19.05.2013 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Serikali inafaa ione imewapatia wheel chairs. Nashukuru kwa maana saa imekwisha. Niko na memorandum yangu hapa<br />

ambaye nimepatiana, – ambaye ni ya 17 pages na nafikiri mtachukua na muisome.<br />

Com. Lenaola: Asante sana, tutaisoma page by page and letter by letter. Asante sana. Njoo ujiandikishe. Nilikuwa<br />

nimemuita nani? – Fredrick Mbutura. Karibu Mzee. Halafu Joyce Muriuki yuko? Utamfuata.<br />

Fredrick Mbutura: Asante bwana Chairman kwa kunipa nafasi hii ili nitoe maoni yangu. Maoni yangu ambayo natoa ni<br />

yangu binafsi,<br />

Com. Lenaola: Sema jina.<br />

Fredrick Mbutura: Majina yangu ni Fredrick Mbutura. Maoni yangu ya kwanza ni kuhusu uchaguzi au election. Uchaghusi<br />

ambayo nataja ni kuwa, – katika Kenya, tunachagua Rais, Mbunge, na hata Councilors kwa siku moja. Naonelea, kwa maoni<br />

yangu, kuwe na siku t<strong>of</strong>auti. Rais awe anachaguliwa peke yake,na ma-councilors na MPs wawe na siku yao peke yao. Hii ni<br />

kwa vile tunaona kuna mchanganyiko ambayo wengine hawaelewi. Wakati unachagua Rais, mwingine anaweka kura kwa<br />

Mjumbe, au kwa MP au kwa Councilor, kwa hivyo, Rais anafaa awe anachaguliwa peke yake kwa siku yake, t<strong>of</strong>auti.<br />

Naunga mkono, mambo ya urais. Rais hafai kuwa anapatiwa mamlaka makubwa yote, awe ndiye yuko juu ya sheria, kwa<br />

sababu tunajua Mungu tu pekee yake, ndiye ako juu ya sheria. Kwa hivyo uwezo wa Rais ipunguzwe. Ukipunguzwa, mambo<br />

mengine ambayo tunasema yanakaa hivi yanakaa vile, hayatakuweko kwa sababu hatakuwa na nguvu kama vile anateua<br />

ma-Katibu, anateua ma-Justice, anateua ma-director wakubwa, managing Directors, na anachugua ma-Councilors, ambao<br />

wote ni juu yake. Hatutaki hivi, katika Katiba ambaye itakayo kuja baadaye.<br />

Kuhusu mambo ya kahawa, hata mimi nitagusia. Kwa sababu mimi ni mkulima wa kahawa. Ningali nalima kahawa, na hata<br />

kuna wengine wanalima miwa. Katika kilimo ambacho ni cash crop, tunataka iwe mikononi ya wananchi wakulima wenyewe,<br />

Sio iwe Serikali inaingia, iwe ni katika shirika la Serikali. Serikali vile tunavy<strong>of</strong>ikiria, inaweza kuwa, itakuwa macho, kwa<br />

sababu hata wananchi wanaweza kupatiwa, wakapata wanyama wengine wa kula huko, Kwa hivyo, Serikali iwe ni macho.<br />

Kuhusu mashamba; mashamba ambayo tunayo ni haba, ni kidogo. Na kuna wengine hawana hata kitu kidogo hata mahali pa<br />

kuzikwa wakati watakufa. Wengi wanakwenda hata Nairobi, wanaona wengine wanalala huko kwa varanda ya maduka. Vile<br />

nasema, kuna watu wengine nao ma-settlers, ambao walichukua shamba kama ma-settler ambao walikuweko wakati wa<br />

u-colony wanachukua yote. Mashamba hayo nataka yagawiwe wananchi ambao hawana mahali pa kukaa. Inaonekana kuwa<br />

hata sasa, hata kama tuko na uhuru, ukoloni bada uko, kwa sababu mtu mmoja anaweza kuwa na maelfu ya ma-acre na<br />

mwingine hana chochote.<br />

Point ingine ni kuhusu mambo ya urithi. Nitaunga mkono wakina mama, sababu nasikia wanajitetea zaidi. Kweli katika urithi,<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!