19.05.2013 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Another point, is on loans. Hii Serikali yetu ya Kenya, inapendelea sana kuleta mikopo. Mikopo ya chakula, wakati wa shida<br />

tuseme, ningependa Serikali ichukue hatua ya kuwa, ikichukua mikopo, there must be something which is being established.<br />

Instead <strong>of</strong> kulete mikopo, tuseme kama ni ukosefu wa chakula, tupewe chakula na labda mwananchi wa kawaida hatapata kitu,<br />

na shida haitaisha. Kwa hivyo, ningependekeza hivi, irrigation schemes, because najua in Kenya, our land is capable. Yaani<br />

mashamba ya nchi ya Kenya iko na rotuba, kwa hivyo ningependeza nyikani, pande za Isiolo, Marsabit na kuendelea, si<br />

mchanga ambao ni shida, lakini it is because there is no water there, or lack <strong>of</strong> reliable rainfall. Kwa hivyo, ningependekeza<br />

mikopi hii inakuja in the name <strong>of</strong> food, iwe inaombwa, ama if the Parliament will sign for that or whoever will sign for that (a<br />

mwenye ata – sign- for hiyo mkopo ikuje), awe aweanazingatia kile kinaweza saidia miaka na miaka, for example, Huko<br />

nyikani kuna rotuba lakini hakuna maji. Hiyo misaada inakuja inafaaitengeneze some schemes, irrigation schemes huko, watu<br />

wanapata maji ya kunyunyuzia huko.<br />

My last point is that the period <strong>of</strong> being in remand should be reduced. Unaona watu wanakaa rumande wiki mbili. Labda<br />

when my case will be final, labda nitawachiliwa kwenda nyumbani, lakini nimekaa rumande tuseme miezi miwili. Narudishwa<br />

huko, na kukaa wiki mbili, nakuja kotini, nakataa kuitikia, narudishwa huko. Baadaye labda sitapatikana na makosa. I have<br />

wasted a lot <strong>of</strong> time. Tuseme nilikuwa na kazi nafanya, ama tuseme there was an opportunity, may be nilikwa nafanya kazi<br />

fulani, hiyo kazi nitaiacha na niende nikae rumande mwezi mmoja na sifanyi kitu huko. Nikija itanibidi nirudie ile shughuli<br />

nilikuwa nayo, so I would suggest that the period ya kukaa rumande should be reduced from two weeks. Asante.<br />

Com. Lenaola: Kuna swali, ngoja kidogo.<br />

Com. Nunow: Lawrence, I would like you to clarify the last statement that you made, regarding the remand period. You said<br />

it should be reduced from two weeks, to what? What would you consider to be the maximum period somebody should remain<br />

in remand, if he has been convicted or released?<br />

Lawrence: I would can suggest this, either three days or bond, awe na bond awe ana attend case akiwa huko.<br />

Com Lenaola: Asante sana, Lawrence. Eliud Mbugwa Mburugu, Stephen Mburugu. Halafu Muthoni Muriithi ukiwa tayari.<br />

Stephen Mburugu: My names are Stephen K. Mburugu. These are the points from Nduruma Location, Boshosi East<br />

Division, Central Imenti Constituency in Meru Central District.<br />

The points are many, but I will read afew. C<strong>of</strong>fee like any other crop, for example Tobacco, cotton etc should have their prices<br />

controlled, according to their classes and grades. To allow the farmers get good money, some c<strong>of</strong>fee reduction should be<br />

minimized for example, county council sales, milling charges, c<strong>of</strong>fee board sales deductions etc. National C<strong>of</strong>fee Leaders<br />

should be elected from the societies to the national levels. Any c<strong>of</strong>fee donations, like the ones which came from the Eropean<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!