19.01.2015 Views

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Maa</strong>mbukizi ya VVU<br />

VVU huishi kwenye mwili wa mtu aliyeambukizwa. Virusi huishi kwenye<br />

majimaji yaliyoko kwenye:<br />

1. Shahawa<br />

2. Majimaji ukeni<br />

3. Damu<br />

4. Maziwa ya mama<br />

Kwa hiyo shahawa, majimaji ukeni, damu na maziwa ya mama ni<br />

hatari kuambukiza VVU.<br />

Majimaji mengine mwilini kama mate, machozi, jasho na mkojo havina<br />

virusi vingi vinavyoweza kuambukiza. Kwa hiyo mate, machozi, jasho na<br />

mkojo siyo hatari kwa kuambukiza VVU.<br />

Njia pekee ya kuambukiza VVU ni kutoka kwenye shahawa, majimaji<br />

ukeni, damu au maziwa ya mama ameshaambukizwa na kuingia kwenye<br />

damu ya mtu mwengine.<br />

Njia zifuatazo zinaambukiza VVU:<br />

1. Kujamiiana na mtu mwenye VVU bila kutumia kondom.<br />

Kujamiiana bila kondom ni njia kuu ya kuambukizwa<br />

VVU.<br />

2. Kushirikiana sindano, wembe, visu vya kukata mwili, mswaki na<br />

vyombo vingine vinavyoweza kuwa na damu yenye VVU.<br />

3. Mwanamke anaweza kuambukiza mtoto wake akiwa tumboni,<br />

wakati wa kujifungua au wakati wa kunyonyesha.<br />

9 KISWAHILI

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!