12.07.2015 Views

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(d)(e)kutoka ndani <strong>na</strong> nje <strong>ya</strong> nchi; <strong>na</strong>ilifan<strong>ya</strong> upembuzi <strong>ya</strong>kinifu <strong>wa</strong> kujenga kituo cha mafunzo<strong>ya</strong> mitaala <strong>na</strong> utafiti <strong>wa</strong> maendeleo <strong>ya</strong> kielimu;ilifan<strong>ya</strong> utafiti kuhusu sababu zi<strong>na</strong>zo<strong>wa</strong>fan<strong>ya</strong> <strong>wa</strong>totokumaliza Darasa la VII <strong>na</strong> kujiunga <strong>na</strong> Kidato cha I bilaku<strong>wa</strong> <strong>na</strong> stadi za Kusoma <strong>na</strong> Kuandika <strong>na</strong> Kuhesabu (KKK).Utafiti huu ulifanyika katika mikoa saba (M<strong>wa</strong>nza, Mbe<strong>ya</strong>,Ruvuma, Shin<strong>ya</strong>nga, Lindi, Tabora <strong>na</strong> Mt<strong>wa</strong>ra).Bodi <strong>ya</strong> Huduma za Maktaba Tanzania67. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Bodi <strong>ya</strong> Huduma za Maktaba Tanzaniai<strong>na</strong> jukumu la kutoa <strong>na</strong> kusambaza huduma za maktaba nchini.Aidha, i<strong>na</strong> jukumu la kuanzisha, kuendesha, kuongoza, kuimarisha,kutunza <strong>na</strong> kuendeleza Maktaba za Umma kuanzia ngazi zaVijiji, Wila<strong>ya</strong> hadi Mikoa, <strong>na</strong> kutoa mafunzo <strong>na</strong> kuendeshamitihani <strong>ya</strong> Taaluma <strong>ya</strong> Ukutubi.68. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/12, Wizara, kupitiaBodi <strong>ya</strong> Huduma za Maktaba Tanzania, ilitekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:(a) iliwezesha kupatika<strong>na</strong> k<strong>wa</strong> jumla <strong>ya</strong> vitabu 93,914.Kati <strong>ya</strong> hivyo, 523 vilipatika<strong>na</strong> k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sheriaNa. 6 <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 1975, i<strong>na</strong>yomtaka kila mchapishajiku<strong>wa</strong>silisha Maktaba Kuu, <strong>na</strong>kala mbili (2) za kila kitabua<strong>na</strong>chokichapisha; vitabu 90,708 vilipatika<strong>na</strong> k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong>msaada, <strong>na</strong> 942 vilinunuli<strong>wa</strong> <strong>na</strong> hivyo kufan<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong>vitabu vyote katika Maktaba nchini kufikia 1,184,957;(b) ilitoa ushauri kuhusu uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>na</strong> uendeshaji <strong>wa</strong> maktabakatika shule 101, vyuo 29 <strong>na</strong> Halmashauri za wila<strong>ya</strong> 11;46 Makadirio <strong>ya</strong> Mapato <strong>na</strong> Matumizi k<strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ka <strong>2012</strong>/13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!