42 <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> Annual Report & AccountsTaarifa ya Afisa Mkuu (unaendelea)Katika upande wa mzigo, <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> imebadilishataratibu zake na kuunganisha Mauzo ya Mizigo naile ya kutunza mizigo ikiongozwa na meneja mkuu.Katika utaratibu huu mpya, ngazi ya kuingilia ndegekatika eneo la mizigo itasalia katika Huduma zaViwanjani.U<strong>to</strong>aji HudumaTunaendelea kukadiria utendaji kazi wetu dhidiya malengo tuliyokubaliana. Tuliangazia vigezomaalumu vya u<strong>to</strong>aji huduma mwaka uliopita. Baadaya kupokea ma<strong>to</strong>keo mazuri kwenye utaratibuwa wasafiri kupanga foleni mwaka uliopita, sasatunaangazia usafirishaji wa mizigo.Matumizi na utenda kazi wa mfumo wetu wa ukaguziwa mizigo zimeimarika pakubwa kwa takribaniasilimia 100. Kwa sasa, tunaelekeza jitihada zetu kwau<strong>to</strong>aji huduma kwa wateja wetu na ku<strong>to</strong>a mafunzomaalumu kwa watumishi wetu wanaotangamana nawateja moja kwa moja.MiradiKama sehemu ya mfumo wa pamoja wa usimamiziwa huduma, tumekuwa tukitekeleza mpangounaohusiana wa kudhibiti ki<strong>to</strong>vu chetu (HCS).Uzinduzi wa HCS ulifanywa kwa awamu tatu nautekelezaji kamili unatarajiwa kukamilika kufikiamwisho wa Aprili 2010, mapema kuliko ilivyopangwa.Tunatarajia mabadiliko bora kwa namna raslimalizinavyotumika.Mashirika ya ndege ambao ni watejaHati ya ISAGO ni nembo ya ubora katika shughuli zaviwanjani. Jitihada zaidi zilifanywa kuainisha u<strong>to</strong>ajihuduma wetu na matarajio ya wateja. Wakati huo,tulianzisha huduma za viwanjani kwa mashirika yandege ya Etihad na Singapore, Nairobi na Air Italyna Ethiopian Airlines, Mombasa. Mpango maalumuumeanzishwa kuhakikisha tunazingatia Mikatabakuhusu Viwango vya Huduma.Katika mwaka uliopita wa kifedha shule ya mafunzo ilihitajikakuwasajili wanafunzi wa kiufundi kujaza pengo la wafanyikaziwaliokuwa wakistaafu na pia kutimiza mahitaji ya upanuzi yashirika. Lengo lilikuwa kuachana na mwelekeo wa awali wakuwafunza wanagenzi kisha baadaye kuwapa kibali cha uhandisi,na sasa kulenga mafunzo ya kimsingi ya uhandisi ili kuwa nawafanyikazi chini ya kiwango cha wahandisi walio na kibali. Mpangohuo ulikumbwa na hitilafu kadha ku<strong>to</strong>kana na jinsi mahitaji yausajili yaliwekwa na Idara Inayosimamia Maslahi ya Wafanyikazi(Human Resource), na kumaanisha hakuna wanagenzi wapyawalioandikishwa katika mwaka uliopita wa kifedha.Katika mwaka huu wa kifedha mpango huu umeratibiwa kuendelea,huku ukilenga mahitaji ya ujuzi wa kazi. Hii itahitaji ushirikiano namashirika yaliyostawi ambayo yatatupa vifaa vya mafunzo hapomwanzo kabla ya <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> kuwa na uwezo wa kujinunuliavyake na ku<strong>to</strong>a mafunzo. Kundi la kwanza limepangwa kusajiliwakabla ya mwisho wa Septemba 2010.Kufikia sasa agenda ya Ustawi Endelevu (Continuous Improvement-CI) kwa Idara ya Ufundi imeundwa na iko tayari kutumika na kilakitengo cha idara hiyo. Mikutano ya vitengo inaendelea, miradiya kuimarishwa imetambuliwa na kuorodheshwa na mipangoyenye maelezo ya kina imewekwa. Uchanganuzi wa wadau piaunaendelea vyema.Mradi wa kuweka mfumo wa mitambo imara ya uhandisi, The OpenAviation Strategic Engineering Systems (OASES), ulianzishwakatika <strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> ili kulainisha utaratibu wa shughuli zote zaidara. Unahifadhi na ku<strong>to</strong>a ripoti ya taratibu zote za kudumishamitambo, jinsi muda wa wafanyikazi unavyotumika na vipi vipurivinapatikana. Mradi huu ulianzishwa Agosti 2008 na Afisa MkuuMtendaji na Wakurugenzi wa Idara ya Ufundi na Mifumo yaMawasiliano. Manufaa muhimu yanayotarajiwa na yaliyoshuhudiwakufikia sasa ni pamoja na kuimarika kwa uzalishaji na kupungua kwagharama ya kudumisha utendakazi wa vifaa. Mradi pia umechangiakuboresha upatikanaji wa habari, u<strong>to</strong>aji wa ripoti za utendakazina uwekaji mipango hususan ya kudumisha utendakazi wa ndege.Utaratibu wa kwanza wa Utegemezi (Reliability Module) ndioulikuwa wa kwanza kuanza kutumika Desemba 2009 huku zile zaMipango (Planning) na Uzalishaji (Production) zikianza kutumikamwishoni mwa Mei 2009. Hatua hii kubwa ilidokezwa na kutumikakikamilifu kwa mara ya kwanza kwa mfumo wa OASES, uliopangwana kubainiwa ma<strong>to</strong>keo yake kwenye ndege (OASES C-checkon <strong>the</strong> Boeing 737-800 fleet). Uandalizi na uwekaji wa OASESumeshatekelezwa katika aina zote za ndege zetu huku ndegeya mwisho iliyowekwa ikiwa ni aina ya Boeing 737-300 ambayoilianza kutumia mfumo huu Februari 2010. Maendeleo zaidi katikamwaka wa kifedha wa 2010/2011 utahusu uimarishaji wa OASESkwa kuujumuisha na mfumo wa OCC uliotajwa awali katika ripotihii, ili safari za ndege ziwe zinaonekana moja kwa moja katikaIdara ya Uhifahdi nazo shughuli za kudumisha utendakazi wandege hizo zikifahamika na OCC.Moja ya mikakati ya mradi wa OASES ni kuujumuisha na mfumowa Mpango wa Matumizi ya Rasilimali za Kibiashara (EnterpriseResource Planning-ERP). Awamu ya kwanza ya mfumo huu ilianzakutekelezwa Aprili 6, 2010. Mikakati ya kuujumuisha pia na mfumowa Usimamizi wa Vituo vya Ndege (Sabre Aircentre System) piainaendelea na inajumuisha utekelezaji wa taratibu za kudumishaudhibiti na utegemezi (OASES Line Maintenance Control andDispatch Reliability), zinazolenga kuboresha shughuli za kiufundina utegemezi. Taratibu kadha mpya pia zinatarajiwa katika robo zapili na tatu za mwaka huu, zikiwemo Mbinu ya Kuleta Mabadiliko,Kifaa cha Kujumuisha Mipango na Vipimo Muhimu vya Utendakazi,ambazo zinatarajiwa kuleta manufaa muhimu kwa idara za uhandisi,mipango na usimamizi.Marekebisho ya kiufundi kwa Wakati unaofaa (OTP) umo kwenyeviwango vya wastani vya asilimia 95.25. Hata hivyo, jitihada zaidiza kuimarisha hari hiyo zinahitatika kufanywa. Mipangilio yetu yamuda mfupi inafuata utaratibu maalumu na ingawa Kudhibiti kwaUharibifu kwenye ndege bado ni changamo<strong>to</strong>, tutaendelea kufanyamipango ya kurekebisha hali hiyo. Sasa, tunadhibiti shughuli zoteza ukarabati mdogo huku tukiunganisha Kituo cha Ukarabati navipuri vya ndege iliyokwama na huduma ili kufungua kituo kipyacha kudhibiti operesheni.Ripoti kuhusu ndege sasa zina<strong>to</strong>lewa kwa haraka, na hivyokutuwezesha kufuatilia hali ilivyo kwingineko duniani na hivikaribuni, tutaweza kudhibiti kasoro kwenye ndege kwa njia
<strong>Kenya</strong> <strong>Airways</strong> Annual Report & Accounts43Taarifa ya Afisa Mkuu (unaendelea)bora zaidi sambamba na viwango vya sekta hii.Hii itachangia pakubwa kwa OTP na kuongezauwezekano wa kukarabati ndege. Na sasa nyingiya ndege zetu zinafanyiwa ukarabati Nairobi. Serayetu ni kufanya ukaguzi wa ndege nchini kadiriinavyowezekana na tunapeleka nje shughuli ambazozinahitaji utaalamu zaidi ambao KQ haina uwezo wakushughulikia. Wasimamizi na wafanyi kazi wa idaraya Uhandisi na Ukarabati wanajivunia kukamilikakwa mpango wa kufanyia ukarabati huo ndani yakampuni.Wasimamizi wanaji<strong>to</strong>lea kufanikisha mfumo wa OTP.Katika kipindi cha miezi sita iliyopita, huduma zakiufundi kwa mashirika mengine yalingizia mapa<strong>to</strong>kampuni. Mapa<strong>to</strong> yanaendelea kuwa mengi kufuatiakuongezeka kwa mahitaji ya huduma za kiufundiku<strong>to</strong>ka kwa mashirika mengine ya ndege na kampuniza humu nchini. Idara hiyo kwa sasa inajiandaa kwamajukumu zaidi ku<strong>to</strong>ka nje katika kipindi kijachocha matumizi ya fedha.Wajibu wa kampuni kwa jamii (CSR)Kampuni iliendelea kushughulikia nyanja za Elimu,Maji, Afya na Mazingira kama sehemu ya wajibuwake kwa jamii wakati wa kipindi tunachoangazia.Miradi ifuatayo ilikamilika vyema.d) Kasagam Secondary School, Kisumu, <strong>Kenya</strong> kwa mara nyingineimenufaika, na wakati huu kupitia ujenzi wa Maabara yaKompyuta kwa gharama ya Sh2,000,000.e) Kasarani Tree Special School Nairobi, <strong>Kenya</strong> ilinufaika na ujenziwa karakana ya useremala kwa gharama ya Sh2,000,000Maji:Kwa lengo la ku<strong>to</strong>a suluhisho la kudumu la usambazaji maji safina ya ku<strong>to</strong>sha katika sehemu zinazoathirika katika maeneo yamashambani kote Afrika, miradi ifuatayo ilinufaika katika kipindihicho. Jamii ya Gaigedi, Vihiga, <strong>Kenya</strong> kwa kuchimba kisima katikaGaigedi Secondary School na kuweka tangi kubwa ya maji kwagharama ya Sh2,000,000.a) Jamii ya Epworth, Harare, Zimbabwe kwa kuchimba kisimakaribu na kituo cha kijamii na kuweka tangi kubwa kwa gharamaya Sh1,800,000.Mazingira:Kampeni ya ‘Panda Siku Sijazo’ ilituwezesha kudhibiti zaidi eneoambapo tumekuwa tukipanda miti tangu 2007. Mwaka huu,tulibadilisha miche 90,000 ambayo iliathiriwa na ukame wa mudamrefu na kupanda mingine ya kiasili 30,000. Mradi huu tayariumefikisha jumla ya miti ya kiasili 500,000 imepandwa.Afya:Mradi wa “Bombay Ambulance” una<strong>to</strong>a msaada kwa wagonjwawanaosafiri nje ya nchi kwa matibabu. Idadi ya tikiti ambazogharama yake ilipunguzwa kwa wagonjwa maskini waliosafiring’ambo kwa matibabu ilikuwa 44 hadi Mumbai, 2 Amsterdam,na 1 kila moja kwa Cairo na London.Kampuni pia ilisaidia miradi ifuatayo:Mradi wa kuwasaidia waathiriwa wa mkasa wa tetemeko la ardhiHaiti kwa ushirikiano na Red Cross Februari 4 – 28, 2010 ambaoulihusisha ukusanyaji wa masalio ya pesa ku<strong>to</strong>ka kwa wasafiri.Mradi huo ulikusanya Sh500,000. Waathiriwa wa maporomokoya ardhi Uganda walipokea msaada wa chakula cha thamani yaSh600,000 ambao ulisafirishwa hadi mashariki mwa Uganda.a) Mradi wa AMREF/Rotary wa “Badilisha Maisha “kufikia sasaumekusanya Sh1,643,928. Mradi huu kwa sasa unaendeleakuchunguzwa kwa lengo la kuhakikisha ufanisi wake.ZIDISHA JUHUDI ZAKOHuu ni mpango ambapo wafanya kazi wa KQ staff wanapendekezana kuchangisha pesa kwa miradi ya kunufaisha jamii kupitia idarazao na kupokea kiasi kama hicho ku<strong>to</strong>ka kwa bajeti ya CSR ya KQ.Miradi iliyonufaika na mpango huu ni pamoja na:«Elimu:Sambamba na ari za “Kupanga Shule,” KQ ilisaidiashule kadha.a) Mangu High School, Thika, <strong>Kenya</strong> ilipokeamsaada kupitia ujenzi wa darasa la kompyutakwa gharama ya Sh750,000.b) Ikuu Girls Secondary and Special School, Chuka,<strong>Kenya</strong> ilipokea msaada kupitia ujenzi wa bwenikwa gharama ya Sh1,300,000.c) Esupetai Primary School, Narok, <strong>Kenya</strong> ilipokeaudhamini wa ujenzi wa madarasa mawili, uana ununuzi wa tangi ya maji kwa gharama yaSh1,700,000.IDARA MAELEZO YA MRADI MSAADAMCHANGO WAIDARA KSHS.KAMPUNIKSHS.JUMLAKSHS.Commercial – Flying Blue AIC Girls School – Kajiado Ununuzi wa vitanda 61,300 61,300 122,600Ukaguzi wa hesabu Laverna Day & BoardingUjenzi wa viyoo 90,000 90,000 180,000Primary School – Donyo SabukTeknolojia ya Mawasiliano Nyauu Primary School – Homa Bay Ukarabati wa madarasa 54,000 54,000 108,000FedhaEsageri School for <strong>the</strong>Ununuzi wa vitanda 200,000 200,000 400,000Deaf – Eldama RavineMasuala ya wafanyi kazi Mutulani School - Machakos Ujenzi wa viyoo 103,900 103,900 207,800Jumla 509,200 509,200 1,018,400