05.02.2015 Views

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

Kuwekeza katika lugha za Kiafrika na elimu kwa lugha nyingi ni ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Serikali i<strong>na</strong>jenga<br />

mazingira ya <strong>lugha</strong><br />

<strong>nyingi</strong>, Mali<br />

Kihispa<strong>ni</strong>a, <strong>na</strong> Kireno) ndizo njia pekee ya kuleta maendeleo ya kiuchumi. Ku<strong>na</strong> sababu<br />

<strong>za</strong> kiuadilifu, kihistoria, kisiasa, kisaikolojia <strong>na</strong> kijamii, <strong>na</strong> zile <strong>za</strong> kimkakati zi<strong>na</strong>zoele<strong>za</strong><br />

kuwepo <strong>kwa</strong> hali hii <strong>katika</strong> nchi <strong>za</strong> <strong>Kiafrika</strong>, ikiwa <strong>ni</strong> pamoja <strong>na</strong> nchi hizi kutawaliwa<br />

<strong>na</strong> wakolo<strong>ni</strong> <strong>na</strong> changamoto ya utandawazi iliyopo leo hii. Ku<strong>na</strong> mambo mengi ya<br />

kukanganya ambayo <strong>ni</strong> vigumu kuepukika, hasa pale ya<strong>na</strong>potumiwa kama kisingizio cha<br />

kuficha dhamiri <strong>za</strong> kisiasa <strong>za</strong> dola moja kutawala dola <strong>nyingi</strong>ne.<br />

Matokeo ya tafiti mpya ya<strong>na</strong>zidi kuonyesha matokeo hasi ya sera hizi: zi<strong>na</strong>sababisha<br />

<strong>elimu</strong> du<strong>ni</strong> <strong>na</strong> kutwezwa <strong>kwa</strong> bara la Afrika, hali i<strong>na</strong>yosababisha »kuingia polepole <strong>kwa</strong><br />

usahaulifu <strong>katika</strong> fikra <strong>za</strong> pamoja» (Prah, 2003). Mafa<strong>ni</strong>kio <strong>na</strong> mafunzo yaliyopatika<strong>na</strong><br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hatua ndogo zilizochukuliwa <strong>na</strong> pia tafiti kubwa zilizofanywa kote bara<strong>ni</strong><br />

humu <strong>na</strong> kwingineko yametoa ushahidi maridhawa u<strong>na</strong>ohoji taratibu zilizopo <strong>na</strong><br />

kupendeke<strong>za</strong> haja ya kutumia njia mpya <strong>za</strong> matumizi ya <strong>lugha</strong> <strong>katika</strong> <strong>elimu</strong> 1 .<br />

Kutwezwa <strong>kwa</strong> Afrika ku<strong>na</strong>zidishwa <strong>na</strong> hali ya bara hili kukaribia kabisa kujitenga<br />

<strong>na</strong> mchakato wa kubu<strong>ni</strong> <strong>na</strong> ku<strong>za</strong>lisha maarifa du<strong>ni</strong>a<strong>ni</strong> kote. Afrika hutumia, wakati<br />

mwingine pasipo kuhakiki, taarifa <strong>na</strong> maarifa yaliyo<strong>za</strong>lishwa kwingineko <strong>kwa</strong> kutumia<br />

<strong>lugha</strong> zisizojulika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> watu wake walio wengi. Udu<strong>ni</strong> wa sekta ya uchapishaji bara<strong>ni</strong><br />

Afrika <strong>ni</strong> mfano mmoja tu. Asilimia tisi<strong>ni</strong> <strong>na</strong> tano ya vitabu vyote vi<strong>na</strong>vyochapishwa<br />

bara<strong>ni</strong> Afrika <strong>ni</strong> vitabu vya kiada <strong>na</strong> si vya habari <strong>za</strong> kubu<strong>ni</strong> au vya ushairi vyenye<br />

kuku<strong>za</strong> uwezo wa kufikiri <strong>na</strong> wa kubu<strong>ni</strong> wa wasomaji. Licha ya kuwa <strong>na</strong> utajiri mkubwa<br />

wa tamadu<strong>ni</strong>, Afrika ndiyo yenye idadi ndogo <strong>za</strong>idi ya machapisho ya kitaaluma,<br />

kama i<strong>na</strong>yodhihirishwa <strong>na</strong> Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l Social Science Citation Index (Kielezo Mtajo<br />

cha kimataifa cha Sayansi <strong>za</strong> Jamii), ambacho hujumuisha majarida ya kitaalamu ya<br />

kisayansi <strong>na</strong> kiufundi ya<strong>na</strong>yoongo<strong>za</strong> du<strong>ni</strong>a<strong>ni</strong> <strong>katika</strong> nyanja <strong>za</strong>idi ya 100 <strong>za</strong> kitaaluma.<br />

Asilimia moja tu ya mitajo <strong>katika</strong> kielezo hiki ndiyo hutoka bara<strong>ni</strong> Afrika. U<strong>za</strong>lishaji wa<br />

maarifa u<strong>na</strong>ofanywa <strong>na</strong> wasomi Waafrika <strong>na</strong> kutumiwa <strong>na</strong> umma hufanyika nje ya<br />

Afrika. UNESCO Science Report ya mwaka 2005 ilionyesha <strong>kwa</strong>mba Afrika huchangia<br />

asilimia 0.4 tu ya gharama <strong>za</strong> jumla <strong>za</strong> utafiti <strong>na</strong> maendeleo kimataifa, <strong>na</strong> <strong>katika</strong> kiasi<br />

hicho, Afrika Kusi<strong>ni</strong> huchangia asilimia 90.<br />

Hati ya <strong>lugha</strong> <strong>za</strong><br />

Kibete hujumuisha<br />

pichataarifa <strong>za</strong><br />

kifonetiki <strong>za</strong>idi ya<br />

400. Pichataarifa<br />

zilizotumiwa hapa<br />

zilichorwa <strong>na</strong> msa<strong>ni</strong>i<br />

Frédéric Bruly<br />

Bouabré kutoka<br />

Kodivaa<br />

(Mafundi<strong>kwa</strong>, 2007)<br />

5<br />

Hata hivyo, ikumbukwe <strong>kwa</strong>mba ku<strong>na</strong> tabaka adhimu la Waafrika walio weledi wa<br />

hali ya juu ambao wamewe<strong>za</strong> »kuzitawala« <strong>kwa</strong> umahiri mkubwa <strong>lugha</strong> <strong>za</strong> wakolo<strong>ni</strong><br />

<strong>na</strong> kuzifahamu <strong>na</strong> huchangia <strong>kwa</strong> ustadi <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> ubu<strong>ni</strong>fu <strong>katika</strong> kuendele<strong>za</strong> maarifa<br />

mapya, wakati mwingine wakiunga<strong>ni</strong>sha hali halisi ya Afrika au wakiusoma ulimwengu<br />

<strong>kwa</strong> mita<strong>za</strong>mo ya <strong>Kiafrika</strong>. Hata hivyo, Mwamko wa <strong>Kiafrika</strong> u<strong>na</strong>toa wito <strong>kwa</strong> watu<br />

kuelewa <strong>kwa</strong> unda<strong>ni</strong> <strong>za</strong>idi <strong>na</strong> kutegemea <strong>za</strong>idi maarifa, maadili, <strong>na</strong> hekima <strong>za</strong> <strong>Kiafrika</strong>,<br />

<strong>na</strong> kuusoma ulimwengu <strong>kwa</strong> jicho jipya <strong>na</strong> kushiriki <strong>katika</strong> kupea<strong>na</strong> maarifa <strong>na</strong> kutumia<br />

tekinolojia mbalimbali kufungua njia <strong>na</strong> <strong>na</strong>m<strong>na</strong> mpya <strong>za</strong> kuishi.<br />

1 Orodha ya tafiti <strong>na</strong><br />

taasisi <strong>za</strong> ai<strong>na</strong> hiyo<br />

zimetajwa <strong>katika</strong><br />

Kiambatisho 3 <strong>na</strong><br />

Kiambatisho 4.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!