Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Llah wana mkumbuka Mwenyezi Mungu, Fastaghfiru lidhumu-bihim<br />
waman yaghfir Mwenyezi Mungu madhambi yao wanataka Maghfira<br />
dhunu-baa ila Llah, na nani mwenye kughufuria madhambi illa<br />
Mwenyezi Mungu anakutaka Mwenyezi Mungu Uende wakakutakia<br />
Maghafira. Ukijiachia basi Malaika wataandika wala hapana kuwa: ”Aa!<br />
mie Mungu ananighufirilia kwa hivyo ntasali wakati huo hupati hayo<br />
yanatakiwa uwe nayo - majuto ya towba kuwa ndio sababu yawe<br />
kughufiriliwa hiyo nia kuwa tabia (invironment) pahala palipo<br />
kuzunguka dunia yako ulonayo mambo kadha wa kadha yamekuvuta<br />
umeyafanya ilo siyo. Umezoea kusema uwongo ulipokuwa mdogo sasa<br />
uwongo unakutoka vile vile kwa sababu ya mazoea ya uwongo hayo ndiyo<br />
yanayosemwa sio kwa Mungu yupo ananisamehe na ntastaghafiru huwezi<br />
Istaghafar si kusema Astaghfirul Llah na kutaka akakughafirilie. Mpaka<br />
ajue kuwa kweli umejuta ndo hivyo hata ukichupa mpaka vipi kwa ubaya<br />
unaoingia katika anowaambia: Yaa ibadial ladhi-na asrafu-ala<br />
anfusin-him, enyi waja wangu ambao wamechupa mpaka juu ya nafsi<br />
zao pengine mtu kakujia pamoja na kikundi cha watu walevi kaingia<br />
ulevini kazoea uwongo ana uwongo kazoea kufuatia mbio wanawake au<br />
wanawake wanajiweka kutafuta wanaume kakumbuka Inna lil lahi,<br />
nnafanya nini haya ndio ya motoni haya ndiyo ya Insa-n? Haya ndio yale<br />
ya unyama sio ya Insania ya unyama anataka kuepukana nayo moja kwa<br />
moja yameshamvaa kila yakimjia anajuta anatamani yamtoke kabisa<br />
kabisa-anaambiwa:Laa taqan-atu wawe namna hao wanaambiwa<br />
msikate tamaa na rehma ya Mwenyezi Mungu iwe basi Mwenyezi Mungu<br />
Subhanah wa taala maadam mmemuasi ndio lazima atakutieni motoni<br />
hakusameheni, laa! Laa! la hasha: Inal Laha yaghafir dhunuba jamia<br />
Mungu anaghufirilia madhambi yote: Innahu lahuwa ghafuru rahim<br />
hapana hata kubwa vipi linalomshinda kughufurilia, ana rehma sana lakini<br />
(rejeeni): Wa-ani-bu-ilaa rabiku, rejeeni, bila kurejea kwake hapana<br />
tamaa anataka urejee kwa kujuta, kwa Tawba. Ikiwa mali ya watu kwa<br />
kiasi unavyoweza kurejesha ikiwa unamtukana mtu, au umemsema mtu,<br />
mkamtaka radhi kwa kiasi ya kupata salama ukiona mambo yatazidi, tena<br />
haki ya binaadamu hii ikiwa nikisema mambo yatazidi hapo hatari. Ina<br />
lahu yaghafir dhunuba jaamii innahu huwal ghafuru rahimu, wa<br />
anibu ila rabikum, rejeeni kwa Rabbu wenu makafir hawana pa kurejea<br />
dha-lika baina adhina a-manu-ti tabaul laq wanal safirina la<br />
maula lahum, kwa hivyo ni muhimu sana ni muhimu sana kukumbuka<br />
kuwa kuna Malaika wanaandika na kufanya makosa si ajabu kwa Insa-n<br />
10.