17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MASWALI:<br />

Swali (1) <strong>Al</strong> Akh. Sabri: Nafsi inakaa katika Roho au Moyo?<br />

Jawabu: Ndo wewe Nafsi, Nafsi ndo wewe.<br />

Swali (2) <strong>Al</strong> Akh. Sabri: Nataka kuelewa makaazi yeke ni<br />

wapi?<br />

Jawabu: Haina makaazi ndo wewe. Si wewe umeazimia kuja hapa leo? Basi<br />

wewe ndio Nafsi, haina pahala mahsusi na Roho ndo Nafsi yenyewe lakini<br />

inapokwenda juu sana ikatakasika ikasafika ikatulizana inaitwa Roho. Na Roho<br />

ina maana hicho kinachotupa uhai. Ina maana kadha wa kadha. Ukitafuta<br />

Roho katika mwili huiyoni na Moyo kazi yake nyengine. na Moyo wanautumia<br />

Sufia kwa maana mbili tatu. Moyo huu kama wakinga kinga na wa mwengineo<br />

na Bin Adam wake anayo hiyo hiyo- Saalal lahul afwal-afya-kuna na Moyo<br />

wanautumia hiyo Nafsi inapogeuka ikinyanyuka hali fulani wanaita Qalbi lakini<br />

hayo ndio hayo nnochotaka kuja kusema: “Nafsi ndio wewe”.<br />

Swali (3) <strong>Al</strong> Akh Marjebi: Nauliza kwamba hii nafsi inapobadilika<br />

kutoka katika Nafsil Ammaral, Nafsi Lawamma Nafsil Mulhima inakuwa<br />

ile Nafsi yenyewe au mwili unabadilika?<br />

Jawabu: Ni Nafsi. Mwili haubadiliki kitu mwili unakuwa controlled na zile<br />

Nafsi ikiwa <strong>Al</strong> Ammara, unayoipeleka katika mchezo ikiwa Lawwama<br />

unaipeleka huko mwili hauna kazi mwili na kama dubwana la mutukari lile basi<br />

ukipeleka speed kubwa ikipeleka ndogo ukipeleka huku unafaata basi<br />

unategemea uko katika hali gani.<br />

Swali (4)<strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Na kila Nafsi kutoka katika ile ya<br />

mwanzo mpaka hiyo ya mwisho kuna nyuradi maalumu ambazo unaweza<br />

ukafanya ziweze kubadilika?<br />

Jawabu: Naam, ukipata mlezi kama hapana walezi unapochukuwa kidogo<br />

unatoka katika hali moja katika hali ya pili iliyobaki ni kukithiri nyuradi<br />

unazopewa za Twariqa zinafanya sababu hata unageuka kutoka kwenye hali moja<br />

na kwenda kwenye hali nyengine mwanzo mwanzo hapana kama kuleta Lailaha-illaa<br />

Llahu mara nyingi kila ukiweza, njiani wapi wapi La ilaha illa<br />

Llahu ndio dawa ya watu kama sisi wenye Nafsir Ammarat bi sui mpaka<br />

atakapokwenda mbele.<br />

23.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!