19.01.2015 Views

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kuhusu kitabu hiki<br />

Kitabu hiki kinahusu VVU, ukimwi na magonjwa ya ngono mengine.<br />

Kitabu hiki kimeandikwa kwa manufaa ya jamii ya ki<strong>Maa</strong>sai kwa makazi<br />

yao yote iwe Tanzania na Kenya vilevile na manufaa kwa watu wengine<br />

wanoishi Tanzania na Kenya.<br />

Kitabu hiki imeandikwa na shirika lisilo la serikali (NGO) <strong>Empuaan</strong>.<br />

<strong>Empuaan</strong> ina lengo hili tu: kuheshimu wenyeji, matakwa na desturi yao,<br />

kuzuia magonjwa ya ngono ikiwemo VVU/ukimwi, na kulinda afya na<br />

maisha mema.<br />

Afya njema ni muhimu kwa kila mtu. Kwa sababu hii ni muhimu kila<br />

moja ndani ya jamii kufahamu juu ya VVU na ukimwi. Soma kitabu hiki<br />

wewe mwenyewe, halafu soma kwa sauti ili asie elewa kusoma aweze<br />

kusikia. Jadilini kuhusu ujumbe wa kitabu hiki na marafiki, familia yako,<br />

rika yako na jamii kwa ujumla. Kwa pamoja tutashinda VVU/ukimwi na<br />

magonjwa ya ngono zingine.<br />

Chapa ya kwanza A <strong>2013</strong><br />

1 KISWAHILI!

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!