26.09.2014 Views

2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels

2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels

2012 TPSEA Annual Report - Serena Hotels

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Taarifa ya Mwenyekiti (kuendelea)<br />

kupitia taarifa kutoka kwa Meneja<br />

Mkurugenzi ambayo yamejumuishwa<br />

kupitia kurasa za 17 hadi 19 za ripoti hii<br />

ya mwaka.<br />

Kupitia upanuzi wa kundi la <strong>Serena</strong><br />

kutoka shirika lenye umiliki wa raslimali<br />

4 mwaka 1970 hadi idadi ya hoteli<br />

24 za kifahari, mahali maalumu pa<br />

kutembelea watalii, kampi na vyumba<br />

vya kulala safarini mwaka 2011, <strong>Serena</strong><br />

ina fahari na kushukuru kwamba<br />

tumeweza kutekeleza jukumu kubwa<br />

katika ukuaji wa uchumi na maendeleo<br />

kwenye mataifa 6 barani Afrika ambako<br />

tunahudumu. Kama viongozi kwenye<br />

masoko , ni matumaini yetu kwamba,<br />

tunapofanya kazi na serikali za mataifa<br />

ya Afrika Mashariki ili kuleta ukuaji<br />

wa uchumi,serikali husika zitaendelea<br />

kuangazia juhudi ambazo lengo lake<br />

ni kuandaa biashara ya utalii iliyo<br />

Wanyama pori kwenye mbuga ya Selous National Park Tanzania<br />

thabiti kwa kuunda miundo msingi<br />

inayohitajika huku zikijiepusha na<br />

mambo yasiyohitajika, maendeleo<br />

kupita kiasi makisio, usalama, na<br />

mikakati ya bidhaa inayohitajika ili<br />

kuiwezesha sekta hii kutoa huduma<br />

bora na nafasi za kazi . Kundi la <strong>Serena</strong><br />

linaamini kwamba ni kupitia uwepo wa<br />

mazingira bora ya kibiashara ambako<br />

sote tunaweza kupata manufaa kamili<br />

ya kitalii eneo la Afrika Mashariki kwa<br />

kutumia mchanganyiko wa mazingira<br />

yake adimu yenye utajiri wa viumbe<br />

hai, utamaduni na turathi zake.<br />

Kutamatisha, kwa niaba ya<br />

Halmashauri, ningependa kushukuru<br />

na kupongeza wasimamizi wa<br />

kampuni na wafanyakazi kutokana<br />

na bidii na kujitolea kwao ambapo<br />

bila wao matokeo yaliyopatikana<br />

mwaka 2011 hayangekuweko. Pia,<br />

ningependa kutambua na kushukuru<br />

mchango kutoka kwa wanahalmashauri<br />

wenzangu ambao umewezesha shughuli<br />

za biashara mikakati ya kundi kufaulu<br />

kipindi cha mwaka wa 2011.<br />

Ningependa kutambua kwa dhati<br />

mchango muhimu na uaminifu ambao<br />

tunazidi kupokea kutoka kwa wanahisa<br />

wetu, wateja na washika dau wengine<br />

katika biashara hii. Mwisho, ningependa<br />

kuzishukuru serikali za mataifa ya Afrika<br />

Mashariki kwa kurahisisha ukuaji wa<br />

sekta ya utalii na pia halmashauri mbali<br />

mbali za utawala pamoja na washika<br />

dau kutokana na msaada wao ambao<br />

ni muhimu kwa kuthibiti ukuaji wa<br />

biashara eneo hili.<br />

Francis Okomo-Okello<br />

Mwenyekiti<br />

TPS EASTERN AFRICA LIMITED ANNUAL REPORT AND FINANCIAL STATEMENTS 2011 15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!