11.07.2015 Views

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

42Hata Thomas Nzau hayuko. Kwa hivyo wananchi sasa tumekubaliana tuende break mupate lunch haraka haraka ili tuwezekurudi saa nane. Asanteni sana.Com. Domiziano Ratanya: Julius Kimondo.Benson: Kwa majina naitwa Benson (inaudible) Kuna hawa tunaweza kuwaita chokora, naomba serikali (inaudible)kwasababu wanapata shida (inaudible)wazazi wao wachunguzwe kama wapo au wamekufa kwa sababu ikiwa wako hai(inaudible)wanapata shida nyumbani. Tukija kwa upande wa kina mama (inaudible) voters; Serikali ijaribu kuangalia shida zaakina mama pia (inaudible) ili waweze kupiga kura ambazo (inaudible)ardhi pia ina(inaudible) Kwanza….pia tuna shida.(inadudible)Naomba pia serikali (inaudible) shule kwa sababu kuna shida. Fees imekuwa(inaudible)Com. Domiziano Ratanya: Tutaenda kwa Julius. Julius hayuko karibu, tutaenda kwa Alfred Mwakange, Saleh Misila.Endelea Saleh.Saleh Misila: (inaudible)shida ya ngombe ukienda kununua (inaudible)wakati tulikuwa na wazungu, walikuwa wakituruhusu(inaudible) hiyo kitu Katiba iangalie.Kuna shida ingine ni ya ugonjwa. Ukienda hospitali unambiwa hakuna madawa na dawa iko. Sasa hii dawa ya serikali kwanini watu wanauziwa? Kukiwa pesa mtu ananunua dawa kama huna pesa unambiwa dawa hakuna.(inaudible)Kuna mambo ingine Katiba, (inaudible) barabara zimekuwa mbaya magari hakuna unakuta ni kwa sababu barabara ni mbaya.Muangalie kama hii barabara itatengenezwa namna gani. Wakati wa ukoloni barabara zilikuwa nzuri. Wale watu ambao ni wabarabara hawatengenezi na wanzlipwa mshahara na barabara zimekua mbovu. Magari yananguka ovyo ovyo kwa ajli njia nimbaya.Kitu kingine ni mjue kuna watu maskini na matajiri. Watoto walioko nyumbani wamekosa pesa ya kusoma niwengi-wamekosawazazi(inaudible)kwa ajili ya kukosa pesa. Kwa nini serikali isiteremshe pesa ziwe kidogo ndio watoto wote wasome? Mtotommoja analipiwa elfu kumi-na huyo ni ntoto mmoja-kuna wengine. Kulipia watoto wote na wewe huna kazi unafanya-umekaanyumbani tu.(interjection)Nataka kupendekeza fees iwe ndogo, maana hata kupeleka mtoto nursery, ni shillingi elfu kumi. Haya ukitaka kupeleka mtotodarasa ya kwanza ni shillingi elfu kumi(inaudible)na mwenye kulipa ni mmoja na hana kazi (inaudible) hiyo kitu inatuma sisiwazee na tombee hapa tuwe tunachunga ngombe hapa. Wakati wa mkoloni tulikuwa tanaruhusiwa---(inaudible)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!