30John Makanga: Yangu ni machache, John Makanga kitu mimi nilikuwa naonelea, mambo ya wabunge ambao wamesimamakura kupeana pesa wakati wa kura, kutokea mwaka huu ambao kura inakuja, iwe sheria mtu yeyote akipatikana akipena pesa,kura yake hiyo waaribu wapewe yule ambaye anamfuata, kwa shauri imekuwa tunachagua wabunge wengine ambao hawawezikusaidia kwa vile wako na pesa, mtu anakaa Nairobi miaka kumi atakuja kupeana pesa.Jambo la pili, kura hizi ambazo zinakuja mbele, President asichague mtu raia sisi wenyewe tuchague hapa mtu, wenyewewasimame huko Nairobi halafu tuanzie hapa kupiga kura kama ni watu watano wasimame wote watu watano sisi tupige kurakutoka hapa, yule mwenye atapatikana ameshinda ndio akuwe President sio mtu mmoja ku appoint President.Jambo la tatu, mahakama kuu, ichaguliwe na Bunge. Wabunge wa High Court, wa bunge ndio wachague ma-judge, sio mtummoja kuchagua halafu ndio anajuana na huyo mtu, atakuwa ana m-safe wakati yuko na makosa. Ma-judge ambaowanafanya kwa High Court wachaguliwe na wa-bunge na Bunge wapige kura kupendekeza wale majudge ambao wanafaa.Kile kitu naongeza kabisa, mbunge yeyote ambaye atapatikana anapeana pesa, ndio apite hiyo kura iharibiwe, wapee yuleambaye anamfuata kwa shauri hiki kitu kinafanya tusiweze kupata wabunge waziri, yangu ni hayo tu.Com.Nunow: Asante sana, inaonekana chairman anasumbuliwa na hii corruption ya elections kwa hivyo ana haki ya kusemanini inamsubuwa na maoni yake. Mzee Andrea Mzungu huyo mzee aje mbele, tafadhali muandikishe.Andrea Mzungu: Jambo wakubwa wote, nimefurahi sana kwa kuja hapa, ili nihudhurie mkutano huu, sisi ni watu vilemaambao tuliwakilisha location ya Bohaya. 1948, wakati chief Ezekiah alipokuwako, tuliishi Nairobi miaka nane tukisomea shuleya Institute for the blind, wakati huo Principle wetu alikuwa Hezbone, ndio Hezbone huyo ndiye alitufunza masomo. Natulifurahi kwa Lucy Braille ambaye alianzisha masomo ya Braille. Tena na ule Miss Valo Nekonovallo, hao ndio walikuwa nuruyetu wasio ona, na leo President wetu alichuku,a jukumu kuwa mdhamini wetu, kwa sababu wakati wa emergency tuliambiwaya kwamba vilema wote wale wako katika Institute for the blind muunge mkono uhuru kwa sababu mtapata matunda. Nakweli pocket money ile tulikuwa tukipata tuliwapa, wakati bwana Peter Koinange mtoto wa Mbio Koinange alipoendauingereza walichanga pese nyingi, na sisi vilema tuliunga mkono. WakYa pili alichukua Josephine Sinyo kuwa mtangulizi katika blind school kuwa mjumbe maalum, tulipongeza na kitu kibaya,ambacho sisi tunaona hasa watu wa District ya Busia, President and million 72, President aliacha kutoa pesa bwana Mahewaalitangulia kutoa millioni kumi na nane hadi akifika millioni kumi na nne. Sisi hatupokei hata msaada hata wengine manyumbayanavujwa na hatuna mtu wa kutuangalia, wengine tuna watoto walikosa kuenda shule kwa sababu sisi hatuoni na hutanamapato, hatuna kitu chochote, Je nauliza wakubwa wa Busia hamuwezi kusaidia wasiojiweza? Mtasaidia nani mkikosakutusaidia sisi? Kutokea ma-chief ma-DC ma-DO, ndio macho, chief ndio macho ya DC na sub-chief ndio macho ya chief,basi kwa ufupi ningependa mchango huo bwana Mahewa akitoa wachague wajumbe wanao husiana group hiyo. Watembeleevilema wale walionadikwa katika government ili tuwe tupate kidogo tuwachie watoto wetu. Mimi nilisomea pesa ya ANC na
31nilijifunza agriculture British Royal Commonwealth Blind society ilitoa pesa ya kujaribu kwenye afrika walitoa Kenya.Tulijifunza tukafaulu mimi nilikuwa grade two ya Agriculture katika blind school, sasa hiyo yote imezimia watoto wanguwanasema ulienda kusoma maharagwe ama ulienda kusoma mikate. Tafadhali President kama ungali wewe ndio mdhaminiwetu, tuma wajumbe wache watuangalie tabu zetu kufuatana na watawala wako chini. Tafadhali Katiba ya sasa, ihalarishe weziwakiingia boma ya watu na wakisikia yowe, wananchi waikimbilie usalama kuokoa wengine.Kisa kingine kilitendeka huko Sidende kwetu wezi wanachokesha watu na kuwanyang’anya ng’ombe lakini kitu cha ajabuwalienda kwa boma ingine kunyang’anyana ng’ombe vijana walipoondoka kuenda kuweka kizuio kwenye barabara, weziwalipiga simu kuambia police ati majambazi wako Sidende, neno la aibu walikuja police kubembereza vijana wakawachukuapamoja na maguru wenyewe wakapalekwa cell, kutoka hapo chief asubuhi yake hakufuata kusema ukweli mbele ya police hatihapana, hawa watu si majambazi walikuwa wanaokoa hata sasa kesi iko huko, je tutajua Toroitich Daniel Arap Moi anatawalanusu Nairobi, na nusu Kenya na Busia hapana, tunatawaliwa Uganda, ama Kenya? tafadhali tunaomba tusiwe adui wa policetusiwe adui wa chief, police wasiwe adui wetu mbali tuwe raia tuchanganyike, police wasikie mawaidha ya raia, na raia wotewasikie mawaidha ya police. Na kitu ambacho ninaona ikiwa mnasema ni uongo sisi tuli-feel form ingine hapa niko nayo, sisihatukupata hata tangu sikupata hata msaada wowote. Yangu ni hayo tu.Com.Kangu: Mzee Anderea, umesema mambo mengi unasema michango ya pesea imetolewa hamkupata kitu?Tungependelea utuambie tungependa walemavu wafanyiwe hivi, wafanyiwe hivi, umesema wewe umesoma na watoto wanaulizaulisoma nini? pengine mimi nafikiria ulikuwa unataka kusema kama walemavu wamesoma wasaidiwe wapatiwe kazi, nao wawewanaweza kuwa na mapato. Ungekuwa unatuambia hivi ndio tungependelea ingetusaidia sana.Andrea: Sasa wale walemavu wenzangu wapatiwe kazi, na mimi wanisaidie ikiwa pesa iko wanijengee nyumba kidogo amawanipe ya kufanyia kazi yangu ya shamba kwa maana mimi pamoja na bibi yangu sasa tumekuwa wazee na watoto wanguhawana elimu hawana mapato, ndio hayo tu.Com.Nunow: Asante sana mzee kwa hayo maoni, Christopher Wabwire,Christopher Wabwire: Mimi kwa majina naitwa Christopher Wabwire, Maoni yangu nitasema pengine tulipata uhuru nusukwanini niseme nilipata uhuru nusu? pia tulipata democracy nusu. Kama kila kitu tulipata huru, matembezi peke yake uweukitembea njiani ati unatisha sisi kutembea kwa sababu ya kutembea na chupa kama hiyo, wakiona umebeba ya taa watafikiriawewe unabemba chang’aa na sisi wazee tunashangaa hatujui kama chang’aa kuna bunduki ndani inatoka kuenda kuawa watu.Hiyo kama sisi tunasema ya kwamba tulipata uhuru na kila siku tunaimba hata kuwa kiongozi wa nchi anasema asiyezingatiautamaduni wake yeye ni mtumwa. Na je sisi kama utumwa zamani kulikuweko kitu kinaitwa kwa Kihayo ishushu ile mahali yakukaa kutengeneza maneno kama mtoto wa fulani ni mbaya au fulani ni mzee mbaya wanakaa, wanazungumzia, ilikuwa pombeya mlija, pia wakati wa kulima tulitumia pombe ya mlija na tunasema na tununue pombe ya kizungu, sisi watumwa hiyo ndio
- Page 1 and 2: CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMIS
- Page 3 and 4: 3Mungu wetu umetuongoza na wakati h
- Page 5 and 6: 5wanakaribisha wageni vizuri sana,
- Page 7 and 8: 7wanataka kuzungumzia hayo maandish
- Page 9 and 10: 9Legislature. A patient should have
- Page 11 and 12: 11the death sentence should be outl
- Page 13 and 14: 13and another person has no plot to
- Page 15 and 16: 15Christine Omondi: My names are Ch
- Page 17 and 18: 17police force the GSU which is of
- Page 19 and 20: 19Godfrey: My understanding is that
- Page 21 and 22: 21to one foot from the water along
- Page 23 and 24: 23Josiah: Nataka watu maskini wapew
- Page 25 and 26: 25The Attorney General, the speaker
- Page 27 and 28: 27wananchi, kwa hivyo mwenyekiti mi
- Page 29: 29road blocks sasa hawa watu wa mat
- Page 33 and 34: 33Primary schools, na saa hii hulip
- Page 35 and 36: 35Com.Nunow: Asante sana bwana Makh
- Page 37 and 38: 37Andrew: Efe badidi ba inyuma enoT
- Page 39 and 40: 39Andrew: mbara nibiakhuba mbu omun
- Page 41 and 42: 41kurudi kwa kazi. Mtu anayetaka ka
- Page 43 and 44: 43Secondly is the early marriages t
- Page 45 and 46: 45secretary akikufa au Minister ame
- Page 47 and 48: 47kwa korti. Watu wanasukuma na mpa
- Page 49 and 50: 49not unduly interfere with the oth
- Page 51 and 52: 51waislamu na wasio waislamu au wai
- Page 53 and 54: 53huku wanapata mishahara minono, n
- Page 55 and 56: 55know exactly what they stand for,
- Page 57 and 58: 574. Too many road blocks which do
- Page 59 and 60: 59zikichukua miaka mingi, watu weng
- Page 61 and 62: 61Point number three, is on somebod
- Page 63 and 64: 63Cornelia: Hilo linakuwa na mimi n
- Page 65 and 66: 65and he will also be part of the E
- Page 67 and 68: 67covered, but I would like highlig
- Page 69 and 70: 692 Electoral Commissioners, those
- Page 71 and 72: 71one has failed us terribly.The Ex
- Page 73 and 74: 73President being above the law. He
- Page 75 and 76: 75Jonathan: Eliakhubiri omundu akho
- Page 77 and 78: 77huko nyuma mimi ndie nina-deal na
- Page 79 and 80: 79official one Identity card that c
- Page 81 and 82:
81Jambo lingine la kumalizia nasema
- Page 83 and 84:
83serikali vile unafanya hivi, mtot
- Page 85 and 86:
85tafadhali wanasiasa, au viongozi
- Page 87 and 88:
87nitasema tu neno moja ya assistan