19.05.2013 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ninawakaribisha, karibuni. Mjisikie mko nyambani. Hapa, hata wananchi nawashukuru na ninawakaribisha kwa kikao hiki.<br />

Hapa tuna wanakamati ambao wameweza kufika. Tuna Elisha Kamani.<br />

Elisha Kamani: Hamjamboni nyote.<br />

Response: Hatujambo<br />

Madam: Na Mrs. Mburugu Florence.<br />

Mburugu Florence: Hamjambo.<br />

Response: Hatujambo<br />

Madam: Pia Councilor, anakuja. Huyu naye ni Councilor Solomon, kutoka Kibirishia. Hao ndio wanakamati, ambao<br />

wameweza kufika. Coordinator naye ako hapa, Mr. Murii. Okay, asanteni. Mjisikie mko nyumbani, na mtoe maoni yenu bila<br />

kuogopa, kwa sababu hii ni kazi yetu zote tunafanya. Asanteni.<br />

Com. Lenaola: Asante sana Madam. Nitaanza na hapo. Kikao hiki ni Kikao huru. Hakuna kuogopa kutoa maoni, na<br />

hakuna kuogopa kwamba baada ya mkutano utafuatwa ulizwe umesema nini. Kwa hivyo ukiwa hapa, zungumza yaliyo moyoni<br />

mwako bila kuogopa kwamba kuna mtu atakuuliza baadaye. Kwa hivyo usiwe na wasi wasi kwamba ukiongea mambo ya<br />

Chief, mambo ya Councilor, mambo ya Mjumbe, mambo ya President utaulizwa kwanini. Hamna sababu mtu kuuliza swali lo<br />

lote. Kwa hivyo isiwe na wasi wasi kwamba pengine, mambo yako utaulizwa baadaye kwa nini umesema haya. Kwa hivyo,<br />

uwe huru kabisa kutoa maoni yako.<br />

Jambo la pili, uko na uhuru kuongea lugha yoyote. Ukitaka kuzungumza Kimeru, Kiswahili, Kiingereza, ile lugha ambayo<br />

unasikia ni rahisi kwako, njoo ukazungumze kwa hiyo lugha.<br />

Jambo la tatu, tutawapa wale ambao wako na barua, kama mmeandika memorandum, utapewa dakika tano, uaangaze tu.<br />

Usije ukasome page kumi ya memorandum, kwa maana yote itasomwa baadaye. Kwa hivyo, njoo tu useme mambo kumi<br />

ambayo ni muhimu kwa hiyo memorandum, halafu uketi, kwa maana uko na dakika ngapi, tano.<br />

Kama huna memorandum, na ungependa kuzungumza, nitakupa dakika kumi. Useme yako ambayo uko nayo, moja kwa moja.<br />

Tafadhali tusije tukatoa shida tu, kusema kwamba tuko na shida ya maji, tuko na shida ya barabara, tuko na shida ya elimu,<br />

tuko na shida ya afya, na husemi ungependelea jambo gani lifanyike. Kwa hivyo, njoo na mapendekezo. Ukitoa shida, toa<br />

pendekezo. Tumeelewana? Ukija, utakuja kuketi hapa, na ukazungumza. Ukisha maliza kuzungumza, utaenda pale kwa<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!