17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

vyeo kama alivyokuwa Sayyidna Abdul Qadir “Mikh-daa”?<br />

Jawabu: Wako waliofika huko, wako wasiofika, wako walofika wako<br />

wasofika bila shaka Lahum Dara-ja-tun-indal Lah.<br />

Swali (11) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Cheo cha Mikda Sayyidna Abdul<br />

Qadir katunukiwa na nani?<br />

Jawabu: Kajitahidi kafanya mujahada kapigana na Nafsi kaenda kazunguka<br />

katika majangwa miaka na miaka na miaka kaivunja Nafsi yake kaivunja kabisa<br />

hata hamna kitu. Hivyo ndio njia ya kupatia Uwalii, kuivunja Nafsi hata katika<br />

alama ya kuwa kaivunja Nafsi yake kabisa aliazimia kufunga miaka 15<br />

mfululizo. Siku ya mwisho ya kufunga miaka kumi na tano karibu na magharibi<br />

akamuona mtu - Rehmal Lahu man shariba ha-dhal ma-l. “Mwenyezi<br />

Mungu amrehemu mtu atakaekunywa maji haya” Sayyidna Abdul Qadir<br />

akasema “Nini funga yangu ya miaka 15 mbele ya dua ya mtu huyu”.<br />

Na hajapata kukutana nae lakini Nafsi yake ilivunjika Tawa-dhui isokuwa na<br />

kiasi Mungu akamnyanyua cheo kikubwa. Seyyidna Ahmad Rifa-i katika<br />

yalomnyanyua sana kulikuwa na mbwa mgonjwa na Seyyidna Ahmad Rifai<br />

bado madhehebu yake ni Shafii na Mbwa ni najisi Mughalladha kwa Shafii<br />

akamchukuwa akaenda nje ya mji akamkogesha akampa dawa na nini mpaka<br />

akapona Mwenyezi Mungu akapendezewa nae khasir Nufus.<br />

Swali (12) Akh. Abdul Samad: Katika ubeti wa Manaqib wa Seyyidna<br />

Abdul Qadir: “Wakulu Walii lahu Qadami waana Qadami Nabii badiri<br />

tamami…….”<br />

Jawabu: Haya baada ya kwisha huko juu.<br />

Swali (13) Akh. Abdul Samad; Basi amemkanyaga vipi Mtume SAW<br />

kwenye Unyayo?<br />

Jawabu: Walii, Walii, hakusema Nabii. Qadami ala raqbatil kuli Walii.<br />

Lakini wanasema Mawalii wengi kuwa hii sio iliomtafautisha Sayyidna Abdul<br />

Qadir na Mawalii wengine alikuwa juu sana kuliko hapa wako Mawalii wengine<br />

wanapata Daraja hiyo hata wanawake hii ni daraja tu Maqama basi Sayyidna<br />

Abdul Qadir yuko wapi na Mambo yalomtafautisha na Mawaliii wengine.<br />

Swali (14) Akh. Abdul Samad: Ni sahihi katika kisa cha miraji<br />

26.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!