22Com.Nunow: Thank you very much Commissioner and thank you very much bwana Masibai, please let us have yourmemorandum and you can sign the register the risk is by enlarge-bwana Masibai the risk is by enlarge for those who have notwritten anything because the day goes by those who have memorandum can present, and they have it recorded and that beingas good as reading word for word they will have had their views presented. But those who came with their points in theirheads, will go back with them and that is the risk and that is what we do not want to see happening. So if you have amemorandum, infact if you do not say a single and simply present it is as good as you sitting here and reading from the top thetitle to the full stop at the very bottom. There is no difference, we are giving hyou an opportunity to highlight so that you maywant to empasize one or two issues you think they are not clear in the paper, but the content <strong>of</strong> the paper will entirely beinternalized by the Commission. Alfonse Wabwire, Alfonse will be followed by Josiah Wanga ajitayarishe.Alphonce Wabwire: Mimi naitwa Alphone Wabwire kutoka Nambale sub-location, Location ya Nambale. Yangu ni haya kituzaidi ambacho inanisumbua hapa ama zaidi wakazi wa Nambale, ni hii, zaidi ni ukabila huko katika location hii, hawatakiwengine wainuke ijapokuwa ni wazito peke yao. Ya pili, ni askari wetu ambao wanatulinda, wanatunyanyasa zaidi, hata ukiwana mgeni unaona mtu ameingia anasema mzee unafanya nini na unakaa na bibi yako na watoto wako kwa nyumba, hiyoinanishangaza.Ya tatu, ni elimu, wako wengine sisi ambao hatuwezi mtoto anaweza pata point za juu lakini unashindwa kuelimisha mtoto,hapo nalia serikali yetu ingalie hapo. Ninasema asanti.Intejection Com.Nunow: Unapendekeza nini Katiba iangalie,Alphonce: Kitu ningependekeza katika Katiba hii ni elimu ya bure ikuwe tu elimu iwe ya bure.Com.Nunow: Asante sana mzee, Josiah WangaJosiah Wanga: Mimi kwa majina naitwa Josiah Wanga. Nilizaliwa mwaka wa 1922 nina miaka 80 saa hii. Wakati tulipiganiauhuru watu, tuliahidi wananchi ya kwamba, elimu itakuwa ya bure, Matibabu kwa hospitali yatakuwa ya bure, watu maskiniwatapewa mashamba, sasa saa hii tunanona wa kubwa ambao wanalalia ma-<strong>of</strong>isi ndio wanagawa mashamba, watu badowanaitwa squatters. Na wanyama wa pori wanagawa mashamba, ninashangaa, kupatia wanyama wa pori mashamba nawananchi wanaitwa ma squatters. Kwa hivyo wananchi waliopigania nchi hii wamesukumwa nyuma kabisa, hawana sautikatika nchi hii. Wengine walikufa, wengine bado wangali wako, hakuna jawabu lolote ambao tumewafanyia hawa watu. Miminikiwa mmoja kati ya hawa watu hawa, kutokea mwaka 56 mpaka sasa, sina nafasi katika Kenya, sijui tutapata Kenya inginewapi.Com.Ayonga: Kwa hivyo unataka aje mzee?
23Josiah: Nataka watu maskini wapewe mashamba, neno la pili, mimi nakufa na wacha watoto wangu, tena shamba yanguinachukua pesa nyingi ili watoto wangu wapate shamba yangu, serikali imenyanyasa wananchi zaidi, mtu akifa watoto wanauwezo wa kuridhi shamba yake, hakuna haja ati aende kwa land, aende wapi, land mtu anaweza kutoka Mombasa, anakujahapa anajua vile mimi nagawana na rafiki au jirani wangu? Majirani wako hapa, mimi naweza chukua watu wawili ma jirani nakugawia watoto wangu shamba langu, sio land tena land inatakikana iwe wazee wa kijiji ndio wanajua mashamba vile watuwanaishi. Hayo ndio yangu isipokuwa tu Katiba ibadilishwe, Rais awe anatoka kwa kila kabila, sio kabila moja.Com.Nunow: tafadhali tafadhalini tutulie, tutulie asante sana mzee kwa maoni yako, tumechukua tafadhali ujiadikishe pale. Nau-sign register, Maximila Obao.Maximila Obao: Asante sana mimi maoni yangu ni matatu tu, majina ni Maximila Obao, kutoka hapa Nambale. Ya kwanzaningependa Constitutuion, yetu hii at least itenge viti fulani kwa Bunge kwa sisi kina mama kwa sababu hata sisi tunatoa voteswakati wa kupiga kura, lakini tunaona kina mama ni wachache kabisa kwa Bunge, kwa hivyo watenge viti fulani ili iwe ni kinamama ndio wanakalia hizo viti.Kitu cha pili, kukue hakuna pesa wakati wa campaign kwa sababu pesa hizi zinakuwa kama bribery kwa wananchi. Wakatimtu anatoa pesa, na kwa sababu ya umaskini inafanya wananchi wanapigia watu ambao hawafai kura, Kitu cha tatu, miminingependa President yeyote ambaye yuko wakati ana retire awachiwe a retire kwa njia ya usalama ili kusiwe na mashtakayeyote katikati yake, kama President wetu huyu, ametuelekeza kwa njia ya amani na Kenya tumekuwa na amani, sisi wenginehatunjui kwamba vita ni nini. sisi wengine hatujui vita ni nini kwa hivyo yeye ameelekeza nchi kwa hali ya amani na sisitunaomba wakati ana-retire aende apumzike kwa amani asiwe anafuatiliwa. Ni hayo tu.Com.Ayonga: Na kuuliza maswali, mama Maximila umesema viti vitengwe Bunge kwa wa mama, kwa maana wa mama niwachache sana, ningelipenda kukusahihisha kidogo na ili niweze kuelekeza mawazo yako kwamba katika population ya Kenya,wa mama ni 52% <strong>of</strong> the population wao ndio wengi kuliko wanaume, wao sio wachache wao ni wengi, lakini ndio kwa Bungelakini tena nataka kukuelekeza point number two. Hapa kwetu Kenya one person one vote, kwa hivyo mbona wa mamamsifanye njia hiyo kura zenu mzipeleke, kwa maana hawa wanaume hawaendi kutenga viti, pengine inatakiwa muweke mkazokwamba wa mama tupigie wa mama kura, na kwa njia hiyo mtakuwa wengi. Sasa kuambia wanaume tena wawatengee viti nawao wanataka kuenda Parliament, sasa unaona hiyo itakuwa ngumu, lakini hukujitayarisha kwa hiyo enda ufikiri, ambia wamama wajitayarishe vilivyo asante.Com.Nunow: Asante sana mama Maximila, kwa maoni yako, Rogers Dubi, akaribie George Baraza, George Baraza akaribiebaada ya Rogers.
- Page 1 and 2: CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMIS
- Page 3 and 4: 3Mungu wetu umetuongoza na wakati h
- Page 5 and 6: 5wanakaribisha wageni vizuri sana,
- Page 7 and 8: 7wanataka kuzungumzia hayo maandish
- Page 9 and 10: 9Legislature. A patient should have
- Page 11 and 12: 11the death sentence should be outl
- Page 13 and 14: 13and another person has no plot to
- Page 15 and 16: 15Christine Omondi: My names are Ch
- Page 17 and 18: 17police force the GSU which is of
- Page 19 and 20: 19Godfrey: My understanding is that
- Page 21: 21to one foot from the water along
- Page 25 and 26: 25The Attorney General, the speaker
- Page 27 and 28: 27wananchi, kwa hivyo mwenyekiti mi
- Page 29 and 30: 29road blocks sasa hawa watu wa mat
- Page 31 and 32: 31nilijifunza agriculture British R
- Page 33 and 34: 33Primary schools, na saa hii hulip
- Page 35 and 36: 35Com.Nunow: Asante sana bwana Makh
- Page 37 and 38: 37Andrew: Efe badidi ba inyuma enoT
- Page 39 and 40: 39Andrew: mbara nibiakhuba mbu omun
- Page 41 and 42: 41kurudi kwa kazi. Mtu anayetaka ka
- Page 43 and 44: 43Secondly is the early marriages t
- Page 45 and 46: 45secretary akikufa au Minister ame
- Page 47 and 48: 47kwa korti. Watu wanasukuma na mpa
- Page 49 and 50: 49not unduly interfere with the oth
- Page 51 and 52: 51waislamu na wasio waislamu au wai
- Page 53 and 54: 53huku wanapata mishahara minono, n
- Page 55 and 56: 55know exactly what they stand for,
- Page 57 and 58: 574. Too many road blocks which do
- Page 59 and 60: 59zikichukua miaka mingi, watu weng
- Page 61 and 62: 61Point number three, is on somebod
- Page 63 and 64: 63Cornelia: Hilo linakuwa na mimi n
- Page 65 and 66: 65and he will also be part of the E
- Page 67 and 68: 67covered, but I would like highlig
- Page 69 and 70: 692 Electoral Commissioners, those
- Page 71 and 72: 71one has failed us terribly.The Ex
- Page 73 and 74:
73President being above the law. He
- Page 75 and 76:
75Jonathan: Eliakhubiri omundu akho
- Page 77 and 78:
77huko nyuma mimi ndie nina-deal na
- Page 79 and 80:
79official one Identity card that c
- Page 81 and 82:
81Jambo lingine la kumalizia nasema
- Page 83 and 84:
83serikali vile unafanya hivi, mtot
- Page 85 and 86:
85tafadhali wanasiasa, au viongozi
- Page 87 and 88:
87nitasema tu neno moja ya assistan