You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Jinsi ya kutumia kondom ya kike<br />
6. Kondom ya kike haibani ukeni. Lazima kuchukuwa taadhari ili<br />
mtikisiko wa uume usikosee na kwenda pembeni mwa mdomo wa<br />
kondom. Ni budi kuhakikisha kuwa kondom ipo sawasawa mara kwa<br />
mara wakati wa kujamiiana.<br />
7. Baada ya kujamiiana chomoa kondom haraka<br />
kabla ya mke kuinuka na unapochomoa<br />
hakikisha kuwa unasokota kondom ili<br />
shahawa isije ikamwagika ndani ya uke.<br />
8. Usitumie kondom ya kiume na kondom ya kike wakati moja. Tumia<br />
kondom moja tu, kondom ya kiume au kondom ya kike. Mkitumia<br />
kondom mbili pamoja zinaweza kupasuka.<br />
35 KISWAHILI