2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels
2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels
2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Taarifa ya Mwenyekiti (kuendelea)<br />
kupitia taarifa kutoka kwa Meneja<br />
Mkurugenzi ambayo yamejumuishwa<br />
kupitia kurasa za 17 hadi 19 za ripoti hii<br />
ya mwaka.<br />
Kupitia upanuzi wa kundi la <strong>Serena</strong><br />
kutoka shirika lenye umiliki wa raslimali<br />
4 mwaka 1970 hadi idadi ya hoteli<br />
24 za kifahari, mahali maalumu pa<br />
kutembelea watalii, kampi na vyumba<br />
vya kulala safarini mwaka 2011, <strong>Serena</strong><br />
ina fahari na kushukuru kwamba<br />
tumeweza kutekeleza jukumu kubwa<br />
katika ukuaji wa uchumi na maendeleo<br />
kwenye mataifa 6 barani Afrika ambako<br />
tunahudumu. Kama viongozi kwenye<br />
masoko , ni matumaini yetu kwamba,<br />
tunapofanya kazi na serikali za mataifa<br />
ya Afrika Mashariki ili kuleta ukuaji<br />
wa uchumi,serikali husika zitaendelea<br />
kuangazia juhudi ambazo lengo lake<br />
ni kuandaa biashara ya utalii iliyo<br />
Wanyama pori kwenye mbuga ya Selous National Park Tanzania<br />
thabiti kwa kuunda miundo msingi<br />
inayohitajika huku zikijiepusha na<br />
mambo yasiyohitajika, maendeleo<br />
kupita kiasi makisio, usalama, na<br />
mikakati ya bidhaa inayohitajika ili<br />
kuiwezesha sekta hii kutoa huduma<br />
bora na nafasi za kazi . Kundi la <strong>Serena</strong><br />
linaamini kwamba ni kupitia uwepo wa<br />
mazingira bora ya kibiashara ambako<br />
sote tunaweza kupata manufaa kamili<br />
ya kitalii eneo la Afrika Mashariki kwa<br />
kutumia mchanganyiko wa mazingira<br />
yake adimu yenye utajiri wa viumbe<br />
hai, utamaduni na turathi zake.<br />
Kutamatisha, kwa niaba ya<br />
Halmashauri, ningependa kushukuru<br />
na kupongeza wasimamizi wa<br />
kampuni na wafanyakazi kutokana<br />
na bidii na kujitolea kwao ambapo<br />
bila wao matokeo yaliyopatikana<br />
mwaka 2011 hayangekuweko. Pia,<br />
ningependa kutambua na kushukuru<br />
mchango kutoka kwa wanahalmashauri<br />
wenzangu ambao umewezesha shughuli<br />
za biashara mikakati ya kundi kufaulu<br />
kipindi cha mwaka wa 2011.<br />
Ningependa kutambua kwa dhati<br />
mchango muhimu na uaminifu ambao<br />
tunazidi kupokea kutoka kwa wanahisa<br />
wetu, wateja na washika dau wengine<br />
katika biashara hii. Mwisho, ningependa<br />
kuzishukuru serikali za mataifa ya Afrika<br />
Mashariki kwa kurahisisha ukuaji wa<br />
sekta ya utalii na pia halmashauri mbali<br />
mbali za utawala pamoja na washika<br />
dau kutokana na msaada wao ambao<br />
ni muhimu kwa kuthibiti ukuaji wa<br />
biashara eneo hili.<br />
Francis Okomo-Okello<br />
Mwenyekiti<br />
TPS EASTERN AFRICA LIMITED ANNUAL REPORT AND FINANCIAL STATEMENTS 2011 15