>LA</strong> <strong>MWISHO</strong> <strong>KWA</strong> <strong>DUNIA</strong>MPANGO WA ULIMWENGU MPYA UNAKUJA!■ Viongozi Wa UlimwenguWanautaka■ Unao Watetezi Wengi■ Ulitabiliwa miaka elfu mbiliiliopita■ Umekaribia sana■ Utauteka UlimwenguNiwazo Kubwa: mpango mpya waulimwengu, wakati mataifa mbalimbali wanapo sukumwa pamojakwa kusudi la pamoja... ni Marekanipekee ambayo ina msimamo thabitina uwezo wa kuusukuma mbele.George Bush, asema Katika Gazetila, Los Angeles Times, Feb. 18,1991.“Chini ya uongozi shupavu waPapa Yohana Paulo II, makaoMakuu ya Vatikani yaidhinishamahali pake katika ulimwengukama sauti ya Kimataifa. Ni haki tuya kwamba nchi hii ya marekamindio tu inayoonyesha heshima kwaVatikani kwa kuielewa kamamsuluhishi au mpatanishi na kamataifa katika ulimwengu.” DanQuayle, Mwito kwa Baraza laUmarekani, Septem-ba 22, 1983.“(Yohana Paulo II) asizitiza yakwamba watu hawana tumaini laketegemewa kwa kuiunda serikaliinayojitegemea, mpaka tu iwe chiniya msingi wa Ukristo wa Katolikaya Kirumi.” M. Martini, Keys of thisBlood, ukurasa wa 492.“Umoja wa Mataifa Viongozi waKamati ya Ulinzi wa kimataifawalikuwapo hivi leo huko New Yorkkatika mkutano wao mkubwa,wakiwa tayari kuiweka Umoja wa“Upende usipende, tayari au la, zote tumehuzishwa ndani na nje,bila kizuizi chochote, katika njia tatu za mashindano ulimwenguni.Wengi wetu si washindani, lakini ni wahusika kwa vilemashindano ni nani atakayeiunda serikali ya kwanza yamuungano, ambayo haijawahi kutokea katika jamii za kimataifa....Shindano liko nje kwa sababu tayari limeanzishwa, na hakunanjia ya kulirudisha nyuma au kulikomesha”. Malachi Martini, Keysof this Blood, kurasa 15.❏nchi za Mataifa kuwa katikati yampango huu wa ulimwengu mpya nakuyasukumia mapatano ya umojakuhusu kulete amani na ulinzi wasilaha....“Mkutano wa viongozi wa Kamatiya Ulinzi wa nchi 15 ndio wa kwanzatangu mwaka wa 1945 kamati, ilio na1uwezo mkubwa wa Umoja waMataifa, imekutana katika kilelechake.” Birmigham News, Jan. 31,1992.“Wenzetu tulio wa miaka chini yasabini twaweza tuk-aona msingi waserikali ya Ulimwengu mpyaukiwekwa. Wenzetu tulio wa chini ya■ Ni vipi ya kujiandaa kwa huompango■ Jinzi ya kuepuka huompango■ Mwanguko wake wa ghafulana wa mwisho ulitabinwa■ Ni wakati wake wa kipekee■ Ni mpango mpya halisimiaka arobaini hakika hapanashaka kuishi katika utawala wakewa kishenzi, utendaji, na mamlakasawa. Kweli, watatu hawa wanashindana na muda unapoendeleawengine wengi wengi bali nahawa watatu-wanaongea juu yampango wa ulimwengu mpya siokama kitu ambacho ki karibusana.” M. Martin, Keys of thisBlood, 15-16.“Ndoto juu ya Mpango. Kamavile mawazo ya mageuzi mengi,Umoja wa Ulaya sio wazo mpyabali ni la zamani ambalolimefufuliwa. Ndoto la mpango naumoja ulioonekana katika Rumi yaKaisari ulidumu katika Zama zaKati (au zama za giza) sio tu katikaKanisa la Katoliki la kirumi bali piakatika milki ya Rumi takatifu.” Jaridala Time, Oktoba 6, 1961.“Kile ambacho kimekuwakikisukumwa mbele chini yaMapatano ya Rumi katika Soko laPamoja, limefunishwa sana, nahata kunyooshwa sana, na kwanguvu kuwazuia watawala waserikali, ambacho ni wazi kabisa yakwamba kina jaribu kulete msingiwa kiuchumi wa Milki ya RumiTakatifu katika ulaya.” ChristianScience Monitor, 1962.❏MAREKANI - UPAPA - UMOJA WA MATAIFA


JE RUMI ITATAWA<strong>LA</strong> ULIMWEGU TENA?Sio juhudi la jarida hilikushambulia watu binafsi balini kutoa historia na kibibiliaunabii uliotabiriwa katikampangilio wa dini ya Kikatolikisiku za usoni.MAPATANOYA KIFOMTUME PAULO, katikabarua yake ya pili kwaWathesalonike,alitangulia kutabiri juu ya uasi mkuuambao matokeo yake yangeletakusimamishwa kwa uwezo wa kipapa.Alitangaza kwamba siku ya Kristohaitakuja, “usipokuja kwanza uleukengeufu, akafunuliwa yule mtu wakuasi mwana wa uharibifu; yulempingamizi ajiinuaye nafsi yake juu yakila kiitwacho mungu, au kuabudiwa;hata yeye mwenyewe kuketi katikahekalu la Mungu, akijionyesha nafsiyake kana kwamba yeye ndiyeMungu.” Na zaidi ya hapo, mtumepaulo alionya wandugu wake wa imanikwamba “maana ile siri ya kuasi hivisasa inatenda kazi.” 2 Wathesalonike2:3-4,7. Hata mwanzo wa nyakatihizo, aliyaona yakinyemelea kuingiakanisani, makosa ambayoyangeandaa njia kwa kukua kwaupapa.Kidogo kidogo, kwanza kwa siri nakimya, na wazi zaidi ilipokuwaikiongezeka kwa nguvu na kuyategamawazo ya watu, “siri ya uasi”iliendeleza mbele udanganyifu wakena kazi yake ya makufuru. Karibukutoonekana kabisa mila za kishenzizikapata mahali kuingia katika kanisala Ukristo. Ile roho ya mapatano nakufanana ilizuiliwa kwa muda namateso makali ambalo kanisalilifumilia chini ya kishenzi. Lakinimateso ilipokoma, na Ukristo kuingiamajumba ya wafalme, kanisa likawekakando unyenyekefu wa kristo namitume wake kwa kujitakia makuu nakiburi ya makuhani na viongozi wakishenzi; na katika sehemu ya sheriaya Mungu, badala yake likabandilishaelimu na mafundisho ya watu.Kuongoka nusu kwa Costantino,katika mwanzo wa karne ya nne,kulileta shangilio mkubwa; naulimwengu, ukiwa umefunikwa mfanowa nguo ya haki, ukaingia kanisani.Sasa kazi ya uharibifu ikaendeleambele kwa kasi. Ushenzi,ulipoonekana kushindwa, badala yakeukashinda. Roho wake akatawalakanisa. Mafundisho yake, sherehezake, na mambo ya uchawivikashirikishwa katika imani na ibadaza wanaokiri kuwa Wakristo.Mtu wa KuasiMAPATANO hayo kati yakishenzi na Ukristo yalitokeakustawi kwa yule “mtu wa kuasi”aliyetabiriwa katika unabii kuwampingamizi ajiinuaye nafsi yake juu yaMungu. Utaratibu huu wa dini yauongo ni kazi bora ya nguvu zaShetani-ni nguzo ya juhudi yake yeyemwenye kukaa katika kiti kuitawaladunia kulingana na mapenzi yake.Shetani alijitahidi awali kufanyamapatano na Kristo. Alimjia Mwanawa Mungu katika jangwa ya majaribu,akimwonyesha Yeye falme zote zaulimwengu na utukufu wake wote,akamuahidi kutoa vyote mikononiMwake ikiwa Angekiri utawala wahuyu mfalme wa giza. Kristoalimkemea mshawishi huyo mwenyekiburi na kumtukuza. Lakini Shetanihuleta majaribu hayo kwamwanadamu. Kwa kupata faida zaulimwengu na heshima, Kanisalikaongozwa kutafuta upendeleo nadunia; na baada ya kumkana Kristo,akashawishiwa kutoa utiifu kwamwakilishi wa Shetani askofu waRumi.Msingi wa UpotovuNI MOJA yapo ya mafundishotangulizi ya Kirumi ya kwambapapa ndiye kichwa halisi cha kanisala Kristo ulimwenguni, ambayeamezingirwa na uwezo wa utawala juuya maaskofu na wachungaji katikapembe zote za ulimwengu. Zaidi yahayo, papa amepewa jina la Mungu.Amekuwa akiitwa kwa umbo la2“Mungu Bwana Papa,” na amekuwaakinenwa kuwa asiyeanguka. Yeyehutaka watu wote wamsujudie. Dai lilelile Shetani alisisitiza katika jangwa lamajaribu anaendelea kusisitiza kupitiaKanisa la Rumi, na idadi kubwa yawatu wako tayari katika heshima zake.Lakini wamchao Mungu nakumheshimu hukumbana na madaihaya ya kujiinua-juu ya Mbingunikama vile Kristo alivyo kumbana na“Hapa duniani tunashikiliapahali paMungu Aliye Juu.”Papa leo XIII, Katika baruakitabu cha maarifu juni 20 1894.ushawishi wa yule mjanja: “MsujudieBwana Mungu wako, umwabudu yeyepeke yake.” Luka 4:8. Mungu hajawahikudokeza katika Neno Lake yakwamba Yeye amemteuwa mtu yeyote kuwa kichwa cha kanisa.Fundisho la utawala wa kipapahupinga kabisa mafundisho yaMaandiko. Papa hawezi kuwa nanguvu juu ya kanisa la Kristo ila tu kwaunyang’anyi.Warumi wameshikilia katika kuletauzushi juu ya Waprotestanti nakujitenga katika kanisa la kweli. Lakinilawama hizi zina walenga haowenyewe. Hao ndio walioi-shushachini bendera ya Kristo na wakajitengana “imani iliokabidhiwa watakatifumara moja tu.” Jude 3.Vumbuzi la UongoSHETANI alijua sawa kabisa yakwamba Maandiko MatakatifuChurch of St. Peter, Romeyangewezesha watu kutambuaudanganyifu wake na kupinga nguvuzake. Ni kupitia kwa Neno hiloMwokozi wa ulimwengu alizipingashambulizi zake. Katika kila shauri layule adui, Kristo alitoa kinga la ukweliwa umilele, akisema, “imeandikwa.”katika kila shawishi la yule adui,Aliupinga akitumia hekima na nguvuya Neno. Ili Shetani audumisha mvutowake juu ya watu, na kusimamishauwezo wa unyanganyi wa kipapa, nimpaka angefanya wasiyajueMaandiko. Bibilia ingemwinua Munguna kuwaweka wanadumu katikamahali pao halisi; kwa hivyo, kweli zaBibilia zingefichwa na kukanyagiwachini. Na elimu hii ilibuniwa na Kanisala Kirumi. Kwa mamia ya miakausambazaji wa Bibilia ulikataliwa.Watu walikatazwa kusoma au kuwanayo manyumbani mwao, namakuhani wasio na msingi namaaskofu wakatafsiri mafundishoyake ili kutosheleza ubinafsi wao. Kwahivyo papa akawa Mungu duniani,ambaye amevikwa mamlaka juu yakanisa na serikali.❏KUSUJUDUKISHENZIFUMBUZI la uogo lilipoondolewa,Shetani akafanyakulingana na mapenzi yake.Unabii ulikuwa umetangaza kwambaUpapa “ungefikiria kubadili maji ra na


Kuelewa Pahali Rumi Inaongoza Yapaswa Tujue Historia yake ya Zamani.sheria.” Danieli 7:25. Jitihada hiihaikujaribiwa pole pole. Ili kujipatiawaumini kutoko kwa mataifa badilikola ibada ya sanamu, na hasa kuinuaUkristo wao wa jina tu, ibada yasanamu na makumbusho ya wafuiliingizwa pole pole katika ibada yaWakristo. Amri ya kamati kuumwishowe ikajenga utaratibu huu wauabuduaji wa sanamu. Ili kukamilishakazi hii ya kukufuru, Rumi ikawaziakuiondoa kutoka kwa sheria zamungu amri ya pili, inayokatazauabuduaji wa sanamu, na kugawanyaamri ya kumi, ili waendelee kuwa nahesabu kamili.Mapatano YaendeleaROHO WA kukubali mambo yakidunia iliendelea kufungua njiazaidi ya kupuuza uwezo wa Mbinguni.Shetani, akifanya kazi kupitia kwaviongozi waasi wa kanisa, wakaiharibupia sheria ya nne, na kuijaribu kuwekakando Sabato ya zamani, sikuambayo Mungu aliibariki na kutakasa(Mwanzo 2:2-3), na badala yakekuinua siku ya sherehe ilyokuwainatunzwa na mataifa kama “siku yaheshima ya juu.” Kwa mara ya kwanzabadiliko hili halikujaribiwa dhahiri.Katika karne za kwanza Sabato yakweli ilitunzwa na Wakristo wote.Walikuwa na wivu kwa heshima yaMungu, na, wakiwa na imani yakwamba sheria yake, ni imara, kwajuhudi wakatunza usafi wa maagizoyake. Lakini kwa ujanja mwingiShetani akafanya kazi kupitia kwawaakilishi wake ili kutimiza lengo lake.Ili mawazo ya watu yapate kuvutwakwa Jumapili, ikafanywa kuwa ni sikuya sherehe kwa kuheshimu ufufuo waKristo. Mikutano ya kidini ilifanywakatika siku hiyo; na huku siku hiyoilitunzwa kama siku ya burudiko, hukuSabato ikiendelea kutunzwa. Kwakuiandaa njia ya kazi yake alioipangakuikamilisha, Shetani kabla ya kurudikwa Kristo, alikuwa amewaongozaWayahudi, kuilemesha chini Sabatona maagizo magumu, kwa kuifanyautunzaji wake kuwa mzigo. Sasa, kwakuiichukulia nafasi ya nuru ile yaIUsiwe na Miungu mingine ila mimi.IIUsijifanyie sanamu ya kuchonga, walamfano wa kitu cho chote kilicho juumbinguni, wala kilicho chini duniani,wala kilicho majini chini ya dunia.Usivisujudie wala kuvitumikia; kwakuwa mimi, BWANA, Mungu wako, niMungu mwenye wivu; nawapatilizawana maovu ya baba zao, hata kizazicha tatu na cha nne cha wanichukioa,nami nawarehemu maelfu elfuwanipendao, na kuzishika amri zangu.IIIUsilitaje bure jina la BWANA, Munguwako, maana BWANA hatamhesabiakuwa hana hatia mtu alitajaye jina lakebure.IVIkumbuke siku ya Sabato uitakase. Sikusita fanya kazi, utende mambo yakoyote; lakini siku ya saba ni Sabato yaBWANA, Mungu wako siku hiyousifanye kazi yo yote, wewe, walamwana wako, wala binti yako, walamtumwa wako, wala mjakazi wako, walamnyama wako wa kufuga, wala mgeniuongo ile aliowafanya wengi kuiamini,akatoa dhihaka juu yake akasema etini sheria ya Wayahudi. Kwa kawaidaWakristo wanapoendelea kutunzaJumapili kama sherehe ya furaha,akawaongoza, ili apatekuwaonyesha uadui dhidi yaWayahudi, kwa kuifanya Sabatokuwa siku ya kufunga, huzuni nasiku ya utusitusi. ❏BADILIKOTHUBUTISheria za MUNGUMWANZO wa karne ya nnemfalme Costantinoaliipitisha sheria yakuifanya Jumapili kuwa ya shereheya wote katika enzi ya Kirumi. Siku yajua iliheshimiwa na wafuasi wakipagani na Wakristo pia; zilikuwa hilaza mfalme kuunganisha Wakristo.Alisukumwa kufanya hili na maaskofuwa kanisa, waliokuwa, na tamaa nakiu ya utawala, wakifikiria ya kwambaaliye ndani ya malango yako. Maana,kwa siku sita BWANA alifanye mbingu,na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo,akastarehe siku ya saba; kwa hiyoBWANA akaibarikia siku ya Sabatoakaitakasa.VWaheshimu baba yako na mama yako;siku zako zipate kuwa nyingi katika nchiupewayo na BWANA, Mungu wako.VIUsiueVIIUsiziniVIIUsiibeIXUsimshuhdie jirani yako uongoXUsiitamani nyumba ya jirani yako,usimtamani mke wa jirani yako; walamtumwa wake, wala mjakazi wake, walang’ombe wake, wala punda wake, walacho chote alicho nacho jirani yako.3Kutoka 20:3-17siku hiyo ikiabudiwa na wote Wakristona watu wa mataifa, ingeinuaukubaliaji wa Ukristo nusu ya upaganina kwa hivyo kuendeleza uwezo nautukufu wa kanisa. Lakini huku wengiwa Wakristo wacha-Munguwalisukumwa pole pole kuitakasaJumapili kama siku takatifu, na piawaliishikilia Sabato ya kweli kuwatakatifu kwa Bwana, na wakaitunzakulingana na utiifu wa amri ya nne.Mdanganyifu mkuu hakuwaamemaliza kazi yake. Alinuiakukusanya ulimwengu wa Wakristochini yake na kudhihirisha nguvu zakekupitia kwa huyo mdanganyifuanayedai kuwa mwakilishi wa Munguduniani, askofu huyo mwenye kiburianaye dai kuwa mwakilishi wa Kristo.Kupitia kwa wapagani walioongokanusu, maskofu wenye tamaa, na watuwa kanisa waupendao ulimwenguShetani akalikamilisha kusudi lake.Mikutano mikubwa ilifanywa mara kwamara, ambayo wakuu wa kanisawalikusanyika kutoka ulimwengu kote.Na katika kila kikao Sabato iliyowekwana Mungu ilishushwa chini kidogo,Sheria Ta munguiuvtobad na mwanadamuIMimi ndimi Bwana mungu wako. usiwe na miungumingine ila mimi.(Amri ya pili Imeondolewa)II (III)Usilitaje bure jina la Bwana mungu wako (hakika ni tatatu)III (IV)Uikumbuke kuitunza kwa utakatifu siku hii ta sabato (kwahakika ni ya nne, na sheria hii ya sabato imegeuzwakabisa)IV (V)Waheshimu baba na mama (hakika ni ya tano)V (VI)Usiue (kwa hakika ni ya sita).VI (VII)Usizini (kwa hakika ni ya saba).VII (VIII)Usiibe (hakika ni ya nane).VIII (IX)Usimshuhudie jirani yako uongo (kwa hakini ni ya tisa,sehemu ya kwanza)IX (Amri ya X sehemu ya kwanza)Usimtamani mke wa jirani yako (hakika ni ya kumi,sehemu yake ya kwanza)X (Amri ya X sehemu ya pili)Usitamani mali ya jirani yako (hakika ni ya kumi Sehemuyake ya pili)Katekisimu ya wakatoliki wote.huku Jumapili ikiinuliwa juu. Kwa hivyosiku ya sherehe ya kipagani ikajakutukuzwa na kuheshiwa kama sikutakatifu, huku Sabato ya Bibiliaikakanyagiwa chini kuwa mabaki yaWayahudi, na walioendelea kuiabuduwakatangazwa kuwa wamelaaniwa.Kuondolewa kwa Muhuri waMuumbajiMUASI MKUU alishinda kwakujiinua mwenyewe “kwa chochote kiitwacho Mungu, aukuabudiwa.” 2 Thesalonike 2:4.“Jumapili ni amri ya kikatoliki,na uabuduaji wake wawezakuhifadhiwa tu chini yamisingi ya kikatoliki.... tokamwanzo hadi mwisho wamaandiko hapana kurasa hatamoja inayodhihirisha badilikohili la ibada ya kila juma tokasiku ya mwisho ya kwanza”Chapa ya Katolika Sydney,Australia Agosti 1900.Sabato ilitunzwa na wakristo wote katika karne za kwanza.


“Ya kwamba kanisa lakirumi limemwaga damuisiyo na hatia kuliko kanisalolote ambalo limewahikuweko katikati yamwadamu.” W.E.H. Lecky.Historia ya kuinuka na mvutowa elimu ya binadamu kuleuroba sehemu ya 2 kuraza ya62, 1910.Ni kisio hesabu ya vifo40,000 vya wakristo ambaohuwawa kila mwaka wakatiupapa huwepo, Historia yaKirumi, kurasa za 541-542.Amejaribu kubadili amri ya pekeekatika sheria za Mungu ambayodhahiri inawaelekeza watu kwaMungu wa kweli aishie. Katika sheriaya nne, Mungu amedhihirishwa kamaMuumbaji wa mbingu na nchi,na hivyo“Kwa kichwa cha mfalme wa mjimkuu wa vatikani na kile cha kanisakatoliki la kirumi, karoi wojtyla (yaanipapa yohana) ajadilia namna yauwezo ambao ungegawanywa kati yawanabiashara katika mambo yaulimwengu.” Kweli kanisa lakelilikuwa na waongovu nusu zaidi yamilioni 907 ambao ni karibu asilimiakumi na nane ya watu katikaulimwengu wa sasa. Alikuwa namakuhani 483, 488 na karibumaaskofu watukufu 3,000 watumikiaovituo vya makuhani 211, 156 ambayovinaunda majimbo 1,920 duniani namajimbo makubwa 513. Shirika lakela Muungano limejumulisha shule zamisingi, vyuo vikuu, majengo yauchuuguzi, vituo vya sayansi namatibabu kwa watu wote,mahospitali, nyumba za watawamakanisa, makanisa makuu yamajimbo ya askofu, makanisamadogo, vituo vya kidini, majumba yaubalozi, majumba ya kuhifadhi hati natarehe, maktaba, sanaa, magazeti.Bohari, majumba ya uchapishaji,vituo vya redio na televisheni. Kwahakika tena, Anashikilia Benki yakemwenyewe ya vatikani, pamoja nakundi lake la washauri wa kimataifawanaohudumia katika farada ya baruakatika mashamba na akiba ndani yakila sehemu ya ulimwengu wabiashara na uchumi. Keys of thisBlood, kurasa 111, M. Martino.basi kubainishwa kutoka miungumingine ya uongo. Ilikuwa ni yakumbukumbu ya kazi ya Umbaji ili sikuya pumziko kwa mwana-damu. Ilikuwani kusudi la mhifadhi Mungu aishiedaima katika mawazo ya watu kamamuumbaji wa viumbe vyote naanayefaa heshima na lbada. Shetanihupigana vita kuwageuza watu kutokakwa utiifu wao kwa Mungu, na piawanapoonyesha utiifu kwa sheriaZake; hivyo basi anaelekeza juhudizake hasa juu ya sheria inaonyeshaMungu kama Muumbaji.Madhehebu ya Waprotestantiyanasisitiza kuwa kufufuka kwa Kristokatika siku ya Jumapili ndio ilifanya sikuhiyo kuwa Sabato ya Wakristo. Lakinihapo hakuna ushahidi wa Maandiko.Kristo hakutoa heshima kwa siku hiyowala wanafunzi Wake pia.KUTAWAZWA kwa Kanisa laKirumi kwa mamlaka ndiyoulikuwa mwanzo wa Zamaza Giza. Jinzi nguvu zakezilivyoongezeka, giza ikaongezeka.Imani ikahamishwa kutoka kwa Kristo,ambaye ni msingi wa kweli, mpakakwa papa wa Kirumi. Badala yakumtumainia mwana wa mungu kwamsamaha wa dhambi na wokovu wamilele, watu wakamuangalia papa, namakuhani na maaskofu ambao papaaliwapa uwezo huo. Walifunzwa yakwamba papa ndiye mpatanishi waohapa dunia na hakuna mtuangemkaribia Mungu ila kupitiakwake; na, zaidi hasa, kwa kusimamapahali pa Mungu kwa ajili yaoangepaswa kuabudiwa kikamilifu.Kujitenga kutoka kwa maagizo yakeilikuwa sababu ya kutosha kwamateso makali ambayoyangewaangukia miili na roho yawaasi. Kwa hivyo mawazo ya watuyakageuzwa kutoka kwa Mungu hadianayeanguka, wakosaji, na wakatili,hasa na, zaidi, kwa mkuu wa gizamwenyewe, ambaye huonyeshanguvu zake. Dhambi ikafunikwa katikanguo ya utakatifu. Wakati Maandikoyanapokanyagiwa, na mwana-damukujifanya kuwa kama Mungu, twahitajikutazamia tu ulaghai, udanganyifu, nauasi wa ufisadi. Kwa kuinuliwa kwa4Toka Rumi ya Kishenzi HadiRumi ya KipapaKATIKA karne ya kumi na sitautawala wa Kipapa ulikuwaumesimama imara. Na askofu waRumi akatangazwa kuwa kichwa chakanisa kwa jumla. Dini ya Kishenziilitoa nafasi kwa Upapa. Yule jokaalikuwa amempa myama “nguvuzake, na kiti chake cha enzi, nauwezo mwingi.” Ufunuo 13:2. Nahapo ndipo ikaanza ile miaka 1260ya mateso ya kipapa iliotabiriwakatika unabii wa Danieli na Ufunuo.Danieli 7:25; Ufunuo 13:5-7.Wakristo walilazimishwa kuachaunyofu wao na kukubali sherehe zakipapa na ibada, au sivyo kuyaharibumaisha yao katika gereza amakuuwawa kwa kutundikwa, aukutundikwa kwa miti, au kwasheria za mwanadamu na desturiilidhiihirisha uharibifu ambao hutokeakwa kuweka kando sheria ya Mungu.Siku za HatariSIKU HIZO zilikuwa siku za hatarikwa kanisa la Kristo. Injili ikawaimepotea, lakini desturi za kidinizikawa zimeongezeka, na watuwakawa wameleweshwa na kodi zaudhalimu. Hawakufunzwa tu juu yakumwangalia papa kama mpatanishi,bali kutegemea kazi zao kwamsamaha wa dhambi. Misafaramirefu, matendo ya kutubu, ujenzi wamakanisa, na sanduku ya mifupa yawafu, na madhabahu, malipo ya pesanyingi kwa kanisa hiyo na mengineyafananayo na hayo matendoyaliunganishwa ili kutuliza hasira yaMungu au kupata pendekezo lake;kana kwamba Mungu ni kamawanadamu, wa kukasirishwa kwamambo ya mchezo, au kufanya amanikwa zawadi ama matendo ya toba!Giza likaonekana likikuwa sana.Kuabudu sanamu ikawa kitu chakawaida. Mishumaa ikawashwa mbeleya sanamu, na maombi ikatolewa kwahizo sanamu. Desturi za upuzi na zauchawi zikashinda. Mawazo ya watuyakawa yametawaliwa na mambo yawachawi hivi kwamba fahamu za watuzikawapotea. Huku makuhani nakuuwawa na shoka. Ndipo sasaikatimia maneno ya Yesu: “Nanyimtasalitiwa na wazazi wenu, nandugu zenu, na jamaa yenu, na rafikizenu; na watawafisha baadhi yenu.Nanyi mtachukiwa na watu wote kwaajili ya jina langu.” Luke 21:16-17. Namateso yakaenea kwa watakatifukwa hasira nyingi kuliko hapo awali,na ulimwengu ukawa kiwanjakikubwa cha vita. Kwa mamia yamiaka kanisa la Kristo lilipata kimbiliokatika mafichoni na mahali penyegiza. Basi asema nabii: “Yulemwanamke akakimbia nyikani,ambapo ana mahali iliotayarishwa naMungu, ili wamlishe huku muda wasiku elfu na mia mbili na sitini.”Ufunuo 12:6.❏ZAMA ZA GIZA ZAANZAmaskofu walikuwa wenye kupendaanasa, na waharibifu, ingetarajiwa tuya kwamba watu wanaowangalia haokwa uongozi nao pia wangezamishwandani ya ujinga na uasherati.Askofu Mwenye KiburiHATUA nyingine ndani yamajivuno ya kipapaikachukiliwa, ambapo, katika karne yakumi na moja, Papa Gregory wa sabaalitangaza ukamilifu wa Kanisa laRumi. Kati ya maazimio ambayoalitangaza moja yapo ni ile ya kwambakanisa halijakosa, na halitaanguka,vile yanavyosema Maandiko. Lakiniushahidi wa Maandiko hauambatanina madai hayo. Askofu huyu mwenyekiburi alidai pia kuwa ana uwezo wakuondoa wafalme, na kutangaza yakwamba hakuna yeyoteatakayerudisha nyuma maamuzialiyoyatamka, lakini kwambaanamamlaka yake kuirudisha nyumamaazimio ya wengine wote.Ni tofauti ya namna gani kati yakiburi kingi cha huyu askofu mwenyekujiinua na upole na unyenyekefu waKristo, ambaye amejiwakilisha Yeyemwenyewe mlangoni pa moyo, iliYeye apate kuingia na kuleta samahana amani, na aliyewafunza wanafunziWake ya kwamba: “Na mtu ye yoteanayekuwa wa kwanza kwenu, na


awe mtumishi wenu”. Mathayo20:27.❏GIZA<strong>LA</strong>ENDELEAKUENDELEA kwa karnenyingi kukashuhudiakuongezeka kwa makosayaliyotolewa kutoka Rumi. Hata kablaya kusimamishwa kwa Upapa,mafundisho ya walimu wa kishenziyalikuwa yamekubalika kwa kuingizamfuto kanisani. Wengi waliodai kuwawameogoka pia walikuwawanaendelea kushikilia mafundishoya walimu wa kishenzi, nahawakuendelea na mafundisho yakehao wenyewe, waliwasukumiawengine kama njia ya kuendelezamvuto wao kati ya wasioamini.Makosa makubwa yakaingizwa ndaniya imani ya Wakristo. Ya mbele mbelekati ya hayo ilikuwa ni imani juu yakutokufa kwa mtu wa asili na yeyekujifahamu akiwa angali amekufa.Fundisho hili likaweka msingi ambaoRumi ilisimamisha mafundisho kuhususala za watakatifu na kumuabuduBikira Mariamu. Ambapo kutokana nahili kukatokea pia uzushi kuhusukuteketezwa milele kwa wasio tubu,ambao mwanzo yalishirikishwa katikaimani ya kipapa.Basi njia ikaandaliwa kwakuingizwa kwa uvumbuzi mwinginezaidi wa kanisa la kishenzi, ambayeRumi iliuita mahali pa ahera, nakufanya kuwa tisho kwa wajinga naumati wa wachawi. Kwa zushi huu nihakikisho la kuwepo kwa pahali pakuteke-tezwa, ambapo roho za waleambao hawajapata laana ya milelewangepata mateso kwa ajili ya dhambizao, na kutokana hapo, wanapowekwa huru kutoka kwa uchafu wao,huruhusiwa kuenda mbinguni.Mali ya UjanjaNA TENA uvumbizi mwingineungelihitajika ili kuiwezeshaRumi kujipatia faida kutoka na hofu naufisadi wa waumini wake. Hili pialilichangiwa kutokana na fundisho la“Papa si mwakilishi tu wakristo yesu, bali ni yesu kristoaliyefichwa ndani ya vazi lamwili.” The Catholic NationalJulai, 1895.kujifurahisha. Ondoleo la dhambikamili, zilizopita, na za leo, na hatawakati ujao, na kufunguliwa kwamaumivu yote yaliahidiwa, kwa walewote wangejiorodhesha katika vita vyaaskofu katika kueneza milki yake yamuda, kwa kuwatesa maadui zake, aukuwafutilia mbali maadui wake wakidini. Watu pia walifunza ya kwambakwa malipo ya pesa kwa kanisawangejifungua wen-yewe kutokadhambini, na pia kuwafungua roho zamarafiki zao waliokufa ambaowamefungwa ndani ya moto uwakao.Kwa pesa hizo Rumi ikajijaziamasanduku na ikadumisha ufahari,anasa, na ufisadi wa wale waakilishiwa yule asiyekuwa na mahali pakuweka kichwa chake.Muumbaji AliumbaAGIZO <strong>LA</strong> maandiko kuhusuPasaka ya Bwana lilikuwalimebadilishwa kwa kafara ya miunguya Misa. Makuhani wa Ki-papawakijifanya, kwa manongonezo yao yabure, ili kuugeuza mkate wa kawaidana divai kuwa “mwili na damu asili yaKristo”- Kadinali Wiseman, “Hali Halisiya Mwili na Damu ya Bwana WetuYesu Kristo katika Ushirika Mta-katifuwa Kikristo, Inaothibitishwa KwaMaandiko,” hotuba ya 8, sehemu ya.3, fungu la. 26. Pamoja na kiburi chamakufuru, wakatangaza wazi kuwa nauwezo wa kumuumba Mungu,Muumbaji wa vitu vyote. Wakristowalihitajika, kwa maumivu ya kifo,kukiri imani yao kwa huu uzushi wakuogofya, wa matukano kwa Mbinguni.Wengi wa watu waliokataawalitupwa kwa moto.5Mamilion ya WaliouwawaKATIKA karne ya kumi na tatundipo kuliposimamishwa kilechombo cha ajabu cha Kipapa-yaanibaraza kuu la kuhukumia wazushi wadini. Mfalme wa giza alitenda kazipamoja na viongozi wa serikali yakipapa. Katika baraza yao ya siriShetani na malaika wake walitawalamawazo ya watu waovu, huku malaikawa Mungu walisimama katikati yaobila kuonekana, wakichukua habari zakutisha za uwekaji nguvu sheria yaoovu na pia wakiandika historia yakutisha sana machoni pa wanadamu.Makundi ya waliouwawa wanamliliaMungu kuwalipizia kizazi juu yautawala huo wa kuasi.“Papa Yohana wa pilialiomba msamaha kwa vita katiya wakatoliki na waprotestantikule ulaya wakati wa kuzuiamatengenezo”. Habari kutokamarekani na habari za ulimwenguJulai 3, 1995.Hii na habari zingine kama hizina stakabadhi ya maungamoyasionyooka kwa jukumu lamamilioni ya wafia dini wakati ulewa zama za giza. Bibilia inatabirikuwa katika nyakati za taabu zilizombele yetu, upapa na wafuasiwake watakibilia tena nguvu zaserikali ili wawazuie wasiokubaliananao.Giza TotoroMAFUNDISHO ya kipapayalikuwa ya udhalimu kwaulimwegu. Wafalme na wenyemamlaka walikuwa wanatii sheria zaaskofu wa Kirumi. Maisha ya watu,wakati huo na umilele, yalionekanakuwa chini ya utawala wake. Kwamamia ya miaka mafundisho yaKirumi yameenea sana nakupokelewa bila swali, kanuni zakezimeadhimishwa na wote. Na wenyemamlaka Kani-sani wamesaidiwakwa ukarimu. Tangu zamani Kanisa laKirumi halikuwa limefikia kiwango chaheshima ya juu, fahari, au uwezokama huu.Maovu Yasiozuilika<strong>LA</strong>KINI “Adhuhuri ya Kipapailikuwa usiku wa manane waulimwengu.”- J.A. Wylie, Historia waWaprotestanti, book 1, ukurasa wa 4.Maandiko Matakatifu yalikuwa karibukutojulikana, sio tu kwa watu, bali kwamakuhani pia. Kama Wafarisaowazamani, viongozi wa Kipapawalichukia nuru ambayo ingeonyeshadhambi zao. Sheria za Mungu,ambazo ni kipimo cha haki, baada yakuodolewa, ndipo walipotumia nguvubila kikomo, na kufanya mambo yaufisadi bila kizuizi. Udanganyifu,tamaa, na mambo ya usheratizikashinda. Watu hawakujitengakatika kila tendo la uhalifu ambalolingewaletea utajiri au madaraka.Majumba ya askofu na upapayalikuwa na matendo ya upotovu yausherati. Baadhi ya maaskofuwaliokuwa wanatawala walikuwa nahatia ya uhalifu wa kuchukiza hataviongozi wa serikali wabaya sanawasioweza kuvumiliwa. Kwa muda wakarne nyingi Ulaya haikufanyamaendeleo katika elimu, ufundi, auutamaduni. Kudhoofika kimwili nakimawazo ilikuwa imeanguka juu yaulimwengu wa Wakristo.Wageuzi wa MafundishoWakataa<strong>KWA</strong> KUKOSEKANA kwa hekimaya Neno la Mungu ndiyo sababuiliyoruhusu Upapa kuta-walaulimwengu katika Zama za Giza.Karibu mwisho mwisho wa zama hizo,jinsi ufahamu wa Neno la Munguulianza kufunuka, watu walianzakuyapinga maovu yalioenena katikanyakati hizo. Hao WageuziWaprotestanti walirushia mbali pinguza maovu na uchawi yalionekana“Kwa kukiri imani iliyokinyume na kanisa la kirumi,historia inanakili watu zaidi yamilion moja waliouwawa”Muhtasari ya masomo ya Bibilia,ukurasa a 16.“Katika agosti 24, 1527wakatoliki wa kirumi katikaufaranza, kupitia kwa mpangouliotengenezwa chini yawanaojiita kuwa ni wa familia yakristo, wakawaua wakristowasiokubaliana na mafundishoya kirumi elfu sabini, kwa mudawa miezi miwili. Na papaakafurahi aliposikia habari yamatokeo.” Western Watchman,Nov. 21, 1912, (Catholic).


wakati huo, na wakaanza kuruhusunuru ya Neno la Mungu kuangaza.Watu Hawa wakapokea jina la kuitwawanaojitenga, sababu, walipouelewaukweli wa Neno la Mungu walionakuwa ni lazima wakatae na kupingamaasi ya Kikatoliki kama wengekuwawaminifu kwa Mungu. Kwa maranyingine tena katika historia ya sayarihii maarifa ya Neno la Mungu yalikuwayamesahaulika. Linganisha ufahamuWageuzi wa mafundisho kwa Upapana imani ya kizazi hiki cha wakati huu.Mafundisho ya KipapaYakataliwaMARTIN LUTHER alisema,“Najua kuwa papa ni MpingaKristo, na ya kwamba kiti chake ni kilecha ya Shetani mwenyewe. Utawalawa Kipapa ni msako wa wote, ambaoumeamuriwa na askofu wa Kirumi,kwa kusudi la kushusha nakuangamiza roho za watu.”Charles Spurgeon alisema, “Nilazima tuwaonye kwa ushujaa wenyeTANGU HAPO mwanzo wa vitakuu huko mbinguni imekuwani kusudi la Shetanikuangusha sheria za Mungu. Kudanganyawatu, na kwa kuwaongozakuvunja sheria za Mungu, ndio lengoambalo amefuatilia kwa mathubutisana. Iwe ni kwa kutekelezwa kwakuondoa sheria ya Mungu kabisa, aukupuuza mmoja ya maagizo yake,matokeo itakuwa sawa mwishowe.Anayejik-waa katika “Sehemu moja”huony-esha madharau kwa jumla yasheria; mfuto wake na kielelezo chakekatika upande wa kuasi; anakuwa“mkosaji juu ya yote”. Yakobo 2:10.Kwa kujaribu kutia madharau kugeuzamafundisho ya bibilia, na makosaimefundishwa ndani ya imani yamaelfu wanaokiri kuwa wanaaminimaandiko. Pambano kuu la mwishokati ya ukweli na uongo ndiyomashindano ya mwisho ya vita vyamiaka mingi juu sheria za mungu. Juuya mapigano haya ndiyo tunaingiasasa mapigano kati ya sheria za watuna maagizo ya mungu, kati ya dini yaBiblia na dini ya uongo na mafundishoya wanadamu.busara wale wanaojielekeza kwamadanganyifu ya Rumi; ni lazimatuwaambie juu ya matendo ya giza yaUpapa.”John Knox alisema papa ni“mpinga kristo halisi.”John Wesley alisema juu ya Upapakuwa, “bila shaka, yeye ni Mtu waKuasi, kwa vile anavyoongeza kilaaina ya dhambi bila kiwango.”John Calvin alisema, “Tuna-mwitapapa wa Kirumi Mpinga Kristo.”Waprotestanti WasahauYaliopitaHIVI LEO wazao wa watakatifuwalioifia dini wamesahau ni kwanini wanajiita Waprotestani. Tazamaya fuatayo:“Sasa ni wakati kwa Waprot-estanikumwendea mchungaji (papa) nawaseme, ‘Tutafanya nini ili tujenyumbani?’ ” Dr. Robert Schuller,alisema Los Angeles HeraldExaminer, Sebtemba 19, 1987.“Mkuu wa Waprotestanti katikaUkafiri umeenea katika kiwangocha juu, sio katika ulimwengu hasa balindani ya kanisa. Wengi wamefikiakukataa mafundisho ambayo ni msingihasa wa imani ya wakristo, ukwelithabiti uumbaji jinsi inavyotolewa nawanaoongozwa na roho mtakatifu,kuanguka kwa mwanadamu,upatanisho, na kuwako mileie yasheria za mungu, ndiyo inakataliwakwa wazi, iwe ni kwa yote au sehemu,na umati mkubwa wanaokiri kuwawakristo katika ulimwenguni.Wachungaji wengi wanawafundishawatu wao, mwalimu mkuu na walimuwa chini wanawafundisha wanafunziwao, kuwa sheria za munguzimebadilishwa au kutenguliwa; nawale wanaoangalia masharti yakekuwa ni ya muhimu, na ya maana kutii,ndiyo wanafikiriwa kuwa wanafaakudhihakiwa na kudharauliwa.Kufanya Sanamu yaMufundisho<strong>KWA</strong> KUKATAA ukweli, watuwan-amkataa mwanzilishiwake. Kwa kukanyangia chini sheriaza Mungu, wanaukataa uwezo wa6Marekani na makanisa ya ki Otho-doxya Mashariki ambaye walikuwawanakutana na Papa Yohana PauloII katika siku ya Ijumaa alipongezamaongeo yao ya kwanza yamashauriano mengi kuwa nguzo katitanjia ya umoja mkuu.... MchungajiDonald Jones, wa kanisa la wafuasiwa Kanisa la Kimethodisto na ndiyemwenye kiti wa idara ya mafundishoya kidini katika Chuo Kikuu ya CarolinaKusini, aliutaja makutano huo kuwa,“ni mkutano wa umoja tena wa maanana wa muhimu katika karne hii.”...Mchungaji Paul A. Crow Jr., waIndianapoli, msimamizi mkuu waKanisa la Wakristo (Wanafunzi waKristo), naye aliutaja kuwa ni ‘sikumpya katika kuungana pamoja’ kwakufungua nyakati za mbele ambazoMungu ‘anatusukuma kwa pamoja.’ ”Mshauri wa Montgomery, Sebtemba.12, 1987.“Ikiwa mafundisho ya Kikatolikiltaendelea kuwa katoliki halisi katikasiku sijazo, ambazo ninazo zitarajiamtoa sheria. Ni rahisi kutengenezasanamu ya mafundisho ya uongo namambo ya kubahatisha kama vilekuchonga sanamu ya miti au mawe.Kwa kusingizia vibaya juu ya tabia yamungu, shetani huongoza watukumwona yeye katika tabia mbaya nawengi sanamu ya elimu imetawazwakatika mahali pa mungu; Huku munguaishie jinsi amefunuliwa katika nenolake, ndani ya Kristo, na katika kaziya uumbaji, anaabudiwa lakini nawachache. Maelfu wanaheshimuMaumbile huku wakikana mungu wamaumbile. Ingawa ni kwa umbotofauti, uabuduaji wa sanamu zimokatika ulimwengu wa wakristo sasakama vile zilimo kuwamo katikati yawaisraeli katika wakati wa Elija miunguya watu wengi wanaokiri kuwa niwerevu, wa walimu, ya watungamashairi, ya wanasiasa, ya waandishiwa habari miungu ya majumba mengimazuri ya vyama vingi na vyuo vikuuhata na baadhi ya majumba ya walimubora ni kidogo kuliko baal, mungu juaya wafoenike.Hakuna uongo hasa unaokubaliwana ulimengu wa wakristochini ya papa wa wakati wa sasa,ndipo tofauti za kitheologia ltakuwa,ni udanganiyifu, lakini mapatano yetuna wakatoliki juu ya utamaduni waserikali itakuwa na kina kirefu.” DavidWells, Eternity Magazine, Septemba1987.“Mafundisho ya Wakatoliki naWaprotestanti kuhusu maisha yaUkristo inafanana. Je sio ya maanakwa wakristo wa badaye?” J. I.Packer, Ukristo wa Sasa, Juni 22,1992.Waprotestanti wamepoteza asiliyake. Iliteuliwa kupinga na kushutumumakosa ya Rumi. Lakini yuko tayarisasa kukumbatia sasa. Wakatiulimwengu shambulizi ya mwisho yaRumi, maadui wa zamani wanaundaurafiki. Ulimwengu wa Waprotestantiwamesahau ya kwamba wana-husikakatika vita ya umilele, na kwa sababuya kupenda kupoteza maarifa,imekusudiwa kuang-amizwa.❏SHERIA NA MPANGO NDIO JARIBU KAMILIwanayogonga kwa ufasiri juu yasheria za mungu hakuna yanayapingazaidi yale yanayonenwa, hakuna yaliona matokeo mabaya kulikomafundisho ya kisasa, yanayo chukuanafasi kwa haraka sana kiasi kwambasheria za mungu hazina masharti juuya watu. Iwapo kama wachungajiwanao julikana, wangehubiri kwa wazikuwa sheria inaoongoza nchi yao nakutunza haki za wazalendo Sio yalazima-ya kwamba zinazuia uhuru wawatu, na kwa hivyo hazifai kuzitii, nikwa muda gani watu hawawangevumiliwa katika jukwaa? lakini


ni jambo mbaya kupuuza sheria zaserikali na nchi kuliko kukanyangiachini maagizo ya mungu ambayo nimisingi wa Serikali zote?Dhambi Kukosa Kuwa DhambiPOPOTE maagizo ya mbinguniyanakataliwa, dhambi huonekanasi dhambi tena ,na haki ya munguhaipendwi. wale wana-okataakunyenyekea kwa serikali ya mbingunihao hawapaswi kujitawala wenyewe.kupitia kwa mafudisho mabaya rohowa ukaidi huwa amepadwa kwawatoto na vijana, ambao katika uasiwao hawawezi kujizuia, na kuvunjasheria na jamii ya uzinifu ni matokeoyake. huku wakidhihaki imani ya walewanaotii maagizo ya mungu, umati wawatu hupendelea kukubalimadanganyo ya shetani.wanatawaliwa na tamaa na kuendeleakufanya dhambi ambazo zinaletahukumu za mungu kwa mataifa.Jamii Katika MachafukoTAYARI mafundisho ya watukufuguliwa kutoka kuyatiimaagizo ya mungu, fundisho hililimepunguza nguvu za wengi kutokamasharti hayo na kufungua milangoya uasi ulimwenguni. Uvunjaji washeria, ufisadi na machafuko mengiyanaendelea kuingia ndani yetu kamamaji mengi. katika jamii, shetanianafanya kazi. Bendera yakehupepea hata katika jamii ya wakristo.kuna chuki, masengenyo, unafiki,faraka, wivu, vita, kusalitiana, nakujitoa kwa anasa. muungano wotewa sheria na mafundisho ya kidini,ambao ungefanya msingi mwema wamaisha ya umoja, sasa waonekanakuwa ni fungu linalotikisika likiwa tayarikuanguka kwa uangamizi. Wakaidiwale wabaya, wanapotupwa gere-zanikwa makosa yao, mara nyingihuonekana kupewa zawadi nakupokelewa vizuri kana kwambawamepata jina nzuri la kutamanika.tabia yao na uovu hutangazahadharani. Waandishi wa habarihuchapisha uasi wa kuchukiza, hiviwakishawishi wengine kufanya ujanja,wizi na uaji, na shetani hujiinua kwaushindi wa njia ya kishetani. ufisadi,tamaa ya kumwaga damu,kuongezeka kwa hali ya juu yatamaa,haya yote yanapasakuwaamsha wote wamchao mungu,SHERIA ZA MUNGUkuuliza ni nini kitafanywa ili kuzuiamafuriko ya uovu.Sasa Maandiko YakataliwaUASI NA giza la kiroho vilivyo pataushindi chini ya utawala wakirumi, yalikuwa ni matokeo yasioepukika Rumi kugandamiza chinimaandiko matakatifu, na ni wapitutapata sababu ya kuenea kwaukatili, kukataa sheria ya Mungu, namatokeo ya machafuko, chini yamwangaza mkubwa wa injili katikakizazi kilicho na uhuru wa ibada? Kwashetani hawezi tena kuiweka duniachini ya utawala wake kwa kukanyagiachini maandiko, sasa atatafuta njiazingine ili kutekeleza lile kuzudi lake.kwa kuitoa imani katika bibilia, hilihutekeleza kuzudi lake kama vile tukuiharibu bibilia yenyewe. Kwa yeyekufundisha ya kwamba,sheria yamungu haidumu tena, amefaulukuwaongoza watu kuifunja sheriakana kwamba hawakujua kabisamaagizo yake. Na sasa kama zile zakwanza, yeye hufanya kazi kupitia kwakanisa ili kuendeleza matakwa yake.Muungano wa madhehebu ya wakatihuu, wamekataa kuisikiza kweliisiojulikana na ambayo imefunuliwawazi katika maandiko, na kwaKushindana na hayo maandiko,wamejitafutia tafsiri zao na kuchukuwasehemu ambayo imepanda kotembegu za tashwishi.Kwa Kuendelea kushikiliamadanganyo ya upapa juu yakutokufa kwa mwenye dhambi, na haliya mtu wakati amekufa, wameikataakinga ya pekee dhidi ya madanganyoya mizimu. Fundisho juu ya kuteswamilele limewaongoza watu wengikutoiamini biblia. Na jinsi vile madaiya sheria ya nne imesisitizwa kwawatu, imepatikana ya kwambaimefunganishwa kwa kuitunza Sabatoya siku ya saba; na kwa njia yao yakipekee ya kujiepusha na majukumu7ambayo hawataki kutekeleza, haowalimu wenye sifa, hutangazakwamba, sheria ya Mungu haimotena. Kwa hivyo wametupilia mbalisheria na Sabato vyote pamoja. JinziUJANJA WA shetani katika vitavya mwisho na watu waMungu ni sawa tu na ulealioutumia katika mwanzo wa vita kuukule mbinguni. Alidai ya kwambaalitafuta kuiinua serikali ya mbinguni,huku kisiri alikuwa akitafuta njia zakuiangusha. Na kazi ile ile tualiokusudia kukamilisha, aliwawekeamalaika watakatifu. Ujanja kama huowa udanganyifu umeonekana katikahistoria ya kanisa la kirumi. kanisa hililimekuwa likidai ya kuwa ni mwakilishiwa mungu wa mbinguni, hukulikitafuta sana kujiinua juu ya mungu,na kubadilisha sheria zake. Chini yautawala wa kirumi, wale waliouwawakwa utiifu katika injili, walikataliwakuwa ni watenda mabaya,wakasemewa kuwa wam-eshikana nashetani, na kwa kila njia iwezekanavyowalitafutiwa kufunikwa na aibu, ilikuwafanya waonekane machoni pawatu na hata machoni pao wenyewekuonekana kuwa wakaidi wakubwa.kwa hivyo ndivyo tu itakavyokuwa hivisasa. huku shetani akitafuta kuwaangamizawale wanaoshika sheria yamungu, atawafanya washitakiwe kuwawavunja sheria, na kama watu wasiomheshimu mungu na wanaoletahukumu za mungu duniani.Kushurutisha Kwa UkatiliMUNGU hajawahi kulazimishania ya mtu au dhamira, lakininjia ya shetani mara nyingi, ilikuwatawala wale ambao hawaweziakawadanganya hulazimisha kwaukatili. kupitia kwa hofu amalasimisho, hujitahidi kutawala dhamirana kujiletea heshima kwakemwenyewe.ili kutekeleza jambohili,yeye hufanya kazi yake kupitia kwauwezo wa kidini na wa kiserikali,akiwasukumia kuiweka sheria yabinadamu kupingana na sheria yamatengenezo ya Sabatoyanaendelea, kukataa huku kwasheria za Mungu ili kuepuka madai yasheria ya nne kutaendelea sanaulimwenguni.❏ZAMA ZA GIZAZITARUDIWAmungu.Wale wanaoiheshimu sabato yaBibilia,watakataliwa kuwa maadui washeria na mpango, wanaovunjamahusiano na jamii, wanaletamachafuko na uchochezi, na kuletahukumu za mungu duniani. Msimamowa yale yalio katika dhamira zao,utatan-gazwa kuwa ukaidi, utukutu nakudharau mamlaka. Watatukanwakuwa hawana upendo kwa serikali.Wachungaji wale wanaokataamasharti ya sheria ya mbinguni,wataongea kutoka kwa masinagogi,hukumu ya kila mmoja kunyenyekeakwa utawala wa serikali kuwaumechaguliwa na mungu. Katikamajumba ya sheria ya kutoa hukumu,wale wanazishika sheria za munguwataongewa vibaya na kudharauliwa.Mambo ya uongo yatawekewa juu yamaneno yao na katika nia zaowatawekewa mambo ma-baya.Nuru Itabadilishwa Kuwa GizaKAMA VILE makanisa yakiprotestanti yanakataamafundisho wazi ya Bibiliayanayotetea sheria za mungu;watatafuta sana kuwanyamazishawale ambao hawawezi kuwadanganyakwa Bibilia. licha ya hawakujipofisha kwa ukweli kabisa, sasawachukua njia itakayowaongozakuwatesa wale wanaokataa kufanyayale ambayo ulimwengu wa kikristowanatenda, kwa kuku-bali sabato yakipapaKunyimwa Uhuru Wa DhamiraVIONGOZI wa kanisa na serikaliwataungana pamoja kwakuhonga, kushawishi aukuwalazimisha watu wa viwango vyotekuiheshimu Jumapili. Kwa kukosasheria za mbinguni, kutabadilishwa nasheria za kimabavu. Machafuko ya


SHETANI, MPANDA MAOVU, ALITOKA WAPI?Mwanzo wa Dhambi<strong>KWA</strong> MAWANZO ya wengi,mwanzo wa dhambi nasababu yake kuendelea ni chanzocha wasiwasi mkuu.Wanaona kazi ya uovu nimatokeo yake ya kutisha huzuni nawanauliza ni vipi haya yote yawezakuwepo chini ya uongozi wa yulemtakatifu aliye na hekima yambinguni, uwezo na upendo. Nivigumu sana kueleza mwanzo wadhambi ili kutoa sababu ya kuwepokwake. Na zaidi ya hayo yawezakueleweka kuhusu mwanzo wadhambi na mwisho ili kuweka wazihaki na wema wa Mungu katikakujulikana hali ya maoni. Dhambini mdukizi, ambaye kuonekanakwake hakuna sababu ya kutoa.Kama kungelikuwa na kisingizio chakuwepo, kwake ama sababu yakuendendelea kuwepo kwake, basiingekomakutokuwadhambi.Maelezo yetu kuhusudhambi ni yale tu yametolewa katikaneno la Mungu. Ni “Uvunjanji washeria.”Upendo wa Mungu na KiburiSHERIA ya upendo ikiwa nimsingi wa serikali ya Mungu,furaha ya viumbe vyote ilitegemeaumoja mkamilifu pamoja na maagizoyake ya haki. Mungu hutumainiakutoka kwa viumbe vyake hudumaya upendo na unyenyekevuunaotokana na kufurahia tabia yake.Mungu hafurahishwi na Mapatanoya kulazimishwa, na kwa wotehuwapa uhuru kuna mmoja tualiyechagua kupofusha uhuru huu.Dhambi ilianzishwa na yeye,ambaye alikuwa karibu sana nakristo, na alikuwa ameheshimiwasana na Mungu na ndiyealiyesimama juu ya mamlaka nautukufu kati ya wenyeji wa mbinguni.Kabla ya kuanguka kwake, Nyota yaasubuhi alikuwa kerubi wa kwanzaafunikaye, takatifu na isionajizi.tazama Ezekieli 28:12-15.Huyu nyota ya asubuhiangeendelea kuwa na pendekezo naMungu, kupendwa na kuheshimiwana jeshi lote la malaika, akiuonyeshauwezo wake kwa kuwabariki wenginena kumtukuza muumba wake. Lakininabii asema hivi “ Moyo wako uliinukakwa sababu ya uzuri wako,umeiharibu hekima yako kwa sababuya mwangaza wako.” Ezekiali 28:17.Kidogo Kidogo huyu nyota waasubuhi akaja kutamani kujiinua nafsiyake.”Nawe ulisena nitakiinua kitichangu juu kuliko nyota za Mungu.Nami nitaketi juu mlima wamakutano....nitapaa kupita vimo vyamawingu: nitafanana na yeye aliyejuu! Isaya 14:13-14. Badala yakutafuta kumfanya Mungu kuwamkuu katika upendo na umoja kati yaviumbe zake, ili Juhudi za yule nyotaya asubuhi kujitakia huduma naheshima kutoka kwa wale malaika.Na kwa kutamani heshima ambayoMungu wa milele alikuwa amempamwanawe huyu mkuu wa malaikaakatamania nguvu ambazo zilikuwani za kristo peke yake.Mwana wa Mungu ndiyealiyejulikana kuwa mwenye mamlakambinguni, aliyekuwa na uwezo namamlaka sawa na Baba yake. Katikabaraza zote za Mungu, kristo alikuwani mshiriki, huku shetanihakuruhusiwa kuingia katika makusudiya Mungu. “kwa nini huyumalaika mkuu akauliza “Kristo awezakuwa na utawala? Kwa nini yeyeanaheshimiwa kuliko yule nyota yaAsubuhi.Kufunikwa na siriSHETANI alikuwa ameheshimiwasana, na matendo yake yoteyalikuwa yamefunikwa na siri. Hivikwamba ilikuwa ni vigumu kufunuakwa malaika asili ya kweli ya kaziyake. Mpaka wakati ule tabia yakeilionekana vizuri, dhambihaingeonekana kuwa mbaya jinsiilivyo-kuwa, kwa hivyo haikuwaimepata mahali katika ulimwengu wa8Mungu, na hakuna viumbe watakatifuwaliokuwa na wazo juu ya uasi naudanganjifu wake. Haw-angetambuamatokeo ya kutisha, ambayoyangetokea kwa kuiweka kandosheria za Mungu. Kwa Mungukuichukulia dhambi, angetumia hakina kweli Shetani angetumia kileambacho Mungu hangetumia.....kushawishi na udanganyifu. Matenganoambayo yalisababishwa nakazi yake mbinguni, shetanialiwekelea juu sheria na serikali yaMungu. Maovu yote alidai kuwa nimatokeo ya uongozi mbaya waMungu. Alisema kuwa ilikuwa nikuzudi lake kurekebisha maagizo yaMungu. Kwa hiyo ilikuwa muhimu iliapate kuonyesha asili ya madai yake,na kuonyesha mabadiliko yake katikasheria za Mungu. Kazi yakemwenyewe ni lazima imuhusu yeyemwenyewe. Shetani alidai tangu hapomwanzo yakwamba hakuwa muasi. Nimpaka angekuwa na muda wakujionyesha katika maovu yake.Ulimwengu mzima ni mpakawangemuona mdanganyifu huyuakifunuliwa.Roho Yule YuleROHO YULE yule aliyesukumiauasi mbinguni bado anachocheauasi hapa duniani shetaniameendelesha pamoja na wanadamuujaja ule ule alioutumia pamojana malaika. Kwa kukosoa tabia yaMungu kama jinzi alivyo fanya hukombinguni, kwa kumfanya yeye kuwamkali na mdhalimu Shetaniakamdanganya mwanadamu kufanyadhambi. Na alipofaulu sana kwaumbali, akat-angaza kuwa mashartiya Mungu yasio ya kweli yalimfanyamwan-adamu kuanguka, kama jinsimaagizo hayo yaliongoza kuangukakwake Mungu alitoa ushahidi kwaupendo wake kwa kumtoa mwanawake wa kipekee kufa kwa ajili yakizazi kilichoanguka. Katika upatanishotabia ya Mungu hufunuliwa.Mabishano makuu ya msalabahuudhihirishia ulimwengu wote yakwamba matokeo ya dhambi ambayoyule nyota ya Asubuhi alikuwaamechagua hayakuwa kwa njiayoyote lawama juu ya serikali yaMungu.Zaidi ya WokovuHAIKUWA tu kwa kukamilishawokovu wa mwanadamu ilikristo akaja duniani kuteseka nahata kufa. Alikuja “kuipanua” sheriana “kuitukuza” sio tu wenyeji waulimwengu huu wanaohitajikakutunza sheria jinsi inayohitajika,Iakini ilikuwa ni kudhihirisha nchizote za mbinguni ya kwaba sheriaza Mungu hazibadiliki. Kamamadaiyake yangewekwa kando,basi mwana wa Munguhangehitajika kujitoa maisha yakekuwa patanisha wenye dhambi. Kifocha kristo huhakikisha kuwa sheriaza Mungu hazibadiliki.Katika siku ya mwisho yahukumu itaonekana ya kuwambahakuna sababu ya dhambikwendelea msalaba wa kalwari,huku ukitangaza ya kwamba sheriahaibadiliki, huitangazia mbingunikuwa mshahara wa dhambi nimauti. Katika kilio cha mwisho chamwokozi “imekwisha” onyo la mautila shetani likalia. Vita kuuvilivyokuwa vimeendelea kwa mudamrefu basi hapo vikaamuliwa, nakuondolewa milele kwa maovukukahakishiwa. Ulimwengu woteungekwa mashahidi kwa asili namatokeo ya dhambi.❏


kisiasa yanaendelea kuharibu upendowa haki na wa kuipenda ile kweli yaBibilia, ili kupata sifa kwa watu,watajishusha kwa hitaji la wengi lakulazimisha kutunza Jumapili. Uhuruwa dhamira ambao umegharimukujitoa sana hautaendeleakuheshimiwa tena. Katika vitainayokuja mbele yetu, hutaonautimilifu wa maneno ya nabii: “Jokaakamkasirikia yule mwanamke,akaenda zake afanye vita juu yawazao wake waliosalia, wazishikaoamri za Mungu, na kuwa na ushuhudawa Yesu.” Ufunuo 12:17.Bali na wale wanaozishika amri zaMungu na Kuwa na imani ya Yesu,malaika wa tatu analenga kundi lingineambalo limepewa onyo la kutishakuhusu makosa yao, Na mwingine,malaika wa tatu, akawafuata, akisemakwa sauti kuu, mtu awaye yoteakimsujudu huyu mnyama na sanamuyake, na kuipokea chapa katika kipajicha uso wake, au katika mkono wake,yeye naye atakunywa katika mvinyoya ghadhabu ya Munguiliotengenezwa, pasipokuchanganywa na maji, katikakikombe cha hasira yake.” Ufunuo14:9-10. Tafsiri halisi ya mifanoambayo imeonyeshwa hapa, ni yamuhimu sana kwa kuelewa ujumbehuu. Ni nini hasa kinaakilishwa namnyama, sanamu na alama yake?Wale ambaowanaiheshimuSabato ya Bibiliawatashutumiwakuwa maadui washeria na mpango.Kutafsiri MifanoYule MnyamaMSTARI WA unabii ambapomifano hii inaweza kupatikanainaanza na Ufunuo 12, na yulejoka alitafuta kumwa-nga-miza Kristokatika kuzaliwa kwake. Jokaanasemwa kuwa ni shetani (Ufunuo12:9); yeye ndiye yule aliye msukumaHerode kumtafuta kumuua Kristo.Lakini mwakilishi mkuu wa yuleshetani kwa kufanya vita dhidi yaKristo na watu wake katika karne zileza kwanza za imani ya Waristo ilikuwani enzi ya Kirumi, ambapo dini yakishenzi ndiyo iliyotawala. Basi, hukujoka mwanzoni akimwakilisha Shetani,ni, nyumaye, alikuwa mfano wa Rumiya kishenzi.Mnyama Mwenye Mfano waChuiKATIKA sura ya 13 (fungu la 1-10) imeonyeshwa mnyamamwingine, “Aliye na mfano wa chui”.Ambaye kwa huyo mnyama - Shetanina rumi ya kishenzi - walimpa “ nguvuzake na kiti chake na uwezo wake.”Mnyama huyu anayefanana chui, Jinziwaprotestanti wengi wanaaminihuakilisha upapa, ambao ulipatanguvu kiti na mamlaka ambayo hapomwanzo yalishikiliwa na enzi yazamani ya kirumi. Kwa mnyama huyuanayefanana kama chui inase-mwaya kwamba. “Naye akapewa kinywachake amtukane Mungu na kulitukanajina lake na maskani yake, haowakaao mbinguni.” Tena akapewakufanya vita na watakatifu nakuwashinda, akapewa uwezo juu yakila kabila na jamaa na lugha na taifa,“Unabii huu ambao karibu kufananasana na maelezo ya pembe ndogokatika Danieli 7. Bila swali hii hulengaupapa.” Akapewa uwezo wa kufanyakazi yake miezi arobaini na miwili.” Nanabii ana sema, nikaona kimoja chavichwa vyake kana kwamba kimetiwajeraha la mauti.” Na tena: “Mtu akiuakwa upanga atauawa kwa upanga”ufunuo 13:10. miezi arobaini na miwilini sawa na“ wakati nyakati mbili nanusu wakati “miaka mitatu na nusu”au siku 1260, ya Danieli 7. nyakatiambazo utawala wa kipapa9ungegandamiza watu wa Mungu.Kipindi hiki kilianzia wakati wa utawalawa kipapa, mwaka wa 538 A.D, nakumali zikia katika mwaka wa 1798A.D. Wakati huo papa alichukuliwamateka na wanajeshi wa ufaranza,utawala wa kipapa ukapata jeraha lamauti, na unabii ukatimika. Mtuakichukuwa mateka, atachukuliwamateka” Ufunuo 13:10.Marekani Katika UnabiiHADI HAPA mfano mwingineunatolewa. Nabii asema, “kishanikaona mnyama mwingine akipandajuu kutoka katika nchi naye alikuwana pembe mbili” fungu la 11. Kwakuonekana kwa huyu mnyama nakuinuka kwake huonyesha kuwa yeyeni tofauti na wale wenginewalioonyeshwa katika mifano. Falmekubwa nne ambazo zimetawalaulimwengu zilionyeshwa kwa nabiiDanieli kama wanyama wa kuwindawalioinuka wakati pepo nne zambinguni zilivuma kwa nguvu juu yabahari kubwa. Danieli 7:2 katikaufunuo17 malaika anaeleza kuwa majiyanaakilisha “watu na makutano, nataifa, na lugha. Ufunuo 17:15. Peponi mfano wa machafuko. Pepo nne zambinguni zilizovuma juu ya baharikubwa huakilisha matukio ya kutishaya mapinduzi na mageuzi ambayowafalme wamejipatia utawala.Kutoka Katika Nchi<strong>LA</strong>KINI mnyama aliye na pembekama za mwana kondoo alionekana “akipanda juu kutoka katika nchi“Ufunuo 13:11. Badala ya kuangushafalme zingine ili kujipatia mamlaka,taifa linaloakilishwa na huyo mnyamani lazima litokee katika nchi ambayo“Uhuru wamiungu ambayo imegarimu sana, kwakujitolea haitaheshimiwa tena.”haijawahi kukaliwa tangu zamani, nalikuwe pole pole na kwa amani. Basi,halingejitokesha katikati ya masongamanona mataifa ya kufutana. Yaulimwengu wa zamani yaanimchafuko wa bahari “watu na umati,na mataifa na lugha.” Ni shartilingepatikana katika nchi zamagharibi.Ni taifa lipi katikaulimwengu mpya lilikuwa likiinuka kwanguvu katika mwaka wa 1798, likitoaahadi za nguvu na ukuu na kuyafutamawazo ya ulimwengu? Maana yamfano huu unaingia bila swali lolote.Taifa moja, na ni moja tulinaloshikamana na unabii huu, bilawasiwasi hulenga nchi ya marekani.Tena na tena, wazo sawa na manenokamili ya mwandishi wa Bibiliayametumiwa na waandishi wa historiakwa kueleza kuinuka na kukua kwataifa hili. Mwandishi hodari akielezakuinuka kwa nchi ya marekanianasema “siri ya kuinuka kwakekutoka faragani” na anasema “kamambegu kimya tuliinuka mpaka kuwaserikali” G.A.Townsend. The newworld compared to the old, kurasa462. Mwandishi wa habari kutoka“Ikiwa basi kanisa la katolikipia linadai haki ya kutofumiliakuhusu mafundisho yake, siohalali kulishutumu kwa kutumiahaki hizo. Linachukulia kanunizisizoweza kufumiliwa sio kamaJukumu takatifu. Kulingana naWarumi 8:11, mamlaka yaserikali yana haki ya kuadhibuhasa waalivu wabaya na kifobaadaye “ wazushi” nao pia siotu kutengwa bali pia kuuawa.”The Caholic Encyclopedia, 1911,edition, wi 14, page 766, 768.


“Ukuta wa utengo kati yakanisa na serikali ni mfanoambao umejengwa katikahistoria mbaya, mfano ambaoumeonekana kuwa bure kamauongozi wa uamuzi.” Jaji mkuuWilliam Rehnguist, Jarida laNyakati, Desemba 9, 1991.Kiongozi wa hivi karibuniwa mahakama kuu ya merikanialitangaza kuwa wakati haki zakidini zinapogongana namahitaji ya serikali katika katibumoja, mahakama itakuwaupande wa serikali.” LosAngeles Times, Janda la Nyakati,Aprili 18, 1990.ulaya katika mwaka wa 1850aliongea kuhusu marekani kuwakama serikali ya ajabu ambayo“imetoka” na “kati” ya kimya cha duniaikiongeza nguvu zake na uwezowake kila siku. The Dublin Nation.Hizi “pembe mbili” kamamwanakondoo zinaakilisha tabiahalisi ya taifa letu (marekani) jinsiinavyoonyesha katika misingi yakemiwili-serikali na Dini misingi hii miwilindio siri ya nguvu zetu na kukuakama taifa. Wale wa kwanza kupatamaficho katika pwani za marekani,walifurahia ya kwamba walikuwawamefikia taifa lilo huru kutokana nakiburi ambacho upapa ulikuwa ukidaina umabavu wa utawala wake wakifalme. Walikusudia kuunda serikaliilio chini ya msingi pana wa serikalina uhuru wa dini.Ananena Kama Joka<strong>LA</strong>KINI huyu mnyama aliye napembe kama mwana kodoo “akaongea kama Joka” naye atumiauwezo wote wa mnyama yule wakwanza mbele yake, naye aifanyadunia na wote wakaao ndani yake,wamsujudie mnyama wa kwanza,ambaye jeraha lake la mauti lilipona.Akiwaambia wakao juu ya nchi,kumfanyia sanamu yule mnyamaaliye na jeraha la upanga nayeakaishi Ufunuo 13:11-14.Yule mnyama mwenye pembekama ya mwana kondoo na sauti yajoka ni mfano unaolenga tofauti halisikati ya madai na matendo ya taifalinaloakilishwa. “kuongea” kwa taifani kitendo cha wanasheria na haki zautawala. Kwa tendo kama hilolitaonyesha uongo kwa misingi yauhuru na amani ambavyovimewekwa kama msingi wa utawalawake. Utabiri kuwa atanena, “kamajoka na kutumia uwezo wa yulemnyama wa kwanza, hudhihirishawazi kukua kwa roho wa mateso naasiyefumilia ambayo ilionyeshwa namataifa yanayoakilishwa na joka namnyama mfano wa chui. Na kwahabari ya kwamba yule mnyamamwenye pembe mbili “ awafanyadunia na wakaao ndani yakekusujudu mnyama wa kwanza?Huonyesha kuwa uwezo wa taifa hilini kulazimisha wengine kwa kuabuduambalo ni tendo la kuutukuza upapa.Tendo kama hili ni kinyume kabisana misingi ya serikali hii kwauelekevu wa vituo vyake huru na nikinyume katika kuapa kwa kutangazauhuru wake katika muungano.Wanzilishi wa taifa hili walitafutakwa hekima sana kulinda utumishi wanguvu za kiserikali dhidi ya kanisa,na matokeo yake yasiyo epukamateso na kutovumilia serikalihusema ya kwamba, “Bunge kuu lamarekani haitafanya sheria yo yotekwa kupendelea kuw-eko kwa diniama kuweka vikwazo juu ya kulipakodi,” Na ya kwamba hakuna jaribula kidini litakalohitajika kama kuhitimukatika ofisi yo yote ya raia walio chiniya muungano wa mataifa.” Ila tu kwauvunjaji wa sheria kwa taifa huru,Ndipo ibada ya dini yo yote yawezakulazimishwa na mamlaka yakiserikali. Lakini mageuzi ya matendohaya siyo makubwa tena kulikoinavyoonyeshwa kwa mif-ano. Ni yulealiye na pembe kama ya mwanakondoo anayedai kuwa msafi mtulivuna asiyedhuru. Ndiye anayenenakama joka.Sanamu ya MnyanaAKIWAAMBIA wakaao juu ya nchikumfanyia sanamu yulemnyama,” Hapa imeonyeshwa wazimfano wa serikali ambayo kwayonguvu za kisheria zinadumishwa nawatu, ni ushahindi wa ajabu yakwamba marekani ni taifa linalotajwakatika unabii.Lakini ni nini, “Sanamu yamnyama” na itafanywaje? Sanamu10inayoitwa alama ya mnyama mwenyepembe mbili. Na pia ndio inayoitwaalama ya mnyama. Kwa hivyokujifunza jinzi sanamu ilivyo na jinziitakavyo fanyishwa ni laziwa tujifunzetabia zoteza mnyama mwenyeweyaani Upapa.Muungano wa kanisa naserikali.WAKATI kaniza lile la kwanzalilichafuka kwa kujitenga kwaukweli wa injili, na kukubali kanuni zakishenzi na desturi zao, likapotezaroho na nguvu za Mungu; na kwakuyatawala mawazo ya watu,likatafuta msaada wa nguvu zakiserikali. Matokeo yake yalikuwa niupapa, kanisa liliotawala nguvu zaserikali na likaitumia kwa kutimizamalengo yake, hasa kwa kuadhibu“uzushi”. Ili marekani ipatekufanyisha sanamu ya mnyama,uwezo wa kidini, ni mpaka pia itawaleserikali ili mamlaka ya nchi yapatekutumiwa na kanisa kwa kutekelezamalengo yake.Ilikuwa ni uasi ulioliongoza lilekanisa la kwanza kutafuta msaadawa serikali, na hili jambo likaandaanjia kwa kukuwa kwa upapa - yulemnyama. Kwa hivyo uasi ndani yakanisa utaandaa njia ya sanamu yamnyama.Historia Kujirudia TenaBIBILIA inasema kwamba kabla yakuja kwa Bwana, kutakuwa nahali ya kupotoka kwa dini sawa tu uleuliotokea katika karne za kwanza.“Siku za mwisho kutakuwako nyakatiza hatari. Maana watu watakuwawenye kujipenda wenyewe, wenyekupenda fedha, wenye kujisifu,wenye kiburi, wenye kutukana,wasiotii wazazi wao, wasio nashukurani, wasio safi, wasiowapenda wakwao, wasiotakakufanya suluhu, wasingiziaji,wasiojizuia, wakali, wasio pendamema, wasaliti, wakaidi, wenyekujivuna, wapenda anasa kulikokumpenda Mungu; wenye mfano wautauwa, lakini wakikana nguvu zake.”2 Timotheo 3:1-5. “Basi roho anenawaziwazi ya kwamba, nyakati zamwisho wengine watajitenga naimani, wakisikiliza rohozidanganyazo, na mafundisho yamashetani.” 1 Timotheo 4:1. Wakatihali hii ya uovu itakapofikia, matokeosawa yatafuata kama yale ya karneza kwanza.Kufanyishwa kwa sanamu.WAKATI makanisa makubwa yamarekani, yatakapo unganapamoja kwa mambo ya mafudishojinsi wanavyoyashikilia wao pamoja,wataisukumia nchi kulazimishamaamuzi yao na kusimamishadesturi zao, ndiposa Amerika yakiprotestanti itakuwa imefanyishasanamu ya utawala wa kirumi, namateso ya serikali kwa wale wotewasiokubaliana bila shaka itakuwa nimatokeo yake.❏


A<strong>LA</strong>MA YA MYAMAMNYAMA aliye na pembembili “Awafanya” [Kuamrisha]wote, wadogokwa wakubwa, na matajiri kwamaskini, na walio huru kwa watumwa,watiwe chapa katika mkono wao wakuume au katika vipaji vya nyuzo zao.Tena kwamba mtu awaye yoteasiweze kununua wala kuuza,isipokuwa ana chapa ile, yaani jina lamnyama yule au hesabu ya jina lake”ufunuo 13:16-17. Onyo la malaikawatatu ni mtu awaye yote akimsujuduhuyo mnyama na sanamu yake, nakuipokea chapa katika kipaji cha usowake, au katika mkono wake, yeyenaye atakunywa kwa mvinyo yaghadhabu ya Mungu” mnyamaambaye ametajwa katika habari hii,ambaye ibada yake italazimishwa namnyama mwenye pembe mbili, ni wakwanza au aliye na mfano wa chuimnyama wa ufunuo 13- upapa.“Alama ya mnyama” huakilisha tu haliya uprotestanti ambao umeasi ambaoutakuwa wakati makanisa yakiprotestanti yata-tafuta msaada wanguvu za kiserikali kwa kulazimishiawatu mafundisho yao. Alama yamnyama” bado haijatafsiriwa.Tofauti ya ibadaBAADA YA onyo juu yakumwabudu mnyama nasanamu yake unabii unasema. “Haowazishikao amri za Mungu, na imaniya yesu, Ufunuo 14: 12. kwa vile walewanaozishika amri za Mungu haohubainishwa pamoja na wale wanaomwabudu mnyama na sanamu yakena kupokea alama yake basi inafuataya kwamba, kwa kushika sheria zaMungu upande mwingine na kuzivunjakwa upande mwingine, kutofautishakati ya wanaom-wabudu Mungu nawale wamsujuduo mnyama.Tabia ya mnyamaTABIA ZA kipekee za yulemnyama basi na alama yake, nikuvunja amri za Mungu. Danieliasema kwa yule pembe ndogo.“Upapa:” Ataazimu kubadili wakati nasheria,”Danieli 7: 25 Na paulo nayeametafsiri nguvu hizo kama “mtu wakuasi” ambaye angejiinua juu yaMungu. Unabii moja ni mwisho waunabii mwingine. Ni kwa kuibadilisheria ya Mungu upapa ukapatakujiinua juu ya Mungu.Yeyoteawezaye kwa kuelewa kutunza sheriajinzi imebadilishwa ni kumpa heshimakuu uwezo huo ulioibadilisha. Kitendokama hicho cha kutii sheria za kipapani kama alama ya mapatano kwapapa katika pahali pa Mungu.Kusudi la shauriano katika badilikolimeonyeshwa: “ataazimu kubadilimajira na sheria” badiliko katika sheriaya nne hutimiza unabii kamili. Kwabadiliko hili ni mamlaka inayodaiwana kanisa. Hapa uwezo wa kipapaunajionyesha wazi juu ya Mungu.Utakatifu Wa JumamosiHUKU wanaomwabudu Munguwatakapokuwa wamebainishwakwa kuitunza sheria ya nne kwa vilehii ni ishara ya uwezo wa uumbaji nani ushahidi wa Mungu kwa madai yakejuu ya heshima na sujudu zamwanadamu wanao-mwabudu yulemnyama wataba-inishwa kwa juhudizao za kuhar-ibu ukumbusho wamuumba, kwa kuiinua sheria za Rumi.Ilikuwa ni kwa ajili ya jumapili ya upapaukaingiza madai yake ya kikaidi, najuhudi zake za kwanza za kutafutauwezo wa serikali, ilikuwa nikulazimisha pumziko katika siku yajumapili kama, “siku ya bwana”. LakiniBibilia huonyesha wazi hulenga sikuya saba, na siyo siku ya kwanza, kamasiku ya bwana“Basi mwana waadamu ndiye Bwana wa sabato pia”.Sheria ya nne inatangaza “Siku yasaba ni Sabato ya Bwana” Na kupitiakwa nabii isaya Bwana anatangaza“Siku ya Utakatifu wangu”. Mariko2:28; Isaya 58:13.Wakatoliki wa kirumi wana-kubaliya kwamba badiliko la Sabatolilifanywa na kanisa lao, nawanatangaza ya kwambawaprotestanti kwa kuitunza Jumapiliwanakubaliana na uwezo wake.Kama ishara ya mamlaka ya kanisakatoliki, wandishi wa kanisa la kirumiMarekani Yabadilisha Katiba — Yaidhinisha Sabato ya Upapa — Yaongea Kama Joka.11wanena “kitendo hicho chakuibadilisha Sabato kwenda jumapili,ambacho waprotestanti wanakubaliananacho kwa Sababu kwa kuitunzajumapili, wanakubali uweza wa kanisakwa kuchagua sherehe nakuwaamrisha hao chini ya dhambi.” -Henry Tuberville, an abridgment of thechristian doctrine, pg 58. Basi ninibadiliko la sabato, lakini ishara, aualama, ya mamlaka ya kaniza la kirumi- “Alama ya mayama” ?Kukataa BibliaKANISA la kirumi halijaachiliamadai yake ya utawala; nawakati ulimwengu na makanisa yakiprotestanti yatakubali sabato yake,huku wakiikataa Sabato ya bibilia,wanakubaliana na madai haya.Wanaweza kudai mamlaka yakidesturi na ya mababa zao kwakubadilisha; lakini kwa kufanya hivyowanapuuza maagizo ambayoyanawatenga kutoka Rumi yakwamba “bibilia ni bibilia pekee ndiodini ya waprotestanti.” Waf-uasi wakanisa la kirumi waweza kuona yakwamba wanajidanganya wenyewe,wakijipenda wenyewe kuyafunikamacho yao katika ukweli katika jambohili. Jinzi mwendo wa kulazimishajumapili utakapopata pendekezo,wafuasi wa kanisa la kirumiwatafurahia, wakijisikia kuhakikishiwakuwa mwishowe Rumi italetaulimwengu wa waprotestanti kuwachini ya Bandera ya Rumi.Kusujudu Mnyama<strong>LA</strong>KINI wakristo wa vizazivimeshapita walitunza jumapili,wakidhania ya kwamba kwa kufanyahivyo wanatunza Sabato ya Bibilia; na“Sisi, kama serikali ya kanisakatoliki ya kirumi, tunatarajiawatoto wote walio waaminifu kwakanisa kumsaidia Raisi kwa nguvuzetu zote kuona ya kwamba watubinafsi washirika wa mahakamakuu ya marekani wametii mashartiya Raisi. Na, ikiwezekana,tutabdilisha, rekebisha na hatakuondoa katiba ya sasa, ili Raisiaweza kupitisha yaliyo yake aumipango yetu ya kiutu na haki zoteza kibinadamu jinzi zimetolewa namtakatifu papa na kanisa takatifu.“Tulimchagua Raisi wetuanayefaa. Tutatengeneza sheriazetu na kuzipitisha kulingana nauongozi wa yule mtakatifu, napapa na sheria ya mamlaka yapapa. Mjengo huu wote ni mpakaujengwe upya katika msingi huu.Kanuni zetu za kielimu ni lazimazitafsiriwe mpaka mwisho iliukafiri, hatari ya mafundishomabaya, uprotestanti, ukomunisti,ujamaa na mengine yote kamahayo yataka-nyagwa na kurushwambali na inchi.” La Aura Magazine,Italian Baptist PublishingAssociation, Philadelphia, PA.sasa hivi kuna wakristo wa kwelikatika kila kanisa, bila kuacha mbaliushirika wa katoliki ya kirumi, waleambao huamini kabisa ya kwambajumapili ni sabato iliotengwa kando naMungu. Mungu hukubali unyofu waona msimamo wao mbele yake. Lakiniwakati Jumapili itakapopitishwakisheria na ulimwengu kuangaziwakuhusu umuhimu wa Sabato ya kweli,basi ye yote atakayevunja sheria zaMungu kwa kukubali maagizo ambayohayana uwezo wowote isipokuwa tuhuo wa Rumi basi yeye atakuwaanauheshimu upapa kuliko Mungu.Anatoa heshima kwa Rumi na kwauwezo ambao unaolazimisha sheriaza Rumi. Yeye anaabudu yulemnyama na sanamu yake. Jinsi watuwatakavyokataa maagizo ya Bwanaambayo ametangaza kuwa ni isharaya mamlaka yake, na badala yakekuiheshimu ile ambayo Rumiimechagua kama msemo wa utawala


wake, Basi watakuwa wamekubaliishara ya mapatano kwa Rumi - “Alama ya mnyama”.Na sio mpaka tuwakati jambo hili litakapowekwa wazimbele ya watu, na kuletwa kuchaguajuu ya sheria za mungu na maagizoya wanadamu, ili ya kwamba walewanaoendelea kwa uasiwanaoendelea kwa uasi watapokea“alama ya mnyama.”Tisho la KuogofishaTISHO LILE la kuogofya sanaambalo halijawahi kutan-gazwakwa binadamu ni ile lipatikanalo katikaujumbe wa malaika wa tatu. Hiyoitakuwa ni dhambi ya kutishaKUPITIA <strong>KWA</strong> roho zamizimu, shetani ataonekanakuwa kama mfadhili wakizazi, akiponya magonjwa ya watu nakujifanya kana kwamba analete halimpya na ya juu ya imani ya kidini,lakini kwa wakati huo akifanya kazi“Ilichukuwa upapa namashirika yake yote, kanisakatoliki la kirumi, karibu miakayote ya 2000 kuufikia utimilivuna hali yake ya kisiasa.... Nalengo la kisiasa na ujenzi?ndiyo, na lengo la kisiasa naujenzi. Kwa maana utafiti wamwisho, yohana Paulo wa IIkama vile anavyodai kuwamwakilishi wa kristo amedaikuwa yeye ni hakimu mkuukatika jamii ya kimataifa.” Keysof This Blood, M. Martin, pages374- 375.inayoleta ghadhabu ya Mungu isiochanganywana rehema yake. Watuhawajaachwa gizani kuhusiana najambo hili, onyo juu ya dhambi hiiitatolewa kwa ulimwengu wote kablaya hukumu za mungu kuanguka, iliwote wajue ni kwa nini watateswa, nawana nafasi ya kuepukana nayo.Imedhi hirishwa wazi katika unabiikwa kutangazwa kwa sauti kuu, na“Utunzaji wa jumapili kwawaprotestanti ni heshimawanaotoa kwa kupenda kwaowen-yewe, kwa mamlaka ya(kanisa) katoliki.” Mosignor Segur,Plain Talk About the Protestantismof Today, page 213.malaika anayepita katikati ya mbingu;na onyo hili litaamusha mawazo yaulimwengu.Kukua Makundi MawiliKATIKA matokeo ya vita ukristowote utagawanyika katikamakundi mawili-wale watunzao sheriaza Mungu na imani ya Yesu na walewamsujudio mnyama na sanamu yakena kupokea chapa yake. Hata ingawakanisa na serikali wataunganishakama mwangamizi. Majaribu yakeyawaongoza wengi kwa udanganyifu.Kutokuwa na kiasi hupumbaza akili,tamaa ya mwili, vita na umwagikaji wadamu ni matokeo yake. Shetanihufurahia vita kwa vile vinaamshatamaa mbaya ya moyo na kuwafagiliamilele wale wote ambao ni matekawake waliojiingiza katika uasherati naumwagikaji wa damu. Ni kusudi lake12nguvu zao ili washurutishe “wote,wadogo kwa wakubwa, na matajirikwa maskini na walio huru kwawatumwa” (ufunuo 13:16), wapokeechapa katika vipaji vya nyuzo zao hatahivyo watu wa Mungu hawataipokea.Nabii wa patimo aliwaona “walewenye kushinda, watokao kwa yulemnyama na sanamu yake na kwahesabu ya jina lake walikuwawamesimama kando kando ya hiyobahari ya kioo wenye vinubi vya,Mungu”. Nao wauimba wimbo wamusa mtumwa wa Mungu na wimbowa mwana kondoo. Ufunuo 15 : 2-3.Madanganyifu Mawili MakubwaKUTOKANA na madhanganyifumawili makubwa, kutokufa kwamtu wa asili na kutakaswa kwaJumapili, shetani atawalete watu chiniya udaganyifu wake. Huku la kwanzalikiwa linaweka msingi wa imani kwaroho za mizimu, la pili litaletemuungano pamoja na Rumi.Waprotestanti wa nchi za marekaniwatakuwa wa kwanza kunyooshamikono yao kwa lile pengo kubwa ilikushika mkono wa roho za mizimu,watan-yoosha mkono wao juu yashimo kubwa ili kushikamana nakuamusha mataifa ili kupigana waokwa wao, kwa vile kwa njia hiyo awezakupotosha mawazo ya watu kwa kaziya maandalizi katika siku ya Bwana.Shetani hufanya kazi kupitia kwa vituvya kuonekana kwa roho ambazohawako tayari. Amejifundisha siri yauvumbuzi wa maumbile na hutumianguvu zake zote kwa kutumiamaumbile hata kiwango kile Munguanapomkuba-lia. Aliporuhusiwakumtesa ayubu, ni kwa haraka ganimifugo na malisho, wajakazi,majumba, watoto, walifagiliwa mbali,shida moja ilifuata ingine kama kwadakika. Ni Mungu anayewakingaviumbe vya-ke na kuwazingirakutokana na nguvu za mwangamizi.Lakini ulimwengu wa wakristowameonyesha madharau kwa sheriaza Yehova na mungu atatenda ileambalo amelitangaza kuwa atalitendaataondoa mibaraka yake katikaulimwengu na kuondoa kinga yake yauwezo wa kirumi; na chini yamuungano wa hawa watatu, nchi hiiitafuata nyayo za Rumi kwakukanyagia chini uhuru wa dhamira.Mpaka wa kubainisha kati yawanaokiri kuwa ni wakristo na waovuni vigumu sana kutofautisha.Washiriki wa kanisa wan-apenda yaledunia inapenda na wako tayarikuungana pamoja nao, na shetaniamekusudia kuwa-unganisha wotekatika muungano moja, na kwa hivyoapata kujipatia nguvu akiwafagiliawote katika daraja za kuamini mizimu.Waf-uasi, wa Rumi wajisifuo kwamiujiza, kuwa ishara kamili ya kanisala kweli hao watakuwa tayarikudanganywa na nguvu hizi zakufanya miujiza, na waprotestantiwakiwa wameachilia mbali ngao yakweli, hao pia watadanganywa.Wafuasi wa Rumi, waprotestanti nawatu wa ulim-wengu wote watakubalitu mfano wa utauwa usio na nguvu,na wataona katika huu muunganomwendeleo mku-bwa wa kuiongoadunia na kuwafungulia siku elfu mojaza raha zilizo tarajiwa kwa mudamwingi.❏Shetani Kulazimisha Mpango wa Ulimwengu Mpyaulinzi kutoka kwa wale wanaoendakinyume cha sheria yake, nakufundisha wengine kufanya sawa nahawa. Shetani anatawala wale woteambao hawako chini ya ulinzi waMungu. Atapendekeza nakuwafanikisha wengine ili kutimizamatakwa yake, na atawaleteawengine taabu na kuwaongozawaamini ya kwamba ni Munguanayewatesa. Huku akionekana katiya watu kama tabibu mkuu awezayekuponya magonjwa yao yote, ataletamag-onjwa na uharibifu mpaka mijimik-uu isoroteke kwa kuangamizwana kuharibiwa.Waasi KutambulikaNA BASI ndiposa yulemdanganyifu mkuuatawashawishi watu ya kwambawamtumikiao Mungu ndio waletaoshida hii. Lile kundi ambalolimeikasirisha mbingu watatoalawama kwa wale wote ambao utiifu


wao kwa sheria za Mungu ni kemeoya milele kwa waasi. Itatangazwa yakwamba watu wanaomkosea Mungukwa kuvunja Sabato ya jumapili, yakwamba hii ndio dhambi inayoletemaafa ambayo hayatakoma mpakakutakaswa kwa jumapili kutakapotiliwamkazo, na ya kwamba walewanafundisha madai ya kutunza amriya nne, basi kuvunja utakatifu wajumapili, hao ndio wataabishi wa watu,wakizuia kurejeshwa kwa wema waMungu, na kuendelea kwa muda.Nguvu za kazi ya miujiza ikifunuliwakupitia kwa roho za mizimu italetemvuto wake juu ya wale wamechaguakumheshimu Mungu kulikowanadamu. Mawa-siliano kutoka kwaroho wachafu watatangaza yakwamba Mungu amewatumakuwahakikishia wale ambaowanakataa kutunza juma-pili kwambawamekosea, na kuw-adhibitishia yakwamba sheria za nchi ni shartizitunzwe sawa na sheria za Mungu.Watalilia uasi mkuu duniani na kurudiaushuhuda wa waalimu wa dini yakwamba kupungua kwa hali ya tabiakumesababishwa na kutotunzajumapili. Hasira kali itaamshwa juu yawale wote wanaokataa kukubaliushuhuda wao. ❏Ujumbe wa Malaika wa TatuSHETANI KUJIFANANISHAKRISTOKAMA TENDO la hali ya juukatika mchezo waudanganyifu shetani mwenyeweatajifananisha kristo. Kwa mudamrefu kanisa limekuwa likidaikungojea kurudi kwa kristo kamamwisho wa tumaini lake. Sasamdanganyifu mkuu ataifanyakuonekane ya kwamba kristoamekuja. Katika sehemu mbali mbaliza dunia, shetani atajionyesha katikatiya watu kama kiumbe chenye nguvuya kustaajabisha, akijifananisha nahali ile ile ya mwana wa Mungu jinsiyohana ametaja katika ufunuo Rev“Ilichukuwa upapa namashirika yake yote, kanisakatoliki la kirumi, karibu miakayote ya 2000 kuufikia utimilivuna hali yake ya kisiasa.... Nalengo la kisiasa na ujenzi?ndiyo, na lengo la kisiasa naujenzi. Kwa maana utafiti wamwisho, yohana Paulo wa IIkama vile anavyodai kuwamwakilishi wa kristo amedaikuwa yeye ni hakimu mkuukatika jamii ya kimataifa.” Keysof This Blood, M. Martin, pages374- 375.1:13-18. Utukufu unaomzunguka niule usiozidi cho chote ambachomacho ya mwanadamu amewahikuona. Sauti ya shangwe ikasikika juuangani “kristo amekuja! kristoamekuja!” watu wataanguka chinikatika heshima mbele yake, hukuakiinua mikono na kutangazamibaraka juu yao, jinzi kristoaliwabariki wanafunzi wake wakatialipokuwa hapa duniani. Sauti yake ninyororo na laini huku imejawa nanyimbo za furaha. Katika utulivu, sautiza huruma atatoa baadhi ya kwelizingine za mbinguni ambazo mwokozialitoa; ataponya magonjwa ya watu,na katika tabia yake ya kujifananishana kristo atadai ya kuwa ndiyealiyeibadilisha sabato kwenda jumapilina ataamrisha wote waabudu siku ileameibariki.Atatangaza ya kwamba walewanaosizitiza kutunza takatifu siku yasaba ya sabato hao wanalikufuru jinalake kwa kukataa kusikiza malaikawaliotumwa kwao na nuru na ukweli.Huu ndio udanganyifu mkubwa wahali ya juu. Kama vile wasamariawalivyodanganywa na simoni, umatimkubwa tangu mdogo hata mkubwawakamsikiliza huyu mchawi, wakisema:”Huuni uwezo wa Mungu, ulemkuu”. Malendo 8:10.13“Na mwingine, malaika wa tatu, akafutata,akisema kwa sauti kuu, mtu awaye yote akamsujuduhuyo myama na sanamu yake na kuipokea chapakatika kipaji cha uso wake au katika mkono wakeyeye naye atakunywa katika mvinyo wa ghadhabu yaMungu iliyolengenezwa, pasipo kuchanganywa namaji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswakwa moto na kiberiti mbele ya malaika na mwanakondoo: Na moshi wao hupanda juu hata milele namilele, wala hawana raha mchana au usiku, haowamsujuduo huyo myama na sanamu yake, na kilaaipokeaye chapa ya jina lake.” Ufunuo 14: 9-11 (kwamaelezo kamili usome vita kuu).Kuitambua Huyu Mdanganyifu<strong>LA</strong>KINI WATU wa Munguhawatapotoshwa. Mafundishoya huyu kristo wa uongo hayamosambamba na maandiko. Mibarakayake, itatangazwa juu ya wasujuduomnyama na sanamu yake. Kundi hilohilo ambalo Bibilia inasema yakwamba juu yao ghadhabu ya Munguisiochanganywa na maji itawaangukia.Na zaidi, ya hayo, shetanihajaruhusiwa kuiga namna ya kurudikwa kristo. Mwokozi amewaonya watuwake kuhusu uongo juu ya jambo hili,na ametangulia kusema dhahiri jinsiya kurudi kwake mara ya pili. “Kwamaana watatokea wakristo wa uongo,na manabii wa uongo, nao watatoaishara kubwa na maajabu; wapatekuwapoteza, kama yamkini hata waliowateule..... Basi akiwaambia, yukojangwani, msitoke; yumo nyumbanimsisadiki, Kwa maana kama vileumeme utokavyo mash-arikiukaonekana hata magh-aribi hivyondivyo kutakavyokuwa kuja kwamwana wa adamu”. Mathayo 24 : 24 -27, 31 ; 25:31. Ufunuo 1:7; 1Wathesalonike 4: 16-17. Kuja kwa halikama hii hakuna uwezekano wakuuiga. Kutaju-likana na watu wote -ukishuhudiwa na ulimwengu wote.Ni Bibilia TuWALE TU ambao wamekuwawasomi wa maandiko na walewamepokea kuipenda kweliwatazingirwa kutokana naudanganyifu mkubwa utakaochukuwaulimwengu mateka. Kwa ushuhuda waBibilia hawa watamtambuamdanganyifu na hila zake. Kwa wotesaa ya kujaribiwa itawajilia. kwakupepetwa na majaribu wakristo wa“Lengo la mwisho la ulimwengu wote kuja pamoja, jinzi wakatholiki wanafikilia, ni umoja waimani, ibada, na kutambua mamlaka kuu ya kiroho ya askofu wa Rumi.” Prist J. Cornell.


kweli watafunuliwa. Je watu wa Mungusasa hivi wamejipanga imara katikaneno lake ili wasije wakajitoe kwaushahidi wa mawazo yao?Yawezekana, katika pambano kamahilo waishikilie biblia na bibilia pekee?Itawezekana apange mambo iliNi Nini Cha Kufanya SasaKATIKA kiwango hiki natugeuze macho yetu kutokakwa historia ya yaliopita napambano lililo mbele yetu, natutazame kiini cha mambo sasa .Waweza kuwa mtoto wa Mungu sasahivi - dakika hii - ikiwa utataka. Munguameyafanya yote ambayoyamempasa kufanya, mpaka tuukubali yale ambayo ameyatenda.Mungu anakupenda sasa “hataakamtoa mwanawe wa pekee, ili kilaamwaminiye asipotee bali awe nauzima wa milele “ yohana 3:16.Nguvu ya KuwezeshaJE UMESHAPOKEA kipawa hicho?wote wampokeao hupewa nguvuya kufanyika watoto wa Mungu “Baliwote walio mpokea aliwapa uwezo wakufanyika watoto wa Mungu, ndio walewaliaminio jina lake,” yohana 1:12wewe ni wa Mungu. Alikuokoa Kwahivyo wewe ni wake katika wokovulakini hatakulazimisha; ni lazimaawazuie kutopata maandalizi ilikusimama katika siku hiyo. Atapangahali ya mambo, ili kuwafungia njia,kuwanasa na mali ya duniakuwafanya wabebe mizigo mikubwaya kuchosha, na siku hiyo iwajilie juuyao kama mwivi.❏uchague kuwa wake; ni lazima ukubalihaki yake, na uhusiano wako, ujitoapokwake, basi wewe ni wake. Tazamawarumi 6 :16. Dakika ile ile unapotoamaisha yako kwa uongoziwake,dakika hiyo hiyo yeyehukuongoza. Basi huwa dakika - kwadakika kutembea na Mungu.Ukiongozwa naye, wewe ni mtotowake. “ Kwa kuwa wote wanaongozwana roho wa Mungu, hao ndio wana waMungu.” Warumi 8 : 14.Je, unajua ya kwamba dhambi niuvunjaji wa sheria za Mungu? “Kilaatendaye dhambi, afanya uasi, kwakuwa dhambi ni uasi” 1 Yohana 3:4,Tazama pia warumi 5 :13 na 7:7.Je, unajua ya kuwa siku ya saba nisabato ya Bwana? “Na siku ya sabaMungu alimaliza kazi yake yotealiyoifanya. Mungu akaibariki siku yasaba, akaitakasa kwa sababu katikasiku hiyo Mungu alistarehe, akaachakufanya kazi yake yote aliyoiumba na14MADAI YA RUMI“MWANDISHI wa The Catholic Mirror ya Baltimore, MD,alichapisha mfululizo wa habari za waandishi wengine wanne,Zilizoonekana katika jarida la Septemba 2, 9, 16, na 23, 1893.Basi, nakala hizi hata ingawa hazikuandikwa na mkono wa askofu(Gibbons) mwenyewe, bado Zaonekana kuidhinishwa chini ya amriyake, na zina usemi wa kipapa katika jambo hili, haya ni madaiyalio wazi ya upapa kwa uprotestanti, na ni madai ya upapa yakwamba waprotestanti watatoa kwa upapa Sababu ya hao kuitunzaJumapili....“Waadventista ndio tu jamii ya wakristo walio na Biblia kamamwalimu wao, ambao hawawezi kupata thibitisho katika nakalazake kwa kuibadilisha siku kutoka siku ya saba hadi siku ya kwanza.Kwa hivyo, Jina lao ni Waadventisha wasabato.’Waprotestanti....wameikataa siku iliotajwa na Mungu kwa ibadayake, na wakakubali dhahiri kupigana na Amri yake Mungu, sikuya ibada yake ambayo haijawahi kuruhusiwa kwa kusudi hilo, katikanakala za Bibilia....“Lakini kwa kweli, bila shaka, na kwa uadilifu busara halisi ya hakihukana lawama kwa kundi hili ndogo (Waadventista wa sabatoambao hesabu yao leo ni zaida ya millioni 8) bila uchunguzi kamili....“Ulimwengu wa uprotestanti umekuwa kutoka utotoni mwake, katikakarne ya 16, ukishikamana kabisa na kanisa la katoliki, katikakuitakasa Jumapili wala si Jumamosi.“Ikiwa...kwa upande mwingine, (Waisraeli na waadventista) wakisasa watatoa malalamishi yalio kinyume cha Jamii kubwa yaWaprotestanti...(Waprotestanti)...hawana njia ingine tena ilisaliaila tu ni kukubalia kwamba wamekuwa kwa muda wa karne tatuwakifundisha na kutenda yalio kinyume cha maadiko....Kwakuongezea katika zito wa andiko hili na kosa lisilo sameheka,umesababisha kuwekwa mkazo katika moja yapo ya amri zaMungu kwa mtumishi, wake mwanadamu: “Ikumbuke siku yasabato uitakase.” (siku ya saba) Hakuna waprotestanti, (ila tuwaadventista wengine wachache) wanaoishi hivi leo ambaowameshakubali kuitii sheria hiyo, wakipendelea kufuata kanisaambalo limeasi kuliko kumfuata mwalimu wao yaani Bibilia,ambayo kutoka mwanzo hadi ufunuo haifundishi mafundishomengine.....” Rome’s Challenge, 1-5.“Huku mwisho hautaepukika, yaani, kwa wale wanaoifuata Bibiliakama kiongozi wao, waisraeli na waadventista wanao ushahidi wakutosha kwa upande wao, huku waprotestanti wa Bibilia hawananeno hata moja la kujikinga katika kuibadilisha Jumapili kutokaJumamosi.” Romes Challenge, 11. ❏kufanya,” Mwanzo 2:2-3. Tazama piakutoka 20 : 8-11.Kuzaliwa Upya<strong>KWA</strong> RAFIKI wa dunia tunafanyauhusiano kwa kuonana amakusalimiana. Kwa Yesu tunaunganakwa mawazo yetu. Amini neno laMungu. Amini katika roho yako.Tanzama warumi 10:10 Basi imanichanzo chake ni kusikia, na kusikiahuja kwa neno la kristo “Warumi 10 :17. Ndiposa imami ya Yesu huja kwa


kujifunza neno la Mungu. Tazamaufunuo 14:12. Ni lazima tujitahidikijionyesha kuwa tumekubalika naMungu, na ndipo tutii ukweli wanyakati hizi. Tazama 2 Timotheo 2: 15.Ndipo neno (ndani ya moyo wako )huanza maisha mapya, ambayo ni “kuzaliwa upya” Tazama 1 Petro 1:23.Ndipo, uendelee kunywa maziwa yaneno na kwa hivyo “Kukua”. Tazama1Petro 2:2. Usisubiri kujisikia fulaha.Mungu katika neno lake, haijalishiunajisika vipi.❏Kutakaswa ni Sasa<strong>KWA</strong> KUPENDA kutii katika amriza Mungu upendo wetu kwakeunaonekana. “Na katika hili twajua yakuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashikaamri zake. Yeye asemaye, Nimemjuawala hazishiki amri zake, ni muongo,wala kweli haimo ndani yake. Lakiniyeye alishikaye neno lake, katika huyoupendo wa Mungu umekamilika kwelikweli. Katika hili twajua ya kuwa tumondani yake “ I yohana 2:3-5. Chochote utakacho, mwomba Mungu, naumshukuru Mungu kwa hicho. Sasani chako. Tazama mariko 11:24. Hataingawa ni lazima upewe kulingana namapenzi ya Mungu. Tazama I yohana5:14-15.Mungu asema, “Nitawatakazeni nauchafu wenu wote.” “nami nitawapaninyi moyo mpya”. “ nami nitatia rohoyangu ndani yenu” Ezekieli 36:25-27.Muulize Mungu akufanyie hivyo.Mshukuru yeye ya kwambaimefanyika hivyo, kwa sababuameahidi. Kiri dhambi zako kwake.Muulize akusamehe umushukuru kwavile amelifanya. I Yohana 1:9, Mathayo7:7, 11, wafilipi 4:6, 19. Bibilia imejawana ahadi; zote ni zako, kuhusumpango huu rahisi.Tembea na KristoJE MSOMAJI mpendwa Munguanakutaka uwe mtoto wake? Jibuni ndio, ndio! ndio! sasa swali ni hili,Je, msomaji mpendwa, ungependakuwa mtoto wa Mungu? Ikiwa jibu lakoni ndio, basi katika nguvu za neno laMungu, wewe ni mtoto wa Mungu.Weka mkono wako kwake na ukaenaye. “Utamlinda yeye ambaye moyowake umekutegemea katika amanikamilifu, kwa kuwa anakutumainimtumaini Bwana siku zote, MaanaBwana Yehova ni mwamba wa milele.Isaya 26:3-4. ❏Msomaji,wewe utafanyanini?The Great ControversyAgiza hivi leo kitabu kizima chenye kurasa arobaini na mbili ambachokutoka ndani yake, mengi ya jarida hili la sasa yameelez wa chunguzakwa kindani mambo yanayohusiana na matukio ya nyakati nyingi nyumaya pasia ya pambano kati ya nguvu za memana mabaya. Kitabu hiki kinasistishia sanamatukio muhimu katika zana zote za kikristokuelekea kwa utisho unaokuja haraka kufikiakilele chake. Kimejawa na historia namaandiko ya Bibilia. Vimeuzwa kwamamilioni uliwenguni kote. Vingi vikiwa narangi nne tofauti juu ya jalada zake. Kikiwakimelipiwa gharama ya pasto katikamarekani na nchi zilizo chini ya hima yake.(English only).US $4.95postage paidMafundisho ya bure ya BibliaIkiwa unatafuta majibu kwa maswali haya yote ambayo ni yamuhimu na ya kutisha, utume kadi yako ya kuitisha mafundisho yabure ya bibilia. Hakuna malipo kwako na hakuna uzito wa maarifaBadala yake utapata kweli zilizo rahisi kuelewa za Bibilia ambazozitakusaidia kuja kuelewa maana zaidi ya Bibilia.Muhtasari wa MchapishajiJarida hili limechapishwa kwa msaada wa matoleo na sadaka. Ikiwautapenda kusaidia mradi huu, tuma hundi au hawala ya pesa zotezilipwe kwa Heralds of truth. Tafadhali onyesha ya kwamba pesazako ni za kusaidia Jarida la onyo la mwisho wa dunia.”“Maoni kuhusu yaliomo ndani ya Jarida hili yaweza kutumwakwa anwani ambayo imetolewa hapa chini yakielekezwa kwa.Mwandishi.15


Onyo la Mwisho kwa UlimwenguAMANI <strong>DUNIA</strong>NI” ni jambolijulikanalo sana mara mojakila mwaka na ulimwengu wawakristo washerekeapo krismasi. Kwakweli kila mahali watu wazuri hakunawanachotamani sana kama vile kuwana amani duniani ili wapate kuonjafuraha ya jamii, imani, marafiki namshahara wa kazi yao nzito. Lakini nivipi amani ya dunia inaonekana yakudanganya!Kwa miaka ya nyuma duniaimekuwa na nyakati za vipindi mbalimbali ya kupumzika kisiasa na kijamiikatika wakati wa milki za dunia kama vilebabeli, wamedi na wajemi, wayunani, nawarumi katika historia ya kwamba wakatiwa kuanguka kwa milki ya Rumi, ulayailigawanyika mataifa kumi mbali mbali.Zaidi karne nyingi maelfu na hatamamilioni ya watu wame-angamia, kwavile mashujaa mbali mbali wenye nguvuwamejitahidi bila kufanikiwa katikakukusanya pamoja tena nchi hizi kumi.Vita vya kwanza vya duniavilipiganwa “kumaliza vita” ubatili wamadai hayo uliwekwa wazi na mteketeomkubwa wa vita vya pili vya dumia. Kwakweli vita hii vya ulimwengu wote vilifikiamwisho tu, wakati ule fumbuzi na utumiziwa silaha za atomiki binadamu amefumbua silaha zenye nguvu zakuangamiza na za kuogofya hivi kwambatumehofia ya kwamba vita vyo vyotevyaweza kumalizia kwa maangamizi yakinukilia vikiwa na uwezekano mkubwawa kuang-amiza maisha ya watu katikasayari hii.Amani kama matokeo ya hofu yamaangamizi imeonyesha pia kuwa hainanguvu. Hata katika tisho la uharibifu wasilaha za sumu dunia imeshuhudia wingiwa mapambano na silaha ndogo ndogona mapambano mengine makubwakama yale ya Korea, Vietnamu, naAfgha-nistani, Nguvu hizi mbili-urusi namarekani wamejiondoa katika hali yakufunjika moyo kwa vita ambavyohawange vishinda kwa silaha za kawaidaKuyeyuka kwa ukuta wa Berlin - 1989Ni Nguvu ngapi Zimebaki?pekee lakini waliogopa kuachilia silahaza sumu.Katika hali hii ya kupambana kwakulete umoja, na tumaini katika dunia hii,imechukuwa hatua na nguvu nyingi zakibinafsi kwa kutoa suluhisho ya mahitajiya mwana-damu kwa amani namaendeleo. Katika oktoba 1978 Askofuasiy-eoo-nekana ambaye ni karoiwojtyla, alichaguliwa kuwa kiongozi wakanisa katoliki na kiongozi wa mji mkuuwa vatikani. Papa wa wakati huuamejaribu sana kutumia mamlaka yakeya pili katika juhudi za kuingiza imaniyake kuwa yeye in papa atakayerejeakatika kiti cha utawala ulimwenguni, kitiambacho mapapa walilazimishwakuhama mnamo mwaka wa 1798 Katikamwisho wa zile zama za giza. Wengiwanamchukulia kuwa ni papa wakwanza wa nyakati hizi aliye nauwezekano wa kutimiza lengo hilo.Kitabu kiitwacho (The keys of this blood)kilitangaza mlolongo wa matukio yanayokusudiwa kuibadilisha dunia milele.Kinaonyesha washirika halisi katikamatukio haya na mwisho wa kusudi lao.Kitabu hicho kinaendelea kusema “PapaYohana Paulo wa II wanapigana na urusina nchi za magharibi kwa lengo lakuongoza mpango wa ulimwengu mpya.Mwandishi Malachi Martini mm-ojawapo wa mwanachana wa jamii ya diniyakirumi na mchunguzi wa mambo yandani ya vatikani, alipata kuona vileupapa unapambana kutawalaulimwengu. Kitabu hicho kinalete baadhiya unabii unaohusu dunia katika sikuza usoni, na kinaeleza sana maarifa yavatikani kwa kuitawala dunia. moja yapoya huo unabii unaonyesha maarifa yapapa katika kuiangusha nchi ya urusi.(USSR)Kutimia kwa unabii huo sasaumeandikwa vizuri sana katika Historia.Chapa nyingi za dunia zimeitambuavizuri sana kazi na Jukumu la papa katikakuivunja kwa ukomunisti wa urusi jinziimeonyeshwa katika kuanguka kwaBerlin wall Novemba 9, 1989.Sasa muungano wa sovieti yazamani ni mojayapo ya historia,washirika waliosalia katika pambano lakuvuta na hata kutawala watu wa kizasicha mbele ni marekani, umoja wamataifa na papa yohana wa 2. Badoinatazamiwa kuonekana ikiwa uchina yakikomunisti itaendelea ama itaonyeshaorodha ya kisiasa.Kwa sababu ya mwandishi mmojawa jamii ya dini ya kirumi anatabiri yakuwa mpango wa ulimwengu mpyaumekaribia, hiyo sio sababu ya kutoshaya kulete hofu isiofaa. Jambo lakuhofisha ambalo limetolewa katikakitabu cha Keys of this blood ni lile yakwamba, liko sambamba na unabiiulioandikwa katika Bibilia muda wamiaka 2000 iliyopita.Mpaka viwango vipi ambapo papa,umarekani na /au umoja wa mataifawatasikia msukumo wa kuenda kuleteutulivu kwa mapambano yaonekanayokuwa hayana mwisho katika dunia yetuya leo? Ni sehemu zipi zitakazochukuliwa kwa kulete amani kati yaulimwengu wa sasa wa kijamii, kisiasana msuko - suko wa kidini? Je, mpangowa ulimwengu mpya au serikaliitasimama katika siku zetu za jitihadaza kurudisha uhusiano wa duniazilizopita? Hatujaachwa kwa kisiokuhusu umuhimu kama huo. Historia naunabii, vimeunganishwa kuwa pam-ojakwa kutoa mwanga wa ajabu nataratibu, katika matukio ya kutetemeshadunia yalio karibu sana naulimwengu mzima. ❏16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!