19.01.2015 Views

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

Book 1a Swa Maa Ed 1a 2013 - Empuaan

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Magonjwa ya ngono<br />

Magonjwa ya ngono yanaweza kuambukizwa kwa jinsia zote kwa njia ya<br />

kujamiiana.<br />

Magonjwa ya ngono yanaweza kuwa na dalili mbaya, huzuinisha na<br />

isiyoridhisha. Lakini tatizo kubwa kwa magonjwa haya ni kwamba mara<br />

nyingi hayaonyeshi dalili kabisa. Kwa maana hii unaweza kuwa na<br />

maambukizo bila kujua. Kwa hiyo unaweza kuambukizwa na<br />

kuwaambukiza watu wengine, bila kufahamu.<br />

Kama magonjwa ya ngono hayatatibiwa na madawa hospitalini yanaweza<br />

kuleta matatizo makubwa ambayo yatasababisha magonjwa kama kansa,<br />

ugonjwa wa moyo, kuumwa na macho, kuumwa na ubongo, kuumwa na<br />

mifupa, kuumwa na viungo vya mwili, na kutoa mimba. Pia yanaweza<br />

kuleta ugumba (kutopata watoto) na kuharibu kabisa kizazi cha<br />

mwanaume au cha mwanamke.<br />

Kama una ugonjwa ya ngono, au mwenzi wako anayo, ni muhimu kutibiwa<br />

haraka kliniki au hospitalini. Na wale uliojamiiana nao labda<br />

umeshawaambukiza na wasione dalili zozote. Na pia ni muhimu kuwaeleza<br />

wale uliojamiiana nao kuwa umeathirika ili wapate matibabu haraka.<br />

Kama wenzi wako hawakupata matibabu haraka wanaweza<br />

kupata matatizo makubwa kiafya, wanaweza kuambukiza<br />

watu wengine, na wanaweza kukuambukiza wewe tena.<br />

5 KISWAHILI

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!