JE RUMI ITATAWA<strong>LA</strong> ULIMWEGU TENA?Sio juhudi la jarida hilikushambulia watu binafsi balini kutoa historia na kibibiliaunabii uliotabiriwa katikampangilio wa dini ya Kikatolikisiku za usoni.MAPATANOYA KIFOMTUME PAULO, katikabarua yake ya pili kwaWathesalonike,alitangulia kutabiri juu ya uasi mkuuambao matokeo yake yangeletakusimamishwa kwa uwezo wa kipapa.Alitangaza kwamba siku ya Kristohaitakuja, “usipokuja kwanza uleukengeufu, akafunuliwa yule mtu wakuasi mwana wa uharibifu; yulempingamizi ajiinuaye nafsi yake juu yakila kiitwacho mungu, au kuabudiwa;hata yeye mwenyewe kuketi katikahekalu la Mungu, akijionyesha nafsiyake kana kwamba yeye ndiyeMungu.” Na zaidi ya hapo, mtumepaulo alionya wandugu wake wa imanikwamba “maana ile siri ya kuasi hivisasa inatenda kazi.” 2 Wathesalonike2:3-4,7. Hata mwanzo wa nyakatihizo, aliyaona yakinyemelea kuingiakanisani, makosa ambayoyangeandaa njia kwa kukua kwaupapa.Kidogo kidogo, kwanza kwa siri nakimya, na wazi zaidi ilipokuwaikiongezeka kwa nguvu na kuyategamawazo ya watu, “siri ya uasi”iliendeleza mbele udanganyifu wakena kazi yake ya makufuru. Karibukutoonekana kabisa mila za kishenzizikapata mahali kuingia katika kanisala Ukristo. Ile roho ya mapatano nakufanana ilizuiliwa kwa muda namateso makali ambalo kanisalilifumilia chini ya kishenzi. Lakinimateso ilipokoma, na Ukristo kuingiamajumba ya wafalme, kanisa likawekakando unyenyekefu wa kristo namitume wake kwa kujitakia makuu nakiburi ya makuhani na viongozi wakishenzi; na katika sehemu ya sheriaya Mungu, badala yake likabandilishaelimu na mafundisho ya watu.Kuongoka nusu kwa Costantino,katika mwanzo wa karne ya nne,kulileta shangilio mkubwa; naulimwengu, ukiwa umefunikwa mfanowa nguo ya haki, ukaingia kanisani.Sasa kazi ya uharibifu ikaendeleambele kwa kasi. Ushenzi,ulipoonekana kushindwa, badala yakeukashinda. Roho wake akatawalakanisa. Mafundisho yake, sherehezake, na mambo ya uchawivikashirikishwa katika imani na ibadaza wanaokiri kuwa Wakristo.Mtu wa KuasiMAPATANO hayo kati yakishenzi na Ukristo yalitokeakustawi kwa yule “mtu wa kuasi”aliyetabiriwa katika unabii kuwampingamizi ajiinuaye nafsi yake juu yaMungu. Utaratibu huu wa dini yauongo ni kazi bora ya nguvu zaShetani-ni nguzo ya juhudi yake yeyemwenye kukaa katika kiti kuitawaladunia kulingana na mapenzi yake.Shetani alijitahidi awali kufanyamapatano na Kristo. Alimjia Mwanawa Mungu katika jangwa ya majaribu,akimwonyesha Yeye falme zote zaulimwengu na utukufu wake wote,akamuahidi kutoa vyote mikononiMwake ikiwa Angekiri utawala wahuyu mfalme wa giza. Kristoalimkemea mshawishi huyo mwenyekiburi na kumtukuza. Lakini Shetanihuleta majaribu hayo kwamwanadamu. Kwa kupata faida zaulimwengu na heshima, Kanisalikaongozwa kutafuta upendeleo nadunia; na baada ya kumkana Kristo,akashawishiwa kutoa utiifu kwamwakilishi wa Shetani askofu waRumi.Msingi wa UpotovuNI MOJA yapo ya mafundishotangulizi ya Kirumi ya kwambapapa ndiye kichwa halisi cha kanisala Kristo ulimwenguni, ambayeamezingirwa na uwezo wa utawala juuya maaskofu na wachungaji katikapembe zote za ulimwengu. Zaidi yahayo, papa amepewa jina la Mungu.Amekuwa akiitwa kwa umbo la2“Mungu Bwana Papa,” na amekuwaakinenwa kuwa asiyeanguka. Yeyehutaka watu wote wamsujudie. Dai lilelile Shetani alisisitiza katika jangwa lamajaribu anaendelea kusisitiza kupitiaKanisa la Rumi, na idadi kubwa yawatu wako tayari katika heshima zake.Lakini wamchao Mungu nakumheshimu hukumbana na madaihaya ya kujiinua-juu ya Mbingunikama vile Kristo alivyo kumbana na“Hapa duniani tunashikiliapahali paMungu Aliye Juu.”Papa leo XIII, Katika baruakitabu cha maarifu juni 20 1894.ushawishi wa yule mjanja: “MsujudieBwana Mungu wako, umwabudu yeyepeke yake.” Luka 4:8. Mungu hajawahikudokeza katika Neno Lake yakwamba Yeye amemteuwa mtu yeyote kuwa kichwa cha kanisa.Fundisho la utawala wa kipapahupinga kabisa mafundisho yaMaandiko. Papa hawezi kuwa nanguvu juu ya kanisa la Kristo ila tu kwaunyang’anyi.Warumi wameshikilia katika kuletauzushi juu ya Waprotestanti nakujitenga katika kanisa la kweli. Lakinilawama hizi zina walenga haowenyewe. Hao ndio walioi-shushachini bendera ya Kristo na wakajitengana “imani iliokabidhiwa watakatifumara moja tu.” Jude 3.Vumbuzi la UongoSHETANI alijua sawa kabisa yakwamba Maandiko MatakatifuChurch of St. Peter, Romeyangewezesha watu kutambuaudanganyifu wake na kupinga nguvuzake. Ni kupitia kwa Neno hiloMwokozi wa ulimwengu alizipingashambulizi zake. Katika kila shauri layule adui, Kristo alitoa kinga la ukweliwa umilele, akisema, “imeandikwa.”katika kila shawishi la yule adui,Aliupinga akitumia hekima na nguvuya Neno. Ili Shetani audumisha mvutowake juu ya watu, na kusimamishauwezo wa unyanganyi wa kipapa, nimpaka angefanya wasiyajueMaandiko. Bibilia ingemwinua Munguna kuwaweka wanadumu katikamahali pao halisi; kwa hivyo, kweli zaBibilia zingefichwa na kukanyagiwachini. Na elimu hii ilibuniwa na Kanisala Kirumi. Kwa mamia ya miakausambazaji wa Bibilia ulikataliwa.Watu walikatazwa kusoma au kuwanayo manyumbani mwao, namakuhani wasio na msingi namaaskofu wakatafsiri mafundishoyake ili kutosheleza ubinafsi wao. Kwahivyo papa akawa Mungu duniani,ambaye amevikwa mamlaka juu yakanisa na serikali.❏KUSUJUDUKISHENZIFUMBUZI la uogo lilipoondolewa,Shetani akafanyakulingana na mapenzi yake.Unabii ulikuwa umetangaza kwambaUpapa “ungefikiria kubadili maji ra na
Kuelewa Pahali Rumi Inaongoza Yapaswa Tujue Historia yake ya Zamani.sheria.” Danieli 7:25. Jitihada hiihaikujaribiwa pole pole. Ili kujipatiawaumini kutoko kwa mataifa badilikola ibada ya sanamu, na hasa kuinuaUkristo wao wa jina tu, ibada yasanamu na makumbusho ya wafuiliingizwa pole pole katika ibada yaWakristo. Amri ya kamati kuumwishowe ikajenga utaratibu huu wauabuduaji wa sanamu. Ili kukamilishakazi hii ya kukufuru, Rumi ikawaziakuiondoa kutoka kwa sheria zamungu amri ya pili, inayokatazauabuduaji wa sanamu, na kugawanyaamri ya kumi, ili waendelee kuwa nahesabu kamili.Mapatano YaendeleaROHO WA kukubali mambo yakidunia iliendelea kufungua njiazaidi ya kupuuza uwezo wa Mbinguni.Shetani, akifanya kazi kupitia kwaviongozi waasi wa kanisa, wakaiharibupia sheria ya nne, na kuijaribu kuwekakando Sabato ya zamani, sikuambayo Mungu aliibariki na kutakasa(Mwanzo 2:2-3), na badala yakekuinua siku ya sherehe ilyokuwainatunzwa na mataifa kama “siku yaheshima ya juu.” Kwa mara ya kwanzabadiliko hili halikujaribiwa dhahiri.Katika karne za kwanza Sabato yakweli ilitunzwa na Wakristo wote.Walikuwa na wivu kwa heshima yaMungu, na, wakiwa na imani yakwamba sheria yake, ni imara, kwajuhudi wakatunza usafi wa maagizoyake. Lakini kwa ujanja mwingiShetani akafanya kazi kupitia kwawaakilishi wake ili kutimiza lengo lake.Ili mawazo ya watu yapate kuvutwakwa Jumapili, ikafanywa kuwa ni sikuya sherehe kwa kuheshimu ufufuo waKristo. Mikutano ya kidini ilifanywakatika siku hiyo; na huku siku hiyoilitunzwa kama siku ya burudiko, hukuSabato ikiendelea kutunzwa. Kwakuiandaa njia ya kazi yake alioipangakuikamilisha, Shetani kabla ya kurudikwa Kristo, alikuwa amewaongozaWayahudi, kuilemesha chini Sabatona maagizo magumu, kwa kuifanyautunzaji wake kuwa mzigo. Sasa, kwakuiichukulia nafasi ya nuru ile yaIUsiwe na Miungu mingine ila mimi.IIUsijifanyie sanamu ya kuchonga, walamfano wa kitu cho chote kilicho juumbinguni, wala kilicho chini duniani,wala kilicho majini chini ya dunia.Usivisujudie wala kuvitumikia; kwakuwa mimi, BWANA, Mungu wako, niMungu mwenye wivu; nawapatilizawana maovu ya baba zao, hata kizazicha tatu na cha nne cha wanichukioa,nami nawarehemu maelfu elfuwanipendao, na kuzishika amri zangu.IIIUsilitaje bure jina la BWANA, Munguwako, maana BWANA hatamhesabiakuwa hana hatia mtu alitajaye jina lakebure.IVIkumbuke siku ya Sabato uitakase. Sikusita fanya kazi, utende mambo yakoyote; lakini siku ya saba ni Sabato yaBWANA, Mungu wako siku hiyousifanye kazi yo yote, wewe, walamwana wako, wala binti yako, walamtumwa wako, wala mjakazi wako, walamnyama wako wa kufuga, wala mgeniuongo ile aliowafanya wengi kuiamini,akatoa dhihaka juu yake akasema etini sheria ya Wayahudi. Kwa kawaidaWakristo wanapoendelea kutunzaJumapili kama sherehe ya furaha,akawaongoza, ili apatekuwaonyesha uadui dhidi yaWayahudi, kwa kuifanya Sabatokuwa siku ya kufunga, huzuni nasiku ya utusitusi. ❏BADILIKOTHUBUTISheria za MUNGUMWANZO wa karne ya nnemfalme Costantinoaliipitisha sheria yakuifanya Jumapili kuwa ya shereheya wote katika enzi ya Kirumi. Siku yajua iliheshimiwa na wafuasi wakipagani na Wakristo pia; zilikuwa hilaza mfalme kuunganisha Wakristo.Alisukumwa kufanya hili na maaskofuwa kanisa, waliokuwa, na tamaa nakiu ya utawala, wakifikiria ya kwambaaliye ndani ya malango yako. Maana,kwa siku sita BWANA alifanye mbingu,na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo,akastarehe siku ya saba; kwa hiyoBWANA akaibarikia siku ya Sabatoakaitakasa.VWaheshimu baba yako na mama yako;siku zako zipate kuwa nyingi katika nchiupewayo na BWANA, Mungu wako.VIUsiueVIIUsiziniVIIUsiibeIXUsimshuhdie jirani yako uongoXUsiitamani nyumba ya jirani yako,usimtamani mke wa jirani yako; walamtumwa wake, wala mjakazi wake, walang’ombe wake, wala punda wake, walacho chote alicho nacho jirani yako.3Kutoka 20:3-17siku hiyo ikiabudiwa na wote Wakristona watu wa mataifa, ingeinuaukubaliaji wa Ukristo nusu ya upaganina kwa hivyo kuendeleza uwezo nautukufu wa kanisa. Lakini huku wengiwa Wakristo wacha-Munguwalisukumwa pole pole kuitakasaJumapili kama siku takatifu, na piawaliishikilia Sabato ya kweli kuwatakatifu kwa Bwana, na wakaitunzakulingana na utiifu wa amri ya nne.Mdanganyifu mkuu hakuwaamemaliza kazi yake. Alinuiakukusanya ulimwengu wa Wakristochini yake na kudhihirisha nguvu zakekupitia kwa huyo mdanganyifuanayedai kuwa mwakilishi wa Munguduniani, askofu huyo mwenye kiburianaye dai kuwa mwakilishi wa Kristo.Kupitia kwa wapagani walioongokanusu, maskofu wenye tamaa, na watuwa kanisa waupendao ulimwenguShetani akalikamilisha kusudi lake.Mikutano mikubwa ilifanywa mara kwamara, ambayo wakuu wa kanisawalikusanyika kutoka ulimwengu kote.Na katika kila kikao Sabato iliyowekwana Mungu ilishushwa chini kidogo,Sheria Ta munguiuvtobad na mwanadamuIMimi ndimi Bwana mungu wako. usiwe na miungumingine ila mimi.(Amri ya pili Imeondolewa)II (III)Usilitaje bure jina la Bwana mungu wako (hakika ni tatatu)III (IV)Uikumbuke kuitunza kwa utakatifu siku hii ta sabato (kwahakika ni ya nne, na sheria hii ya sabato imegeuzwakabisa)IV (V)Waheshimu baba na mama (hakika ni ya tano)V (VI)Usiue (kwa hakika ni ya sita).VI (VII)Usizini (kwa hakika ni ya saba).VII (VIII)Usiibe (hakika ni ya nane).VIII (IX)Usimshuhudie jirani yako uongo (kwa hakini ni ya tisa,sehemu ya kwanza)IX (Amri ya X sehemu ya kwanza)Usimtamani mke wa jirani yako (hakika ni ya kumi,sehemu yake ya kwanza)X (Amri ya X sehemu ya pili)Usitamani mali ya jirani yako (hakika ni ya kumi Sehemuyake ya pili)Katekisimu ya wakatoliki wote.huku Jumapili ikiinuliwa juu. Kwa hivyosiku ya sherehe ya kipagani ikajakutukuzwa na kuheshiwa kama sikutakatifu, huku Sabato ya Bibiliaikakanyagiwa chini kuwa mabaki yaWayahudi, na walioendelea kuiabuduwakatangazwa kuwa wamelaaniwa.Kuondolewa kwa Muhuri waMuumbajiMUASI MKUU alishinda kwakujiinua mwenyewe “kwa chochote kiitwacho Mungu, aukuabudiwa.” 2 Thesalonike 2:4.“Jumapili ni amri ya kikatoliki,na uabuduaji wake wawezakuhifadhiwa tu chini yamisingi ya kikatoliki.... tokamwanzo hadi mwisho wamaandiko hapana kurasa hatamoja inayodhihirisha badilikohili la ibada ya kila juma tokasiku ya mwisho ya kwanza”Chapa ya Katolika Sydney,Australia Agosti 1900.Sabato ilitunzwa na wakristo wote katika karne za kwanza.