19.01.2015 Views

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

!<br />

<strong>Empuaan</strong><br />

Elimu ya VVU na ukimwi kwa Kiswahili na Kimaasai<br />

Enkiteng’ena e VVU 0 ukimwi te Kiswahili o te nkutuk oo l<strong>Maa</strong>sai<br />

<strong>Empuaan</strong> <strong>Book</strong> 1<br />

<strong>Ed</strong>ition <strong>1a</strong>, <strong>2013</strong>


Nembo nyekundu ya ukimwi inaonyesha kimataifa elimu ya VVU na<br />

ukimwi. Huvaliwa na watu duniani kote kwa kuonyesha msisizito jinsi ya<br />

kuushinda ukimwi. Watu wanaovaa nembo ya ukimwi wanaonyesha<br />

upendo na heshima kwa wale wote walioathirika na VVU. Nembo ya<br />

ukimwi HAIONYESHI kwamba mtu aliyevaa ameambukizwa au<br />

hajaambukizwa VVU.<br />

Ore ilo meshire onyokie le ukimwi eitodolu to nkuapi inchere<br />

enkiteng’ena e VVU o ukimwi. Nepikai iltung’anak l’enkop pooki pee<br />

eitodolu isojarot enkoitoi naa mirie ukimwi. Ore iltung’anak oishop ilo<br />

meshire onyokie neitodolu enyorrata e nkanyit te lelo oidipaki aitasuro<br />

VVU. Ore ilo meshire NEMEITODOLU inchere ore ilo oshopito eitu<br />

etasuri arashu eitasuroki VVU.


<strong>Empuaan</strong><br />

Elimu ya VVU na ukimwi kwa Kiswahili na Kimaasai<br />

Enkiteng’ena e VVU 0 ukimwi te Kiswahili o te nkutuk oo l<strong>Maa</strong>sai<br />

<strong>Empuaan</strong> ni shirika lisilo la serikali (NGO) lenye madhumuni ya<br />

kuushinda VVU na ukimwi na magonjwa ya ngono mengine ndani ya<br />

jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai na jamii nyingine katika Tanzania na Kenya.<br />

<strong>Empuaan</strong> naa olturrur leme oleserikali (NGO) oata induat naa mirie<br />

VVU o ukimwi o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino) ti atua olosho<br />

le <strong>Maa</strong> o kulekai oreren te Tanzania o Kenya.<br />

<strong>Empuaan</strong> is registered as a UK charity limited by guarantee<br />

Charity Number: 1125175<br />

Limited Company Number: 6345917<br />

hello@empuaan.org


Yaliyomo<br />

Kuhusu kitabu hiki ........................................................................................ 1<br />

Lakini tunapata hofu kujadili juu ya VVU, ukimwi, ngono salama, na<br />

kondom .......................................................................................................... 3<br />

Magonjwa wa ngono ...................................................................................... 5<br />

VVU na ukimwi ............................................................................................ 7<br />

<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU .................................................................................... 9<br />

Huwezi kuambukizwa VVU kwa ... ......................................................... 11<br />

<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU wakati wa kujamiiana ............................................. 13<br />

Jinsi ya kupunguza uenezaji wa VVU wakati wa kujamiiana ................... 15<br />

Elimu ya ngono salama ................................................................................ 17<br />

Elimu ya kondom ........................................................................................ 19<br />

Je, naweza kupata watoto nikitumia kondom ......................................... 21<br />

Jinsi ya kutumia kondom ..................................................................... 23 - 25<br />

Elimu zingine kuhusu kondom .................................................................. 27<br />

Ukweli kuhusu kondom .............................................................................. 29<br />

Elimu ya kondom ya kike ............................................................................ 31<br />

Jinsi ya kutumia kondom ya kike ......................................................... 33 - 35<br />

Jinsi ya kutupa kondom baada ya matumizi .............................................. 37<br />

Upatikanaji wa kondom kwa jamii ............................................................. 39<br />

<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kupitia kwenye damu ............................................. 41<br />

<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ................ 43<br />

Jinsi ya kumkinga mtoto akiwa tumboni na wakati wa kujifungua ........ 45<br />

Jinsi ya kumkinga mtoto wakati wa kunyonyesha ................................... 47<br />

Elimu ya kupima VVU ........................................................................ 49 - 51<br />

Jinsi ya kuwasaidia walioathirika naVVU ................................................. 53<br />

Jinsi ya kuishi na VVU ................................................................................ 55<br />

Maswali na majibu ................................................................................ 57 - 59<br />

Wasiliana na <strong>Empuaan</strong> .................................................................................<br />

61<br />

KISWAHILI


Inaatii ena buku<br />

Enkipirta ena buku ....................................................................................... 2<br />

Ekiata olturiaki tenikeimaki VVU, ukimwi, erepa (enkitiamakino)<br />

naserian, o kondom ....................................................................................... 4<br />

Imueyiaritin erepa (enkitiamakino) ............................................................ 6<br />

VVU o ukimwi .............................................................................................. 8<br />

Enkitasuroto e VVU ................................................................................... 10<br />

Metasuroi VVU te ... ................................................................................. 12<br />

Enkitasuroto e VVU te nkata erepa (enkitiamakino) .............................. 14<br />

Enkoitoi naitaa kiti enkitasuroto e VVU te nkata erepa ........................ 16<br />

Enkiteng’ena erepa (enkitiamakino) naserian ........................................... 18<br />

Enkiteng’ena e kondom .............................................................................. 20<br />

Amaa, kaidim anoto inkera tenaasishore kondom .................................. 22<br />

Eninko teniaasishore kondom ............................................................ 24 - 26<br />

Kulie kiteng’enat nairpirta kondom ......................................................... 28<br />

Esipata naipirta kondom ........................................................................... 30<br />

Enkiteng’ena e kondom oo ntoyie o nkituaak .......................................... 32<br />

Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o nkituaak ........................ 34 - 36<br />

Enkoitoi naserian nenang’arie kondom indipa ataasishore ..................... 38<br />

Eneiko olosho pee etum kondom ............................................................. 40<br />

Enkitasuroto e VVU to sarge .................................................................... 42<br />

Eneiko ng’otonye teneitasur enkerai enye VVU ..................................... 44<br />

Enkoitoi narrip enkerai te nkoshoke o ena kata eini .............................. 46<br />

Enkoitoi narrip enkerai eitanaketai olkina ............................................... 48<br />

Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU .................................... 50 - 52<br />

Eninko pee iretoki iltung’anak oitasuroki VVU ...................................... 54<br />

Eninko pee ibikoo iata VVU ...................................................................... 56<br />

Inkikilikuanat o walat ......................................................................... 58 - 60<br />

Tang’amai <strong>Empuaan</strong> ..................................................................................... 62<br />

MAA


Kuhusu kitabu hiki<br />

Kitabu hiki kinahusu VVU, ukimwi na magonjwa ya ngono mengine.<br />

Kitabu hiki kimeandikwa kwa manufaa ya jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai kwa makazi<br />

yao yote iwe Tanzania na Kenya vilevile na manufaa kwa watu wengine<br />

wanoishi Tanzania na Kenya.<br />

Kitabu hiki imeandikwa na shirika lisilo la serikali (NGO) <strong>Empuaan</strong>.<br />

<strong>Empuaan</strong> ina lengo hili tu: kuheshimu wenyeji, matakwa na desturi yao,<br />

kuzuia magonjwa ya ngono ikiwemo VVU/ukimwi, na kulinda afya na<br />

maisha mema.<br />

Afya njema ni muhimu kwa kila mtu. Kwa sababu hii ni muhimu kila<br />

moja ndani ya jamii kufahamu juu ya VVU na ukimwi. Soma kitabu hiki<br />

wewe mwenyewe, halafu soma kwa sauti ili asie elewa kusoma aweze<br />

kusikia. Jadilini kuhusu ujumbe wa kitabu hiki na marafiki, familia yako,<br />

rika yako na jamii kwa ujumla. Kwa pamoja tutashinda VVU/ukimwi na<br />

magonjwa ya ngono zingine.<br />

Chapa ya kwanza A <strong>2013</strong><br />

1 KISWAHILI!


Enkipirta ena buku<br />

Ore enkipirta ena buku naa pee eitalala elikioroto e VVU o ukimwi o<br />

kulie mueyiaritin naipirta erepa (enkitiamakino). Neteseraki sii pee<br />

eretoki olosho loo l<strong>Maa</strong>sai le Tanzania o leKenya. Neretoki sii kulikai<br />

oreren ootii Tanzania o Kenya.<br />

Ore ena buku naa olturrur leme oleserikali (NGO) <strong>Empuaan</strong> otisira. Ore<br />

induat <strong>Empuaan</strong> naa kuna ake: eyanyit olosho o eyieunot enye, olkuak<br />

lenye, neretoki autaki enkibooroto oo mueyiaritin erepa (enkitiamakino)<br />

o VVU/ukimwi, nerrip embiotisho oo seseni o enkishui enye.<br />

Ore embiotisho osesen naa entoki etipat to pooki ng’ai. Ore tentiaraki<br />

entoki etipat, keshiakino iltung’anak pookin peeyiolo VVU o ukimwi.<br />

Isoma ena buku openy nisipu iyieunot enyana, nisom to ltoilo sapuk pee<br />

ening’ neyiolou olemeyiolo aisoma. Eyimaki enkipirta ele omoni lena<br />

buku olchoreta, olporror lino, olmarei linyi, nitadaraa pee ening’ olosho<br />

pookin. Ore tenaboisho nikiyiolou inikinko tenikimbooyo VVU/ukimwi<br />

o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />

Osirata le dukuya A <strong>2013</strong><br />

MAA 2!


Lakini tunapata hofu kujadili juu ya VVU,<br />

ukimwi, ngono salama, na kondom<br />

Watu wenye elimu na maarifa kuhusu VVU/ukimwi na magonjwa<br />

mengine ya ngono wanaweza kujikinga wao wenyewe na familia<br />

kuhusiana na mambukizi. Kwa sababu hii ni muhimu kujifunza na<br />

kujadili kwa uwazi juu ya VVU/ukimwi, ngono salama na kondom kwani<br />

tunaweza kuushinda.<br />

Watu wengi wanapata hofu wanapoanza kujadili kuhusu VVU/ukimwi,<br />

ngono salama na kondom. Vilevile inakuwa vigumu unapoanza kufanya<br />

jambo lolote na baadaye ikizoeleka inakuwa rahisi. Wa<strong>Maa</strong>sai wamekuwa<br />

na uwezo wa kupokea mfumo mpya wa maisha na kubadili tabia zao.<br />

Miaka michache iliopita wa<strong>Maa</strong>sai wachache walitumia simu, lakini kwa<br />

sasa wengi wetu wanatumia muda wote! Kubadilika kwa mfumo mpya wa<br />

maisha ni kitu cha kawaida kwa wa<strong>Maa</strong>sai muda wote. Kwa siku hizi ni<br />

lazima tubadili tabia zetu ili kujikinga na VVU/ukimwi.<br />

Njia ya kuushinda VVU/ukimwi kwa sasa inaeleweka. Jamii iliyopata<br />

maarifa na kubadilisha tabia wameweza kukinga maambukizi mengi na<br />

kupunguza matatizo ya ukimwi. Wakati ule ule jamii iliyokiuka maarifa<br />

na kukataa kujadili au kubadilisha tabia wengi wao wamepoteza maisha<br />

na wamepata matatizo mengi ya ukimwi.<br />

Kama hatutaanza kujadili kuhusu mambo haya na kujifunza namna ya<br />

kujikinga wenyewe inawezekana kuwa watu wa makabila mengine<br />

watakuja kuelezea historia inaanza, “Hapo zama za kale kulikuwa na kabila<br />

lililoitwa wa<strong>Maa</strong>sai”.<br />

Tukijifunza kuhusu VVU/ukimwi, ngono salama, na kondom tunaweza<br />

kujifunza namna ya kujikinga wenyewe, familia zetu pamoja na jamii yetu<br />

kwa ujumla. Na tutaweza kuwasaidia na wale wenzetu walioathirika.<br />

3 KISWAHILI


Ekiata olturiaki tenikeimaki VVU, ukimwi,<br />

erepa (enkitiamakino) naserian, o kondom<br />

Ore iltung’anak oonoto eng’eno netum enkarriyiano e VVU/ukimwi o<br />

nkulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino) neyiolou eneiko teneibooyo<br />

enkitasuroto openy, olmarei lenye. Ore teina sipata naa keishaakino pee<br />

inteng’enuonuo neimakiki aibalunye empikata e VVU o ukimwi, erepa<br />

(enkitiamakino) naserian o kondom amu ina kata ake kiindim aatimirr.<br />

Keata iltung’anak kumok olturiaki teneiteru aayimaki VVU/ukimwi,<br />

erepa (enkitiamakino) naserian o kondom. Naa kegol sii teninteru aas<br />

entoki, kake ore pee imoku neleleku. Etaa keata l<strong>Maa</strong>sai enkidimata<br />

nang’amunye inkebelekenyat ng’ejuko enkishon neibelekeny ilkuaki<br />

lenye. Ore to larin kute otulusoitie naa il<strong>Maa</strong>sai kuti oata isimui, kake<br />

ore taata naa ilkumok lang’ oosishore too nkatitin pookin! Ore<br />

enkibelekenyata ng’ejuk enkishon too l<strong>Maa</strong>sai naa entoki neme omoni ti<br />

atua il<strong>Maa</strong>sai. Ore te kuna olong’i naa kishaakino pee kimbelekeny<br />

ilkuaki lang’ pee kirrip ate te VVU/ukimwi.<br />

Etayioloki tena kata enkoitoi namirieki VVU/ukimwi. Ore olosho onoto<br />

enkarriyiano neiruk aibelekeny olkuak naa keidimayu pee ebooyo<br />

inkitasurot neitaa kuti inyamalaritin e ukimwi. Ore ena kata ake olosho<br />

otanya enkarriyiano, neeny eigwanare aibelekeny olkuak lenye neiturratie<br />

engumoi enkishui oloonoto inyamalaritin kumok e ukimwi.<br />

Tenimikinteru aigwanare enkipirta ena taboi e ukimwi nimiking’oro<br />

enkarriyiano nikimboorie openy naa keidimayu pee kiaku olosho oponu<br />

kulikai oshon ainosaa aajo, “Ore ti apa neatai olosho oji il<strong>Maa</strong>sai”.<br />

Tenikiyiolou enkipirta e VVU/ukimwi, erepa (enkitiamakino) naserian, o<br />

kondom, naa eikiyiolou enikinko pee kimbooyo enkitasuroto openy,<br />

neyiolou ilmarei lang’, neyiolou olosho pookin. Naa ekiyiolou enikinko<br />

tenikiretoki iltung’anak oidipaki aitasuro.<br />

MAA 4


Magonjwa ya ngono<br />

Magonjwa ya ngono yanaweza kuambukizwa kwa jinsia zote kwa njia ya<br />

kujamiiana.<br />

Magonjwa ya ngono yanaweza kuwa na dalili mbaya, huzuinisha na<br />

isiyoridhisha. Lakini tatizo kubwa kwa magonjwa haya ni kwamba mara<br />

nyingi hayaonyeshi dalili kabisa. Kwa maana hii unaweza kuwa na<br />

maambukizo bila kujua. Kwa hiyo unaweza kuambukizwa na<br />

kuwaambukiza watu wengine, bila kufahamu.<br />

Kama magonjwa ya ngono hayatatibiwa na madawa hospitalini yanaweza<br />

kuleta matatizo makubwa ambayo yatasababisha magonjwa kama kansa,<br />

ugonjwa wa moyo, kuumwa na macho, kuumwa na ubongo, kuumwa na<br />

mifupa, kuumwa na viungo vya mwili, na kutoa mimba. Pia yanaweza<br />

kuleta ugumba (kutopata watoto) na kuharibu kabisa kizazi cha<br />

mwanaume au cha mwanamke.<br />

Kama una ugonjwa ya ngono, au mwenzi wako anayo, ni muhimu kutibiwa<br />

haraka kliniki au hospitalini. Na wale uliojamiiana nao labda<br />

umeshawaambukiza na wasione dalili zozote. Na pia ni muhimu kuwaeleza<br />

wale uliojamiiana nao kuwa umeathirika ili wapate matibabu haraka.<br />

Kama wenzi wako hawakupata matibabu haraka wanaweza<br />

kupata matatizo makubwa kiafya, wanaweza kuambukiza<br />

watu wengine, na wanaweza kukuambukiza wewe tena.<br />

5 KISWAHILI


Imueyiaritin erepa (enkitiamakino)<br />

Keitasuroi imueyiaritin erepa (enkitiamakino) ena kata erepa<br />

(eitiamakino) ilipong’a o lewa naa keitasur elipong’ olee neitasur olee<br />

elipong’.<br />

Ore imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa keiya neata ilbulabul torrok,<br />

nemeitishipisho. neituresho. Kake ore enyamali sapuk ekuna mueyiaritin<br />

to nkatatin kumok naa imeitodolu ilbulabul tukul. Naa indim aitasurisho<br />

iltung’anak kumok arashu kintasuri miyiolo.<br />

Ore teneitu ebaki imueyiaritin erepa (enkitiamakino) too lkeek le sipitali<br />

naa keidimayu pee eyau kulie mueyiaritin naijo kansa, engeeya oltau,<br />

entiroto o nkonyek, entiroto o lelukunya, entiroto o loik, entiroto o<br />

rubat, niaku enoo kibirot. Keidim peyau enkolupisho naa keer isapo oo<br />

lewa onoo lipong’a.<br />

Teniata iyie emueyian erepa (enkitiamakino), o teneata olang’ata lino<br />

arashu teneata elang’ata ino tasioi mikitabaki te kiliniki arashu te sipitali.<br />

Imaniki indipa aitasuro iltung’anak literepare (lintiamaka) nemiata<br />

ilbulabul oitoldolu. Kishaakino pee iliki lelo lindipa aterepare (aitiamaki)<br />

ajoki kaata emuyian pee esioyo metabaki.<br />

Teneitu esioyo olang’ata arashu elang’ata ino (arashu<br />

olpayian lino arashu enkitok ino) embaata<br />

keidimayu peetum enyamali sapuk embiotisho oo<br />

seseni naa keitasur ilkulikai tung’anak neidimayu<br />

pee kingili aitasur iyie.<br />

MAA 6


VVU na ukimwi<br />

Ukimwi ni ugonjwa hatari ya ngono. Inasabibishwa na virusi viitwavyo<br />

VVU. VVU inamaana ya ‘virusi vya ukimwi’ (VVU). Virusi hivi hudhuru<br />

mwili polepole na baadaye mwili hushindwa kupambana na magonjwa<br />

mengine. Mwishoni mtu anaweza kufa kwa ajili ya magonjwa<br />

yanayosababbishwa na VVU.<br />

Mtu akiambukizwa anaweza kuchukuwa muda mrefu bila kuelewa<br />

kwamba VVU ipo kwenye mwili wake. VVU ipo kwenye shahawa,<br />

majimaji ukeni, damu na maziwa ya mama aliyeambukizwa. Huwezi<br />

kuelewa kuwa mtu ana VVU mwilini kwa kuangalia kwa macho tu. Njia<br />

pekee ya kuelewa kuwa mtu ameshaambukizwa VVU ni kupima damu<br />

kwenye kliniki au hospitalini.<br />

Ukimwi inamaana kwamba ‘upungufu wa kinga mwilini’. Ukimwi ni<br />

matokeo ya mwisho wa mwili kushindwa kukinga magonjwa. Wa<strong>Maa</strong>sai<br />

hutumia jina ‘biitia’ kama ukimwi. Ni vizuri zaidi kutumia jina ukimwi<br />

kwani bittia ni jina la zamani lakini ukimwi ni ugonjwa mpya (ukimwi<br />

imegundukika 1981).<br />

Kwa sababu watu wengi hawajui kwamba wameshaambukizwa, au wenzi<br />

wao wameambukizwa, hawaendi kupima na hawajikingi wao wenyewe<br />

wala kuwakinga wenzao. Ina maana kwamba mtu anaweza kuambukiza<br />

watu wengi kabla dalili yake kuonekana.<br />

Hakuna tiba wala chanjo ya VVU. Mtu aliye na VVU, virusi vitakaa<br />

mwilini maishani. Siku hizi kuna madawa (ARVs) hospitalini yanayoweza<br />

kupunguza makali ya VVU mwilini na kusaidia kuongeza muda kutoka<br />

kuambukizwa VVU hadi kuwa na dalili ya kuumwa. Lakini madawa haya<br />

hayatibu VVU moja kwa moja. Ni muhimu kukumbuka kuwa VVU ni<br />

virusi hatari sana na inasabibisha matatizo makubwa.<br />

7 KISWAHILI


VVU o ukimwi<br />

Ore ukimwi naa emueyain torrono oleng’, nashurtakinoi tenerepai<br />

(teneitiamakinoi). Neji inashurtakinoto ‘virusi vya ukimwi’ (VVU). Ore<br />

VVU nenya osesen maakutitik ometalakinoyu osesen aibooi inkulie<br />

imueyiaritin. Ore tenkiting’oto neidim oltung’ani atua tentiaraki<br />

etalaikine osesen ataarare (aibooi) imueyiaritin naayau VVU.<br />

Ore oltung’ani pee eitasuri neya ereshata naado eitu eyiolou ajo<br />

eitasuroki arashu keata ti atua osesen. Ore VVU naa ilkirat ejing’,<br />

enchalan natii eneishore elipong’, osarge, o kule olkina elipong’<br />

naitasuroki. Nemeidimayu pee ing’or oltung’ani too ngonyek nijurru ajo<br />

keata VVU. Ore enkoitoi nasipa niyiolounye ajo eitasuroki oltung’ani<br />

VVU naa tenelo oltung’ani aipim (aatem) osarge te kiliniki arashu te<br />

sipitali.<br />

Ore ena arna najo ukimwi naa ‘upungufu wa kinga mwilini’ (eng’oroto<br />

naiboorie osesen imueyiaritin). Ore ukimwi naa emwa nabayie osesen<br />

nalaikinore aibooi imueyiaritin. Ore ti atua il<strong>Maa</strong>sai naa keji ukimwi<br />

‘biitia’ nemesipa amu ore biitia enkarna musana ore ukimwi naa<br />

emueyian ng’ejuk (1981 etujuruki ukimwi).<br />

Ore tentiaraki imeyiolo iltung’anak kumok aajo eidipaki aitasuro arashu<br />

meyiolo olang’ata lino arashu eleng’ata ino aajo eitasurote neme puo<br />

aatem osarge lenye te sipitali nemeibooyo pee meitasur ilkulikai, keidim<br />

oltung’ani aitasuro ilkulikai kumok eton melio ilbulabul le mueyian.<br />

Metii embaata arashu arng’amata oishiunye VVU, ore oltung’ani oata<br />

VVU nebikie ina mueyian o metua. Ore tena kata nenotoki ilkeek<br />

(ARVs) te sipitali oidim aatoponai enkata enkishui enaa pee kintasuri<br />

VVU neitong’orr engolon e VVU ti atua osesen. Metabaki enkata<br />

nimuoyunye. Kake meishiunye kulo keek VVU katukul. Entadamu aajo<br />

ore VVU naa engeeya torrono naayau inyamalaritin sapukin to sesen.<br />

MAA 8


<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU<br />

VVU huishi kwenye mwili wa mtu aliyeambukizwa. Virusi huishi kwenye<br />

majimaji yaliyoko kwenye:<br />

1. Shahawa<br />

2. Majimaji ukeni<br />

3. Damu<br />

4. Maziwa ya mama<br />

Kwa hiyo shahawa, majimaji ukeni, damu na maziwa ya mama ni<br />

hatari kuambukiza VVU.<br />

Majimaji mengine mwilini kama mate, machozi, jasho na mkojo havina<br />

virusi vingi vinavyoweza kuambukiza. Kwa hiyo mate, machozi, jasho na<br />

mkojo siyo hatari kwa kuambukiza VVU.<br />

Njia pekee ya kuambukiza VVU ni kutoka kwenye shahawa, majimaji<br />

ukeni, damu au maziwa ya mama ameshaambukizwa na kuingia kwenye<br />

damu ya mtu mwengine.<br />

Njia zifuatazo zinaambukiza VVU:<br />

1. Kujamiiana na mtu mwenye VVU bila kutumia kondom.<br />

Kujamiiana bila kondom ni njia kuu ya kuambukizwa<br />

VVU.<br />

2. Kushirikiana sindano, wembe, visu vya kukata mwili, mswaki na<br />

vyombo vingine vinavyoweza kuwa na damu yenye VVU.<br />

3. Mwanamke anaweza kuambukiza mtoto wake akiwa tumboni,<br />

wakati wa kujifungua au wakati wa kunyonyesha.<br />

9 KISWAHILI


Enkitasuroto e VVU<br />

Kebik VVU ti atua osesen loltung’ani oitasuroki, naa ore VVU naa atua<br />

enchalan ti atua osesen ejing’, anaa:<br />

1. Ilkirat<br />

2. Enchalan enking’opi<br />

3. Osarge<br />

4. Kule olkina<br />

Neaku ore ilkirat, enchalan enking’opi, osarge, o kule olkina,<br />

naa ninche eimu enkitasuroto entaboi sapuk e VVU.<br />

Ore engai chalan o sesen naijo inkamulak, ilkiyio, inkulak, o<br />

enkinyinyiret nemeata enkidimata naitasurisho VVU.<br />

Ore ilkirat, enchalan enking’opi, osarge o kule olkina loltung’ani<br />

oitasuroki, ninche ake enkoitoi najing’ e VVU atua osarge lelikai tung’ani<br />

pee eitasuroi.<br />

Kuna oitoi naitasurisho VVU:<br />

1. Tenirepare (tenintiamaki) oltung’ani oitasuroki VVU eitu ipika<br />

kondom. Ore erepa (enkitiamakino) meishopitoi kondom<br />

naa enkoitoi sapuk naitasurisho VVU.<br />

2. Eng’arare o sintano, eyembe, enkalem, olmorunya natudung’ieki<br />

osesen meimu osarge, enkike o kulie tokitin naidimayu pee etii<br />

osarge.<br />

3. Keidim enkitok aitosuro enkerai enye etii enkoshoke, enkata eini<br />

enkata nanakita olkina.<br />

MAA 10


Huwezi kuambukizwa VVU kwa ...<br />

Huwezi kuambukizwa VVU kwa:<br />

• Kubusu<br />

• Kugusana<br />

• Kukumbatiana<br />

• Kushikana mikono<br />

• Kutumia vijiko au vikombe<br />

• Kwa ukohoaji au chafya ya mtu mwingine<br />

• Kutumia choo kimoja<br />

• Kuumwa na wadudu au wanyama<br />

• Kula na kunywa pamoja na wenye VVU<br />

• Kufanya vitu vyovyote ambavyo haviruhusu shahawa, majimaji<br />

ukeni, damu au maziwa ya mama mwathirika kuingia kwenye<br />

damu ya mtu mwengine asiye na VVU<br />

Huwezi kupata VVU kwa kunywa pamoja. Lakini, unywaji wa pombe<br />

inaweza kukushawishi katika njia za maambukizi, kama vile: kujamiiana<br />

na watu wengi, kujamiiana bila kondom, au kukosea kutumia kondom<br />

kwa uhakika kabla ya kujamiiana.<br />

11 KISWAHILI


Metasuroi VVU te ...<br />

Metasuroi VVU te:<br />

• Tening’utut oltung’ani<br />

• Tenishoroo oltung’ani<br />

• Tenirrapunono (enkibong’a oseseni loltung’ani)<br />

• Tenirorokinono too nkaik<br />

• Tening’aring’ara enkijiko, enkiyai<br />

• Tenkirroket arashu enkasing’i elikai tung’ani<br />

• Tening’aring’ara engumoto o nkik (choo)<br />

• Tenikiony enkojong’ani, olotoroi, engoongoni, olkedikedi o kulie<br />

pookin arashu tenikiony osikiria, oldia, empuus o kulie ng’uesi<br />

• Teninyanya endaa o teniokishosho tenebo oltung’ani oota VVU<br />

• Tenias inkulie tokitin pookin nemeisho ilkirat, enchalan<br />

enking’opi, osarge arashu kule olkina le enkitok naitasuroki o<br />

sarge lenye metijing’a osarge loltung’ani lemeata VVU<br />

Meshurtakinoi VVU te teniokishosho tenebo pokira. Kake, ore eokoto<br />

enaisho naa ekisishoki enkoitoi enkitasuroto e VVU, anaa kuna: erepa<br />

(enkitiamakino) oltung’anak kumok, erepa (enkitiamakino) metii<br />

kondom, teninyalakino enkishopoto e kondom eng’or erepa<br />

(enkitiamakino).<br />

MAA 12


<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU wakati wa kujamiiana<br />

Kujamiiana bila kutumia kondom ni njia kuu ya kuambukizwa<br />

VVU.<br />

Ngozi iliyopo ndani ya uke na ngozi iliyo kwenye tundu la uume, na pia<br />

ngozi iliyo ndani ya sehemu ya haja kubwa ya mtu huwa ni laini sana na<br />

kwa hiyo VVU inaweza kuambukizwa kwa urahisi kutoka mtu mmoja<br />

hadi mwengine wakati wa kujamiiana.<br />

Kama mmoja wa wenzi anayo ugonjwa wa ngono, kwa mfano kaswende,<br />

kisonono o mkanda wa jeshi hata kama hajui anayo, inawezakana kuwa<br />

na vijeraha au vidonda ndani ya sehemu zake za siri. Kwa hiyo VVU<br />

inaweza kutoka kwa mwenzi mmoja kwenda kwa mwengine kwa urahisi.<br />

Kama wewe mwenyewe unayo ugonjwa wa ngono (kama kaswende au<br />

kisonono) au kama mwenzi mmoja wako anayo, ni muhimu kupata<br />

matibabu kliniki au hospitalini haraka sana.<br />

Mtu yeyote anayejamiiana bila kutumia kondom anaweza kupata VVU:<br />

tajiri, maskini, <strong>Maa</strong>sai, Msonjo, Mzungu, mtoto, mzee, mwanaume,<br />

mwanamke, hata wewe. Mtu yeyote anaweza kuambukizwa VVU.<br />

13 KISWAHILI


Enkitasuroto e VVU te nkata erepa<br />

(enkitiamakino)<br />

Ore erepa (enkitiamakino) meishopitoi kondom naa enkoitoi<br />

sapuk naitasurisho VVU.<br />

Ore enchoni natii atua enking’opi e natii atua ena udoto elewaisho ena<br />

atii atua olkurum naa kebebek oleng’ naa neija eko VVU pee eitasur<br />

oltung’ani olekai te nkata erepa (enkitiamakino).<br />

Teneata olee arashu elipong’ emueyian erepa (enkitiamakino), anaa olbae<br />

(osupetai), emirika (embirtirr) o engirmishir, o tenemeyiolo ajo keata,<br />

keidimayu pee eata endototo ti atua enking’opi arashu ti atua elewaisho<br />

o ti atua olkurum. Neaku keidim olee arashu elipong’ aitasuroto VVU<br />

teleleki. Ore teneata olang’ata lino elang’ata ino (arashu olpayian lino o<br />

enkitok ino) naa keishaakino pee ebaiki tesiokinoto te kiliniki arashu te<br />

sipitali.<br />

Ore oltung’ani pookin orepare (oitiamaki) olikai meishopito kondom<br />

keidim anoto VVU: olkarsis, olaisinani, ol<strong>Maa</strong>sani, oSonjoi, olashumpai,<br />

enkerai, olmoruo, olee, enkitok, ore o iyie. Keidimayu oltung’ani<br />

pookin pee etasuri VVU.<br />

MAA 14


Jinsi ya kupunguza uenezaji wa VVU wakati<br />

wa kujamiiana<br />

Kuwa na wenzi wengi (au mwenzi wako kuwa na wenzi wengi) ni hatari<br />

kubwa ya kujamiiana na mtu aliyekwishaambukizwa VVU. Ukipunguza<br />

idadi ya mwenzi ndivyo unavyo punguza urahisi wako wa kujamiiana na<br />

mtu mwenye VVU.<br />

Kama wewe au mwenzi wako anayo kidonda kwenye sehemu zake za siri,<br />

au ugonjwa wa ngono, VVU inaweza kuambukizwa kwa urahisi wakati<br />

wa kujamiiana. Usifanye mapenzi (kujamiiana) wakati wewe au mwenzi<br />

wako ana kidonda au ugonjwa wa ngono. Ukifahamu kuwa unayo, nenda<br />

kwa daktari upate matibabu haraka na usubiri upone kabisa ndipo uanze<br />

kujamiiana.<br />

Kama una mwenzi mmoja tu, na mnajamiiana wawili bila mtu mwengine<br />

(kuaminiana), na wote wawili hamna VVU, hamwezi kupata VVU<br />

mnapojamiiana pamoja.<br />

Kama mume na wake zake wote wanajamiiana, na hakuna anaye jamiiana<br />

na mtu mwingine wa nje, na hakuna mwenye VVU, hawataweza kupata<br />

VVU wanapojamiiana pamoja.<br />

Njia salama sana ya kushinda maambukizi ya VVU ni kujamiiana na mtu<br />

mmoja tu: mume au mke wako. Kama mume ana wake zaidi ya mmoja na<br />

wote wanaishi bila VVU na kujamiiana wenyewe tu, hawataambukizwa<br />

VVU wasipojamiiana na mtu yeyote wa nje.<br />

Ukiamua kujamiiana na watu zaidi ya mmoja unaweza kujikinga<br />

wewe mwenyewe na wenzi wako kwa kufanya ngono salama kila<br />

tendo la ngono. Angalia kurasa 17 ‘Elimu ya ngono salama’.<br />

15 KISWAHILI


Enkoitoi naitaa kiti enkitasuroto e VVU<br />

enkata erepa (enkitiamakino)<br />

Ore pee erepap (enkitiamakino) iltung’anak kumok (arashu eata<br />

eleng’ata ino ilang’at, o eata olpayian lino arashu enkitok ino) ilang’at<br />

kumok, naa enkoitoi sapuk te nkata erepa (enkitiamakino) to ltung’ani<br />

oatasuroki VVU. Naa ore sii tenintaa kiti lang’atisho naa keitong’orr<br />

enkata enkitasuroto te erepa (enkitiamakino) oltung’ani oata VVU.<br />

Teniata endototo te lewaisho arashu te nking’opi (olpayian lino arashu<br />

enkitok ino) o teniata kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino), merepapa<br />

(mintiamakinono) te nkata nitoduaa ajo eata ndotot arashu mueyiaritin<br />

erepa (enkitiamakino), ore pee idol ajo iata entasioi entaduare oldakitari<br />

te kiliniki o te sipitali, pee itum embaata tesiokinoto nepalipala pii erepa<br />

(enkitiamakino) oinchiu<br />

Tenaa elang’ata arashu elang’ata obo ake iata iyie ena kata erepa<br />

(enkitiamakino) naa entai ake pokira are nimintokiki arepare (aitiamaki)<br />

kulie tung’anak, nimiatata tena kata pokira are VVU, nimitasuroto ntai<br />

VVU tenirepapa (tenintiamakinono) pokira.<br />

Ore olpayian o nkituaak enyanak pee erepa (eitiamakino) nemetii nabo<br />

ti atua nalo erepa (enkitiamakino) ang’ata, nemetii enaata VVU,<br />

nemitasuro VVU te nkata erepa (enkitiamakino).<br />

Ore enkoitoi naserian oleng’ namerr enkitasuroto e VVU naa erepa<br />

(enkitiamakino) oltung’ani obo ake: to olpayian lino o enkitok ino. Ore<br />

olpayian teneata inkituaak kumok nemeata pookin VVU, tenerepa<br />

(teneitiamakino) oopeny ake, meitasuro VVU teneitu erepare (etiamaki)<br />

kulie tung’anak le ang’ata.<br />

Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa indim<br />

aibooi openy VVU o nena lang’at ino teniasiasa erepa<br />

(enkitiamakino) naserian too nkatitin pookin erepa<br />

(enkitiamakino). Ing’ora embolunoto 18 ‘Enkiteng’ena erepa<br />

(enkitiamakino) naserian’.<br />

MAA 16


Elimu ya ngono salama<br />

Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja unaweza kujikinga wewe mwenywe<br />

na wenzi wako kwa kufanya ngono salama kila tendo la ngono.<br />

Ngono salama ni mapenzi ambayo hazita ruhusu shahawa, majimaji ukeni<br />

au damu ya mtu aliyeathirika kuingia kwenye mwili wa mtu mwingine.<br />

Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja njia kuu ya kijikinga ni<br />

kutumia kondom kila tendo la ngono.<br />

Kama mume na mke wake wanaamua kujamiiana na watu wengine wa<br />

nje, bado wanaweza kujikinga kwa kutumia kondom. Kama wanatumia<br />

kondom kila tendo la ngono nje ya ndoa, mume na mke wanaweza<br />

kujamiiana pamoja bila kutumia kondom, na bado mnaweza kujikinga<br />

VVU na mnaweza kuzaa watoto wasiyo na maambukizi ya VVU.<br />

17 KISWAHILI


Enkiteng’ena erepa (enkitiamakino) naserian<br />

Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa indim aibooi<br />

openy VVU o nena lang’ata ino teniasiasa erepa (enkitiamakino)<br />

naserian too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino).<br />

Ore erepa (enkitiamakino) naserian naa erepa (enkitiamakino) nemeisho<br />

ilkirat, enchalan enking’opi o sarge ing’wa oltung’ani oitasuroki aajeng’<br />

osesen le likai tung’ani.<br />

Tenirepare (tenintiamaki) iltung’anak oolus ti obo naa ore<br />

enkoitoi sapuk nimboorie naa teniasishore kondom inkatitin<br />

pookin erepa (enkitiamakino).<br />

Tenaa ore olpayian e nkitok neiruk erepa (enkitiamakino) ekulikai<br />

tung’anak le ang’ata, naa eton eidim pee ebooyo teniasishore kondom.<br />

Teniasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino) ti<br />

ang’ata, olpayian e nkitok naa eton eidim aibooi VVU, neiu inkera biot<br />

nemeata enkitasuroto e VVU.<br />

MAA 18


Elimu ya kondom<br />

Kondom ni mpira mwembamba ambao huvishwa kwenye uume<br />

inaposimama (inapodinda). Kabla ya kujamiiana uvalishwa kwenye uume.<br />

Hiyvo inakinga shahawa isiingie kwenye uke (au kwenye sehemu ya haja<br />

kubwa). Pia inakinga majimaji ukeni isiingie kwenye tundu la uume.<br />

Ni muhimu sana kuelewa kutumia kondom bila kosa. Ukitumia vibaya<br />

inaweza kusababisha shahawa kumwagika au kondom kupasuka.<br />

Unapotumia kondom vizuri unajikinga wewe mwenyewe na wenzi wako<br />

dhidi ya maambukizi ya VVU. Pia unakinga mwili wako na mwili wa<br />

mwenzi wako kutokana na magonjwa ya ngono ambazo yanaweza kuleta<br />

ugumba (kutopata watoto) kwa wanaume au wanawake.<br />

Kuanza kutumia kondom ni zoezi dogo lenye hofu, lakini usijali,<br />

haitachukua muda mrefu kuaanza kuona kuwa ni kitu cha kawaida tu.<br />

Zipo aina nyingi za kondom ya wanaume. Tofauti ni kampuni<br />

zinazotengeneza. Zote zinafanya kazi lakini ni chaguo la mtumiaji.<br />

19 KISWAHILI


Enkiteng’ena e kondom<br />

Ore kondom naa empira nabebek neishopokini elewaisho ena kata<br />

itasho (etabotire). Ore eton eng’or erepa (enkitiamakino) neishopokini<br />

elewaisho. Naa keibooyo ilkirat pee mejing’ enking’opi (arashu pee<br />

mejing’ olkurum). Ore ake eitu neijia neibooyo enchalan enking’opi pee<br />

meijing’ ena udoto elewaisho.<br />

Naa keiata tepat oleng’ teniyiolou ataasishore kondom te nkarriyiano.<br />

Teniasishore kondom te nkalano naa keidim ilkirat aibukori arashu<br />

edanya kondom.<br />

Teniasishore kondom te nkarriyiano naa irrip kewon ino, elang’ata ino<br />

(olang’ata lino), te nkitasuroto e VVU. Irrip sii osesen lino o elang’ata ino<br />

(olang’ata lino) too mueyiaritin erepa (enkitiamakino) naidim ayau<br />

enkolupisho to lee o te nkitok.<br />

Teninteru asishore kondom naa enkiteng’ena dorrop naata olturiaki,<br />

kake minkeno, amu meiya enkata naado eitu edol aajo entoki etepat<br />

namokunoyu.<br />

Ketii imwain kumok ekondom oo lewa. Ore empaashata naa<br />

inkampunini ake naitobiru. Ore pookin kenyanyok neaas esiaai nabo naa<br />

enyorrata ilo oasishore.<br />

MAA 20


Je, naweza kupata watoto nikitumia kondom<br />

Tayari umeshajifunza kwamba magonjwa ya ngono ni tatizo ambalo<br />

linaweza kuleta ugumba (kutopata watoto). Ukitumia kondom kila tendo<br />

la ngono kabla ya kuoa, na baada ya kuoa tumia kondom kila tendo la<br />

ngono nje ya ndoa, unaweza kufanya mapenzi bila kondom na mume au<br />

mke wako na kuwa na matumaini makubwa ya kupata watoto. Pia<br />

utakuwa na matumaini makubwa ya kuzaa watoto wenye afya njema bila<br />

VVU.<br />

Ukijamiiana na watu zaidi ya mmoja bila kutumia kondom ni rahisi<br />

kuambukizwa magonjwa ya ngono na kupata matatizo ya uzazi. Pia<br />

unaweza kuleta VVU nyumbani na kuambukiza mume wako, mke wako,<br />

na hata watoto wako wakati wa ujauzito, wakati wa kujifungua au wakati<br />

wa kunyonyesha.<br />

Ukifanya mapenzi na mume wako au mke wako tu bila kutumia kondom<br />

na unatumia kondom kila tendo la ngono nje ya ndoa, unaweza kujikinga<br />

wewe mwenyewe, na kuwakinga familia yako, na kuweza kuzaa watoto<br />

wasiyo na maambukizi ya VVU.<br />

21 KISWAHILI


Amaa, kaidim anoto inkera tenaasishore<br />

kondom<br />

Indipa aiteng’enayu inchere ore imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa<br />

enyamali sapuk naaidim ayau enkolupisho (to lee o te nkitok).<br />

Teniasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino) eton<br />

eitu eiamishore, ore pee indip aiamishor taasishore kondom te nkata<br />

pookin erepa (enkitiamakino) o ltung’anak liang’ata. Keidimayu pee<br />

irepare (intiamaki) olpayian lino arashu enkitok ino meishopito kondom<br />

naa itumutumu osiligi sapuk litumiemie inkera. Ore inkera naaini neaku<br />

biot nemeata VVU.<br />

Ore erepa (enkitiamakino) o ltung’anak oolus ti obo neitu iasishore<br />

kondom nelelek pee kentasuri imueyiaritin erepa (enkitiamakino) nitum<br />

enyamali eishoi. Ore etiu neijia keidimayu pee eyau VVU enkang’ ino<br />

nintasur olpayian lino enkitok ino oo nkera inono te nkata enotai,<br />

enkata eini arashu eitanakitai.<br />

Tenerepapa (tenintiamakinono) olpayian lino arashu enkitok ino ake,<br />

nimiasishorere kondom, naa ore pee irepare (intiamaki) kulie tung’anak<br />

leme olpayian lino arashu enkitok ino niasishorere kondom indim aibooi<br />

iyie openy nirrip olmarei lino nindim atoiu inkera neitu eitasuri VVU.<br />

MAA 22


Jinsi ya kutumia kondom<br />

1. Tumia vidole tu, kufungua pakiti ya kondom<br />

kwa uangalifu ili usiharibu kondom iliyo ndani<br />

ya pakiti. Usitumie kucha, meno au vifaa<br />

vyovyote vyenye ncha kali kufungua pakiti.<br />

Michirizi iliyo pembezoni mwa pakiti<br />

yatakusaidia kufungua pakiti kwa urahisi<br />

zaidi.<br />

2. Wakati umeshaondoa kondom kwenye pakiti,<br />

utaona kwamba kondom ina kitu chake cha<br />

kulainisha. Kitu hiki ilitengenezwa kwa maji,<br />

siyo mafuta (kwa sababu mafuta inapasua<br />

kondom). Ina kazi mbili: inalainisha kondom<br />

ikiwa ndani ya pakiti, pia inafanya kondom<br />

kuteleza wakati wa kujamiiana.<br />

3. Pia utaona kwamba kondom imekunjwa.<br />

Hakikisha kwamba mkunjo wa kondom<br />

inakuwa nje ya kondom ili iwe rahisi wakati<br />

wa kuvalisha kwenye uume. Pia utaona<br />

kwamba kondom inayo chuchu. Chuchu ni<br />

sehemu ya shahawa.<br />

4. Hakikisha umefinya chuchu vizuri wakati<br />

unavalisha uume ili hewa isibaki ndani ya<br />

kondom. Hewa ikibaki ndani, kondom<br />

inaweza kupasuka wakati wa kumwaga<br />

shahawa.<br />

23 KISWAHILI


Eninko teniaasishore kondom<br />

1. Ilkimojik ake tabolie embene e kondom, naa<br />

tabolo te nkarriyiano pee midany kondom ti<br />

atua embene. Mibolie ilala o loisotok o kulie<br />

tokitin naapi. Ore eng’amata natii imbat<br />

embene e kondom naa ekiretoki emboloto<br />

embene teleleki.<br />

2. Ore indipa aitayu kondom ti atua embene<br />

nidol ajo keata kondom enkideket enye. Ore<br />

ina kideket naitobirake te nkare, neme eilata<br />

(amu kedany eilata kondom). Neata isiaaitin<br />

are: enaitanana kondom ti atua embene,<br />

enaideketie kondom ena kata erepa<br />

(enkitiamakino).<br />

3. Idol sii ajo kenunuko kondom. Tisipu ajo ore<br />

enunukoto e kondom naa oriong’ etii pee<br />

eleleku ena kata inshopoki elewaisho. Idol ajo<br />

keata kondom olkina. Ore ilo kina naa ewueji<br />

oo lkirat.<br />

4. Ironya ilo kina pee eishunye enkijape ti atua<br />

kondom inshopoki elewaisho. Ore ake pee<br />

eing’uari enkijape ti atua kondom naa keidim<br />

atadanyayu ena kata ikirrita.<br />

MAA 24


Jinsi ya kutumia kondom<br />

5. Kuvalisha kondom, finya chuchu ya kondom<br />

kwa kutumia kidole gumba na kidole kingine.<br />

Weka kondom kwenye kichwa cha uume<br />

uliosimama kabla haijagusa uke.<br />

6. Kwa kutumia mkono mwingine kunjua<br />

mkunjo wa kondom kuvalisha mpaka ifike<br />

mwisho wa uume.<br />

7. Hakikisha hewa haibaki ndani ya kondom.<br />

8. Baada ya kumaliza mapenzi chomoa uume<br />

ukeni kwa uangalifu kabla ya uume huo<br />

haujasinyaa. Wakati unachomoa shikilia<br />

sehemu ya juu ya mkunjo ili kuzuia shahawa<br />

zisimwagike. Bila kufanya hivi kondom<br />

huweza kung’ang’ania au kubaki ndani ya uke.<br />

(Kama kondom ikibaki ndani ya uke, usijali<br />

kwani mwanamke huweza kutoa kwa kutumia<br />

vidole. Shida ni kwamba shahawa zinaweza<br />

kumwagika ndani ya uke).<br />

9. Chomoa kondom taratibu, funga fundo<br />

kwenye mdomo wa kondom ili shahawa<br />

zisimwagike. Hakikisha kwamba unatupa<br />

kondom mahali salama.<br />

25 KISWAHILI


Eninko teniaasishore kondom<br />

5. Ore ena kata inshopoki kondom elewaisho<br />

ironya olkina te mogirra olikai kimojino<br />

otashare. Tipika kondom esoit elewaisho ena<br />

kata etabotire neton eitu ebaiki enking’opi.<br />

6. Imbung’a te nkai aina alaaya kondom<br />

metabaiki olkulam.<br />

7. Nisipu ajo metii enkijape atua kondom.<br />

8. Ore pee indipidipi erepa (enkitiamakinoto)<br />

tadotu elewaisho eton ebotiro. Ore idotu<br />

imbung’a enkiting’oto enunukoto te ngalo<br />

olkulam pee meibukori ilkirat. Teneitu<br />

iimbung’ keidim kondom atushurtakinoyu atua<br />

enking’opi. (Teneia neshurtakino kondom atua<br />

enking’opi miure amu keitayu enkitok too<br />

lkimojik ore enyamali naa ilkirat tenebukokino<br />

atua enking’opi).<br />

9. Tushurtu kondom akiti, tilida kondom te<br />

nkutuk pee meibukori ilkirat. Tipika kondom<br />

ewueji neisudoo oleng’ tenindip ataasishore.<br />

MAA 26


Elimu zingine kuhusu kondom<br />

• Tumia kondom mara moja tu. Tumia kondom mpya kwa kila tendo<br />

la ngono.<br />

• Vaa kondom moja tu, usivae kondom nyingine juu ya kondom ya<br />

kwanza.<br />

• Usikunjuwe kondom kabla ya kuweka kwenye uume.<br />

• Usipake mafuta ya aina yeyote kwenye kondom, kwa sababu mafuta<br />

inaweza kusababisha kupasuka kwa kondom. Kondom ina utelezi<br />

na kawaida inatosha. Lakini ukihitaji ulaini zaidi ya ile kwenye<br />

kondom, ni vyema kupaka mate. Lakini, usitumie mate kama<br />

inaweza kuwa na damu kwani damu inaweza kuwa na VVU. Kwa<br />

hiyo, ni vyema kutumia mate ya mwanaume kwenye kichwa ya<br />

uume tu, kabla ya kuweka kondom kwenye uume, na mate ya<br />

mwanamke nje ya kondom baada ya kuvalisha kwenye uume.<br />

• Ni lazima kuvalisha kondom kabla ya uume kugusa kwenye uke au<br />

kwenye sehemu ya haja kubwa.<br />

• Joto linaweza kuharibu kondom. Hivyo hifadhi kondom mbali na<br />

mwanga wa jua, moto au sehemu yeyote yenye joto. Pia weka mbali<br />

na wanyama au wadudu waharibifu.<br />

• Kabla ya kutumia kondom angalia pakiti kama haijapasuka. Angalia<br />

pia muda wa matumizi ya kondom (EXP DATE). Kondom ambazo<br />

muda imeisha, au ni ngumu au kukauka na haitaweza kukupa kinga<br />

kamilifu kama kondom mpya. Vinginevyo ni vyema kutumia<br />

kondom ya zamani (isiyopasuka) kuliko kufanya mapenzi bila<br />

kondom kabisa.<br />

• Kama uume ikisinyaa ndani ya uke, kondom inaweza kudondoka na<br />

ugonjwa wa ngono itapata nafasi ya kupita.<br />

27 KISWAHILI


Kulie kiteng’enat naipirta kondom<br />

• Taasishore kondom te nkata nabo ake. Taasishore kondom ng’ejuk<br />

te nkata pookin erepa (enkitiamakino).<br />

• Inshopo kondom nabo ake nimitashaki enkai.<br />

• Milaaya kondom eitu inshopoki elewaisho.<br />

• Miyelie eilata kondom, amu ore ai eilata naa kepolos kondom. Ore<br />

kondom naa keata enkideket enye naa keidip. Ore pee iyieu<br />

enkideket oleng’ ina iyelie inkamulak. Kake miyelie inkamulak<br />

naatii osarge amu keidim aataa keata VVU. Teniyieu nipik<br />

inkamulak tipika inkamulak olee atua esoit elewaisho eton eitu<br />

inshopoki kondom. Tipika inkamulak enkitok oriong’ e kondom<br />

indipa aishopoki elewaisho.<br />

• Keishaakino pee inshopoki kondom elewaisho eton eitu eporoo<br />

enking’opi arashu olkurum.<br />

• Keinyal enkirowuaj kondom. Toshoma kondom metalama<br />

eneoshito enkolong’, enkima ewueji netii enkirowuaj intalama<br />

enetii ing’uesi, olkurt ooidim ainyala kondom.<br />

• Ore eton eitu iasishore kondom ing’ora embene teneitu epolosa.<br />

Ing’ora enkata neton eesishoreki (EXP DATE). Ore kondom<br />

naiting’o enkata naa kegol arashu etoyio nemeibooyo VVU anaa<br />

kondom ng’ejuk. Ore pee itala kondom ng’ejuk naa enaikash<br />

teniasishore emusana (neitu edanya) amu menyanyukie katukul.<br />

• Ore tenelepori elewaisho ti atua enking’opi naa keidimayu pee<br />

eshurtakino kondom atua enking’opi, netum empaash imueyiaritin<br />

erepa (enkitiamakino).<br />

MAA 28


Ukweli kuhusu kondom<br />

Baadhi ya watu wanahofu ya kutumia kondom, lakini baada ya kuelewa<br />

VVU na magonjwa mengine ya ngono, hali hii ya hofu hubadilika. Na<br />

hali hii ya kutumia kondom inawashiria kuwa unajali afya yako, familia<br />

yako, rika yako na jamii yako kwa jumla.<br />

Baadhi ya watu wanaamini kuwa kutumia kondom ni hatari, au kuwa na<br />

mianya inayo ruhusu VVU kepenya kwenye mwili, au hufikiri kuwa VVU<br />

tayari imo ndani ya kondom kabla ya kutumia. Mambo haya yote siyo<br />

ya ukweli kabisa. Watu huzumgumza mambo haya kwa sababu tu<br />

hawaelewi ukweli kushusu kondom na wana hofu kutumia.<br />

Inawezakana wewe mwenyewe una hofu ya kutumia kondom na<br />

umeshakataa kutumia kondom mpaka sasa. Siku hizi kuna sababu kubwa<br />

ya wewe kuanza kutumia kondom, kwani kondom tu ndiyo kinga ya<br />

VVU.<br />

Kondom hukukinga wewe na mwenzi wako kwa VVU na magonjwa<br />

mengine ya ngono. Pia watu wengi wanasema kujamiiana na kondom ni<br />

vyema kuliko kujamiiana bila kondom, kwa sababu inaleta matumaini<br />

makubwa na kuondoa hofu kuhusu VVU na magonjwa mengine ya<br />

ngono.<br />

Kwa nini watu<br />

wanalalamika kuhusu<br />

KONDOM na mimi<br />

silalamiki!<br />

29 KISWAHILI


Esipata naipirta kondom<br />

Keure embata oo ltung’anak ataasishore kondom. Kake ore peeponu<br />

ayiolou VVU o mueyiaritin erepa (enkitiamakino), nemeitoki aaure<br />

ataasishore kondom. Ore pee iasishore kondom naa keitodolu ajo intaa<br />

tipat eseriani osesen lino, nerrip olmarei lino, nerrip olporror, olosho te<br />

lolong’ata.<br />

Ore embata oo ltung’anak naa keiruk aajo teniasishore kondom naa<br />

itorrono arashu entaboi, arashu eata mpaashi naidim VVU eima ajing’<br />

osesen, arashu ejo ketii VVU atua kondom eton eitu easishore.<br />

Nemesipa kuna baa katukul. Keimaki kulikai tung’anak anaa<br />

tentiaraki emeyiolo enaas kondom neata olturiaki teniasishore.<br />

Keidimayu pee iure ataasishore kondom, neidimayu pee itanya<br />

ataasishore oshi taata. Ore te kuna olong’i ketii esipata sapuk nikiaraki<br />

interu aasishore kondom amu ninye naibooyo VVU.<br />

Kondom nikiretoki iyie, elang’ata ino (o olang’ata lino) aibooyo VVU o<br />

mueyiaritin erepa (enkitiamakino). Kejo iltung’anak kumok ore erepa<br />

(enkitiamakino) e kondom naa keikash alang’ erepa (enkitiamakino)<br />

nimiata kondom, amu ekincho osiligi sapuk nikioru olturiaki lemueyian e<br />

VVU o nkulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />

Kainyoo pee<br />

eing’unyung’uny iltung’anak<br />

te nkipirta e KONDOM<br />

nemang’unyung’uny<br />

nanu!<br />

MAA 30


Elimu ya kondom ya kike<br />

Kondom ya kike ni mpira mwembamba yenye duara ndani na nje. Pia ina<br />

sehemu iliyo funikwa na sehemu iliyo wazi. Sehemu iliyo funikwa<br />

hushindiliwa ndani ya uke na sehemu iliyo wazi hukaa nje juu ya mafuzi.<br />

Kondom ya kike inakinga shahawa isingie kwenye uke na inakinga<br />

majimaji ukeni isiingie kwenye tundu la uume.<br />

31 KISWAHILI


Enkiteng’ena e kondom oo ntoyie o nkituaak<br />

Ore kondom oo ntoyie o nkituaak neata empira nabebek neata<br />

enkamanaa ti atua o ti oriong’. Keata enchoto naikeno e enchoto<br />

nemeikeno naisiu. Ore enchoto naikeno nerrumokini atua enking’opi,<br />

ore enchoto naaisiu neitelekino olkulam. Ore kondom oo nkituaak naa<br />

keibooyo ilkirat pee mejing’ enking’opi neibooyo enchalan enking’opi<br />

pee mejing’ ena udoto elewaisho.<br />

MAA 32


Jinsi ya kutumia kondom ya kike<br />

1. Nawa mikono vizuri kwa sabuni na maji kabla<br />

ya kushindilia kondom.<br />

2. Tumia vidole tu, kufungua pakiti ya kondom<br />

kwa uangalifu ili usiharibu kondom iliyo ndani<br />

ya pakiti. Pia usitumie kucha, meno au vifaa<br />

vyovyote vyenye ncha kali.<br />

3. Shika duara iliyo funikwa na finya kwa kidole<br />

gumba na kidole kingine.<br />

4. Tumia kidole cha kati kirefu kwa kushindilia<br />

kondom ndani ya uke.<br />

5. Duara iliyo wazi huwa nje ya uke na uwe<br />

mwangalifu kondom isijisokote ndani ya uke.<br />

33 KISWAHILI


Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o<br />

nkituaak<br />

1. Intukuo inkaik to sabuni o te nkare oleng’ pee<br />

irrumokinye kondom atua enking’opi.<br />

2. Ilkimojik ake tabolie embene e kondom, naa<br />

tabolo te nkarriyiano pee midany kondom ti<br />

atua embene. Mibolie ilala o loisotok o kulie<br />

tokitin naapi.<br />

3. Ironya enamanaa naikeno te mogirra o to<br />

kimojino otashare.<br />

4. Turrumoki kondom to kimojino oodo atua<br />

enking’opi.<br />

5. Ore enkamanaa naisiu naa oriong’ enking’opi<br />

etii. Taarriyiana pee menunuko kondom ti<br />

atua enking’opi.<br />

MAA 34


Jinsi ya kutumia kondom ya kike<br />

6. Kondom ya kike haibani ukeni. Lazima kuchukuwa taadhari ili<br />

mtikisiko wa uume usikosee na kwenda pembeni mwa mdomo wa<br />

kondom. Ni budi kuhakikisha kuwa kondom ipo sawasawa mara kwa<br />

mara wakati wa kujamiiana.<br />

7. Baada ya kujamiiana chomoa kondom haraka<br />

kabla ya mke kuinuka na unapochomoa<br />

hakikisha kuwa unasokota kondom ili<br />

shahawa isije ikamwagika ndani ya uke.<br />

8. Usitumie kondom ya kiume na kondom ya kike wakati moja. Tumia<br />

kondom moja tu, kondom ya kiume au kondom ya kike. Mkitumia<br />

kondom mbili pamoja zinaweza kupasuka.<br />

35 KISWAHILI


Eninko teniaasishore kondom oo ntoyie o<br />

nkituaak<br />

6. Imerrish kondom oo nkituaak ti atua enking’opi. Tabaraki pee<br />

mepong’ elewaisho enkutuk e kondom. Keishaakino pee iarriyianu<br />

ajo keitobirakino kondom atua enking’opi ena kata irepapa<br />

(intiamakinono).<br />

7. Ore pee indipidipi erepa (enkitiamakino)<br />

tasioki tushurtu kondom eitu edumunye<br />

elipong’. Ore ishutu kondom ti atua<br />

enking’opi impila kondom mebukokino<br />

ilkirat atua enking’opi.<br />

8. Emiriamaki aishop inkondomi olee e enkitok te nkata nabo.<br />

Entaasishore kondom nabo ake eno lee arashu ene nkitok. Ore<br />

tiniasishorere pokira are inkondomi naa keidimayu pee edanya.<br />

MAA 36


Jinsi ya kutupa kondom baada ya matumizi<br />

Kondom imetengenezwa na mpira ambayo haiwezi kuoza wala kuisha<br />

baada ya kutupa. Mara tu utumiapo kondom ni lazima kutupwa mbali<br />

pasipo watoto wala wanyama.<br />

Kondom inaweza kutupwa kwenye choo cha shimo au jalala. Usitupe<br />

kwenye choo cha kuvuta maji.<br />

Njia nzuri ya kutupa kondom ni kuchimba shimo la takataka (jalala) kwa<br />

kila kaya. Shimo hili la takataka litatumika kwa kutupia kila aina ya<br />

takataka isiyooza au kuisha, kwa mfano kondom, plastiki, glasi na betri.<br />

Na mara tu shimo itakapo jaa, itarudishiwa udongo.<br />

Njia salama ya kufanya kama jamii ni kutafuta sehemu ya kuchimba<br />

shimo la takataka isiyooza au kuisha kama kondom, plastiki, glasi na<br />

betri.<br />

37 KISWAHILI


Enkoitoi naserian nenang’arie kondom indipa<br />

ataasishore<br />

Ore kondom neitobirwaki te mpira nabebek nemeng’ouyu, nemepurda<br />

indipa atangangai. Ore ake pee indip ataasishore kondom ninang’aa te<br />

nelakua nemenyikita inkera o kulie tokitin naijo ing’uesi.<br />

Ore kondom ninang’aki engumoto nagut arashu engumoto nanang’akin<br />

intokitin pookin anaa inemenya enkop. Menaang’aki engumoto naitaya<br />

inkiik enkare .<br />

Ore enkoitoi sidai ninang’arie kondom naa teneturuni engumoto oo suut<br />

too lmarei pookin, ore ina gumoto naa enanang’akini intokitin pookin<br />

nemeng’ouyu, nemepurda,. anaa kondom, impirai, nkilasini o betirini.<br />

Ore ake pee eiputayu engumoto nishukokin ingulupuok.<br />

Ore enkoitoi naserian naas olmarei naa teneing’oru ewueji neturunye<br />

engumoto nanang’akini isuut pookin nemeng’uoyu arashu nemepurda<br />

anaa kondom, impirai, inkilasini o betirini.<br />

MAA 38


Upatikanaji wa kondom kwa jamii<br />

Kondom zinapatikana bure nchini Tanzania. Zinapatikana toka<br />

TACAIDS (Tanzania Commssion for AIDS) Dar es salaam. Jamii<br />

inaweza kuomba kondom kupitia Daktari Mkuu wa Wilaya (District<br />

Medical Officer, DMO) na watapewa kupitia ofisi ya kijiji au zahanati<br />

iliyo karibu. TACAIDS inataka kupata maombi kutoka kwa jamii kabla<br />

ya kusambaza kondom vijijini. Kwa hiyo ni muhimu vijiji kuomba<br />

kondom kupitia kwa Daktari Mkuu wa Wilaya husika.<br />

Pia kondom zinauzwa nchini Tanzania na kampuni mbalimbali kwa bei<br />

nafuu. Kwa mfano, mwaka 2008 box lenye Salama kondom 576 iliuzwa<br />

kwa shilingi 8,000 Arusha. Hivyo bei ya kondom moja ilikuwa chini ya<br />

shilingi 14 tu.<br />

Njia rahisi ya kupata kondom kwa jamii bure au ya bei nafuu, ni kuitisha<br />

mkutano mkuu wa kijiji kutuma maombi kwa Daktari Mkuu wa Wilaya,<br />

au kununuwa kutoka Arusha.<br />

39 KISWAHILI


Eneiko olosho pee etum kondom<br />

Eketumi kondom pesho te Tanzania. Ketumi te TACAIDS (Tanzania<br />

Commission for AIDS) te Sardalama (Dar es Salaam). Keidim olosho<br />

atoomonu kondom aimunye olkitarri kitok le Wilaya (District Medical<br />

Officer, DMO), naa keishori aimunye enkopis olkijiji arashu sipitali<br />

nitaaniki, keyieu TACAIDS neng’as atum enkomono olosho eton eitu<br />

eidapashakini kondom too lkijijini naa keaku entoki etipat teneomonu<br />

ilkijijini kondom aimunye olkitarri kitok le Wilaya naipirta.<br />

Kemiri sii kondom te Tanzania. Kemir inkampunini kumok teleleki.<br />

Anaa, ore olari loo 2008 olbene (olbox) oota inkondomi 576 too<br />

nchilinkini 8,000 too kerenget lo Larosa (Arusha). Ore kondom nato naa<br />

abori inchilinkini 14 ake.<br />

Ore enkoitoi nalelek oleng’ natumie olosho kondom te pesho arashu<br />

tenkinyang’unoto nalelek, naa teneipotu olkijiji enkigwana kitok o kijiji<br />

neirriwaa engomono aairiwaki olkitarri kitok le Wilaya arashu einyang’u<br />

olkijiji openy too Larosa.<br />

MAA 40


<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kupitia kwenye damu<br />

Kumbuka: Njia kuu ya kuambukizwa VVU ni kujamiiana bila<br />

kutumia kondom.<br />

Lakini VVU pia inaweza kuambukizwa kutoka damu ya mtu aliathirika<br />

kuingia kwenye damu ya mtu mwengine. VVU inaweza kupitia njia<br />

zifuatazo:<br />

• Kushirikiana sindano<br />

• Kushirikiana nyembe<br />

• Kushirikiana visu vya kukata mwili (pamoja na visu au wembe ya<br />

kutahiri)<br />

• Kushirikiana mswaki, kwa sababu inaweza kuwa na damu.<br />

• Kushirikiana vitu vyovyote vya kupenya mwilini vinavyoweza<br />

kuwa na damu ya mtu mwengine.<br />

• Kufanya shughuli yoyote enye damu nyingi ya mtu mwengine,<br />

kwa mfano kuzalisha au ajali, bila kutumia glavu / mpira mkononi<br />

kwa sababu damu inaweza kuingia kwenye jeraha kwenye ngozi<br />

ya mwili.<br />

• Pia VVU inaweza kuambukizwa kwa kuongezewa damu<br />

hosipitalini. Siku hizi hii siyo shida kwani damu kupimwa kabla<br />

ya kutumika na damu ya mwathirika haitumiki hospitalini.<br />

Ngozi ya mwili ni ngumu sana na VVU haiwezi kupitia. VVU inaweza<br />

kupitia kwenye jeraha tu. Uwe mwangalifu na damu ya mtu mwengine,,<br />

lakini kumbuka kwamba njia kuu ya kuambukizwa VVU ni kujamiiana<br />

bila kutumia kondom.<br />

41 KISWAHILI


Enkitasuroto e VVU to sarge<br />

Tadamu ajo: Ore enkoitoi sapuk naitasuroi VVU naa erepa<br />

(enkitiamakino) meishopitoi kondom.<br />

Kake, keidimayu sii pee eitasuroi VVU tenejing’ osarge loltung’ani<br />

oitasuroki atua osarge le likai tung’ani. Ore VVU naa keiyimu inkoito<br />

naikunono inji:<br />

• Eng’arata osindano arashu oltidu obo o likai tung’ani<br />

• Eng’arata eyembe (olmurunya) nabo o likai tung’ani<br />

• Eng’arata enkalem natudung’ieki osesen le likai tung’ani (arashu<br />

enkalem o eyembe namutatishureki)<br />

• Eng’arata enkike nabo o likai tung’ani, amu keidim ataa etijing’a<br />

osarge.<br />

• Eng’arata oo ntokitin pookin naapi naajing’ atua osesen naidim<br />

pee etii osarge le likai tung’ani<br />

• Tenias esiaai pookin naata osarge sapuk le likai tung’ani, anaa<br />

tenintoisho enkitok arashu tenimbung’ oota olbae sapuk oo<br />

tenimiasishore empira too inkaik naa keidim osarge atejing’a<br />

teneiata enikiya to lchoni lo sesen.<br />

• Keidimayu sii pee eitasuroi VVU tenikiremokini osarge<br />

loltung’ani oitasuroki VVU te sipitali. Ore te kuna olong’i naa<br />

keng’asi aatem (aipim) osarge eton eitu kiremokini. Meiasishore<br />

sipitali osarge oitasuroki VVU.<br />

Kegol oleng’ olchoni lo sesen meidim VVU ayima. Ore VVU naa ewueji<br />

ake nikiya eeyim. Taarriyiana to osarge lelekai tung’ani, kake, niyiolo ajo<br />

ore enkoitoi sapuk naitasuroi VVU naa tenerepai (tenintiamakinono)<br />

meishopitoi kondom.<br />

MAA 42


<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU kutoka kwa mama<br />

kwenda kwa mtoto<br />

Mama mjamzito mwenye VVU anaweza kumwambukiza mtoto wake:<br />

1. Akiwa tumboni<br />

2. Wakati wa kujifungua<br />

3. Wakati wa kunyonyesha<br />

43 KISWAHILI


Eneiko ng’otonye teneitasur enkerai enye VVU<br />

Keidim enkitok nanuta naata VVU aitasuro enkerai enye:<br />

1. Enkata etii enkoshoke<br />

2. Enkata eisho<br />

3. Enkata eitanakita<br />

MAA 44


Jinsi ya kumkinga mtoto akiwa tumboni na<br />

wakati wa kujifungua<br />

Mama mwenye VVU ana nafasi kati ya 15% hadi 25% ya kuambukiza<br />

mtoto wake wakati akiwa na mimba au wakati wa kujifungua.<br />

Njia bora ya mtoto kutopata maambukizi ya VVU ni mama kutoathirika.<br />

Kama mama anajikinga vizuri na anaishi bila VVU hawezi kuambukiza<br />

mtoto wake VVU.<br />

Wanawake wengi hawafahamu kuwa wameshaambukizwa au<br />

hawajaambukizwa VVU. Mwanamke asiyefahamu kuwa<br />

ameshaambukizwa au hajaambukizwa VVU anaweza kumsaidia<br />

kumkinga mtoto asiambukizwe wakati akiwa na mimba kwa kufuata<br />

maagizo yafuatayo.<br />

• Kutumia kondom kwa kila tendo la ngono wakati mtoto akiwa<br />

tumboni.<br />

• Akipata lishe bora wakati wa ujauzito na atajifungua mtoto<br />

mwenye uzito.<br />

Kama mama anafahamu ameshaambukizwa VVU anaweza kumsaidia<br />

mtoto kwa kufuata maagizo ya juu na maagizo yafuatayo pia:<br />

• Kutumia madawa (ARVs), zinazopatikana hospitalini tu, ya<br />

kupunguza nguvu ya VVU mwilini.<br />

• Kuhudhuria kliniki au hospitali na kujifungua hospitalini.<br />

Mama akijifungua nyumbani, ni vyema mkunga kuvaa mpira mkononi<br />

wakati wa kuzalisha, kwa sababu VVU inaweza kuingia mwilini mwake<br />

kupitia jeraha mkononi.<br />

45 KISWAHILI


Enkoitoi narrip enkerai te nkoshoke o ena kata<br />

eini<br />

Ore enkitok naata VVU na keata erishata nabaiki 15% o 25% (15 o 25 te<br />

100) naitasurie enkerai enye enuta o ena kata eisho.<br />

Ore enkoitoi sapuk narrip enkerai pee meitasuri VVU naa teneitu etasuri<br />

ng’otonye VVU. Ore pee eerrip ng’otonye kewon esidai nebik meata<br />

VVU nemeitasur enkerai enye VVU.<br />

Imeyiolo inkituaak kumok aajo eidipaki aitasuro arashu eitu eitasuri<br />

VVU. Ore enkitok nemeyiolo ajo eitauroki arashu eitu eitasuri VVU naa<br />

keidim ataretoki atorripo enkerai enye pee meitasur enuta tenesuj<br />

inkoitoi naautuno tene tiabori:<br />

• Teneasishore kondom te nkata pookin erepa (enkitiamakino) etii<br />

enkerai enkoshoke (enota).<br />

• Tenetum endaa sidai te nkata enutai naa keiu enkerai nairoshi.<br />

Ore teneidipa enkitok atayiolo ajo eidipaki aaitasuro VVU neidim<br />

ataretoki enkerai tenesuj ilkigerot le shumata o kulo kigerot ootii abori:<br />

• Pee eijioo olchani (ARVs), te sipitali ake, oitong’or engolon e<br />

VVU ti atua osesen.<br />

• Elototo e kiliniki arashu sipitali neishaakino teneisho te sipitali.<br />

Ore pee eisho enkitok ti ang’, naa keishaakino tenepika enkatoiyioni<br />

empira too nkaik ena kata eretisho, amu keidimayu pee ejing’ VVU atua<br />

osarge lenye ayim eneya te nkaina.<br />

MAA 46


Jinsi ya kumkinga mtoto wakati wa<br />

kunyonyesha<br />

Dang’a (maziwa ya mwanzo) na maziwa ya mama ni chakula bora na<br />

yanajenga mwili wa mtoto na inamsaidia kumkinga mtoto asipate<br />

magonjwa ya kuharisha na magonjwa mengine ya hatari mwilini. Lakini<br />

mama mwenye VVU ana nafasi (kati ya 15%) ya kumwambukiza mtoto<br />

wakati ananyonyesha. Tatizo kubwa la kumwambukiza mtoto wakati wa<br />

kunyonyesha ni kama mtoto anaye vidonda kwenye tumbo au mdomo.<br />

Mtoto asiye na vidonda tumboni au mdomoni atapata afya bora kupitia<br />

maziwa na dang’a ya mama yake na siyo rahisi kupata maambukizi ya VVU.<br />

Mtoto akilishwa maji, maziwa ya mama mwingine, maziwa ya wanyama,<br />

siagi, majivu, mizizi ya miti, mafuta, au kitu chochote ambayo siyo dang’a<br />

au maziwa ya mama yake tu, anaweza kupata vidonda kwa urahisi<br />

tumboni. Hivyo mtoto anaweza kupata VVU kupitia kwenye vidonda<br />

kuingia kwenye damu ya mtoto.<br />

Njia bora ya kulinda afya ya mtoto ni kunyonyesha dang’a na maziwa ya<br />

mama yake tu, bila kumpa kitu chochote kabisa, mpaka mtoto<br />

anapofikisha umri wa miezi sita. Anapofikisha umri wa miezi sita mtoto<br />

anaweza kula vyakula vingine pamoja na maziwa ya mama. Lakini<br />

kumbuka: wakati wa kumlisha mtoto maziwa ya mama pamoja na<br />

vyakula vingine ni hatari kwa maambukizi ya VVU.<br />

Kama mama anafahamu ameshaambukizwa VVU ni lazima kwenda<br />

hospitalini kupata ushauri kuhusu namna ya kumlisha mtoto wake. Kama<br />

mama hajui kama ameshaambukizwa au hajaambukizwa anaweza kusaidia<br />

kumkinga mtoto akifuata maagizo yafuatayo:<br />

• Kumlisha mtoto dang’a na maziwa yake tu, hadi umri wa miezi<br />

sita.<br />

• Kutibu magonjwa ya matiti au jeraha kwenye chuchu haraka.<br />

• Kutibu vidonda kwenye mdomo wa mtoto haraka.<br />

• Kutumia kondom kwa kila tendo la ngono wakati anaponyonyesha<br />

mtoto.<br />

47 KISWAHILI


Enkoitoi narrip enkerai eitanaketai olkina<br />

Ore isikitok o kule olkina naa endaa naret osesen lenkerai naa keretoki<br />

arrip osesen lenkerai pee metum imueyiaritin elototo e nkoshoke e lopare o<br />

kulie mueyiaritin torrok osesen. Kake ore enkitok naata VVU naa ketum<br />

erishata nabaiki 15% (15 te 100) naitasurie enkerai ena kata eitanakita. Ore<br />

enyamali sapuk enkitasuroto enkerai eitanakitai na teneata enkerai<br />

enkidonda te nkoshoke arashu te nkutuk. Ore enkerai nemeata<br />

enkidonda te nkoshoke arashu te nkutuk netum embiotisho osesen<br />

teneishori kule olkina o sikitok e ng’otonye nemelelek pee etum<br />

enkitasuroto e VVU.<br />

Ore enkerai pee eishori enkare, kule olkina liai kitok, kule e kulie tokitin<br />

(ing’uesi), eng’orno, inkuruon, intona oo lkeek, eilata, modiok o nguesi,<br />

arashu ai toki neme isikitok arashu kule olkina le ng’otonye ake, neidim<br />

anoto inkidondani teleleki te nkoshoke. Naa ketum enkerai VVU naayim<br />

atua inkidondani aajing’ atua osarge lenkerai.<br />

Ore enkoitoi sapuk narrip embiotisho osesen lenkerai naa teneitanaki<br />

isikitok o kule e ng’otonye ake, nemeishori ai toki katukul, ometabaiki<br />

enkerai ilapatin ile (6). Ore pee eitabaya enkerai ilapatin ile (6) neidimayu<br />

pee enya enkerai inkulie daiki tenebo o kule olkina le ng’otonye. Kake<br />

tadamu ajo: ore erishata nanaku enkerai kule olkina le ng’otonye nenya<br />

inkulie daiki naa enkata torrono natumie enkerai VVU.<br />

Ore pee eyiolo enkitok ajo eitasuroki VVU nelo sipitali asioki pee etum<br />

eutakinoto enaiko teneitoti enkerai enye. Ore tenemeyiolo enkitok ajo<br />

eitasuroki arashu eitu eitasuri naa keidimayu pee eretoki enkerai enye<br />

tenesuj iutarot naijo kuna naasujo:<br />

• Teneisho enkerai isikitok o kule olkina lenye ake, ometabaiki<br />

enkerai ilapatin ile (6).<br />

• Tenebaki imueyiaritin oo lki arashu inkidondani naatii ilki aasioki.<br />

• Tenebaki inkindondani naatii enkutuk enkerai aasioki.<br />

• Teneasishore kondom te nkata pookin erepa (enkitiamakino) ena<br />

kata eitanakita enkerai olkina.<br />

MAA 48


Elimu ya kupima VVU<br />

Njia pekee ya kuweza kufahamu kama umeaambukizwa VVU ni kupima<br />

damu tu kwenye kliniki au hospitalini. Huwezi kufahamu kwa kuangalia<br />

mtu. Watu wengi wenye VVU huonakana wana afya na hawajui kama<br />

wameathirika kwani hawajapima hospitalini.<br />

VVU haina tiba kabisa. Mtu akiambukizwa VVU hakuna njia yoyote ya<br />

kutoa VVU mwilini. Lakini siku hizi dawa (ARVs) zinapatikana<br />

hospitalini zinazoweza kuongeza muda kutoka kuaambukizwa VVU hadi<br />

kuugua ukimwi.<br />

Watu wanaofahamu kuwa wameshaambukizwa VVU kabla ya kuugua<br />

magonjwa ya ukimwi kawaida huishi muda mrefu kuliko wale<br />

wanaofahamu baada ya kuugua. Kwa sababu hii, kupima na kufahamu ni<br />

muhimu na inaweza kukusaidia kuwa matumaini na kuongeza muda wa<br />

kuishi.<br />

Kama utaamua kupima damu kwa ihari utapata nafasi ya kuzumgumza<br />

pekee yako na daktari. Utapewa ushauri na daktari kusiana na VVU na<br />

vipimo vyako vya damu. Daktari hatatoa kwa mtu mwingine maelezo ya<br />

matokeo ya vipimo vyako.<br />

49 KISWAHILI


Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU<br />

Ore enkoitoi ake niyiolounye ajo kintasuroki VVU naa tenikitemi osarge<br />

te kiliniki arashu te sipitali. Miyiolo tening’or too nkonyek ake. <strong>Ed</strong>ol<br />

iltung’anak kumok eata iseseni nemeyiolo ajo eitasuroki tentiaraki eitu<br />

elo aatem osarge lenye te kiliniki arashu te sipitali.<br />

Imebaayu VVU katukul. Ore teneitasuri oltung’ani VVU nemeatai<br />

enkoitoi naidimi aitainye to sesen katukul. Kake ore oshi taata naa keetai<br />

ilkeek (ARVs) te sipitali likindim aataretoki aaponiki enkata pee<br />

kintasuri o pee ilotu amueyu ukimwi.<br />

Ore iltung’anak oo yiolou ajo eitasuroki VVU eton eitu emueyu<br />

imueyiaritin e ukimwi naa kebik alang’ lelo oo yiolou eidipa aatamuei.<br />

Ore tentiaraki ina, eisidai tenimpim osarge lino naa ekincho osiligi sapuk<br />

le nkata nibik inchu.<br />

Ore tenirruk aipim osarge lino makewon nitum eng’asiata nikirorie<br />

olkitarri aaiyie ake openy. Nikinkok olkitarri tenkipirta e VVU nikiliki<br />

enkipirta pookin entemata ino. Nemelikioo olkitarri inaanoto too<br />

ntemat inonok osarge.<br />

MAA 50


Elimu ya kupima VVU<br />

Faida ya kupima VVU ni nyingi, kwa mfano:<br />

1. Kufahamu kuwa hujaathirika VVU inakusaidia kubadili tabia na<br />

kuishi bila kuaambukizwa.<br />

2. Huwapa nafasi waathirika VVU kuchukuwa madawa (ARVs)<br />

kwenye hospitali ambazo zitaweza kusaidia kuongeza muda wa<br />

kuishi.<br />

3. Kufahamu kama umeshaathirika au hujaathirika VVU huondoa<br />

wasiwasi.<br />

4. Huwapa watu waliopanga kuowana matumaini makubwa.<br />

5. Huwapa watu waliopanga kuzaa watoto matumaini makubwa.<br />

6. Huwapa wanawake walioathirika VVU nafasi ya kuwakinga<br />

watoto wasiambukizwe VVU.<br />

51 KISWAHILI


Enkiteng’ena enkipimoto (entemata) e VVU<br />

Ore iretokinot enkimoto e VVU naa eikumok, anaa:<br />

1. Teniyiolou ajo eitu kintasuri VVU naa ekiretoki pee imbelekeny<br />

olkuak pee ebik eitu kintasuri.<br />

2. Teniyiolou ajo kindipaki aitasuro VVU nitum erishata.<br />

ning’orunyie ilkeek (ARVs) likindim aatoponiki enkata nibik<br />

inchu.<br />

3. Teniyiolou ajo kindipaki aitasuro arashu eitu kintasuri VVU<br />

nikioru olturiaki.<br />

4. Keisho osiligi sapuk iltung’anak ooyieu neyama.<br />

5. Neisho osiligi sapuk iltung’anak ooyieu neiu inkera.<br />

6. Keisho eng’asiata inkituaak naaitasuroki VVU pee eibooyo<br />

enkitasuroto e VVU to nkera.<br />

MAA 52


Jinsi ya kuwasaidia walioathirika na VVU<br />

Watu wasiwe na hofu ya kuishi na waathirika. Kukaa pamoja siyo hatari.<br />

Njia pekee ya uwezekano wa VVU kuambukizwa kutoka mtu hadi mtu,<br />

ni kwa kupitia shahawa, majimaji ukeni, damu, au maziwa ya<br />

mwaathirika ikiingia kwenye damu ya mtu mwingine asiye na VVU.<br />

Msaada unaotolewa na familia na marafiki ya kuwatunza walioathirika ni<br />

muhimu kuwapa matumaini ili kuishi na afya njema na kuwakinga watu<br />

wasiambukizwe VVU. Mtu mwaathirika wa VVU anastahili kupendwa,<br />

kuheshimiwa na kutunzwa kama mtu mwengine yeyote aliye kwenye<br />

jamii anayeugua magonjwa mengine.<br />

53 KISWAHILI


Eninko pee iretoki iltung’anak oitasuruki VVU<br />

Miatata olturiaki tenitii nebo o ltung’anak oitasuroki. Ime entaboi<br />

tenitonini tenebo. Ore enkoitoi ake naidimayu pee eitasuroi VVU<br />

toltung’ani o ltung’ani naa te nkoitoi oo lkirat, enchalan enking’opi,<br />

osarge o kule olkina o ltung’ani oitasuroki tenejing’ osarge le olikai<br />

tung’ani lemeata VVU.<br />

Ore eretoto naishoru olmarei o ilchoreta le ramatata oo loitasuroki naa<br />

entoki etipat naisho osiligi lelo oitasuroki e supatisho oo seseni neibooyo<br />

kulikai tung’anak pee meitasuri VVU. Ore oltung’ani oitasuroki VVU<br />

naa keishaakino pee enyorri, neyanyiti, neramati anaa kulikai tung’anak<br />

pookin oota inkulie mueyiaritin.<br />

MAA 54


Jinsi ya kuishi na VVU<br />

Kuna njia nyingi zinazo saidia walioathirika kuongeza muda wa kuishi na<br />

afya njema, kwa mfano:<br />

1. Kujifunza kuhusu VVU na ukimwi.<br />

2. Kwenda hospitalini mara kwa mara kuzungumza na madaktari au<br />

watoa ushauri kuhusu VVU.<br />

3. Kutumia madawa ya hospitali (ARVs) zinazo saidia waathirika<br />

kuishi zaidi.<br />

4. Kutumia kondom kila tendo la ngono. Pia waathirika<br />

wanapojamiiana pamoja ni lazima kutumia kondom, kwa sababu<br />

kila mara wanapojamiiana bila kondom wanaweza kuambukizana<br />

tena na inaweza kupunguza muda wao wa kuishi.<br />

5. Kujipa matumaini na usiwe na hofu au wasiwasi.<br />

6. Kuendelea kushirikiana na familia na jamii.<br />

7. Kulinda mwili kwa kula vyakula bora kama matunda, mboga,<br />

nyama na maziwa, na kufanya mazoezi ya mwili.<br />

8. Kwenda hospitali au kliniki kila mara kutibiwa magonjwa<br />

mengine haraka.<br />

9. Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Uvutaji wa sigara ukiwa<br />

na VVU inaweza kudhoofisha afya yako kwa haraka. Ni heri<br />

kutovuta sigara.<br />

10. Unywaji wa pombe ni hatari kwa afya yako. Unywaji wa pombe<br />

ukiwa na VVU inaweza kudhoofisha afya yako kwa haraka. Ni<br />

heri kutokunywa pomba.<br />

11. Kutumia madawa ya kienyeji yanaweza kusaidia kutibu baadhi ya<br />

magonjwa ya ukimwi. Lakini uwe mwaangalifu kwa watu<br />

wanaodanganya kuwa wana madawa ya kutibu VVU kwa<br />

sababu mpaka sasa hakuna tiba kabisa.<br />

55 KISWAHILI


Eninko pee ibikoo iata VVU<br />

Ketii inkoitoi kumok naaretoki ilooitasuroki VVU pee eponari enkata<br />

nabik eishu naa supati iseseni, anaa:<br />

1. Tenetum eng’eno naipirta VVU o ukimwi.<br />

2. Tenelo sipitali too nkatitin ning’amarore ilkitarini olooikokisho<br />

tenkipirta e VVU.<br />

3. Teneijoo ilkeek le sipitali (ooji ARVs) oo retoki ilooitasuroki pee<br />

bikoo.<br />

4. Taasishore kondom too nkatitin pookin erepa (enkitiamakino).<br />

Ore ilooitasuroki tenerepa (teneitiamakino) neishaakino pee<br />

esishore kondom, amu tenerepa (teneitiamakino) meata kondom<br />

naa keitoki aitasuro neponaa VVU too seseni neitodorrop enkata<br />

enkishui enye.<br />

5. Nitum osiligi nelo olturiaki nimintoki ang’asha.<br />

6. Niramatisho tenebo o lmarei lino o losho.<br />

7. Ninya indaiki naaret osesen, anaa teninya ilng’anayio, inkuyek,<br />

inkiri, kule, nias isiatin naashet osesen.<br />

8. Shomo kiliniki arashu sipitali enkata nimueyu inkulie mueyiaritin<br />

tesiokinoto.<br />

9. Ore eokoto osigara naa eitorrono te biotisho ino. Naa teniata<br />

VVU naa keidim osigara aitebertena osesen lino tesiokinoto. Naa<br />

keikash tenimiok osigara.<br />

10. Ore eokoto enaisho naa eitorrono te biotisho ino. Naa teniata<br />

VVU naa keidim enaisho aitebertena osesen lino tesiokinoto.<br />

Naa keikash tenimiok enaisho.<br />

11. Teniok ilkeek lentim keidimayu pee ebak imueyiaritin e ukimwi.<br />

Kake, teng’ena too ltung’anak ooleisho aajo keata ilkeek<br />

oishiunye VVU, amu ore o te ena kata metii olchani<br />

oishiunye pii VVU.<br />

MAA 56


Maswali na majibu<br />

Je, inawezekana kuambukizwa VVU kwa mwanaume kugusa<br />

kwenye uke kwa vidole<br />

Siyo rahisi kuambukizwa magonjwa ya ngono au VVU kwa njia hii, lakini<br />

inawezakana. Kwa mfano, kama mwanaume ana shahawa kwenye vidole<br />

na haraka sana akagusa kwenye uke. Pia kama ana kidonda au jeraha<br />

kwenye vidole inawezakana VVU kupitia.<br />

Je, VVU inawezekana kuambukizwa kwa kujamiiana sehemu ya<br />

haja kubwa<br />

Ndiyo. Ngozi ya ndani ya sehemu ya haja kubwa ni laini kuliko ngozi<br />

iliyo ndani ya uke, na kuwa rahisi kuchubuka wakati wa kujamiiana.<br />

Hivyo VVU inaweza kupitia kwenye jeraha na ni hatari kwa wenzi<br />

wawili. Watu wanaojamiiana sehemu ya haja kubwa lazima kutumia<br />

kondom.<br />

Je, VVU inawezekana kuambukizwa kama mwanaume<br />

akichomoa uume kabla ya kumwaga shahawa<br />

Ndiyo. Hii siyo njia salama ya kuepuka VVU au majonjwa mengine ya<br />

ngono. Kiasi kidogo ya shahawa inatoka kwenye uume kabla ya kumwaga<br />

shahawa. Na pia majimaji ya uke inaweza kuingia kwenye tundu la uume.<br />

Kondom tu ndiyo kinga imara ya VVU wakati ya kujamiiana.<br />

Je, VVU inawezekana kuambukizwa kwenye choo<br />

Hapana. VVU haiwezekani kuambukizwa kwenye choo.<br />

Kwanini kondom inaweza kupasuka<br />

Ukijifunza njia ya kutumia kondom kwa uhakika, siyo rahisi kupasuka<br />

wakati wa kujamiiana. Ni wakati tu kondom haijavaliwa sawasawa ndipo<br />

kondom inaweza kupasuka. Na ndiyo maana ni muhimu kufahamu jinsi<br />

ya kutumia kondom sawasawa.<br />

57 KISWAHILI


Inkikilikuanat o walat<br />

Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU tenishoroo olee enking’opi<br />

too lkimojik<br />

Melelek pee itasuri mueyiaritin erepa (enkitiamakino) arashu VVU tena<br />

oitoi, kake keidimayu. Anaa teneata olee ilkirat too lkimojik nesioki<br />

ashoroo enking’opi, arashu teneata eneya too lkimojik lenyenak naa<br />

keidimayu pee eyim VVU eneya.<br />

Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU tenikisokori<br />

Ee. Kebebek enchoni natii atua olkurum alang’u ena ti atua enking’opi,<br />

naa kelelek pee edoto tenikisokori. Keidim VVU ayima ina dototo naa<br />

entaboi too ltung’anak pokira oosokora. Keyieu iltung’anak oosokora,<br />

neesishore kondom.<br />

Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU teneshutu olee elewaisho<br />

eitu ikirr<br />

Ee. Ore ena neme enkoitoi nikintajeu te VVU o kulie mueyiaritin erepa<br />

(enkitiamakino). Ekeiter ilaiteteyia aapuku te lewaisho eton eitu ikirr.<br />

Naa keidim enchalan enking’opi atijing’a enaudoto elewaisho. Kondom<br />

ake enkibooroto e VVU enkata erepa (enkitiamakino).<br />

Amaa, keidimayu pee kintasuri VVU te ngumoto napiki nkik<br />

(choo)<br />

A-a. Meidimayu pee kintasuri VVU te ngumoto napiki nkik.<br />

Kainyoo pee eidim kondom atadanyayu<br />

Teniyiolou ataasishore kondom te nkarriyiano, imelelek pee edanya<br />

kondom te nkata erepa (enkitiamakino). Enkata ake neitu eshopi esidai<br />

ina kata ake edanya. Naa ina pee eyieuni niyiolo eninko teniasishore<br />

kondom te nkarriyiano.<br />

MAA 58


Maswali na majibu<br />

Je, ni matatizo gani yanayoletwa na magonjwa ya ngono<br />

mwilini<br />

Magonjwa ya ngono yanaweza kusababisha matatizo ya muda au<br />

magonjwa sugu mwilini. Matatizo ya muda hujumuisha vidonda, jeraha,<br />

kuwashwa au maumivu ya sehemu za siri, kutokwa na usaha yenye harufu<br />

au inayo nata kwenye uume au uke, au kusikia maumivu wakati wa haja<br />

ndogo.<br />

Kama magonjwa ya ngono hayatatibiwa na madawa hospitalini yanaweza<br />

kuleta matatizo makubwa ambayo yatasababisha magonjwa kama kansa,<br />

ugonjwa wa moyo, kuumwa na macho, kuumwa na ubongo, kuumwa na<br />

mifupa, kuumwa na viungo vya mwili, na kutoa mimba. Pia yanaweza<br />

kuleta ugumba (kutopata watoto) na kuharibu kabisa kizazi cha<br />

mwanaume au cha mwanamke.<br />

Pia magonjwa ya ngono yanaweza kusababisha vidonda na jeraha ndani<br />

ya mwili na havionekani. Vidonda hivi vinaweza kusababisha maambukizi<br />

vya VVU wakati wa kujamiiana bila kutumia kondom.<br />

Je, naweza kuambukizwa VVU kama nitafanya mapenzi na mtu<br />

wa umri mdogo<br />

Ndiyo. Nafasi ya kuambukizwa hutegemea afya ya mwenzi wako na siyo<br />

umri wake. Kama mtu mwenye umri mdogo ameshaambukizwa VVU,<br />

unaweza kupata VVU unapojamiiana naye.<br />

Pia siyo vizuri kushawishi mtu wa umri mdogo kujamiiana naye. Mwili<br />

wake haupo tayari kwa kujamiiana na ni rahisi kuchibuka kwenye<br />

sehemu zake za siri. Madhara haya yanaleta nafasi kubwa ya<br />

kuambukizwa VVU.<br />

Je, ni kweli nitaondoa VVU mwilini nikijamiiana na bikira<br />

Hapana. Hiyo siyo kweli kabisa. Hamna namna yeyote ya kuondoa VVU<br />

mwilini. Ukiambukizwa VVU hukaa mwilini maishani.<br />

59 KISWAHILI


Inkikilikuanat o walat<br />

Amaa, kainyoo inyamalaritin naayau mueyiaritin erepa<br />

(enkitiamakino) to sesen<br />

Ore mueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa ekeidimayu pee eyau<br />

inyamalaritin naabik o nemebik to sesen. Ore inyamalaritin nemebik<br />

neitushulu ndotot, eneya, eng’ion o emion elewaisho o enking’opi arashu<br />

epuku inkimek o lng’usil torrono arashu erepirepi te lewaisho arashu te<br />

nking’opi arashu ining’ emion ena kata ilut.<br />

Ore teneitu ebaki imueyiaritin erepa (enkitiamakino) too lkeek le sipitali<br />

naa keidimayu pee eyau kulie mueyiaritin naijo kansa, engeeya oltau,<br />

entiroto o nkonyek, entiroto o lelukunya, entiroto o loik, entiroto o<br />

rubat, niaku enoo kibirot. Keidim peyau enkolupisho naa keer isapo oo<br />

lewa onoo lipong’a.<br />

Ore sii imueyiaritin erepa (enkitiamakino) naa keidimayu pee eyau<br />

endototo ti atua osesen nemelioo. Ore kuna dotot naa enkitasur VVU te<br />

nkata erepa (enkitiamakino) teneitu iasishore kondom.<br />

Amaa, keidimayu pee aitasuri VVU tenarepare (tenaitiamaki)<br />

oltung’ani oti<br />

Ee. Ore enkitasuroto naa embiotisho osesen eimu ime larin loltung’ani.<br />

Ore pee eidipaki aitasuro oltung’ani oti VVU naa keidimayu pee kintasur<br />

tenirepare (tenintiamaki).<br />

Ime toki tenisish oltung’ani oti pee irepare (intiamaki), amu ore osesen<br />

lenye neton eitu eaku olerepare (olenkitiamakino) eton ebebek naa<br />

kelelek pee edoto enking’opi o lkurum. Ore kuna dotot naa kebolu<br />

eng’asiata sapuk nikintasurieki VVU.<br />

Amaa, kesipa kashurtaa VVU to sesen tenarepare<br />

(tenaitiamaki) entito nemeudo<br />

A-a. Mesipata katukul. Metii enkarriyiano nintayunye VVU to sesen.<br />

Tenikintasuri VVU nebik to sesen intarasi.<br />

MAA 60


Wasiliana na <strong>Empuaan</strong><br />

Lengo la <strong>Empuaan</strong> ni kukusaidia kujikinga wewe mwenyewe, familia<br />

yako na jamii yako kuepukana na VVU na magonjwa mengine ya ngono.<br />

Ukiwa na maswali yoyote kuhusu VVU, UKIMWI, magonjwa ya ngono<br />

au maswali mengine kuhusu kitabu hiki, <strong>Empuaan</strong> itajaribu kwa juhudi<br />

kukujibu maswali yenu kwenye vitabu vingine vifuatavyo.<br />

Tafadhali uliza maswali yako kwa wazi na bila aibu, kwa kuandika mesej<br />

kwenye simu au kwenye barua pepe (email). Tafadhali andika swali lako<br />

kwa Kiswahili au Kiingereza tu. Siyo lazima kutuambia jina lako.<br />

Kujifunza kuhusu VVU, UKIMWI na magonjwa mengine ya ngono<br />

itakusaidia kujikinga wewe mwenyewe na wenzi wako.<br />

+ 255 785 958 431<br />

hello@empuaan.org<br />

Tunasikitika kwamba kwa sasa hatuna uwezo wa kuwajibu masali yenu<br />

binafsi.<br />

61 KISWAHILI


Tang’amai <strong>Empuaan</strong><br />

Ore induat <strong>Empuaan</strong> naa pee kiretoki iyie openy, olmarei lino o olosho<br />

lintipat pee eibooyo VVU o kulie mueyiaritin erepa (enkitiamakino).<br />

Ore pee iata enkikilikuanata naipirta VVU, UKIMWI o mueyiaritin<br />

erepa (enkitiamakino) arashu kulikai omon oipirta ena buku, kenyok<br />

<strong>Empuaan</strong> awal inkikilikuanat inyi too mpala naasuju.<br />

Inkilikwanisho te wang’an nemiuresho ninger inkikilikuanat inono te<br />

nkoitoi esimu (mesej) arashu te email e komputa. Inkilikuwanu<br />

inkikilikuanat inono te Kiswahili o te Kingeresa ake. Mejo <strong>Empuaan</strong> pee<br />

inchoru enkarna ino.<br />

Teninteng’enuo VVU, UKIMWI o kulie mueyiaritin erepa<br />

(enkitiamakino) nirrip kewan nirrip olosho.<br />

+ 255 785 958 431<br />

hello@empuaan.org<br />

Entapaliki iyook amu eton mikiata engolon taata nikiolikinye intai maate<br />

inkikilikuanat inyi.<br />

MAA 62


Kitabu hiki hakiuzwi. Inapatikana bure kutoka <strong>Empuaan</strong>.<br />

Ore ena buku naa menamere. Ketumoyu pesho te <strong>Empuaan</strong>.<br />

Ore ena buku naa<br />

keretoki iyook oleng’<br />

maatayiolo VVU o<br />

ukimwi!<br />

Anasema ‘Kitabu<br />

hiki inatusaidia<br />

kuelewa VVU na<br />

ukimwi!’<br />

MAA 62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!