12.07.2015 Views

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

51. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/12 <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Juuilitole<strong>wa</strong> katika vyuo vikuu <strong>na</strong> vyuo vikuu vishiriki 46 (v<strong>ya</strong> Serikali14). Kazi za msingi zi<strong>na</strong>zofany<strong>wa</strong> <strong>na</strong> Vyuo Vikuu ni kufundisha<strong>na</strong> kufan<strong>ya</strong> utafiti u<strong>na</strong>olenga katika kukuza uchumi <strong>na</strong> kupunguzaumasikini, <strong>na</strong> kutoa ushauri <strong>wa</strong> kitaalamu k<strong>wa</strong> Serikali <strong>na</strong> ummak<strong>wa</strong> ujumla.52. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, udahili katika Vyuo v<strong>ya</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Juuuliongezeka kutoka <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi 139,638 (<strong>wa</strong> kike 49,959) m<strong>wa</strong>ka2010/11, hadi 166,484 (<strong>wa</strong> kike 60,592) m<strong>wa</strong>ka 2011/12kama ilivyoonesh<strong>wa</strong> kwenye Kiambatisho Na. 4. Ongezeko hili nimatokeo <strong>ya</strong> mafanikio <strong>ya</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> MMES I – II iliyoongezauandikishaji katika shule za sekondari zilizojeng<strong>wa</strong> chini <strong>ya</strong>mpango huu, <strong>na</strong> kuajiri <strong>wa</strong>limu <strong>wa</strong> kutosha <strong>wa</strong>lio<strong>wa</strong>wezesha<strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi wengi zaidi kufan<strong>ya</strong> vizuri katika mitihani <strong>ya</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong>Sekondari <strong>ya</strong> Ka<strong>wa</strong>ida <strong>na</strong> kuchaguli<strong>wa</strong> kuendelea <strong>na</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong>Sekondari <strong>ya</strong> Juu; <strong>na</strong> kisha kuhitimu <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>na</strong> sifa za kujiunga<strong>na</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Juu.53. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/12 Wizara, kupitiaIdara <strong>ya</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Juu ilitekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:(a) iligharimia mafunzo <strong>ya</strong> madaktari <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi 1,900 k<strong>wa</strong>kutoa fedha <strong>ya</strong> posho <strong>ya</strong> vitabu <strong>na</strong> viandikia, mahitajimaalum <strong>ya</strong> vitivo <strong>na</strong> ada;(b) ilidhamini <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi 47 raia <strong>wa</strong> Uganda katika VyuoVikuu v<strong>ya</strong> Tanzania kama ifuatavyo: Chuo Kikuu chaDar es Salaam (26); Chuo Kikuu cha Af<strong>ya</strong> <strong>na</strong> Sa<strong>ya</strong>nsiShirikishi Muhimbili (11), <strong>na</strong> Chuo Kikuu Ardhi (10). Aidha,ilidhamini Watanzania 37 <strong>wa</strong><strong>na</strong>osoma katika Vyuo Vikuu36 Makadirio <strong>ya</strong> Mapato <strong>na</strong> Matumizi k<strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ka <strong>2012</strong>/13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!