11.07.2015 Views

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

48Kuhusu upande wa kuabudu, ama upande wa dini, Serikali kwa mfano, Rais asiwe na mamlaka ya kuchagua kiongozi wa dini.Kwa mfano nikija katika ndugu zetu wa Islam, Kadhi wao mara nyingi Rais ndiye anamchagua, lilo jambo isiruhuswe naliondolewe- waachiwe wenyewe(interjection) Chief Kadhi wao wenyewe.Kugombea kiti cha Ubunge. Kugombea kiti cha Ubunge, asiruhusiwe mtu kugombea wa kutoka sehemu nyingine. Awe nimwananchi wa kuzaliwa sehemu ile-maana atakua na uwezo wakuelewa matatizo na kujua shida ya wananchi wa pale.Makabila madogo yapewe pia sauti, yasikike katika (inaudible) (interjection) Kama ni Bunge wahakikishe kwamba wanamwakilishi Bungeni, yaani hivi ni kusema kila kabila ambalo liko Kenya, wapate nafasi ya Mbunge wao katika Bunge.Nimemaliza.Com. Domiziano Ratanya: Stephen enda pale na asante sana Rev. Stephen. Na sasa tunaenda kwa Philomena C.Mushingati. Ameingia?Philomena C. Mushingati: Mimi kwa majina ni kama vile mumesikia, ni mzaliwa wa Kwale lakini nimeolewa Taveta nanimeishi Taveta kabisa.Kitu ambacho ningesisitiza zaidi ni kuhusu akina Mama. Wakina mama wapate haki zao sawa na wakina baba. At least nawao wawe wanajisikia kuwa wana nafasi katika nchi hii na wasichana wao waweze kulindwa. Kama kwa mfano ubakji wawasichana uweze kuchukuliwa hatua kali. Vile munavyojua, kuna maradi ya ukimwi ambayo yana adhiri sana maendeleo. Kwahivyo nilikuwa naomba hiyo iangaliwe zaidi. Mimi sina maneno mengi. Ninashukuru.Com. Domiziano Ratanya: Okay, asante sana Madam Philomena kwa hayo machache na ni machache kabisa ya muhimu.Na tunataka sasa kuenda kwa Nimrod Mutangaoru. Yuko karibu?Nimrod Mutangaoru: Asante sana Bwana Commissioner, mimi nina maswala hapa, pengine ni mengi kidogo lakini nitajaribukuyapitia kwa ufupi-nikieleza tu yale ambayo ni ya muhimu zaidi.Nina swala kuhusu Bunge na ningeanza na kule bungeni. Pendekezo langu juu ya kuwachagua ama kupata Wabunge ipasavyo;hapa ningependa tu kuongeza kwamba, mijadala na ya Bunge itangazwe moja kwa moja ili wananchi wapate kusikiawenyewe-kwa masikio yao-isiwe kwamba ni mambo ya kupata report kwa magazeti na vyombo vingine ambavyo mara nyingitunasikia malalamshi kwamba vinatia chumvi.Kuhusu Wanyama wa Pori na mbuga, nina mapendekezo haya; Wanyama wa pori wanapoingia na kuharibu mimea, serikaliigaramikie fidia za mazao hayo na ikiwa wanyama hawa pengine watakuwa wameingia tu kijijini na hawajafika mashambani-nani hatari wengine kuwa wanapigiwa report na kama tunavyo ona mara nyingi, huwa hakuna hatua za haraka kuchukuliwa na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!