12.07.2015 Views

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

Hotuba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012 ... - HakiElimu

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kituo cha Maendeleo Daka<strong>wa</strong>75. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Kituo cha Maendeleo Daka<strong>wa</strong> ki<strong>na</strong>majukumu <strong>ya</strong> kutunza <strong>na</strong> kuhifadhi majengo, vifaa <strong>na</strong> miundombinuiliyokabidhi<strong>wa</strong> <strong>na</strong> Chama cha African Natio<strong>na</strong>l Congress (ANC)cha Afrika <strong>ya</strong> Kusini k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kulinda Historia <strong>ya</strong> Ukombozi <strong>wa</strong>Kusini m<strong>wa</strong> Afrika. Baada <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> Tanzania kukabidhi<strong>wa</strong>Kituo cha Maendeleo Daka<strong>wa</strong> kutoka k<strong>wa</strong> Wapigania Uhuru<strong>wa</strong> ANC, Wizara <strong>ya</strong>ngu imekusudia kukiendeleza kituo hiki <strong>na</strong>kukitumia katika kutoa <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>na</strong> <strong>Ufundi</strong> kupitia Taasisizilizopo <strong>na</strong> zitakazoainish<strong>wa</strong> hapo baadaye ili kiwe ‘Kitovu chautoaji <strong>wa</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>na</strong> Teknolojia’ (Centre of Excellence forScience and Technology).76. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/12, Wizara, kupitiaKituo cha Maendeleo Daka<strong>wa</strong>, ilitekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:(a) ilisimamia taasisi zilizomo katika kituo k<strong>wa</strong> ufanisi k<strong>wa</strong>kutoa mafunzo <strong>na</strong> huduma; <strong>na</strong>(b) ilianzisha kozi <strong>ya</strong> TEHAMA k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> <strong>wa</strong><strong>na</strong>funzi <strong>wa</strong>Shule <strong>ya</strong> Sekondari <strong>na</strong> <strong>wa</strong><strong>na</strong>chuo <strong>wa</strong> Ualimu <strong>na</strong> <strong>Ufundi</strong> <strong>wa</strong>Mitambo <strong>ya</strong> Kilimo (Agro-mechanics) katika chuo cha VETAkilichoko kituoni. Aidha zaidi <strong>ya</strong> ekari 50 za mashamba <strong>ya</strong>kituo <strong>ya</strong>litumika k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> <strong>Mafunzo</strong> <strong>ya</strong> Kilimo.Mamlaka <strong>ya</strong> <strong>Elimu</strong> Tanzania77. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Mamlaka <strong>ya</strong> <strong>Elimu</strong> Tanzania i<strong>na</strong> majukumu<strong>ya</strong> kutafuta <strong>na</strong> kubaini v<strong>ya</strong>nzo mbalimbali v<strong>ya</strong> mapato k<strong>wa</strong>50 Makadirio <strong>ya</strong> Mapato <strong>na</strong> Matumizi k<strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ka <strong>2012</strong>/13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!