17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hapajafanywa jambo. Bali hufurahi kwa kuona kapewa thawabu za bure.<br />

Hamchukii yule mtu aliemfanyia uovu ule wala hamuekei undani Idha kana fihaqqihi<br />

wa sababih, wa idha dhuiya haqqil Llah. Haki ya Mwenyezi<br />

Mungu ikipotezwa, lam yakum an adun lighadhabihi – hasimami yeyote kwa<br />

hasira zake.<br />

Anakasirika anachupa mpaka kinyume na sisi. Ya Mwenyezi Mungu<br />

hatuna haja nayo, tunawafanyia watu wanavyotaka. Lakini mtu akiguswa yeye<br />

kidogo tu, akitukanwa yeye kidogo tu, utaona wewe, ugomvi utakaotokea.<br />

Kinyume ya Mtume SAW yeye mwenyewe anaona upuuzi. Yanayomfika yeye<br />

lakini ya Mungu ndio yanayomshughulisha. Waidha dhuniya haqqul lah lam<br />

yakum alahdun lighadhabihi, waman raahu badi-hatun haraba.<br />

“Mwenye kumuona kwa ghafla hivi humuogopa” Pasnaliti yake ilikuwa kubwa<br />

sana haina kiasi. Waidha daahul miskin ajaba, na maskin akimwita<br />

akimwalika anakwenda anakuwa yeye ni mfalme, yeye Mtume yeye katawala watu,<br />

watu wanamtii, na ndo mkubwa.<br />

Aa katika kutisha kwake safari hii moja katika baadhi ya vita alikuwa<br />

chini ya mti anapumzika akaja mtu na upanga, akamwamsha, akamwambia –<br />

“Nani, atakuhifadhi na mie leo?” akainuka Mtume SAW na kitisho chake<br />

akamwambia <strong>Al</strong>lah! <strong>Al</strong>lah. Yule akatetemeka, upanga ukamuanguka, akauokota<br />

Mtume SAW akamwambia “Nani atakunusuru na mie leo?” Akamwambia: “A-a-!<br />

wewe mtu mtukufu tunajua sifa zako hivi! Akamwambia: “Chukua upanga wako<br />

nenda zako” Yule akarudi kwa watu wake akawambia “Nimekuja kutokana na mtu<br />

alie bora kabisa, mtu ambaye hapana kama yeye”. Wakaja chungu nzima kuja<br />

kusilimu.<br />

Wale wanaosingizia Uislamu kua umetawanyika kwa upanga, hawajui<br />

amma wanafanza makusudi kuusingizia uongo Uislamu. Waidhada ahul miskin<br />

aja-ba.<br />

Yaqu-lul haqq husema kweli, ukweli anausema tu walau kana murrah<br />

– hata ikiwa ni mchungu. Bila shakka anautia sukari sukari, na hivi, nini, lakini<br />

anausema, yaani anausema kwa namna nzuri. Ud-u-ila sabi-li-Rabbika”. Ita<br />

watu kwa njia ya bwana wako – Bil-hikmat, kwa hikma wa maw-idhatan<br />

hasanat, na mawaidha mema. Akisema na mtu kwa maneno mema kabbisa.<br />

Mfano mkubwa ni alipoingia Makka baada ya kutolewa Makka akaenda<br />

Madina - Sasa aliporudi Makka wakakusanyika walio wengi waliomfanyia uovu na<br />

wakapigana nae vita, wengine wamewahi Badru, wengine Uhud, wengine wapi<br />

na wapi, akawaambia “Ma-tadhun-nun an-nanifailin bikum? Mnadhani nini<br />

mimi nitakufanyeni?<br />

2.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!