constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Another point, is on loans. Hii Serikali yetu ya Kenya, inapendelea sana kuleta mikopo. Mikopo ya chakula, wakati wa shida<br />
tuseme, ningependa Serikali ichukue hatua ya kuwa, ikichukua mikopo, there must be something which is being established.<br />
Instead <strong>of</strong> kulete mikopo, tuseme kama ni ukosefu wa chakula, tupewe chakula na labda mwananchi wa kawaida hatapata kitu,<br />
na shida haitaisha. Kwa hivyo, ningependekeza hivi, irrigation schemes, because najua in Kenya, our land is capable. Yaani<br />
mashamba ya nchi ya Kenya iko na rotuba, kwa hivyo ningependeza nyikani, pande za Isiolo, Marsabit na kuendelea, si<br />
mchanga ambao ni shida, lakini it is because there is no water there, or lack <strong>of</strong> reliable rainfall. Kwa hivyo, ningependekeza<br />
mikopi hii inakuja in the name <strong>of</strong> food, iwe inaombwa, ama if the Parliament will sign for that or whoever will sign for that (a<br />
mwenye ata – sign- for hiyo mkopo ikuje), awe aweanazingatia kile kinaweza saidia miaka na miaka, for example, Huko<br />
nyikani kuna rotuba lakini hakuna maji. Hiyo misaada inakuja inafaaitengeneze some schemes, irrigation schemes huko, watu<br />
wanapata maji ya kunyunyuzia huko.<br />
My last point is that the period <strong>of</strong> being in remand should be reduced. Unaona watu wanakaa rumande wiki mbili. Labda<br />
when my case will be final, labda nitawachiliwa kwenda nyumbani, lakini nimekaa rumande tuseme miezi miwili. Narudishwa<br />
huko, na kukaa wiki mbili, nakuja kotini, nakataa kuitikia, narudishwa huko. Baadaye labda sitapatikana na makosa. I have<br />
wasted a lot <strong>of</strong> time. Tuseme nilikuwa na kazi nafanya, ama tuseme there was an opportunity, may be nilikwa nafanya kazi<br />
fulani, hiyo kazi nitaiacha na niende nikae rumande mwezi mmoja na sifanyi kitu huko. Nikija itanibidi nirudie ile shughuli<br />
nilikuwa nayo, so I would suggest that the period ya kukaa rumande should be reduced from two weeks. Asante.<br />
Com. Lenaola: Kuna swali, ngoja kidogo.<br />
Com. Nunow: Lawrence, I would like you to clarify the last statement that you made, regarding the remand period. You said<br />
it should be reduced from two weeks, to what? What would you consider to be the maximum period somebody should remain<br />
in remand, if he has been convicted or released?<br />
Lawrence: I would can suggest this, either three days or bond, awe na bond awe ana attend case akiwa huko.<br />
Com Lenaola: Asante sana, Lawrence. Eliud Mbugwa Mburugu, Stephen Mburugu. Halafu Muthoni Muriithi ukiwa tayari.<br />
Stephen Mburugu: My names are Stephen K. Mburugu. These are the points from Nduruma Location, Boshosi East<br />
Division, Central Imenti Constituency in Meru Central District.<br />
The points are many, but I will read afew. C<strong>of</strong>fee like any other crop, for example Tobacco, cotton etc should have their prices<br />
controlled, according to their classes and grades. To allow the farmers get good money, some c<strong>of</strong>fee reduction should be<br />
minimized for example, county council sales, milling charges, c<strong>of</strong>fee board sales deductions etc. National C<strong>of</strong>fee Leaders<br />
should be elected from the societies to the national levels. Any c<strong>of</strong>fee donations, like the ones which came from the Eropean<br />
20