11.07.2015 Views

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

44itakaye mchagua.Na, jambo lingine ni kuhusu rasilmali kama vile tuseme mashamba. Kuna sehemu ambazo zilikuwa hapo tangu wakati ule waUkoloni kulikuwa mipaka imewekwa. Lakini tunaona wakati huu kwa sababu Bunge linarekebisha Katiba lenyewe bilawananchi kuhusishwa kuna sehemu zingine zimenyakuliwa zikapelekwa katika mikoa mingine-ambayo ni rasilmali ya sehemunyingine.Katika Katiba ningeomba ya kwamba hizo sehemu ambazo zilinyakuliwa ziweze kurudishwa yaani ile mipaka ya zamaniirudishwe.Jambo lingine ni kwamba katika uajiri tuseme recruitment wakati inafanyiwa, ifanyiwe katika location; ifanywe katika location.Na wale watakao chukuliwa wawe ni wenyeji wa sehemu hiyo na kuwe na nafasi sawa wakati wakuchukua-si kwamba kabilafulani wako wengi wawe wanachukuliwe wengi na hapo kwengine wako wachache wanachukuliwa wachache lakini kuwe nanafasi sawa.Katika kuajiriwa kazi, kuwe pia na nafasi sawa-iwe ni mwanamke, iwe ni mwanamume, nafasi itolewe sawa. Katika kielimupia kusiwe kunapangiliwa kiwango cha elimu-labda (inaudible) wanawake au pengine masomo ya pangiliwe kwambamwanamke hastahili kusomea somo hili au mwanaume yeye ndio anastahili. Kusiwe na hali kama hiyo lakini kuwe na usawa.Jambo lingine ni kwamba katika shule, darasa kwanzia nursery mpaka darasa nane vile ilivyo sasa, ningeomba katika Katibakuwe na sheria ya kwamba watoto wasome bure-na hii bure ni kwamba mzazi labda agaramikie kununulia mtoto kitabu nakalamu na uniform peke yake. Lakini kitu kama majengo na mambo yoyote mengine yanayohitajika, hatijika iwe kwambaserikali ndio itakayo weza kugaramikia.La mwisho, mimi ningependekeza ya kwamba katika upande wa Rais, Rais asitoke katika chama chochote achaguliwe nawananchi. Asante.Com. Domiziano Ratanya: Okay, asante sana Bwana Christopher. Mateus yuko? Issac M. Kimboi? Robiana Makingare.Robiana Makingare: Mimi kwa majina ninaitwa Robiana Makingare, mimi natoka (inaudible) location. Kwa maoni yangu yaKatiba-kwa niaba ya waKenya ningeliomba kwamba sereikali iwe ya majimbo. Na serikali hiyo, iwe na Waziri Mkuu na piakufikia kwa Mikoa kuwe na ma-Governor.(interjection) Majimbo-si mikoa; Majimbo.Na ningependa kusema-nikiingia kwenye Katiba Waziri Mukuu awe na mamlaka ya kuunda serikali. Kutoka hapo tunakujakwenye ardhi. Mipaka ambayo ilikuwa imetengwa na waKoloni kutoka mwanzo mwa makabila yaliokutwa-yote arubaini nasita- Katiba isimamie mipaka hiyo irudishwe iliyokuwa.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!