12.07.2015 Views

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(a) kuongeza udahili kutoka <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi 3,941 m<strong>wa</strong>ka 2011/12hadi kufikia <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi 4,300 m<strong>wa</strong>ka <strong>2012</strong>/13(b) kuendeleza mafunzo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>hadhiri 20 katika ki<strong>wa</strong>ngo chaShahada <strong>ya</strong> Uzamivu;(c) kuimarisha utafiti <strong>na</strong> uchapishaji <strong>wa</strong> makala mbalimbali ilikusambaza elimu i<strong>na</strong>yokidhi mahitaji <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong> jamii, iki<strong>wa</strong>ni pamoja <strong>na</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Ushirika <strong>wa</strong> Akiba <strong>na</strong> Mikopo,maendeleo <strong>ya</strong> ushirika, utunzaji mazingira <strong>na</strong> mikakati <strong>ya</strong>kupunguza umaskini;(d) kuimarisha vituo vinne v<strong>ya</strong> Mt<strong>wa</strong>ra, Iringa, M<strong>wa</strong>nza <strong>na</strong>Tanga ili kuielimisha jamii katika masuala <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong>Ushirika <strong>wa</strong> Akiba <strong>na</strong> Mikopo, maendeleo <strong>ya</strong> ushirika,utunzaji mazingira <strong>na</strong> mikakati <strong>ya</strong> kupunguza umaskini;(e) kuimarisha ki<strong>wa</strong>ngo cha huduma za utafiti <strong>na</strong> ushauri k<strong>wa</strong>kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyuo vingine v<strong>ya</strong> ndani <strong>na</strong> nje <strong>ya</strong> nchi,hususan Chuo cha Ushirika cha Uingereza, Chuo Kikuucha Stirling cha Uingereza, Chuo Kikuu cha Malawi, ChuoKikuu cha Zambia <strong>na</strong> Humber Institute of Technology andAdvanced Learning (HITAL);(f) kuimarisha mipango <strong>ya</strong> uenezi <strong>wa</strong> elimu nje <strong>ya</strong> Chuo ilikuchochea ari <strong>ya</strong> maendeleo katika jamii, k<strong>wa</strong> kushirikia<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>wa</strong>dau wengine, hususan Wizara <strong>ya</strong> Kilimo, Chakula <strong>na</strong>Ushirika, Shirika la Ukaguzi <strong>na</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong>Ushirika <strong>na</strong> Shirikisho la V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Ushirika;(g) kuchukua hatua za makusudi katika kushughulikia mahitaji<strong>ya</strong> jamii katika masuala mtambuka kama jinsia, UKIMWI,<strong>wa</strong>tu wenye mahitaji maalumu, rush<strong>wa</strong> <strong>na</strong> mazingira; <strong>na</strong>(h) kukamilisha utekelezaji <strong>wa</strong> masharti <strong>ya</strong>liyotole<strong>wa</strong> <strong>na</strong> TumeMakadirio <strong>ya</strong> Mapato <strong>na</strong> Matumizi k<strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ka <strong>2012</strong>/13103

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!