31.01.2015 Views

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

67<br />

5. Aina ya shule yako unayosoma<br />

a) Ni ya serikali<br />

b) Si ya serikali<br />

6. Kidato unachosoma<br />

a. Cha kwanza<br />

b. Cha pili<br />

c. Cha tatu<br />

Kiwango cha utumiaji wa tumbaku<br />

7. Je, ulishawahi kusikia mwanafunzi wa shule hii anabwia ugoro<br />

a) Ndiyo<br />

b) Hapana<br />

8. Je, ulishawahi kuona mwanafunzi wa shule hii anabwia ugoro<br />

a) Ndiyo<br />

b) Hapana<br />

9. Ni maelezo yapi ambayo yanakufaa wewe dhidi ya matumizi ya ugoro<br />

a. Sijawahi kubwia ugoro hata kidogo<br />

b. Nilishawahi kujaribu kubwia ugoro<br />

c. Nilikuwa nabwia ugoro zamani lakini sasa nimeacha<br />

d. Nabwia ugoro kwa kila juma<br />

e. Nabwia ugoro kila siku<br />

10. Kama unabwia ugoro kila siku, je ni mara ngapi kwa siku<br />

a) Mara moja<br />

b) Mara mbili<br />

c) Zaidi ya mara tatu<br />

11. Kama ungekuwa na ugoro wa kutosha kwa siku, je ungebwia mara ngapi kwa siku<br />

a) Mara moja<br />

b) Mara mbili<br />

c) Zaidi ya mara tatu<br />

12. Je, ulishawahi kusikia mwanafunzi wa shule hii anatafuna tumbaku<br />

a) Ndiyo<br />

b) Hapana<br />

13. Je, ulishawahi kuona mwanafunzi wa shule hii anatafuna tumbaku<br />

a) Ndiyo<br />

b) Hapana<br />

14. Ni maelezo yapi ambayo yanakufaa wewe dhidi ya utafunaji wa tumbaku<br />

a. Sijawahi kutafuna tumbaku hata kidogo<br />

b. Nilishawahi kujaribu kutafuna tumbaku<br />

c. Nilikuwa natafuna tumbaku zamani lakini sasa nimeacha<br />

d. Natafuna tumbaku kwa kila juma

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!