Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kuhusu kitabu hiki<br />
Kitabu hiki kinahusu VVU, ukimwi na magonjwa ya ngono mengine.<br />
Kitabu hiki kimeandikwa kwa manufaa ya jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai kwa makazi<br />
yao yote iwe Tanzania na Kenya vilevile na manufaa kwa watu wengine<br />
wanoishi Tanzania na Kenya.<br />
Kitabu hiki imeandikwa na shirika lisilo la serikali (NGO) <strong>Empuaan</strong>.<br />
<strong>Empuaan</strong> ina lengo hili tu: kuheshimu wenyeji, matakwa na desturi yao,<br />
kuzuia magonjwa ya ngono ikiwemo VVU/ukimwi, na kulinda afya na<br />
maisha mema.<br />
Afya njema ni muhimu kwa kila mtu. Kwa sababu hii ni muhimu kila<br />
moja ndani ya jamii kufahamu juu ya VVU na ukimwi. Soma kitabu hiki<br />
wewe mwenyewe, halafu soma kwa sauti ili asie elewa kusoma aweze<br />
kusikia. Jadilini kuhusu ujumbe wa kitabu hiki na marafiki, familia yako,<br />
rika yako na jamii kwa ujumla. Kwa pamoja tutashinda VVU/ukimwi na<br />
magonjwa ya ngono zingine.<br />
Chapa ya kwanza A <strong>2013</strong><br />
1 KISWAHILI!