wake, Basi watakuwa wamekubaliishara ya mapatano kwa Rumi - “Alama ya mnyama”.Na sio mpaka tuwakati jambo hili litakapowekwa wazimbele ya watu, na kuletwa kuchaguajuu ya sheria za mungu na maagizoya wanadamu, ili ya kwamba walewanaoendelea kwa uasiwanaoendelea kwa uasi watapokea“alama ya mnyama.”Tisho la KuogofishaTISHO LILE la kuogofya sanaambalo halijawahi kutan-gazwakwa binadamu ni ile lipatikanalo katikaujumbe wa malaika wa tatu. Hiyoitakuwa ni dhambi ya kutishaKUPITIA <strong>KWA</strong> roho zamizimu, shetani ataonekanakuwa kama mfadhili wakizazi, akiponya magonjwa ya watu nakujifanya kana kwamba analete halimpya na ya juu ya imani ya kidini,lakini kwa wakati huo akifanya kazi“Ilichukuwa upapa namashirika yake yote, kanisakatoliki la kirumi, karibu miakayote ya 2000 kuufikia utimilivuna hali yake ya kisiasa.... Nalengo la kisiasa na ujenzi?ndiyo, na lengo la kisiasa naujenzi. Kwa maana utafiti wamwisho, yohana Paulo wa IIkama vile anavyodai kuwamwakilishi wa kristo amedaikuwa yeye ni hakimu mkuukatika jamii ya kimataifa.” Keysof This Blood, M. Martin, pages374- 375.inayoleta ghadhabu ya Mungu isiochanganywana rehema yake. Watuhawajaachwa gizani kuhusiana najambo hili, onyo juu ya dhambi hiiitatolewa kwa ulimwengu wote kablaya hukumu za mungu kuanguka, iliwote wajue ni kwa nini watateswa, nawana nafasi ya kuepukana nayo.Imedhi hirishwa wazi katika unabiikwa kutangazwa kwa sauti kuu, na“Utunzaji wa jumapili kwawaprotestanti ni heshimawanaotoa kwa kupenda kwaowen-yewe, kwa mamlaka ya(kanisa) katoliki.” Mosignor Segur,Plain Talk About the Protestantismof Today, page 213.malaika anayepita katikati ya mbingu;na onyo hili litaamusha mawazo yaulimwengu.Kukua Makundi MawiliKATIKA matokeo ya vita ukristowote utagawanyika katikamakundi mawili-wale watunzao sheriaza Mungu na imani ya Yesu na walewamsujudio mnyama na sanamu yakena kupokea chapa yake. Hata ingawakanisa na serikali wataunganishakama mwangamizi. Majaribu yakeyawaongoza wengi kwa udanganyifu.Kutokuwa na kiasi hupumbaza akili,tamaa ya mwili, vita na umwagikaji wadamu ni matokeo yake. Shetanihufurahia vita kwa vile vinaamshatamaa mbaya ya moyo na kuwafagiliamilele wale wote ambao ni matekawake waliojiingiza katika uasherati naumwagikaji wa damu. Ni kusudi lake12nguvu zao ili washurutishe “wote,wadogo kwa wakubwa, na matajirikwa maskini na walio huru kwawatumwa” (ufunuo 13:16), wapokeechapa katika vipaji vya nyuzo zao hatahivyo watu wa Mungu hawataipokea.Nabii wa patimo aliwaona “walewenye kushinda, watokao kwa yulemnyama na sanamu yake na kwahesabu ya jina lake walikuwawamesimama kando kando ya hiyobahari ya kioo wenye vinubi vya,Mungu”. Nao wauimba wimbo wamusa mtumwa wa Mungu na wimbowa mwana kondoo. Ufunuo 15 : 2-3.Madanganyifu Mawili MakubwaKUTOKANA na madhanganyifumawili makubwa, kutokufa kwamtu wa asili na kutakaswa kwaJumapili, shetani atawalete watu chiniya udaganyifu wake. Huku la kwanzalikiwa linaweka msingi wa imani kwaroho za mizimu, la pili litaletemuungano pamoja na Rumi.Waprotestanti wa nchi za marekaniwatakuwa wa kwanza kunyooshamikono yao kwa lile pengo kubwa ilikushika mkono wa roho za mizimu,watan-yoosha mkono wao juu yashimo kubwa ili kushikamana nakuamusha mataifa ili kupigana waokwa wao, kwa vile kwa njia hiyo awezakupotosha mawazo ya watu kwa kaziya maandalizi katika siku ya Bwana.Shetani hufanya kazi kupitia kwa vituvya kuonekana kwa roho ambazohawako tayari. Amejifundisha siri yauvumbuzi wa maumbile na hutumianguvu zake zote kwa kutumiamaumbile hata kiwango kile Munguanapomkuba-lia. Aliporuhusiwakumtesa ayubu, ni kwa haraka ganimifugo na malisho, wajakazi,majumba, watoto, walifagiliwa mbali,shida moja ilifuata ingine kama kwadakika. Ni Mungu anayewakingaviumbe vya-ke na kuwazingirakutokana na nguvu za mwangamizi.Lakini ulimwengu wa wakristowameonyesha madharau kwa sheriaza Yehova na mungu atatenda ileambalo amelitangaza kuwa atalitendaataondoa mibaraka yake katikaulimwengu na kuondoa kinga yake yauwezo wa kirumi; na chini yamuungano wa hawa watatu, nchi hiiitafuata nyayo za Rumi kwakukanyagia chini uhuru wa dhamira.Mpaka wa kubainisha kati yawanaokiri kuwa ni wakristo na waovuni vigumu sana kutofautisha.Washiriki wa kanisa wan-apenda yaledunia inapenda na wako tayarikuungana pamoja nao, na shetaniamekusudia kuwa-unganisha wotekatika muungano moja, na kwa hivyoapata kujipatia nguvu akiwafagiliawote katika daraja za kuamini mizimu.Waf-uasi, wa Rumi wajisifuo kwamiujiza, kuwa ishara kamili ya kanisala kweli hao watakuwa tayarikudanganywa na nguvu hizi zakufanya miujiza, na waprotestantiwakiwa wameachilia mbali ngao yakweli, hao pia watadanganywa.Wafuasi wa Rumi, waprotestanti nawatu wa ulim-wengu wote watakubalitu mfano wa utauwa usio na nguvu,na wataona katika huu muunganomwendeleo mku-bwa wa kuiongoadunia na kuwafungulia siku elfu mojaza raha zilizo tarajiwa kwa mudamwingi.❏Shetani Kulazimisha Mpango wa Ulimwengu Mpyaulinzi kutoka kwa wale wanaoendakinyume cha sheria yake, nakufundisha wengine kufanya sawa nahawa. Shetani anatawala wale woteambao hawako chini ya ulinzi waMungu. Atapendekeza nakuwafanikisha wengine ili kutimizamatakwa yake, na atawaleteawengine taabu na kuwaongozawaamini ya kwamba ni Munguanayewatesa. Huku akionekana katiya watu kama tabibu mkuu awezayekuponya magonjwa yao yote, ataletamag-onjwa na uharibifu mpaka mijimik-uu isoroteke kwa kuangamizwana kuharibiwa.Waasi KutambulikaNA BASI ndiposa yulemdanganyifu mkuuatawashawishi watu ya kwambawamtumikiao Mungu ndio waletaoshida hii. Lile kundi ambalolimeikasirisha mbingu watatoalawama kwa wale wote ambao utiifu
wao kwa sheria za Mungu ni kemeoya milele kwa waasi. Itatangazwa yakwamba watu wanaomkosea Mungukwa kuvunja Sabato ya jumapili, yakwamba hii ndio dhambi inayoletemaafa ambayo hayatakoma mpakakutakaswa kwa jumapili kutakapotiliwamkazo, na ya kwamba walewanafundisha madai ya kutunza amriya nne, basi kuvunja utakatifu wajumapili, hao ndio wataabishi wa watu,wakizuia kurejeshwa kwa wema waMungu, na kuendelea kwa muda.Nguvu za kazi ya miujiza ikifunuliwakupitia kwa roho za mizimu italetemvuto wake juu ya wale wamechaguakumheshimu Mungu kulikowanadamu. Mawa-siliano kutoka kwaroho wachafu watatangaza yakwamba Mungu amewatumakuwahakikishia wale ambaowanakataa kutunza juma-pili kwambawamekosea, na kuw-adhibitishia yakwamba sheria za nchi ni shartizitunzwe sawa na sheria za Mungu.Watalilia uasi mkuu duniani na kurudiaushuhuda wa waalimu wa dini yakwamba kupungua kwa hali ya tabiakumesababishwa na kutotunzajumapili. Hasira kali itaamshwa juu yawale wote wanaokataa kukubaliushuhuda wao. ❏Ujumbe wa Malaika wa TatuSHETANI KUJIFANANISHAKRISTOKAMA TENDO la hali ya juukatika mchezo waudanganyifu shetani mwenyeweatajifananisha kristo. Kwa mudamrefu kanisa limekuwa likidaikungojea kurudi kwa kristo kamamwisho wa tumaini lake. Sasamdanganyifu mkuu ataifanyakuonekane ya kwamba kristoamekuja. Katika sehemu mbali mbaliza dunia, shetani atajionyesha katikatiya watu kama kiumbe chenye nguvuya kustaajabisha, akijifananisha nahali ile ile ya mwana wa Mungu jinsiyohana ametaja katika ufunuo Rev“Ilichukuwa upapa namashirika yake yote, kanisakatoliki la kirumi, karibu miakayote ya 2000 kuufikia utimilivuna hali yake ya kisiasa.... Nalengo la kisiasa na ujenzi?ndiyo, na lengo la kisiasa naujenzi. Kwa maana utafiti wamwisho, yohana Paulo wa IIkama vile anavyodai kuwamwakilishi wa kristo amedaikuwa yeye ni hakimu mkuukatika jamii ya kimataifa.” Keysof This Blood, M. Martin, pages374- 375.1:13-18. Utukufu unaomzunguka niule usiozidi cho chote ambachomacho ya mwanadamu amewahikuona. Sauti ya shangwe ikasikika juuangani “kristo amekuja! kristoamekuja!” watu wataanguka chinikatika heshima mbele yake, hukuakiinua mikono na kutangazamibaraka juu yao, jinzi kristoaliwabariki wanafunzi wake wakatialipokuwa hapa duniani. Sauti yake ninyororo na laini huku imejawa nanyimbo za furaha. Katika utulivu, sautiza huruma atatoa baadhi ya kwelizingine za mbinguni ambazo mwokozialitoa; ataponya magonjwa ya watu,na katika tabia yake ya kujifananishana kristo atadai ya kuwa ndiyealiyeibadilisha sabato kwenda jumapilina ataamrisha wote waabudu siku ileameibariki.Atatangaza ya kwamba walewanaosizitiza kutunza takatifu siku yasaba ya sabato hao wanalikufuru jinalake kwa kukataa kusikiza malaikawaliotumwa kwao na nuru na ukweli.Huu ndio udanganyifu mkubwa wahali ya juu. Kama vile wasamariawalivyodanganywa na simoni, umatimkubwa tangu mdogo hata mkubwawakamsikiliza huyu mchawi, wakisema:”Huuni uwezo wa Mungu, ulemkuu”. Malendo 8:10.13“Na mwingine, malaika wa tatu, akafutata,akisema kwa sauti kuu, mtu awaye yote akamsujuduhuyo myama na sanamu yake na kuipokea chapakatika kipaji cha uso wake au katika mkono wakeyeye naye atakunywa katika mvinyo wa ghadhabu yaMungu iliyolengenezwa, pasipo kuchanganywa namaji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswakwa moto na kiberiti mbele ya malaika na mwanakondoo: Na moshi wao hupanda juu hata milele namilele, wala hawana raha mchana au usiku, haowamsujuduo huyo myama na sanamu yake, na kilaaipokeaye chapa ya jina lake.” Ufunuo 14: 9-11 (kwamaelezo kamili usome vita kuu).Kuitambua Huyu Mdanganyifu<strong>LA</strong>KINI WATU wa Munguhawatapotoshwa. Mafundishoya huyu kristo wa uongo hayamosambamba na maandiko. Mibarakayake, itatangazwa juu ya wasujuduomnyama na sanamu yake. Kundi hilohilo ambalo Bibilia inasema yakwamba juu yao ghadhabu ya Munguisiochanganywa na maji itawaangukia.Na zaidi, ya hayo, shetanihajaruhusiwa kuiga namna ya kurudikwa kristo. Mwokozi amewaonya watuwake kuhusu uongo juu ya jambo hili,na ametangulia kusema dhahiri jinsiya kurudi kwake mara ya pili. “Kwamaana watatokea wakristo wa uongo,na manabii wa uongo, nao watatoaishara kubwa na maajabu; wapatekuwapoteza, kama yamkini hata waliowateule..... Basi akiwaambia, yukojangwani, msitoke; yumo nyumbanimsisadiki, Kwa maana kama vileumeme utokavyo mash-arikiukaonekana hata magh-aribi hivyondivyo kutakavyokuwa kuja kwamwana wa adamu”. Mathayo 24 : 24 -27, 31 ; 25:31. Ufunuo 1:7; 1Wathesalonike 4: 16-17. Kuja kwa halikama hii hakuna uwezekano wakuuiga. Kutaju-likana na watu wote -ukishuhudiwa na ulimwengu wote.Ni Bibilia TuWALE TU ambao wamekuwawasomi wa maandiko na walewamepokea kuipenda kweliwatazingirwa kutokana naudanganyifu mkubwa utakaochukuwaulimwengu mateka. Kwa ushuhuda waBibilia hawa watamtambuamdanganyifu na hila zake. Kwa wotesaa ya kujaribiwa itawajilia. kwakupepetwa na majaribu wakristo wa“Lengo la mwisho la ulimwengu wote kuja pamoja, jinzi wakatholiki wanafikilia, ni umoja waimani, ibada, na kutambua mamlaka kuu ya kiroho ya askofu wa Rumi.” Prist J. Cornell.