17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

DIBAJI<br />

<strong>Al</strong> – hamdul-lillah wa swalatu was salaam alaa Khayru Khalqillah Sayyidna<br />

Muhammad wa A-lihi wa Swahbihi waman waala wa Baad.<br />

Hichi ni kitabu ambacho <strong>Al</strong>- habib Sayyid Omar Bin Abdallah mashuhuri<br />

kwa jina Mwinyi-Baraka katika wajukuu wa Sayyid Abu-bakkar Bin Salim-Mola<br />

Enaat huko Hadharamut, kwa taabu alielezea mwenyewe akiwa amejinyoosha<br />

kwenye kitanda alipokua mgeni wa Bw. Mohamed Khan Shemeji yake na <strong>Al</strong>- marhum<br />

Swaahib El - Ishara Bw. Akram Mohd aliyefia Mwanza kati ya Mwaka 1988 na<br />

89 Mwanza-Tanzania <strong>Al</strong>lahu Yarhamuhu wa Jamill Muuminina Wal Muuminaat.<br />

<strong>Al</strong>ikua akizungumza kwa shida sana pengine Dak. 10. Pengine ndo gha-ya<br />

Dak. 15. Kwa hiyo ilikuwa tukimfwata na Tepu Recorder mara kwa mara tukiwa na<br />

Akh. <strong>Al</strong>y Mzee Comorian toka Mkunguni kwa <strong>Al</strong>-marhumu Mohamed Bin Mahdi na<br />

wanawe kina Akh. Islam, Khamis na <strong>Al</strong>-marhumu Mahdy Mohamed Mahdy<br />

<strong>Al</strong>lahummaghfir-lahum wa yarhamhum jamiia.<br />

<strong>Al</strong>-hamdu-lillah tuliwahi kumaliza kunasa na kunukuru yote kuhusu safari<br />

zake za Europe na Amerika kama itavoonekana ndani yake. Kwa vile lengo kubwa<br />

la safari zake tukiacha kusoma ilikua ni Jihadi katika Dini ya Mnyezi Mungu nayo si<br />

nyingine bali ni Uislamu, tumeonelea kukiita “Mwinyi Baraka katika Ulimwengu<br />

wa Uislamu” tukitegemea kwa imani zote kua:<br />

(a)<br />

(b)<br />

(c)<br />

kitazagaza maarifa mazuri kwa watakaokisoma.<br />

kutakua angalau na kumbukumbu ya mmoja wa wanafalsafa wa<br />

Kisufi mkubwa lakini hakupata umashuhuri nchini kwao mpaka<br />

amekufa.<br />

Tutafaulu Insha-allah kumjulisha yule ambae hakumjua<br />

mwanachuoni mkubwa huyo wa East -Africa na labda kumuigiza<br />

au kumtakia dua, kwani ipo hasara kubwa kwa kule kushindwa<br />

kumtumia vile ambavyo ingepasa.<br />

Tabia yake katika kujitupa chini na kujiona kua si kitu alifahamika vibaya<br />

kwa ambao hawakumjua, na hijabu ya wazi wazi kwa walomjua vizuri kabisa. Dalili<br />

kubwa ilionekana mara nyingi alipokuwepo Jijini hapa, si wengi walojua, kwa hiyo<br />

ilifikia mpaka anaondoka si wengi walokua na habari hata ile ya kuepo Jijini hadi<br />

kufikia mwezi mzima! mara kadhaa alipata mwaliko kwa mwanafunzi wake<br />

mkubwa, alipokua madarakani<br />

vi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!