17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Llah wana mkumbuka Mwenyezi Mungu, Fastaghfiru lidhumu-bihim<br />

waman yaghfir Mwenyezi Mungu madhambi yao wanataka Maghfira<br />

dhunu-baa ila Llah, na nani mwenye kughufuria madhambi illa<br />

Mwenyezi Mungu anakutaka Mwenyezi Mungu Uende wakakutakia<br />

Maghafira. Ukijiachia basi Malaika wataandika wala hapana kuwa: ”Aa!<br />

mie Mungu ananighufirilia kwa hivyo ntasali wakati huo hupati hayo<br />

yanatakiwa uwe nayo - majuto ya towba kuwa ndio sababu yawe<br />

kughufiriliwa hiyo nia kuwa tabia (invironment) pahala palipo<br />

kuzunguka dunia yako ulonayo mambo kadha wa kadha yamekuvuta<br />

umeyafanya ilo siyo. Umezoea kusema uwongo ulipokuwa mdogo sasa<br />

uwongo unakutoka vile vile kwa sababu ya mazoea ya uwongo hayo ndiyo<br />

yanayosemwa sio kwa Mungu yupo ananisamehe na ntastaghafiru huwezi<br />

Istaghafar si kusema Astaghfirul Llah na kutaka akakughafirilie. Mpaka<br />

ajue kuwa kweli umejuta ndo hivyo hata ukichupa mpaka vipi kwa ubaya<br />

unaoingia katika anowaambia: Yaa ibadial ladhi-na asrafu-ala<br />

anfusin-him, enyi waja wangu ambao wamechupa mpaka juu ya nafsi<br />

zao pengine mtu kakujia pamoja na kikundi cha watu walevi kaingia<br />

ulevini kazoea uwongo ana uwongo kazoea kufuatia mbio wanawake au<br />

wanawake wanajiweka kutafuta wanaume kakumbuka Inna lil lahi,<br />

nnafanya nini haya ndio ya motoni haya ndiyo ya Insa-n? Haya ndio yale<br />

ya unyama sio ya Insania ya unyama anataka kuepukana nayo moja kwa<br />

moja yameshamvaa kila yakimjia anajuta anatamani yamtoke kabisa<br />

kabisa-anaambiwa:Laa taqan-atu wawe namna hao wanaambiwa<br />

msikate tamaa na rehma ya Mwenyezi Mungu iwe basi Mwenyezi Mungu<br />

Subhanah wa taala maadam mmemuasi ndio lazima atakutieni motoni<br />

hakusameheni, laa! Laa! la hasha: Inal Laha yaghafir dhunuba jamia<br />

Mungu anaghufirilia madhambi yote: Innahu lahuwa ghafuru rahim<br />

hapana hata kubwa vipi linalomshinda kughufurilia, ana rehma sana lakini<br />

(rejeeni): Wa-ani-bu-ilaa rabiku, rejeeni, bila kurejea kwake hapana<br />

tamaa anataka urejee kwa kujuta, kwa Tawba. Ikiwa mali ya watu kwa<br />

kiasi unavyoweza kurejesha ikiwa unamtukana mtu, au umemsema mtu,<br />

mkamtaka radhi kwa kiasi ya kupata salama ukiona mambo yatazidi, tena<br />

haki ya binaadamu hii ikiwa nikisema mambo yatazidi hapo hatari. Ina<br />

lahu yaghafir dhunuba jaamii innahu huwal ghafuru rahimu, wa<br />

anibu ila rabikum, rejeeni kwa Rabbu wenu makafir hawana pa kurejea<br />

dha-lika baina adhina a-manu-ti tabaul laq wanal safirina la<br />

maula lahum, kwa hivyo ni muhimu sana ni muhimu sana kukumbuka<br />

kuwa kuna Malaika wanaandika na kufanya makosa si ajabu kwa Insa-n<br />

10.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!