DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf
DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf
DISSERTATION WORK MSAFIRI KABULWA.pdf
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
73<br />
50. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu ambavyo waliamini vinaweza<br />
kumzuia mtu asitafune tumbaku. Ni kwa kiasi gani unafikiri vitu vifuatavyo vinaweza kumzuia<br />
mtu asitafune tumbaku (Weka alama V kwa kila jibu lako sahihi).<br />
S/NO Vitu<br />
Vilivyoorodheshwa<br />
i. Kuelewa madhara yatokanayo na utafunaji wa tumbaku<br />
ii. Malezi mazuri kutoka kwa wazazi na walezi<br />
iii. Kuishi katika jamii isiyopenda kutafuna tumbaku<br />
iv. Mafundisho ya kidini<br />
v. Harufu mbaya kutoka mdomoni<br />
vi. Tumbaku kuuzwa kwa bei ghali<br />
Haizuii<br />
kabisa<br />
Haizuii Inazuia Inazuia<br />
kabisa<br />
51. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu walivyoamini humvutia mtu kuanza<br />
kuvuta sigara. Ni kwa kiasi gani unakubali kuwa vitu hivi humvutia mtu kuanza kuvuta sigara<br />
Weka alama V kwenye jibu lako sahihi).<br />
S/NO Vitu vilivyoorodheshwa Sikubaliani<br />
kabisa<br />
Sikubaliani Nakubalian<br />
a<br />
Nakubaliana<br />
kabisa<br />
i. Mvuto wa marafiki<br />
ii. Kujaribu au kuonja radha ya sigara<br />
iii. Kutokuelewa madhara ya kiafya yatokanayo na uvutaji<br />
wa sigara<br />
iv. Kutumia kilevi kama vile pombe<br />
v. Mtazamo kuwa uvutaji wa sigara huondoa mawazo<br />
vi. Kuishi na watu ambao ni wavutaji wa sigara kama vile<br />
wazazi na ndugu<br />
vii. Matangazo yatolewayo na viwanda vya sigara<br />
52. Wanafunzi wa shule za sekondari walioorodhesha vitu vinane (8) ambavyo waliamini<br />
vinaweza kumzuia mtu asivute sigara. Ni kwa kiasi gani unafikiri vitu vifuatavyo vinaweza<br />
kumzuia mtu asivute sigara (Weka alama V kwa kila jibu lako sahihi)<br />
S/NO Vitu<br />
Vilivyoorodheshwa<br />
i. Kuelewa madhara yatokanayo na uvutaji wa sigara<br />
ii. Malezi mazuri kutoka kwa wazazi na walezi<br />
iii. Kuishi katika jamii isiyopenda uvutaji wa sigara<br />
iv. Mafundisho ya kidini<br />
v. Harufu mbaya kutoka mdomoni<br />
vi. Sigara kuuzwa kwa bei ghali<br />
Haizuii<br />
kabisa<br />
Haizuii Inazuia Inazuia<br />
kabisa