17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

.<br />

i


Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428)<br />

Vitabu 1000.<br />

First addition<br />

<strong>Al</strong>l rights reserved<br />

ii.


No.<br />

Yaliyomo:<br />

Ukurasa.<br />

1. Yaliyomo…………………………………………… iii.<br />

2. Utangulizi (Mqaddima <strong>Al</strong> Habib Syd. Omar……….. v.<br />

3. Dibaji <strong>Al</strong> Faqqer Sheikh Ahmed Sheikh (<strong>Al</strong> Murhum) vi.<br />

4. Shkrani (Ahly Majaalis)…………………………….. viii.<br />

5. Kuvutika kwa Nuru ya Bwana Mtume Saw………... 1.<br />

6. Mtu ni Roho, Moyo au Nafsi……………………….. 7.<br />

7. Maswali……………………………………………... 16.<br />

8. Utamjuaje Mtu kama yeye ni Walii?.......................... 20.<br />

9. Maswali……………………………………………... 23.<br />

10. Urithi wa Mwanachuoni mkybwa Duniani…………. 29.<br />

11. Mwinyi Anaijazi Majaalis El Ulaa…………………. 30.<br />

12. Ijaza…………………………………………………. 36.<br />

iii.


<strong>Al</strong> Habib Seyyid umar Bin Abdallah.<br />

(Mwinyi Baraka)<br />

iv.


BISMILLAHIR-RAHMANIR-RAHIM:<br />

UTANGULIZI:<br />

<strong>Al</strong> hamdu-lillahi Rabbil <strong>Al</strong>amin, Was Swalaatu Was<br />

Salaam, <strong>Al</strong>a Ashrafil Anbiya Wal Mursalin <strong>Al</strong>ladhi Unzila<br />

<strong>Al</strong>ayhi Lawlaa Nafarun Min Firqatin Kulli Twa Fatin Layatafaqqahu<br />

fii Diin Wa`alaa <strong>Al</strong>ihit Twahirina wa Aswaha-Bihil<br />

Akramiin.<br />

Amma Ba`ad:<br />

Wameniamrisha nsoweza kuwavunja na wakanitaka<br />

Watu ambao naona uzito kwenda kinyume nao, nieleze<br />

yatayosahilika katika safari zangu.<br />

Sasa naingia kufanya hayo kwa msaada wa Mnyezi<br />

Mungu na uwezo wake: Laa-hawlaa Walaa Quwata Illa Billahi<br />

<strong>Al</strong>iyyiy Adhim.<br />

OMAR ABDALLAH,<br />

DAR ES SALAAM – TANZANIA.<br />

v.


DIBAJI<br />

<strong>Al</strong> – hamdul-lillah wa swalatu was salaam alaa Khayru Khalqillah Sayyidna<br />

Muhammad wa A-lihi wa Swahbihi waman waala wa Baad.<br />

Hichi ni kitabu ambacho <strong>Al</strong>- habib Sayyid Omar Bin Abdallah mashuhuri<br />

kwa jina Mwinyi-Baraka katika wajukuu wa Sayyid Abu-bakkar Bin Salim-Mola<br />

Enaat huko Hadharamut, kwa taabu alielezea mwenyewe akiwa amejinyoosha<br />

kwenye kitanda alipokua mgeni wa Bw. Mohamed Khan Shemeji yake na <strong>Al</strong>- marhum<br />

Swaahib El - Ishara Bw. Akram Mohd aliyefia Mwanza kati ya Mwaka 1988 na<br />

89 Mwanza-Tanzania <strong>Al</strong>lahu Yarhamuhu wa Jamill Muuminina Wal Muuminaat.<br />

<strong>Al</strong>ikua akizungumza kwa shida sana pengine Dak. 10. Pengine ndo gha-ya<br />

Dak. 15. Kwa hiyo ilikuwa tukimfwata na Tepu Recorder mara kwa mara tukiwa na<br />

Akh. <strong>Al</strong>y Mzee Comorian toka Mkunguni kwa <strong>Al</strong>-marhumu Mohamed Bin Mahdi na<br />

wanawe kina Akh. Islam, Khamis na <strong>Al</strong>-marhumu Mahdy Mohamed Mahdy<br />

<strong>Al</strong>lahummaghfir-lahum wa yarhamhum jamiia.<br />

<strong>Al</strong>-hamdu-lillah tuliwahi kumaliza kunasa na kunukuru yote kuhusu safari<br />

zake za Europe na Amerika kama itavoonekana ndani yake. Kwa vile lengo kubwa<br />

la safari zake tukiacha kusoma ilikua ni Jihadi katika Dini ya Mnyezi Mungu nayo si<br />

nyingine bali ni Uislamu, tumeonelea kukiita “Mwinyi Baraka katika Ulimwengu<br />

wa Uislamu” tukitegemea kwa imani zote kua:<br />

(a)<br />

(b)<br />

(c)<br />

kitazagaza maarifa mazuri kwa watakaokisoma.<br />

kutakua angalau na kumbukumbu ya mmoja wa wanafalsafa wa<br />

Kisufi mkubwa lakini hakupata umashuhuri nchini kwao mpaka<br />

amekufa.<br />

Tutafaulu Insha-allah kumjulisha yule ambae hakumjua<br />

mwanachuoni mkubwa huyo wa East -Africa na labda kumuigiza<br />

au kumtakia dua, kwani ipo hasara kubwa kwa kule kushindwa<br />

kumtumia vile ambavyo ingepasa.<br />

Tabia yake katika kujitupa chini na kujiona kua si kitu alifahamika vibaya<br />

kwa ambao hawakumjua, na hijabu ya wazi wazi kwa walomjua vizuri kabisa. Dalili<br />

kubwa ilionekana mara nyingi alipokuwepo Jijini hapa, si wengi walojua, kwa hiyo<br />

ilifikia mpaka anaondoka si wengi walokua na habari hata ile ya kuepo Jijini hadi<br />

kufikia mwezi mzima! mara kadhaa alipata mwaliko kwa mwanafunzi wake<br />

mkubwa, alipokua madarakani<br />

vi.


<strong>Al</strong>-hajj <strong>Al</strong>y Hassan Mwinyi – Mzee Rukhsa - Ikulu na alitutaka rukhsa<br />

aende au asiende.<br />

Ahlil Majaalis El Ula El Qa-diriyya hawataacha kulia kwa<br />

huzuni kila wakifikiria uamuzi aloutoa baada ya makubaliano kua<br />

angeandika tafsiri ya kite kwa lugha ya Kiswahili ya kitabu kitukufu<br />

Qu-ran baada ya kushindikana kuitoa tafsiri hiyo kwa njia ya TVZ, lakini<br />

pia Majaalis nao hawakuwahi kwa sababu aliomba aende Comoro<br />

akamshauri mkewe aje nae D’Salaam nyumbani kwa <strong>Al</strong> -marhumu Bw.<br />

Moh’d Mhdy (A.y). Kinyume ya mambo ni kwamba kwenda kwake<br />

Comoro alikua ameshaitwa kwenda kukutana na ajali yake badala ya kuja<br />

tena D’Salaam kwa ajili ya kazi ya tafsiri ambayo ilitarajiwa kuchukua<br />

miaka mitatu mizima.<br />

Na ilifikiriwa kutoa juzuu moja moja kama alivoanza hivo <strong>Al</strong><br />

marhumu Sheikh Abdallah Swaleh El - farsy (Ay).<br />

Bumbuwazi tulolipata bila ya kumuomba aanze na utangulizi na<br />

Surat El Fa-tiha tu tulifanikiwa nalo baadae kabisa kua lau mtu angejua<br />

ghaibu basi kuzidisha kheri kwetu ingetumilikisha angalau na tafsiri ya<br />

Surat El - Fatiha ya <strong>Al</strong>-habib Sayyid Omary Abdallah Mwinyi Baraka<br />

(Rahmatullah a`layhi). Kwa sababu <strong>Al</strong> - habib alitudarisha vizuri sana<br />

kuhusu somo la Nafsi (Tizama kitabu chetu “Maana halisi ya Imaani II”)<br />

hatuoni haja yeyote ya kulaumu walokua na uwezo mkubwa na kueka<br />

kumbukumbu ya mwanachuoni huyo kabla na labda baada ya kufa kwake.<br />

Akielezea mwenyewe <strong>Al</strong> - habib kua kila alipokua Makka <strong>Al</strong> -<br />

marhumu Bin Bazz alikuwa akimtanguliza…… “Omar Swalisha”.<br />

Akimwambia:- “Bwana Mtume SAW akisema:- “Ahlishsharafaalaa<br />

Ahlisharaf watu wa Sharaf hupitana kwa Sharaf. Walaa Yaaarifa Ahlish<br />

– sharaf wala hawawajui watu wa Sharaf Illa Dhawish Sharaf Illa ambao<br />

ni watu wa Sharaf”.<br />

Kwa niaba ya Majaalis natwaa fursa hii kuwashukuru mno vijana<br />

wa Darasa la kila Jumatano Baadal - Maghrib Mtaa wa Sadani Ilala baina<br />

kina Sharif Karama kwa juhudi yake kubwa katika kuziandaa kwa makini<br />

na uangalifu sana jumla ya makala hizo na kuzitoa katika Computer - kina<br />

Sharif El -Beyt Hussen, Fuad, Mohamed, Mkhashshe, Swahibul - Ishara<br />

Swaleh Hariz, Okashi, Mustafa, kina Ababil Abdallah Twalib Arusha na<br />

wote wa Jalsa hiyo Mnyezi Mungu atawajazi Fid Dunia Wal A-khirah.<br />

AL – FAQEER.<br />

AHMAD SHEIKH


Shukurani (Ahly Majaalis):<br />

<strong>Al</strong>-Hamdu lillahi, wa Swalatu Wasa- Salaam a`laa khayru khalqi<br />

Llah Seyyidna Muhammad wa a-lihi wa Swahbihi wa man waalaha, Wa<br />

Baad.<br />

Hichi ni kitabu ambacho ni baadhi ya khutba zake al- habbibi,<br />

Seyyid Umar bin Syd Abdullah bin Syd Ahmad <strong>Al</strong>-Sheikh Abibakar bin<br />

Salim Sahbi e naat, Hadharamut, ambazo zimerekodiwa na kukusanywa<br />

na Ahl – muridi wake wa Dar es salaam kwa njia ya Video na Audio<br />

Cassette kwa lugha ya Kiswahili, Kiarabu na Kiingereza.<br />

Tumeamua kuziweka katika njia ya vitabu ili Waislamu na<br />

wasiokuwa Waislamu wanufaike na mawaidha ya mwana chuoni mkubwa<br />

kabisa wa wakati huu katika ulimwengu nae ni: “Assaffi sarri rra,<br />

Munawar Bassira “<strong>Al</strong>-habbib Sayyeid Umar bin Syd Abdallah ( Mwinyi<br />

Baraka).<br />

Watu wengi wanauliza na kuendelea kuuliza kwa nini <strong>Al</strong>-Habib<br />

hakuandika kitabu nae katika elimu ya dunia amefikia cheo cha Uprofesa?<br />

Kwa bahati nzuri sisi Ahli Majaalis tulijaaliwa na <strong>Al</strong>lah kumuuliza. Nae<br />

akajibu: “Niandikenini? Siwezi kuchanganya Bafta na Hariri”.<br />

Tulipomuomba atufananulie akaendelea: “<strong>Al</strong>-Imam <strong>Al</strong>-Habbib Syd<br />

Umar bin Syd Ahmad bin Syd Abubakar bin Summeit, ameandika Rihla<br />

kutoka zanzinzibar kwenda hadharamut na kurudi zanzibar, mimi niandike<br />

nini?. Yeye ni hariri bila shaka”.<br />

Kwa jawabu hii ametupa elimu ya juu kabisa sisi Muridi wake, na<br />

tulipomshauri kwa kumuomba: “Je unaonaje hizi baadhi ya khutba zako<br />

tulizojaaliwa kuzirikodi tukaziweka katika njia ya vitabu, kama wanafunzi<br />

wa Maulana Abdul Wadud wa Pakistan?” akajibu “Kheri shauri”.<br />

<strong>Al</strong>lah amzidishie Nuru dhariha lake, Sheikh <strong>Al</strong> <strong>Faqeer</strong> Ahamad bin<br />

Sheikh Muhamad Msiha, Kwa kuchukua jukumu hili kubwa la kunakili<br />

cassette za Sheikh wake na kuziweka katika njia ya vitabu, sio kazi ndogo<br />

ukitizama Mhadhiri<br />

viii.


mwenyewe ni Mwana falsafa aliyebobea Ulumi zote za akhera<br />

na za kidunia. kwa madadi yao na buruhani zao <strong>Al</strong>lah<br />

atatuwezesha sisi<br />

kuendeleza pale alipokomea <strong>Al</strong> <strong>Faqeer</strong> Sheikh Ahmad.<br />

Insha <strong>Al</strong>lah Mwenyezi Mungu Ajaalie kila ataesoma<br />

kitabu hichi anufaike na yaliyomo, pia Mwenyezi Mungu<br />

awalipe malipo mema wote walioshiriki kwa njia moja au<br />

nyingine mpaka kufanikisha kutoka kwa kitabu hiki – Amin.<br />

Ahly Majaalis El Ulaa El Qadiriya.<br />

Sinza Dar es Salaam,<br />

Tanzania.<br />

June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428)<br />

ix.


MUHADHARA WA AL HABIB<br />

SEYYID UMAR BIN ABDALLAH<br />

(MWINYI BARAKA)<br />

5TH JULY – 1986 (1406HR)<br />

KINONDONI<br />

DAR-ES-SALAM<br />

TANZANIA.<br />

x.


بسم هللا الر حمن الر حيم<br />

KUVUTIKA KWA NURU YA BWANA MTUME SAW<br />

KWA WAPENDANAO LILLAHI:<br />

“BISMILAH - WALILLAHIL - HAMDU”<br />

Ndugu wapenzi, walillah wa wafilla wa billah. Na inataka ibada ya<br />

miaka mingi sana hata watu wapewe wanaopewa watu waliokusanyika namna hii<br />

kwa muda mchache. Kwa sababu, kwanza Mtume SAW anapenda kuwaona<br />

ummati waliokusanyika pamoja. Anafurahikiwa nao na Nuru yake inavutika kwa<br />

watu wa namna hiyo.<br />

Na hadithil Qudus inasema: “Wajabat mahabbati, yamepasa<br />

mapenzi yangu, Lil muta ha-b-bina fi-ya kwa wanaopendana kwa ajili yangu,<br />

al mutaja-li-sina fiiya, wanaokaa pamoja, wamekaa kitako pamoja kwa<br />

sababu yangu mimi. Kwa hiyo tupo katika kheri kubwa. Ndo tumeanza majlis yetu<br />

kwa kusoma Qur-an, na tumeendelea kwa kumsifu alieteremshiwa Qur-an<br />

Nabiyyuna Muhammad SAW. “<strong>Al</strong>ipoulizwa seyyidatna A-ysha alikuwaje Mtume<br />

SAW? “Ka-na khuluquhul-Qur-an” tabiya zake zilikuwa ni Qur-an. Tizama<br />

Qur-an inasemaje, utamkuta yeye ndo vile vile.<br />

Kama anavyosema mwenye Di-bai: Wa kana SAW Ahsanan Nas<br />

Khalqan wa khulqan, “ndiyo mwema kuliko watu wote kwa umbo na tabia na<br />

wah-da-hum na ndiye mwenye kuongoka kuliko wote, Ilal ha-qqi, kuindea<br />

haki, twariqa katika hii njia, kana kuluquhu-l-Qur-an, tabia zake zilikuwa<br />

Qur-an, “Wa ashi-matuhu-l-ghufran, kusamehe ndio tabiya zake, kusamehe<br />

ndio mwendo wake, hajapata kumuekea undani yeyote hata akimfanya vipi, hata<br />

makafiri waliofanya mabaya Makuiresh ambao kabla hawajasilimu, wamechupa<br />

mpaka katika kufanya uovu waliposilimu kawasamehe yamekwisha. “Yanswahu<br />

lil Insan akina-sihi watu, kila analolisema ni nasaha ya watu. Watu namna na<br />

kuishi kiutu hapa duniani waondoke kiutu, wende peponi wakae kama wanavofaa<br />

watu wa peponi kukaa. Wa yafsahu Bil Ihsan, akikunjuwa katika Ihsani,<br />

alikua karimu sana. Wema wake ukiwafikilia masahaba na watu wengine na hata<br />

waliosilimu karibu.<br />

Yafsahu Bil Ihsan wa yaafu anidh-dhamb husamehe dhambi, idhaa kana<br />

fi haqqihi, ikiwa ni katika haki yake yeye, uovu wowote<br />

utaofanyika ambao anafanyiwa yeye basi anasamehe kama kwamba<br />

1.


hapajafanywa jambo. Bali hufurahi kwa kuona kapewa thawabu za bure.<br />

Hamchukii yule mtu aliemfanyia uovu ule wala hamuekei undani Idha kana fihaqqihi<br />

wa sababih, wa idha dhuiya haqqil Llah. Haki ya Mwenyezi<br />

Mungu ikipotezwa, lam yakum an adun lighadhabihi – hasimami yeyote kwa<br />

hasira zake.<br />

Anakasirika anachupa mpaka kinyume na sisi. Ya Mwenyezi Mungu<br />

hatuna haja nayo, tunawafanyia watu wanavyotaka. Lakini mtu akiguswa yeye<br />

kidogo tu, akitukanwa yeye kidogo tu, utaona wewe, ugomvi utakaotokea.<br />

Kinyume ya Mtume SAW yeye mwenyewe anaona upuuzi. Yanayomfika yeye<br />

lakini ya Mungu ndio yanayomshughulisha. Waidha dhuniya haqqul lah lam<br />

yakum alahdun lighadhabihi, waman raahu badi-hatun haraba.<br />

“Mwenye kumuona kwa ghafla hivi humuogopa” Pasnaliti yake ilikuwa kubwa<br />

sana haina kiasi. Waidha daahul miskin ajaba, na maskin akimwita<br />

akimwalika anakwenda anakuwa yeye ni mfalme, yeye Mtume yeye katawala watu,<br />

watu wanamtii, na ndo mkubwa.<br />

Aa katika kutisha kwake safari hii moja katika baadhi ya vita alikuwa<br />

chini ya mti anapumzika akaja mtu na upanga, akamwamsha, akamwambia –<br />

“Nani, atakuhifadhi na mie leo?” akainuka Mtume SAW na kitisho chake<br />

akamwambia <strong>Al</strong>lah! <strong>Al</strong>lah. Yule akatetemeka, upanga ukamuanguka, akauokota<br />

Mtume SAW akamwambia “Nani atakunusuru na mie leo?” Akamwambia: “A-a-!<br />

wewe mtu mtukufu tunajua sifa zako hivi! Akamwambia: “Chukua upanga wako<br />

nenda zako” Yule akarudi kwa watu wake akawambia “Nimekuja kutokana na mtu<br />

alie bora kabisa, mtu ambaye hapana kama yeye”. Wakaja chungu nzima kuja<br />

kusilimu.<br />

Wale wanaosingizia Uislamu kua umetawanyika kwa upanga, hawajui<br />

amma wanafanza makusudi kuusingizia uongo Uislamu. Waidhada ahul miskin<br />

aja-ba.<br />

Yaqu-lul haqq husema kweli, ukweli anausema tu walau kana murrah<br />

– hata ikiwa ni mchungu. Bila shakka anautia sukari sukari, na hivi, nini, lakini<br />

anausema, yaani anausema kwa namna nzuri. Ud-u-ila sabi-li-Rabbika”. Ita<br />

watu kwa njia ya bwana wako – Bil-hikmat, kwa hikma wa maw-idhatan<br />

hasanat, na mawaidha mema. Akisema na mtu kwa maneno mema kabbisa.<br />

Mfano mkubwa ni alipoingia Makka baada ya kutolewa Makka akaenda<br />

Madina - Sasa aliporudi Makka wakakusanyika walio wengi waliomfanyia uovu na<br />

wakapigana nae vita, wengine wamewahi Badru, wengine Uhud, wengine wapi<br />

na wapi, akawaambia “Ma-tadhun-nun an-nanifailin bikum? Mnadhani nini<br />

mimi nitakufanyeni?<br />

2.


Wakamwambia “Akhun-kari-m”. Wakamjibu wewe ni ndugu mtukufu<br />

wa Ibn Akhun kari m na Mtoto wa ndugu Mtukufu, hatutaraji ila<br />

utukufu tu kutokana na wewe. Na wanaandika hata wasiokuwa Waislam<br />

kuwa wengi katika wao wangeliuliwa, (tareikh) historia isingelimlaumu<br />

Mtume SAW kwa jinsi uovu wao ulivyokuwa mkubwa na yeye aliwaambia<br />

nini? Idh-habu fa-antumut tulaka-u Nendeni zenuni na nyie nyote<br />

mmeachwa huru, hakuwaambia hata silimuni, huwezi kuwasalimisha watu<br />

kwa nguvu – Afanta takrihun nasa hatta yaku-nu muunini–n?<br />

Utawalazimisha watu mpaka waamini? Lakini akitaka fursa awaeleze<br />

Uislamu nini.<br />

Wajue Uislam nini wenyewe wautamani Uislamu, wenyewe<br />

waingine katika Uislam La ikra ha fid din. hapana kutenzwa nguvu<br />

katika dini iko kuelezwa watu, iko kuvutwa watu, iko kutamanisha watu<br />

kwa Uislamu – wakaongoka. Akawaambia La tathriba alykum-lyawm<br />

hapana Tathriba alykum – ul yaum, irhamul Llah, leo hapana<br />

lawama juu yenu – yaghfir-Llah lakum Mungu atakughufuri lieni,<br />

<strong>Al</strong>lah akbar mlioyafanya yote hayo Mungu ataghufirilieni Wahuwa<br />

arhamu rahimina na yeye ndiye mwenye kurehemu La tathriba<br />

alykum-l-yaum, yaghafiru-l-lah lakum wahuwa arhamurahimina.<br />

Hata wanafasiri kwa kiingereza wanasema: “There is no<br />

blem upon you today. may God forgive you all, and he is the<br />

most merciful of all merciful the merciful”.<br />

Wanasema hapana mtu aliopata maadui zake katika tareikh akaweza<br />

kuwayafanya anayoyataka. Maadui waliomfanyia ubaya mwisho wa ubaya<br />

akaweza kuwafanya anavyotaka yeye, kama yeye Mtume Muhammad<br />

SAW, alivyowapata maadui zake, na yeye hakuwafanza lolote bali<br />

akawaghufirilia na akawaachia wamekwenda zao. Mwisho wenyewe<br />

wamerejea wamekuwa Waislamu na wale wale ndio waliokuja<br />

wakausimamia Uislamu na watoto wao wakaupeleka mbele mpaka<br />

ukatufika sisi. Waman rahu badihatan har-aba waidha daa hul<br />

miskin-aja-ba yaqul haqqa walaukana murra-walayadhlumun<br />

Muslim, ihsan wala dhura. Hamuekei Muislamu Ghush, hamfanyii<br />

Ghush wala madhara – yaani hamfanyii madanganyo - Ghush ni<br />

kumdhihirishia mtu jambo moja kumbe mambo ni vengine sivyo vile<br />

ulivyomdhihirisha. Unasema unamuuzia machungwa kumbe unamuuzia<br />

majani, unamuuzia Samaki kavuliwa leo kumbe alikuwa katika barafu,<br />

hiyo ndiyo Ghush. Kumdhihirishia sivyo vile mambo kama yalivyo,<br />

Mtume alikuwa hana. Vile vile (straight forward) ilivyo ndivyo<br />

3.


anavyokuonyesha alivyo. Wala madhara hakuwekei katika moyo wake<br />

kwa kupata kufanya jambo baya, naye atamlipa hana. Man nadhara<br />

Biwajihi alima anahu laysa biwajih kadh-dhabi. Mwenye<br />

kutazama uso wake anajua kuwa uso huo sio wa mtu muongo ukimuona tu<br />

na hata maadui zake wasiomkubali wakijua hayo na wengine wameyasema<br />

khassa uso safi sawa sawa. Na wafuasi wake wako ambao ukiwaona<br />

unasema uso huu si wa mtu muongo ni uso wa mkweli, sikwambii yeye<br />

mwenyewe Sayyid sadiqina, wal ladh sadaqa wasadaqa bihiulayka<br />

humul muttaqun, waqad jaa-bis-sidiq-wasadaq bih, u-<br />

layka-humul muttaqun - <strong>Al</strong>okuja na ukweli na yule alomsadikisha hao<br />

ndo wacha Mungu. Nani alokuja na ukweli? Ni yeye Sayyidna Muhammad<br />

SAW na mkubwa wa waliosadikisha, Hapana kama Sayyidna Abuu<br />

Bakkar Sidiq - kwa hivyo, mwisho Qur an inasema Lahun-ma-yashauna<br />

inda rab-bihim, Wana kila wanalolitaka kwa Bwana wao,<br />

wadhalika jazaaul muhsinin, hayo ndiyo malipo ya wafanyaji wema,<br />

wana kila wanalolitaka kwa Mwenyezi Mungu kwa hivyo ndo maana watu<br />

huweta wawasemee kwa Mungu. Katika kukubwa kabisa ni huyu Bwana<br />

tuliochagamana nae - <strong>Al</strong> haykal samadan, wal kindi–lun nurani<br />

Sayyidna Abdul Qa-Dir Jailan. ana kila analolitaka kwa Mwenyezi<br />

Mungu kwa sababu alikuwa katika hawa, Mungu aliowasemea: Lahuma-yashauna<br />

- bali wa mbele kabisa na juu kabisa Sayyidna Abdul<br />

Qadir, hata aliwahi kupita pahala na Mungu watu kama hawa<br />

anawafungulia wanaona kila pahala, huku Bazrakh, wapi kapita kakuta<br />

mtu anaadhibiwa katika kaburi akasema mtu huyu hajapata kuniona?,<br />

hajahudhuria majlis yangu? Akaambiwa hajahudhuria hajapata kuniona?<br />

Hajapata kukuona. Mradi kila namna anatafuta akapate kumuombea kwa<br />

Mwenzi Mungu, ipatikane sababu ndogo akamuombee kwa Mwenyezi<br />

Mungu asamehewe hii ndio hali ya Mawalii wa Mungu kwa watu hivi hivi,<br />

sikwambii kwa wanaopenda wanatamani na wao wangefuata nyayo zao<br />

kwa kumtii Mwenyezi Mungu na kuepukana na Mwenyezi Mungu<br />

aliyokataza, na kuutumikia Uislamu kwa kusafisha kifua na Moyo ikiwa<br />

hawana azma nyengine zozote. Hawadhihirishi kusema wanatengeneza<br />

dini kumbe wanatengeneza dunia yao. Jitihada yao ni kumtumikia<br />

Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu anawatumikia, Mwenyezi Mungu<br />

anawapa kama yeye huyo Bwana mmoja niliyekutajieni na baadaye<br />

wamekuja wangapi, Wana wema Muridi wake Makhalifa wake mpaka leo<br />

kwa Maelfu wamejaa duniani mambo yao yanawanyookea, na<br />

wananyanyuka mbele ya Mwenyezi Mungu kwa sababu ya Ikhlasi yao<br />

hawataki chochote wanataka Mwenyezi Mungu. Famatlabul quwm<br />

4.


maula-hum huwa Sayydahum. Matlab ya watu hao ya Mabwana<br />

hawa, ni Mola wao na mabwana wao. Yaa khayra matlabih lilwahidil<br />

ahadi. na Mungu anajua atakupa mambo yote katika dunia.<br />

Muridi nani? Ni yule anayetaka kwa Mungu anajua mambo yote anayo<br />

Mwenyezi Mungu kwa hivyo nitayotaka kwake lazima atanipa. Sababu<br />

unakamatana naye, unafanya biashara pamoja na wanaofanya biashara<br />

unafanya kazi, unalima pamoja na wanaolima. unasukuma magari pamoja<br />

na wanaosukuma magari lakini unajua kuwa yote anayo Mwenyezi Mungu<br />

atakapotaka kukupa atakupa na unayotaka, kwake zile ni sababu tu ambazo<br />

atakufungulia kheri zake.<br />

Niliambiwa mwanzo kuwa utasema kiasi ya muda mchache hapa<br />

baada ya Qiam, na nimekubali maana hiyo kwa sababu ile nafasi ya wakti<br />

wenu huu wakati wa sasa tulio nao usiku huu na wakati huu si wakati wa<br />

kutawilisha sana kwa kutizama kabisa. Na halafu nikaja kuambiwa kuna<br />

video tayari kuchukua maneno saa na nusu takriba. Hiyo ni heri kubwa,<br />

lakini inataka wakati ambao mtu katulizana fikra zimenyooka, kwa hiyo<br />

nimetabaruku kidogo hivi na hiyo video nitaijaza Insha <strong>Al</strong>lah wakati<br />

ambao unasib na kule kutabaruk na Qur-an tumesikia yule bwana<br />

aliyeisoma Qur an hapa Wamathali kalimatin twayyba mfano wa<br />

neno zuri na nikalimati twayyba- La Ilaha illa Llah ashajaratin<br />

twayyba kama mti mwema-as-luhatha-bitu, shina limekaa vizuri<br />

huna namna ya kuangusha mti ule wa faruha fis samai na matawi yake<br />

yako juu kabisa na La Ilaha illa Llah ndio inayohitaji mtu akiwa nayo<br />

iwe tabia zake zimethibiti, hana uovu, hana azma mbaya, hana kutafuta<br />

haki za watu, hana wizi, hana matata na tabia mbaya zinajulikana ghilba,<br />

hana kugombana na watu, thaa-bitun na matawi yake yanakwenda juu<br />

yeye mwenyewe ananyanyuka tu amali zake zinazidi, kheiri zake zinazidi,<br />

khasa kwa kuwatumikia wenzake na kuwatumikia Waislam asluhathabitu<br />

wafar-uha fis-samai tuti ukulaha kulla hii-nin-bi idhn<br />

rabihim zinatoa vinywaji vyake kula wakati. Mti huo hauna “Aa siku<br />

hizi si season yake”. Mwenye La Ilaha illa Llah moyoni mwake wema<br />

anao siku zote anaonekana, kila wakati ana Insafu, ana bashasha, anasaidia<br />

watu, anatumikia watu, na wengine kama sala tano zinakwenda. Tuti<br />

ukulaha (kula hii-nini) bi idhni rabiha na yadhribu la lahal<br />

amthar-la-lin na-s, na Mwenyezi Mungu anapigia watu mfano.<br />

Laalahum yadh dhaq-karun, ili wakumbuke na kiasi hicho ni kichache<br />

Mungu atupe nafuu hata tutapokutana tena popote pale, hata kama ni peke<br />

yangu, niijaze hiyo video.<br />

Wafakana llahu lima yuhibuhu wayardhahu.<br />

5.


MHADHARA WA PILI<br />

WA<br />

AL HABIB - SEYYID UMAR BIN<br />

ABDALLAH (MWINYI BARAKA)<br />

MAJAALIS - EL–UlAA - DAR-ES-SALAM<br />

JULY 7 TH 1986<br />

(1406HR)<br />

KINONDONI<br />

DAR ES SALAM<br />

6.


MTU NI ROHO MOYO AU NAFSI:<br />

“Yaa-yuhal Insa-n ma-gharraka birabbikal karim ……”<br />

Ewe Insa-n, mtu bila ya kutizamwa viungo vyake au<br />

ubinaadamu wake lakini Insa-n wala mayzi zake namna anavyomili<br />

tabia alizopewa mara asimange, mara afurahi haya siyo yanaotizamwa<br />

hapo, wala haitazamwi Adami, mara kachoka mara usingizi lakini Insa-n<br />

haya ni maneno matatu tofauti. Insa-n ni “yule mtu” – yule, “yeye” au<br />

“wewe” au “mimi”. Anayeazimia anayekusudia, anaechagua, kama hivi<br />

nyinyi mmechagua kuja hapa, aliyechagua ni nani? Insa-n sehemu ya<br />

ubinaadam imetumwa tu, miguu imetumwa tu, na viungo vengine<br />

vimetumwa tu, inaweza ubashari ukawa umekuja kati labda kuna mkate na<br />

mchuzi ubashari unatamani mkate na mchuzi ukazidi kukutia hamu uje,<br />

lakini Insa-n ni yule anayependa anayechukua, anayehusudu, anayetakia<br />

watu wema, anayekumbuka Mungu anayekumbuka kiama. Hata mwili<br />

ukifa yeye yupo, na yeye ndiye anayeulizwa kaburini anayeulizwa Barzakh<br />

na anakaa Barzakh kwa hivyo Qur-an inapotaka kusemea mtu namna hiyo<br />

humwambia: Insa-n, mtu humwambia Insa-n haikuambiwa: Ya Adam,<br />

Ya ayyuhal Adam, Ya ayyuhal Bashar, Ya ayyuhal Insa-n, ndo<br />

inamtofautisha baina yake yeye na Malaika, baina yake yeye - na<br />

Wanyama wengine ni kuwa Insa-n. “Wewe Insa-n si kwa mwili<br />

bali kwa roho”.<br />

Kuutumikia mwili umpatie matamanio yake uupe nguvu basi kosa<br />

la kuja duniani utumikie mwili uwe na nguvu tu au uupe starehe zake<br />

mwili tu - Atat libur ribh fi-ma-fihi khusra-n unatafuta faida<br />

katika kitu ambacho ndani yake mna hasara?. Biashara lazima mwisho<br />

itakuwa hasara sie mnatuona watu wazima hatukuwa namna hii, tulikuwa<br />

vijana kama nyinyi na ujana ulotumika kwa sehemu ya ubinaadam.<br />

Sehemu ya ubashar na Insa-n ndiye iliyesemwa akaongoza mwili sasa<br />

unatumika mwili tu, na mwili unapotea kila siku kidogo kidogo. Bahati<br />

yako ikiwa itafika utu uzima ni lazima siku moja mwili utakutoka Atat<br />

libur rib-h fi-ma fi-hi husra-n aqbil, kabil-alan nafsi juu ya<br />

Nafsi au Roho, wastaqman fadha-ilaha, ukamilishe fadhila zake<br />

(virtues) zake uwe una sabri iwe kitu cha Nafsi au cha Roho fadhail uwe<br />

karim hicho ni kitu cha Roho uwe unapendelea iwe unampenda Mtume<br />

SAW unashughulika na kumtaja Mwenyezi Mungu na kumtumikia<br />

Mwenyezi Mungu hayo yote ni mambo ya Roho, shughulika na hayo:<br />

akbil ala<br />

7.


Nafsi usiwe nawe ni mtu wa exircise tu watizama Nafsi inakuwaje kila<br />

siku unajipima unashindana kuvuta kamba, kuwa shujaa: wa shujaatu<br />

sabri saa. Unavutwa na matamanio wewe ukapigana na matamanio<br />

ukasubiri na Twarika yote kila ukisikia kuna Twarika ni kuitengeneza<br />

Insa-n ile inaitwa Insa-n tena sehemu ya Ubinaadamu. Mikutano ya<br />

kheyri ya dhikr macho yanatazama njia ya kupita lakini hasa Twarika<br />

inamuongoza Insa-n imfanye awe na mahaba katika moyo wake<br />

anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume wake na viumbe vya Mwenyezi<br />

Mungu. Awe karimu asiwe mwizi asiwe mjanja si madhambi ya Nafsi,<br />

madhambi ya Roho. Madhambi ya Nafsi yanakuwa makubwa sana<br />

mbali kuliko madhambi ya kiwiliwili hata mtu akiiba. Unaokwiba si<br />

mkono unatumwa tu. Ndo maana mtu asiyekuwa muaminifu hana Imaan.<br />

La imaan liman laa amana ta lahu hapana Imaan kwa mtu ambaye<br />

hana uaminifu, kwa sababu uaminifu si kitu cha mkono wala cha kichwa,<br />

wala cha miguu ni Nafsi, ni Roho ndo inayovunja uaminifu, mkono<br />

ukatumwa ufanye lisilo twa Laa i-man li-man la amanata lahu. Ya<br />

ayyuhal In-sa-n akbil alan nafsi wastaqbil fadhaa ilaha ya<br />

anta bin nafsi au bir uh la bil jismi Insa-n. Si kwa kiwiliwili.<br />

Insa-n usidhani kuwa wewe ni kwa kiwiliwili, Insa-n. Kwa kiwiliwili<br />

wewe ni kama Ng’ombe, Mbuzi, Sungura, panya nao wao ndio sehemu ya<br />

kiwiliwili ulichonacho wewe (Mammals) Biologist wanamwita. Lakini<br />

Insa-n, Twarika iko hapo katika inapoandama “Suluk” kupata njia<br />

kujitengeneza ukajitoa na kujitafuta utukufu kwa njia ya dini ukatafuta<br />

mali kwa njia ya dini, njia ya kumtaja Mwenyeezi Mungu, na huku una<br />

yako ya kidunia. Insa-n hapo unakua yupo katika hatari yaani: Ya<br />

ayyuhal Insa-n maa gharraka birabbikal karim nini<br />

kilichokuhadaa na Rabbi wako hata ukawa wewe unadanganya viumbe.<br />

Unadanganya viumbe unadhani na Rabbi hajui au hatambui au ukienda<br />

kinyume na alokuamrisha una wazee wawili huwatii, una mke humtimizii<br />

inavyolazimu, mke ana mume hakai nae kwa Insafu nini kilicho kuhadaa?<br />

Na Rabbi wako wewe ni karimu kakukirimu wewe Insa-n kakupa<br />

ubinadamu huo, una macho una miguu una viungo una mambo kadhaa wa<br />

kadhaa. <strong>Al</strong>ladhii khalaqaka ambaye kakuumba akakupa mwili huo<br />

fasawwak akakufanya sawasawa mikono imekaa sawa, miguu macho kila<br />

kitu kakuumba kimekaa, nini ungezewe ukawa mguu mrefu, mkono mmoja<br />

mrefu, mmoja mfupi, na yote hajakufanyia hayo kakutengeneza barab-bar.<br />

Fa-ad-dalak akakufanya ulingane Fi ayii suratin maa-shaa, katika<br />

sura yoyote anayoitaka yeye mwenyewe Raq-kabaka, kakupandisha<br />

8.


kakupa sura unayoitaka watu wangapi kuna malaa-in Waislam tu duniani<br />

wanaambiwa leo wapo milioni elfu na kila mmoja ni namna yake na sura<br />

yake na wewe una yako fikiri, kaa ufikiri usende kinyama, mnyama<br />

anakwenda kwa mwili tu mambo ya kimwili. Sasa kinacho kuzuia baada<br />

ya kuwa umeonywa baada ya kuwa umeshazinduliwa katika Uislam. Baada<br />

ya kuwa umesikia mambo ya Mungu na mambo ya tabia nzuri na Roho<br />

zinatakiwa mtu awe nazo wema insaf nini ukifikiri kilichokuzuia usiwe<br />

hivyo bal-tukadhibuna bidi-dini, mnakana mnakadhibisha hukumu<br />

siku ya kiama. Ungekua una yaqini mimi nahukumiwa kwa nnayoyafanya<br />

ungeyakimbia yaliyokatazwa yakikufikia utafata Qur-an inavyokwambia<br />

mbio unarejea kwa Mwenyezi Mungu: Wastaghafiru Laha inna-<br />

Llaha ghafu-run rahim, wanaomtaka maghfira Mwenyezi Mungu<br />

Inna Llaha ghafu-run rahim hakufukuzi. Sasa mbona umeshindwa:<br />

Laa inal ladhinat taqau, hakika watu wenye taqwa: Idha massahum<br />

twa-ifun minash-sheyitwan tadhakkaru, wanakumbuka<br />

halafu Sheytwan kukuta sehemu ya basharia ya Insa-n anamukhadaa<br />

katika njia ya matamanio, katika njia ya majivuno, njia ya kujiona, njia ya<br />

kughafilika usifanye hivyo, ukifanya hivyo ukamsahau Mungu kabisa,<br />

kabisa umehadaika na Mungu, mambo ya Mungu umeyaachilia mbali.<br />

Huna sala tano, huna Swaumu, huna chochote, huna kutumikia<br />

walokulazimu kuwatumikia, huna insaf, huna uaminifu, ujanja tu na<br />

ulaghai unao watu hawatambui basi na Mungu hatambui unaonyesha nini?<br />

Tukadh-dhibu-na bid-dini, mnakanya mnakataa mnakadhibisha<br />

hukumu na kila kitu kinaandikwa, kuna Malaika kazi yao kuandika. Wa<br />

inna alay kum laha fidhina, na hakika juu yenu mwenye kuhifadhi<br />

hayo mnayofanya na mnayosema na mnosema namno ya… kitu: kiraman,<br />

watukufu katibina, waandishi mayanfa-dhu bil qaul illa ladyhi<br />

raqibu atiidi, hatamki mtu neno ila mbele yake Raqib na Atiid, Raqib<br />

anaandika mema Atiid anaandika maovu akifanya ovu, anaadika, kwanza<br />

huzuiwa muache labda atakumbuka atarejea kwa Mwenyezi Mungu na ni<br />

mwepesi. Mungu akiwa Mambo yenyewe hayajakamatana na hakki ya<br />

binaadamu. Mwenyezi Mungu hukusamehe, ikiwa haki ya binaadamu<br />

kakosea mtu, kaharibia mtu nyumba, ameharibia watu watoto wao<br />

majumbani haki ya binaadamu inakuwa taabu, lakini baina yako wewe<br />

Nafsi yako na Mwenyezi Mungu ukikumbuka ukarejea, Mwenyezi<br />

Mungu anakupokea: Wal-ladhi-na-idha falu faa-hishataan na<br />

wale watu wema watu wacha Mungu ambao wanapofanza fahisha,<br />

uchafu na dhulma: Anfasahum, au wakadhulumu Nafsi zao Dhakarul<br />

9.


Llah wana mkumbuka Mwenyezi Mungu, Fastaghfiru lidhumu-bihim<br />

waman yaghfir Mwenyezi Mungu madhambi yao wanataka Maghfira<br />

dhunu-baa ila Llah, na nani mwenye kughufuria madhambi illa<br />

Mwenyezi Mungu anakutaka Mwenyezi Mungu Uende wakakutakia<br />

Maghafira. Ukijiachia basi Malaika wataandika wala hapana kuwa: ”Aa!<br />

mie Mungu ananighufirilia kwa hivyo ntasali wakati huo hupati hayo<br />

yanatakiwa uwe nayo - majuto ya towba kuwa ndio sababu yawe<br />

kughufiriliwa hiyo nia kuwa tabia (invironment) pahala palipo<br />

kuzunguka dunia yako ulonayo mambo kadha wa kadha yamekuvuta<br />

umeyafanya ilo siyo. Umezoea kusema uwongo ulipokuwa mdogo sasa<br />

uwongo unakutoka vile vile kwa sababu ya mazoea ya uwongo hayo ndiyo<br />

yanayosemwa sio kwa Mungu yupo ananisamehe na ntastaghafiru huwezi<br />

Istaghafar si kusema Astaghfirul Llah na kutaka akakughafirilie. Mpaka<br />

ajue kuwa kweli umejuta ndo hivyo hata ukichupa mpaka vipi kwa ubaya<br />

unaoingia katika anowaambia: Yaa ibadial ladhi-na asrafu-ala<br />

anfusin-him, enyi waja wangu ambao wamechupa mpaka juu ya nafsi<br />

zao pengine mtu kakujia pamoja na kikundi cha watu walevi kaingia<br />

ulevini kazoea uwongo ana uwongo kazoea kufuatia mbio wanawake au<br />

wanawake wanajiweka kutafuta wanaume kakumbuka Inna lil lahi,<br />

nnafanya nini haya ndio ya motoni haya ndiyo ya Insa-n? Haya ndio yale<br />

ya unyama sio ya Insania ya unyama anataka kuepukana nayo moja kwa<br />

moja yameshamvaa kila yakimjia anajuta anatamani yamtoke kabisa<br />

kabisa-anaambiwa:Laa taqan-atu wawe namna hao wanaambiwa<br />

msikate tamaa na rehma ya Mwenyezi Mungu iwe basi Mwenyezi Mungu<br />

Subhanah wa taala maadam mmemuasi ndio lazima atakutieni motoni<br />

hakusameheni, laa! Laa! la hasha: Inal Laha yaghafir dhunuba jamia<br />

Mungu anaghufirilia madhambi yote: Innahu lahuwa ghafuru rahim<br />

hapana hata kubwa vipi linalomshinda kughufurilia, ana rehma sana lakini<br />

(rejeeni): Wa-ani-bu-ilaa rabiku, rejeeni, bila kurejea kwake hapana<br />

tamaa anataka urejee kwa kujuta, kwa Tawba. Ikiwa mali ya watu kwa<br />

kiasi unavyoweza kurejesha ikiwa unamtukana mtu, au umemsema mtu,<br />

mkamtaka radhi kwa kiasi ya kupata salama ukiona mambo yatazidi, tena<br />

haki ya binaadamu hii ikiwa nikisema mambo yatazidi hapo hatari. Ina<br />

lahu yaghafir dhunuba jaamii innahu huwal ghafuru rahimu, wa<br />

anibu ila rabikum, rejeeni kwa Rabbu wenu makafir hawana pa kurejea<br />

dha-lika baina adhina a-manu-ti tabaul laq wanal safirina la<br />

maula lahum, kwa hivyo ni muhimu sana ni muhimu sana kukumbuka<br />

kuwa kuna Malaika wanaandika na kufanya makosa si ajabu kwa Insa-n<br />

10.


madamu wao Ubasharia, na Uadamiyi si kuazimia kwa Uislamu hasa<br />

ikiwa ni mtu wa Twariqa, hakuwafikieni – akifikwa ni kwa mazoea tu<br />

yamemfika na anapigana na Nafsi yake anaisemeza nafsi La ya nafsi,<br />

wala hubak mutawani, “Ewe nafsi nakuonea huruma mpaka lini<br />

unajiathiri?” Kuniathiri namna hii na kila ukiacha mapema ukenda<br />

mwendo mzuri mapema ndo inakuwa wepesi kwako wewe ukikawia<br />

unakuwa kama mti umeuacha umetia mzizi ukitaka kuung’oa taabu na<br />

uzito kung’oka mti ule. Na sana kuwa mwema mtu na utakuwa<br />

ukijiambia: Yaa ayyuhal Insan magharaka birabbika karim<br />

aladhi khalaqaka, fasaw-waka faadalaq fii ayyi suratin<br />

mashaa rak-kabak kala bal tukadhibuna biddin waina alykum<br />

la hafidhina, kiraman katibin yaalamuna maatafaaluna inal<br />

abra lafi naim. Hakika watendaji wema wapo katika neema kubwa<br />

wamo ndani ya neema, hapa hapa duniani, kabla ya akhera, sikwambii<br />

watakapofika akhera: Innal –abrara lafinaim wa inal fujara lafi<br />

jahim, watu waovu wachafu, matata mifujari mijitu matata, malaghai,<br />

Imaani zao za ujanja: La fi jahim, wako ndani ya moto. Hapa hapa<br />

duniani inayowataabisha Conscious yao dhamiri yao. Yas lau naha hau<br />

mad-d jahim hiyo wataingia siku ya hukumu watakwenda<br />

wakahukumiwe wakutikane maovu mengi kuliko mema. Maovu yale<br />

hayajafutwa kwa Tawba, hayajafutwa kwa Istghfar, kwa kumtaka<br />

maghfira Mungu hayajafutwa kwa Istifar kukubali kuwa mtu ni maovu,<br />

anataka Mungu amtengenezee: La ila hailallah yaslaunaha, wataingia:<br />

Yaumad-din, siku hiyo ambayo mambo yote yanategemea uzito kwa<br />

amali, zikiwa nyepesi yupo katika hatari mtu Fa amma manthaku lati<br />

mawa-zinuhu, mtu ambae amali zake kuwa nzito, Fahuwa fi-inshati<br />

radhia, yuko katika maisha yenye kuridhiwa, atayaridhia yeye<br />

Mwenyewe. Amali nzito si haya kama kukutana pahali kama hapa amani<br />

zinaongezeka zinakuwa nzito. Unakwenda msikitini unasali unatumwa<br />

nyumbani unatumika mambo ya kheri unayapenda: Wa ameluswa-lihati<br />

wa ud khilal ladhina amanun, watatiwa watu ambao wenye<br />

kuamini wakafanya mema Jana –tin tajri min tahtial an-har,<br />

mabustani katika pepo inapita chini yake mito. Lakini inataka: Wa<br />

amilus-swa-liha-ti kila mmoja kwa kiasi chake ana namna yake njia<br />

zake: Wa udkhilal ladhina amanu wa a-miuls-swa-liha-t jannatin<br />

tajri min tah-tihal an-ha-ru siku ambayo, watu wengine<br />

watakuwamo katika hatari yaumud dini siku ya hukumu ndio namna<br />

11.


katika <strong>Al</strong>hamdu tunaita Ma-liki yau mid-din.<br />

Waina alykum lahafidhina kiramban katibina wamahum<br />

anha bighaibina, wala hawakuwa wao na moto ni yenye kuwa hawapo<br />

hata siku moja (they are never absent from the fire) kila ikija list<br />

ya kuitwa majina fulani fulani “labbeyk” yupo hathubutu kukimbia akawa<br />

absent: Wa ma-hum an-ha-bigh-ibina wamaadraka mayaumud-din,<br />

nini kitakujulisha kitafanya ujue nini hiyo siku ya hukum?<br />

Thuma adraka mayaumud-din, nini baada ya hapo<br />

kitakachokujulisha nini siku ya hukum?, Yauma siku La tamliku nafsun<br />

linafsin-shay-a, hapana nafsi itamiliki kumiliki nafsi nyengine kwa kitu<br />

chochote hapana nafsi yoyote itathubutu kuja bila ya amri ya Mwenyezi<br />

Mungu na kukubaliwa na Mwenyezi Mungu – “Aa! mimi namuombea<br />

huyu mtu wangu, huyu sahibu yangu huyu mwanangu, huyu Muridi<br />

wangu”. Shoti Mwenyezi Mungu ampe rukhusa kwanza: walaa<br />

yashfau-na illa limantadha, wala hawashufai illa wale Mungu alomridhia<br />

kwanza kuwa huyu anaweza kuwashufaia huyu alikuwa mtu<br />

unaambiwa kachupa mpaka kutoka kwenye Circle kwa kushufaiwa sio<br />

mambo ya kufanyia mas-khara, inataka mtu akae afikiri na mambo<br />

yanamngojea kila mtu: Yauma la tamliku nafsun linafsin shai a wal<br />

amru yauma idhini lillah, na amri jambo siku hiyo lina Mwenyezi<br />

Mungu: <strong>Al</strong> hayyu qayyum, anayajua yote: Lataahudhuhu sinatun<br />

wala nawm, haumchukui usingizi kusinzia wala usingizi: Ya ala-mu<br />

ma-bayna aydihim, anajua yalo mbele yao watu wote: Wamaa<br />

halfahum, na yalo nyuma yao: Wala yuhituna, wala hawazungukii<br />

ukiwajua vilivyo: Minal-ilmi, katika elmu yake, Illa bimashaa-<strong>Al</strong>laa<br />

anachokitaka: Wasia kursiyuhus-sama-wati-wal-ardhi, kiti chake<br />

cha ufalme kimeenea mbingu zote na ardhi: Wala yau-duhu if<br />

dhuhuma wahuwal aliyul-a-dhim, hakumchokeshi kuhifadhi,<br />

Samha-wa-ti wal ardhi, siku hiyo: Yauma latamliku nafsun<br />

linafsin shaiyan wal amru yauma idhin lillah. Watu wa mwanzo<br />

watostahiki watopata kheri kubwa ni watu wenye kupendana kwa ajili ya<br />

Mwenyezi Mungu itanadiwa: Muta-ha-b-binalijala-lati andhilihum<br />

tahta dhili yauma la dhilim illa dhili, wako wapi wanaopendana<br />

kwa ajili ya utukufu wangu niwafunike chini ya kivuli changu siku ambayo<br />

leo hapana kivuli ila kivuli changu: Wajabat man abbat lin mutaha-bina<br />

fia, yamepasa mapenzi yangu kwa wenye kupendana kwa<br />

sababu yangu: <strong>Al</strong>muja lisina fia, wenye kukaa pamoja kama hivi na.<br />

12.


kuna watu sabaa: Yudhiluhum mullah tahta dhiluhu yawman la<br />

dhilu illa dhiluhu Immam a –dil, waja wake wenye kufanya uadilifu<br />

na katika hao waliotajwa: Shabun nashaa fi tatil-lah, kijana kakulia<br />

katika twa fii iba-datillah katika ibada ya Mwenyezi Mungu kama<br />

nyinyi, mna sala zenu tano mnakutana, mnamtaja Mwenyezi Mungu ndo<br />

haya <strong>Al</strong>hamdulilah mnataka mshukuru na alama kubwa ya kushukuru ni<br />

kuepukana na ya kumuudhi Mwenyezi Mungu kadiri unavyoweza: Shaabu<br />

nashafi twaatilah warajulani tahaba fil lahi, wawili<br />

wamependana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu: Ajitamaa alyhi<br />

wamekusanyika ndio sababu ya Mwenyezi Mungu kama sisi tulivyo kila<br />

mja anampenda mwenzake kwa ajili ya Mweyezi Mungu: Warajulun<br />

namtu dati-hu amemwita mtu yule, Maraatu mwanamke dha-tu<br />

man sibin mwenye cheo jama-na, mzuri: Faqa-la inni akhaful Lah,<br />

mimi namuogopa Mwenyezi Mungu hapana kusema wanavyosema vijana<br />

wa kisasa: “Si kataka mwenyewe”. Inatosha vipi, muogope Mungu na<br />

mwengine katoa kwa mkono wa kulia, mkono wa kushoto hauna habari<br />

yaani katoa sadaka kufanya kwa Lilah hata hapana anayejua. Mradi wote<br />

saba watu ambao Mwenyezi Mungu atawaamkia siku ya kiama:<br />

Tahiyatuhum fiha salam, maamkio yao Mwenyezi Mungu kawaamkia<br />

ni “Salaam”.<br />

Hawa wanatoka motoni na hawa Mwenyezi Mungu<br />

anawaamkia: Salaamun kaulan min rabbi rahim, na wao mwenyewe<br />

wanaamkiana: Salaam, tahiyatuhum fiha salaam, wanaamkiana<br />

wenyewe Salaam, kuna salama tu Peace basi pepo ya Kiislamu ina<br />

amani hapana atosikia neno la kumuudhi kitendo cha kumuudhi<br />

hapana chochote La ilaha ila yaa-Rab.<br />

Amani Salaam, bali wanaanza kuipata tangu wanapoondoka<br />

Duniani Malaika wanawafisha na huku Malaika wanaamkia Salaamu<br />

alykum aladhina tawafaa humul malaika tayyibina, yaqu-luna<br />

salam alaykum ud-khulu ljnna, ingieni peponi, pepo gani? Pepo ya<br />

Barzakh, kiyama bado hakijaja. Ud khulul jannat, kama anavoambiwa<br />

mtu wa: Yaasiin yule alokwenda akawagombeza watu wa mji wake kua<br />

kwa nini nyinyi: Wa jaa min aqsal madinat rajulun yas`-a, qala<br />

ya qawmit tabiul mur-salina, ittabiu man laa yas`a, qala yaa<br />

qawmit tab-ul mur-saliina itabiu, man la yas-al kum ajran<br />

wahum muh-tadun. Wafuateni ambao hawakuombeni hawakutakeni<br />

malipo na wao wameongoka. Wakamuuliza uko pamoja nao?<br />

13.


Na “Naam”, wakamtupia mawe mpaka akafa alipokufa pale pale akatiwa<br />

peponi: Jannatul barzakh. Akasema: Qi-lad khulil jannat<br />

wakasema ingia peponi: Qaa-la yaa layta qaumi yaalamu-na,<br />

“Layti ingelikuwa watu wangu wamejua Bima-ghafarali Rabbi, hayo<br />

aliyonighufirilia kwayo Rabbu wangu: Wa jaalani minal mukramina,<br />

Barzakh, kabla hata kwenda kiyama. Na wengine barzakh wanataabika<br />

kama Firauni na watu wake. Anna r yu-radhuni alyha, moto<br />

unakabilishwa juu yao, asubuhi na jioni, Udhuwani wa-shiya-wa<br />

yauma takum-sa-ati, na siku kiama kitaposimama, Adhkhilu, na tieni<br />

A-la firauna watu wa firauni Ashadu al adha-b, adhabu kali<br />

kabisa.<br />

Hii wapi: Saba-khan wa masa-an dhuduwan-washiyan,<br />

barzakh ukipita kwenye makaburi unawaona basi salama kuna<br />

watu wako kwenye taabu kubwa kuna wengine wapo kwenye raha kubwa<br />

inategemea mtu ametengeneza nini huko lakini nyie mmeazimia<br />

mtangulize kheri, mmsema kuwa ni watu wa Twariqa tena Twariqa-til<br />

qa- diria, Sayyidna Abdul qadir Jailan qad-dasa Llahu sirahul<br />

aziz. Haimkiniki mtokewa na lisilokuwa ndilo azma mtahisi kuwa hili<br />

mnalofanya silo. Yaa Rabbi niokoe uniongoe narejea kwako mimi<br />

mwenyewe nimeshindwa. Yaa Sayyid wa ustadh Abdul Qadir<br />

Jailan, niombee kwa hiyo tumo katika kheri maadam tunakamatana na<br />

watu hawa na tunataka nyendo zao muhimu ni Suluh kujaribu<br />

kujitengeneza uwe na tabia nzuri hata ukionekana unajulikana. Fi buyutin<br />

katika majumba adhinal lahu katoa rukhusa Mwenyezi Mungu An<br />

tur-fa atukuzwe misikitini pahali pa kutukuzwa si pa watu kujisemea tu<br />

maneno hivi hivi ya kidunia <strong>Al</strong> hadith fil masjidi yakulul hasanati<br />

kama taakulun nara-l-hatwab. Ina kula mema kama moto<br />

unavyokula kuni msikiti inakutukuzwa kwa Yuth kara fi-hasmuhu, na<br />

jina lake litwaje msikitini kudhikiri watu, kudhikiri Qur an inasema<br />

Wayuth kara fi-hasmuhu yusabihu lahu fiha wamsabih<br />

Mwenyezi Mungu ndani ya majumba hayo, fil-ghuduwwl-wal-a-swalu,<br />

asubuhi na jioni Rija–lun wanaume wa kweli wanaofaa kuitwa<br />

Rija-l si -nini, si ghasia tu Urijali ni kuweza kupigana na nafsi yako<br />

ukawa umo ndani ya kupigana ili mwishoni uwe mtu unaekwenda<br />

mwendo mwema.<br />

Hata mtu mmoja anawataja watu wakubwa anasema: Humurrija-lu,<br />

wao hao ndio Rija-l, aibu kusema kwa mtu asiyesifika na sifa zao yeye ni<br />

14.


Rajul. Kafir awe rajulun, mujirim awe rajul itakuwaje? Rijal wanashughulika<br />

na Mungu Waikamu swalati na kusimamisha sala, Yakha-funa yauman<br />

wanaogopa siku Tataqala bafi-hil qulu-bi wal absa, zitageuka ndani<br />

yake nyoyo na maoni: liaj-zia humul-lahu kula nafsin ma-amelat,<br />

Mungu apate kulipa kila nafsi kilichochuma kila nafsi italipwa<br />

kilichochumwa: Faman yaa mal mithqala dharatin khayran yarahu,<br />

mwenye kufanya uzito wa chembe ndogo ya kheri utaiona, mwenye<br />

kufanya uzito tembe ndogo ya shari, Yaraa -ataiyona Innama yaamalukum.<br />

Mwenyezi Mungu anasema katika Hadithil Quds: Hakika si<br />

vengine ni vitendo vile wenyewe, sihalukum – nakudhibitini - faman<br />

wajada hayra fal yah midulaha, mwenye kupata kheri na amshukuru<br />

Mwenyezi Mungu, Waman wajada khayri dhalika alla yalum ila<br />

nafsi, Mwenyewe kutaka kisichokuwa kheri usilaumu nafsi yake amaa<br />

luku, kila mtu atapewa cheo chake - Iqraa kita-bak - soma chuo chako,<br />

soma daftari lako, Kafaka binafsika adyaum alyka hasiba, utajitosha<br />

leo wewe kujifanyia hisabu- huna haja hata ufanziwe hesabu na<br />

mwenginewe. Minahtada-fa innama yahtadi linafsihi, mwenye<br />

kuongoka akiwa sehemu nyenginewe na akaongoka kwa sababu ya nafsi yake<br />

waman dhaa-lla fa-innama yadhilu alyha, mwenye kupotea anapotea<br />

juu ya nafsi yake Mwenyewe Walaa taziru wa-ziratu habebi mwenye<br />

kubeba wazra ukhra mzigo wa mtu mwengineo kila mmoja atakuwa na<br />

yake lakini ameamrisha tukionyana na tukikumbushana na tukisaidiana katika<br />

kheri hayo ndo watu wa ki-Twariqa waloyatambua wakisema: “ee!<br />

tushughulike na kupendana, tushughulike kuita watu waje wawe pamoja na<br />

sisi, tushughulike na tabia nzuri akhlaq nzuri nzuri na hapo ndo<br />

wanapojulikana sasa kwa mnavyowaona maneno yaliosema yanatosha ilobaki<br />

ni kuhitimisha maneno haya kwa kusema kuwa udugu huu una kheri kubwa<br />

ni wa kutusaidia duniani na akhera na tumekamatana na watu wanene<br />

wanene, watu wenye cheo, tusiwapake matope-wala kama utoyosema ikiwa<br />

wewe si Malaika umetokewa na jambo lakini staajabu ikiwa unaazimia<br />

unataka kuishi kishetani nafsi ikutawalie kwa ujanja wa kunyang’anya kwa<br />

kufatia maasi kwa lazim. Fwatia kheri kuwa pamoja na watu wema Ya<br />

ayyuhal dhina a-manut taqul la, mcheni Mungu kunu maasi Swalikin<br />

muwe pamoja na wa kweli na katika wakubwa kabisa katika wakweli hao ni<br />

Sayyidna Abdul qadir Jailan.<br />

Wafaqana lahu lima yuhibu wa yardha.<br />

15.


MASWALI:<br />

<strong>Al</strong> Akh Nusra: Sayyid tulikuwa na mushkil juu ya walimu na<br />

mashekh wako wa kwanza walokusomesha.<br />

Jawabu: Nilipelekwa chuoni kwa Sayyid Shekhe baba ake Sayyid<br />

Hassan Shekh na alikuwa bibi msomeshaji mkubwa huko ni mwana Aisha,<br />

wakimwita Mwana Ashati, nikisoma Qur an huko halafu baada ya kuhitimu<br />

nikawa nasomesha huko huko chuoni. Mwisho nikaenda kwa chuo cha<br />

Sayyied Abdul Fattah bin Ahmad ndugu yake Sayyid Abal Hassan nikawa<br />

nasomesha huko na huko nilikuwa na wasaa mwingi kwa sababu niliachiwa<br />

chuo jioni yote ningekuwa nayo mimi nikiendesha. Wakati huo huo kila<br />

baina Magharib na Ishaa ninakwenda msikitini, nilimuogopa sana Shariff<br />

Aboud, wa pili Sayyid Abdul Fattah alikuwa mkali. Siku moja sikwenda<br />

Msikitini akanambia: “Baada ya leo ikiwa hukuja msikitini utaona”.<br />

Tangu siku hiyo mpaka leo ikifika Magharib na Ishaa hutafuta pahali penye<br />

Msikiti niingie kwa woga nilioupata kwa hiyo nilikwenda akanianzisha<br />

Babu baada ya Babu nikasoma Safina halafu Risala halafu Taali-mul<br />

mutaalim, Durarul bahia, Riadhal badia, Muqadimatu hadhramiya,<br />

Rubul ibada, Ghaya. Nilipofika kwenye Babu swalatu mayyit, intakal<br />

ila rahmati Lah na sikwenda kusoma kwa yeyote siku ambazo nnasoma huko<br />

illa kwa Sayyied Abal Hassan nikisoma na Nahau siku alizokuwako Unguja,<br />

kenda Pemba siku nyingi. Ikawa nakwenda kidogo kidogo sana kama<br />

natambaa lakini Taalimul-mutaallim inasema usifanye ghasia kubadilisha<br />

badilisha walimu kwa hivyo nimekaa vile vile ikiwa wale walimu<br />

wanakutosheleza bila shaka lakini Mwalimu unamuona si mwalimu<br />

wakutosheleza kwa kukuongoza ukitaka kwenda kwa mwengine akwambie<br />

aa unaambiwa huna rukhsa, rukhsa, mtu hupata mwalimu wa kweli.<br />

Halafu darasa akaichukuwa Sayyid Abal Hassan tukasoma<br />

Umdatus salik Msikitini kwa Shariff Abudu Msikiti wa Vikokotoni pale<br />

yote yanapita hapo. Kulikuwa Msikiti Vikokotoni pale tukisoma Umdatu<br />

salik hivo hivyo tukawa tunasoma kidogo kidogo sana mara anasafiri<br />

anakwenda Pemba akachume Karafuu, afanye basi hivyo hivyo, kidogo<br />

kidogo. Tukaja tukaanza na shereh ya Ghaya baada tulipomaliza Umdati<br />

salik ikawa wakati huo ikawa nakwenda Darasani kwa Sayyid bin Jafar.<br />

Ikawa nasoma kidogo kidogo bila ya darasa Mimi mwenyewe tu kama<br />

Bidaayatul hidayat katika vitabu nakumbuka nilisoma. Bidayatul hidaya<br />

nilisoma na kitabu cha Mashairi Fiqhi Zubad na darasani kwake kila<br />

asubuhi kila nikiwa sendi Skuli hapa skuli au nilipokuwa nipo<br />

16.


nasomesha Bait-rass nikenda Darasani kwake. Kwa hivyo nikapata faida katika<br />

vitabu vingi hasa Minhaj, Fat hul muin. Nikapata fursa humo humo baadae<br />

nikaenda kwa Sheikh Muhsin wakisoma Tafsiri, kwa Sheikh Muhsin bin <strong>Al</strong>ly<br />

Barwan halafu nikamlazimu Sheikh Suleiman bin Mohammad bin <strong>Al</strong>awy vitu<br />

vingi nikasoma kwake funun za ala nimesoma kwake Nahau, Balagha,<br />

nimesoma Joharil Maknun nikasoma Woghudil Juman-an na venginevyo,<br />

Sira, Mantiq, Sheikh Suleiman. Hiyo Mantiq nimeianza kwa Sheikh Muhsin<br />

bin <strong>Al</strong>ly Barwan nadhani hawo ndio walimu wangu wakubwa.<br />

Na London nimesoma kwa Doctor <strong>Al</strong>y Hassan Abdul Qadir alikuwa<br />

analipwa Schools of Orients of African Studies. Akinisomesha Fiqhi na Usu-lfiqhi<br />

na Hadith hivyo hivyo kidogo kidogo haba na haba hujaza kibaba. Pia<br />

tukikutana na watu nimepata faida katika mikutano mingi kabisa Duniani<br />

nilohudhuria ya Kiislamu na nimetembea nikifika katika nchi yoyote, nnajaribu<br />

kukutana na wana zuoni kwa hivo faida zinakuja kidogo kidogo. Kaja Sayyed<br />

Abdurahman bin Ubeydilah, Muft wa Hadharamut <strong>Al</strong> <strong>Al</strong>la-matu Jalil Imam, kaja<br />

Unguja ikifuata katika Hutuba zake hata kaniathiri sana katika kutoa, khususa<br />

kutoa khofu ndo hivo hivo. Wal hikmat dha -l-latil-muumin aynama<br />

wajadaha akhadhaha – (Hikma ni kitu cha muumini kilichopotea, anapokikuta<br />

popote pale anachukua). Hata wazungu nimepata faida kwao katika mambo ya<br />

Dini mambo ya Uislamu. Tawhid, Fas-h-ilmul kala-m, fiqh, Tarekh. London<br />

huko Oxford Falsafa nadhani hiyo ndio jawabu la swala lako. Lakini mtu<br />

niliyepata faida kwa kukaa nae sana katika mazungumzo ni Sayyed <strong>Al</strong> Imam <strong>Al</strong><br />

Habbib Umar Bin Sayyed Ahmad Bin Sayyed Abubakar bin Summeit.<br />

Swali la Pili: Nini juu ya maisha ya kiroho (Spritual life) vipi<br />

hasa muundo wake, vipi ukaaji wake, kutokana nafsi tangu<br />

kiasili kama vile wanavyoitakidi wataalamu wa Genesis?<br />

Jawabu: Hilo linataka mkutano wake peke yake haisemeki kidogo<br />

Swali la tatu: Nini hukumu ya Sheria katika nchi zenye<br />

mchanganyiko wa dini, na nini hukmu yake wakati zisipotumika kutokana<br />

na utawala usiofuata Qur-an?.<br />

Jawabu: Basi utafanya nini na wewe umetawaliwa utafuata kadiri<br />

unavyoweza.<br />

17.


Swali la nne: Ungetufafanulia vipi kuhusu Twarika (kinjia ya)<br />

Dhwahir na batwin, na nini hukumu ya mwenye kupinga kufaa kwake<br />

(katika Uislamu kwa Jumla)?<br />

Jawabu: Hiyo peke yake sio mambo madogo ukisema kidogo utapoteza<br />

watu<br />

Swali la tano: Ungetufafanulia vipi kuhusu swala la Mahaba kwa<br />

jumla na kuna tafauti gani kati yake na Ishq na<br />

Ishtiyaq na Wudd.<br />

Jawabu: Hilo ndo kabisa halisemeki haiwi kabisa, hayasemeki<br />

Swali la sita: Nini ufananuzi wa hizi nafsi saba (1) <strong>Al</strong> ammarat (2) <strong>Al</strong><br />

lawama (3) <strong>Al</strong> Mulhima (4) <strong>Al</strong> Mutmaina (5) <strong>Al</strong> Radhiya (6) <strong>Al</strong> Mardhia<br />

(7)<strong>Al</strong> Kamila?<br />

Jawabu: Wama-ubarriu nafsi-inna nafsa ha ammaratu bi sui…………….. Hilo<br />

kadhalika nilijaribu karibu karibuni nimeanza kushika Msikiti Jibril <strong>Al</strong> khamis<br />

baada ya kusomwa Ratibul Attas, tukiwapo Unguja. Siku moja nimesoma<br />

Nafsil ammara na sikumaliza kwa hivyo itachukua muda hata mtu azimalize<br />

nafsi hizo. Na ni maneno yenye faida sana kwa watu namna kwa namna hata<br />

wasiokuwa Waislamu. Nakumbuka nilikwenda Makerere niliitwa kutoa<br />

khutba moja juu yake sijui niliita nini lakini nilipita njia hiyo walikuwa<br />

Amerikans nani na nani. Wakastaajabu sana. Nilikuwa safari moja. Nilikuwa<br />

Malay siku zile ilikuwa Maley kabla haijaja Malaysia. Nikenda pahala<br />

nikachukuliwa pahala nikenda nikatoa khutuba nikaalikwa nikaambiwa<br />

Jumaatano wanakusanyika watu wa Dini namna kwa namna, na kila wiki anatoa<br />

mmoja katika mtu wa dini moja wapo (na siku ile ilikuwa zamu ya dini ya<br />

mkiristo) lakini kwa wewe tulivyokusikia leo unasema tutakupa fursa wewe<br />

useme. Nilikuwa katika nyumba ya Ambasidor baada ya kutoa khutba yule<br />

Ambasidor akaniambia: “Ahsante sana, Today for the first time I have<br />

Understood may religion” anasema leo kwa mara ya mwanzo nimeifahamu<br />

dini yangu mwenyewe lakini nilikuwa hata sifahamu, lakini leo ndio kwanza<br />

nimefahamu kupitia njia hizi- <strong>Al</strong> Ammara, Lawama, Mulhima, Mutmaina,<br />

Radhia, Mardhia, kamila. Jazaka llahu kheir. Mara nyingi nimepita njia hiyo<br />

kila pahala. Kidogo pana migeuzo geuzo kidogo lakini ni msingi mkubwa wa<br />

spiritualism. Spritual Development.<br />

Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha.<br />

18.


MUHADHARA WA AL HABIB<br />

SEYYID UMAR BIN ABDALLAH<br />

(MWINYI BARAKA)<br />

10/8/1987(1407HR)<br />

KINONDONI<br />

DAR-ES-SALAAM<br />

19.


UTAMJUAJE MTU KAMA YEYE NI WALII?<br />

Wakam taj-ali-ma-l taj-de ni De-nak-kafa-mini Isya-ni-kha-fi-futu-nak.<br />

Hii katika Witria mwenye wenye Witria watu<br />

wawili wala si mmoja aliyefanya tatu ongeza ziwe tano kusema: “Ee nafsi<br />

tubia”, ulipe kumpa Mwenyezi Mungu deni yake, kuna mangapi ambayo<br />

yamekulazim ya Mwenyezi anakudai kaa ufikiri nini unadaiwa upate kulipa<br />

mara ngapi ngapi ulikuwa ukijifanya mjinga kana kwamba hujui deni yake<br />

maasi ya kutosha ogopa fitina za maasi, Kafa-ki minal is-yani kha-fifutu-nahu.<br />

Halakti ya Fitri kasha Shafii liannahu, umeangamia<br />

kimbilia kwenda kwa muombezi kwa sababu yeye Maladhun-bihi Tarfale<br />

uwswati Rajaha, ndo mategeye maasi wanapotarajia kuokoka kwao yaani<br />

mtume SAW na wangapi sasa hivi wanakimbilia huko Madina ili waende<br />

wakamkabili Mtume waseme: “walaw ann ahum idh dhalama<br />

anfusahum ja-k-ka” ingekuwa hizo wanapodhulumu nafsi zao wanakujilia,<br />

Fastagh jahullah taghfara lahumur Rasul, na ujumbe wa Mwenyezi<br />

Mungu akawatakia Maghfira wangalifanya hivo Lawajadu-i-laha taw-waban<br />

Rahima wangemkuta Mwenyezi Mungu ni mwenye kupokea toba zao<br />

mara kwa mara Mwenyezi Mungu hurehemu sana hurehemu sana ingekuwa<br />

akidhulumu nafsi zao na wanakujia wewe na wanakuja kwako.<br />

Aya dhahir Sha-hir hiyo, tumeambiwa kuwa watu waende kwa<br />

Mtume SAW akamtake Maghfira Mwenyezi Mungu na watu wa kisasa<br />

hukwambia: “Aa kwa nini uwende kwa mtu kwani mwenyewe Mungu si yupo<br />

karibu”. Idha saalaka Ibadi Anni Fa inni qariibu uji-buddaawata-<br />

dai idhaa daani: Mimi, wakikuuliza waja wangu na miye mimi<br />

niko karibu, niko karibu ule ukaribu wa unasikia unayosema ule ambao unabidi<br />

mtu. muite mtu mbali. SAW ni umbali wa kuasi na umbali wa kusikilizana na<br />

Mwenyezi Mungu na kupendwa na Mwenyezi Mungu hata akipendwaje Mtume<br />

SAW yuko karibu na yeye zaidi kuliko wewe, walopata ni wale walopata<br />

Mabwana wakubwa tu kama mmemuona Sayyidna Abdulqadir Jaillan katajwa<br />

hapa, Sheikh Uweso na wengineo ukaribu kukaribia kwao ni kwa sababu ya<br />

Wasta wa Rasul SAW. Hapana anayefikia kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe<br />

kwa mwenyewe shart afike kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rasulullah<br />

SAW. Kitu hicho muhimu sana. Mtukuze kila unayemtukuza, mpende,<br />

mpeleke mbele lakini usimtoe Mtume SAW ukasema yeye mwenyewe<br />

anatosha. Yeye mwenyewe hatokubali kabisa. Mwenyewe kutaka kwenda kwa<br />

Mwenyezi Mungu,<br />

20.


Man Ara-da-d dukhu-l fil-lahi , Min ba-bin swahu- Jaza –uhul<br />

Iqsa- u. Mwenye kutaka kuingia kwa Mwenyezi Mungu akipita mlango<br />

usokuwa yeye Mtume SAW malipo yao ndipo, malipo yao ni kutengwa mbali<br />

tu, basi, na hapana anayejua Mwenyezi Mungu akawa anataka isiyokuwa<br />

hivyo lazima anataka hivyo hivyo Mtume SAW ndie: <strong>Al</strong> wa-statil udhma.<br />

<strong>Al</strong>afu wasta wamejaa wakupeleka kwa Mtume SAW na ni Masheikh<br />

Warathat walomrithi Nawwa-bu man-ibu wake ni – kua-laa yasilu<br />

wa – silun ula ila hadhaharitihil ma-nia-wala yah tadi ha- irun<br />

bi-anwar-rihi la mia. <strong>Al</strong>lahumma <strong>Al</strong> haqna Binasahihi-l-wahiid,<br />

wa haq-qna Binasabihis Subu-hi-d, na A-rafna iyya-hu maari<br />

fihi lish arabiha mah-ya-wa nasi-ru biha maj na-hu, wa nasi-ru<br />

Biha maj nah u kama yuhibbuhu wa yar dha-hu.<br />

Twarika imeekewa Nafsi mtu kutengeneza Nafsi akaijua Nafsi yake<br />

iko wapi anafanya vipi na kumpata Sheikh kamil <strong>Al</strong> murabbil ka-mil.<br />

Sheikh <strong>Al</strong> Murshid il ka-mil, amma moja kwa moja kuungana na<br />

aloungana na aloungana na yeye atokuongoza kikweli kweli na Mwenyezi<br />

Mungu akijua kama kweli wewe unataka anakupa. Nafsi hii Ha man<br />

Dharani Da-i-Nafsi- kwenye kumdhuru Inanita Tuk-thiru Asqami<br />

wa Uja-I unafanya wingi magojwa yangu na wingi maumivu yangu<br />

maana unapigana nayo kila nikipigana inanivuta inaingia kwenye ambayo<br />

usio yaonea bara-bara Famal Tiyali Min Aduwwi- nini ila yangu na adui<br />

yangu Idha kanal Aduwwi- ikiwa aduwi mwenyewe baynal Dhil ari,<br />

baina ya mbavu- Fama ihhil ya-li minaduwwi idha – ka-na L-aduwwi<br />

baina dhila –i-<strong>Al</strong>a ya Nafsi way- hak kar jawa ni wote wamepiga<br />

kelele na Nafsi Mabwana wakubwa wakubwa Nafsi Nafsi. Yaa way halu<br />

nafsi Ridha wa bihi an ansabili sawiya. Ee najionea huruma Nafsi<br />

yangu iliyopotoka nikaacha njia iliyonyooka – Arhatu lahu jaalibainauchezea<br />

wakaslu hal Jaha wal Ma-I, makusudio yake ni cheo na<br />

mali – lakini inapanda haikai pale pale na wakati mwengine hupanda na<br />

kuteremka lakini ina pahala pake mahsusi stesheni yake maqamu hupanda<br />

mtu mpaka akafika maqam ikawa pale ndio pahala pake ikiteremka inarejea<br />

pale ikipanda inarejea pale maqam- Makamatul nafsi wanaita assaba<br />

mwenye katika watu waloandika vizuri habari hizi Ad-dar dir Ad dar<br />

dir mwenyewe katika mateka wakubwa wa Twarika katika maqam Sab-I<br />

za (nafsi) hata Twariqa nyenginezo wanachukuwa maneno yao wanachukuwa<br />

maneno<br />

21.


wa twariqa hii kuwaeleza watu Mungu anawapa hususia watu anaowataka<br />

hawa na hawa na hawa, kullan naamuddu wote tunawapa kwa<br />

kuwaongezea –Hau-lai – wa ha- ulai Min Atai yaa abbika, hawa na<br />

hawa katika vipawa vya Rabbu wako, wa ma ka-na atai rabbuka Mhdhura,<br />

vipawa vya Bwana wako havikuwa venye kuzuiliwa yeyote yule kwa<br />

hivo hio kusema Nafsi daraja zake Inshaallah itakuja fursa siku moja wapo.<br />

22.


MASWALI:<br />

Swali (1) <strong>Al</strong> Akh. Sabri: Nafsi inakaa katika Roho au Moyo?<br />

Jawabu: Ndo wewe Nafsi, Nafsi ndo wewe.<br />

Swali (2) <strong>Al</strong> Akh. Sabri: Nataka kuelewa makaazi yeke ni<br />

wapi?<br />

Jawabu: Haina makaazi ndo wewe. Si wewe umeazimia kuja hapa leo? Basi<br />

wewe ndio Nafsi, haina pahala mahsusi na Roho ndo Nafsi yenyewe lakini<br />

inapokwenda juu sana ikatakasika ikasafika ikatulizana inaitwa Roho. Na Roho<br />

ina maana hicho kinachotupa uhai. Ina maana kadha wa kadha. Ukitafuta<br />

Roho katika mwili huiyoni na Moyo kazi yake nyengine. na Moyo wanautumia<br />

Sufia kwa maana mbili tatu. Moyo huu kama wakinga kinga na wa mwengineo<br />

na Bin Adam wake anayo hiyo hiyo- Saalal lahul afwal-afya-kuna na Moyo<br />

wanautumia hiyo Nafsi inapogeuka ikinyanyuka hali fulani wanaita Qalbi lakini<br />

hayo ndio hayo nnochotaka kuja kusema: “Nafsi ndio wewe”.<br />

Swali (3) <strong>Al</strong> Akh Marjebi: Nauliza kwamba hii nafsi inapobadilika<br />

kutoka katika Nafsil Ammaral, Nafsi Lawamma Nafsil Mulhima inakuwa<br />

ile Nafsi yenyewe au mwili unabadilika?<br />

Jawabu: Ni Nafsi. Mwili haubadiliki kitu mwili unakuwa controlled na zile<br />

Nafsi ikiwa <strong>Al</strong> Ammara, unayoipeleka katika mchezo ikiwa Lawwama<br />

unaipeleka huko mwili hauna kazi mwili na kama dubwana la mutukari lile basi<br />

ukipeleka speed kubwa ikipeleka ndogo ukipeleka huku unafaata basi<br />

unategemea uko katika hali gani.<br />

Swali (4)<strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Na kila Nafsi kutoka katika ile ya<br />

mwanzo mpaka hiyo ya mwisho kuna nyuradi maalumu ambazo unaweza<br />

ukafanya ziweze kubadilika?<br />

Jawabu: Naam, ukipata mlezi kama hapana walezi unapochukuwa kidogo<br />

unatoka katika hali moja katika hali ya pili iliyobaki ni kukithiri nyuradi<br />

unazopewa za Twariqa zinafanya sababu hata unageuka kutoka kwenye hali moja<br />

na kwenda kwenye hali nyengine mwanzo mwanzo hapana kama kuleta Lailaha-illaa<br />

Llahu mara nyingi kila ukiweza, njiani wapi wapi La ilaha illa<br />

Llahu ndio dawa ya watu kama sisi wenye Nafsir Ammarat bi sui mpaka<br />

atakapokwenda mbele.<br />

23.


Swali (5) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Nafsi saba zile utazijuaje kama sasa<br />

hivi ni <strong>Al</strong> ammarat au lawamma?<br />

Jawabu: Ukiwa na Sheikh na atakwambia au atakuonyesha au ukizijua zile<br />

alama zake utaweza kutambua ukiona una 1 Ammaratu ulimwengu na maasi na<br />

mukhalafat hukumbuki Mungu, hiyo ni kuwa umo katika Nafsi Ammarat ndo<br />

hayo nataka kusema kila moja ukaitazama ile hali yake ulivyo ukiwa<br />

unazifahamu kwa makosa yaliyo kutokea ukafanya sio ukazilaumu kuwa miye<br />

nimefanya yasiyohitajia sio nivohitajia basi unajijua uko katika Lawamma na ile<br />

Nafsi ina majina inakuwa inapoitwa Nafsi mwanzo inaitwa Nafsi ikigeuka<br />

inaweza ikaitwa Aql ikigeuka ikaitwa Qalb ikageuka ikaitwa Ruhu kama<br />

Ruhu ni Nafsi Mutmaina itaitwa Ruhu mpaka mwisho ndio unajihisi upo<br />

katika ulimwengu mwengine siku zote <strong>Al</strong>amul mulk, <strong>Al</strong>amul malakut,<br />

<strong>Al</strong>amul naku-t kwa hivyo haya yote ndio tunayosoma kuyahisi mtu<br />

atakayotambua ni mambo ya Mwenyezi Mungu unataka kuja-ahad wa jahid-tusha-hid<br />

fanya mujahada utashuhudia uta experience hayo hayo<br />

unayoyajua pigana na Nafsi yako utayapata na mengi utayajua na hayo ndio<br />

yanayotafutwa hayo kina Talabul Uluwwi, kutafuta ukubwa kutafuta ufasadi<br />

wewe mwenyewe unasema unatengeneza kumbe umo katika ufisidifu, unataka<br />

kugombanisha watu na kutaabisha watu na hivi. Haya tabu- mtu<br />

kuyatambua mwenyewe Hasadi, kibri, ujub, wa hana mtu na kujisahau<br />

kujihasabu kuwa hapana kama yeye na ndo maana – walabuddi min<br />

Sheykhen Tasilu Bi sayrihi illa lah Hapana budi ile ipate Sheikh Minal<br />

ula-maila-mili-n fain kan tajid fasribu khayru matiyyatin. Ikiwa<br />

hukupata tafuta mwenzako tu mtasaidiana basi lakini Sheikh wakukuongoza<br />

inataka mtu mwenyewe kafika ukipata mwezako nyote mnatamani mtasaidiana<br />

mtapata katika Barzakh huko huko duniani atakutizameni muendelee mbele.<br />

Swali (6) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Mtu anaweza kuingia katika daira ya<br />

Uwalii bila ya kupitia katika Twariqa?<br />

Jawabu: Bila shaka si kwa unavyoamini wewe si namna hii tunavofahamu sie<br />

kuwa umo katika chama fulani Qadiria, Shaadhiliya, Nakhshabandiya hii<br />

sio Twariqa, hii ni vyama ili kufuata njia zilizowekwa baada ya sharia ukapigana<br />

na Nafsi ufuate zaidi ya ndani unaswali, unafunga, umeepukana na maasi ya<br />

mwili hivi sasa unapigana na Nafsi katika Nafsi upate Zuhdi upate Hubal<br />

Mahabba upate nini,<br />

Hiyo ndio Twariqa kwa hivyo utopokuwa unafanya hayo na Mungu<br />

24.


akakukubaliya ya kufanya hayo kwa njia yoyote pita Ittaliq ila Llah aliil<br />

walf-tih al ghala-iq. Ila namna moja wanavyokusudia tena nyengine<br />

anaweza kuwa mtu hata hayo hafanyi lakini Mungu akamtunukia tu akamgeuza<br />

mara moja yakamkuta hayo yote.<br />

Swali (7) <strong>Al</strong> Akh. Marjeb: Wako Masufi ambao si Waislamu?<br />

Jawabu: Aaa, jina halikubali Sufi ni jina la Kiislamu sasa itakuaje nae Sufi<br />

asiwe Muislamu anaweza na kuwa kwa kiingereza akaitwa Mistic halafu tena<br />

mwenyewe anataka kujiita kwa lugha ya Kiislamu atajiita Sufi na Duniani ndo<br />

watu wengi wanajiita namna hiyo kuwa wao ni Masufi na nini na sio<br />

Waislamu lakini neno la Kiislamu Sharti mtu awe Muislamu ndio awe Sufi<br />

neno la Kiislamu linakusudia Mahsusi: Safa wa Sufi wa Sufiya ndio<br />

Sufi.<br />

Swali (8) <strong>Al</strong> Akh Marjeb: Neno la sufi limepatikana kwa maana ipi?<br />

Jawabu: Kwa maana ya kusafisha moyo: Minas safawa na ziko shauri<br />

nyenginezo zinatolewa tolewa kuwa maana hivi namna hivi na hivi au kama hao<br />

Ahli Sufaa walo kuweko Madina.<br />

Swali (9) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Utamjuaje kama mtu ye ni Walii?<br />

Jawabu: Huna, huna. Husnudh-dhan tu basi. Namna nzuri hapana cha<br />

kukujuulisha hawezi kumjua mtu mwengine hawezi kumjua Waliii maadamu ni<br />

muumini basi anafanya dhana nzuri kuwa anayo siri basi na yake na Mwenyezi<br />

Mungu ambaye anaweza akiitwa: Wilaya – Uwalii utapata wapi unaambiwa<br />

wakiwa watu sabaa wakichanganyika Waislamu saba mmoja Walii, uko Msikiti<br />

mmoja Shibam huko alitokea babu yake <strong>Al</strong> Habib Umar anasema katika<br />

Salatil Assir wanasali Mawalii sabiini yuko mtu mmoja akatizama, akatizama<br />

hao ni dalili wako wapi watu hawa Mawalii. Siku moja akasema nitawahesabu<br />

kwa kiasi nnoweza mimi, akachukuwa Tasbii yake akasimama mlangoni,<br />

akapita mtu ambaye anamuona yu kaelekea labda ana kilemba kikubwa labda<br />

ana hivi na hivi akavuta Tasbii moja akapita mtu hivi hivi wala hadhanii kabisa<br />

akasema “Huyu siye” yule akamuambia vuta moja hapo! Vuta moja huwezi<br />

kujua mambo ya moyoni siri baina ya Insan wa Rabbu, husnu dhani tu basi.<br />

Swali (10) Abdul Samad: Hawa Mawalii wanatafautiana kwa<br />

25.


vyeo kama alivyokuwa Sayyidna Abdul Qadir “Mikh-daa”?<br />

Jawabu: Wako waliofika huko, wako wasiofika, wako walofika wako<br />

wasofika bila shaka Lahum Dara-ja-tun-indal Lah.<br />

Swali (11) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Cheo cha Mikda Sayyidna Abdul<br />

Qadir katunukiwa na nani?<br />

Jawabu: Kajitahidi kafanya mujahada kapigana na Nafsi kaenda kazunguka<br />

katika majangwa miaka na miaka na miaka kaivunja Nafsi yake kaivunja kabisa<br />

hata hamna kitu. Hivyo ndio njia ya kupatia Uwalii, kuivunja Nafsi hata katika<br />

alama ya kuwa kaivunja Nafsi yake kabisa aliazimia kufunga miaka 15<br />

mfululizo. Siku ya mwisho ya kufunga miaka kumi na tano karibu na magharibi<br />

akamuona mtu - Rehmal Lahu man shariba ha-dhal ma-l. “Mwenyezi<br />

Mungu amrehemu mtu atakaekunywa maji haya” Sayyidna Abdul Qadir<br />

akasema “Nini funga yangu ya miaka 15 mbele ya dua ya mtu huyu”.<br />

Na hajapata kukutana nae lakini Nafsi yake ilivunjika Tawa-dhui isokuwa na<br />

kiasi Mungu akamnyanyua cheo kikubwa. Seyyidna Ahmad Rifa-i katika<br />

yalomnyanyua sana kulikuwa na mbwa mgonjwa na Seyyidna Ahmad Rifai<br />

bado madhehebu yake ni Shafii na Mbwa ni najisi Mughalladha kwa Shafii<br />

akamchukuwa akaenda nje ya mji akamkogesha akampa dawa na nini mpaka<br />

akapona Mwenyezi Mungu akapendezewa nae khasir Nufus.<br />

Swali (12) Akh. Abdul Samad: Katika ubeti wa Manaqib wa Seyyidna<br />

Abdul Qadir: “Wakulu Walii lahu Qadami waana Qadami Nabii badiri<br />

tamami…….”<br />

Jawabu: Haya baada ya kwisha huko juu.<br />

Swali (13) Akh. Abdul Samad; Basi amemkanyaga vipi Mtume SAW<br />

kwenye Unyayo?<br />

Jawabu: Walii, Walii, hakusema Nabii. Qadami ala raqbatil kuli Walii.<br />

Lakini wanasema Mawalii wengi kuwa hii sio iliomtafautisha Sayyidna Abdul<br />

Qadir na Mawalii wengine alikuwa juu sana kuliko hapa wako Mawalii wengine<br />

wanapata Daraja hiyo hata wanawake hii ni daraja tu Maqama basi Sayyidna<br />

Abdul Qadir yuko wapi na Mambo yalomtafautisha na Mawaliii wengine.<br />

Swali (14) Akh. Abdul Samad: Ni sahihi katika kisa cha miraji<br />

26.


wakati Buraq alipopiga mapepe Sayyidna Abdul Qadir Roho yake<br />

ilifika pale na Bwana Mtume SAW akakanyaga na kumpanda Buraq?<br />

Jawabu: Tunakubali tunakubali lakini huwezi kusema ni hadith sahihi na<br />

Mtume Mohammad SAW kaitaja hapana anaweza kusema hadithi hiyo kuwa<br />

Qala SAW ingekuwa ndio hio ingekuwa Waislamu wote duniani wanalikubali,<br />

lakini pahali pake Sayyidna Abdul Qadir (QSA) Sharti mtafautishe haya<br />

mambo baina ya watu wenyewe na yanakubaliwa na Waislamu wote na hadith<br />

sahihi ni nini, iko wapi, ukisema namna hiyo utabanwa lakini pahali pake na<br />

zaidi kuliko hivyo na wala hapana wa kulinganisha baina ya Mawalii, huyu<br />

daraja ndogo huyu daraja kubwa kuna unaowajuwa na usowajuwa wanajulikana<br />

na wasojulikana na wasojulikana ni wengi kuliko wanojulikana, na Mwenyezi<br />

Mungu anawaficha Mawalii wake ila kama anataka wafanya kazi waadhi hivi<br />

wawasaidie watu kabisa. Ni kisa kinene nakitoa lazima nipate kuwaambieni<br />

anahadithia Mwenyewe Sayyidna Abdul Qadir Jailani (QSA) yule mwanamke<br />

aliemkuta anahiji na ana mguu mmoja tu akamwambia: “Wewe namna gani<br />

mguu wa pili uko wapi?” Akamwambia: “Nimemuachia mtoto kalala, kaulalia,<br />

nikaona sina haja ya kumtaabisha kumuamsha nimeuacha nimejitoa…”<br />

Akamwambia: “Wewe Walii mkubwa namna hii na sikukuona”. Akamwambia:<br />

“Utawaona kiasi chako, walokuzidi utawaona wapi?” Anahadithia mwenyewe<br />

Sayyidna Abdul Qadir lakini nilivyoitaqidi mimi na nnavoeleza mimi kuwa<br />

hapo ni mwanzo wa daraja zake, kabla hajafika juu kabisa. Huwezi kujua haya<br />

kuhusu kitu, na nani Walii Mkubwa nani mdogo na nini. Wee kamatana na<br />

unotaka na unotaka kukamatana nae au ulomjia au ulolelewa au ulomjua au<br />

ulolelewa kumjua au ulokaa au alokukaa moyoni mwako mkamate vizuri <strong>Al</strong>aa<br />

inna Awli yaa Llah laa Khaufun alayhim wala hum yahzanun.<br />

Hakumtaja fulani wala fulani wala fulani wala Auliya Qadiriya wala<br />

Shadhiliya wala Nakshabandiya wala Qistiya Auliya <strong>Al</strong>lah laa khaufun<br />

alay him wala hum yahzanun. Lahum bushra fi hayatil Duniya hapa<br />

na kinachomzuia mtu na Wilaya Ila Llah ni Nafsi, basi Nafsi yake mtu ina<br />

matata sana Moyo wake na katika dua kubwa ni kusema Qad istaa takribb<br />

ala-muda wa-tiqalb wahalauqdat qalb- fandhur ila Rabbi yan<br />

jaqad - instan Tal. Mwenyezi Mungu akusaidiye bila Mwenyewe huwezi<br />

kufanya kitu.<br />

Swali (15) <strong>Al</strong> Akh. Marjebi: Mtu katika kuitakasa Nafsi yake kama<br />

atashindwa bado ana machafu ambayo kila akijitahidi kutaka<br />

kuyawacha?<br />

27.


Jawabu: Anaendelea anaendelea unaweza ukaendelea mpaka mwisho wa<br />

Umri wako ndio ukapata wengine kabla kidogo ya kufa?<br />

Swali (16) <strong>Al</strong> Akh. Marjebi: Anaweza akaongoka mtu yule kwa<br />

kuombewa duwa na mtu mwengine?<br />

Jawabu: Wengi wanapata kwa njia hii kuombewa duwa wengine kwa<br />

kutazamwa na tangu hapo mtu hangoji hayo rehema ya Mwenyezi Mungu na<br />

dhari ya Mtume SAW dua ya Mawalii taaluq yake na Mawalii na ndugu zake<br />

Waislamu itamsogeza.<br />

Swali (17) <strong>Al</strong> Akh. Abdul Samad: Twariqa yetu tunaambiwa<br />

Sheikh Uweys bin Ahmad amekaa Riyadha katika kaburi la Sayyidna<br />

Abdul Qadir sasa hapa kuna………?<br />

Jawabu: Si sharti, kuna Sheikh mmoja Seyyid Saleh Twarika yake ni<br />

Ahmadiya kakaa miaka saba mbele ya Sayyid Hussein Basry, bila… El Jafry<br />

ana Qasida zake …….. Qaw mul Jaf-ry lakini sio Sharti wengine hata<br />

hawajapata kuwa labda Walii wa nchi yao tu. Habib Saleh hakwenda pahala<br />

kafika top. Nafsi Nafsi Nafsi lakini nani anataka Uwalii? Na mtu anataka<br />

awajue Mawalii na nani anataka kujua? Watu wanataka waambiwe kuwa<br />

wanajua ukitaka haswa.<br />

Swali (18) Syd. Hashim: Tunataka ufananuzi kuhusu matibabu<br />

ambayo yako ndani ya Dini na ambayo nje ya Dini manaake mfano<br />

kama kutizamia basi au kadhalika.<br />

Jawabu: Utatizama yanayokatazwa na Uislamu. Mabaya na yasokatazwa.<br />

Swali (19) Syd Hashim: Moja wapo ya yanayokatazwa?<br />

Jawabu: Sijui watu wanafanya nini katika mambo watu wanayoyafanya yakawa<br />

yanakatazwa<br />

Kurekebisha Swali na: Sheikh Ahmad: Labda alitaka kudharifia<br />

kwamba kama ilivyo katika Qur an: “Wa nunanzila minal Qur an ma<br />

huwa shifaa-un wa rahma tun lil Muuminin…” Ambapo wengine<br />

badala ya kwenda Hospitali wafate njia ya kujitibu kwa Qur an<br />

Jawabu: Mtume kasema “Tadawu fainna min kulli dai dawai” Hospitali<br />

kaiyumba Mwenyezi Mungu yaani “Tadawu-fainna li kulli dai-dawai”.<br />

Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha.<br />

28.


URITHI KUTOKA KWA MWANACHUONI<br />

MKUBWA DUNIANI AL HABBIB SAYYID<br />

UMAR BIN SYD ABDALLAH BIN SYD<br />

AHMAD AL-SHEIKH ABIBAKAR BIN SALIM<br />

(MWINYI BARAKA)<br />

KWA<br />

MAJALIS - EL ULLA - EL QADIRIYYA.<br />

DAR-ES-SALAM<br />

TANZANIA<br />

1985 (1405HR)<br />

29.


Mwinyi anaijazi Majaalis ulaa El Qa diriya:<br />

BISMILAHI RAHMANI RAHIM:<br />

<strong>Al</strong>hamdulilahil ladhi iyatabi ilayhi man yashau. Kila sifa njema<br />

inamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye huchagua kumsogeza kwake<br />

anayemtaka. Imechukuliwa kwenye aya inayosema: <strong>Al</strong>lahu Yajitabi<br />

ilayhi man yashau.<br />

Na tunatarajia Insha <strong>Al</strong>lah tutakuwa katika hao aliowachagua,<br />

maana anatuakifisha tunakusanyika tunamtaja tunamsalia Mtume wake<br />

tunawataja vipenzi vyake Mawalii wake na Mtume SAW anasema: Wa<br />

inda dhikris swa-li-hin tanzilur Rahma.<br />

Wakati wa kuwataja watu wema rehma inateremka Wayazidu<br />

fil khalaq maa ya shaa. Na anazidisha katika khalq anachokitaka.<br />

Was Swalatu was salamu ala-man law la-hu lahda-ma.<br />

Ingekua si yeye Ladamat fi ghay-bihil ash-ya-u. vitu vingedumu<br />

katika kutokuonekana - kutokuwepo. Lakini kwa sababu yake yeye-<br />

Mwenyezi Mungu kaviumba. Wa ala-a -lihi wa swahbihi wat-ta -<br />

biina biihsa-nin ilaa yawmidi nin.<br />

Amma baad, Ameniomba kijana Said Umar Barut An akuna<br />

Wasila niwe wasila, yaani kati, Baynahu baina yake na Baynal<br />

Mutaqaddimina baina ya walio tangulia Minas Swalihina katika<br />

watendaji wema. Faraghbtu fi an aamala dhalika nikapendezewa<br />

kufanya hayo – Rajaan an yuthbit niya <strong>Al</strong>lah kwa taraji kua<br />

Mwenyezi Mungu atanithibitisha Fi-di-wa-nil-a-rifina katika diwani<br />

ya wenye kumjua Mwenyezi Mungu Wa-an antadhima niwe<br />

nimetungika Fi-Silsilat katika mkufu <strong>Al</strong> ula-maail a-mili ina<br />

wanazuoni wenye kutumia Ilmu zao- Fa aqulu, ninasema Qad-ajaztu<br />

ha-dha sha-ab nimempa Ijaza kijana huyu Aw-wal an mwanzo Fi<br />

Twariqatil Qadiriyya kama aja-zani kama walonipa Ijaza Ghayruwa-hidin<br />

Isokuwa mmoja Minal kibari katika wakubwa Khulafai<br />

Makhalifa Hadhi hit-Twariqati wa Twariqa hii Bi furuiha kwa<br />

matawi yake Twariqal Qadiriyya ina matawi mengi sana.<br />

30.


Na nimekutana na wengi katika Makhalifa wakubwa na haya<br />

nadhani nikiwa nitamtaja mtu katika ntowataja mmoja ni Sayyid<br />

Twahir <strong>Al</strong>a-ud-din huyu ndo Swahib Sajada wa Baghadad pahali<br />

kwa Sayyidna Abdul Qadir Jailan sasa hivi kahamia Pakistani<br />

kwa sababu ya ghasia hizi za Iraq na nimekutana nae,<br />

nimekwenda Baghadadi nikataka mtu ambaye ndo mwenyewe hasa<br />

anipe Ijaza, nikaambiwa mwenyewe hayupo hapa yupo Pakistani.<br />

Nikafikiri lini nitakwenda pande hizo hata nikutane nae. Mpaka<br />

safari moja nimetoka America nikaja Australia nikenda Jawa<br />

Singapore Maley nikaja Srilanka Colombo. Aroplane nikaambiwa<br />

imechelewa muda saa wa thelathini. Nikaona uchungu sana<br />

nitakaa nnafanyaje hapa nami nina haraka, ee!! Kupita njia hii ya<br />

mbali mimi nimetoka kwenye conference Preston University<br />

America kupita njia ya mbali nimekwiba, tena nikawiye hapa!<br />

Mara nikaja kuambiwa kuwa yuko kafika mkubwa kabisa wa<br />

Twariqat Qadiriya, yaani ndio Khalifa Mkubwa wa Baghdad<br />

Sayyid Twahir <strong>Al</strong>awidin, nikenda kuonana nae tangu hapo<br />

tukajuana yakapita yalopita. Fakana Makana mimmalastu<br />

adhkuru fadhulna khayran-wala-tas-al-an il khabar. Napo<br />

nikaonana nae Madina mwanzo kanitambua yeye kanijia “Sayyied<br />

Umar” na mtu anapendeza, ana haiba tukaenda tukawa Mina<br />

pamoja, Arafa pamoja, hata alikuwa hakubali mtu kutusalisha<br />

walikuwa Masriyyin wengi katika Tent lao akisema: “Hapana mtu<br />

atakae tusalisha ila khalifati <strong>Al</strong>lama Sayyid Umar” Huyu<br />

Sayyid <strong>Al</strong>awidini halafu nikenda huko huko Kweta nikenda<br />

kumtizama huko huko wakati mwengine nakutana naewapi Mina,<br />

hata nikamchukua tukenda kwa <strong>Al</strong> habbib Umar na kila akiniona<br />

ananiuliza: “<strong>Al</strong> habbib Umar yule ni Walii Mkubwa yule<br />

hajambo? Na hivi na wapili wake Ibn Ami yake Sayyidna Abdul<br />

Qadir Keylani alikuwa yeye ni Ambesidor wa Iraq Parkistan<br />

miaka mingi nimekwenda mara mbili tatu Karachi nikitamani<br />

nimuone simkuti safari moja nimekwenda nikamkuta<br />

<strong>Al</strong> hamdu Lillahi tukazoeana sana na baadaye nilipomkuta<br />

haijapita wiki mbili Intaqala ila rahmatul Llah maana vile vile<br />

kaniandikia Ijaza ya Ukhalifa na akanionyesha watu wake na<br />

31.


nilipokuweko hapo hapana mtu alosalisha isipokuwa mimi. Basi kwa<br />

hivyo wengi hawa Makhalifa wa Twariqal Qadiriya, furui kadha wa<br />

kadha nimekutana nao. Furui zipo nyingi za Twariqatil Qadiriya na<br />

katika hao ni Sayyid Ashekh Muhammed el fa-tih- ndo alotupenda<br />

sana Sudan, wala si mtu mzee sana . <strong>Al</strong>lah yamunnu alayhi bil a-<br />

fiya.<br />

Wao silsila yao Branch yao ni As-sammaa-ni na huyo<br />

As-sammaa-ni alikuweko Ijaz babu yake ndo alochukuwa huko na<br />

Baba yake akaja akawa Khalifa Walii Mkubwa halafu akaja akachukua<br />

yeye.<br />

Nikakutana na mwengine Khano khalafu ndo nimekuja nikajua<br />

kuwa yeye kachukuwa Twariqa kwa huyo Bwana Muhammed El<br />

Fatah khalafu kenda Baghdad kenda kukamilisha.<br />

Vile vile nimekutana na Khano mtu wa ajabu, mtu wa ajabu<br />

mwana chuoni mlezi ana watu kadha wa kadha anawalea na anavitabu<br />

katunga na hivi natawadhui kubwa nilipokwenda kumtizama kakataa<br />

kukaa juu ya kiti nikamwambia basi na mie sikai nikamwambia basi<br />

kama hukai nitamwambia mtoto akalete kiti: “Mtoto lete kiti”,<br />

kumbe halafu kamuashiria kua usilete kenda kakaa chini Ah! Mie<br />

nangojea kiti hapa mpaka tumeondoka kiti hakijaja. Tukaja<br />

tukakutana na Muridi wengi wengine watu wa Biashara wakubwa watu<br />

wa nini watu namna kwa namna.<br />

Siku moja nimekutana nae katika Baytullahil Hara-m, hata<br />

akanambia kuwa kenda Baghdadi kaambiwa kule Baghdadi kua “Kaja<br />

Umar Abdallah hapa” na Mashekhe wetu wa huku kama Sayyid Abal<br />

Hassan na wengineo na nimekutana nao Pakistani, Siria, Masri,<br />

Maghrib wapi, wapi wamejaa Masheikhe wa <strong>Al</strong> Qadiriya ndo maana<br />

nikasema: “Aja-zani ghayra wa-hidin fi Twariqatil Qadiriyya”<br />

Wa awwal man ad-khalani fi ha-dhihi da-ira mwanzo<br />

alonitia ndani ya daira hii, Huwa Seyyid Swa-fis sarira- ndani ya<br />

Roho yake ni safi <strong>Al</strong>ladhi kana lahu an twawri Nafsihi mayyil.<br />

Hamili upande wa Nafsi, Abdul Fat-tah bin Ahmad Jamali Leyl<br />

huyu ndugu yake mkubwa Sayyid Abal Hassan Mkubwa wake ndo<br />

mwanzo tangu udogoni alinichukuwa tunakwenda kwenye daira<br />

32.


Kwenye Dhikri TAGHAMMADAHULLAH BI RAHMATIHI-<br />

Imekwisha. THA-NIAN-AJZTUHU- Nimempa Ijaza tena<br />

AJAZTUHU BIT-TAMASSUKI kukamatana BIAWRADIS SA-<br />

DATIL ALAWIYYA- La siyyama MA-FIL MASLAKIL QARI-B<br />

yaliyomo katika Maslakil Qari-b yaani mambo ambayo<br />

yamepokewa yote yanini kwa Mtume yamepokewa kwa watu<br />

wakubwa Kina Ahzabi Sayyidna Abdul Hassan Shadhili QSA. Na<br />

hizbu za Mashekhe walotangulia mwisho utakuta mengine ya<br />

Mtume SAW kama katika hizbun Nasri inasomwa baada ya <strong>Al</strong><br />

Isha imo ndani ya maslahil Qarib ya Sheikh Abal Hassan<br />

Shadhilii NABTWAATI GHARATIL ARHAMI WA BTAADAT<br />

ANNA, FA AQRABU SHAY-IN GHA-RATULLAH YAA<br />

GHARATALLAHI HUSNIS SERA MAS NA-ATAN FIL HAAL<br />

UQDATAN ALA GHARALLAH Ndani yake kuna maneno ya<br />

Sheikh Abdul Qadir Jailan katumia Mjukuu wake Sayyid Abal<br />

Hassan Shadhili sababu kwa jaha SILSILA Sayyid na Abal<br />

Hassan Sadhil ni Mjukuu wa Sayyidna Abdul Qadir. Kuna watu<br />

wawili katika njia mbili tatu anafika kwa Sayyidna Abdul Qadir<br />

Jailan moja kwa njia ya Sayyidna Abuu Madiyan na kwa njia<br />

nyengine kwa Mohammed bin Saleh basi hasa yaliyomo ndani ya<br />

maslakil Qarib WARATIBUL ATTAS WA RATIBUL HAD-DAD<br />

na Ratibu attas na Ratibul hadadi. Na namuusia na nafsi yangu<br />

kumcha Mungu na kupigana na nafsi yake hata awe kijana<br />

aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. HATTA YAKUNA<br />

SHA-B-BAN NASHA-A FI IBA-DATIL LAH FAYAKU-NA FI-<br />

SAB-TIL LADHI-NA Atakuwa katika wale saba ambao<br />

YUDHILLUHUMU LLAHU- atawafunika Mwenyezi Mungu<br />

YAUMUL QIYAMATI TAHTA DHILLIHI-atawatia chini ya kivuli<br />

chake YAWMA LA- DHILLA ILLA DHILLUHU-siku ambayo<br />

hapana kivuli ila chake yeye. Hii hadithi ya Mtume. Watu saba<br />

Mungu atawafunika chini ya kivuli siku ya kiama. Juwa wanasema<br />

litakuwa kiasi cha maili moja au kiasi cha maili ya kupakia wanja.<br />

Basi watu saba watakuwa wanafunikwa chini ya kivuli cha Arshi na<br />

mmoja kati ya hawo waliotajwa ni huyu SHA-BUN kijana<br />

NASHA-A kakulia FI IBA-DATIL LAH katika ibada ya mwenyezi<br />

33.


Mungu, kama mlivyo nyinyi mko katika ibada ya Mwenyezi Mungu<br />

mkiendelea namna hii mpaka utuuzimani basi mshaingia.<br />

Mwenginewe RAJULUN- na mtu kaitwa na mwanamke mwenye<br />

cheo mzuri akasema, “Laa stak” INNI AKHA-FULLAH “Mi-na<br />

muogopa Mwenyezi Mungu” watu wa kisasa, nini, atamwambia “E!<br />

si kataka mwenyewe?” Itakutia motoni na kutaka mwenyewe.<br />

Na mwengine mtu katoa sadaka kwa mkono wa kulia hata<br />

mkono wa kushoto hauna habari Yaani kaificha kaifanya kwa<br />

Lilah. Na mtu mwengine kamkumbuka Mwenyezi Mungu na yupo<br />

peke yake machozi yakamwagika – FA-FA-DHAT AYNA-HU na<br />

watu wawili walopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu<br />

wakakutana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wanafarikiana kwa ajili<br />

ya Mwenyezi Mungu. Ni kama sisi. Siye hapa tunapendana kwa<br />

ajili ya nini? si kwa chochote si kwa ujamaa si kwa kupeana, si kwa<br />

chochote, mali si kwa chochote, kwa sababu ya Mwenyezi Mungu<br />

basi, Inshaalah Mwenyezi Mungu atatudumisha namna hii<br />

tutaingia njia nyengine za kupita kuingia katika watu saba hao<br />

basi na yeye na akulie katika ibada apate kuingia.<br />

WA HA-DHIHIL IJA-ZA-, na ijaza hii LAHU- ni yake yeye<br />

WALJAMII AHLIZ ZA WIYAL QA-DIRIYA-na wote watu wa<br />

zawia QADIRIA FI DAR-ES-SALAAM - SI YAKE PEKE YAKE.<br />

WA HUSSUHUM na ninawahimiza wote ALAA AN<br />

YASHTAGHILU washughulikie BIMAARIFATIL HALA-L WAL<br />

HARAM kujua nini halali nini haramu. WA AN YUDA-WIMU<br />

wadumisha ALA SWALAWATI juu ya swala BIAWAQATIHA<br />

kwa nyakati zake. WA BIDHA-LIKA na kwa kufanya hivyo<br />

SAYANJU-N-wataokoka MIN SHARRIN NAFS na shari ya<br />

nafsi WA A- FA- TIHA na maafa ya nafsi WA KULLU WA-<br />

HIDIN MINHUM na kila mmoja katika wao LAHU AN YANQULA<br />

yamuelea katika kunakili na kukopi HA-DHIHIL IJAZA Ijaza hii<br />

WAYATWARHA ISMUHU na atie jina lake badala ya jina la Said<br />

Umar Barut-LIAN-AHUM KULLUHUM SUADAI-wote ni masaidi<br />

wa kila mmoja ni Saidi, ni kama kikuku LIANNAHUM na wao,<br />

34.


KAL HILQAT- MUFARRAGHA LAA YUDRA AYNA<br />

TWURAFAHA-kama kikuku hukijui mwanzo wapi mwisho wapi kila<br />

pahali ni kama pa mwenzake basi na wao hawa watu wa twariqa ni<br />

namna hiyo. Na kusoma fanyeni kitu kimoja someni kidogo kidogo<br />

sana vitabu mnovosoma someni kidogo kidogo sana mistake<br />

kusoma vingi, vitu vichache vichache kila siku. Na hata kama<br />

mtarejea mara mbili mara tatu mpaka kila mtu afahamu vile, na<br />

kila siku afadhali kila mnovofanya hata mkisoma vitabu lakini mtu<br />

ajitahidi ajue yaliyomo ndani ya Safina au Babu au Risala ha hasa<br />

vitabu vitatu hivyo Risalat, Babu, Safina viwe barbar arejee<br />

rejee mpaka viwe bara bara awe anaweza kusomesha mtu.<br />

Hivyo ndio muhimu sana kuliko kusoma vitabu vikubwa hapo ndio<br />

utajua nini halali nin haramu nini Mubah nini namna ya ibada zake,<br />

namna unavyohitajiwa kufanya.<br />

WALLAHU YAD-U ILA-DA-RIS SALAAM WA YAHDI ALAN<br />

YASHA-U ILA SWIRATIHIL MUSTAQIM. ALLAHUMMA HAYYINA<br />

HAYA-ITS SUADA-I WA AMITNA MAWATIS SUADA-I FIL LUTFI<br />

WA A-FIYA MIN GHAYRI FITNATIN WALA MTI-HA-N, BI-JA-HI<br />

SAYYIDI WALIL AD-NA-N ALAYHI AFDHALUS SWALA-T MINAL<br />

MAWLAL MAN-NA-N<br />

KATABAHUL MUSTAMID<br />

UMAR BIN ABDALLAH BIN SHEIKH AHMED<br />

AL-SHEIKH ABU-BAKKAR BIN SALIM. (MWINYI BARAKA)<br />

WAFFAQANAL LAHU LIMA YUHIBBU WA YARDHA.<br />

WA MIN KULLI MA-NASHKU<br />

YA RABI A-FINA<br />

YA RABI BIL MUS-TWAFA<br />

BALLIGH MAQA SWIDANA<br />

WA GH-FIR LAN MA-MADHA<br />

YA-WA-SIAL KARAMI<br />

YA- AWWALIL AWWALI-NA<br />

YA- A-KHIRIL A-KHARINA<br />

YA- DHAL QUWWATIL MATIN-N<br />

YA- ARHAMUL MASA-KIN<br />

YA ARHAMA RAHIMIN<br />

YA SALAM SALIMNA WAL MUSLIMIN<br />

35


Ijaza.<br />

36.


Ijaza<br />

36.


<strong>Al</strong> Habib Seyyid umar Bin Abdallah.<br />

(Mwinyi Baraka)<br />

37.


Vitabu vilivyokwisha toka ni:<br />

*1. Maana halisi ya Imaan. (1 st 2 nd & 3 rd addition ).<br />

*2. Njia nyepesi ya kuijua nafsi yako.<br />

*3. Njia nyepesi ya kujua kitu juu ya uongofu.<br />

*4. Knowledge vision & ecstacy.<br />

*5. Mwinyi Baraka katika ulimwengu wa kiislamu.<br />

*6. Waislamu na Sayansi - Ulu-m.<br />

*7. Kuhifadhi Burda.<br />

*8. Maana halisi ya Imaan ii.<br />

*9. Muhammad SAW katika ulimwengu wa ghayb.<br />

*10. Siri ya Balaa.<br />

*11 . El makhlouq (Viumbe)<br />

*12. Njia nyepesi ya kujua kitu juu ya Uongofu 2 nd . Addition.<br />

*13. Manaqib ya <strong>Al</strong> Habib Ma`aruf.<br />

*14. “Thesis” ya <strong>Al</strong> habib Mwinyi Baraka.<br />

*15. Njia nyepesi ya kuijua nafsi yako. 2 nd . Addition.<br />

*16. Mwinyi Baraka katika ulimwengu wa Uislamu. ii.<br />

Vitabu ambavyo tunategemea kuvitoa muda si mrefu<br />

(Insha <strong>Al</strong>lah) ni:<br />

*1. Maana Halisi ya Imaan. ii.<br />

*2. Muhammad Saw katika Ulimwengu wa Ghayb. (2 nd . addition).<br />

*3. Waislmu na Sayansi - Ulu-m. (2 nd addition)<br />

*4. Mwinyi Baraka katika Ulimwengu wa Kiislam. I. (2 nd . addi).<br />

Kwa maulizo kuhusu vitabu wasiliana nasi:<br />

Majaalis El Ulaa El Qadiriyya – Sinza,<br />

P.o. Box 15170,<br />

Tel: 0784 408404.<br />

Tel: 0754023703.<br />

Tel: 0754 299597.<br />

Dar es salaam.<br />

Tanzania.<br />

38.


<strong>Al</strong> habib Seyyid Umar bin Abdallah bin Seyyid Ahmad <strong>Al</strong> Sheikh Abu<br />

Bakar bin Salim (Mwinyi Baraka ). Amezaliwa Zanzibar katika mwaka<br />

1918. Naye alikuwa ni miongoni mwa vijana walionyanyukia katika malezi<br />

kamili ya Uislamu. <strong>Al</strong>ipomaliza masomo yake ya mwanzo katika Qur an<br />

<strong>Al</strong>iendelea kuhudhuria Majaalis za jioni katika misikiti mbalimbali mjini hapo.<br />

<strong>Al</strong>ikuwa ni kijana ambaye uwezo wake katika kuhifadhi Qur an na uzingatiaji<br />

katika masomo ya skuli ulikuwa ni wakupigia mfano. Katika skuli, masomo<br />

yake ya msingi na yale ya sekondari aliyapata katika shule za kawaida za<br />

Serikali ya Zanzibar.<br />

Baada ya kufanya vyema katika masomo ya Cambridge, aliweza kuendelea<br />

katika Chuo kikuu cha Makerere Uganda. Kwa muda wa miaka mitatu<br />

alikuwepo chuoni hapo kuweza kuhitimu Shahada ya: “Diploma in Bias and<br />

Biology”. Mara baada ya kuhitimu masomo yake, alirejea Zanzibar ambapo<br />

alianza kufundisha masomo ya Dini ya Uislamu, na pia alifundisha Biology<br />

katika Vyuo Vya Waalimu Dole na Beitil El Rass.<br />

Kwenye miaka ya hamsini mwanzoni, <strong>Al</strong> Habib alienda tena kusoma<br />

London Uingereza katika School of Oriental And African Studies. Ambapo<br />

alipewa Shahada ya Diploma katika Islamic and Comperative Law. Na pia<br />

alitunukiwa Shahada ya Diploma katika Lugha ya Kiarabu. <strong>Al</strong>iporejea tena<br />

Unguja katika mwaka 1955, <strong>Al</strong> Habib aliteuliwa kushika Wadhifa mwingine<br />

tena Principal katika Muslim Academy, kuanzia mwaka 1960 – 1963. kisha<br />

alipatiwa Schoolarship kutoka Commonwealth kwenda Oxford Univesity<br />

Uingereza. Huko alifaulu vyema katika masomo yake “Comperative Religion<br />

And Philosophy”. Hapo akatunukiwa Degree ya Ph.D.<br />

<strong>Al</strong> habib Umar alikuwa ni miongoni mwa masheikh wanaotuminiwa<br />

katika kuzilea Roho/Nafsi za waumini. Ambao pia wanajulikana kuwa ni<br />

Masheikh wa Kisufi (Taswauf). Miungini mwa Masheikh zake ni pamoja na <strong>Al</strong><br />

Habib Umar Bin Abu Bakar Bin Sumeity, na pia <strong>Al</strong> Habib Ahmad Bin Hussein<br />

Bin Abu Bakar Bin Salim.<br />

Siku ya tarehe tatu March 1988, Sawa na Mwezi 17, Rajab, 1408, Mwaka<br />

wa Kiislamu ilikuwa ni siku nzito iliyojaa majonzi kwa wale wote waliokuwa<br />

wakimfahamu <strong>Al</strong> Habib Umar Bin Abdallah (Mwinyi Baraka). Kwani<br />

<strong>Al</strong>itwawafu akiwa huko katika Visiwa vya Comoro.<br />

“Tunamuomba Mwenyezi Mungu Sub hanahu Wata`ala, ainyanyue<br />

juu Roho yake, Yeye pamoja na Masheikh wote wengine, Maulamaa<br />

pamoja na watu wema wote ambao wametangulia katika Imaan”.<br />

“Amin”

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!