05.02.2015 Views

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2. Uwezekano wa kutumia <strong>lugha</strong> <strong>za</strong> <strong>Kiafrika</strong> <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong><br />

Vitabu vya habari <strong>za</strong><br />

kubu<strong>ni</strong>wa <strong>na</strong> visivyo<br />

vya habari <strong>za</strong> kubu<strong>ni</strong>wa<br />

vilivyoandi<strong>kwa</strong><br />

<strong>kwa</strong> <strong>lugha</strong> ya Kipulaari,<br />

Senegali<br />

Uendele<strong>za</strong>ji wa <strong>lugha</strong> kitaifa <strong>na</strong> bai<strong>na</strong> ya mataifa kupitia sekta ya uchapishaji:<br />

mfano kutoka Senegali<br />

Nchi<strong>ni</strong> Senegali, ku<strong>na</strong> mashirika mengi ya<strong>na</strong>yochapisha kazi zenye habari <strong>za</strong> kubu<strong>ni</strong>wa<br />

<strong>na</strong> zisizo <strong>za</strong> kubu<strong>ni</strong>wa <strong>katika</strong> <strong>lugha</strong> mbalimbali <strong>za</strong> taifa. Mojawapo ya mashirika hayo,<br />

Associates in Research and Education for Development (ARED), huchapisha hususa<strong>ni</strong><br />

<strong>katika</strong> <strong>lugha</strong> ya Kipulaari (au Kifulfulde), laki<strong>ni</strong> si <strong>katika</strong> <strong>lugha</strong> hii pekee, ili kuleta heshima<br />

<strong>kwa</strong> jamii ya wazungum<strong>za</strong>ji wa Kipulaari <strong>na</strong> kukidhi mahitaji ya maandiko <strong>katika</strong> <strong>lugha</strong> ya<br />

Kipulaari. Tangu lilipoanzishwa mwaka 1990, shirika hili limechapisha <strong>za</strong>idi ya machapisho<br />

150 <strong>kwa</strong> <strong>lugha</strong> <strong>za</strong> <strong>Kiafrika</strong>, <strong>na</strong> kuu<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi ya vitabu 800,000, vingi kati ya hivyo vikiwa<br />

<strong>ni</strong> vitabu vya riwaya. Lengo la ARED <strong>ni</strong> kwenda mbali <strong>za</strong>idi ya kutayarisha vifaa vya<br />

mafunzo ya msingi ya kusoma <strong>na</strong> kuandika <strong>kwa</strong> kuchapisha vifaa changama<strong>ni</strong> sa<strong>na</strong><br />

vi<strong>na</strong>vyohusu masuala muhimu <strong>kwa</strong> jamii hii. Vifaa huandi<strong>kwa</strong> <strong>katika</strong> <strong>lugha</strong> ya Kipulaari<br />

<strong>kwa</strong>n<strong>za</strong> ili kuwe<strong>za</strong> kuamua iwapo vi<strong>na</strong>kidhi mahitaji <strong>na</strong> viwango vya wasomi wapya au la.<br />

Uchapishaji bai<strong>na</strong> ya mataifa hufanywa pindi vifaa vi<strong>na</strong>pokuwa vimeandaliwa tayari <strong>kwa</strong><br />

<strong>lugha</strong> ya Kipulaari. Vifaa hivi huwe<strong>kwa</strong> <strong>katika</strong> lahaja <strong>nyingi</strong>ne <strong>za</strong> Kifulfulde, <strong>lugha</strong> <strong>nyingi</strong>ne<br />

<strong>za</strong> Afrika Magharibi, au kutafsiriwa <strong>katika</strong> Kifaransa. Vitabu vya ARED hutumiwa <strong>katika</strong><br />

programu zi<strong>na</strong>zoendeshwa <strong>na</strong> mashirika ya eneo hilo, mashirika yasiyo ya kiserikali, <strong>na</strong><br />

miradi ya pande mbili nchi<strong>ni</strong> Senegali, Mali, Be<strong>ni</strong><strong>ni</strong>, Buki<strong>na</strong>faso, <strong>na</strong> Nijeri.<br />

Duafe<br />

Chanuo la mbao<br />

Uvumilivu, upendo,<br />

uangalifu<br />

23<br />

Kuendele<strong>za</strong> <strong>lugha</strong> <strong>kwa</strong> ajili ya <strong>elimu</strong> shule<strong>ni</strong> hukutumii muda mwingi tofauti <strong>na</strong><br />

i<strong>na</strong>vyodaiwa mara <strong>kwa</strong> mara, kama i<strong>na</strong>vyoonyeshwa nchi<strong>ni</strong> Somalia:<br />

Kisomali kama <strong>lugha</strong> ya kufundishia hadi mwaka wa 12, Somalia<br />

Kwa miaka tisa tu, <strong>lugha</strong> ya Kisomali ilisa<strong>ni</strong>fishwa, ikaundiwa alfabeti rasmi <strong>kwa</strong> kutumia<br />

hati ya Kilati<strong>ni</strong>, istilahi <strong>za</strong>ke zikaongezwa <strong>kwa</strong> ajili ya <strong>elimu</strong> rasmi, <strong>na</strong> ikatumiwa kama<br />

<strong>lugha</strong> ya kufundishia hadi mwaka wa 12 <strong>katika</strong> mfumo rasmi wa <strong>elimu</strong>. Masomo ya awali<br />

<strong>katika</strong> ngazi ya <strong>elimu</strong> ya juu yaliandaliwa <strong>kwa</strong> Kisomali. Kuzuka <strong>kwa</strong> vita ya wenyewe <strong>kwa</strong><br />

wenyewe mwaka 1986 ndicho kitu pekee kilichosimamisha mchakato huu.<br />

Mfano wa <strong>lugha</strong> ya Kisomali u<strong>na</strong>onyesha <strong>kwa</strong>mba sera thabiti ya <strong>lugha</strong> <strong>na</strong> <strong>elimu</strong> <strong>na</strong> ima<strong>ni</strong><br />

<strong>kwa</strong>mba <strong>ni</strong> jambo la kawaida kutumia <strong>lugha</strong> <strong>za</strong> <strong>Kiafrika</strong> <strong>katika</strong> nyanja zote <strong>za</strong> maisha ndizo<br />

sababu kuu <strong>za</strong> mafa<strong>ni</strong>kio (Griefenow-Mewis, 2004).<br />

Mifano ya uendele<strong>za</strong>ji <strong>lugha</strong> iliyotajwa hapo juu i<strong>na</strong>sisiti<strong>za</strong> ukweli <strong>kwa</strong>mba mawasiliano<br />

ya ki<strong>elimu</strong> <strong>na</strong> kitaaluma huwe<strong>za</strong> kufanywa <strong>kwa</strong> kutumia <strong>lugha</strong> maalumu <strong>za</strong> kiufundi<br />

ambazo hubadilika wakati wote. Hivyo basi, uundaji wa tahajia <strong>za</strong> <strong>lugha</strong> <strong>kwa</strong> ajili ya <strong>elimu</strong><br />

ya msingi <strong>na</strong> madarasa ya kujifun<strong>za</strong> kusoma <strong>na</strong> kuandika <strong>ni</strong> mwanzo tu <strong>na</strong> haupaswi<br />

kuchanganywa <strong>na</strong> uendele<strong>za</strong>ji <strong>lugha</strong> (Faye, 2006). Zaidi ya hayo, mfano kutoka nchi<strong>ni</strong><br />

Somalia u<strong>na</strong>onyesha <strong>kwa</strong>mba i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> kufanya mabadiliko ya <strong>lugha</strong> <strong>katika</strong> mfumo<br />

rasmi wa <strong>elimu</strong> <strong>kwa</strong> muda mfupi tu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!