31.01.2015 Views

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

73<br />

50. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu ambavyo waliamini vinaweza<br />

kumzuia mtu asitafune tumbaku. Ni kwa kiasi gani unafikiri vitu vifuatavyo vinaweza kumzuia<br />

mtu asitafune tumbaku (Weka alama V kwa kila jibu lako sahihi).<br />

S/NO Vitu<br />

Vilivyoorodheshwa<br />

i. Kuelewa madhara yatokanayo na utafunaji wa tumbaku<br />

ii. Malezi mazuri kutoka kwa wazazi na walezi<br />

iii. Kuishi katika jamii isiyopenda kutafuna tumbaku<br />

iv. Mafundisho ya kidini<br />

v. Harufu mbaya kutoka mdomoni<br />

vi. Tumbaku kuuzwa kwa bei ghali<br />

Haizuii<br />

kabisa<br />

Haizuii Inazuia Inazuia<br />

kabisa<br />

51. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu walivyoamini humvutia mtu kuanza<br />

kuvuta sigara. Ni kwa kiasi gani unakubali kuwa vitu hivi humvutia mtu kuanza kuvuta sigara<br />

Weka alama V kwenye jibu lako sahihi).<br />

S/NO Vitu vilivyoorodheshwa Sikubaliani<br />

kabisa<br />

Sikubaliani Nakubalian<br />

a<br />

Nakubaliana<br />

kabisa<br />

i. Mvuto wa marafiki<br />

ii. Kujaribu au kuonja radha ya sigara<br />

iii. Kutokuelewa madhara ya kiafya yatokanayo na uvutaji<br />

wa sigara<br />

iv. Kutumia kilevi kama vile pombe<br />

v. Mtazamo kuwa uvutaji wa sigara huondoa mawazo<br />

vi. Kuishi na watu ambao ni wavutaji wa sigara kama vile<br />

wazazi na ndugu<br />

vii. Matangazo yatolewayo na viwanda vya sigara<br />

52. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu vinane (8) ambavyo waliamini<br />

vinaweza kumzuia mtu asivute sigara. Ni kwa kiasi gani unafikiri vitu vifuatavyo vinaweza<br />

kumzuia mtu asivute sigara (Weka alama V kwa kila jibu lako sahihi)<br />

S/NO Vitu<br />

Vilivyoorodheshwa<br />

i. Kuelewa madhara yatokanayo na uvutaji wa sigara<br />

ii. Malezi mazuri kutoka kwa wazazi na walezi<br />

iii. Kuishi katika jamii isiyopenda uvutaji wa sigara<br />

iv. Mafundisho ya kidini<br />

v. Harufu mbaya kutoka mdomoni<br />

vi. Sigara kuuzwa kwa bei ghali<br />

Haizuii<br />

kabisa<br />

Haizuii Inazuia Inazuia<br />

kabisa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!