11.07.2015 Views

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

Verbatim Report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

30Norman Ochola Daniel: Napendekeza kwamba hii nchi-unajua wale watu waliotuvamia, waonekane kwamba itapangwanamna gani kama nikupunguzwa wapugunzwe kwa sababu sehemu walikutoka, walitoka nchi yao au sehemu yao.Lakini sasa watoto ambao wako sasa nina hakika kabisa tutakuwa na shida-----Wanaweza kupangia kwa mpango kwasababu, ikiwa kwamba wale waliokuja lazima wajulikane kwamba wametoka katika sehemu gani na kama kwao kuna nafasi,warudishwe serikali inawajua.Com. Ratanya: Okay, asante Norman na hapo tuende kwa Joseph Lepuku Makiata-unajua haya majina mengine ni mapya.(Laughter).Joseph Lepuku Makiata: Asanteni sana, kwa majina naitwa Joseph Lepuku Makiata. Kuhusu maoni yangu tuu ya Katiba,ningeomba Katiba iangalie hasa kuhusu Ubunge na Udiwani.Ningeomba katika uchaguzi wa kuchagua Mbunge, pamoja na Diwani, wawe ni wa eneo hilo huyo apewe kikao mbele katikauchaguzi wake Ya pili, ni kuhusu ardhi na mali ya asili. Kuhusu ardhi na mali ya asili ningeliomba Katiba iangalie kuwa katikaugawanyaji ya ardhi hasa sehemu ya Taveta, wapewe nafasi wazee wetu wa Njama waweze kupatiana ardhi kwa wenyeji.Asanteni sana yangu ni hayo machache.Com. Ratanya: Okay, asante Bwana Lepuku Makiata na sasa tunaenda kwa Matthews Savingo.Mathews Savingo Mutawa: Majina yangu ni Mathews Savingo Mutawa, nina maoni machache kuhusu Katiba. Mimi,ningependelea-upande wa utawala, ningependelea Rais asiwe wa chama chochote na pia achaguliwe na wananchi kwa sikutafauti na ile ya Wabunge na awe amepita kwa asilimia hamsini kuenda mbele.Upande wa police; police wa utawala kama vile AP, police hawa wa kawaida-wawekwe kwa Mkubwa mmojawasigawanyishwe hiyo ni kuharibu pesa.Com. Ratanya: Wawekwe pamoja?Mathews Savingo Muawa: Wawe under one Commissioner. Upande wa Ubunge; Ubunge wa eneo lolote lile kamatunavyojua, kuna makabila arubaini na mawili Kenya, yaweze kuwakilishwa Bungeni-isiwe kuna makabila madogo“yanamezwa” na yale makubwa. Na ikiwa “yatamezwa” wale nominated MP’s watoke kwa hizo kabila ndogo ambazozitakuwa hazijawakilishwa na wawe wazaliwa na wenyeji wa sehemu watakayo gombea Ubunge.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!