11.07.2015 Views

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

20Com. Ratanya: Okay mwambie mama ni asante sana, tumesikia hayo. Sasa tutaenda kwa Pascal K. Hussein.Pascal K. Hussein: Majina yangu ni Pascal Hussein na nina maoni kadha wa kadha. Kwanza ningelipenda hasa kuzungumziakuhusu uchaguzi. Ningelipendelea kwa maoni yangu kwamba, uchaguzi wa Wabunge hasa watakao chaguliwa, waweze kuwawanapitishwa na asilimia zaidi ya hamsini ya wakaaji wote wa eneo lile. Na ni kwamba pia katika Katiba, kuwe na sheria yakwamba kama yule Mbunge aliyechaguliwa, ama Councillor atakayechaguliwa, kama hataweza kuhudumia wale wananchiipasavyo-kwa ile mifano ambayo tunaona hivi sasa ambayo inaendelea katika Bunge letu, kuwe na sheria ya kwamba wawezekuondolewa kazi ile kwa kupitia public opinion polls ili ile sehemu iweze kupata Mbunge mwingine ambaye atawezakushugulikia masilahi yao.Katika community based services kwa mfano, tuna National Youth Service, tuna Armed Forces-katika nchi zingine ninawezakutoa mfano wa Ethiopia, National Youth Service hutumika kutengeneza mabarabara ya nchi zile, Armed Forces pia hutumikakutengeneza mabarabara ama hospitali kwa hivyo hapa kwetu nigelionelea pia watu kama National Youth Service, ArmedForces, watumike katika construction ya mabarabara, bridges hata hospitali kuliko serikali kutoa contract kama zile kwa watuama macompany mbali mbali na kutumia pesa ama rasilmali za nchi kwa kuchukuliwa kuenda nje.Kuna jambo lingine ambalo pia tunaweza kusema kama ya Foreign affairs policies. Serikali ama Executive hutoa maoni yaoama u-sign policies fulani fulani kwa niamba ya nchi. Kwa mafano, tuna-sign mambo ya Comesa, tuna-sign mambo yaPTA-Preferential Trade Areas, East Africa Cooperation bila kuangalia masilahi ya wale wananchi ambao ile mikataba tutakayosign inawahusu. Naweza kutoa mfano ambao ulitendeka na ambao hivi sasa unauchumu ama unasumbua wananchi wadogowadogo.Kama huu mkataba wa East African Cooperation, ambao ingekua ni free trade. Kwa hivi sasa wakulima ambao wanahusikana kilimo cha mazao wanapata matatizo kwa sababu vitu vya kutoka nje vinakuja vina-flood market na vina-render thosepeople financially bankrupt kwa sababu, mazao yao hayanunuliwi. Vitu vya nje vinauzwa kwa bei raisi-na umaskini unazidi.Kwa hivyo poverty eradication ni kama hakuna katika Kenya.Kuna pia trade union representation-wafanyi kazi. Katiba ingefaa kusema ya kwamba, ama iwekwe kwamba representation yawafanyi kazi, yaani trade union, ziwe ni za lazima. Ili iwe mfanyi kazi asiweze kunyanyaswa na matajiri na pia pale, walewastaafu ambao watastaafiswa baada ya umri wao kufika, wawe enshirined katika ile Katiba kwamba watatewe mpaka hatawakati watakapo toka. Kwa mfano, utakuta mzee labda alifanya kazi kwa miaka arubaini na tano katika serikali na aka-retire.Anapatiwa pension ambayo hivi sasa hata kilo ya sukari hawezi kununua nayo. Kwa hivyo iweze kuangaliwa kwamba, vilemiaka inavyoendela na hao pia wanaweza-masilai yao yanaweza kuangaliwa; Because they wasted a lot <strong>of</strong> their years workingfor the Government or for the country as a whole.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!