constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
zinatambulikana.<br />
Jambo lingine, naonelea ya kwamba hakupaswi kuwa na nominated MPs kwa maana kama nominated MPs watakuweko,<br />
watakuwa wanashugulikia maslahi ya yule ambaye amem-nominate, au chama, kwa hivyo hatakwa anashugulikia nchi nzima;<br />
kwa hivyo yanafaa awe elected MP sio nominated. Hiyo nafasi naonelea ya kwamba isiweko.<br />
Com. Lenaola: Last two points.<br />
Peter Kiambi: Hapa ni upande wa vijana. Ningeonelea ni vizuri kama Constitution ama Katiba itakuwa na mpango ule<br />
ambao Serikali itakuwa na mpango wa kuwaajiri vijana wale ambao wanaacha shule – school leavers. Tunafaa tuwe na<br />
organization ile ambayo itakuwa funded by the Government, ambayo niya kuwasaidia vijana kama wanaji-organize, wana form<br />
self help groups, wanafaidika, ili waweze kuanzisha miradi ya kujisaidia wenyewe.<br />
Ya mwisho ni juu ya death, hii inaitwa basic rights. Hukumu ya kifo naonelea sio Nzuri kwa maana mwananchi anahaki ya<br />
kuishi. Wakati mwananchi anapohukumiwa kifo, inakuwa sasa hakuna faida kwa Serikali na, hakuna faida kwa nchi. Kwa<br />
hivyo kama watafungwa maisha, naonelewa atakuwa anasaidia, kwa maana atakuwa anatumika jela na atakuwa anasaidia<br />
Serikali.<br />
Hii ingine ni ya Security –Naonelea kuundwe chama ama kuwe na a body ile ambayo itakuwa inachunguza hawa polisi kwa<br />
maana, wanahongwa na sasa inakuwa service ile wanafanyia wananchi sio ya kulipisha kwa maana nikiwa sina pesa pengine<br />
mwananchi maskini anaenda ku-report case yake, pengine amepigwa, itakuwa haichukuliwi, na atakuwa anakaa tu, na sasa<br />
mambo yake yataishia hapo.<br />
.<br />
Com. Lenaola: Thank you Kiambi.<br />
Peter Kiambi: Sawa hayo mengine ni juu -------<br />
Interjection Com. Lenaola: Utaandikisha tu, tutasoma don’t worry. Asante. Any question? Njoo ujiandikishe hapa. Wapi<br />
Mzee Mrukunga, Councilor Solomon Mtungi, utamfuata.<br />
Erastus Mrukunga: The Commissioners na wananchi. I am here to present my views to you Kenyans. I am Erastus<br />
Mrukunga, Mzee <strong>of</strong> 70 years, former Councilor, Meru County Council – 1963. Mengi yamenipitia, kama wale wazee<br />
wengine, au pia vijana. I pray God, sijui kama mliomba, lakini ikiwa hamukuomba, nitaomba.<br />
Response: Tuliomba.<br />
46