You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
!<br />
<strong>Empuaan</strong><br />
Elimu ya VVU na ukimwi kwa Kiswahili na Kimaasai<br />
Enkiteng’ena e VVU 0 ukimwi te Kiswahili o te nkutuk oo l<strong>Maa</strong>sai<br />
<strong>Empuaan</strong> <strong>Book</strong> 1<br />
<strong>Ed</strong>ition <strong>1a</strong>, <strong>2013</strong>
Nembo nyekundu ya ukimwi inaonyesha kimataifa elimu ya VVU na<br />
ukimwi. Huvaliwa na watu duniani kote kwa kuonyesha msisizito jinsi ya<br />
kuushinda ukimwi. Watu wanaovaa nembo ya ukimwi wanaonyesha<br />
upendo na heshima kwa wale wote walioathirika na VVU. Nembo ya<br />
ukimwi HAIONYESHI kwamba mtu aliyevaa ameambukizwa au<br />
hajaambukizwa VVU.<br />
Ore ilo meshire onyokie le ukimwi eitodolu to nkuapi inchere<br />
enkiteng’ena e VVU o ukimwi. Nepikai iltung’anak l’enkop pooki pee<br />
eitodolu isojarot enkoitoi naa mirie ukimwi. Ore iltung’anak oishop ilo<br />
meshire onyokie neitodolu enyorrata e nkanyit te lelo oidipaki aitasuro<br />
VVU. Ore ilo meshire NEMEITODOLU inchere ore ilo oshopito eitu<br />
etasuri arashu eitasuroki VVU.
<strong>Empuaan</strong><br />
Elimu ya VVU na ukimwi kwa Kiswahili na Kimaasai<br />
Enkiteng’ena e VVU 0 ukimwi te Kiswahili o te nkutuk oo l<strong>Maa</strong>sai<br />
<strong>Empuaan</strong> ni shirika lisilo la serikali (NGO) lenye madhumuni ya<br />
kuushinda VVU na ukimwi na magonjwa ya ngono mengine ndani ya<br />
jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai na jamii nyingine katika Tanzania na Kenya.<br />
<strong>Empuaan</strong> naa olturrur leme oleserikali (NGO) oata induat naa mirie<br />
VVU o ukimwi o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino) ti atua olosho<br />
le <strong>Maa</strong> o kulekai oreren te Tanzania o Kenya.<br />
<strong>Empuaan</strong> is registered as a UK charity limited by guarantee<br />
Charity Number: 1125175<br />
Limited Company Number: 6345917<br />
hello@empuaan.org
Yaliyomo<br />
Kuhusu kitabu hiki ........................................................................................ 1<br />
Lakini tunapata hofu kujadili juu ya VVU, ukimwi, ngono salama, na<br />
kondom .......................................................................................................... 3<br />
Magonjwa wa ngono ...................................................................................... 5<br />
VVU na ukimwi ............................................................................................ 7<br />
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU .................................................................................... 9<br />
Huwezi kuambukizwa VVU kwa ... ......................................................... 11<br />
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU wakati wa kujamiiana ............................................. 13<br />
Jinsi ya kupunguza uenezaji wa VVU wakati wa kujamiiana ................... 15<br />
Elimu ya ngono salama ................................................................................ 17<br />
Elimu ya kondom ........................................................................................ 19<br />
Je, naweza kupata watoto nikitumia kondom ......................................... 21<br />
Jinsi ya kutumia kondom ..................................................................... 23 - 25<br />
Elimu zingine kuhusu kondom .................................................................. 27<br />
Ukweli kuhusu kondom .............................................................................. 29<br />
Elimu ya kondom ya kike ............................................................................ 31<br />
Jinsi ya kutumia kondom ya kike ......................................................... 33 - 35<br />
Jinsi ya kutupa kondom baada ya matumizi .............................................. 37<br />
Upatikanaji wa kondom kwa jamii ............................................................. 39<br />
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kupitia kwenye damu ............................................. 41<br />
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ................ 43<br />
Jinsi ya kumkinga mtoto akiwa tumboni na wakati wa kujifungua ........ 45<br />
Jinsi ya kumkinga mtoto wakati wa kunyonyesha ................................... 47<br />
Elimu ya kupima VVU ........................................................................ 49 - 51<br />
Jinsi ya kuwasaidia walioathirika naVVU ................................................. 53<br />
Jinsi ya kuishi na VVU ................................................................................ 55<br />
Maswali na majibu ................................................................................ 57 - 59<br />
Wasiliana na <strong>Empuaan</strong> .................................................................................<br />
61<br />
KISWAHILI
Inaatii ena buku<br />
Enkipirta ena buku ....................................................................................... 2<br />
Ekiata olturiaki tenikeimaki VVU, ukimwi, erepa (enkitiamakino)<br />
naserian, o kondom ....................................................................................... 4<br />
Imueyiaritin erepa (enkitiamakino) ............................................................ 6<br />
VVU o ukimwi .............................................................................................. 8<br />
Enkitasuroto e VVU ................................................................................... 10<br />
Metasuroi VVU te ... ................................................................................. 12<br />
Enkitasuroto e VVU te nkata erepa (enkitiamakino) .............................. 14<br />
Enkoitoi naitaa kiti enkitasuroto e VVU te nkata erepa ........................ 16<br />
Enkiteng’ena erepa (enkitiamakino) naserian ........................................... 18<br />
Enkiteng’ena e kondom .............................................................................. 20<br />
Amaa, kaidim anoto inkera tenaasishore kondom .................................. 22<br />
Eninko teniaasishore kondom ............................................................ 24 - 26<br />
Kulie kiteng’enat nairpirta kondom ......................................................... 28<br />
Esipata naipirta kondom ........................................................................... 30<br />
Enkiteng’ena e kondom oo ntoyie o nkituaak .......................................... 32<br />
Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o nkituaak ........................ 34 - 36<br />
Enkoitoi naserian nenang’arie kondom indipa ataasishore ..................... 38<br />
Eneiko olosho pee etum kondom ............................................................. 40<br />
Enkitasuroto e VVU to sarge .................................................................... 42<br />
Eneiko ng’otonye teneitasur enkerai enye VVU ..................................... 44<br />
Enkoitoi narrip enkerai te nkoshoke o ena kata eini .............................. 46<br />
Enkoitoi narrip enkerai eitanaketai olkina ............................................... 48<br />
Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU .................................... 50 - 52<br />
Eninko pee iretoki iltung’anak oitasuroki VVU ...................................... 54<br />
Eninko pee ibikoo iata VVU ...................................................................... 56<br />
Inkikilikuanat o walat ......................................................................... 58 - 60<br />
Tang’amai <strong>Empuaan</strong> ..................................................................................... 62<br />
MAA
Kuhusu kitabu hiki<br />
Kitabu hiki kinahusu VVU, ukimwi na magonjwa ya ngono mengine.<br />
Kitabu hiki kimeandikwa kwa manufaa ya jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai kwa makazi<br />
yao yote iwe Tanzania na Kenya vilevile na manufaa kwa watu wengine<br />
wanoishi Tanzania na Kenya.<br />
Kitabu hiki imeandikwa na shirika lisilo la serikali (NGO) <strong>Empuaan</strong>.<br />
<strong>Empuaan</strong> ina lengo hili tu: kuheshimu wenyeji, matakwa na desturi yao,<br />
kuzuia magonjwa ya ngono ikiwemo VVU/ukimwi, na kulinda afya na<br />
maisha mema.<br />
Afya njema ni muhimu kwa kila mtu. Kwa sababu hii ni muhimu kila<br />
moja ndani ya jamii kufahamu juu ya VVU na ukimwi. Soma kitabu hiki<br />
wewe mwenyewe, halafu soma kwa sauti ili asie elewa kusoma aweze<br />
kusikia. Jadilini kuhusu ujumbe wa kitabu hiki na marafiki, familia yako,<br />
rika yako na jamii kwa ujumla. Kwa pamoja tutashinda VVU/ukimwi na<br />
magonjwa ya ngono zingine.<br />
Chapa ya kwanza A <strong>2013</strong><br />
1 KISWAHILI!
Enkipirta ena buku<br />
Ore enkipirta ena buku naa pee eitalala elikioroto e VVU o ukimwi o<br />
kulie mueyiaritin naipirta erepa (enkitiamakino). Neteseraki sii pee<br />
eretoki olosho loo l<strong>Maa</strong>sai le Tanzania o leKenya. Neretoki sii kulikai<br />
oreren ootii Tanzania o Kenya.<br />
Ore ena buku naa olturrur leme oleserikali (NGO) <strong>Empuaan</strong> otisira. Ore<br />
induat <strong>Empuaan</strong> naa kuna ake: eyanyit olosho o eyieunot enye, olkuak<br />
lenye, neretoki autaki enkibooroto oo mueyiaritin erepa (enkitiamakino)<br />
o VVU/ukimwi, nerrip embiotisho oo seseni o enkishui enye.<br />
Ore embiotisho osesen naa entoki etipat to pooki ng’ai. Ore tentiaraki<br />
entoki etipat, keshiakino iltung’anak pookin peeyiolo VVU o ukimwi.<br />
Isoma ena buku openy nisipu iyieunot enyana, nisom to ltoilo sapuk pee<br />
ening’ neyiolou olemeyiolo aisoma. Eyimaki enkipirta ele omoni lena<br />
buku olchoreta, olporror lino, olmarei linyi, nitadaraa pee ening’ olosho<br />
pookin. Ore tenaboisho nikiyiolou inikinko tenikimbooyo VVU/ukimwi<br />
o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />
Osirata le dukuya A <strong>2013</strong><br />
MAA 2!
Lakini tunapata hofu kujadili juu ya VVU,<br />
ukimwi, ngono salama, na kondom<br />
Watu wenye elimu na maarifa kuhusu VVU/ukimwi na magonjwa<br />
mengine ya ngono wanaweza kujikinga wao wenyewe na familia<br />
kuhusiana na mambukizi. Kwa sababu hii ni muhimu kujifunza na<br />
kujadili kwa uwazi juu ya VVU/ukimwi, ngono salama na kondom kwani<br />
tunaweza kuushinda.<br />
Watu wengi wanapata hofu wanapoanza kujadili kuhusu VVU/ukimwi,<br />
ngono salama na kondom. Vilevile inakuwa vigumu unapoanza kufanya<br />
jambo lolote na baadaye ikizoeleka inakuwa rahisi. Wa<strong>Maa</strong>sai wamekuwa<br />
na uwezo wa kupokea mfumo mpya wa maisha na kubadili tabia zao.<br />
Miaka michache iliopita wa<strong>Maa</strong>sai wachache walitumia simu, lakini kwa<br />
sasa wengi wetu wanatumia muda wote! Kubadilika kwa mfumo mpya wa<br />
maisha ni kitu cha kawaida kwa wa<strong>Maa</strong>sai muda wote. Kwa siku hizi ni<br />
lazima tubadili tabia zetu ili kujikinga na VVU/ukimwi.<br />
Njia ya kuushinda VVU/ukimwi kwa sasa inaeleweka. Jamii iliyopata<br />
maarifa na kubadilisha tabia wameweza kukinga maambukizi mengi na<br />
kupunguza matatizo ya ukimwi. Wakati ule ule jamii iliyokiuka maarifa<br />
na kukataa kujadili au kubadilisha tabia wengi wao wamepoteza maisha<br />
na wamepata matatizo mengi ya ukimwi.<br />
Kama hatutaanza kujadili kuhusu mambo haya na kujifunza namna ya<br />
kujikinga wenyewe inawezekana kuwa watu wa makabila mengine<br />
watakuja kuelezea historia inaanza, “Hapo zama za kale kulikuwa na kabila<br />
lililoitwa wa<strong>Maa</strong>sai”.<br />
Tukijifunza kuhusu VVU/ukimwi, ngono salama, na kondom tunaweza<br />
kujifunza namna ya kujikinga wenyewe, familia zetu pamoja na jamii yetu<br />
kwa ujumla. Na tutaweza kuwasaidia na wale wenzetu walioathirika.<br />
3 KISWAHILI
Ekiata olturiaki tenikeimaki VVU, ukimwi,<br />
erepa (enkitiamakino) naserian, o kondom<br />
Ore iltung’anak oonoto eng’eno netum enkarriyiano e VVU/ukimwi o<br />
nkulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino) neyiolou eneiko teneibooyo<br />
enkitasuroto openy, olmarei lenye. Ore teina sipata naa keishaakino pee<br />
inteng’enuonuo neimakiki aibalunye empikata e VVU o ukimwi, erepa<br />
(enkitiamakino) naserian o kondom amu ina kata ake kiindim aatimirr.<br />
Keata iltung’anak kumok olturiaki teneiteru aayimaki VVU/ukimwi,<br />
erepa (enkitiamakino) naserian o kondom. Naa kegol sii teninteru aas<br />
entoki, kake ore pee imoku neleleku. Etaa keata l<strong>Maa</strong>sai enkidimata<br />
nang’amunye inkebelekenyat ng’ejuko enkishon neibelekeny ilkuaki<br />
lenye. Ore to larin kute otulusoitie naa il<strong>Maa</strong>sai kuti oata isimui, kake<br />
ore taata naa ilkumok lang’ oosishore too nkatitin pookin! Ore<br />
enkibelekenyata ng’ejuk enkishon too l<strong>Maa</strong>sai naa entoki neme omoni ti<br />
atua il<strong>Maa</strong>sai. Ore te kuna olong’i naa kishaakino pee kimbelekeny<br />
ilkuaki lang’ pee kirrip ate te VVU/ukimwi.<br />
Etayioloki tena kata enkoitoi namirieki VVU/ukimwi. Ore olosho onoto<br />
enkarriyiano neiruk aibelekeny olkuak naa keidimayu pee ebooyo<br />
inkitasurot neitaa kuti inyamalaritin e ukimwi. Ore ena kata ake olosho<br />
otanya enkarriyiano, neeny eigwanare aibelekeny olkuak lenye neiturratie<br />
engumoi enkishui oloonoto inyamalaritin kumok e ukimwi.<br />
Tenimikinteru aigwanare enkipirta ena taboi e ukimwi nimiking’oro<br />
enkarriyiano nikimboorie openy naa keidimayu pee kiaku olosho oponu<br />
kulikai oshon ainosaa aajo, “Ore ti apa neatai olosho oji il<strong>Maa</strong>sai”.<br />
Tenikiyiolou enkipirta e VVU/ukimwi, erepa (enkitiamakino) naserian, o<br />
kondom, naa eikiyiolou enikinko pee kimbooyo enkitasuroto openy,<br />
neyiolou ilmarei lang’, neyiolou olosho pookin. Naa ekiyiolou enikinko<br />
tenikiretoki iltung’anak oidipaki aitasuro.<br />
MAA 4
Magonjwa ya ngono<br />
Magonjwa ya ngono yanaweza kuambukizwa kwa jinsia zote kwa njia ya<br />
kujamiiana.<br />
Magonjwa ya ngono yanaweza kuwa na dalili mbaya, huzuinisha na<br />
isiyoridhisha. Lakini tatizo kubwa kwa magonjwa haya ni kwamba mara<br />
nyingi hayaonyeshi dalili kabisa. Kwa maana hii unaweza kuwa na<br />
maambukizo bila kujua. Kwa hiyo unaweza kuambukizwa na<br />
kuwaambukiza watu wengine, bila kufahamu.<br />
Kama magonjwa ya ngono hayatatibiwa na madawa hospitalini yanaweza<br />
kuleta matatizo makubwa ambayo yatasababisha magonjwa kama kansa,<br />
ugonjwa wa moyo, kuumwa na macho, kuumwa na ubongo, kuumwa na<br />
mifupa, kuumwa na viungo vya mwili, na kutoa mimba. Pia yanaweza<br />
kuleta ugumba (kutopata watoto) na kuharibu kabisa kizazi cha<br />
mwanaume au cha mwanamke.<br />
Kama una ugonjwa ya ngono, au mwenzi wako anayo, ni muhimu kutibiwa<br />
haraka kliniki au hospitalini. Na wale uliojamiiana nao labda<br />
umeshawaambukiza na wasione dalili zozote. Na pia ni muhimu kuwaeleza<br />
wale uliojamiiana nao kuwa umeathirika ili wapate matibabu haraka.<br />
Kama wenzi wako hawakupata matibabu haraka wanaweza<br />
kupata matatizo makubwa kiafya, wanaweza kuambukiza<br />
watu wengine, na wanaweza kukuambukiza wewe tena.<br />
5 KISWAHILI
Imueyiaritin erepa (enkitiamakino)<br />
Keitasuroi imueyiaritin erepa (enkitiamakino) ena kata erepa<br />
(eitiamakino) ilipong’a o lewa naa keitasur elipong’ olee neitasur olee<br />
elipong’.<br />
Ore imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa keiya neata ilbulabul torrok,<br />
nemeitishipisho. neituresho. Kake ore enyamali sapuk ekuna mueyiaritin<br />
to nkatatin kumok naa imeitodolu ilbulabul tukul. Naa indim aitasurisho<br />
iltung’anak kumok arashu kintasuri miyiolo.<br />
Ore teneitu ebaki imueyiaritin erepa (enkitiamakino) too lkeek le sipitali<br />
naa keidimayu pee eyau kulie mueyiaritin naijo kansa, engeeya oltau,<br />
entiroto o nkonyek, entiroto o lelukunya, entiroto o loik, entiroto o<br />
rubat, niaku enoo kibirot. Keidim peyau enkolupisho naa keer isapo oo<br />
lewa onoo lipong’a.<br />
Teniata iyie emueyian erepa (enkitiamakino), o teneata olang’ata lino<br />
arashu teneata elang’ata ino tasioi mikitabaki te kiliniki arashu te sipitali.<br />
Imaniki indipa aitasuro iltung’anak literepare (lintiamaka) nemiata<br />
ilbulabul oitoldolu. Kishaakino pee iliki lelo lindipa aterepare (aitiamaki)<br />
ajoki kaata emuyian pee esioyo metabaki.<br />
Teneitu esioyo olang’ata arashu elang’ata ino (arashu<br />
olpayian lino arashu enkitok ino) embaata<br />
keidimayu peetum enyamali sapuk embiotisho oo<br />
seseni naa keitasur ilkulikai tung’anak neidimayu<br />
pee kingili aitasur iyie.<br />
MAA 6
VVU na ukimwi<br />
Ukimwi ni ugonjwa hatari ya ngono. Inasabibishwa na virusi viitwavyo<br />
VVU. VVU inamaana ya ‘virusi vya ukimwi’ (VVU). Virusi hivi hudhuru<br />
mwili polepole na baadaye mwili hushindwa kupambana na magonjwa<br />
mengine. Mwishoni mtu anaweza kufa kwa ajili ya magonjwa<br />
yanayosababbishwa na VVU.<br />
Mtu akiambukizwa anaweza kuchukuwa muda mrefu bila kuelewa<br />
kwamba VVU ipo kwenye mwili wake. VVU ipo kwenye shahawa,<br />
majimaji ukeni, damu na maziwa ya mama aliyeambukizwa. Huwezi<br />
kuelewa kuwa mtu ana VVU mwilini kwa kuangalia kwa macho tu. Njia<br />
pekee ya kuelewa kuwa mtu ameshaambukizwa VVU ni kupima damu<br />
kwenye kliniki au hospitalini.<br />
Ukimwi inamaana kwamba ‘upungufu wa kinga mwilini’. Ukimwi ni<br />
matokeo ya mwisho wa mwili kushindwa kukinga magonjwa. Wa<strong>Maa</strong>sai<br />
hutumia jina ‘biitia’ kama ukimwi. Ni vizuri zaidi kutumia jina ukimwi<br />
kwani bittia ni jina la zamani lakini ukimwi ni ugonjwa mpya (ukimwi<br />
imegundukika 1981).<br />
Kwa sababu watu wengi hawajui kwamba wameshaambukizwa, au wenzi<br />
wao wameambukizwa, hawaendi kupima na hawajikingi wao wenyewe<br />
wala kuwakinga wenzao. Ina maana kwamba mtu anaweza kuambukiza<br />
watu wengi kabla dalili yake kuonekana.<br />
Hakuna tiba wala chanjo ya VVU. Mtu aliye na VVU, virusi vitakaa<br />
mwilini maishani. Siku hizi kuna madawa (ARVs) hospitalini yanayoweza<br />
kupunguza makali ya VVU mwilini na kusaidia kuongeza muda kutoka<br />
kuambukizwa VVU hadi kuwa na dalili ya kuumwa. Lakini madawa haya<br />
hayatibu VVU moja kwa moja. Ni muhimu kukumbuka kuwa VVU ni<br />
virusi hatari sana na inasabibisha matatizo makubwa.<br />
7 KISWAHILI
VVU o ukimwi<br />
Ore ukimwi naa emueyain torrono oleng’, nashurtakinoi tenerepai<br />
(teneitiamakinoi). Neji inashurtakinoto ‘virusi vya ukimwi’ (VVU). Ore<br />
VVU nenya osesen maakutitik ometalakinoyu osesen aibooi inkulie<br />
imueyiaritin. Ore tenkiting’oto neidim oltung’ani atua tentiaraki<br />
etalaikine osesen ataarare (aibooi) imueyiaritin naayau VVU.<br />
Ore oltung’ani pee eitasuri neya ereshata naado eitu eyiolou ajo<br />
eitasuroki arashu keata ti atua osesen. Ore VVU naa ilkirat ejing’,<br />
enchalan natii eneishore elipong’, osarge, o kule olkina elipong’<br />
naitasuroki. Nemeidimayu pee ing’or oltung’ani too ngonyek nijurru ajo<br />
keata VVU. Ore enkoitoi nasipa niyiolounye ajo eitasuroki oltung’ani<br />
VVU naa tenelo oltung’ani aipim (aatem) osarge te kiliniki arashu te<br />
sipitali.<br />
Ore ena arna najo ukimwi naa ‘upungufu wa kinga mwilini’ (eng’oroto<br />
naiboorie osesen imueyiaritin). Ore ukimwi naa emwa nabayie osesen<br />
nalaikinore aibooi imueyiaritin. Ore ti atua il<strong>Maa</strong>sai naa keji ukimwi<br />
‘biitia’ nemesipa amu ore biitia enkarna musana ore ukimwi naa<br />
emueyian ng’ejuk (1981 etujuruki ukimwi).<br />
Ore tentiaraki imeyiolo iltung’anak kumok aajo eidipaki aitasuro arashu<br />
meyiolo olang’ata lino arashu eleng’ata ino aajo eitasurote neme puo<br />
aatem osarge lenye te sipitali nemeibooyo pee meitasur ilkulikai, keidim<br />
oltung’ani aitasuro ilkulikai kumok eton melio ilbulabul le mueyian.<br />
Metii embaata arashu arng’amata oishiunye VVU, ore oltung’ani oata<br />
VVU nebikie ina mueyian o metua. Ore tena kata nenotoki ilkeek<br />
(ARVs) te sipitali oidim aatoponai enkata enkishui enaa pee kintasuri<br />
VVU neitong’orr engolon e VVU ti atua osesen. Metabaki enkata<br />
nimuoyunye. Kake meishiunye kulo keek VVU katukul. Entadamu aajo<br />
ore VVU naa engeeya torrono naayau inyamalaritin sapukin to sesen.<br />
MAA 8
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU<br />
VVU huishi kwenye mwili wa mtu aliyeambukizwa. Virusi huishi kwenye<br />
majimaji yaliyoko kwenye:<br />
1. Shahawa<br />
2. Majimaji ukeni<br />
3. Damu<br />
4. Maziwa ya mama<br />
Kwa hiyo shahawa, majimaji ukeni, damu na maziwa ya mama ni<br />
hatari kuambukiza VVU.<br />
Majimaji mengine mwilini kama mate, machozi, jasho na mkojo havina<br />
virusi vingi vinavyoweza kuambukiza. Kwa hiyo mate, machozi, jasho na<br />
mkojo siyo hatari kwa kuambukiza VVU.<br />
Njia pekee ya kuambukiza VVU ni kutoka kwenye shahawa, majimaji<br />
ukeni, damu au maziwa ya mama ameshaambukizwa na kuingia kwenye<br />
damu ya mtu mwengine.<br />
Njia zifuatazo zinaambukiza VVU:<br />
1. Kujamiiana na mtu mwenye VVU bila kutumia kondom.<br />
Kujamiiana bila kondom ni njia kuu ya kuambukizwa<br />
VVU.<br />
2. Kushirikiana sindano, wembe, visu vya kukata mwili, mswaki na<br />
vyombo vingine vinavyoweza kuwa na damu yenye VVU.<br />
3. Mwanamke anaweza kuambukiza mtoto wake akiwa tumboni,<br />
wakati wa kujifungua au wakati wa kunyonyesha.<br />
9 KISWAHILI
Enkitasuroto e VVU<br />
Kebik VVU ti atua osesen loltung’ani oitasuroki, naa ore VVU naa atua<br />
enchalan ti atua osesen ejing’, anaa:<br />
1. Ilkirat<br />
2. Enchalan enking’opi<br />
3. Osarge<br />
4. Kule olkina<br />
Neaku ore ilkirat, enchalan enking’opi, osarge, o kule olkina,<br />
naa ninche eimu enkitasuroto entaboi sapuk e VVU.<br />
Ore engai chalan o sesen naijo inkamulak, ilkiyio, inkulak, o<br />
enkinyinyiret nemeata enkidimata naitasurisho VVU.<br />
Ore ilkirat, enchalan enking’opi, osarge o kule olkina loltung’ani<br />
oitasuroki, ninche ake enkoitoi najing’ e VVU atua osarge lelikai tung’ani<br />
pee eitasuroi.<br />
Kuna oitoi naitasurisho VVU:<br />
1. Tenirepare (tenintiamaki) oltung’ani oitasuroki VVU eitu ipika<br />
kondom. Ore erepa (enkitiamakino) meishopitoi kondom<br />
naa enkoitoi sapuk naitasurisho VVU.<br />
2. Eng’arare o sintano, eyembe, enkalem, olmorunya natudung’ieki<br />
osesen meimu osarge, enkike o kulie tokitin naidimayu pee etii<br />
osarge.<br />
3. Keidim enkitok aitosuro enkerai enye etii enkoshoke, enkata eini<br />
enkata nanakita olkina.<br />
MAA 10
Huwezi kuambukizwa VVU kwa ...<br />
Huwezi kuambukizwa VVU kwa:<br />
• Kubusu<br />
• Kugusana<br />
• Kukumbatiana<br />
• Kushikana mikono<br />
• Kutumia vijiko au vikombe<br />
• Kwa ukohoaji au chafya ya mtu mwingine<br />
• Kutumia choo kimoja<br />
• Kuumwa na wadudu au wanyama<br />
• Kula na kunywa pamoja na wenye VVU<br />
• Kufanya vitu vyovyote ambavyo haviruhusu shahawa, majimaji<br />
ukeni, damu au maziwa ya mama mwathirika kuingia kwenye<br />
damu ya mtu mwengine asiye na VVU<br />
Huwezi kupata VVU kwa kunywa pamoja. Lakini, unywaji wa pombe<br />
inaweza kukushawishi katika njia za maambukizi, kama vile: kujamiiana<br />
na watu wengi, kujamiiana bila kondom, au kukosea kutumia kondom<br />
kwa uhakika kabla ya kujamiiana.<br />
11 KISWAHILI
Metasuroi VVU te ...<br />
Metasuroi VVU te:<br />
• Tening’utut oltung’ani<br />
• Tenishoroo oltung’ani<br />
• Tenirrapunono (enkibong’a oseseni loltung’ani)<br />
• Tenirorokinono too nkaik<br />
• Tening’aring’ara enkijiko, enkiyai<br />
• Tenkirroket arashu enkasing’i elikai tung’ani<br />
• Tening’aring’ara engumoto o nkik (choo)<br />
• Tenikiony enkojong’ani, olotoroi, engoongoni, olkedikedi o kulie<br />
pookin arashu tenikiony osikiria, oldia, empuus o kulie ng’uesi<br />
• Teninyanya endaa o teniokishosho tenebo oltung’ani oota VVU<br />
• Tenias inkulie tokitin pookin nemeisho ilkirat, enchalan<br />
enking’opi, osarge arashu kule olkina le enkitok naitasuroki o<br />
sarge lenye metijing’a osarge loltung’ani lemeata VVU<br />
Meshurtakinoi VVU te teniokishosho tenebo pokira. Kake, ore eokoto<br />
enaisho naa ekisishoki enkoitoi enkitasuroto e VVU, anaa kuna: erepa<br />
(enkitiamakino) oltung’anak kumok, erepa (enkitiamakino) metii<br />
kondom, teninyalakino enkishopoto e kondom eng’or erepa<br />
(enkitiamakino).<br />
MAA 12
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU wakati wa kujamiiana<br />
Kujamiiana bila kutumia kondom ni njia kuu ya kuambukizwa<br />
VVU.<br />
Ngozi iliyopo ndani ya uke na ngozi iliyo kwenye tundu la uume, na pia<br />
ngozi iliyo ndani ya sehemu ya haja kubwa ya mtu huwa ni laini sana na<br />
kwa hiyo VVU inaweza kuambukizwa kwa urahisi kutoka mtu mmoja<br />
hadi mwengine wakati wa kujamiiana.<br />
Kama mmoja wa wenzi anayo ugonjwa wa ngono, kwa mfano kaswende,<br />
kisonono o mkanda wa jeshi hata kama hajui anayo, inawezakana kuwa<br />
na vijeraha au vidonda ndani ya sehemu zake za siri. Kwa hiyo VVU<br />
inaweza kutoka kwa mwenzi mmoja kwenda kwa mwengine kwa urahisi.<br />
Kama wewe mwenyewe unayo ugonjwa wa ngono (kama kaswende au<br />
kisonono) au kama mwenzi mmoja wako anayo, ni muhimu kupata<br />
matibabu kliniki au hospitalini haraka sana.<br />
Mtu yeyote anayejamiiana bila kutumia kondom anaweza kupata VVU:<br />
tajiri, maskini, <strong>Maa</strong>sai, Msonjo, Mzungu, mtoto, mzee, mwanaume,<br />
mwanamke, hata wewe. Mtu yeyote anaweza kuambukizwa VVU.<br />
13 KISWAHILI
Enkitasuroto e VVU te nkata erepa<br />
(enkitiamakino)<br />
Ore erepa (enkitiamakino) meishopitoi kondom naa enkoitoi<br />
sapuk naitasurisho VVU.<br />
Ore enchoni natii atua enking’opi e natii atua ena udoto elewaisho ena<br />
atii atua olkurum naa kebebek oleng’ naa neija eko VVU pee eitasur<br />
oltung’ani olekai te nkata erepa (enkitiamakino).<br />
Teneata olee arashu elipong’ emueyian erepa (enkitiamakino), anaa olbae<br />
(osupetai), emirika (embirtirr) o engirmishir, o tenemeyiolo ajo keata,<br />
keidimayu pee eata endototo ti atua enking’opi arashu ti atua elewaisho<br />
o ti atua olkurum. Neaku keidim olee arashu elipong’ aitasuroto VVU<br />
teleleki. Ore teneata olang’ata lino elang’ata ino (arashu olpayian lino o<br />
enkitok ino) naa keishaakino pee ebaiki tesiokinoto te kiliniki arashu te<br />
sipitali.<br />
Ore oltung’ani pookin orepare (oitiamaki) olikai meishopito kondom<br />
keidim anoto VVU: olkarsis, olaisinani, ol<strong>Maa</strong>sani, oSonjoi, olashumpai,<br />
enkerai, olmoruo, olee, enkitok, ore o iyie. Keidimayu oltung’ani<br />
pookin pee etasuri VVU.<br />
MAA 14
Jinsi ya kupunguza uenezaji wa VVU wakati<br />
wa kujamiiana<br />
Kuwa na wenzi wengi (au mwenzi wako kuwa na wenzi wengi) ni hatari<br />
kubwa ya kujamiiana na mtu aliyekwishaambukizwa VVU. Ukipunguza<br />
idadi ya mwenzi ndivyo unavyo punguza urahisi wako wa kujamiiana na<br />
mtu mwenye VVU.<br />
Kama wewe au mwenzi wako anayo kidonda kwenye sehemu zake za siri,<br />
au ugonjwa wa ngono, VVU inaweza kuambukizwa kwa urahisi wakati<br />
wa kujamiiana. Usifanye mapenzi (kujamiiana) wakati wewe au mwenzi<br />
wako ana kidonda au ugonjwa wa ngono. Ukifahamu kuwa unayo, nenda<br />
kwa daktari upate matibabu haraka na usubiri upone kabisa ndipo uanze<br />
kujamiiana.<br />
Kama una mwenzi mmoja tu, na mnajamiiana wawili bila mtu mwengine<br />
(kuaminiana), na wote wawili hamna VVU, hamwezi kupata VVU<br />
mnapojamiiana pamoja.<br />
Kama mume na wake zake wote wanajamiiana, na hakuna anaye jamiiana<br />
na mtu mwingine wa nje, na hakuna mwenye VVU, hawataweza kupata<br />
VVU wanapojamiiana pamoja.<br />
Njia salama sana ya kushinda maambukizi ya VVU ni kujamiiana na mtu<br />
mmoja tu: mume au mke wako. Kama mume ana wake zaidi ya mmoja na<br />
wote wanaishi bila VVU na kujamiiana wenyewe tu, hawataambukizwa<br />
VVU wasipojamiiana na mtu yeyote wa nje.<br />
Ukiamua kujamiiana na watu zaidi ya mmoja unaweza kujikinga<br />
wewe mwenyewe na wenzi wako kwa kufanya ngono salama kila<br />
tendo la ngono. Angalia kurasa 17 ‘Elimu ya ngono salama’.<br />
15 KISWAHILI
Enkoitoi naitaa kiti enkitasuroto e VVU<br />
enkata erepa (enkitiamakino)<br />
Ore pee erepap (enkitiamakino) iltung’anak kumok (arashu eata<br />
eleng’ata ino ilang’at, o eata olpayian lino arashu enkitok ino) ilang’at<br />
kumok, naa enkoitoi sapuk te nkata erepa (enkitiamakino) to ltung’ani<br />
oatasuroki VVU. Naa ore sii tenintaa kiti lang’atisho naa keitong’orr<br />
enkata enkitasuroto te erepa (enkitiamakino) oltung’ani oata VVU.<br />
Teniata endototo te lewaisho arashu te nking’opi (olpayian lino arashu<br />
enkitok ino) o teniata kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino), merepapa<br />
(mintiamakinono) te nkata nitoduaa ajo eata ndotot arashu mueyiaritin<br />
erepa (enkitiamakino), ore pee idol ajo iata entasioi entaduare oldakitari<br />
te kiliniki o te sipitali, pee itum embaata tesiokinoto nepalipala pii erepa<br />
(enkitiamakino) oinchiu<br />
Tenaa elang’ata arashu elang’ata obo ake iata iyie ena kata erepa<br />
(enkitiamakino) naa entai ake pokira are nimintokiki arepare (aitiamaki)<br />
kulie tung’anak, nimiatata tena kata pokira are VVU, nimitasuroto ntai<br />
VVU tenirepapa (tenintiamakinono) pokira.<br />
Ore olpayian o nkituaak enyanak pee erepa (eitiamakino) nemetii nabo<br />
ti atua nalo erepa (enkitiamakino) ang’ata, nemetii enaata VVU,<br />
nemitasuro VVU te nkata erepa (enkitiamakino).<br />
Ore enkoitoi naserian oleng’ namerr enkitasuroto e VVU naa erepa<br />
(enkitiamakino) oltung’ani obo ake: to olpayian lino o enkitok ino. Ore<br />
olpayian teneata inkituaak kumok nemeata pookin VVU, tenerepa<br />
(teneitiamakino) oopeny ake, meitasuro VVU teneitu erepare (etiamaki)<br />
kulie tung’anak le ang’ata.<br />
Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa indim<br />
aibooi openy VVU o nena lang’at ino teniasiasa erepa<br />
(enkitiamakino) naserian too nkatitin pookin erepa<br />
(enkitiamakino). Ing’ora embolunoto 18 ‘Enkiteng’ena erepa<br />
(enkitiamakino) naserian’.<br />
MAA 16
Elimu ya ngono salama<br />
Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja unaweza kujikinga wewe mwenywe<br />
na wenzi wako kwa kufanya ngono salama kila tendo la ngono.<br />
Ngono salama ni mapenzi ambayo hazita ruhusu shahawa, majimaji ukeni<br />
au damu ya mtu aliyeathirika kuingia kwenye mwili wa mtu mwingine.<br />
Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja njia kuu ya kijikinga ni<br />
kutumia kondom kila tendo la ngono.<br />
Kama mume na mke wake wanaamua kujamiiana na watu wengine wa<br />
nje, bado wanaweza kujikinga kwa kutumia kondom. Kama wanatumia<br />
kondom kila tendo la ngono nje ya ndoa, mume na mke wanaweza<br />
kujamiiana pamoja bila kutumia kondom, na bado mnaweza kujikinga<br />
VVU na mnaweza kuzaa watoto wasiyo na maambukizi ya VVU.<br />
17 KISWAHILI
Enkiteng’ena erepa (enkitiamakino) naserian<br />
Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa indim aibooi<br />
openy VVU o nena lang’ata ino teniasiasa erepa (enkitiamakino)<br />
naserian too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino).<br />
Ore erepa (enkitiamakino) naserian naa erepa (enkitiamakino) nemeisho<br />
ilkirat, enchalan enking’opi o sarge ing’wa oltung’ani oitasuroki aajeng’<br />
osesen le likai tung’ani.<br />
Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa ore<br />
enkoitoi sapuk nimboorie naa teniasishore kondom inkatitin<br />
pookin erepa (enkitiamakino).<br />
Tenaa ore olpayian e nkitok neiruk erepa (enkitiamakino) ekulikai<br />
tung’anak le ang’ata, naa eton eidim pee ebooyo teniasishore kondom.<br />
Teniasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino) ti<br />
ang’ata, olpayian e nkitok naa eton eidim aibooi VVU, neiu inkera biot<br />
nemeata enkitasuroto e VVU.<br />
MAA 18
Elimu ya kondom<br />
Kondom ni mpira mwembamba ambao huvishwa kwenye uume<br />
inaposimama (inapodinda). Kabla ya kujamiiana uvalishwa kwenye uume.<br />
Hiyvo inakinga shahawa isiingie kwenye uke (au kwenye sehemu ya haja<br />
kubwa). Pia inakinga majimaji ukeni isiingie kwenye tundu la uume.<br />
Ni muhimu sana kuelewa kutumia kondom bila kosa. Ukitumia vibaya<br />
inaweza kusababisha shahawa kumwagika au kondom kupasuka.<br />
Unapotumia kondom vizuri unajikinga wewe mwenyewe na wenzi wako<br />
dhidi ya maambukizi ya VVU. Pia unakinga mwili wako na mwili wa<br />
mwenzi wako kutokana na magonjwa ya ngono ambazo yanaweza kuleta<br />
ugumba (kutopata watoto) kwa wanaume au wanawake.<br />
Kuanza kutumia kondom ni zoezi dogo lenye hofu, lakini usijali,<br />
haitachukua muda mrefu kuaanza kuona kuwa ni kitu cha kawaida tu.<br />
Zipo aina nyingi za kondom ya wanaume. Tofauti ni kampuni<br />
zinazotengeneza. Zote zinafanya kazi lakini ni chaguo la mtumiaji.<br />
19 KISWAHILI
Enkiteng’ena e kondom<br />
Ore kondom naa empira nabebek neishopokini elewaisho ena kata<br />
itasho (etabotire). Ore eton eng’or erepa (enkitiamakino) neishopokini<br />
elewaisho. Naa keibooyo ilkirat pee mejing’ enking’opi (arashu pee<br />
mejing’ olkurum). Ore ake eitu neijia neibooyo enchalan enking’opi pee<br />
meijing’ ena udoto elewaisho.<br />
Naa keiata tepat oleng’ teniyiolou ataasishore kondom te nkarriyiano.<br />
Teniasishore kondom te nkalano naa keidim ilkirat aibukori arashu<br />
edanya kondom.<br />
Teniasishore kondom te nkarriyiano naa irrip kewon ino, elang’ata ino<br />
(olang’ata lino), te nkitasuroto e VVU. Irrip sii osesen lino o elang’ata ino<br />
(olang’ata lino) too mueyiaritin erepa (enkitiamakino) naidim ayau<br />
enkolupisho to lee o te nkitok.<br />
Teninteru asishore kondom naa enkiteng’ena dorrop naata olturiaki,<br />
kake minkeno, amu meiya enkata naado eitu edol aajo entoki etepat<br />
namokunoyu.<br />
Ketii imwain kumok ekondom oo lewa. Ore empaashata naa<br />
inkampunini ake naitobiru. Ore pookin kenyanyok neaas esiaai nabo naa<br />
enyorrata ilo oasishore.<br />
MAA 20
Je, naweza kupata watoto nikitumia kondom<br />
Tayari umeshajifunza kwamba magonjwa ya ngono ni tatizo ambalo<br />
linaweza kuleta ugumba (kutopata watoto). Ukitumia kondom kila tendo<br />
la ngono kabla ya kuoa, na baada ya kuoa tumia kondom kila tendo la<br />
ngono nje ya ndoa, unaweza kufanya mapenzi bila kondom na mume au<br />
mke wako na kuwa na matumaini makubwa ya kupata watoto. Pia<br />
utakuwa na matumaini makubwa ya kuzaa watoto wenye afya njema bila<br />
VVU.<br />
Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja bila kutumia kondom ni rahisi<br />
kuambukizwa magonjwa ya ngono na kupata matatizo ya uzazi. Pia<br />
unaweza kuleta VVU nyumbani na kuambukiza mume wako, mke wako,<br />
na hata watoto wako wakati wa ujauzito, wakati wa kujifungua au wakati<br />
wa kunyonyesha.<br />
Ukifanya mapenzi na mume wako au mke wako tu bila kutumia kondom<br />
na unatumia kondom kila tendo la ngono nje ya ndoa, unaweza kujikinga<br />
wewe mwenyewe, na kuwakinga familia yako, na kuweza kuzaa watoto<br />
wasiyo na maambukizi ya VVU.<br />
21 KISWAHILI
Amaa, kaidim anoto inkera tenaasishore<br />
kondom<br />
Indipa aiteng’enayu inchere ore imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa<br />
enyamali sapuk naaidim ayau enkolupisho (to lee o te nkitok).<br />
Teniasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino) eton<br />
eitu eiamishore, ore pee indip aiamishor taasishore kondom te nkata<br />
pookin erepa (enkitiamakino) o ltung’anak liang’ata. Keidimayu pee<br />
irepare (intiamaki) olpayian lino arashu enkitok ino meishopito kondom<br />
naa itumutumu osiligi sapuk litumiemie inkera. Ore inkera naaini neaku<br />
biot nemeata VVU.<br />
Ore erepa (enkitiamakino) o ltung’anak oolus ti obo neitu iasishore<br />
kondom nelelek pee kentasuri imueyiaritin erepa (enkitiamakino) nitum<br />
enyamali eishoi. Ore etiu neijia keidimayu pee eyau VVU enkang’ ino<br />
nintasur olpayian lino enkitok ino oo nkera inono te nkata enotai,<br />
enkata eini arashu eitanakitai.<br />
Tenerepapa (tenintiamakinono) olpayian lino arashu enkitok ino ake,<br />
nimiasishorere kondom, naa ore pee irepare (intiamaki) kulie tung’anak<br />
leme olpayian lino arashu enkitok ino niasishorere kondom indim aibooi<br />
iyie openy nirrip olmarei lino nindim atoiu inkera neitu eitasuri VVU.<br />
MAA 22
Jinsi ya kutumia kondom<br />
1. Tumia vidole tu, kufungua pakiti ya kondom<br />
kwa uangalifu ili usiharibu kondom iliyo ndani<br />
ya pakiti. Usitumie kucha, meno au vifaa<br />
vyovyote vyenye ncha kali kufungua pakiti.<br />
Michirizi iliyo pembezoni mwa pakiti<br />
yatakusaidia kufungua pakiti kwa urahisi<br />
zaidi.<br />
2. Wakati umeshaondoa kondom kwenye pakiti,<br />
utaona kwamba kondom ina kitu chake cha<br />
kulainisha. Kitu hiki ilitengenezwa kwa maji,<br />
siyo mafuta (kwa sababu mafuta inapasua<br />
kondom). Ina kazi mbili: inalainisha kondom<br />
ikiwa ndani ya pakiti, pia inafanya kondom<br />
kuteleza wakati wa kujamiiana.<br />
3. Pia utaona kwamba kondom imekunjwa.<br />
Hakikisha kwamba mkunjo wa kondom<br />
inakuwa nje ya kondom ili iwe rahisi wakati<br />
wa kuvalisha kwenye uume. Pia utaona<br />
kwamba kondom inayo chuchu. Chuchu ni<br />
sehemu ya shahawa.<br />
4. Hakikisha umefinya chuchu vizuri wakati<br />
unavalisha uume ili hewa isibaki ndani ya<br />
kondom. Hewa ikibaki ndani, kondom<br />
inaweza kupasuka wakati wa kumwaga<br />
shahawa.<br />
23 KISWAHILI
Eninko teniaasishore kondom<br />
1. Ilkimojik ake tabolie embene e kondom, naa<br />
tabolo te nkarriyiano pee midany kondom ti<br />
atua embene. Mibolie ilala o loisotok o kulie<br />
tokitin naapi. Ore eng’amata natii imbat<br />
embene e kondom naa ekiretoki emboloto<br />
embene teleleki.<br />
2. Ore indipa aitayu kondom ti atua embene<br />
nidol ajo keata kondom enkideket enye. Ore<br />
ina kideket naitobirake te nkare, neme eilata<br />
(amu kedany eilata kondom). Neata isiaaitin<br />
are: enaitanana kondom ti atua embene,<br />
enaideketie kondom ena kata erepa<br />
(enkitiamakino).<br />
3. Idol sii ajo kenunuko kondom. Tisipu ajo ore<br />
enunukoto e kondom naa oriong’ etii pee<br />
eleleku ena kata inshopoki elewaisho. Idol ajo<br />
keata kondom olkina. Ore ilo kina naa ewueji<br />
oo lkirat.<br />
4. Ironya ilo kina pee eishunye enkijape ti atua<br />
kondom inshopoki elewaisho. Ore ake pee<br />
eing’uari enkijape ti atua kondom naa keidim<br />
atadanyayu ena kata ikirrita.<br />
MAA 24
Jinsi ya kutumia kondom<br />
5. Kuvalisha kondom, finya chuchu ya kondom<br />
kwa kutumia kidole gumba na kidole kingine.<br />
Weka kondom kwenye kichwa cha uume<br />
uliosimama kabla haijagusa uke.<br />
6. Kwa kutumia mkono mwingine kunjua<br />
mkunjo wa kondom kuvalisha mpaka ifike<br />
mwisho wa uume.<br />
7. Hakikisha hewa haibaki ndani ya kondom.<br />
8. Baada ya kumaliza mapenzi chomoa uume<br />
ukeni kwa uangalifu kabla ya uume huo<br />
haujasinyaa. Wakati unachomoa shikilia<br />
sehemu ya juu ya mkunjo ili kuzuia shahawa<br />
zisimwagike. Bila kufanya hivi kondom<br />
huweza kung’ang’ania au kubaki ndani ya uke.<br />
(Kama kondom ikibaki ndani ya uke, usijali<br />
kwani mwanamke huweza kutoa kwa kutumia<br />
vidole. Shida ni kwamba shahawa zinaweza<br />
kumwagika ndani ya uke).<br />
9. Chomoa kondom taratibu, funga fundo<br />
kwenye mdomo wa kondom ili shahawa<br />
zisimwagike. Hakikisha kwamba unatupa<br />
kondom mahali salama.<br />
25 KISWAHILI
Eninko teniaasishore kondom<br />
5. Ore ena kata inshopoki kondom elewaisho<br />
ironya olkina te mogirra olikai kimojino<br />
otashare. Tipika kondom esoit elewaisho ena<br />
kata etabotire neton eitu ebaiki enking’opi.<br />
6. Imbung’a te nkai aina alaaya kondom<br />
metabaiki olkulam.<br />
7. Nisipu ajo metii enkijape atua kondom.<br />
8. Ore pee indipidipi erepa (enkitiamakinoto)<br />
tadotu elewaisho eton ebotiro. Ore idotu<br />
imbung’a enkiting’oto enunukoto te ngalo<br />
olkulam pee meibukori ilkirat. Teneitu<br />
iimbung’ keidim kondom atushurtakinoyu atua<br />
enking’opi. (Teneia neshurtakino kondom atua<br />
enking’opi miure amu keitayu enkitok too<br />
lkimojik ore enyamali naa ilkirat tenebukokino<br />
atua enking’opi).<br />
9. Tushurtu kondom akiti, tilida kondom te<br />
nkutuk pee meibukori ilkirat. Tipika kondom<br />
ewueji neisudoo oleng’ tenindip ataasishore.<br />
MAA 26
Elimu zingine kuhusu kondom<br />
• Tumia kondom mara moja tu. Tumia kondom mpya kwa kila tendo<br />
la ngono.<br />
• Vaa kondom moja tu, usivae kondom nyingine juu ya kondom ya<br />
kwanza.<br />
• Usikunjuwe kondom kabla ya kuweka kwenye uume.<br />
• Usipake mafuta ya aina yeyote kwenye kondom, kwa sababu mafuta<br />
inaweza kusababisha kupasuka kwa kondom. Kondom ina utelezi<br />
na kawaida inatosha. Lakini ukihitaji ulaini zaidi ya ile kwenye<br />
kondom, ni vyema kupaka mate. Lakini, usitumie mate kama<br />
inaweza kuwa na damu kwani damu inaweza kuwa na VVU. Kwa<br />
hiyo, ni vyema kutumia mate ya mwanaume kwenye kichwa ya<br />
uume tu, kabla ya kuweka kondom kwenye uume, na mate ya<br />
mwanamke nje ya kondom baada ya kuvalisha kwenye uume.<br />
• Ni lazima kuvalisha kondom kabla ya uume kugusa kwenye uke au<br />
kwenye sehemu ya haja kubwa.<br />
• Joto linaweza kuharibu kondom. Hivyo hifadhi kondom mbali na<br />
mwanga wa jua, moto au sehemu yeyote yenye joto. Pia weka mbali<br />
na wanyama au wadudu waharibifu.<br />
• Kabla ya kutumia kondom angalia pakiti kama haijapasuka. Angalia<br />
pia muda wa matumizi ya kondom (EXP DATE). Kondom ambazo<br />
muda imeisha, au ni ngumu au kukauka na haitaweza kukupa kinga<br />
kamilifu kama kondom mpya. Vinginevyo ni vyema kutumia<br />
kondom ya zamani (isiyopasuka) kuliko kufanya mapenzi bila<br />
kondom kabisa.<br />
• Kama uume ikisinyaa ndani ya uke, kondom inaweza kudondoka na<br />
ugonjwa wa ngono itapata nafasi ya kupita.<br />
27 KISWAHILI
Kulie kiteng’enat naipirta kondom<br />
• Taasishore kondom te nkata nabo ake. Taasishore kondom ng’ejuk<br />
te nkata pookin erepa (enkitiamakino).<br />
• Inshopo kondom nabo ake nimitashaki enkai.<br />
• Milaaya kondom eitu inshopoki elewaisho.<br />
• Miyelie eilata kondom, amu ore ai eilata naa kepolos kondom. Ore<br />
kondom naa keata enkideket enye naa keidip. Ore pee iyieu<br />
enkideket oleng’ ina iyelie inkamulak. Kake miyelie inkamulak<br />
naatii osarge amu keidim aataa keata VVU. Teniyieu nipik<br />
inkamulak tipika inkamulak olee atua esoit elewaisho eton eitu<br />
inshopoki kondom. Tipika inkamulak enkitok oriong’ e kondom<br />
indipa aishopoki elewaisho.<br />
• Keishaakino pee inshopoki kondom elewaisho eton eitu eporoo<br />
enking’opi arashu olkurum.<br />
• Keinyal enkirowuaj kondom. Toshoma kondom metalama<br />
eneoshito enkolong’, enkima ewueji netii enkirowuaj intalama<br />
enetii ing’uesi, olkurt ooidim ainyala kondom.<br />
• Ore eton eitu iasishore kondom ing’ora embene teneitu epolosa.<br />
Ing’ora enkata neton eesishoreki (EXP DATE). Ore kondom<br />
naiting’o enkata naa kegol arashu etoyio nemeibooyo VVU anaa<br />
kondom ng’ejuk. Ore pee itala kondom ng’ejuk naa enaikash<br />
teniasishore emusana (neitu edanya) amu menyanyukie katukul.<br />
• Ore tenelepori elewaisho ti atua enking’opi naa keidimayu pee<br />
eshurtakino kondom atua enking’opi, netum empaash imueyiaritin<br />
erepa (enkitiamakino).<br />
MAA 28
Ukweli kuhusu kondom<br />
Baadhi ya watu wanahofu ya kutumia kondom, lakini baada ya kuelewa<br />
VVU na magonjwa mengine ya ngono, hali hii ya hofu hubadilika. Na<br />
hali hii ya kutumia kondom inawashiria kuwa unajali afya yako, familia<br />
yako, rika yako na jamii yako kwa jumla.<br />
Baadhi ya watu wanaamini kuwa kutumia kondom ni hatari, au kuwa na<br />
mianya inayo ruhusu VVU kepenya kwenye mwili, au hufikiri kuwa VVU<br />
tayari imo ndani ya kondom kabla ya kutumia. Mambo haya yote siyo<br />
ya ukweli kabisa. Watu huzumgumza mambo haya kwa sababu tu<br />
hawaelewi ukweli kushusu kondom na wana hofu kutumia.<br />
Inawezakana wewe mwenyewe una hofu ya kutumia kondom na<br />
umeshakataa kutumia kondom mpaka sasa. Siku hizi kuna sababu kubwa<br />
ya wewe kuanza kutumia kondom, kwani kondom tu ndiyo kinga ya<br />
VVU.<br />
Kondom hukukinga wewe na mwenzi wako kwa VVU na magonjwa<br />
mengine ya ngono. Pia watu wengi wanasema kujamiiana na kondom ni<br />
vyema kuliko kujamiiana bila kondom, kwa sababu inaleta matumaini<br />
makubwa na kuondoa hofu kuhusu VVU na magonjwa mengine ya<br />
ngono.<br />
Kwa nini watu<br />
wanalalamika kuhusu<br />
KONDOM na mimi<br />
silalamiki!<br />
29 KISWAHILI
Esipata naipirta kondom<br />
Keure embata oo ltung’anak ataasishore kondom. Kake ore peeponu<br />
ayiolou VVU o mueyiaritin erepa (enkitiamakino), nemeitoki aaure<br />
ataasishore kondom. Ore pee iasishore kondom naa keitodolu ajo intaa<br />
tipat eseriani osesen lino, nerrip olmarei lino, nerrip olporror, olosho te<br />
lolong’ata.<br />
Ore embata oo ltung’anak naa keiruk aajo teniasishore kondom naa<br />
itorrono arashu entaboi, arashu eata mpaashi naidim VVU eima ajing’<br />
osesen, arashu ejo ketii VVU atua kondom eton eitu easishore.<br />
Nemesipa kuna baa katukul. Keimaki kulikai tung’anak anaa<br />
tentiaraki emeyiolo enaas kondom neata olturiaki teniasishore.<br />
Keidimayu pee iure ataasishore kondom, neidimayu pee itanya<br />
ataasishore oshi taata. Ore te kuna olong’i ketii esipata sapuk nikiaraki<br />
interu aasishore kondom amu ninye naibooyo VVU.<br />
Kondom nikiretoki iyie, elang’ata ino (o olang’ata lino) aibooyo VVU o<br />
mueyiaritin erepa (enkitiamakino). Kejo iltung’anak kumok ore erepa<br />
(enkitiamakino) e kondom naa keikash alang’ erepa (enkitiamakino)<br />
nimiata kondom, amu ekincho osiligi sapuk nikioru olturiaki lemueyian e<br />
VVU o nkulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />
Kainyoo pee<br />
eing’unyung’uny iltung’anak<br />
te nkipirta e KONDOM<br />
nemang’unyung’uny<br />
nanu!<br />
MAA 30
Elimu ya kondom ya kike<br />
Kondom ya kike ni mpira mwembamba yenye duara ndani na nje. Pia ina<br />
sehemu iliyo funikwa na sehemu iliyo wazi. Sehemu iliyo funikwa<br />
hushindiliwa ndani ya uke na sehemu iliyo wazi hukaa nje juu ya mafuzi.<br />
Kondom ya kike inakinga shahawa isingie kwenye uke na inakinga<br />
majimaji ukeni isiingie kwenye tundu la uume.<br />
31 KISWAHILI
Enkiteng’ena e kondom oo ntoyie o nkituaak<br />
Ore kondom oo ntoyie o nkituaak neata empira nabebek neata<br />
enkamanaa ti atua o ti oriong’. Keata enchoto naikeno e enchoto<br />
nemeikeno naisiu. Ore enchoto naikeno nerrumokini atua enking’opi,<br />
ore enchoto naaisiu neitelekino olkulam. Ore kondom oo nkituaak naa<br />
keibooyo ilkirat pee mejing’ enking’opi neibooyo enchalan enking’opi<br />
pee mejing’ ena udoto elewaisho.<br />
MAA 32
Jinsi ya kutumia kondom ya kike<br />
1. Nawa mikono vizuri kwa sabuni na maji kabla<br />
ya kushindilia kondom.<br />
2. Tumia vidole tu, kufungua pakiti ya kondom<br />
kwa uangalifu ili usiharibu kondom iliyo ndani<br />
ya pakiti. Pia usitumie kucha, meno au vifaa<br />
vyovyote vyenye ncha kali.<br />
3. Shika duara iliyo funikwa na finya kwa kidole<br />
gumba na kidole kingine.<br />
4. Tumia kidole cha kati kirefu kwa kushindilia<br />
kondom ndani ya uke.<br />
5. Duara iliyo wazi huwa nje ya uke na uwe<br />
mwangalifu kondom isijisokote ndani ya uke.<br />
33 KISWAHILI
Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o<br />
nkituaak<br />
1. Intukuo inkaik to sabuni o te nkare oleng’ pee<br />
irrumokinye kondom atua enking’opi.<br />
2. Ilkimojik ake tabolie embene e kondom, naa<br />
tabolo te nkarriyiano pee midany kondom ti<br />
atua embene. Mibolie ilala o loisotok o kulie<br />
tokitin naapi.<br />
3. Ironya enamanaa naikeno te mogirra o to<br />
kimojino otashare.<br />
4. Turrumoki kondom to kimojino oodo atua<br />
enking’opi.<br />
5. Ore enkamanaa naisiu naa oriong’ enking’opi<br />
etii. Taarriyiana pee menunuko kondom ti<br />
atua enking’opi.<br />
MAA 34
Jinsi ya kutumia kondom ya kike<br />
6. Kondom ya kike haibani ukeni. Lazima kuchukuwa taadhari ili<br />
mtikisiko wa uume usikosee na kwenda pembeni mwa mdomo wa<br />
kondom. Ni budi kuhakikisha kuwa kondom ipo sawasawa mara kwa<br />
mara wakati wa kujamiiana.<br />
7. Baada ya kujamiiana chomoa kondom haraka<br />
kabla ya mke kuinuka na unapochomoa<br />
hakikisha kuwa unasokota kondom ili<br />
shahawa isije ikamwagika ndani ya uke.<br />
8. Usitumie kondom ya kiume na kondom ya kike wakati moja. Tumia<br />
kondom moja tu, kondom ya kiume au kondom ya kike. Mkitumia<br />
kondom mbili pamoja zinaweza kupasuka.<br />
35 KISWAHILI
Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o<br />
nkituaak<br />
6. Imerrish kondom oo nkituaak ti atua enking’opi. Tabaraki pee<br />
mepong’ elewaisho enkutuk e kondom. Keishaakino pee iarriyianu<br />
ajo keitobirakino kondom atua enking’opi ena kata irepapa<br />
(intiamakinono).<br />
7. Ore pee indipidipi erepa (enkitiamakino)<br />
tasioki tushurtu kondom eitu edumunye<br />
elipong’. Ore ishutu kondom ti atua<br />
enking’opi impila kondom mebukokino<br />
ilkirat atua enking’opi.<br />
8. Emiriamaki aishop inkondomi olee e enkitok te nkata nabo.<br />
Entaasishore kondom nabo ake eno lee arashu ene nkitok. Ore<br />
tiniasishorere pokira are inkondomi naa keidimayu pee edanya.<br />
MAA 36
Jinsi ya kutupa kondom baada ya matumizi<br />
Kondom imetengenezwa na mpira ambayo haiwezi kuoza wala kuisha<br />
baada ya kutupa. Mara tu utumiapo kondom ni lazima kutupwa mbali<br />
pasipo watoto wala wanyama.<br />
Kondom inaweza kutupwa kwenye choo cha shimo au jalala. Usitupe<br />
kwenye choo cha kuvuta maji.<br />
Njia nzuri ya kutupa kondom ni kuchimba shimo la takataka (jalala) kwa<br />
kila kaya. Shimo hili la takataka litatumika kwa kutupia kila aina ya<br />
takataka isiyooza au kuisha, kwa mfano kondom, plastiki, glasi na betri.<br />
Na mara tu shimo itakapo jaa, itarudishiwa udongo.<br />
Njia salama ya kufanya kama jamii ni kutafuta sehemu ya kuchimba<br />
shimo la takataka isiyooza au kuisha kama kondom, plastiki, glasi na<br />
betri.<br />
37 KISWAHILI
Enkoitoi naserian nenang’arie kondom indipa<br />
ataasishore<br />
Ore kondom neitobirwaki te mpira nabebek nemeng’ouyu, nemepurda<br />
indipa atangangai. Ore ake pee indip ataasishore kondom ninang’aa te<br />
nelakua nemenyikita inkera o kulie tokitin naijo ing’uesi.<br />
Ore kondom ninang’aki engumoto nagut arashu engumoto nanang’akin<br />
intokitin pookin anaa inemenya enkop. Menaang’aki engumoto naitaya<br />
inkiik enkare .<br />
Ore enkoitoi sidai ninang’arie kondom naa teneturuni engumoto oo suut<br />
too lmarei pookin, ore ina gumoto naa enanang’akini intokitin pookin<br />
nemeng’ouyu, nemepurda,. anaa kondom, impirai, nkilasini o betirini.<br />
Ore ake pee eiputayu engumoto nishukokin ingulupuok.<br />
Ore enkoitoi naserian naas olmarei naa teneing’oru ewueji neturunye<br />
engumoto nanang’akini isuut pookin nemeng’uoyu arashu nemepurda<br />
anaa kondom, impirai, inkilasini o betirini.<br />
MAA 38
Upatikanaji wa kondom kwa jamii<br />
Kondom zinapatikana bure nchini Tanzania. Zinapatikana toka<br />
TACAIDS (Tanzania Commssion for AIDS) Dar es salaam. Jamii<br />
inaweza kuomba kondom kupitia Daktari Mkuu wa Wilaya (District<br />
Medical Officer, DMO) na watapewa kupitia ofisi ya kijiji au zahanati<br />
iliyo karibu. TACAIDS inataka kupata maombi kutoka kwa jamii kabla<br />
ya kusambaza kondom vijijini. Kwa hiyo ni muhimu vijiji kuomba<br />
kondom kupitia kwa Daktari Mkuu wa Wilaya husika.<br />
Pia kondom zinauzwa nchini Tanzania na kampuni mbalimbali kwa bei<br />
nafuu. Kwa mfano, mwaka 2008 box lenye Salama kondom 576 iliuzwa<br />
kwa shilingi 8,000 Arusha. Hivyo bei ya kondom moja ilikuwa chini ya<br />
shilingi 14 tu.<br />
Njia rahisi ya kupata kondom kwa jamii bure au ya bei nafuu, ni kuitisha<br />
mkutano mkuu wa kijiji kutuma maombi kwa Daktari Mkuu wa Wilaya,<br />
au kununuwa kutoka Arusha.<br />
39 KISWAHILI
Eneiko olosho pee etum kondom<br />
Eketumi kondom pesho te Tanzania. Ketumi te TACAIDS (Tanzania<br />
Commission for AIDS) te Sardalama (Dar es Salaam). Keidim olosho<br />
atoomonu kondom aimunye olkitarri kitok le Wilaya (District Medical<br />
Officer, DMO), naa keishori aimunye enkopis olkijiji arashu sipitali<br />
nitaaniki, keyieu TACAIDS neng’as atum enkomono olosho eton eitu<br />
eidapashakini kondom too lkijijini naa keaku entoki etipat teneomonu<br />
ilkijijini kondom aimunye olkitarri kitok le Wilaya naipirta.<br />
Kemiri sii kondom te Tanzania. Kemir inkampunini kumok teleleki.<br />
Anaa, ore olari loo 2008 olbene (olbox) oota inkondomi 576 too<br />
nchilinkini 8,000 too kerenget lo Larosa (Arusha). Ore kondom nato naa<br />
abori inchilinkini 14 ake.<br />
Ore enkoitoi nalelek oleng’ natumie olosho kondom te pesho arashu<br />
tenkinyang’unoto nalelek, naa teneipotu olkijiji enkigwana kitok o kijiji<br />
neirriwaa engomono aairiwaki olkitarri kitok le Wilaya arashu einyang’u<br />
olkijiji openy too Larosa.<br />
MAA 40
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kupitia kwenye damu<br />
Kumbuka: Njia kuu ya kuambukizwa VVU ni kujamiiana bila<br />
kutumia kondom.<br />
Lakini VVU pia inaweza kuambukizwa kutoka damu ya mtu aliathirika<br />
kuingia kwenye damu ya mtu mwengine. VVU inaweza kupitia njia<br />
zifuatazo:<br />
• Kushirikiana sindano<br />
• Kushirikiana nyembe<br />
• Kushirikiana visu vya kukata mwili (pamoja na visu au wembe ya<br />
kutahiri)<br />
• Kushirikiana mswaki, kwa sababu inaweza kuwa na damu.<br />
• Kushirikiana vitu vyovyote vya kupenya mwilini vinavyoweza<br />
kuwa na damu ya mtu mwengine.<br />
• Kufanya shughuli yoyote enye damu nyingi ya mtu mwengine,<br />
kwa mfano kuzalisha au ajali, bila kutumia glavu / mpira mkononi<br />
kwa sababu damu inaweza kuingia kwenye jeraha kwenye ngozi<br />
ya mwili.<br />
• Pia VVU inaweza kuambukizwa kwa kuongezewa damu<br />
hosipitalini. Siku hizi hii siyo shida kwani damu kupimwa kabla<br />
ya kutumika na damu ya mwathirika haitumiki hospitalini.<br />
Ngozi ya mwili ni ngumu sana na VVU haiwezi kupitia. VVU inaweza<br />
kupitia kwenye jeraha tu. Uwe mwangalifu na damu ya mtu mwengine,,<br />
lakini kumbuka kwamba njia kuu ya kuambukizwa VVU ni kujamiiana<br />
bila kutumia kondom.<br />
41 KISWAHILI
Enkitasuroto e VVU to sarge<br />
Tadamu ajo: Ore enkoitoi sapuk naitasuroi VVU naa erepa<br />
(enkitiamakino) meishopitoi kondom.<br />
Kake, keidimayu sii pee eitasuroi VVU tenejing’ osarge loltung’ani<br />
oitasuroki atua osarge le likai tung’ani. Ore VVU naa keiyimu inkoito<br />
naikunono inji:<br />
• Eng’arata osindano arashu oltidu obo o likai tung’ani<br />
• Eng’arata eyembe (olmurunya) nabo o likai tung’ani<br />
• Eng’arata enkalem natudung’ieki osesen le likai tung’ani (arashu<br />
enkalem o eyembe namutatishureki)<br />
• Eng’arata enkike nabo o likai tung’ani, amu keidim ataa etijing’a<br />
osarge.<br />
• Eng’arata oo ntokitin pookin naapi naajing’ atua osesen naidim<br />
pee etii osarge le likai tung’ani<br />
• Tenias esiaai pookin naata osarge sapuk le likai tung’ani, anaa<br />
tenintoisho enkitok arashu tenimbung’ oota olbae sapuk oo<br />
tenimiasishore empira too inkaik naa keidim osarge atejing’a<br />
teneiata enikiya to lchoni lo sesen.<br />
• Keidimayu sii pee eitasuroi VVU tenikiremokini osarge<br />
loltung’ani oitasuroki VVU te sipitali. Ore te kuna olong’i naa<br />
keng’asi aatem (aipim) osarge eton eitu kiremokini. Meiasishore<br />
sipitali osarge oitasuroki VVU.<br />
Kegol oleng’ olchoni lo sesen meidim VVU ayima. Ore VVU naa ewueji<br />
ake nikiya eeyim. Taarriyiana to osarge lelekai tung’ani, kake, niyiolo ajo<br />
ore enkoitoi sapuk naitasuroi VVU naa tenerepai (tenintiamakinono)<br />
meishopitoi kondom.<br />
MAA 42
<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kutoka kwa mama<br />
kwenda kwa mtoto<br />
Mama mjamzito mwenye VVU anaweza kumwambukiza mtoto wake:<br />
1. Akiwa tumboni<br />
2. Wakati wa kujifungua<br />
3. Wakati wa kunyonyesha<br />
43 KISWAHILI
Eneiko ng’otonye teneitasur enkerai enye VVU<br />
Keidim enkitok nanuta naata VVU aitasuro enkerai enye:<br />
1. Enkata etii enkoshoke<br />
2. Enkata eisho<br />
3. Enkata eitanakita<br />
MAA 44
Jinsi ya kumkinga mtoto akiwa tumboni na<br />
wakati wa kujifungua<br />
Mama mwenye VVU ana nafasi kati ya 15% hadi 25% ya kuambukiza<br />
mtoto wake wakati akiwa na mimba au wakati wa kujifungua.<br />
Njia bora ya mtoto kutopata maambukizi ya VVU ni mama kutoathirika.<br />
Kama mama anajikinga vizuri na anaishi bila VVU hawezi kuambukiza<br />
mtoto wake VVU.<br />
Wanawake wengi hawafahamu kuwa wameshaambukizwa au<br />
hawajaambukizwa VVU. Mwanamke asiyefahamu kuwa<br />
ameshaambukizwa au hajaambukizwa VVU anaweza kumsaidia<br />
kumkinga mtoto asiambukizwe wakati akiwa na mimba kwa kufuata<br />
maagizo yafuatayo.<br />
• Kutumia kondom kwa kila tendo la ngono wakati mtoto akiwa<br />
tumboni.<br />
• Akipata lishe bora wakati wa ujauzito na atajifungua mtoto<br />
mwenye uzito.<br />
Kama mama anafahamu ameshaambukizwa VVU anaweza kumsaidia<br />
mtoto kwa kufuata maagizo ya juu na maagizo yafuatayo pia:<br />
• Kutumia madawa (ARVs), zinazopatikana hospitalini tu, ya<br />
kupunguza nguvu ya VVU mwilini.<br />
• Kuhudhuria kliniki au hospitali na kujifungua hospitalini.<br />
Mama akijifungua nyumbani, ni vyema mkunga kuvaa mpira mkononi<br />
wakati wa kuzalisha, kwa sababu VVU inaweza kuingia mwilini mwake<br />
kupitia jeraha mkononi.<br />
45 KISWAHILI
Enkoitoi narrip enkerai te nkoshoke o ena kata<br />
eini<br />
Ore enkitok naata VVU na keata erishata nabaiki 15% o 25% (15 o 25 te<br />
100) naitasurie enkerai enye enuta o ena kata eisho.<br />
Ore enkoitoi sapuk narrip enkerai pee meitasuri VVU naa teneitu etasuri<br />
ng’otonye VVU. Ore pee eerrip ng’otonye kewon esidai nebik meata<br />
VVU nemeitasur enkerai enye VVU.<br />
Imeyiolo inkituaak kumok aajo eidipaki aitasuro arashu eitu eitasuri<br />
VVU. Ore enkitok nemeyiolo ajo eitauroki arashu eitu eitasuri VVU naa<br />
keidim ataretoki atorripo enkerai enye pee meitasur enuta tenesuj<br />
inkoitoi naautuno tene tiabori:<br />
• Teneasishore kondom te nkata pookin erepa (enkitiamakino) etii<br />
enkerai enkoshoke (enota).<br />
• Tenetum endaa sidai te nkata enutai naa keiu enkerai nairoshi.<br />
Ore teneidipa enkitok atayiolo ajo eidipaki aaitasuro VVU neidim<br />
ataretoki enkerai tenesuj ilkigerot le shumata o kulo kigerot ootii abori:<br />
• Pee eijioo olchani (ARVs), te sipitali ake, oitong’or engolon e<br />
VVU ti atua osesen.<br />
• Elototo e kiliniki arashu sipitali neishaakino teneisho te sipitali.<br />
Ore pee eisho enkitok ti ang’, naa keishaakino tenepika enkatoiyioni<br />
empira too nkaik ena kata eretisho, amu keidimayu pee ejing’ VVU atua<br />
osarge lenye ayim eneya te nkaina.<br />
MAA 46
Jinsi ya kumkinga mtoto wakati wa<br />
kunyonyesha<br />
Dang’a (maziwa ya mwanzo) na maziwa ya mama ni chakula bora na<br />
yanajenga mwili wa mtoto na inamsaidia kumkinga mtoto asipate<br />
magonjwa ya kuharisha na magonjwa mengine ya hatari mwilini. Lakini<br />
mama mwenye VVU ana nafasi (kati ya 15%) ya kumwambukiza mtoto<br />
wakati ananyonyesha. Tatizo kubwa la kumwambukiza mtoto wakati wa<br />
kunyonyesha ni kama mtoto anaye vidonda kwenye tumbo au mdomo.<br />
Mtoto asiye na vidonda tumboni au mdomoni atapata afya bora kupitia<br />
maziwa na dang’a ya mama yake na siyo rahisi kupata maambukizi ya VVU.<br />
Mtoto akilishwa maji, maziwa ya mama mwingine, maziwa ya wanyama,<br />
siagi, majivu, mizizi ya miti, mafuta, au kitu chochote ambayo siyo dang’a<br />
au maziwa ya mama yake tu, anaweza kupata vidonda kwa urahisi<br />
tumboni. Hivyo mtoto anaweza kupata VVU kupitia kwenye vidonda<br />
kuingia kwenye damu ya mtoto.<br />
Njia bora ya kulinda afya ya mtoto ni kunyonyesha dang’a na maziwa ya<br />
mama yake tu, bila kumpa kitu chochote kabisa, mpaka mtoto<br />
anapofikisha umri wa miezi sita. Anapofikisha umri wa miezi sita mtoto<br />
anaweza kula vyakula vingine pamoja na maziwa ya mama. Lakini<br />
kumbuka: wakati wa kumlisha mtoto maziwa ya mama pamoja na<br />
vyakula vingine ni hatari kwa maambukizi ya VVU.<br />
Kama mama anafahamu ameshaambukizwa VVU ni lazima kwenda<br />
hospitalini kupata ushauri kuhusu namna ya kumlisha mtoto wake. Kama<br />
mama hajui kama ameshaambukizwa au hajaambukizwa anaweza kusaidia<br />
kumkinga mtoto akifuata maagizo yafuatayo:<br />
• Kumlisha mtoto dang’a na maziwa yake tu, hadi umri wa miezi<br />
sita.<br />
• Kutibu magonjwa ya matiti au jeraha kwenye chuchu haraka.<br />
• Kutibu vidonda kwenye mdomo wa mtoto haraka.<br />
• Kutumia kondom kwa kila tendo la ngono wakati anaponyonyesha<br />
mtoto.<br />
47 KISWAHILI
Enkoitoi narrip enkerai eitanaketai olkina<br />
Ore isikitok o kule olkina naa endaa naret osesen lenkerai naa keretoki<br />
arrip osesen lenkerai pee metum imueyiaritin elototo e nkoshoke e lopare o<br />
kulie mueyiaritin torrok osesen. Kake ore enkitok naata VVU naa ketum<br />
erishata nabaiki 15% (15 te 100) naitasurie enkerai ena kata eitanakita. Ore<br />
enyamali sapuk enkitasuroto enkerai eitanakitai na teneata enkerai<br />
enkidonda te nkoshoke arashu te nkutuk. Ore enkerai nemeata<br />
enkidonda te nkoshoke arashu te nkutuk netum embiotisho osesen<br />
teneishori kule olkina o sikitok e ng’otonye nemelelek pee etum<br />
enkitasuroto e VVU.<br />
Ore enkerai pee eishori enkare, kule olkina liai kitok, kule e kulie tokitin<br />
(ing’uesi), eng’orno, inkuruon, intona oo lkeek, eilata, modiok o nguesi,<br />
arashu ai toki neme isikitok arashu kule olkina le ng’otonye ake, neidim<br />
anoto inkidondani teleleki te nkoshoke. Naa ketum enkerai VVU naayim<br />
atua inkidondani aajing’ atua osarge lenkerai.<br />
Ore enkoitoi sapuk narrip embiotisho osesen lenkerai naa teneitanaki<br />
isikitok o kule e ng’otonye ake, nemeishori ai toki katukul, ometabaiki<br />
enkerai ilapatin ile (6). Ore pee eitabaya enkerai ilapatin ile (6) neidimayu<br />
pee enya enkerai inkulie daiki tenebo o kule olkina le ng’otonye. Kake<br />
tadamu ajo: ore erishata nanaku enkerai kule olkina le ng’otonye nenya<br />
inkulie daiki naa enkata torrono natumie enkerai VVU.<br />
Ore pee eyiolo enkitok ajo eitasuroki VVU nelo sipitali asioki pee etum<br />
eutakinoto enaiko teneitoti enkerai enye. Ore tenemeyiolo enkitok ajo<br />
eitasuroki arashu eitu eitasuri naa keidimayu pee eretoki enkerai enye<br />
tenesuj iutarot naijo kuna naasujo:<br />
• Teneisho enkerai isikitok o kule olkina lenye ake, ometabaiki<br />
enkerai ilapatin ile (6).<br />
• Tenebaki imueyiaritin oo lki arashu inkidondani naatii ilki aasioki.<br />
• Tenebaki inkindondani naatii enkutuk enkerai aasioki.<br />
• Teneasishore kondom te nkata pookin erepa (enkitiamakino) ena<br />
kata eitanakita enkerai olkina.<br />
MAA 48
Elimu ya kupima VVU<br />
Njia pekee ya kuweza kufahamu kama umeaambukizwa VVU ni kupima<br />
damu tu kwenye kliniki au hospitalini. Huwezi kufahamu kwa kuangalia<br />
mtu. Watu wengi wenye VVU huonakana wana afya na hawajui kama<br />
wameathirika kwani hawajapima hospitalini.<br />
VVU haina tiba kabisa. Mtu akiambukizwa VVU hakuna njia yoyote ya<br />
kutoa VVU mwilini. Lakini siku hizi dawa (ARVs) zinapatikana<br />
hospitalini zinazoweza kuongeza muda kutoka kuaambukizwa VVU hadi<br />
kuugua ukimwi.<br />
Watu wanaofahamu kuwa wameshaambukizwa VVU kabla ya kuugua<br />
magonjwa ya ukimwi kawaida huishi muda mrefu kuliko wale<br />
wanaofahamu baada ya kuugua. Kwa sababu hii, kupima na kufahamu ni<br />
muhimu na inaweza kukusaidia kuwa matumaini na kuongeza muda wa<br />
kuishi.<br />
Kama utaamua kupima damu kwa ihari utapata nafasi ya kuzumgumza<br />
pekee yako na daktari. Utapewa ushauri na daktari kusiana na VVU na<br />
vipimo vyako vya damu. Daktari hatatoa kwa mtu mwingine maelezo ya<br />
matokeo ya vipimo vyako.<br />
49 KISWAHILI
Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU<br />
Ore enkoitoi ake niyiolounye ajo kintasuroki VVU naa tenikitemi osarge<br />
te kiliniki arashu te sipitali. Miyiolo tening’or too nkonyek ake. <strong>Ed</strong>ol<br />
iltung’anak kumok eata iseseni nemeyiolo ajo eitasuroki tentiaraki eitu<br />
elo aatem osarge lenye te kiliniki arashu te sipitali.<br />
Imebaayu VVU katukul. Ore teneitasuri oltung’ani VVU nemeatai<br />
enkoitoi naidimi aitainye to sesen katukul. Kake ore oshi taata naa keetai<br />
ilkeek (ARVs) te sipitali likindim aataretoki aaponiki enkata pee<br />
kintasuri o pee ilotu amueyu ukimwi.<br />
Ore iltung’anak oo yiolou ajo eitasuroki VVU eton eitu emueyu<br />
imueyiaritin e ukimwi naa kebik alang’ lelo oo yiolou eidipa aatamuei.<br />
Ore tentiaraki ina, eisidai tenimpim osarge lino naa ekincho osiligi sapuk<br />
le nkata nibik inchu.<br />
Ore tenirruk aipim osarge lino makewon nitum eng’asiata nikirorie<br />
olkitarri aaiyie ake openy. Nikinkok olkitarri tenkipirta e VVU nikiliki<br />
enkipirta pookin entemata ino. Nemelikioo olkitarri inaanoto too<br />
ntemat inonok osarge.<br />
MAA 50
Elimu ya kupima VVU<br />
Faida ya kupima VVU ni nyingi, kwa mfano:<br />
1. Kufahamu kuwa hujaathirika VVU inakusaidia kubadili tabia na<br />
kuishi bila kuaambukizwa.<br />
2. Huwapa nafasi waathirika VVU kuchukuwa madawa (ARVs)<br />
kwenye hospitali ambazo zitaweza kusaidia kuongeza muda wa<br />
kuishi.<br />
3. Kufahamu kama umeshaathirika au hujaathirika VVU huondoa<br />
wasiwasi.<br />
4. Huwapa watu waliopanga kuowana matumaini makubwa.<br />
5. Huwapa watu waliopanga kuzaa watoto matumaini makubwa.<br />
6. Huwapa wanawake walioathirika VVU nafasi ya kuwakinga<br />
watoto wasiambukizwe VVU.<br />
51 KISWAHILI
Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU<br />
Ore iretokinot enkimoto e VVU naa eikumok, anaa:<br />
1. Teniyiolou ajo eitu kintasuri VVU naa ekiretoki pee imbelekeny<br />
olkuak pee ebik eitu kintasuri.<br />
2. Teniyiolou ajo kindipaki aitasuro VVU nitum erishata.<br />
ning’orunyie ilkeek (ARVs) likindim aatoponiki enkata nibik<br />
inchu.<br />
3. Teniyiolou ajo kindipaki aitasuro arashu eitu kintasuri VVU<br />
nikioru olturiaki.<br />
4. Keisho osiligi sapuk iltung’anak ooyieu neyama.<br />
5. Neisho osiligi sapuk iltung’anak ooyieu neiu inkera.<br />
6. Keisho eng’asiata inkituaak naaitasuroki VVU pee eibooyo<br />
enkitasuroto e VVU to nkera.<br />
MAA 52
Jinsi ya kuwasaidia walioathirika na VVU<br />
Watu wasiwe na hofu ya kuishi na waathirika. Kukaa pamoja siyo hatari.<br />
Njia pekee ya uwezekano wa VVU kuambukizwa kutoka mtu hadi mtu,<br />
ni kwa kupitia shahawa, majimaji ukeni, damu, au maziwa ya<br />
mwaathirika ikiingia kwenye damu ya mtu mwingine asiye na VVU.<br />
Msaada unaotolewa na familia na marafiki ya kuwatunza walioathirika ni<br />
muhimu kuwapa matumaini ili kuishi na afya njema na kuwakinga watu<br />
wasiambukizwe VVU. Mtu mwaathirika wa VVU anastahili kupendwa,<br />
kuheshimiwa na kutunzwa kama mtu mwengine yeyote aliye kwenye<br />
jamii anayeugua magonjwa mengine.<br />
53 KISWAHILI
Eninko pee iretoki iltung’anak oitasuruki VVU<br />
Miatata olturiaki tenitii nebo o ltung’anak oitasuroki. Ime entaboi<br />
tenitonini tenebo. Ore enkoitoi ake naidimayu pee eitasuroi VVU<br />
toltung’ani o ltung’ani naa te nkoitoi oo lkirat, enchalan enking’opi,<br />
osarge o kule olkina o ltung’ani oitasuroki tenejing’ osarge le olikai<br />
tung’ani lemeata VVU.<br />
Ore eretoto naishoru olmarei o ilchoreta le ramatata oo loitasuroki naa<br />
entoki etipat naisho osiligi lelo oitasuroki e supatisho oo seseni neibooyo<br />
kulikai tung’anak pee meitasuri VVU. Ore oltung’ani oitasuroki VVU<br />
naa keishaakino pee enyorri, neyanyiti, neramati anaa kulikai tung’anak<br />
pookin oota inkulie mueyiaritin.<br />
MAA 54
Jinsi ya kuishi na VVU<br />
Kuna njia nyingi zinazo saidia walioathirika kuongeza muda wa kuishi na<br />
afya njema, kwa mfano:<br />
1. Kujifunza kuhusu VVU na ukimwi.<br />
2. Kwenda hospitalini mara kwa mara kuzungumza na madaktari au<br />
watoa ushauri kuhusu VVU.<br />
3. Kutumia madawa ya hospitali (ARVs) zinazo saidia waathirika<br />
kuishi zaidi.<br />
4. Kutumia kondom kila tendo la ngono. Pia waathirika<br />
wanapojamiiana pamoja ni lazima kutumia kondom, kwa sababu<br />
kila mara wanapojamiiana bila kondom wanaweza kuambukizana<br />
tena na inaweza kupunguza muda wao wa kuishi.<br />
5. Kujipa matumaini na usiwe na hofu au wasiwasi.<br />
6. Kuendelea kushirikiana na familia na jamii.<br />
7. Kulinda mwili kwa kula vyakula bora kama matunda, mboga,<br />
nyama na maziwa, na kufanya mazoezi ya mwili.<br />
8. Kwenda hospitali au kliniki kila mara kutibiwa magonjwa<br />
mengine haraka.<br />
9. Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Uvutaji wa sigara ukiwa<br />
na VVU inaweza kudhoofisha afya yako kwa haraka. Ni heri<br />
kutovuta sigara.<br />
10. Unywaji wa pombe ni hatari kwa afya yako. Unywaji wa pombe<br />
ukiwa na VVU inaweza kudhoofisha afya yako kwa haraka. Ni<br />
heri kutokunywa pomba.<br />
11. Kutumia madawa ya kienyeji yanaweza kusaidia kutibu baadhi ya<br />
magonjwa ya ukimwi. Lakini uwe mwaangalifu kwa watu<br />
wanaodanganya kuwa wana madawa ya kutibu VVU kwa<br />
sababu mpaka sasa hakuna tiba kabisa.<br />
55 KISWAHILI
Eninko pee ibikoo iata VVU<br />
Ketii inkoitoi kumok naaretoki ilooitasuroki VVU pee eponari enkata<br />
nabik eishu naa supati iseseni, anaa:<br />
1. Tenetum eng’eno naipirta VVU o ukimwi.<br />
2. Tenelo sipitali too nkatitin ning’amarore ilkitarini olooikokisho<br />
tenkipirta e VVU.<br />
3. Teneijoo ilkeek le sipitali (ooji ARVs) oo retoki ilooitasuroki pee<br />
bikoo.<br />
4. Taasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino).<br />
Ore ilooitasuroki tenerepa (teneitiamakino) neishaakino pee<br />
esishore kondom, amu tenerepa (teneitiamakino) meata kondom<br />
naa keitoki aitasuro neponaa VVU too seseni neitodorrop enkata<br />
enkishui enye.<br />
5. Nitum osiligi nelo olturiaki nimintoki ang’asha.<br />
6. Niramatisho tenebo o lmarei lino o losho.<br />
7. Ninya indaiki naaret osesen, anaa teninya ilng’anayio, inkuyek,<br />
inkiri, kule, nias isiatin naashet osesen.<br />
8. Shomo kiliniki arashu sipitali enkata nimueyu inkulie mueyiaritin<br />
tesiokinoto.<br />
9. Ore eokoto osigara naa eitorrono te biotisho ino. Naa teniata<br />
VVU naa keidim osigara aitebertena osesen lino tesiokinoto. Naa<br />
keikash tenimiok osigara.<br />
10. Ore eokoto enaisho naa eitorrono te biotisho ino. Naa teniata<br />
VVU naa keidim enaisho aitebertena osesen lino tesiokinoto.<br />
Naa keikash tenimiok enaisho.<br />
11. Teniok ilkeek lentim keidimayu pee ebak imueyiaritin e ukimwi.<br />
Kake, teng’ena too ltung’anak ooleisho aajo keata ilkeek<br />
oishiunye VVU, amu ore o te ena kata metii olchani<br />
oishiunye pii VVU.<br />
MAA 56
Maswali na majibu<br />
Je, inawezekana kuambukizwa VVU kwa mwanaume kugusa<br />
kwenye uke kwa vidole<br />
Siyo rahisi kuambukizwa magonjwa ya ngono au VVU kwa njia hii, lakini<br />
inawezakana. Kwa mfano, kama mwanaume ana shahawa kwenye vidole<br />
na haraka sana akagusa kwenye uke. Pia kama ana kidonda au jeraha<br />
kwenye vidole inawezakana VVU kupitia.<br />
Je, VVU inawezekana kuambukizwa kwa kujamiiana sehemu ya<br />
haja kubwa<br />
Ndiyo. Ngozi ya ndani ya sehemu ya haja kubwa ni laini kuliko ngozi<br />
iliyo ndani ya uke, na kuwa rahisi kuchubuka wakati wa kujamiiana.<br />
Hivyo VVU inaweza kupitia kwenye jeraha na ni hatari kwa wenzi<br />
wawili. Watu wanaojamiiana sehemu ya haja kubwa lazima kutumia<br />
kondom.<br />
Je, VVU inawezekana kuambukizwa kama mwanaume<br />
akichomoa uume kabla ya kumwaga shahawa<br />
Ndiyo. Hii siyo njia salama ya kuepuka VVU au majonjwa mengine ya<br />
ngono. Kiasi kidogo ya shahawa inatoka kwenye uume kabla ya kumwaga<br />
shahawa. Na pia majimaji ya uke inaweza kuingia kwenye tundu la uume.<br />
Kondom tu ndiyo kinga imara ya VVU wakati ya kujamiiana.<br />
Je, VVU inawezekana kuambukizwa kwenye choo<br />
Hapana. VVU haiwezekani kuambukizwa kwenye choo.<br />
Kwanini kondom inaweza kupasuka<br />
Ukijifunza njia ya kutumia kondom kwa uhakika, siyo rahisi kupasuka<br />
wakati wa kujamiiana. Ni wakati tu kondom haijavaliwa sawasawa ndipo<br />
kondom inaweza kupasuka. Na ndiyo maana ni muhimu kufahamu jinsi<br />
ya kutumia kondom sawasawa.<br />
57 KISWAHILI
Inkikilikuanat o walat<br />
Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU tenishoroo olee enking’opi<br />
too lkimojik<br />
Melelek pee itasuri mueyiaritin erepa (enkitiamakino) arashu VVU tena<br />
oitoi, kake keidimayu. Anaa teneata olee ilkirat too lkimojik nesioki<br />
ashoroo enking’opi, arashu teneata eneya too lkimojik lenyenak naa<br />
keidimayu pee eyim VVU eneya.<br />
Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU tenikisokori<br />
Ee. Kebebek enchoni natii atua olkurum alang’u ena ti atua enking’opi,<br />
naa kelelek pee edoto tenikisokori. Keidim VVU ayima ina dototo naa<br />
entaboi too ltung’anak pokira oosokora. Keyieu iltung’anak oosokora,<br />
neesishore kondom.<br />
Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU teneshutu olee elewaisho<br />
eitu ikirr<br />
Ee. Ore ena neme enkoitoi nikintajeu te VVU o kulie mueyiaritin erepa<br />
(enkitiamakino). Ekeiter ilaiteteyia aapuku te lewaisho eton eitu ikirr.<br />
Naa keidim enchalan enking’opi atijing’a enaudoto elewaisho. Kondom<br />
ake enkibooroto e VVU enkata erepa (enkitiamakino).<br />
Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU te ngumoto napiki nkik<br />
(choo)<br />
A-a. Meidimayu pee kintasuri VVU te ngumoto napiki nkik.<br />
Kainyoo pee eidim kondom atadanyayu<br />
Teniyiolou ataasishore kondom te nkarriyiano, imelelek pee edanya<br />
kondom te nkata erepa (enkitiamakino). Enkata ake neitu eshopi esidai<br />
ina kata ake edanya. Naa ina pee eyieuni niyiolo eninko teniasishore<br />
kondom te nkarriyiano.<br />
MAA 58
Maswali na majibu<br />
Je, ni matatizo gani yanayoletwa na magonjwa ya ngono<br />
mwilini<br />
Magonjwa ya ngono yanaweza kusababisha matatizo ya muda au<br />
magonjwa sugu mwilini. Matatizo ya muda hujumuisha vidonda, jeraha,<br />
kuwashwa au maumivu ya sehemu za siri, kutokwa na usaha yenye harufu<br />
au inayo nata kwenye uume au uke, au kusikia maumivu wakati wa haja<br />
ndogo.<br />
Kama magonjwa ya ngono hayatatibiwa na madawa hospitalini yanaweza<br />
kuleta matatizo makubwa ambayo yatasababisha magonjwa kama kansa,<br />
ugonjwa wa moyo, kuumwa na macho, kuumwa na ubongo, kuumwa na<br />
mifupa, kuumwa na viungo vya mwili, na kutoa mimba. Pia yanaweza<br />
kuleta ugumba (kutopata watoto) na kuharibu kabisa kizazi cha<br />
mwanaume au cha mwanamke.<br />
Pia magonjwa ya ngono yanaweza kusababisha vidonda na jeraha ndani<br />
ya mwili na havionekani. Vidonda hivi vinaweza kusababisha maambukizi<br />
vya VVU wakati wa kujamiiana bila kutumia kondom.<br />
Je, naweza kuambukizwa VVU kama nitafanya mapenzi na mtu<br />
wa umri mdogo<br />
Ndiyo. Nafasi ya kuambukizwa hutegemea afya ya mwenzi wako na siyo<br />
umri wake. Kama mtu mwenye umri mdogo ameshaambukizwa VVU,<br />
unaweza kupata VVU unapojamiiana naye.<br />
Pia siyo vizuri kushawishi mtu wa umri mdogo kujamiiana naye. Mwili<br />
wake haupo tayari kwa kujamiiana na ni rahisi kuchibuka kwenye<br />
sehemu zake za siri. Madhara haya yanaleta nafasi kubwa ya<br />
kuambukizwa VVU.<br />
Je, ni kweli nitaondoa VVU mwilini nikijamiiana na bikira<br />
Hapana. Hiyo siyo kweli kabisa. Hamna namna yeyote ya kuondoa VVU<br />
mwilini. Ukiambukizwa VVU hukaa mwilini maishani.<br />
59 KISWAHILI
Inkikilikuanat o walat<br />
Amaa, kainyoo inyamalaritin naayau mueyiaritin erepa<br />
(enkitiamakino) to sesen<br />
Ore mueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa ekeidimayu pee eyau<br />
inyamalaritin naabik o nemebik to sesen. Ore inyamalaritin nemebik<br />
neitushulu ndotot, eneya, eng’ion o emion elewaisho o enking’opi arashu<br />
epuku inkimek o lng’usil torrono arashu erepirepi te lewaisho arashu te<br />
nking’opi arashu ining’ emion ena kata ilut.<br />
Ore teneitu ebaki imueyiaritin erepa (enkitiamakino) too lkeek le sipitali<br />
naa keidimayu pee eyau kulie mueyiaritin naijo kansa, engeeya oltau,<br />
entiroto o nkonyek, entiroto o lelukunya, entiroto o loik, entiroto o<br />
rubat, niaku enoo kibirot. Keidim peyau enkolupisho naa keer isapo oo<br />
lewa onoo lipong’a.<br />
Ore sii imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa keidimayu pee eyau<br />
endototo ti atua osesen nemelioo. Ore kuna dotot naa enkitasur VVU te<br />
nkata erepa (enkitiamakino) teneitu iasishore kondom.<br />
Amaa, keidimayu pee aitasuri VVU tenarepare (tenaitiamaki)<br />
oltung’ani oti<br />
Ee. Ore enkitasuroto naa embiotisho osesen eimu ime larin loltung’ani.<br />
Ore pee eidipaki aitasuro oltung’ani oti VVU naa keidimayu pee kintasur<br />
tenirepare (tenintiamaki).<br />
Ime toki tenisish oltung’ani oti pee irepare (intiamaki), amu ore osesen<br />
lenye neton eitu eaku olerepare (olenkitiamakino) eton ebebek naa<br />
kelelek pee edoto enking’opi o lkurum. Ore kuna dotot naa kebolu<br />
eng’asiata sapuk nikintasurieki VVU.<br />
Amaa, kesipa kashurtaa VVU to sesen tenarepare<br />
(tenaitiamaki) entito nemeudo<br />
A-a. Mesipata katukul. Metii enkarriyiano nintayunye VVU to sesen.<br />
Tenikintasuri VVU nebik to sesen intarasi.<br />
MAA 60
Wasiliana na <strong>Empuaan</strong><br />
Lengo la <strong>Empuaan</strong> ni kukusaidia kujikinga wewe mwenyewe, familia<br />
yako na jamii yako kuepukana na VVU na magonjwa mengine ya ngono.<br />
Ukiwa na maswali yoyote kuhusu VVU, UKIMWI, magonjwa ya ngono<br />
au maswali mengine kuhusu kitabu hiki, <strong>Empuaan</strong> itajaribu kwa juhudi<br />
kukujibu maswali yenu kwenye vitabu vingine vifuatavyo.<br />
Tafadhali uliza maswali yako kwa wazi na bila aibu, kwa kuandika mesej<br />
kwenye simu au kwenye barua pepe (email). Tafadhali andika swali lako<br />
kwa Kiswahili au Kiingereza tu. Siyo lazima kutuambia jina lako.<br />
Kujifunza kuhusu VVU, UKIMWI na magonjwa mengine ya ngono<br />
itakusaidia kujikinga wewe mwenyewe na wenzi wako.<br />
+ 255 785 958 431<br />
hello@empuaan.org<br />
Tunasikitika kwamba kwa sasa hatuna uwezo wa kuwajibu masali yenu<br />
binafsi.<br />
61 KISWAHILI
Tang’amai <strong>Empuaan</strong><br />
Ore induat <strong>Empuaan</strong> naa pee kiretoki iyie openy, olmarei lino o olosho<br />
lintipat pee eibooyo VVU o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />
Ore pee iata enkikilikuanata naipirta VVU, UKIMWI o mueyiaritin<br />
erepa (enkitiamakino) arashu kulikai omon oipirta ena buku, kenyok<br />
<strong>Empuaan</strong> awal inkikilikuanat inyi too mpala naasuju.<br />
Inkilikwanisho te wang’an nemiuresho ninger inkikilikuanat inono te<br />
nkoitoi esimu (mesej) arashu te email e komputa. Inkilikuwanu<br />
inkikilikuanat inono te Kiswahili o te Kingeresa ake. Mejo <strong>Empuaan</strong> pee<br />
inchoru enkarna ino.<br />
Teninteng’enuo VVU, UKIMWI o kulie mueyiaritin erepa<br />
(enkitiamakino) nirrip kewan nirrip olosho.<br />
+ 255 785 958 431<br />
hello@empuaan.org<br />
Entapaliki iyook amu eton mikiata engolon taata nikiolikinye intai maate<br />
inkikilikuanat inyi.<br />
MAA 62
Kitabu hiki hakiuzwi. Inapatikana bure kutoka <strong>Empuaan</strong>.<br />
Ore ena buku naa menamere. Ketumoyu pesho te <strong>Empuaan</strong>.<br />
Ore ena buku naa<br />
keretoki iyook oleng’<br />
maatayiolo VVU o<br />
ukimwi!<br />
Anasema ‘Kitabu<br />
hiki inatusaidia<br />
kuelewa VVU na<br />
ukimwi!’<br />
MAA 62