05.02.2015 Views

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Institute for Lifelong Lear<strong>ni</strong>ng (UIL). Matokeo ya mapitio haya ya tathmi<strong>ni</strong> yaliwasilishwa<br />

kwenye mkutano wa ADEA wa mwaka 2006 mbele ya kundi kubwa la wa<strong>na</strong>zuo<strong>ni</strong> <strong>na</strong><br />

wataalamu wa mabadiliko <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong> <strong>na</strong> vilevile mawaziri wa<strong>na</strong>oshughulikia masuala<br />

ya <strong>elimu</strong>. Ushahidi muhimu uliotumiwa <strong>katika</strong> muhtasari huu u<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> utafiti huo<br />

(Alidou <strong>na</strong> wenzie, 2006).<br />

Tangu kufanywa <strong>kwa</strong> utafiti huo, nchi kadhaa kama vile Buki<strong>na</strong>faso (ta<strong>za</strong>ma Alidou <strong>na</strong><br />

wenzie, 2008), Ethiopia (Heugh <strong>na</strong> wenzie, 2007), Malawi, Msumbiji, <strong>na</strong> Nijeri (ta<strong>za</strong>ma<br />

Alidou <strong>na</strong> wenzie, 2009) zimean<strong>za</strong> kazi ya kutathmi<strong>ni</strong>, kuboresha, <strong>na</strong> kupitia upya mikakati<br />

<strong>na</strong> sera <strong>za</strong>o kuhusu matumizi ya <strong>lugha</strong> <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong>. Data zi<strong>na</strong>zohusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hatua hizi<br />

mpya <strong>za</strong> maendeleo zilipatika<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutumiwa <strong>katika</strong> waraka huu.<br />

Lengo la UNESCO kuchapisha dokezo hili la sera <strong>ni</strong> kutoa muhtasari mzito wa utafiti<br />

wa kisayansi <strong>na</strong> uliofanyiwa majaribio kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> suala la <strong>lugha</strong> <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong> bara<strong>ni</strong><br />

Afrika, <strong>kwa</strong> kulenga <strong>za</strong>idi matumizi ya <strong>lugha</strong> <strong>na</strong> jinsi ya<strong>na</strong>vyoathiri ubora wa <strong>elimu</strong> <strong>na</strong> wa<br />

ujifun<strong>za</strong>ji. Maswali makuu <strong>katika</strong> mijadala i<strong>na</strong>yohusu utekele<strong>za</strong>ji wa <strong>elimu</strong> <strong>kwa</strong> <strong>lugha</strong>mama<br />

<strong>na</strong> <strong>lugha</strong> <strong>nyingi</strong> ya<strong>na</strong>shughulikiwa hapa <strong>kwa</strong> utaratibu maalumu. Utafiti wa<br />

tathmi<strong>ni</strong> uliotajwa hapo awali <strong>ni</strong> raslimali muhimu, laki<strong>ni</strong> <strong>kwa</strong> vyovyote vile si raslimali<br />

pekee.<br />

13<br />

Wakati umefika kutangama<strong>ni</strong>sha nyanja mbalimbali<br />

Waandishi wa taarifa ya mapitio ya tathmi<strong>ni</strong> wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> <strong>kwa</strong>mba (a) <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa,<br />

uhusiano uliopo bai<strong>na</strong> ya maendeleo <strong>na</strong> matumizi ya <strong>lugha</strong> hupuuzwa; (b) mbali ya<br />

wataalamu, ku<strong>na</strong> watu wachache tu wa<strong>na</strong>ofahamu uhusiano uliopo bai<strong>na</strong> ya <strong>lugha</strong> <strong>na</strong><br />

<strong>elimu</strong>; <strong>na</strong> (c) watu wengi wa<strong>na</strong>kubali <strong>kwa</strong>mba ku<strong>na</strong> uhusiano bai<strong>na</strong> ya maendeleo <strong>na</strong><br />

<strong>elimu</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> uelewa wa juujuu tu, <strong>kwa</strong><strong>ni</strong> wa<strong>na</strong>elewa kidogo sa<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> halisi<br />

ya uhusiano huo. Kwa hiyo, <strong>kwa</strong> siku zijazo, ku<strong>na</strong>pendekezwa kuwepo <strong>na</strong> ushirikiano wa<br />

karibu <strong>za</strong>idi bai<strong>na</strong> ya wataalamu wa <strong>lugha</strong>, wataalamu wa <strong>elimu</strong>, wataalamu wa uchumi,<br />

wataalamu wa masuala yahusuyo asili ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong> maendeleo yake ya awali, <strong>na</strong><br />

wataalamu wa <strong>elimu</strong>-jamii. Sekta ya mawasiliano <strong>kwa</strong> maendeleo <strong>na</strong> ile ya vyombo vya<br />

habari hazi<strong>na</strong> budi kushirikishwa <strong>kwa</strong><strong>ni</strong> nyanja hizi hutoa mchango muhimu sa<strong>na</strong> <strong>katika</strong><br />

<strong>elimu</strong> <strong>na</strong> ujifun<strong>za</strong>ji. Kila tabaka li<strong>na</strong> kundi la wataalamu maki<strong>ni</strong> ambao <strong>kwa</strong> kawaida<br />

hujenga hoja kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mita<strong>za</strong>mo yao. Hadi sasa, wamefanya mawasiliano bai<strong>na</strong><br />

yao <strong>kwa</strong> <strong>na</strong>dra. Hata hivyo, kila mmoja wao a<strong>na</strong>lio<strong>na</strong> suala hili kuwa <strong>ni</strong> changama<strong>ni</strong><br />

mno kutafutiwa ufumbuzi <strong>kwa</strong> kutumia mta<strong>za</strong>mo mmoja tu. Wakati umefika sasa<br />

kutangama<strong>ni</strong>sha nyanja mbalimbali.<br />

Sankofa<br />

»Rudi uipate«<br />

Jifunze kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

yaliyopita<br />

Kusisiti<strong>za</strong> uzoefu bara<strong>ni</strong> Afrika<br />

Kwa kuwa msisitizo hapa umewe<strong>kwa</strong> kwenye uzoefu mbalimbali wa <strong>elimu</strong> <strong>kwa</strong> <strong>lugha</strong>mama<br />

<strong>na</strong> <strong>lugha</strong> <strong>nyingi</strong> bara<strong>ni</strong> Afrika, <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa data hizi zi<strong>na</strong>toka bara<strong>ni</strong> Afrika.<br />

Hata hivyo, kuchagua data hizi hai<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> kuwa ujifun<strong>za</strong>ji <strong>katika</strong> miktadha isiyokuwa<br />

ya <strong>Kiafrika</strong> umepuuzwa. Mara <strong>nyingi</strong> huko nyuma kosa lililokuwa likifanywa <strong>ni</strong> kuhamisha<br />

matokeo ya tafiti <strong>za</strong> masuala ya <strong>lugha</strong> <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong> kutoka nchi zilizoendelea kiviwanda <strong>na</strong><br />

kuyatumia vile yalivyo <strong>katika</strong> muktadha wa <strong>Kiafrika</strong> ingawa miktadha ya <strong>lugha</strong> <strong>ni</strong> tofauti<br />

sa<strong>na</strong>. Bara<strong>ni</strong> Afrika, wa<strong>na</strong>funzi wengi huikuta <strong>lugha</strong> rasmi ya nchi yao – ambayo <strong>ni</strong> <strong>lugha</strong><br />

ya kige<strong>ni</strong> – kama <strong>lugha</strong> ya kufundishia shule<strong>ni</strong>, laki<strong>ni</strong> haipo <strong>katika</strong> maisha yao ya kila siku.<br />

Mara <strong>nyingi</strong> wa<strong>na</strong>funzi wa <strong>Kiafrika</strong> hujishughulisha <strong>na</strong> <strong>lugha</strong> kadhaa <strong>katika</strong> mawasiliano<br />

yao ya kila siku, laki<strong>ni</strong> hawajishughulishi <strong>na</strong> <strong>lugha</strong> rasmi. Katika nchi zilizoendelea<br />

kiviwanda, wahamiaji <strong>na</strong> jamii zenye watu wachache huishi <strong>katika</strong> mazingira ambamo<br />

ku<strong>na</strong> <strong>lugha</strong> rasmi siku hadi siku.<br />

Maa<strong>na</strong> ya »<strong>lugha</strong>-mama« bara<strong>ni</strong> Afrika<br />

Ili kuweka msingi thabiti wa fasili yake <strong>katika</strong> hali halisi ya <strong>lugha</strong> bara<strong>ni</strong> Afrika, tu<strong>na</strong>fasili<br />

<strong>lugha</strong>-mama <strong>kwa</strong> mta<strong>za</strong>mo mpa<strong>na</strong> kama <strong>lugha</strong> ambayo au ambazo huzungumzwa <strong>katika</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!