4muwe na sisi hapa, lakini bahati mbaya programme yenu ni mbaya iko haraka haraka, so wakati mtakuwa mnakuja penginewakati wa kusoma ile 60 days, may be mtakuja tuwe pamoja halafu ndio tuelewane vizuri, kwa hayo machache ningeombaChairman wetu wa leo, wajulishe ma-ommissioners wale wako hapa, na vile, vile, a lay out the programme vile tutaendelea nakazi, asante sana.Com.Pastor Zablon Ayonga: Bushere muno abaluyia bosi. Unajua hiki kidude changu kimeharibika kwa maana kimeendasafari ndefu huko Busia. Tuliacha nyinyi hapa barabarani au kwa kichaka mlipotoka safari unajua migration ni safari ndefu watuwengine wanafika na pengine mkaona udongo hapa mkachagua mkaona la, Sisi safari ya kuenda mbele hatuendi lakini tuliendahuko, hatuja wasahau, tunajua kwamba hapa Western ni watu wetu wako, kwa hivyo nikifika hapa ninajisikia niko home, nikonyumbani na kwa hivyo wale ambao tumefika nao tuko ma-Commissioner watatu ambao nitawapatia nafasi nyumae wawasalimu na pia kutoka <strong>of</strong>isini, tuna secretariat watu ambao watafanya kazi hii ya maneno, mnaona huyu msichana amesimama anahiki kidude, yaani hakuna kitu kitasemwa hapa ambacho hakitaingia hapa, everything is being recorded na maneno yale yenumtasema yatakuwa recorded moja wa hawa atakuwa analida hiki, mwingine atakuwa anaandika, mwingine anatunzaprogramme hii yote kuona kwamba everything went a head in order, ili mwishowe, yeyote asije akatoka hapa bila yakusikizwa vizuri, ni rahisi kwa kuandika mtu kukosea kuruka maneno mawili, matatu, lakini when you are recording hata mtuatakohoa, kikohozi chako kitaingia, kwa hiyo nataka mjue kwamba exercise hii ambayo tutafanya ni a very serious exercise nakwa hivyo hakuna h<strong>of</strong>u kwa yeyote ambaye atatoa maoni yake, kwamba yamechukuliwa. Wakati mwingine mtaona hatuadiki,na ikiwa utaona mtu haandiki usije ukafikiri sasa mimi yangu niliokuwa nasema mbona naona yule Commissioner haandiki?Maneno yako yanaenda kwa hiki kidude, very very important kwa hivyo yatanaswa. Na mimi ninaitwa Pastor Zablon Ayongani mmoja wapo wa ma Commissioner, na hapa katikati, ni Commissioner Dr. Abdurazak Nunow, na kule mwisho kabisa yeyeni mtoto wa hapa, mtoto wenu, mtoto wetu ambaye ni Mutakha Kangu, yeye atakuja kuwasalimia nyinyi na lugha ya nyumbani,na wale staff wa <strong>of</strong>fice inua mkono secretariat, kule ndiko waliko, na kule ndiko tuna lifaa hili la kuweka memorandum ebulibebe juu wajue mambo hayapotei, tunapokwenda kila Constituency, inatoka na file yao, kwa hiyo yenu ndio hiyo by the end<strong>of</strong> the day, it will be full, na ikijaa tutaweka ingine. Sasa kabla hatujaanza nitamuuliza daktari Nunow awasalimie, na salamuambazo zimetoka North Eastern, yeye ndiye ameleta salamu kutoka mbali kabisa, zimebebwa na aina ya vyombo vyotevinavyo beba salamu na ndipo huyu mtoto wa undongo hapa, yeye atuja salimia nyinyi na lugha nyumbani, ile ya ubusiere yoteitakuweko, na ublahi wote utakuweko, na basi hayo maneno yataendelea na siku ya leo, ni Dr.Nuno ndiye atakuwa mwenyekitiwa kikao hiki, lakini kwanza wacha awasalimie.Com.Nunow: Asante sana Pastor Salaam Aliekum!Audience: Aleikum salaamCom.Nunow: Asanteni sana, sana, nawashukuru nyote na ninafuraha kuwa nanyi, tulikuwa hapa tangu jumatatu, na tuliwapatakama watu ambao wamejitolea, ambao wako tayari kutoa maoni yao na watu ambao wanaheshima zaidi, watu ambao
5wanakaribisha wageni vizuri sana, na kwa hayo yote nawaambia asanteni sana, na leo tunatarajia mtatoa maoni jinsi wenginewenzenu walivyotoa siku hizo mbili zilizopita, karibuni.Com.Kangu: Abaluyia abakhayo mulembe mwesi mulembe khandi esie ngalusia orio muno mbu murulire muinie makhuwakenyu ndalalo nokhuba musikuli yao nikhubolanga nyanga ino si khwitsiro khumulera tawe khuchira khulira kalenyumukhubolera kho it is my hope mbu muli well prepared. Orio muno.Com.Nunow: Asante sana Commissioner Kangu kabla yakuanza nitamuuliza Commissioner John Kangu atueleze utaratibulakini kabla ya hiyo, ningependa kumshukuru host wetu wa leo Bishop Were na nimuulize awasalimie kisha tuweze kuendeleana programme.Bishop Were: Commissioners wetu wananchi au wakristo ambao wamekuja ili tutoe maoni, Chairman wa Constituency, waConstitution committee na wageni wote hamjambo!Audience: Hatujambo!Bishop Were: Bwana yesu asifiwe, ningependa kuchukua nafasi hii, kuwakaribisheni nyote ambao mmepata nafasi hii ilitukutane kwa exercise hii ambayo ni very important kwa nchi yetu ya Kenya, na hasa nataka niwashukuru Commissioners kwakazi ambayo wanay<strong>of</strong>anya, kupata Constitution si kazi rahisi sisi kama kanisa tuna Constitution yetu ambayo ilikuwa <strong>of</strong>ficiallyadopted February this year, lakini ilianza 1982, ilianzishwa first Chairman alikuwa the late Bishop Okullu na alikufa kablahaijakuwa Commissioned or launched. Ninajua kazi hii is a very technical exercise, ni kazi ambayo inataka a lot <strong>of</strong> patience andcommitment, na mwishowe wananchi na viongozi wa nchi hii ya Kenya hata sisi wa kanisa tutafurahi tukiwa na Constitutionambayo vile wana siasa wanasema, that is people driven, ndio sababu Serikali yetu ikaona wawe na ma-Commissionerswatembelee wananchi watoe maoni isiwe ya kukaa ya <strong>of</strong>isi ya Attorney General au Parliament halafu waandike na walete this isthe Constitution ya Kenya. Nafikiri hapo wale the committee that was concerned walifikiria vizuri na ni wakati wetu kamaKenya au wananchi kusema yale yote ambayo unafikiria ungesema na ingeandikwa, na I want to assure them the memberspresent ya kwamba hii ni information gathering, kuna technical committee ambayo itakaa na kuangalia lakini maoni yetu,yatasaidia sana kulingana na vile exercise ilipangwa. Katika biblia kuna sheria wakati nilikuwa mdogo some years backnilikuwa nikifikiria ukiona police, is a very bad person, yeye hushika tu mtu, au watu hata bila makosa I had that fear, ukionapolice you associate yourself with crime. Lakini I came to realize police ni watu wazuri sana, kwa gari lao wameandika utumishikwa watu wote isn’t it? Na wale ambao ni wa makosa, hawatapenda kukutana na police, na mwananchi ambaye, simwananchi kamili ambaye hutenda yale ambayo hayatakiwi, Constitution atasema hiyo, hapo hawakuandika vizuri kwa sababuakitenda kosa and then they refer to Constitution to the law, atasema hapo inamfunga, hatapenda hiyo Constitution, lakini wecannot do without the Constitution, we cannot do without the law, we cannot live in a lawless society, and that is why thegovernment <strong>of</strong> Kenya has taken the responsibility and the commitment kuona ya kwamba, there is a Constitution for goodgovernance ambayo itasaidia viongozi wa nchi hii kuilinda na kuiongoza sawa, sawa. Nataka nichukue nafasi hii pia nikimalizia
- Page 1 and 2: CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMIS
- Page 3: 3Mungu wetu umetuongoza na wakati h
- Page 7 and 8: 7wanataka kuzungumzia hayo maandish
- Page 9 and 10: 9Legislature. A patient should have
- Page 11 and 12: 11the death sentence should be outl
- Page 13 and 14: 13and another person has no plot to
- Page 15 and 16: 15Christine Omondi: My names are Ch
- Page 17 and 18: 17police force the GSU which is of
- Page 19 and 20: 19Godfrey: My understanding is that
- Page 21 and 22: 21to one foot from the water along
- Page 23 and 24: 23Josiah: Nataka watu maskini wapew
- Page 25 and 26: 25The Attorney General, the speaker
- Page 27 and 28: 27wananchi, kwa hivyo mwenyekiti mi
- Page 29 and 30: 29road blocks sasa hawa watu wa mat
- Page 31 and 32: 31nilijifunza agriculture British R
- Page 33 and 34: 33Primary schools, na saa hii hulip
- Page 35 and 36: 35Com.Nunow: Asante sana bwana Makh
- Page 37 and 38: 37Andrew: Efe badidi ba inyuma enoT
- Page 39 and 40: 39Andrew: mbara nibiakhuba mbu omun
- Page 41 and 42: 41kurudi kwa kazi. Mtu anayetaka ka
- Page 43 and 44: 43Secondly is the early marriages t
- Page 45 and 46: 45secretary akikufa au Minister ame
- Page 47 and 48: 47kwa korti. Watu wanasukuma na mpa
- Page 49 and 50: 49not unduly interfere with the oth
- Page 51 and 52: 51waislamu na wasio waislamu au wai
- Page 53 and 54: 53huku wanapata mishahara minono, n
- Page 55 and 56:
55know exactly what they stand for,
- Page 57 and 58:
574. Too many road blocks which do
- Page 59 and 60:
59zikichukua miaka mingi, watu weng
- Page 61 and 62:
61Point number three, is on somebod
- Page 63 and 64:
63Cornelia: Hilo linakuwa na mimi n
- Page 65 and 66:
65and he will also be part of the E
- Page 67 and 68:
67covered, but I would like highlig
- Page 69 and 70:
692 Electoral Commissioners, those
- Page 71 and 72:
71one has failed us terribly.The Ex
- Page 73 and 74:
73President being above the law. He
- Page 75 and 76:
75Jonathan: Eliakhubiri omundu akho
- Page 77 and 78:
77huko nyuma mimi ndie nina-deal na
- Page 79 and 80:
79official one Identity card that c
- Page 81 and 82:
81Jambo lingine la kumalizia nasema
- Page 83 and 84:
83serikali vile unafanya hivi, mtot
- Page 85 and 86:
85tafadhali wanasiasa, au viongozi
- Page 87 and 88:
87nitasema tu neno moja ya assistan